You are on page 1of 2

DODOSO

DHUMUNI: TATHIMINI YA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WANANCHI

KATIKA KUSHIRIKI KWENYE MIKUTANO YA ADHARA KATA YA ARRI

WARD

Mpendwa mshiriki,
Mimi ni Flavian J. Jovitha kutoka chuo cha serikali za mitaa Hombolo – Dodoma, nasoma
kozi ya Utawala ngazi ya Shahada. Lengo la dodoso hili ni kupata taarifa kuhusu
“Changamoto zinazowakabili wananchi katika kushiriki kwenye mikutano ya adhara
kata ya Arri wilaya ya Babati”. Unaombwa kushiriki katika kutoa taarifa. Taarifa zote
zitakazo tolewa itakuwa ni siri kwa lengo la kujifunza tu na sio vinginevyo. Hivyo,
hauruhusiwi kuandika jina/majina yako.

SEHEMU “A”: TAARIFA BINAFSI ZA MSHIRIKI


MKOA/JIJI:……………… WILAYA:…………… KATA…………
Tafadhali weka alama ya vema (√ ) katika kisanduku hapa chini
1. Umri kwa miaka
19 – 25 26 – 30 31 – 40 40 na zaidi
2. Kiwango cha elimu
Cheti Shahada Astashahada
3. Jinsia
Me Ke
4. Hali ya ajira
Mwajiriwa Asiye na ajira Nimejiajiri
5. Hali ya ndoa
Sijaoa/sijaolewa Nimeoa/Nimeolewa Mtalaka

SEHEMU “B”: MASWALI KWA MSHIRIKI


6. Kubaini changamoto zinazo wakumba wananchi kushiriki katika mikutano ya
adhara.
i. Je, umewahi kushiriki kwenye mkutano wa adhara? NDIO HAPANA
ii. Je, ni kwa muda gani umekuwa ukishiriki mikutano ya adhara?
Kipindi Miaka 2- 5 Miaka 5-10 Miaka 10-20 Zaidi ya miaka 20
Weka vema (√ )

“Ahsante kwa ushirikiano wako”


iii. Ni changamoto zipi zinawakumba wananchi katika mikutano ya adhara? Zitaje
…………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………
7. Kuainisha umuhimu wa kushiriki katika mikutano ya adhara
i. Je, kuna umuhimu wowote katika kushiriki mikutano ya adhara?
NDIO HAPANA
Kama NDIO orodhesha sababu angalau tatu(3)
…………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………..
…………………………………………………………………………………………
ii. Je, hali ya kiuchumi inaweza kuathiri ushiriki wa wananchi katika mikutano ya
adhara?
NDIO HAPANA
Toa sababu
……………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………
iii. Kwa ushauri wako, nini kifanyike ili kukabiliana na changamoto zinazowakumba
wananchi katika kushiriki kwenye mikutano ya adhara.
…………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………

“Ahsante kwa ushirikiano wako”

You might also like