Tafadahali husika na mada tajwa hapo juu. Kwa barua hii napenda kukualika katika semina tajwa itakayohusisha viongozi wa Tarafa za Chamrihyo na Kenkombyo pamoja na kata zake na vijiji vyake, semina hiyo itafanyika siku ya Ijumaa tarehe 30/03/2012 katika ukumbi mkubwa wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda kuanzia saa 3:00 asubuhi. Natanguliza shukurani za dhati kwa mahudhurio yako.
Moses J. Mutash K.n.y:AFISA UHAMIAJI(W) BUNDA. Nakala: Afisa Uhamiaji mkoa S.L.P 369 MUSOMA