Professional Documents
Culture Documents
UTANGULIZI
Fasihi ni somo ambalo linahusika na maswala mengi ya kijamii. Uelewaji wa
fasihi ni sawa na uelewaji wa mifumo mbalimbali ambayo hutawala jamii.
Mifumo hiyo inahusika na historia na maendeleo ya jamii za kilimwengu kwa
upande wa uchumi, siasa, utamaduni, dini, n.k.
VIFUPISHO
n.k. - na kadhalika
YALIYOMO
Utangulizi…………………………………………………………………… 2
Vifupisho …………………………………………………………………… 3
1.0 Utangulizi…………………………………………………………… 8
1.1.O Malengo…………………………………………………………… . 8
1.7.0 Muhtasari…………………………………………………………. 30
1.8.0 Zoezi………………………………………………………………. 30
2.0 Utangulizi……………………………………………………………… 32
2.1.0 Malengo………………………………………………………………. 32
2.5.2 Nyimbo……………………………………………………………… 50
2.5.3 Semi………………………………………………………………… 53
2.8.0 Muhtasari…………………………………………………………… 61
2.9.0 Zoezi………………………………………………………………… 61
3.0 Utangulizi………………………………………………………….. 63
3.1.0 Malengo…………………………………………………………… 63
3.6.0 Muhtasari…………………………………………………………… 75
4.0 Utangulizi…………………………………………………………… 77
4.1.0 Malengo……………………………………………………………. 77
4.5 .0 Muhtasari…………………………………………………………… 84
4.6 .0 Zoezi……………………………………………………………….. 85
5.0 Utangulizi…………………………………………………………… 86
5.1.0 Malengo…………………………………………………………… . 86
SOMO LA KWANZA
DHANA YA FASIHI
1.0 UTANGULIZI
Somo hili linaeleza dhana ya fasihi. Fasihi ni sanaa. Kwa hivyo, kabla ya
uhakiki wa fasihi.
1.1.0 MALENGO
sanaa:
uimbaji,n.k.
kipawa alichonacho binadamu cha kuunda kitu cha kupendeza. Sanaa ni kila
maumbile, rangi, sura, kimo na mielekeo tofauti tofauti. Huu ni ujumi ambao
kinyume chake, ubaya (kitu cha kuchukiza machoni), inazingatia pia mambo ya
matatu:
Hizi ni sanaa ambazo uzuri wake unajitokeza katika umbo la kudumu linaloweza
uchoraji, uchongaji, kutarizi, ufinyanzi, n.k Matokeo ya sanaa hizi ni vitu kama
kushikika, bali ni katika umbo linalogusa hisia. Sanaa hizi ni kama vile ushairi,
nyimbo, muziki, n.k. ambapo uzuri wake unatokana na kuzisikia kwa masikio.
Sanaa hizi hujitokeza kupitia umbo la vitendo, na ili kupata uzuri wake,
mmoja. Sanaa hizi pia huitwa sanaa za maonyesho kwa sababu lazima wakati
zinapotendeka awepo mtu wa kuonyeshwa, kwani uzuri wake umo katika vitendo
vyenyewe.
chake cha kusanii. Mchoraji ana rangi na vifaa vyake; mpiga zeze ana zeze;
mfinyanzi ana udongo na vifaa vingine; muigizaji ala yake ni yeye mwenyewe,
i) Mtazamo wa kidhanifu
1) Mtazamo wa kidhanifu
ZINGATIA:
ukweli kuhusu mazingira, sayansi imefaulu kuelezea chanzo cha binadamu, jinsi
alivyoanza kufanya kazi, na historia yake yote tangu mwanzo wake hadi sasa.
13
Sanaa ni kazi ya mikono na akili ya binadamu, nayo aghalabu ina umbo dhahiri
Baada ya kuzuka kwa lugha, sanaa ya mwanzo ilifuatia. Sanaa hii haikutokana
zilizofuata mapigo ya zana za kazi. Alitumia zana hizo za kazi kuziimba nyimbo
wakati alipokuwa akifanya kazi. Wimbo wa kazi ukawa ndio sanaa ya mwanzo.
Wimbo huo wa kazi ulimpa binadamu nguvu mpya na ari zaidi ya kuendelea
kufanya kazi. Wimbo ulitoa nguvu za kimiujiza zilizomfanya mtu kusahau uchovu
na kutojali jasho jingi mwilini au jua kali angani. Sanaa hii ilihusika na manufaa
mpya. Kazi zilianza kugawiwa makundi ya watu mbalimbali; kama vile wahunzi,
na ughani wa ushairi. Pole pole, fasihi ikaanza kuzaliwa kama sehemu ya jamii.
Fasihi ni sanaa. Kama sanaa nyingine yoyote, fasihi ni chombo chenye misingi
yake katika ubunifu. Katika ubunifu huu, binadamu hutumia lugha. Kwa hivyo,
kwa msikilizaji au msomaji. Ili lugha hiyo ipendeze, inabidi wakati mwingine
n.k. Fasihi hii huhifadhiwa nyoyoni ingawa siku hizi huwekwa kwenye
wa fasihi huitwa fani. Sehemu hii itaangalia swala la fani na maudhui katika
fasihi.
ZINGATIA:
• Lugha ya mwandishi.
mwandishi.
1.4.1.1 Muundo
Katika kuzingatia maswala hayo, msanii huipatia kazi yake umbo la namna
fulani. Ili kupata umbo hilo, matukio hupangwa kupitia hali ya kuwa na mwanzo,
1.4.1.2 Lugha
Kama tulivyosema, fasihi ni sanaa ya lugha. Lugha ndiyo nyenzo kuu katika
maudhui au ujumbe wake. Jinsi mwandishi alivyotumia lugha yake huathiri kwa
fasihi ili kutia nguvu katika maana, mtindo na hata sauti katika maandishi ama
Katika tamathali hii, watu au vitu viwili au zaidi hulinganishwa na watu au vitu
vingine kwa kutumia maneno k.mf: kama, mithili ya, kana kwamba, mfano wa,
(b) Sitiari
vituu hivyo hulinganishwa kana kwamba viko sawa kabisa. Kwa nfano: Kadenge
Hapa, vitu visivyokuwa na sifa walizo nazo watu au viumbe vyenye uhai, hupewa
sifa hizo. Kwa nfano: Kalamu yangu ilitema wino jana asubuhi.
(d) Taniaba
Katika tamathali hii, jina la mtu binafsi hutumiwa kwa watu wengine wenye tabia,
mienendo, hali au kazi sawa na mtu huyo. Kwa mfano: Kuna malaika wengi
(e) Taashira
hutumika katika kuwakilisha kitu kamili. Mfano ni: Bakari alikuwa na moyo wa
kusaidia.
(f) Majazi
Hii ni aina ya sitiari ambapo jina la mtu, kitu au mahali hufanana na tabia ya mtu
huyo, hali au kazi ya kitu au mahali hapo. Mfano ni mwandishi kumwita mhusika
(g) Lakabu
(h) Tabaini
wa nyuma.
(i) Tashtiti
Tashtiti hutumika pale ambapo swali linaulizwa huku jibu lake linafahamika wazi
wazi. Swali hilo huulizwa ama kwa ajili ya msisitizo tu au kwa nia ya kutoa
mtoni chubwi!
Tamathali hii inahusu utiliaji chumvi kuhusu uwezo wa viumbe, tabia zao na sifa
tabaini na msisitizo bayana. Kwa mfano: Ama kwa kweli, mzee huyo ni tajiri – na
(m) Dhihaka
Hii ni kejeli ambayo ina ubeuzi mkali, jahili unaopenya kweli kweli. Dhihaka
hutoa maneno ambayo kijuujuu ni mazuri lakini yana maana iliyo kinyume ndani
yake. Kwa mfano: Ulipoanza mchezo wa kulala mapema, nilijua utafaulu mtihani
wako.
Hizi ni kauli fupi ambazo hutia vikolezo muhimu katika lugha ya fasihi na
kuufanya ujumbe kuwa mzito. Vipengele hivi huipatia lugha uhai kwa kuifanya
ikaribiane na jinsi inavyotumiwa katika hali halisi. Maana za kauli hizi za lugha
(iii) Msamiati
fasihi.
21
(iv) Taswira
waandishi katika kazi za fasihi. Picha hizi hujengwa kwa matumizi ya lugha au
maelezo fulani ili kuufanya ujumbe kujitokeza kwa msisitizo mkubwa. Tamathali
(v) Taharuki
(vi) Mvutano
Mbinu hii hushirikiana na taharuki ili kutoa hali ya mvutano au mkinzano baina ya
1.4.1.3 Mandhari
Mandhari yana nafasi na umuhimu mkubwa sana katika kazi ya fasihi . Mandhari
1.4.1.4 Mtindo
sura ambayo kifani na kimaudhui, huainisha kazi hiyo. Mtindo kwa hivyo ni
mwandishi wa kazi fulani hata bila kuelezwa au kusoma jina la mwandishi huyo.
jumla yanahusisha:
i) Usimulizi wake
1.4.1.5 Wahusika
mazingira halisi.
majitu, mazimwi, n.k. Wahusika wanaweza pia kuwa vivuli vya mawazoni
maisha alioupata katika uzoefu wake wa kuishi. Hii ni kutokana na kuwa fasihi
akimpunguza au kumzidisha.
(iii) Dhana fulani ya kimaisha k.v. wema, utu, ujahili, ulaghai, uadilifu,
ukaidi,utiifu, n.k.
jini, shetani, dudu, nyama nyama au dude dude bila kuwa na mashiko
mwenywe.
vinahusiana na kuingiliana.
Wahusika wakuu hujitokeza kila mara katika kazi ya fasihi tangu mwanzo hadi
kuliko wahusika wengine. Wahusika hawa mara nyingi huitwa midomo au vipaza
Mhusika mkuu huchorwa kwa mapana na marefu ya maisha na tabia zake ili
kukamilisha ubinafsi wake. Hata hivyo, si lazima kuwe na mhusika mkuu mmoja
Wahusika wa aina hii hujitokeza hapa na pale katika kazi ya fasihi ili
maudhui madogo madogo katika kazi za fasihi hivyo kusaidia kukuza dhamira
wahusika wengine katika kazi ya fasihi hasa kwa upande wa kujenga na kukuza
na tabia. Kwa hivyo, mhusika huyo huaminika na kukubalika katika kipimo cha
kulingana na maisha halisi. Kwa hivyo hawaaminiki katika kigezo cha uhalisia
mambo ya kiajabuajabu.
katika kukidhi haja ya kusisitiza wazo kuu fulani au tabia fulani, hasa juu ya
wafanyiwe hivyo. Wahusika vinyago huchorwa dude dude, nyama nyama, jinga
jinga, n.k.
kusema katika kazi yake. Msomaji atalazimika kusoma kazi hiyo kwa makini na
mwanzo hadi mwisho. Hiyo ndiyo dhamira ya kazi hiyo ya fasihi. Aghalabu
lengo au wazo hilo kuu huweza kutolewa kupitia kichwa au anwani ya kazi
inayohusika.
maudhui.
Fasihi imetumika kama maombi ili binadamu apendeze machoni mwa Mungu au
miungu yake. Lengo la fasihi ya aina hii ni kumfanya binadamu kuwa mwema
Katika Kiswahili, kazi za fasihi ambazo zinaweza kuingia katika kiwango hiki ni
pamoja na Siku ya Watenzi Wote (Shaaban Robert), Al Inkishafi (A. Nassir) and
baina ya binadamu na jamii yake. Fasihi kwa hali hiyo hutoa mafunzo na maadili
katika jamii. Kwa mfano, Kezilahabi katika kazi zake kama vile Kichwa Maji,
azaliwapo. Naye Rocha Chimerah katika riwaya yake ya Nyongo Mkalia Ini
cha mtu binafsi. Maandishi ya aina hiyo husaidia katika kumwinua binadamu ili
Fasihi hufurahisha na vile vile kuwafundisha binadamu binafsi kuwa wazuri zaidi.
Fasihi hukuza hisia za binadamu hivyo kuwa muhimu katika kiwango cha mtu
binafsi. Katika Kiswahili, kuna Maandishi kama vile Maisha Yangu Baada ya
katika mapana na marefu yake kupitia lugha teule ili kugusa hisia za wasomaji.
kazi za fasihi ni lazima yawe na mguso ndipo yaweze kunasa na kuteka hisia za
1.7.0 MUHTASARI:
Katika somo hili, tumetanguliza kozi hii kwa kushughulikia dhana ya fasihi.
Tumeona namna fasihi kama sanaa ya lugha ilivyo na maswala mbalimbali
yanayoijenga. Katika somo hili, maana na asili ya sanaa, ikiwemo fasihi
imetolewa. Hiyo ni pamoja na vigezo na vipengele vinavyojitokeza katika
ufahamu wa fani na maudhui kama matapo makuu ya fasihi. Mwisho, somo hili
limezingatia uhusiano uliopo baina ya fasihi na maisha. Somo linalofuata
linahusu fasihi simulizi kama mojawapo ya aina kuu mbili za fasihi.
1.8.0 ZOEZI:
Africawide Network.
University Press.
Senkoro, F.E.M.K. ( 1982) : Fasihi Dar es Salaam: Press and Publicity Centre.
Focus Books
32
SOMO LA PILI
FASIHI SIMULIZI
2.0 UTANGULIZI
nyoyo ili iweze kupitishwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine. Katika somo hili,
tutaangalia fasihi simulizi kama aina mojawapo ya fasihi. Somo hili litaanza kwa
simulizi na tofauti baina ya fasihi hii na fasihi andishi. Somo hili vile vile
2.1.0 MALENGO
yoyote ‘njema’ ya kutumia akili ila mikono na maguvu yao. Watafiti hawa
wanyonge na walio wengi. Fasihi simulizi ni fasihi kwa hali yake na wala sio
kuandika wanatoa hisia zao na mawazo yao ya ndani kwa kutumia chombo hiki
cha kisanaa. Hata kwa waliosoma, fasihi simulizi inaishia katika shughuli za
utamaduni na uzalishaji mali. Fasihi simulizi inatoa mchango mkubwa sana kwa
Fasihi simulizi inadai ukale zaidi ya fasihi andishi pamoja na haki ya kujiri na
kuendelea kujiri katika jamii zote. Fasihi hiyo huibuka na kuoana na utamaduni
kulinda na kuendeleza amali hizo, na ilizuka katika tanzu zake k.v. ngoma,
Fasihi hiyo imedumu kwa sababu isingaliweza kufa ikiwa ni sehemu ya maisha
Katika historia ya jamii za ulimwengu, fasihi simulizi ilitangulia fasihi andishi. Hii
ni fasihi iliyopokezanwa kwa njia ya mdomo. Nyenzo kuu hapa ilikuwa usemi au
kuhifadhiwa kwa njia mbalimbali k.v. vinasa sauti, kanda za video na kompyuta.
Vile vile ni katika vitabu vingi vilivyokusanya methali, vitendawili, nahau, semi,
yafuatayo:
2.3.1 Kuburudisha
Fasihi simulizi huweza kutumiwa kama burudani. Tanzu kama hadithi, ushairi,
2.3.2 Kuelimisha
Fasihi simulizi ni njia kuu ya kuelimisha hasa katika jamii ambapo mfumo wa
kijamii, historia yao, utamaduni na matamanio yao kutoka kizazi kimoja hadi
Aidha, wanajamii wanaweza kujua historia zao kupitia fasihi simulizi. Maarifa
2.3.4 Kufundisha
jamii yao. Kwa mfano, jamii nyingi zilitumia fasihi hii kama njia ya kuwaelekeza
maongezi, matamshi na uimbaji. Kwa njia hii, fasihi simulizi huchangia katika
Fasihi simulizi si mali ya mtu mmoja bali ni ya jamii nzima. Hadithi husimuliwa
kwa hadhira kubwa na pana. Shughuli hii huhusisha jamii nzima na hukuza
Fasihi simulizi na fasihi andishi zina uhusiano mkubwa sana. Kwa mfano, baadhi
andishi.
2.4.1 Uwasilishaji
2.4.2 Utendaji
2.4.3 Ubunifu
Fasihi simulizi hubuniwa papo kwa hapo na kutolewa hapo hapo. Mtambaji
hubakia vile vile na msomaji hana nafasi ya kuingiza ubunifu wake bila hatari ya
2.4.4 Wakati
Kuna vipindi maalum kwa mfano vya kutegeana vitendawili na vya kusimuliana
hadithi, hasa wakati wa jioni, katika jamii nyingi. Uwasilishaji huu pia hufanyika
kuyapuuza.
39
2.4.6 Vichocheo
kihisia ya mtambaji, miondoko yake, maigizo, ishara, n.k. kama vichocheo vya
hata mwendo wa kazi anayoiwasilisha papo kwa hapo. Katika fasihi hiyo, swala
2.4.7 Hadhira
hushiriki katika kutoa maoni, kuuliza maswali, kucheka, kuimba, n.k. hivyo
kuathiri uwasilishaji. Hadhira ya fasihi andishi haina athari ya moja kwa moja kwa
2.4.8. Umilikaji
wenyewe.
40
2.4.9 Ukale
Fasihi simulizi ina vitanzu vingi vyenye historia ndefu. Fasihi hii imekuwako
tamaduni andishi.
2.4.10 Kuhifadhiwa
2.4.11 Ugiligili
Tanzu za fasihi simulizi zina ugiligili au kuingiliana vikubwa sana. Kwa mfano,
Ni lugha ya kishairi?
Kuna uimbaji?
2.5.1 HADITHI
kihistoria.
42
i) Mianzo
maalum. Kwa mfano, Waswahili hutanguliza hadithi kwa jinsi tofauti tofauti
k.v.
KUMBUKA:
(ii) Kimalizio
Katika jamii nyingi, kuna mtindo maalum wa kumalizia hadithi. Hii ni fomula ya
mwisho au kimalizio.
hapo”.
43
KUMBUKA:
Kimalizio:
• Huashiria mwisho au kumalizika kwa hadithi.
• Huwa kitangulizi cha shughuli inayofuatia utambaji au mwanzo wa utambaji
mwingine.
• Huashiria mtambaji mwingine kuanza hadithi yake.
• Huwapumzisha wasikilizaji au kuituliza hadhira ambayo ilikuwa makini wakati
wa usimulizi.
(iii) Kuelekeza
Wahusika wenye sifa nzuri huangaliwa kama vielelezo bora vya jamii ifaayo.
44
(iv) Kuelimisha
Hadithi hurithisha jamii elimu, thamani na amali muhimu kutoka kizazi kimoja
hadi kingine. Hivyo, hadithi huwa nyenzo muhimu ya kurithishana elimu ya jadi
(v) Kuburudisha
Hadithi nyingi hutambwa majira ya jioni hasa baada ya kazi za kutwa. Usimulizi
(ii) Msuko
(iii) Urudiaji
Hadithi huwa na urudiaji wa vipengele mbalimbali vya muundo k.v. virai, maneno,
sentensi, vifungu, nyimbo, n.k. Kuna pia urudiaji wa mawazo, fikra, maono, n.k.
(iv) Nyimbo
Nyimbo hutumiwa sana katika masimulizi ya hadithi. Nyimbo husisitiza wazo kuu
na kuishirikisha hadhira katika hadithi. Nyimbo pia huongezea uhai katika hadithi
(v) Wahusika
zao.
(vi) Uigizaji
Wasimulizi wakati mwingine hutumia maleba ili kutia uhai katika kisa
Hadithi zinaweza kuwekwa katika makundi makuu mawili yenye vitanzu vidogo
Aina ya pili ya hadithi ni zile za historia. Hadithi hizi huwa na misingi yake katika
kuwa na jicho moja, mguu mmoja, mikono mingi, n.k. Wahusika hawa
wa Waswahili.
47
Hizi ni ngano ambazo hutoa ya asili au chanzo cha jambo au hali fulani kwa
kujaribu kujibu swali: Kwa nini hali fulani ikawa kama ilivyo?
(d) Hekaya
rafiki kwa wengine kwa nia ya kujinufaisha mwenyewe kupitia hila na ujanja.
KUMBUKA:
(e) Hurafa
hurafa.
za aina hii huishia kwa swali ambalo mtambaji huiachia hadhira kulijibu au
kulitafutia ufumbuzi.
Kidaizo - Kisa kifupi chenye mtu au tukio fulani lenye maana ya ziada
maisha ya raha.
(i) Soga
Hadithi hizi hutumika kama njia kuu za kuwajulisha wanajamii historia yao,
(i) Tarihi
(ii) Mighani
ni mfano mzuri.
(iii) Visasili
Kisasili ni hadithi inayoelezea asili au chanzo cha kitu fulani. Hadithi hizi
imani za jamii, asili ya matendo au hali k.v. kifo, asili ya matukio fulani,
(iv) Kumbukumbu
fulani. Sifa zinazohusu wasifu au tawasifu huingia katika tapo hili. Hadithi
(v) Shajara
shajara.
2.5.2 NYIMBO
KUMBUKA:
(a) Kuhifadhi
(b) Utamaduni
katika jamii.
(c) Burudani
(d) Ujumi
(e) Kuhamasisha
(f) Kuelimisha
(g) Fahari
Nyimbo ni kiakisi kizuri cha fahari waliyo nayo wanajamii kuhusiana na mila na
utamaduni wao.
(i) Bembezi
Mifano ni Mwana Huyu Ana Nini na Howa Howa Kibibie katika utamaduni wa
Waswahili.
(ii) Mbolezi
(iii) Wawe
Nyimbo zinazoimbwa kutoa hisia za mapenzi kupitia lugha iliyojaa ufundi, umbuji
na yenye kufurahisha.
(vii) Tendi
mashujaa wa jamii hasa kuzaliwa kwao, kuishi kwao, shida zao, vita na matendo
(viii) Nyiso
(ix) Ngonjera
husema jambo katika ubeti mmoja na mwingine kumjibu katika ubeti mwingine.
(x) Majigambo
54
2.5.3 SEMI
2.5.3.1 Methali
Methali ni misemo inayotumiwa kuelezea kitu kwa njia ya picha na kwa ufupi ili
itoe maadili au maonyo fulani. Methali mara nyingi huwa na sehemu mbili.
KUMBUKA:
mazungumzo ya kawaida
mbalimbali
2.5.3.2 Vitendawili
fani muhimu sana ya kuchemsha bongo ama kuzoesha akili kutumia mantiki na
wakati mwingine huweza kuwa neno moja tu. Vitendawili hujengwa na miigo na
Vinavyoshughulikia uhalisia
56
Vinavyoshughulikia mimea
Vinavyoshughulikia wanyama
na kadhalika
2.5.3.3 Misemo
2.5.3.4 Misimu
2.5.3.5 Nahau
Nahau huwa na matumizi sawa na misemo lakini huwa zimeshika mizizi zaidi
57
katika jamii na hadhira yake ni pana zaidi. Nahau hutumiwa na wasanii wa fasihi
uigizaji bubu.
Katika fasihi simulizi, uigizaji hujumlisha vitengo kama vile michezo (ya watoto),
Utafiti hufanywa kwa nia ya kutalii na kufanya uchambuzi fulani. Kuna haja ya
muhimu hazipotei.
Kila utafiti huwa na hatua ambazo hufuatwa. Hatua hizi humwezesha mtafiti
(a) Maandalizi
Sampuli ni kundi la wahojiwa wanaoteuliwa ili kuwa kiwakilishi cha jamii pana
Kubahatisha
59
Kimfumo
Mtabakisho
Makundi kihatua
Kimakusudi
Makundi
Hojaji
Mahojiano
60
Uchunguzi
Maandishi
Kinasa sauti
Video, n.k.
Katika kuhakikisha kuwa fasihi simulizi imebakia hai na kuwepo katika siku zijazo
tunahitaji:
jamii mbalimbali.
2.8.0 MUHTASARI:
2.9.0 ZOEZI:
E.A.E.P.
SOMO LA TATU
RIWAYA
3.0 UTANGULIZI
Somo hili linahusu riwaya kama utanzu wa fasihi andishi. Riwaya ni utanzu
3.1.0 MALENGO
? Riwaya ni nini.
64
Neno riwaya lina asili ya lugha ya Kiarabu na lina maana ya hadithi au umbo
fulani la hadithi. Katika Kiswahili tumelichukua neno hilo kwa maana ya hadithi
yenye fani na umbo mahususi. Hata hivyo, maana ya riwaya ina utata wake.
ni ipi riwaya na ipi si riwaya. Kutokana na hali hiyo, kuna maana mbalimbali
yanayosimulia hadithi ya kubuni ambayo kwa kawaida huwa ina uzito, upana na
wenye visehemu vingi au wenye migogoro midogo ndani yake na uchoraji (au
uzito na undani kwa kuzingatia mambo mbalimbali, kama vile maudhui, dhamira,
mwandishi wake.
• Urefu
• Mchangamano au Uchangamano
• Upana au mawanda
uandishi. Kwa hivyo, mtindo wa riwaya unapatikana katika jamii yenye ujuzi wa
ZINGATIA:
ukamilifu zaidi.
• Katika riwaya , ploti kuu huwa na viploti au vitushi vya aina aina ambavyo
huwa na visa vingine vingi nje ya kisa kikuu ambavyo husaidia kukuza
KUMBUKA:
Kuzuka kwa riwaya kulifungamana na kuzuka kwa ubepari ambao ulizaa miji na
kwa haraka.
Katika Kiswahli, riwaya ni utanzu mgeni. Umbo hili limekuja pamoja na hati
tulizorithi kutoka kwa mataifa yaliyotutawala. Historia ya fasihi ya Kiswahili
inaelekea kuonyesha kuwa utanzu wa riwaya na ule wa ushairi zilikuwa pamoja
kwa muda mrefu. Mgawanyo umeanza kuonekana baada ya Wajerumani
kufundisha hati za Kirumi. Riwaya za awali za Kiswahili zinaonyesha maendeleo
mazuri katika kukua kwake.
69
Riwaya ya Kiswahili hivi sasa imepiga hatua kubwa kifani na kimaudhui kuliko
kimafumbo. Katika aina hii ya riwaya, mwandishi hutumia majazi mara nyingi
hasa iwapo ujumbe huo unaweza kumletea balaa au kumtia hatarini. Mojawapo
ambaye ni mpelelezi.
Mohamed Said Abdulla (au Bw Msa kama anavyojiita katika riwaya zake).
Abdulla ni Kisima cha Giningi, Mzimu wa Watu wa Kale na Duniani Kuna Watu.
kufinyangwa na mazingira yake. Aina hizi huitwa pia riwaya za kisaikolojia kwani
mwandishi kama ilivyo na riwaya za kimajazi. Mifano ya riwaya hizi katika fasihi
zinalenga ujenzi wa jamii mpya ambamo kila mtu atanufaika na juhudi za jasho
lake. Baadhi ya riwaya za aina hii katika Kiswahili ni Dunia Mti Mkavu na Kiza
Katika Nuru (S.A. Mohamed), Mafuta na Walenisi (K. Mkangi) na Kasri ya Mwinyi
Riwaya hizi pia huitwa riwaya za kifalsafa kwani zinasaili maisha kwa jicho au
mara nyingi. Mfano wa wasifu ni Wasifu wa Siti Binti Saad (S. Robert) na
KUMBUKA:
ZOEZI:
KUMBUKA:
huwa na wahusika wanoingiza wasifu wao, mavazi yao, mchukuo wao, tabia zao
katika sifa na ila zao. Mambo haya yote husaidia katika kupata malengo na
Ujumbe huo hupatikana na jinsi visa na matukio yalivyojengwa hadithini. Hali hii
umoja wake.
74
3.5.3 Usimulizi
hufafanua zaidi tabia na hulka za wahusika hao. Kuna vile vile mjadala au
linalojitosheleza.
3.5.5 Wakati
yake panaweza kuwa na muda unaohusishwa na dakika, saa, siku, miezi, miaka,
mikaka na hata karne. Kigezo cha wakati husaidia kuiweka riwaya katika
3.5.6 Mazingira
vinapotokea. Katika upana wake, inaweza ikachukua dunia, nchi, jiji, mji, kijiji,
3.5.6 Saikolojia
Wahusika na matendo yao huhusu mambo ya akili, roho na hisia zao. Mambo
kuu ya mwandishi.
3.6.0 MUHTASARI:
3.7.0 ZOEZI:
Centre.
SOMO LA NNE
HADITHI FUPI
4.0 UTANGULIZI
Hadithi fupi ni utanzu ulioanza baada ya ushairi na nyimbo katika wakati maalum
somo hili, maana ya hadithi fupi imetolewa. Kisha, kuna sifa za hadithi fupi na
4.1.0 MALENGO
Hadithi fupi inaweza kuelezewa kama hadithi inayojifunga kwa idadi ndogo ya
Hadithi fupi hutofautiana kadri walivyo tofauti waandishi wake. Hata hivyo, kuna
4.3.1 Wakati
4.3.2 Ufupi
wasomaji.
4.3.3 Wahusika
Hadithi fupi huwa na idadi ndogo ya wahusika. Hadithi hizo hujifunga katika tukio
moja tu. Ili kulikuza tukio au tendo hilo, wahusika huwa wachache. Kuwepo kwa
n.k.; wakati ambao mwandishi wa hadithi fupi hana. Wahusika hao hupewa sifa
4.3.4 Mandhari
fupi hutokea mahali pamoja tu. Hayahusishi sehemu nyingi kwa sababu
4.3.5 Usimulizi
Hadithi fupi huwa na usimulizi sahili kwa kuwepo kwa msimulizi mmoja au
yanayotendeka.
4.3.6 Mgogoro
Mgogoro katika hadithi fupi hukuzwa mapema na kwa njia ya wazi. Mvutano
4.3.7 Upeo
Hadithi fupi huanza karibu na upeo wa hadithi. Mwandishi hana nafasi wala
uhuru wa kutoa maelezo ya kujenga matukio hadi kufikia kwenye kilele. Mwisho
4.3.8 Ufunguzi
4.3.9 Mvuto
Msukumo mkubwa katika hadithi fupi uko kwenye jinsi hadithi itakavyokwisha.
4.3.10 Uelekezaji
uelekezaji kuliko uelezaji wa moja kwa moja. Mwandishi huwa na muda mfupi
kwa hivyo inambidi kuacha baadhi ya mambo bila kuyasema wazi wazi.
4.3.11 Usomwaji
Hadithi fupi huweza kusomwa katika kikao kimoja na kwa muda mfupi. Msomaji
4.3.12 Mawazo
ndani.
4.3.13 Ukamilifu
kukamilishwa. Hata kama tunawaona kwa kipindi kifupi, tunahisi kuwa wahusika
4.3.14 Msuko
mfululizo wa moja kwa moja kwanzia mwanzo mpaka mwisho bila kutumia mbinu
82
rejeshi.
4.3.15 Athari
matukio au msuko.
4.3.16 Uhuru
Kwa jumla, tunaweza kusema kuwa sifa muhimu ya hadithi fupi ni ufupi,
riwaya, tamthilia na hata ushairi hutumika pia katika kuchambua hadithi fupi.
4.4.1 Maudhui
kifalsafa.
4.4.2 Fani
katika kuwasilisha maudhui ya kazi yake. Katika hadithi fupi, msomaji anaweza
(i) Muundo
(ii) Lugha
mwandishi huyo alivyotumia lugha yake, huathiri kwa kiasi kikubwa jinsi msomaji
(iii) Mandhari
Mandhari yana nafasi muhimu katika hadithi fupi. Msomaji ajitahidi kuangalia
kama kuna uhusiano baina ya mandhari na vipengele vingine vya utunzi k.v.
(iv) Wahusika
Katika hadithi fupi, wahusika hawana nafasi ya kukuzwa kwa mapana na marefu
maudhui ya hadithi.
(v) Mtindo
mwa mengine. Kupitia vigezo hivyo, msomaji ataweza kuitolea kauli hadithi fupi
anayoichunguza na kuichambua.
4.5 .0 MUHTASARI
4.6.0 ZOEZI:
1. Hadithi fupi ni nini? Tofautisha kati ya hadithi fupi na riwaya kwa upande
wa fani na maudhui.
2. Tunga hadithi fupi ya kurasa mbili au tatu. Angalia kama hadithi yako
imezingatia sifa zote kuu za hadithi fupi zilizojadiliwa.
3. Ni vipengele vipi vinavyomsaidia mhakiki wa hadithi fupi kurahisisha kazi
yake?
4. Kwa nini mkazo mkubwa katika hadithi fupi ni jinsi hadithi hiyo
ilivyomalizika?
5. Fanya utafiti kuhusu sababu zinazotinga kuendelea na kustawi kwa
utanzu wa hadithi fupi ikilinganishwa na tanzu zingine katika fasihi ya
Kiswahili.
SOMO LA TANO
TAMTHILIA
5.0 UTANGULIZI
ujumbe wake. Somo hili linachunguza utanzu huu. Katika somo hili, maana na
tamthilia.
5.1.0 MALENGO
cha pili, cha tatu, n.k. na kila kitendo kikawa na maonyesho yake k.v. onyesho la
tamthilia fulani. Kama sanaa ya utendaji, kwa hivyo, suala la uigizaji na utendaji
wowote wa tamthilia.
88
Uchina pia kulizuka drama iliyoambatana na sherehe za kidini na vile vile Misri
Katika Afrika, hali kama hiyo inajidhihirisha. Dhana ya sanaa za maigizo na hata
wakoloni hapa Afrika. Matambiko katika jamii mbalimbali yalizaa aina ya utendaji
kujiliwaza.
miji mikubwa k.v. Nairobi, Mombasa, Dar es Salaam na Kampala katika kumbi
zilizoitwa ‘little theatres’ kwa kutoa burudani kwa wakoloni. Michezo ya awali
Amekufa’ (The Lord is Dead) na ‘Wanawake Wenye Akili’ (Intelligent Girls). Huu
sanaa hizo. Ngoma na maigizo hayo yakaanza mashuleni ili yaonyeshwe kwa
ya Kiswahili.
Michezo hiyo iliendelea mashuleni hadi mwaka wa 1963 ambapo msaada kutoka
Katika kipindi cha ukoloni hasa kuanzia miaka ya arobaini na kuendelea, nje na
kuanza kuucheka ujinga wa Mwafrika mwenzake. Hata hivyo, juhudi zote hizo
91
mbalimbali k.v. falsafa, dini, siasa, utamaduni, kasumba, matatizo ya jamii, n.k.
Tamthilia zingine zilitafsiriwa kutoka lugha za kigeni, hasa Kiingereza k.mf Juliasi
kusoma na kuelewa tamthilia vizuri. Tamthilia ni za aina kadha. Kila aina ina
5.4.1 Tanzia
maisha ya binadamu. Katika tamthilia za aina hii, mhusika mkuu hupewa sifa
anashindwa.
wa kweli. Msuko wa tamthilia hiyo hukita kwenye wazo moja bila kuingilia viploti
vingine vidogo vidogo. Mbinu hizi huelekeza hadhira katika kukubali kwamba
mwingine hufa au kuuawa, lakini kifo chake si kama cha ajali barabarani. Ni kifo
hayo.
Mugo), Kinjeketile (E. Hussein), Pungwa (S.A. Mohamed) na Kilio cha Haki (A.
Mazrui).
5.4.2 Futuhi
huo hauna undani na uzito kama ule unaojitokeza katika tanzia. Kwa sababu hii,
majaaliwa ya wahusika wa futuhi huiathiri hadhira kihisia kwa kiwango cha chini
5.4.3 Melodrama
5.4.4 Kichekesho
kawaida k.v. wahusika wasio wa kike kuvaa mavazi ya kike na wale wa kike
5.4.5 Tanzia-ramsa
Mulokozi).
Tamthilia tatizo huzungumzia swala fulani katika jamii. Tamthilia hizi pia huitwa
tamthilia tasnifu na kuna mifano mingi katika fasihi ya Kiswahili k.v. Mnara
n.k.
95
na pale. Tamthilia huchukua muda mfupi lakini inahusu matukio ya muda mrefu
zaidi k.v. siku, majuma, miezi au hata miaka. Tamthilia ni lazima ionyeshe mpito
wa wakati.
5.5.3 Uigizaji
wazi. Kwa njia hii, tamaa ya msomaji huwa kubwa sana na hutaka kuendelea
kusoma.
KUMBUKA:
Katika tamthilia:
• Matendo ya wahusika hudhihirika kupitia utendaji wa jukwaani.
• Mgogoro katika tendo huanza pale wahusika wanapata hamu fulani lakini
pana kizuizi.
• Udhati wa tendo hutegemea udhabiti wa wahusika
(i) Ufunguzi
(ii) Upeo
Upeo ni kilele cha tendo katika tamthilia. Upeo unaofaa huanza kutosheleza
(iii) Mgeuko
Mgeuko hutokea pale tendo fulani kuu huelekea upande mmoja kisha ghafla
(iv) Ufumbuzi
KUMBUKA:
(v) Mpomoko
5.5.5. Mazungumzo
Kwa jumla, mazungumzo ndiyo njia kuu ya kuendeleza hadithi iliyopo katika
tamthilia kwani mwandishi hana uhuru wa kutumia mbinu za usimulizi kama ilivyo
na tanzu za nathari.
Haya ni maelezo ambayo huandikwa kwa mabano katika tamthilia kwa hati ya
5.5.7 Mandhari
(i) Maleba
yao. Ukubwa au upana wa eneo hili ni muhimu katika kutoa athari ya tamthilia
na kuupitisha ujumbe.
(iii) Mwangaza
tendo kuu. Kwa mfano, taa nyekundu huonyesha hatari, giza kuonyesha uovu,
au matumaini.
5.5.8 Wahusika
mazungumzo.
hadithi fupi huweza kutumiwa katika kuhakiki tamthilia. Hata hivyo, kuna sifa
tamthilia.
mbinu za uandishi.
101
muhimu.
kutiririsha tamthilia.
wake.
5.7.0 MUHTASARI:
5.8.0 ZOEZI
Publications Ndanda.
Nairobi: J.K.F.
SOMO LA SITA
USHAIRI
6.0 UTANGULIZI
hufuata ufundi maalum katika utunzi wake. Katika somo hili, tunaangalia ushairi
kwa kutoa maelezo ya dhana ya ushairi na historia yake. Tumetoa pia sifa na
6.1.0 MALENGO
maisha ya jamii. Utungo huo unaweza ukafuata kanuni fulani za utunzi (arudhi)
Shairi huwa na urari wa mizani kamili yenye lugha isiyokuwa na kashfa au matusi
maana iliyo bora yenye ufundisho ndani yake, furahisho, mvuto wa maarifa na
utungo ambao katika kila ubeti wake kuna ulinganifu wa vina vitukufu
laini, lugha ambayo ni tetelezi kwa ulimi na kwa kuitamka, lugha ambayo
ina uzito wa fikra, tamu kwa mdomo wa kuisema, tumbuizi kwa masikio ya
Chanzo cha ushairi ni nyimbo ambazo ziliimbwa katika magoma ya harusi, katika
(i) Tenzi
Utenzi ni utungo ambao kimaudhui huwa unaeleza tukio fulani linalotukia katika
jamii au lililowahi kutokea. Tendi huweza kuwa maelezo ya wasifu wa mtu fulani,
jambo fulani la kihistoria au jambo lolote zito linaloelezwa kwa maelezo marefu.
Tenzi huwa na beti nyingi kuliko mashairi na huweza kuwa na beti kama 200,
300, 400 au zaidi kutegemea ufundi wa mwandishi au mtunzi. Tenzi kwa hivyo
(ii) Mashairi
Shairi ni utungo ambao umenuia kueleza kwa ufupi mambo fulani kuhusu
na maisha yake ya kila siku. Tungo hizi huwa za aina nyingi kutegemea dhamira
majigambo, n.k.
Katika mtindo pindu, silabi mbili za mwisho wa msitari (au kina cha kati)
Msisitizo wima ni ile hali ya kuwa na neno moja (au mawili) likitokea
kwa namna fulani bali unatia shadda au mkazo maalum katika shairi husika.
Mtindo huu hutumia kibwagizo au kiitikio kama kiini cha habari katika shairi.
Mtindo huu hufuata utaratibu ambapo ubeti wa kwanza huwa na kina cha kati na
kuwa na hali ya kubadilishana vina vya kati kutoka ubeti hadi ubeti ilhali vina vya
mwisho katika kila ubeti hubakia vile vile. Ama tukawa na mtindo unaoruhusu
mwenyewe.
(i) Tarbia
tarbia, kila ubeti wa shairi huwa na mistari minne na kila msitari kuwa na mizani
kumi na sita. Kila msitari huwa na vipande viwili yenye mizani nane kila kipande.
(ii) Tathnia
Katika tathnia, ubeti huwa na mistari miwili. Muundo huu hutumika zaidi katika
(iii) Tathlitha
Muundo wa tathlitha huwa na mashairi ambapo beti huwa na mistari mitatu kila
moja.
(iii) Takhmisa
Takhmisa ni muundo wa shairi ambapo kila ubeti huwa na mistari mitano mitano.
(v) Sabilia
Kuna sifa za mashairi ambazo husaidia katika kuelewa utanzu huu. Kupitia sifa
6.4.1. Toni
Mshairi hutumia maneno kueleza mawazo fulani kuhusu maisha. Kwa hivyo,
6.4.2 Msamiati
wake pamoja na athari za ujumbe huo kwa wasomaji wake. Mshairi anaweza
lake. Hali hii husababisha neno fulani kuwa na maana zaidi ya moja na ndiyo
KUMBUKA:
msomaji za kuona, kugusa, kunusa, kuonja, kwenda, kuhisi joto, n.k. Mshairi
hatumii taswira au jazanda za kila siku ambazo zimechakaa bali huunda mpya
zenye mnato.
6.4.5. Kibwagizo
Huu ni msitari wa mwisho ambao mara nyingi huwa wa namna moja katika beti
zote za shairi. Mpangilio wa vina katika kibwagizo wakati mwingine huwa tofauti
6.4.6 Urari
6.4.7 Muwala
pengine kuondoa ubeti fulani bila kuharibu habari na dhamira kuu ya shairi.
6.4.8 Utoshelezo
Katika ushairi, ni muhimu kwa kila ubeti kuweza kujitosheleza kikamilifu kwa
6.4.9 Umaana
Shairi zuri ni lile ambalo ukilisoma utafahamu kitu fulani. Shairi bila maana
litakuwa upuuzi mtupu. Shairi la Kiswahili sio tu lifuate kanuni za utunzi bali ni
habari nyingi katika shairi moja au ubeti mmoja au kuweka maneno katika
6.4.10 Kunga
Kunga ni siri ya shairi au kulihifadhi lisiwe wazi sana. Kunga ni kutumia maneno
ambayo si matusi, wala kashfa; fumbo lifumbe, ili wenzio walifumbue, lisiwe
6.4.11 Urudiaji
vya sauti, neno, msitari au hata ubeti, hasa katika tungo ndefu. Kuna urudiaji wa
(i) Takriri
huweza kupatikana katika ngazi za vina, mizani, sauti, neno, msitari, kifungu, n.k.
(ii) Usambamba
(iii) Unyambuaji
KUMBUKA:
Unaweza kuwa na shairi ambalo halina anwani au jina; bora limefuata kanuni
Shairi kama hilo, huwa ni kama hadithi bila kichwa. Kwa hivyo, ni muhimu kwa
Shairi huwa na dhamira moja. Kuchanganya dhamira mbili au tatu katika shairi
kuzipatia jina moja. Shairi hubeba dhamira moja mwanzo hadi mwisho ndipo
lipendeze kwa msomaji. Shairi halitakiwi kuwa na beti nyingi. Shairi kama
limejadili dhamira yake kikamilifu, linatakiwa kukoma pale la sivyo, kuna hatari
Hili ni lengo la mshairi katika kutunga shairi lake. Dhamira hujitokeza kwa wazo
kuu ambalo hukuzwa katika shairi kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Katika
kuliendeleza wazo hili kuu, masuala mengine mengi huibuka. Haya ndiyo
(i) Ujumbe
114
(ii) Falsafa
Falsafa ni fikra kuu ya mtunzi katika shairi. Fikra hizo hutokana na imani na
kuu.
KUMBUKA:
6.6.0 MUHTASARI
Somo hili ni la mwisho katika kozi hii. Katika somo hili, tumeona maana
na vipengele mbalimbali vya utanzu wa ushairi. Historia fupi ya ushairi na aina
zake, pamoja na viungo mbalimbali vimehulutiwa kutegemea vipimo vya mizani,
vina na mishororo. Somo hili pia limeangazia jinsi mbalimbali zinazoweza
kutumika katika uchambuzi na uhakiki wa ushairi. Mambo zaidi kuhusiana na
taaluma ya ushairi yatashughulikiwa katika kozi maalum zinazohusiana na
utanzu huu.
6.7.0 ZOEZI
Bertoncini, E.Z. (1989): Outline of Swahili Literature: Prose, Fiction and Drama
Leiden: E.J. Brill
Mazrui, A.M. & Syambo, B.K. (1992): Uchambuzi wa Fasihi Nairobi: E.A.E.P.
117
Nandwa, J. & Bukenya, A. (1983): Oral Literature for Schools Nairobi: Longhorn
Publishers.
Senkoro, F.E.M.K. (1982): Fasihi Dar es Salaam: Press and Publicity Centre
______ (1987): Fasihi na Jamii Dar es Salaam: Press and Publicity Centre
_______ (2003): Kichocheo cha Fasihi: Simulizi na Andishi Nairobi: Focus Books