Professional Documents
Culture Documents
1. UTANGULIZI
2. MADHUMUNI
4. UONGOZI
5. UENDESHAJI WA VIKAO
7. WANUFAIKA WA MAFAO
8. MAFAO YANAYOTOLEWA
MWANACHAMA
10. MWISHO
i.
1. UTANGULIZI
Ukoo wa MWAMBA ambao shina lake lipo Mtandi-Kilwa,
limeunda umoja huu ukihusisha wanaukoo wote ambao
wapo ndani ya nchi (Tanzania) na nje ya nchi.
Umoja huu sio wa kichama au wakidini bali ni umoja wa
watoto waliozaliwa na Abdallah Bi Halfani au mjukuu au
mtu yoyote mwenye nasaba ya Bi Halfani.
Umoja huu unaongozwa na katiba pamoja na sheria
ambazo zimewekwa na kukubaliana kwa pamoja. Hivyo
yeyote ambaye yupo ndani ya umoja huu hana budi kufuata
katiba hii ambayo ndio mwongozo wetu.
2. MADHUMUNI
a) Kujuana na kufahamiana kwa wanaukoo kwa sababu
watu wanaishi maeneo mbalimbali.
b) Kushirikiana na kusaidiana katika mambo mbalimbali
ya kijamii.
1|Page
4. UONGOZI
4:1 MUUNDO WA UONGOZI
MWENYEKITI
MAKAMU
MWENYEKITI
KATIBU MKUU
KATIBU MSAIDIZI
MTUNZA FEDHA
KAMATI YA
UTENDAJI
KAMATI YA
MAADILI
2|Page
4:2 SIFA ZA VIONGOZI
a) Mwenyekiti, Makamu, Katibu wawe na elimu ya darasa la
saba na kuendelea na wawe wanajua kusoma na kuandika
vizuri.
b) Mweka hazina awe na elimu ya darasa la saba na
kuendelea na awe anajua vizuri somo la hisabati.
c) Kamati tendaji wawe ni watu wa kuwajibika bila
kusukumwa na wenye ushirikiano na viongozi wa juu.
d) Kamati ya maadili wawe watu wenye siri na hekima katika
maamuzi.
B. MAKAMU MWENYEKITI
i. Atasimamia shuguli za Mwenyekiti kama hayupo.
ii. Atakuwa ni mshauri wa Mwenyekiti.
iii. Atashika nafasi ya Mwenyekiti iwapo hayupo au
amejiuzulu.
4:4 KATIBU MKUU
i. Atakuwa msemaji mkuu wa ukoo.
ii. Ataitisha mikutano kwa kushauriana na Mwenyekiti.
iii. Atawasilisha kumbukumbu katika vikao.
iv. Ataratibu mipango yote ya ukoo.
v. Atasimamia katiba na kuilinda.
4:5 MAKAMU KATIBU MKUU
i. Atafanya kazi ya katibu mkuu kama hayupo.
3|Page
4:6 MTUNZA FEDHA
i. Atatunza fedha kwa kanuni za uhasibu.
ii. Atasimamia makusanyo na michango ya ukoo.
iii. Atatoa taarifa ya fedha kwa wanaukoo kila mwezi na
katika mkutano wa mwisho wa mwaka.
4:7 KAMATI YA UTENDAJI
i. Kuhamasisha na kuelimisha wanafamilia na ukoo
kufuata sheria na kanuni za katiba yetu.
ii. Kutoa taarifa au jambo lolote litakalojitokeza ndani ya
familia kwa viongozi wakuu.
4:8 KAMATI YA MAADILI
i. Itakuwa na wajumbe wanne ambao watachaguliwa
katika mkutano mkuu.
ii. Katibu na Mwenyekiti wa ukoo wataingia katika
kamati ya maadili kutokana na nafasi zao.
4:9 NAMNA YA KUWAPATA VIONGOZI
Viongozi wanaweza kupatikana kwa kupendekezwa au
kuteuliwa au kupigiwa kura inategemea makubalaino ya
wanaukoo katika mkutano mkuu.
4:10 MAMBO YATAKAYO MUONDOA KIONGOZI
MADARAKANI
i. Kiongozi yeyote anaweza kuondolewa madarakani
endapo atabainika na kosa la kuvunja katiba na
maamuzi yakapitishwa katika mkutano mkuu.
ii. Kwaridhaa yake mwenyewe akiamua kujihudhuru.
5:0 UENDESHAJI WA VIKAO
a. Tutakuwa na kikao kikuu kimoja ambacho kitafanyika
mwisho wa mwaka Mtandi – Kilwa
b. Tutakuwa na vikao viwili vya kanda kwa mwaka –
Kanda ya kusini na mashariki.
4|Page
c. Vikao vya dharura vitaruhusiwa ili kujenga na
kuimarisha umoja wetu.
5|Page
NB: Harusi haihusiani na mfuko wetu bali watu tutachangia
kadri watakavyokubaliana.
10:0 MWISHO
Katiba hii itapitiwa upya na Mkutano mkuu kila mwaka ili
kuongeza ama kupunguza vifungu kwa matakwa ya wanaukoo.
………………………………….. ……………………………
MWENYEKITI KATIBU
6|Page