Professional Documents
Culture Documents
" A"
KATIBA
YA
KIKUNDI
2022@
FOUTH DRAFT
YALIYOMO
1. SEHEMU YA KWANZA..........................................................................................................4
2. SEHEMU YAPILI.....................................................................................................................5
3. SEHEMU YA TATU.................................................................................................................5
3.1 UANAKIKUNDI..............................................................................................................................5
4. SEHEMU YA NNE....................................................................................................................8
4.1 Michango...........................................................................................................................................8
4.1.2Michango Mingine..........................................................................................................................8
5. SEHEMUYATANO.................................................................................................................10
6. SEHEMU YA SITA.................................................................................................................11
6.3 UongoziwaKikundi..........................................................................................................................12
7. SEHEMUYASABA.................................................................................................................14
7.1.1 KamatiTe.8.nkdaji.................................................................................................................14
7.1.3 KamatiyaFedhanaMikopo......................................................................................................14
Malengo mahususi:
(a) Kushirikiana na kusaidiana wakati wa shida naraha.nk
(b) Kuwezesha wanakikundi kuimarishana kiuchumi na hali ya maisha kwa:-
i. Kupokea na kuweka michango ya fedha za wanakikundi
ii. Kuanzisha na kuendeleza shughuli zozote halali za kiuchumi kwa manufaa ya
wanakikundi kama itakavyokubaliwa katika Mkutano halali wa wanakikundi
iii. Kuwezesha kifedha shughuli binafsi za wanakikundi kwa masharti yaliyokubaliwa na
wanakikundi
iv. Kuhamasisha ushirikiano na wanakikundi wenye changamoto mbalimbali kama
ulemavu,uzee,uyatima,uathirika wa ukimwi na watoto wa mitaani.
3. SEHEMU YA TATU
3.1 UANAKIKUNDI
5. Kutii na kufuata maazimio yote ya Mkutano wowote halali hata ikiwa hakuwepo kwenye
mkutano huo,au kutoshiriki katika kupitisha azimio hilo
4.1 Michango
(b) Endapo mwanakikundi atachelewa kulipa kiasi hicho, au asipolipa kabisa, utaratibu wa
faini(penalty)naadhabu nyinginezilizokubaliwa katikakanuniza kikundizitatumika.
(c) Mtunza fedha wa kikundi atatoa taarifa sahihi za michangoyote iliyokusanywa siku
yamkutano akionyesha wale waliolipa, wanaodaiwa, aina ya michango iliyokusanywa na
habari nyingine inayofaa kadiriyautaratibuwahesabuza fedha.
(b) Kila mwanakikundi atatakiwa kulipa kiasi cha fedha kilichopitishwa kwa wakati sahihi, na
kwa utaratibu utakaowekwa na wanakikundi.
.
4.3 Kuhifadhi Fedha na Akiba za Kikundi
(a) Fedha za Kikundi zitahifadhiwa katika taasisi HALALI za kifedha Kama vile Benki au
kuwekezwa katika rasilimaliinayotoa faida kwa kikundi.
(b) Fedha yote ya kikundi itahifadhiwa katika taasisi za kifedha kama vile Benki.Hata hivyo,
Uongozi unaweza kutenga kiasi kidogo (Pettycash) ilikukidhi matumizi madogo mdogo
(c) Fedha za kikundi zilizokusanywa zaweza kutumika kuwasaidia wanakikundi kukabiliana
na dharura au hali za maisha kwa njia ya mkopo kwa utaratibu ulioainishwa kwenye kanuni
zakikundi.
Bila kuathiri matakwa ya kuidhinisha malipo, iwapo watajwa katika ibara 4.4(c) (i) na
(ii)watakuwa na mgongano wa kimaslahi aidha ya kindugu ama kwa namna yeyote
ilebasinilazimaikaepukwa kwamaslahiyakikundi.
5. SEHEMU YA TANO
(b) Mkutano wa Dharura unaweza kuendeshwa na idadi isiyopungua roto tatu ya wanakikundi.
6.1.4 Mkutano Maalumu wa Uchaguzi
(a) Mkutano utakuwa ni maalumu kwa ajili ya uchaguzi wa viongozi wa kikundi baada
ya viongozi waliopo madarakani kumaliza kipindi chao cha uongozi
(b) Ikiwa kiongozi yeyote atasitishwa uongozi kama inavyoelezwa katika kipengele
cha 6.3.4,utaitishwa mkutano maalum wa uchaguzikwa nafasi yake.
6.2 Utoaji wa Taarifa za Mikutano au Vikao.
(a) Taarifa za mkutano zitatolewa kwa wanakikundi wote kwa kutumia taratibu
zinazokubalika.Taarifa hii itabidi ionyeshe waziwazi tarehe ya Mkutano,Idadi ya
wanakikundi waliohudhuria,muda,mahali pa mkutano na dhumuni la mkutano.
(b) Taarifayoyote ya dharura inayohusu kikundi itatakiwa kufikishwa kwa uongozi kwanza na
uongozi utatoa utaratibu wakuwafahamisha wanakikundi wote na taratibu nyingine.
i. Mwenyekiti
ii. Katibu
iii. Mweka Hazina (Mhasibu)
iv. Ataamua kujiuzulu kwa ridhaa yake mwenyewe kwa maslahi ya kikundi; na
zaidi ya nusu ya wanakikundi wamekubaliana na ombi lake la kujiuzulu
7.1Kamati za Kikundi
(a) Kikundi kitakuwa na kamati za kudumu zitakazosaidiana na Kamati Kuu kufanikisha
mipangonashughulizakikundi
(b) Kamati nyingine zozote za Muda zinaweza kuundwa katika mikutano ya kawaida ya
mwezi kulingana na matukio au umuhimu wa kuwepo kamati hizo.
SEHEMU YA NANE
(b) Ikiwa jambo husika linahitaji maamuzi ya wanakikundi wote, Kamati Tendaji itawasilisha
mapendekezo yao kwenye mkutano wa wanakikundi wote kwa uamuzi wa mwisho.
(b) Endapo Kikundi hiki kitavunjwa,Mali zote za kikundi zitafilisiwa ili kulipia madeni
yatakayokuwa yanakikabili kikundi hadi wakati huo
(c) Fedha zitazobakia baada ya kulipa madeni,zitagawanywa kwa wanakikundi wote kulingana
na muda na kiasi cha michango ya kila mmoja.
(d) Endapo fedha zilizopo hazitoshi kulipa deni,salio la deni litagawanywa kwa utaratibu sawa
na wakipengele9.1(c)hapo juu.
MWISHO.