Professional Documents
Culture Documents
BEWA LA KAMENGE
SHAHADA YA AWALI, MWAKA WA KWANZA (BAC 1)
MWAKA WA SHULE : 2023-2024
KOZI YA KISWAHILI I : MAZOEZI MWONGOZO
KUNDI A
I. Andikeni kwa tarakimu na maneno : alama 6
1.Mfano wa nambari witiri /alama 2
…………………………………………………………………………………
2.Mfano wa akisami alama 2
…………………………………………………………………………………..
3. Mfano wa asilimia /alama 2
…………………………………………………………………………………..
II. Elezeni istilahi za afya zifuatayo katika lugha ya Kiswahili. / Alama 14
1. Riba :……………………………………………………………………………
2. Mhazini :……………………………………………………………………………………
3. Mjasiriamali :…………………………………………………………………………
4. Akaunti ya hundi :……………………………………………………………………
5. Akaunti ya akiba :……………………………………………………………
6. Akaunti ya amana: ………………………………………………………………………
7. Forodha:…………………………………………………………………………………
8.UVIKO-19 :………………………………………………………………………………..
9.UKIMWI :…………………………………………………………………………………
III. Elezeni majukumu (kazi) ya mtu aliyesoma Kitivo cha Uchumi (au Fedha na Uhasibu).
KUNDI B
I.Badilisheni sentensi zifuatazo katika kauli tajwa kwenye mabano. / Alama 5
1.Ugonjwa wa UVIKO-19(kutibu,wakati uliyopita sana, Ukubali,kauli ya kutendeka )
………………………………………………………………………………………………
2.Mzazi (kitenzi kushiba, wakati mtimilifu, Ukanushi, kauli ya kundesha) watoto.
…………………………………………………………………………………..
3.Wizara ya Afya (kujenga,wakati uliopo,ukubali,kauli ya kutendea) hospitali ya rufaa kila mkoa.
………………………………………………………………………………………………
4.Dawa za saratani (kunywa, ukubali, kauli ya kutendwa) na wagojwa kesho.
………………………………………………………………………………………………
5.Ng’ombe (kuleta,wakati mtimilifu, hali yakinishi, kauli ya kutendewa) vyakula.
KUNDI D
KUNDI F
1.Umeshindaje? Jibu:
…………………………………………………………………………………………………
1.Ng’ombe (kula, wakati uliopita kidogo, hali yakinishi) majani leo hii.
2. Muuguzi (tibu, wakati uliopita sana, hali ya ukubali) vyema mgonjwa wa kipindupindu.
5. Maabara, famasi, taasisi za uuguzi na maradhi ya macho (kuwa, wakati wa sasa, hali ya ukubali)
taasisi za Chuo Kikuu cha Panafricaine les Mages.
3. Mshitiri