You are on page 1of 6

KATIBA

SEHEMU YA KWANZA.

LENGO KUU: Kusaidiana na kuinuana kiuchumi.

1.0. MADHUMUNI:
i. Kupendana na kusaidiana katika huduma za jamii yaani, raha na shida.
 RAHA
 Harusi
 Uzazi

 SHIDA
 Misiba

ii. Kuwezeshana kifedha / kuinua kipato cha mwanachama kwa kutoa mikopo kutokana na
michango ya kila amwezi.
iii. Kuelimishana

SEHEMU YA PILI: UANACHAMA

2.1. Sifa za kuwamwanachama;


i. Awe naumriwamiaka 20 nakuendelea.

ii. Lazima awenimsichana/mwanamke.

iii. Awe naakilitimamu

iv. Mwanachamanilazima awe nimwanamkemwenyeniayakujihusishanashughulimbalimbali za


kumuingiziakipato au awe mwajiriwa.

v. Awe mtuanayependakushirikiananawenzakekwakilahali.

vi. Awe nimtuanayependakujitumanakutoamuda wake au maliyakekuwahudumiawenzake

vii. Atimizematakwayakatibayakikundi.

viii. Awe
natabianzuriinayokubalikanawanachamawengineikiwanipamojanaheshimakwawenzienakwenye
mikutanoyachama.

ix. Awe mwaminifunamkweli, anayekubalikukosolewanakukosoa.

@2023
2.2. Utaratibuwakujiungana Chama
i. Mwombajiatapaswa kuletamaombikatikakikundi.
ii. Mwombajiatajadiliwanawanachamawote.
iii. Ikiwamwombajiatakubaliwaatatakiwakufutatataratibuzote za chama
iv. Mwombajinilazima awe namdhaminiambaenimwanachamahai.

2.3. WajibuwaMwanachama
i. Kuwananakalayakatiba,Kusoma , kuielewa ,kuilindanakuiteteakatibayachama .
ii. Kutoamichangombalimbalikulingananautaratibuwachama.
iii. Kuilindanakuiteteakatibayachama
iv. Kuchangia au
kutoamawazo/maoniyanayopelekeakuinuakikundikatikavikaonamktanomkuuwamwaka.
v. Kuheshimiana,kushirikiananawanachamawenzakekatikashughulimbalimbali za chama.

2.4. Haki za Mwanachama


i. Kushirikikatikamajukumumbalimbalikamayalivyoainishakwenyekatiba (Mfano;
Linapotokeatatizo, kwa wale
wanachamawaliokaribunatukiowanahimizwakufikamaramojanasiokusubiriwenzaoambaowanawe
za/wanakuwambalikwawakatihuo)
ii. Kila mwanachama ana hakiyakuchaguliwanakuchaguaviongoziwakikundi.
iii. Kila mwanachama ana hakiyakukopa; ANGALIZO:
kwawanachamawageniwataruhusiwakuanzakukopabaadayakupataushirikianotokakwawaliowaka
ribishaktikachama.
iv. Wanachamawotewanahakiyakuhudumiwasawakamailivyohainishwakikatiba.
v.
Kuachauanachamakwahiariyakeambapoatapaswakuandikabaruayakuachauanachamamwezimmoj
akablanaatapotezahakizakezoteisipokua 30%
yamichangoyakeitakatwanainayobakiatapewakatikamwishowamwakakipindi cha kuvunja.
vi.Mwanachama ana hakiyakupatastahikizakezoteakifariki,
ambapoyafaakilamwanachamaajazefomuitakayoonyeshamtu wake
mbadalawakukabidhiwastahikihizofomuhiiitajazwanakutumwakatikakikundikwanjiaya soft
copy.

2.5. UkomowaMwanachama
i. Kutokulipa au kununuahisakwamudawamiezimitatumfululizobilataarifayamsingi.
ii. Kwa hiariyamwanachamamwenyewenakwakutoataarifayamaandishimwezimmojakabla.
iii. Kufariki
iv. Akipataugonjwawaakili.
v. Kufukuzwakwakuvunjakanuni.

SEHEMU YA TATU: UONGOZI


Viongoziwachamawatachaguliwanawanachamawotekwakupendekezamajinanakuyapigiakura;
i. Mwenyekiti

@2023
ii. Katibu
iii. Mhasibu /Mweka hazina
iv. Mweka hazinamsaidizi

3.1. Majukumu/ Kazi za Viongozi

MWENYEKITI
i. Kuitishanakuendeshavikaovyachamanavikaovyadharura
ii. Atakuwandiomsemajimkuuwachama
iii. Kusimamianakuongozashughulimbalimbali za chama
iv. Kusimamiahaki za kilamwanachama
v. Kusuluishamigogoroitakayojitokezakatikachama
vi. Kupitishamaswala yote yamatumiziyafedha za wanachama

KATIBU
i. Kuandaanakuitishavikaoakishirikiananamwenyekiti
ii. Kuandikanakutunzakumbukumbuzote za vikaonachama
iii. Kusomanakufafanuakatibanataarifazote za vikaokwawanachama
iv. Kutoataarifambalimbali za matukiokwawanachamamfano; misiba, magonjwanasherehe

MHASIBU/MWEKA HAZINA NA MHASIBU MSAIDIZI


i. Kupokea, Kutunza, nakutoafedha za chama
ii. Kutunzakumbukumbu za mapatonamatumiziyafedha za chama
iii. Kuwanataarifasahihi za fedha za kilamwanachamapindiatakapohitajikakufanyahivyo
iv. Kutoataarifayafedhayachamakilamwezi.

3.2. UKOMO WA VIONGOZI


i. Kujiuzulumwenyewekwasababuzinazoeleweka (ilanilazimaatoesababuyamsingi)
ii. Kuhamakutokandaniyanchi
iii. Kifo
iv. Ugonjwawamudamrefu/ugonjwawaakili
v. Kipindi cha uongozikuisha

SEHEMU YA NNE:MKUTANO MKUU WA CHAMA

Kutakuwanakukutanamaratatukwamwakakatikasikuyafamilia ,sikuyakufanyamatendoyahuruman
asikuyamkutanomkuuwamwakanakuvunja.
4.1. Kazi za MkutanoMkuu
i. Kujadilimaendeleoyachama.

@2023
ii. Kupatataarifayafedhanakujuamapatonamatumiziyafedha za chama.
iii. Kupashanahabarinakusaidianakimaendeleo.
iv. Kupangamikakatiyamwakampya

4.2. VikaovyaDharuranakazi za vikaovyadharuraonline


- Vikaohivyovitaitishwakablayatareheyakikaoiliyopangwa, pale litakapotokeajambo la
dharuranauongoziutakapoonaumuhimukufanyahivyo
- Pale kutakapokuwanadharula ,wanachamawatakutanaonline kujadilidharulahiyo.
- Idadiyeyoteyawajumbeitafanyakikao cha kufanyamaamuzi.

SEHEMU YA TANO: FEDHA ZA CHAMA NA KANUNI ZA FEDHA


5.1. Mapatoyatatokanana;
i. hisaanzianahisa za kilamwezi za wanachama.
ii. Riba za mikopoyawanachama.
iii. faini za wanachama

5.2. Utunzajiwafedha za chama.


i. FedhazotezitahifadhiwabenkikwenyeakauntiyaCRDBkupitiaCrdb Sim Account.

5.3. UtoajiwataarifaYaFedha

Taarifayafedhaitakuwainatolewakilabaadayamwezinamuwekahazina,
itatolewataarifayamapatonamatumizikwenyemkutanowawanachamawote.

5.4Michangoyakikundi

i. Hisaanziaitakuwashilingi 300,000mpakamilionimbili 2,000,000/= kulipwandaniyamieziminne.


ii. Hisa za kilamwezikwakilamwanachamanikiwango cha chini20,000 kiwango cha
juushilingi300,000/=
iii. PesayaJamii au matukiokwakilamwezinishilingi 15,000/=
iv. 5,500/=
nipesayakumpongezamwanakikundikatikasikuyakuzaliwanaitatolewakuanziasikutatukabla
yatarehehusika.
Michangohiiinawezakubadilikawakatiwowotekwamaamuziyaasilimia 75% yawanachamawote.

5.5. MIKOPO
i. Sifa za mkopaji awe nimwanachamahai, Ambapoataruhusiwakukopahadikiasi cha juu cha
millioniTano 5,000,000/= kutokananahisa za mtuhusikakwamwakanaitakuanimaratatuyahisa.
ii. Ribakwamkoponiasilimiatano
(10%) .ribaitalipwakwamudawotewamkoponamudawamarejeshousiozidimiezisaba.Hatahivyom
wanachamaanatakiwakupunguzadeni lake kilamwezikulingananarejesho lake
lotekatikakipindiicho cha mkopo.
iii. Endapomwanachamaatashindwakulipa au
kukusanyaribakwawakatiatakuwanatozoyafainiyaasilimiamiamoja(30%)

@2023
yaribahiyo ,nahelahiyoitakusanywakamamapatoyachama.
Pamojanakulipafainihiyomwanachamaanabakinawajibuwakuliparibastahikikwenyechama.
iv.Kiwango cha chini cha mkoponimilionimojana cha juunimilionitano
NI LAZIMA KILA MWANACHAMA KUKOPA ILI KUWEKA FAIDA AU KULIPA
SHILINGI LAKI MOJA KAMA RIBA YA MKOPO MDOGO.
v.Malipomiezi1mpakamiezi8 kwamkopokuanziatsh1,000,000-5,000,000/=

SHERIA NDOGO NDOGO TUKIO ADHABU


Adhabuzilizopendekezwana
wanachamaS/NO
1 Kutokununuahisakwawakati Faini10,000
2 Kutoletaribakwawakati Faini 30% yariba
3 Kutorejeshamkopokwawakati Faini 30% yarejesho
4 Kutokutoapesaya birthday Faini4500/=
kwawakati kilabaadayasikutatu za
ucheleweshaji.
5 Kutolipa Ada AnakomaUanachama
yamiezimitatumfululizo
6 Kutoataarifazisizosahihi Faini 50,000

HakiyaMwanachamaAkifariki

Iwapomwanachamaatakuaamefarikihudumazifuatazozitatolewakatikafamilia

 Wanachamawotewatapaswakuhudhuriamsibaninakusaidiakatikashughulimuhimuikiwaita
hitajika

 Mwanachamaakifariki, familiayake/ mrithi wake atapatamgao wake,


baadayakufanyikamahesabuyafedha yote yakikundinakugawanywakwawanachamawote.
Hiinibaadayahudumazile za kwenyemsiba

@2023
STAHIKI ZA WAHUSIKA KIASI
MWANAKIKUNDI
MAELEZO YA HUDUMA

Msiba
 Mwanachamaakifari  Mwanachama Tshs. 400,000
kihakizakezotezitaru itatokakamarambirambi
dishwa  Mume/Mtoto
(kamahanamkopo)  Baba/Mama Tshs. 200,000/=
 Kama mzazi/Mlezi
anadaiwahakinabusar  Nduguwadamu
azitatumikakulipaden
i

Sherehe Kiwangoni shilling


 Kuolewa (Kitchen Mwanachama lakimojana elf hamsini (Tshs.
Party au Send off – 200,000/=)
mhusikaatachaguawa
piwanachamawachan
gie)
Kiwangoni shilling
 Uzazi lakimojanaelfuhamsini(200,0
00)

SN Jina Nambaya Simu Barua pepe

You might also like