KIDATO CHA TATU TAMTHILIA : BEMBEA YA MAISHA (ALAMA 5) “ Sasa tushukuru maana tumeacha maji ya mbizi na kuingia kwenye maji ya mbuzi .” (a) Eleza muktadha wa dondoo hili . (alama 2) ……………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………… (b) Mnenaji wa maneno haya alikabiliwa na changamoto mbalimbali maishani. Thibitisha. (alama 3) ……………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………………………… FASIHI SIMULIZI (ALAMA 5) Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali Maskini mmoja hohehahe alimhifadhi Bi Kizee mmoja kutokana na mvua kuu za masika. Bi Kizee huyu alimshukuru na kumpa kijiwe kidogo. Alimpa masharti ya kukisugua mara tatu ili kujipatiachochote alichotaka . Mkewe alipoelezwa alikuwa na pupa na akakisugua na kuitisha chakula kizuri. Mumewe, alikasirika kwa kutoa “ombi ovyo” lisilokuwa na umuhimu kwao. Katika hasira hiyo akakisugua na kuomba mkewe awe na kichwa cha kuku. Mara akageuka na kuwa na kichwa cha kuku. Hapo mwanamume huyo aligundua kosa lake na kuanza kujuta ; kweli hasira hasara . Sasa alibakia na fursa moja tu ya kujipatia alichotaka. Alianza kuwaza “kwa nini nisingeitisha mali mzomzo tuachane na ukata wetu.” Sasa nimebakiza ombi moja tu – apate mali aliyohitaji mno au arudishe kichwa cha mkewe ! Atachagua lipi? maswali (a) Ainisha hadithi hii. Thibitisha jibu lako. (alama 1) ………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………… ……………………………………………………………………………………… (b)Fafanua manufaa matatu ya kukiendeleza kipera ulichokitaja kwa vizazi vijavyo. (alama 4) ………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………… ………………………………………………………………………………………… …………………………………………………………………………………………