Professional Documents
Culture Documents
Toleo la 4.0
Julai 2020
1
YALIYOMO
1.TAFASIRI YA MANENO....................................................................................................................... 3
2. TARATIBU ZA KIJAMII ZA KIKUNDI CHA USHIRIKIANO.................................................. 4
3.0 VIKAO YA KIKUNDI CHA USHIRIKIANO ............................................................................. 6
4.0 UTARATIBU WA KUTOA TAARIFA ........................................................................................ 7
5.0 UTARATIBU WA KUSHIRIKI KWA MGONJWA .................................................................. 8
6.0 UTARATIBU WA KUSHIRIKI KWENYE MISIBA. ................................................................ 9
7.0 UTARATIBU WA KUSHIRIKI HARUSI/SENDOFF NA SHUGHULI ZINGINE ZA
JAMII. ........................................................................................................................................................ 13
8. USHIRIKI WA WANACHAMA WALIO NJE YA DAR ES SALAAM / ...................................... 14
TANZANIA NA NJE YA NCHI .............................................................................................................. 14
9. SIKU YA USHIRIKIANO YA MWAKA. ...................................................................................... 14
10. MIIKO NA FAINI KATIKA SHUGHULI ZA KIJAMII. ........................................................ 15
11. UDHURU ....................................................................................................................................... 16
12. IDARA YA AKINA MAMA ........................................................................................................ 16
12.3 VIONGOZI WA IDARA YA AKINA MAMA .......................................................................... 18
12.4 MNUFAIKA WA IDARA YA UMOJA WA AKINA MAMA ................................................. 18
12.5 MAWASILIANO KWA AKINA MAMA................................................................................... 19
13.0 VIKAO VYA SEKRETERIETI. ..................................................................................................... 19
14.0 MABADILIKO YA KANUNI ZA KAMATI YA JAMII .............................................................. 20
15.0 MUDA WA KUANZA KUTUMIKA KANUNI HIZI ................................................................... 20
2
1. TAFASIRI YA MANENO.
1.1 Kushirikiana - kujitoa kwa Hali na Mali ikiwemo kutoa Michango ya mawazo na mali
1.5 Ndoa - Muunganiko wa Mke na mme (mmoja) unaofanya familia, wenye ndoa
Katibu na Mweka Hazina pamoja na wenyeviti wa kamati nne za kudumu kwa mujibu
wa katiba hii.
3
2. TARATIBU ZA KIJAMII ZA KIKUNDI CHA USHIRIKIANO
2.1 Kwa mujibu wa sehemu ya 3(b) ya katiba ya ushirikiano Group, Kila mwanachama
atatakiwa kushiriki kwa hali na mali katika shughuli zote za jamii za kikundi.
2.2 Ili kuleta ufanisi wa kuendesha shughuli za kijamii mwanachama atatoa taarifa ya
kujitolea kwa hali na mali bila kubagua katika shughuli zote za jamii za kikundi.
2.4 Kikundi hakitakubali majungu, umbea na uchonganishi katika shughuli zote za jamii,
kwenye vikao husika. Kamati ya maadili itachukua hatua kwa mujibu wa kanuni kwa
2.5 Wakati wa shughuli au tukio Mwanachama (mume na mke) watapimwa ushiriki kila
2.6 Ili kuleta ukaribu wa wanachama na familia zao, kamati itaandaa utaratibu wa
wanachama.
4
2.8 Atakayeshindwa kushiriki bila taarifa atatozwa faini kadri ya utaratibu wa faini
5
3.0 VIKAO YA KIKUNDI CHA USHIRIKIANO
3.1 Kutakuwa na kikao kila mwezi kwenye kikundi cha ushirikiano kiitakavyofanyika
kamati ya jamii.
3.2 Vikao vya ushirikiano vitakuwa vya aina nne: - Kikao cha kila mwezi, kikao cha
dharura ambacho kitakuwa maalum kujadili masuala ya dharura, kikao cha kamati
tendaji ya sekretarieti na kikao cha kila mwisho wa mwaka cha siku ya ushirikiano.
3.3 Kila mwanachama ataandaa kikao hicho, zamu yake ikifika kama itakavyosomeka
3.4 Mwenyekiti wa kamati ya jamii ataandaa ratiba ya vikao vya mwaka mzima na kuitoa
kwa wanachama.
3.5 Mwenyekiti wa kamati ya jamii atatoa taarifa ya mahala pa kufanyika kikao endapo
3.6 Ikitokea mwandaaji wa kikao atakuwa na dharura, ni jukumu lake kumtafuta mtu
3.7 Kikundi kitatoa (sh 50,000/=) shilingi elfu hamsini kwa mwanachama mwandaaji wa
3.8 Kikundi kitatoa sha 50,000/= (shilingi elfu hamsini) kwenye kikao cha Kamati tendaji
3.9 Vikao vya sekretarienti muda wa kukutana umeelezwa kwenye kifungu 13.4
6
3.10 Viwango vya kugharimia vikao vya kikundi tajwa hapo juu kwenye kifungu 3.2,
4.1.1 Msiba
4.1.2 Ugonjwa
Jamii.Taarifa iwe kamili kwa kueleza ni wapi, lini, uhusiano na utaratibu upi
wanaushirikiano wote. Taarifa zisichukue muda mrefu ili kufanya utekelezaji uwe wa
haraka.
4.4 Taarifa zingine zisizo kwenye utaratibu lakini zinajenga mahusiano na upendo ndani
7
5.0 UTARATIBU WA KUSHIRIKI KWA MGONJWA
5.2. Wanachama watashiriki kwa kwenda kumuona mgonjwa na kushiriki kumsaidia kwa
hali na mali ili kumwezesha apone. Upendo wa kumfariji kila wakati utakuwa ndio
utamaduni wa wanakikundi.
ya siku tano, taarifa italetwa kwa mwenyekiti wa kikundi / kamati ya jamii kwa
wengineo).
huelekezwa kuandaa.
5.6. Kikundi kitatoa shs 200,000/= (shilingi laki mbili) kumsaidia mgonjwa kama ugua
mgonjwa).
8
5.7. Ugua pole mgonjwa atapewa mara moja kila baada ya miezi sita, kwa mwaka
atapewa mara mbili tu, na hii itatumika kwa magonjwa ya kawaida na sugu ya
5.8. Mwanachama atakayestahiki kupata ugua pole ni yeyote aliye hai / aliyetimiza
vigezo vya kikatiba na kikanuni (yaani awe hadaiwi ada ya kila mwezi au
kulimbikiza ada zaidi ya miezi mitatu, amelipa mikopo yake aliyokopa kwenye
halali ya kikundi).
6.1 Kama ilivyoanishwa katika katiba (kifungu namba 7 - (a), misiba itakayo wahusu
kuhamishiwa.
shughuli za msiba itatolewa kwa njia ya daftari kwa kushirikiana na makundi mengine ya
9
kijamii. Wanakikundi watakuwa mstari wa mbele wakati wote kufanikisha shughuli ya
msiba.
6.2.2 Kila mwanachama atatakiwa kutoa mchango wa Tshs. 50,000.00 kwa ajili ya
10
6.3.2 Kamati ya jamii itapendekeza wawakilishi wa wanaushirikiano ili kushiriki vyema
6.4.1 Msiba wa mwana kikundi unaotokea nje ya familia (makazi na mikoani) kwa
itakuwa: -
6.4.1.5 Kiwango cha rambirambi tajwa hapo juu kinaweza kubadilika kadri
6.4.2. Msiba ukitokea nje ya Dar es Salaam, kila mwanachama atatoa rambirambi kiasi cha
6.4.3 Baada ya mfiwa kurudi kutoka msibani, taarifa itatolewa kwa wanachama na taarifa ya
6.4.4 Majina ya familia za wanachama walioenda kuhani msiba yataandikwa kwenye daftari
zitaadhibiwa faini ya shilingi elfu kumi (shs 10,000/=). Adhabu hii italipwa bila utetezi
11
wowote ili mradi taarifa ilishatoka na kila mwanachama aliipata, ila tu walipuuza
6.4.6 Endapo familia itafikisha adhabu tatu mfululizo bila kuhudhuria misiba ya wanachama,
kamati ya jamii itapeleka majina ya familia hizo kwa katibu wa kikundi, na katibu wa
kikundi ataziandikia barua familia hizo ziitwe mbele ya kamati ya nidhamu kujieleza
Rambirambi iliyoainishwa Kikatiba & Kikanuni kila mwanachama mwenye sifa anastahili
Msiba ulio nje ya utaratibu itatolewa taarifa na kamati ya jamii kupitia kwa Mwenyekiti wa
12
6.7 SIFA ZA MWANACHAMA KUPATA STAHILI ZA KIKUNDI KIJAMII NA
KIKATIBA
Awe mwanachama hai kwa mujibu wa Katiba na Kanuni za Kikundi cha Ushirikiano
Dar es Salaam.
JAMII.
7.1 Wanachama watashirikishwa katika harusi, kumuaga binti (Send off) katika makundi
yafuatayo:
7.2 Kwa mwanachama asiyeshiriki bila taarifa atatozwa faini na akifikisha matukio 3
mfululizo atafikishwa kwenye kamati ya maadili ili kuchukua hatua kwa kadri ya
kanuni za maadili.
7.3 Siku ya Harusi/ kumuaga binti (Send off) wanachama watashiriki kutoa zawadi
13
7.3.3 Uwakirishi utatumika kwa shughuli yoyote itakayofanyika nje ya Dar es
salaam.
7.4 Michango ya wanachama katika kufanikisha mandalzi ya harusi /send off kadri ya
makundi yaliyoainishwa katika katiba kitakuwa kuanzia shilingi laki moja (100,000/=)
9.1 Kama ilivyoanishwa hapo juu siku hii itaweza kuwakutanisha wanakikundi na
familia zao ili kuweza kufahamiana kwa kushiriki chakula, vinywaji, kucheza kwa
pamoja.
maandalizi kila mwaka, siku hii itakuwa mara moja kwa mwaka. Kila familia
9.3 Siku ya ushirikiano itapangwa mwanzoni mwa mwaka husika ili kamati ya jamii
ianze maandalizi.
14
10. MIIKO NA FAINI KATIKA SHUGHULI ZA KIJAMII.
viongozi.
10.2 Adhabu (FAINI): Tshs. 2,000/= kwa kila mwanachama (mume au mke)
bila taarifa atatakiwa kutoa taarifa kwa maandishi kamati ya Jamii kama
10.4 Adhabu (FAINI): Tshs. 5,000/= kwa kila mwanachama (mume au mke)
vikao 3 mfululizo bila taarifa atatakiwa kutoa taarifa kwa maandishi kamati ya
10.6 Adhabu (FAINI): Kamati ya jamii itahitaji maelezo kwa maandishi juu ya
15
11. UDHURU
11.1.1 Ugonjwa.
11.2 Udhuru unatakiwa utolewe taarifa kwa mwenyekiti wa jamii, au kikundi siku moja
kifungu hiki. Utalipa faini kama inavyosomeka kwenye kanuni hizi (kifungu cha
9.2).
11.5 Udhuru huu utakubalika tu kama utawasilihwa kwa mwenyekiti wa jamii kwa njia
Kutakuwa na idara ya akina mama itakayoitwa “UG Women”. Kila mwanamama aliyeko
16
12.1 MALENGO YA IDARA YA AKINA MAMA (UG WOMEN GOALS)
12.1.3 Kununua vifaa vya kutumika kwenye shughuli za kijamii kama vyombo vya
11.1.4 Kuwa na mfuko wa jiko ambao unaweza kutoa mahitaj muhimu ya kuanzia
12.2.2 Kulipa michango kila mwezi wa shilingi 5000 (Kiwango hiki kinaweza
12.2.5 Mwanamama asiyelipa michango yake mfululizo kwa miezi mitatu atakuwa
17
12.2.6 Mwanamama huyo atatolewa taarifa na Mwenyekiti au katibu wa UG
zitafanya kazi.
wa kamati ya jamii.
12.3.1 Mwenyekiti.
12.3.2 Katibu
12.3.2 Viongozi hawa watahudumu kwa kipindi cha miaka mitatu, na uchaguzi utafanyika
11.4.1 Mume.
11.4.2 Watoto.
18
11.4.3 Ndugu anaokaa nao.
Taarifa zote zitatolewa kupitia mtandao wa kundi la whatsup la akina Mama lijulikanalo kama
“UG Women”, kupiga simu ama kuandika ujumbe mfupi wa maandishi (sms) au kwa kutumia njia
13.1 Sekretarieti ni baraza la viongozi wakuu wa kikundi cha ushirikiano, lina jukumu la
kanuni na maamuzi mengine halali yaliyoamuliwa mkwenye vikao halali vya chama.
kikundi cha ushirikiano ambao ndiyo wajumbe wake ikijumuisha katibu na mwenyekiti
13.4 Vikao vya kawaida vya sekretarieti vitafanyika mara mbili kwa mwaka, yaani mara moja
kila miezi sita, isipokuwa ikitokea dharura vikao hivi vitaitishwa wakati wowote na
13.5 Posho ya chakula na maji ya shs 50,000/= (Elfu hamsini tu) itatolewe kwenye kikao cha
sekreterieti kama huduma kwa wajumbe ili kuwawezesha kutimiza majukumu yao.
19
14.0 MABADILIKO YA KANUNI ZA KAMATI YA JAMII
TAREHE: 26/07/2020
20