Professional Documents
Culture Documents
3g Kiswahili Pp2 Questions
3g Kiswahili Pp2 Questions
JINA………………………………………………………………………….
NAMBARI YA USAJILI…………………………………………………..
SHULE………………………………………………………………………..
TAREHE ….………………………………………………………………….
SAHIHI YA MTAHINIWA…….…………...................................................
MAAGIZO:
Ukurasa | 1
SEHEMU YA A :UFAHAMU (Alama 15)
Binadamu heshi kuwa na falsafa zinazojiri akilini mwake. Amejichanjia kijisayari chake na
kufikirika mfano wa Mirihi katika falaki yake ya maisha. Ni sayari ndogo ambayo
imejitenga na sayari nyingine kama vile kausi.
Mirihi kuna viumbe mauluti vyenye mitindo ya kustaajabisha. Tofauti na Kausi ambayo
ambako mabinti huwa na urembo wa kiasilia, wanamirihi ni “warembo” mithili ya
walioanguliwa ja vifaranga. Viganja vyao na nyuso zao huwa zimekandwa kwa mafuta ya
zebaki zikawa nyororo japo wengi huwa mithili ya suriama. Wasalaminiapo na Wanakausi
mikwaruzo yao huwachipua ngozi kwa kazi ya sulubu waifanyayo shambani. Fauka ya
uchotara huo, wamefungasha kiasi huku wamejisetiri kwa vijisuruali na vijisketi ambavyo
vimewabana kana kwamba vimeundwa kwa vitambaa vya mikononi na kutafuta misaada
kutoka kwa majirani kuvivua na kuvivaa
Wanakausi waliovalia nguo zinazowafika kwenye visigino, huchushwa mno na hivi vijiguo
vinavyowasetiri hadi kwenye sisemi vilegesambwa, ukipenda magotini, bali kwenye
mapaja. Ni kweli kwamba waso haya wana mji wao. Wanapondatia hasa kwenye hafla za
maziko au arusi katika sayari ya Kausi Wanakausi hujibana pembeni kujionea malimweng
ulimwenguni. Minong’onezo ndio itajaa hewani “ ni yakini Pemba ndiko kwenye nguo na
wenda uchi wapo”
Katika hafla hizo, wale mabinti wazuri wa Mirihi hubeba vibogoshi ambamo mara kwa
mara hutoa vidubwasha vidogo vidogo na kuendelea kujipodoa huku shughuli
zinapoendelea. Pengine huenda umesahau kuwa katika mipango na makadirio ya matumizi
ya hafla hiyo marejeleo yanayokaririwa huwa “…wajua watu wa Mirihi hawapendi…..”
Mabinti wazuri wa Mirihi kila mmoja huwa amejibebea mwavuli na kujizuia mvua au jua
huku amekumbatia maji ya chupa ya kutoka kwenye ya Mirihi.
Wanakausi walalahoi huwa wakikata kiu yao rahisi kutoka kwenye mapipa yaliyojazwa
maji au kwenye mifereji waliyobahatika kuwekewa na wizara ya maji, kwa kutumia viganja
vya mikono. Mabwana wa Mirihi hawana haja na miavuli, wao huwa watu wenye zao.
Huvalia kofia nene zinazoonekana kama somberero. Watembeapo huning’iniza funguo za
magari ya kifahari katika mkono wa kushoto na simu ya rununu katika mkono wa kulia
Ukurasa | 2
Hapa na pale watakuwa wakiwasiliana kwa simu zao na pia kupiga gumzo na maghulumu
wa Kausi ambao kwa kawaida watakuwa wakiwarai Wanamirihi,“Utaniacha hivyo”
Wengine hubaki kusema, “Uenda basi letu likaniacha, tutaonana nikija wikendi.”
Yule wa awali atalala usiku huo usingizi mnono usio na bugudha na kwenye kochi huku
akihimiria kurauka mapema asikutwe na waliolala nyuma ya pazia. Hisia za Mwanakausi
zitamrudisha katika tamthilia ya Wole Soyinka “Masaibu ya ndugu Jero kuwa “vidole vyote
havikuumbwa sawa.” Mirihi ni sayari iliyosheheni watu na viatu, kumbe Kausi ni shamba
la paukwa na pakawa la Edeni. Tafakari haya.
Maswali
Ukurasa | 3
1. Andika anwani mwafaka ya taarifa hii (Alama 2)
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
4. Ni dhahiri kuwa Mirihi ni sayari yenye watu na viatu. Nini maana ya viatu. Je, kuna
viatu hapa? Thibitisha. (Alama 3)
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
Ukurasa | 4
i) Jirafu
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
ii) Vibogoshi
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
Watu wengi hukataa kufanya jambo la halali kwa kuhofia kuitwa wajinga. Mfano mzuri ni
pale ambapo mtu amekosea kidogo katika kutenda jambo; utaona kuwa mtu huyo anaona
ugumu wa kuomba radhi au samahani ati kwa sababu ataonekana mjinga.
Je, ni mara ngapi mkurugenzi ameita mkutano na katika barua yake akatisha kuwaadhibu
watakaochelewa na mwishowe ni yeye mwenyewe anayechelewa? Tena huwa haombi
msamaha. Ataulaumu usingizi uliomchukua, au gari lililomleta.
Waja wengi huogopa kusimama mbele za watu na kuwasilisha au kutenda jambo fulani.
Kisa na maana, mtu hataki kutenda jambo fulani halafu akosee. Hajiamini na anaogopa
kuwa huenda watu wakaona kasoro yake. Lakini kumbuka, kukosa njia ndiko kuijua.
Huenda ikawa watu wanajadili maswala ibuka kama vile ufisadi, kuavya mimba, matumizi
ya dawa za kulevya, ukimwi, uzuiaji wa kizazi na kadhalika... labda huyaungi mkono maoni
ya watu wengine kwa sababu ya imani na maadili yako. Hata hivyo, hutaki kusimama
Ukurasa | 5
ukatoa msimamo wako mbele za watu ingawa dhamiri yako imekwazika. Baadaye utasikika
ukiwalaumu watu wengine ilhali ulikataa kusimama na kutetea msimamo wako.
Wengi wetu hujichukua kuwa watu muhimu sana. Wanaona kuwa sherehe au mkutano
wowote hauwezi kufaulu ikiwa wao hawako. Wanapokuwa kwenye hiyo mikutano wao
hutaka watambuliwe. Hupenda majina yao yatajwe. Haya huwaridhisha , lakini swali ni je,
kuwepo kwao ni muhimu kiasi hicho? Kumbuka kwamba mkutano ungeendelea vizuri bila
kuwepo kwao. Kwa hivyo, tusiwe watu wa kutaka kutambuliwa kila tunapoenda mahali.
Pia, tusilalamike ikiwa hatukuhusishwa katika jambo fulani.
Unaposhuhudia jambo fulani, kama wizi au ajali, usiwe na woga wa kutoa usaidizi kwa
kutoa ushuhuda. Wengine hata huogopa kutoa usaidizi huo, hata kwa manusura wa ajali za
barabarani, eti kwa sababu wanahofia kuitwa mahakamani kutoa ushuhuda. Kuna shida
gani kuenda kusema yale uliyoyashuhudia bila kuongeza au kutoa chochote?
MASWALI
a) Bila kupoteza maana, fupisha aya ya kwanza hadi ya nne.(maneno 60) (alama 7)
Matayarisho:
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
Jibu:
Ukurasa | 6
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………
Matayarisho:
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
Jibu:
Ukurasa | 7
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
Walipigishwa.
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
Ukurasa | 8
Ulimi wa mtundu huwa mrefu.
...................................................................................................................................................
………………………………………………………………………………………………..
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
e) Changanua kwa kutumia mstari / mshale. (alama 4)
Ukurasa | 9
Hakuwa na kalamu nyeupe.
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
g) Andika upya sentensi hii ukifuata maagizo. (alama 2)
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
h) Toa maana mbili za sentensi hii: (alama 2)
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
i) Kwa kutoa mifano katika sentensi, bainisha matumizi ya kibainishi. (alama 2)
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
………………………………………………………………………………………………..
"Mbona unamfanyia karaha mwenzako ? Je, utaenda kumwomba radhi?" Natasha aliuliza.
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
k) Nomino za ngeli ya A - WA zina sifa gani kimuundo? (alama 2)
...................................................................................................................................................
Ukurasa | 10
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
m) Eleza kazi ya kisarufi ya maneno yaliyopigiwa mstari. (alama 2)
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
n) Tunga sentensi kuonyesha matumizi mawili ya 'ndi'. (alama 2)
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
………………………………………………………………………………………………..
………………………………………………………………………………………………...
Ukurasa | 11
p) Bainisha nomino katika sentensi hii:. (alama 3)
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
q) Tumia 'o' rejeshi mazoea kuandika upya sentensi hii: (alama 2)
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
...................................................................................................................................................
4. ISIMU JAMII
Tracey: Niko poa! Hata hivyo naona una yako mengine wewe! Siringi!
Nikobusy tu sana. Plus company yako inatisha, hujui siku hizi
nimechill.Tena umenibore.
………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………
Ukurasa | 12
(i) Kubadili msimbo (alama 1)
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………
Ukurasa | 13