Professional Documents
Culture Documents
YALIYOMO
MHADHARIA WA KWANZA......................................................................................................1
NADHARIA ZA UHAKIKI WA FASIHI..................................................................................1
MHADHARA WA PILI................................................................................................................12
URASIMI MKONGWE WA KIMAGHARIBI........................................................................12
MHADHARA WA TATU............................................................................................................19
URASIMI MKONGWE WA WASWAHILI............................................................................19
MHADHARA WA NNE...............................................................................................................22
URASIMI MPYA WA KIMAGHARIBI..................................................................................22
MHADHARA WA TANO............................................................................................................30
URASIMI MPYA KATIKA FASIHI YA KISWAHILI...........................................................30
MHADHARA WA SITA..............................................................................................................37
UHALISIA.................................................................................................................................37
MHADHARA WA SABA............................................................................................................40
UHALISIA WA KIJAMAA – USULI......................................................................................40
MHADHARA WA NANE............................................................................................................47
UDHANAISHI/UTAMAUSHI.................................................................................................47
MHADHARA WA TISA..............................................................................................................55
UFEMINISTI.............................................................................................................................55
MHADHARA WA KUMI............................................................................................................60
NADHARIA ZINAZOHUSIANA NA MTINDO WA FASIHI...............................................60
MHADHARA WA KUMI NA MOJA..........................................................................................70
UJENGUZI, USEMEZANO NA UHALISIAJABU.................................................................70
MHADHARA WA KUMI NA MBILI.........................................................................................73
UJUMI-MWEUSI......................................................................................................................73
MHADHARIA WA KWANZA
(c) Kuorodhesha vigezo vya kuainisha nadharia bora na kutoa mifano ya nadharia mwafaka.
Mwongozo huu umekusudia kumwongoza mshiriki kuzichanganua kazi za fasihi kwa njia ya
kitaalamu. Huu ni mwongozo tu. Mshiriki anatazamiwa kurejelea vitabu vingi na tahakiki nyingi
ili aweze kumudu uhakiki wenye manufaa. Natumaini kwamba mwongozo huu utakujulisha
Utangulizi
Katika maongozo huu, tunanuia kuzungumzia jinsi inavyofaa ya kusoma kazi ya fasihi.
Unapochukua riwaya, tamthilia au shairi na kuiweka mbele yako, huwa unafikiri nini kabla ya
kuanza kusoma? Je, usomaji wako huongozwa au huelekezwa na nini? Pengine umesikia hadithi
ya kaka sungura ikisimuliwa au ikitambwa. Au pending umeisoma katika kitabu fulani. Je, ni
mwongozo fulani.
1
2.0 Nadharia
fasihi kuifahamu kazi ya fasihi katika vipengele vyake vyote. Nadharia ni maelezo ya jambo
Hii ina maana gani? Ina maana kwamba nadharia inaweza kutokana na mawazo yaliyoundwa
kitambo na jopo la wataalamu au inaweza kutokana na usomaji makini wa kazi ya fasihi na mtu
binafsi. Katika hii hali ya pili pengine msomaji hana marejeleo maalumu yatakayomsaidia
kusoma kazi ya fasihi. Hivyo basi anapaswa kujitafutia vipimo vitakavyomwezesha kuisoma
kazi ya fasihi kwa utaratibu maalumu na kuainisha iwapo kazi hiyo imefaulu au haijafaulu. Kuna
nadharia nyingi kwa kuwa kila linalofanywa na mtu lina chembe za nadharia zinazoliongoza.
3.0 Uhakiki
Uhakiki ni kazi au kitendo cha kutafakari, kuchambua na kufafanua kazi ya fasihi ili kuweka
bayana maadili na ujumbe uliomo katika kazi ya fasihi. Hivyo mhakiki sharti asome kazi ya
fasihi andishi au kusikiliza masimulizi ya fasihi simulizi kwa makini ili aweze kuyahakiki.
Sababu za kuihakiki kazi ya fasihi ni nyingi. Moja kati ya sababu hizi ni kuifanya kazi
mshawasha wa kuisoma kazi ya fasihi upya. Katika uhakiki, mhakiki humfanya msomaji
2
mshiriki wake, akamkumbusha kutilia maanani baadhi ya mambo ambayo pengine hangetilia
maanani. Pamoja na haya uhakiki humsaidia mwandishi katika utunzi wa kazi zinazofuata zile
mhakiki. Au pengine kutokana na uhakiki, mwandishi atatilia mkazo zaidi mawazo fulani ya
kazi yake. Baada ya kuihakiki kazi fulani, mhakiki anaweza kuchambuliwa na mhakiki
mazungumzo kati ya wahakiki tofauti tofauti, wasomaji wanaweza kufaidika zaidi. Shabaha
muhimu zaidi ya uhakiki ni kutoa uamuzi. Uamuzi hulenga kuonyesha iwapo kazi fulani
imefanikiwa au haijafanikiwa.
Kumbuka kwamba wasomaji wawili au zaidi wanaweza kusoma kitabu kimoja na wakatoa
uamuzi tofauti. Jambo hili litategemea udhibiti wao wa nadharia na tajriba zao kama wasomaji
(a) Uhakiki sadifa: Huu ni uhakiki unaotokea bila sababu maalumu. Kwa mfano unaweza
(b) Marejeleo na bibliografia: Ni namna ya uhakiki wenye lengo la kuineza kazi fulani ya
fasihi. Kazi ambazo hazijulikani katika aina hii ya uhakiki hutangazwa na kujulikana.
(c) Uhariri: Ni uhakiki unaofanyiwa kitabu kabla ya kitabu hicho kuchapishwa. Katika
uhakiki wa aina hii, kitabu huweza kusahihishwa endapo kina makosa, mhariri hutoa
3
maoni yake, uzito na upungufu wa kazi inayoshughulikiwa. Baada ya kiwango hiki cha
(d) Mapito: Haya hufanyiwa aghalabu kitabu kilichochapishwa hivi karibuni. Mapitio
(e) Ufundishaji: Unahusu ufafanuzi wa vitabu vya fasihi au masimulizi ya kifasihi. Uhakiki
kwamba:
mtihani.
waandishi au wahakiki.
(f) Propaganda: Katika fasihi huu ni uhakiki unaosambaza malengo yasiyohusiana moja kwa
nyinginezo zisizojulikana.
(g) Upigaji marufuku: Ni uhakiki ambao hukusudia kupiga marufuku baadhi ya maandishi
maalumu. Uhakiki wa aina hii huitathmini kazi ya fasihi kivyake na katika muktadha
4
Taja aina mbalimbali za uhakiki na uonyeshe jinsi zinavyoweza kumfaa msomaji wa
kazi ya fasihi
kazi ile kwa mujibu wa vigezo vilivyowekwa au vinavyozalika kutokana na uchunguzi wa aina
yanayomsaidia msomaji au mhakiki kuifahamu kazi ya fasihi kwa kufuata utaratibu maalumu.
mwongozo maalumu. Wapinzani hao wanadai kwamba badala ya kuitumia nadharia kuifafanua
kazi ya fasihi, msomaji anapaswa kukabiliana na kazi ya fasihi moja kwa moja kwa kuitumia
silika yake mwenyewe. Juu ya haya msomaji anayetumia silika yake atafaidika zaidi kwa kuwa
Ukweli ni kwamba hakuna msomaji asiyekuwa na matarajio fulani kuhusu kazi anayosoma au
Lugha ni chombo muhimu kinachosheheni utamaduni wa mtu. Nao utamaduni ni jumla ya kadia
zote anazofanya mtu katika maisha yake. Utamaduni unahisisha historia na matambiko
5
Utamaduni ni mila, asili, jadi na desturi za kundi la jamii fulani. Ni mila, asili na jadi za kundi
Kwa nini kitendo cha kusoma hakiepuki kitendo cha uhakiki? Eleza maana ya utamaduni.
Kwa sababu mtu hukulia katika muktadha wa kibinadamu, huwa kitambo amejikusanyia zana
fasihi humzindua mtu akajua kwamba usomaji mzuri hufanywa katika mipaka inayofahamika
maalumu inayomsaidia msomaji ili afaidike zaidi kutokana na kitendo cha kusoma. Nadharia za
uhakiki wa fasihi hulufanya tendo la uhakiki kuwa ni la makusudi kwa kuwa msomaji
(a) Nadharia asilia: Hii ni nadharia isiyotokana na nadharia nyingine yoyote. Nadharia asilia
maalumu za fasihi.
(b) Nadharia nyambuaji – ni nadharia iliyokuwepohapo awali. Kwa hivyo nadharia ya aina hii
6
kimagharibi ni uigo na ufuasi wa sheria. Urasimi-mpya ni kimelea cha urasimi mkongwe.
(c) Nadharia changamano – ni nadharia ambayo imeundwa kutokana na nadharia mbili au zaidi.
Kuna nadharia inayoitwa uhalisia. Pia, kuna mfumo wa kuzalisha mali ambao unaitwa
jamii katika uyakinifu wake. Nao ujamaa ni mfumo unaolenga kuwasawazisha walimwengu
wote kwa vile ambavyo wanapaswa kuwa na mahusiano sawa na njia za kuzalisha mali.
Yaani wanadamu wote wanapaswa katika mfumo huu kuwa katika tabaka moja kiuchumi.
cha nadharia nyambuaji. Hatimaye nadharia changamano inajumuisha zaidi ya nadharia moja
ambayo historia yake hailingani. Mfano mzuri wa nadharia changamano ni uhalisia wa kijamaa
na ufeministi wa kidhanaishi.
Pamoja na kwamba kuna aina tatu za kuzalisha nadharia, si lazima kila nadharia inayoundwa iwe
7
(a) Nadharia bora inapaswa kutokana na majaribio mengi na uchunguzi mwingi. Nadharia
ngano nyingi, ikiwa shughuli la utafiti linahusiana na utanzu huo wa fasihi simulizi.
(b) Nadharia nzuri pia ina sifa ya umfumo. Mfumo ni mpangilio ambao una vipengele
(c) Ubora wa nadharia unatokana na jinsi ianvyoelezwa. Ikiwa nadharia haiwezi kuelezwa
kwa ufasaha, basi hiyo si nadharia mwafaka. Nadharia inayoelezwa kwa ufasaha
(d) Swali jingine ambalo huulizwa katika kuiteua nadharia bora ni: Je, hii nadharia ina
manufaa kwa muundaji wake? Nadharia nzuri ni ile ambayo muundaji wake una imani
kwamba ina thamani kwa watumiaji wake. Pia nadharia nzuri inapaswa kuwa na manufaa
kubadilika huko.
changamano.
(a) Nadharia inaweza kuchukuliwa kama mwongozo unaomsaidia msomaji kuifahamu kazi ya
fasihi vizuri zaidi. Mwongozo mzuri ni ule unaomfafanulia msomaji maeneo mbalimbali ya
8
wa Riwaya na Mwongozo wa Mui Huwa Mwema kinaorodhesha baadhi ya vipengele
(b) Nadharia inaweza kujibainisha kama sheria za kutunga na kuhakiki kazi za fasihi. Ars
Poetica cha Horace ni mfano mzuri wa italiki nadharia zinazojidhihirisha kama sheria. Lau
sheria hizo hazifuatwi, waitifaki wake watachukulia kwamba kazi ya sanaa haijafanikiwa.
(c) Dhima nyingine ya nadharia huonekana pale ambapo nadharia huwa mkakati wa kusoma.
Dhima hii ya nadharia inasisitiza mitazamo maalumu inayosisitizwa katika nadharia fulani
na ambayo inaweza kuajiriwa kusoma na kutathmini kazi za sanaa. Katika miaka ya sabini
(d) Baadhi ya nadharia husisitiza ujarabati katika kuisoma kazi ya sanaa. Ujarabati ni ufafanuzi
fikra na mishipa ya fahamu. Nadharia kama umaumbo itanuia kuonyesha sifa za kazi za
(e) Tulipokuwa tukizungumzia nadharia mwafaka, tulitaja kwamba nadharia bora ile
usomaji wa kimfumo. Nadharia ni kama njia ya kusoma inayozingatia kazi ya fasihi katika
vipengele vyake vyote. Miongozo mingi ya fasihi imeandikwa kwa kufuata nadharia hii.
(f) Hatimaye, nadharia wakati mwingine huchukuliwa kuwa usemaji unaolenga kuwawezesha
9
Wananadharia wengi wa wakati wetu wakiwemo Edward Said na Michel Foucault wanafikiria
kwamba njia teule za usemaji zimeumbwa ile zitumiwe kuutawala ulimwengu. Kama ambavyo
watawala wa kisiasa hujiteua katika matabaka maalumu, njia za kuuzungumzia ulimwengu pia
Nadharia kama ambavyo zilivyo amali nyingine za kijamii ni zao la utamaduni na historia ya
uhakiki yanapiku muktadha maalumu wa kihistoria. Ingawa nadharia nyingi ni zao la muktadha,
kwa baadhi ya nadharia kunthibitisha kuwa endapo maswala yanayoshabihiana yatazuka katika
Marejeleo
10
Keesey, Donald. Contexts for Criticism. London: Toronto, 2003
Mazrui, Al. Amin. Uchambuzi wa Riwaya. Mwongozo wa Mui Huwa Mwema. Nairobi.
Longman, 1981.
2007.
MHADHARA WA PILI
(a) Kufafanua maana na sifa za urasimi kwa ujumla na kutambua kwamba kila jamii ina
urasimi wake.
(b) Kuainisha warasimi wakongwe wa kimagharibi, kueleza mawazo yao kuhusu fasihi, na
Urasimi ni wakati maalumu ambapo misingi ya kazi za sanaa huwekwa na kukubalika kuwa
vipimo bora kwa kazi nyingine. Hii ina maana kwamba kila jamii ina urasimi wake. Urasimi
katika fasihi ya Kiswahili ulikuwepo kati ya karne ya nne (K.K) na takribani karne ya nne (B.K).
11
Ni jambo la kusikitisha kwamba mara nyingi wasomi wanapozungumzia urasimi, huwa na
uthibati za kutosha kutoka katika jamii nyinginezo umetufanya kurejelea urasimi wa kimagharibi
(i) Kazi ya kirasimi huwasilishwa katika lugha inayoeleweka kwa urahisi. Hii ina maana
kwamba wazo linaelezwa moja kwa moja. Mitindo ya kinjozi haitumiwi. Uhalisia
unasisitizwa.
(ii) Kwa kuwa kazi ya kirasimi ni mfano bora, haichoshi kusoma. Husomwa mara nyingi na
kila inaposomwa jambo jipya hupatikana mle. Umberto Eco katika kitabu chake What is
a Classic? ameasema kiutani kwamba kazi ya kirasimi huwa imesomwa na wote. Na hata
yule ambaye hajaisoma atajitia kaisoma, kwamba amesome. Huu unafiki watokana na
(iii) Maudhui na mtindo katika kazi ya kirasimi ni mambo yaliyofinyangwa kwa kutumia
Haiwezekani kuyaanisha.
12
Ni kupotosha ukweli kufikiria kwamba urasimi ulianzia Ugiriki au Uroma. Kila jamii ina
urasimi wake. Hata hivyo, kwa sababu ya ukosefu wa rekodi za kutosha kutoka jamii
nyinginezo, wataalamu wengi hurejelea urasimi wa Ugiriki na Kiroma kufahamu sifa za urasimi
wa jamii nyinginezo.
Plato alikuwa mwanafilosofia wa Kigiriki. Aliishi kati ya mwaka 428 na mwaka 348 kabla ya
Yesu Kristo kuzaliwa. Plato alikuwa na hoja mbili kuu kuhusu chanzo cha fasihi na sifa za fasihi.
Chanzo cha fasihi, Plato anasema ni jadhba inayotokana na miungu wa sanaa. Jadhba au jazba ni
aina ya pepo linalomwingia nabii kabla hajaanza kubashiri au kuagua yale yatakayotokea
baadaye. Vivyo hivyo Plato anashikilia kwamba mwanasanaa hupangdwa na jaziba kabla ya
Kuhusu sifa kuu ya fasihi, Plato, anasema kwamba fasihi ni uigaji wa mazingira na hali
nyinginezo anamopatikana binadamu. imani ya Plato inatokana na nadharia yake kuhusu jinsi
ujuzi na mawazo huzaliwa. Kwake Plato vitu vyote vilivyomo humu duniani ni taswira hafifu ya
vitu hivyo kama vianvyobainika katika ulimwengu dhahania, ambao ndio ulimwengu halisi wa
kiplato. Ulimwengu huu ndio yakini kwa mujibu wa maelezo ya Plato. Kutokana na maelezo ya
13
Pamoja na kusema kwamba uigaji si yakini, Plato anasisistiza kwamba huo uigaji hupotosha
maadili. Wahusika katika sanaa ya uigaji hubadilishana nyadhifa pasina kujali viwango vya
uadilifu vya viumbe vinavyoigizwa. Kutokana na imani hii, Plato anaipigia marufuku fasihi.
Hata hivyo baadaye anasema kwamba iwapo kutaundwa kamati ya majaji wazee watakaoichuja
fasihi kuainisha ile inayofaa kusomwa au kusikilizwa na wanajamii wa Jamhuri yake dhahania,
(iii) Lengo kuu la fasihi ni kuadili na isippfanya kazi hii ya kuadili, inaweza kupigwa
marufuku.
Eleza misingi ya ujuzi wa Plato. Je, msingi huu inaathiriaje ufafanuzi wake wa fasihi?
Marejeleo
Plato, ‘Kitabu cha Kumi’, The Republic, New York: Barnes & Noble, Inc. 1999.
Rajan, B & A. G. George (Wahariri): Makers of Literary Criticism Vol. 1 London: Asia
ARISTOTLE
Alikuwa mwanafunzi wa Plato. Ingawa hakuna ushahidi kwamba Atistotle alinuia kumpinga au
kumjibu Plato moja kwa moja, mawazo na mapendekezo yake yanadhihirisha kwamba
14
alifahamikiwa na fikra za mwalimu wake. Aristotle anayarejelea maswala yayo hayo
yaliyomzunguka mtu. Hata hivyo, hali hii ya kuiga ndio huifanya fasihi kutukuka. Aristotle
anasisitiza kwamba fasihi haigi kikasuku: kinyume na haya fasihi huiga kiubunifu kwa
kuzingatia mambo yanayoathiri maisha ya binadamu. fasihi humtukuza mwanadamu, sifa zake
Aristotle alitumia ujuzi wa mwanasayansi asili kufikia maamuzi yake. Mwanasayansi asili
hutumia mishipa yake ya fahamu kufanya majaribio na kufikia uamuzi kuhusu kadhia
mbalimbali anazochunguza. Aristotle anaanza ziara yake kwa kutambua orodha ya tanzu za
fasihi zinazopatikana katika ujirani wake. Baadhi ya tanzu za fasihi anazotambua ni nyimbo
ambazo hughaniwa pamoja na ala za muziki kama zeze au kinibi, futuhi na tanzia. Tanzu za
- Wahusika wanaweza kuchorwa katika upotovu wao (futuhi) au katika utukufu wao
(tanzia)
kupita kiasi.
15
Kilele cha juu ya kuzungumzia tanzu mbalimbali za fasihi kinafika wakati ambapo Aristotle
anazungumzia tanzia. Katika kufanya hivi Aristotle anazungumzia asili na dhima ya fasihi na
Kwa mujibu wa maelezo ya Aristotle, tanzia ni maigizo ya matukio yenye ujume mzito
yanayowasilishwa kwa lugha inayonawiri, yazindue hofu na huruma ili hatimaye maigizo hayo
Tanzia ina sehemu tatu muhimu: Mwanzo, katikati na mwisho. Hatimaye kutokana na uchunguzi
kudura’. Juu ya sifa hii, katika tanzia ya kigiriki kuna mabadiliko katika mkondo wa matendo
yanayofanyika hivi kwamba mhusika mkuu hujikuta katika hali zilizo kinyume na matarajio
yake. Taharuki, vinyume vya mambo na kejeli huyakumba maisha ya mhusika mkuu. Pia,
mhusika tanzia ana fahari inayomsukuma hadi mwisho wa maisha yake. Fahari hiyo wakati
alizopitia mhusika mkuu. Tamthilia alizotumia kama data kufikia sifa za tanzia ni zile za mtunzi
mashuhuri wa kigiriki, Sofokile. Miongoni mwa tamthilia hizi ni Mfalme Edipode na Antigone.
16
Aristotle na Mihimili ya Fasihi kwa Ujumla
kumkaribia Mungu.
(ii) Ploti au msuku ni muhimu katika ubunifu wa sanaa. Jambo hili linaonyeshwa pale
(iii) Aristotle anatuonyesha kwamba fasihi itaeleweka vizuri zaidi ikiwa itagawanywa
Marejeleo
HORACE
zilizopaswa kufuatwa na watunzi chipukuzi. Katika makala yake, The Art of Poetry ambayo
(iii) Utungaji mzuri unatokana na uigaji wa kazi watunzi mashuhuri walioishi zamani za kale.
17
Soma tamthilia ya Kithaka wa Mberia, Kifo Kisimani. Kuna masharti yoyote ya Horace humo?
MHADHARA WA TATU
Urasimi mkongwe wa Waswahili ni nadharia asili; lakini vile vile ni nadharia madhubuti.
18
kuchanganuliwa. Kutokana na uchanganuzi huo mihimili ya nadharia inaweza kuhitamidiwa.
Yaani, kutokana na sifa mahsusi za kazi zilizoandikwa katika kipindi urasimi mkongwe,
Kazi za kirasimi katika fasihi ya Kiswahili zipo. Hata hivyo uhakiki wa kirasimi kuhusu kazi
hizo ni nadra kupatikana. Msomaji wa kazi za kirasimi katika fasihi ya Kiswahili anapaswa
kuhitamidi uhakiki wake kutokana na utunzi wenyewe. Urasimi wa fasihi ya Kiswahili ulifikia
kilele chake katika karne ya 18 na 19 katika enzi yetu. Urasimi mkongwe wa Kiswahili ni
Huenda Utenzi wa Tambuka au Chuo cha Herekali ulioandikwa na Mwengo bin Athumani
(1728) ndio wa kwanza kuandikwa katika lugha ya Kiswahili. Katika mwaka wa 1749, Said
Aidarus alitoa tafsiri ya utenzi kutoka Misri uliotwa Umma-Ul-Quarra au Kasidatul Hamziya.
mwaka wa 1690. Kazi nyingine zilizoandikwa wakati huu zilikuwa Al-Inkishafi (1810 – 1820),
Utenzi wa Mwanakupona ambao tarehe za kutungwa kwake hazijulikani kwa uhakika. Ukweli ni
kwamba tarehe za kutungwa kwa tenzi hizi ni za kukisia. Hata hivyo imekubalika kwamba
19
(ii) Hamziya nao unatumia lugha ya kale zaidi kupita tenzi zote. Mtunzi wake anatumia
lahaja ya kingozi.
(iv) Kwa upande wa mashairi ya unne (tarbia), watunzi waliosifika zaidi walikuwa Muyaka
(i) Huu ndio wakati ambapo misingi ya ushairi andishi wa Kiswahili ilipowekwa.
(ii) Mengi ya mashairi ya kirasimi yalipokezwa kwa mdomo na uhakiki pia ulifanywa kwa
tungo zao kwamba utungaji wa fasihi yao ulitokana na mazingira ambamo anapatikana
mwanadamu.
Kiswahili walitumia lugha rahisi iliyoeleweka na ujirani wao bila shida yoyote.
(v) Pia, washairi wa kirasimi wanazingatia arudhi katika utunzi wao, jambo linalomwezesha
20
(vi) Masimulizi marefu kama utnezi yana mwanzo, katikati, na hatima yake. Inapaswa
kukumbukwa kwamba:
Marejeleo
Abdulaziz, Mohamed Hassan. Muyaka: 19th Century Popular Swahili Poetry. Nairobi: Kenya
Literature, 1979.
Kiswahili, 1983.
Njogu Kimani & Rocha Chimerah. Ufundishaji wa Fasihi: Nadharia na Mbinu. Nairobi. Jomo
Wafula, R.M. & Kimani Njogu. Nadharia Za Uhakiki wa Fasihi. Nairobi: Jomo Kenyatta
Foundation, 2007.
21
MHADHARA WA NNE
(a) Kufika mwisho wa mhadhara huu mshiriki anapaswa kutoa hali zilizosababisha kuzuka
Nadharia hii ya fasihi inaitwa urasimi mpya kwa sababu kanuni zake nyingi zilitokana na
Hata hivyo, mtazamo huu wa fasihi haukufuatana moja kwa moja na urasimi mkongwe.
Takribani miaka 1700 ilipita baada ya urasimi mkongwe kabla urasimi mpya kuanza.
ulitawaliwa na enzi ya giza. Ilikuwa kana kwamba saa ya historia ya Ulaya ilikuwa imesimama
kwa kuwa hakuna ithibati ya uvumbuzi muhimu uliokuwepo kabla ya kipindi cha urasimi mpya
kutokea.
22
Karne ya 17 na 18 katika mapisi ya kimagharibi zimehusishwa na ufanisi wa kisiasa, kijamii na
matumaini ya kuiona kesho nzuri. Njia za kisayansi za kudadisi ulimwengu zilikuwa zimetia
fora. Huu ulikuwa wakati wa Galileo mnajimu, Kepler mwanahesabu, Newton mwanasayansi
Hata imani kwamba Mungu yupo ilipaswa kuthibitishwa. Kuwa kuwa wakazi wa karne hizi
waliyajua mazingira yao kwa udhahiri, walikuwa na tumaini la kuudhibiti ulimwengu wao
binadamu ulikuwa karibu kufikia kilele. Enzi hii ilikumbusha kipindi alichotawala kaizari
Agosto. Enzi ya kaizari Agosto ilikuwa na amani na utengemano hata ikadiriki kuitwa ‘Pax
romana’. Yaani amani ya Roma. Wanajamii wa kipindi cha urasimi mpya walikiita kipindi hicho
‘enzi ya Agosto’. Ilikuwa kama kwamba ustaarabu wa Ugiriki na Uroma wa kale ulikuwa
umezaliwa upya.
Fasihi nayo ilijidhihirisha vipi katika mazingira haya ya matumaini ya Kisayansi? Wasanii weng
23
zao. Walizichambua tahakiki za wataalamu wa kale kama Plato, Aristotle, Horace na Ovid na
Kama ilivyogusiwa hapo awali, katika urasimi mpya wa Kimagharibi, wanajamii waliabudu
nyuma katika shughuli hizi. Mitindo ya kisayansi ilibainika katika utunzi na uhakiki wa kazi zao.
Kwanza, waliepukana na tungo za kinjozi na kidhahania. Tungo za aina hii zilishukiwa kuwa
kuainishia tanzu mbalimbali za fasihi. Kwa kufanya hivi, walikuwa wakiwaiga wanasayansi hasa
wataalamu wa elimu-uhai waliozua msamiati wa kubainisha pande tofauti tofauti za ujuzi wao.
Ikiwa wanabaolojia waligawa maumbile katika vikundi mbalimbali, wanfasihi nao waligawa
fasihi katika tanzu mbalimbali. Kwa kifupi, fasihi iliathiriwa na sayansi. Hata na waandishi
waliotumia kejeli kushambulia maovu ya kijamii walipata motisha wa kufanya hivyo kutoka kwa
Wahakiki muhimu wa kipindi hiki walikuwa Samuel Johnson, Alexander Pope na Johna Dryen.
Nao watunzi walikuwa Jonathan Swift, John Milton na Edumund Spenser miongoni mwa
wengine. Moja kati ya makala muhimu yaliyoorodhesha kanuni za fasihi kama zilivyoelekeweka
Fasihi ilifaidika vipi kutokana na sayansi katika nadharia ya urasimi mpya wa Kimagharibi?
24
(c) Mihimili ya Urasimi Mpya wa Kimagharibi
(i) Wahakiki wengi wanaopatikana katika muhula huu wanakubaliana kwamba kaida za
mazoea maalum yanapaswa kufuatwa katika utungaji wa kazi za fasihi. Katika Essay on
Criticism, Pope anasema kwamba kama ambavyoo kuna kawaida zinazokubalika na watu wengi
katika mavazi, maandalizi ya maakuli na maposo, kuna taratibu zinazopaswa kufuatwa katika
uandishi wa fasihi.
Pope anarejelea mifano mbalimbali kudhihirisha ukweli na ustahiki wa madai yake. Mtu huvaa
sare safi na viatu vinavyonawiri ikiwa lengo na kwenda bustanini na kulima. Kufanya hivyo ni
kujidunisha kwa vile kunakiuka matendo yaliyozoeleka. Stiari ya nguo na sherehe imetumiwa na
Maudhui mateule humsawiri mtu katika utukufu wake. Lugha inayotumika kutunga utendi
inapaswa kuafiki uteule wa dhamira zake. Nao ushairi unapaswa kuzingatia lugha inayojirejelea,
(ii) Wataalamu wa fasihi waliamini kwamba kila utanzu wa fasihi una sheria zake – sheria
zinazoelekeza utungaji wake. Warasimi wapya walisisitiza kwamba usanii bora hufanyiwa katika
25
mipaka inayokubalika na kushabihiana na mtazamo wa wengi. Sheria zilizochotwa na kutumiwa
na warasimi wapya ziliazimwa kutoka kwa wahakiki wa Ugiriki na Uroma wa Kale. Maoni ya
warasimi wapya yalikuwa kwamba kukataa kufuata kanuni ni kiburi. Kulingana na maoni ya
waasisi na waitifaki wa urasimi mpya, mshairi hangeweza kugundua chochote kuhusu hali ya
kibinadamu kwa kuwa ukweli wote kuihusu hali hiyo ilikuwa imegunduliwa yeyote aliyethubutu
kutunga miundo mipya ya kisanaa alishukiwa kuwa mwenye uchoyo na kujipendekeza. Katika
makala ya Essay on Criticism, Pope anatetea ufuasi wa sheria kwa kudi kwamba ukamilifu
hauwezi kutokana na mambo mapya. Aliyekuwa na nia ya kuzungumzia mambo mageni alikuwa
hajafunukiwa na mikakati yote ya kuzungumzia jambo hili. Hivyo basi, alipaswa kutumia njia
waliozua mitindo mipya. Sababu yao ilikuwa wazi-uwezo wa mtu binafsi haukutegemewa wala
kuaminika kuwa mwongozo madhubuti wa utunzi. Si ajabu kwamba watunzi walishauriwa kuiga
Horace. Warasimi – wapya wengi walifikiria kwamba Wagiriki na Waroma waligundua yote
yaliyotarajiwa kugunduliwa katika mawanda ya fasihi na ilikuwa sharti waigwe. Katika kipindi
aliheshimika kwa kuwatunika heshima magwiji wa zamani. Kwa kuwadondoa wahenga wale,
mtunzi alionyesha utaalamu wake, alionyesha kwamba yeye ni msomi. Haikukuwa muhali
26
Ili kutafuta heshima, watetezi wa urasimi mpya walitafsiri tungo za kale zilizoandikwa katika
Kigiriki na Kiroma. Baada ya kuzitafsiri tungo hizo, waliiga mitindo ya watangulizi wao na
kisha kujitungia tungo zao wenyewe. Yaani baada ya tungo kama vile za Homer na Virgil
kutafsiriwa, akina John Milton na Edmund Spenser waliandika tenzi zao kutangamana na imani
zao. Dryden, mmojawapo wa wahakiki walioishi katika kipindi hiki alinukuliwa akisema
kwamba drama ni uigizaji wa tajriba anazopitia mwanadamu. Ili uigo mzuri kufanywa, unapaswa
kufuata mwongozo maalumu. Dryden anamalizia kwa kusema kuwa mwongozo huu unapaswa
(iv) Jambo moja lililojadiliwa na Aristotle na ambalo liliwatatanisha sana Warasimi wapya
lilihusu ufungamano wa fani tatu katika utunzi wa tamthilia (Des Trois Unitez). Alipokuwa
Tanzia ilipasa kuwa na ploti moja pasipo kuingiliwa na ploti nyingine ndogo ndogo au
Aristotle hakusema kwamba shuti kanuni hizi za kimuundo zizingatiwe katika uandishi wa
tamthilia yoyote ile. Alikuwa akielezea yale aliyoyaona kuwa mikondo ya jumla ya Tanzia ya
Kigiriki. Kwa bahati mbaya, warasimi wapya waliyameza maelezo ya Aristotle bila fasiri nzuri.
27
Ikiwa sasa wanafuata kanuni hii kuitumwa. Kutokana na utumwa huu, warasimi wapya
Kwa mfano, mwanasanaa Shakespeare (1564 – 1616) alikemewa vikali kwa kutofuata ‘Des
Trois Unitez’, yaani ufungamano wa vitushi, wakati na mahali. Ni ajabu kwamba hapo baadaye,
Shakespeare alisifika sana. Hivi sasa tamthilia zake zinasomwa zaidi kuliko tungo nyingine
zozote za fasihi.
(v) Fani muhimu iliyotumiwa na Warasimi wapya na pengine ambayo inasawiri upekee wa
yaliyokosa mantiki. Njia iliyochipushwa ya kufanikisha muradi huu ilikuwa ufyozi. Mwanasanaa
aliyetumia vizuri njia hii alikuwa Swift. Katika riwaya yaa Safari za Gulliver, Gulliver anapofika
Laputa anachekelea ujuzi wa Walaputa ambao wanaamini kwamba nchi yao ni kisiwa
kinachoelea angani. Swift anatumia kisiwa hiki kama kielelezo cha utaalamu wa uwongo
Ufyozi ni aina ya kejeli inayotumiwa kushambulia maovu kwa dhamira ya kuyasahihisha maovu
hayo. Kejeli kwa kawaida inaweza kushambulia, kuchekesha na kuadili. Kejeli inayoshambulia
bila kuchekesha ni masimango. Katika karne ya 17 na 18, kejeli ilisheheni sehemu ambazo
vilichukuliwa kuta mzaha tu. Nayo maonyo ambayo hayakunyunyuziwa chembe za vicheko ni
28
mahubiri kavu. Iliaminika kwamba mwenye kukejeli hakukuwa na uchoyo bali alikuwa na imani
(vi) Warasimi wapya walizingatia ubunifu na umakinifu katika kuwaza na kuwasilisha fikra
zake.
Mwanasanaa ana uwezo wa kuwaza na kufikia kilele cha ukamilifu ili tungo nzuri ziweze
kutungwa.
Kitambo imesemwa kwamba waitifaki wa urasimi mpya walitilia mkazo ufuasi wa sheria
Eleza sifa kuu za urasimi mpya wa Kimagharibi? ‘Historia hujirudia ijapokuwa katika sura
tofautitofauti’. Jambo hili linadhihirishwa vipi katika uhusiano wa urasimi mkongwe na urasimi
mpya wa kimagharibi?
MUHIMU: Hakikisha unatambua aina zote za urasimi uliojadiliwa katika mwongozo huu.
Marejeleo:
Pope, Alexander. ‘Essay on Criticism’, Makers of Criticism, B. Rajan & A.G. George
29
MHADHARA WA TANO
(a) Mshiriki anapaswa kutambua tofauti zilizopo kati ya urasimi mpya wa kimagharibi na
(b) Mshiriki anatarajiwa kueleza hali ya kihistoria na kifasihi zilizosababisha kuzuka kwa
(c) Mshiriki anatazamiwa kutambua kwamba urasimi mpya una wahakiki wanaotambulikwa
kwa majina.
(e) Mshiriki anatarajiwa kuonyesha jinsi mihimili hiyo inavyoweza kutumiwa kuzichanganua
kazi za fasihi.
Baada ya kuzungumzia urasimi mpya wa kimagharibi, sasa na tuzame kwenye urasimi mpya wa
Kiswahili. Kipindi hiki kinatanguliwa na enzi ya kiza katika fasihi ya Kiswahili. Enzi ya kiza
ilikuwepo kati ya mwaka wa 1885 na 1945. Ijapokuwa Mulokozi na Sengo wanafanya utafiti
unaoelekea kuonyesha kwamba washairi walikuwepo katika kipindi cha giza, ukweli uliopo na
wa kutegemewa ni kwamba kuna ithibati chache kuonyesha uyakini wa madai haya. Maandishi
Kihistoria tumeambiwa na E. Kezilahabi kwamba huu ndio wakati ambapo mataifa ya ulaya
yalikuwa yakiling’ang’ania na kuliparamia bara la Afrika. Pili, kulikuwepo na vita vya dunia
30
mara mbili. Hali hizi mbili zilisimamisha uandishi. Lakini wakati ambapo vita vya dunia vya pili
vilipiganswa, wakazi wengi wa Afrika Mashariki walipitia katika tajriba mpya, wakamulikwa
kwa nuru mpya kuhusu uhuru na usawa wa wanadamu wote. Utenzi wa Vita vya Uhuru na
Maisha Yangu na Baada ya Miaka Hamsini (1966) vinaelezea tajriba hizi. Katika kipindi cha
urasimi mpya, mwandishi wa Kiswahili anatafuta mizizi yake kwa hamasa kubwa. Anajaribu
kuibainisha nafasi yake katika ulimwengu unaotawaliwa na Mzungu. Ili kufaulisha jaribio lake,
mtunzi wa Kiswahili anachimbua miundo na maumbo ya mashairi ya akina Muyaka na Ali Koti,
Watunzi na wahakiki muhimu wa wakati huo walikuwa Shaaban Robert, AMRI Abedi, Khamis
Amani, Mathias Mnyampala na Ahmad Nassir miongoni mwa wengine. Swali kuu lililowakabili
wahakiki lilihusu maana na muundo wa shairi la Kiswahili. Wengi miongoni mwa wahakiki
tungo zao mbalimbali yanaonyesha ya kuwa walitaka sana kuufahamu ushairi wa Kiswahili
kinadharia. Shaaban Robert katika Swahili Poetry (1962) kilichohaririwa na Lyndon Harries
Kwa upande wa maudhui yanayowasilishwa katika mashairi, Shaaban Robert anasema kwamba
msingi wa maneno ya hekima tangu kale. Ndicho kitu kilicho bora sana katika maongozi
ya dunia kwa kutumia maneno ya mkato na lugha nzito yenye kunata yaliyopangwa kwa
urari wa mizani na vina malumu’. Upeo ni juu wa kipindi cha urasimi-mpya wa fasihi ya
Kiswahili ulitokea kilipochapishwa kitabu cha Sheria za Kutunga Mashairi na Diwani ya Amri
(1954). Kulingana na maoni ya Kezilahabi (9183), kitabu hiki kilikuwa kiungo cha wakati
uliopita na urasimi-mpya.
Wahakiki wa hivi karibuni kama Ibrahim S. Noor (1988) wanamkosoa Amri Abedi kwa
kutozungumzia yote aliyopasa kushughulikia. Hata hivyo, aliyoyafanya Amri kwa wakati huo
fikra wa ushairi kama wa Shaaban Robert, Chiraghdin Shihabbudin, Abdilatif Abdalla na Sheikh
(i) Kwanza kabisa, tunajulisha kwamba nguzo ya ushairi wa Kiswahili ni muundo. Ignawa
bahari za ushairi wa Kiswahili zinaweza kuanishwa kwa kutumia vigezo vya kimaudhui
(kama wajiwaji, kasida, madhuma na ushairi burushi), kwa ujumla, bahari za mashairi ya
32
Ni muhali hili kuwa, nasikitika.
(Abdalla, 1972:11)
c. Tarbia – shairi la mistari minne kwa kila ubeti. Mashairi ya tarbia ni mengi zaidi
33
(iii) Masivina – shairi lenye mlingano wa mizani lakini sio wa vina.
(Abdalla, 1972:34).
(vii) Kikwamba – katika shairi la aina hii, neno moja hurudiwarudiwa na ndilo
Ni vigumu kuorodhesha aina zote za mashairi. Haya yanatosha kudhihirisha madai ya awali
(ii) Katika ushairi uliotungwa katika kipindi cha urasimi mpya, watunzi walizingatia
wanaonuia kuwa washairi hivi. ‘Ni mwiko tukano katika ushairi, mwiko fitina katika
ushairi, mwiko fitina katika ushairi, mwiko nuksani katika ushairi; msengenyo,
mwao, fitina na nuksani ni tabia mbaya. Mashairi yenye vipopo vya fikra, vita vya
34
adili na utukufu wa matendo ambayo watu wa karne zote hawataridhia kuyatupa na
Miongoni mwa maonyo ya mwisho kwa mtunzi chipukizi, Abedi anataja: ‘Usitunge
mambo ya kihuni bali mambo yanye maarifa yanayoweza kuwafaa watu’ (1954:40-
42).
(iii) Watunzi waliopatikana katika kipindi hiki hawakupuuza arudhi asilani. Kama
kufafanuliwa kinadhaira. Ilikuwa juu ya mshairi mahiri kuipa miundo hiyo minofu ya
mawazo na ya lugha.
(iv) Mwisho, katika kipindi hiki, inaweza kukisiwa kwamba palizuka istilahi za
kuelezea dhana mbalimbali za kuelezea aina za ushairi. Mifano ya istilahi hizi ni:
kubadilisha maana
maana asili.
Marejeleo
Njogu, Kimani na Rocha, Chimerah. ‘Nadharia katika Uhakiki wa Fasihi (3 – 19)’ Ufundishaji
Abedi, Amri. Sheria za Kutunga Mashairi na Diwani za Amri. Nairobi: Kenya Literature
Bureau, 1979.
Mulokozi, Mugyabuso, na Kahigi Kulikoyela. Kunga za Ushairi na Diwani Yetu. Dar es Salaam:
Press, 1988.
2007.
36
MHADHARA WA SITA
UHALISIA
Malengo
Katika sura hii tutazungumzia uhalisia katika muktadha wa fasihi ya kimagharibi na fasihi ya
Kiswahili.
Uhalisia ndio nadharia muhimu zaidi kutokea katika karne ya kuni na tisa na ishirini. Katikati ya
karne ya kumi na tisa huko Ulaya, nguvu za mapinduzi ya kisiasa zilikuwa zimeanza kulegea.
Mapinduzi ya kiviwanda nayo yalikuwa yamefikia kilele chake. Ulaya ilikuwa imeendelea sana
ulithaminiwa sana. Huu ndio wakati ambapo Karl Marx alianza kuzungumzia jamii kisayansi
1
Taz. Wafula, R.M. na Kimani Njogu. Nadharia za Uhakiki wa Fasihi. Nairobi. Jomo Kenyatta Foundation, 2007.
37
Kutokea mwaka wa 1800 na kuendelea mbele wahakiki na watunzi walianza kuwadhihaki
‘Mtu hufikiria kwa kichwa chake, hafikiri kwa moyo wake’. Kwa kifupi, Flaubert alikuwa
Mihimili ya Uhalisia
(d) Una mashiko katika hali halisi ya maisha ya watu. Unakaribia wasifu na tawasifu za watu
binafsi
(g) Unaiona kazi ya sanaa kama zao linalojitosheleza. Yaani ulimwengu ni yakinifu.
(h) Wahusika ni vielelezo vya wanadamu halisi wanaoishi katika ulimwengu unaofahamika.
mwandishi ni kuonyesha ukweli kama ulivyo. Mhakiki naye alimtathmini mwandishi kwa nama
huyo mwandishi alivyojibidiisha kuonyesha ukweli. Haja kubwa ya kuigiza ilikuwa kuonyesha
picha ya mazingira ambamo jamii inapatikana mathalan kioo kinavyotumika kutoa picha za
mwanadamu. Kulingana na wataalamu hao, mwandishi anapaswa kuitoa picha ya jamii bila
kuidunisha wala kuipigia chuku. Dhana ya fasihi kuwa ‘ni kioo cha jamii’ ilitokana na uhalisia.
38
Ukweli ni kwamba ijapokuwa fasihi huzungumzia ukweli, mwandishi huchagua mambo
Baadhi ya waandishi huonyesha misimamo yao juu ya ile wanalozungumzia. Hapo ndio
tunapouona uhalisia hakiki, ambapo pamoja na msanii kujizatiti kuchora hali halisi ya maisha
kama yalivyo, hutetea watu fulani na kuwashambulia wengine kutegemea na msimamo wake.
Katika kufanya hivyo, si lazima mwandishi awe na itikadi maalumu na bayana kuhusu maisha.
Mhakiki anaposema fasihi ni kioo cha jamii huwa anamaanisha nini? Soma riwaya ya Kiu
kisha ainisha baadhi ya sifa za kihalisia zinazopatikana mle.
39
MHADHARA WA SABA
(a) Mshiriki anatazamiwa kufahamu usuli wa uhalisia wa kijamaa, kwa kutambua dhima ya G.
(b) Mshiriki anapaswa kutambua jukumu la Maxim Gurki na chamaa ya waandishi cha Soviet
Ili kuufahamu uhalisia wa kijamaa misingi yake inapaswa kujulikana. Misingi hii inatokana na
mawazo ya Karl Marx. Lakini Karl Marx hakuyaunda mawazo yake kutoka angani. Fikra zake
zilikuwa kilele cha mabadiliko na maendeleo ya kizazi cha mtu yaliyoanza tangu kuchipuka kwa
mtu huyo katika sayari hii. Mwanafalsafa aliyemtangulia Marx na kuiathiri falsafa yake kwa
Kama ilivyokuwa na Mgiriki Plato, Hegel aliamini kwamba vitu vyote vinavyopatikana humu
ulimwenguni ni picha hafifu ya vitu hivyo kama vinavyodhihirika katika dunia ya kinjozi. Plato
alikuwa dhahiri zaidi kumliko Hegel aliposema kwamba vitu vyote vilivyomo humu duniani
vimechujuka mara mbili kutokana na halisi wa kidhahania. Kutokana na haya, aliendelea Plato
sanaa umithilitshi zimekenguka zaidi, maana zimekengeuka ngazi tatu kutokana na ukweli. Kile
ambacho Plato hazungumzi bayana ni namna picha hafifu za viumbe zinavyofikia ukamilifu na
udhahania wa kimbingu.
40
Hegel kwa upande wake anajaribu kutupatia jawabu. Kwake, ijapokuwa vitu vinavyopatikana
humu duniani ni picha dhaifu ya vile vinavyopatikana katika sura za kinjozi, lakini vitu hivyo
huendelea kukua na kubadilika, hata vikiwa humu duniani kuuelekea ukamilifu wa kinjozi. Hali
Jambo au kitu cha kwanza kisichokuwa kikamilifu huitwa tasnifu. Tasnifu ni hali asili ya kitu au
jambo. Kwa kuwa tasnifu haijakamilika wala kujitosheleza, hujizalishia mikinzano ya kindani.
kusanisi. Lakini kusanisi huku huwa kumetokea mapema zaidi katika maendeleo ya kitu
kinachozungumziwa kwa hivyo, si kukamilifu. Hivyo kusanisi huku hujenga tasnifu mpya tena.
Tasnifu hii vile vile haijajitosheleza na hujiibukia mgogora mwingine wa kindani, yaani aina
Kwa mujibu wa maelezo ya Hegel, mgongano wa tasnfiu na tabaini huendelea mpaka hali
tamilifu kuliko zote. Kuna wiano kati ya fikra ya Hegel kuhusu ukamilifu wa kitu na ile ya
wanyama, Darwin alihitimisha kwamba binadamu amefikia kiwango alichoko cha ukamilifu kwa
kuvipitia viwango vya awali vingine visivyokuwa vikamilivu. Hegel alipoitafsili nadharia yake
kihistoria, aliamini kwamba kuna roho ambayo husababisha tasnifu, tabaini na kusanisi, au
katika maneno mengine, kisio, kinyume cha kiso hilo na suluhisho linaloatokana na mwingiliano
wa kisio na kinyume chake. Roho ndio huleta mabadiliko na maendeleo. Hegel aliamini kwamba
roho hiyo husonga, ikitoka mashariki ikielekea magharibi. Ndipo Hegel alipokatikiwa kwamba
41
chanzo cha historia ni Ugiriki na sehemu zinazopakana nao na mwisho wake ni Ujerumani. Hili
mwingine aliingia kati ya Hegel na Marx. Naye alikuwa Fuerbach. Kwake Fuerbach, vitu vyote
vinatokana na kushia mumu humu duniani. Marx aligeuza imani ya Hegel kichwa mgomba na
kuikoleza na maoni ya Fuerbach kuhusu ulimwengu na kisha kufikiria kuhusu ulimwengu upya.
Marx
Aliazima fikra ya Hegel. Lakini kwake Karl Marx, maendelo ya jamii huthibitika katika vipindi
vya maisha ambavyo kizazi cha binadamu kimepitia. Kulingana na Karl Marx, tabaka la jamii
hutoweka na lingine kichipuka kwa sababu ya mgongano unaotokea kati ya tabaka tawala na
tabaka tawaliwa. Marx anasema kwamba kunu kinachoendesha histori ni mgongano wa kitabaka.
Mgongano huu hutokea kwa sababau kila mara kuna tabaka la wanyonyaji na wanaonyonya.
Hivyo inabidi kuwa na mapinduzi dhidi ya mifumo ya kuzalisha mali inayohimili unyonyaji.
42
Marx unamwona binadamu kuwa kiini cha historia yote na matendo yote yanayotendeka humu
duniani, Umarx unawabudu binadamu. Ndiye mwenye urazini wa kuifanya dunia itengenee na
kuwa mahali bora pa kuishi. Marx anampa binadamu tumaini la kuing’oa mizizi yote ya
ambavyo jamii ilipasa kupitia kabla ya kufika ukamilifu kwa kinjozi ni vifuatavyo:
Kulingana na maoni ya Marx, ukomiunisti ndicho kidato kikamilifu zaidi katika maendelo ya
kibinadamu.
Ni mbinu ya utunzi na uhakiki inayomzingatia binadamu kama uti wa mgongo wa kuwepo kwa
wa kijamaa anasema:
mihimili ifuatayo:
(ii) Pamoja na kusawiri matukio kihistoria, wahusika hutekeleza matendo yao kitabaka.
tunaofahamikiwa nao.
(v) Huonyesha matumaini juu ya kizazi cha binadamu. hii inamaanisha kwamba mtu
kutunga ni kwabma imekolea na itikadi sana hivi kwamba masuala ya kisanaa yanaweza
kupuuzwa. Lugha inayotumiwa inaweza kuwa kavu, ikakosa matumizi ya kugna za kifasihi
kama sadifa, taharuki na tamathali nyingine za usemi. Baadhi ya tamthilia, diwani za ushairi za
44
Mfano wa Tamthilia ya Kilio cha Haki (A. M. Mazrui)
Tamthilia ya Kilio cha Haki inahusu kilio cha wafanyikazi juu ya ukandamizwaji wao. Kili cha
Haki hakionyeshi kukata tamaa bali tumaini. Tamthilia inazungumzia ukoloni na ukoloni mambo
kimapinduzi na wa kimabadiliko kama Lanina, Dewe na Musa. Juu ya haya maisha ya wahusika
Kuna matabaka mawili muhimu. Kwa upande mmoja, kuna tabaka linalowakilishwa na Delamon
ambaye anasimamia ubepari wa kimataifa. Kwa upande mwingine, kuna tabaka la akina Lanina,
tabaka la mafukara ambao wanalenga kuboresha hali yao ya maisha. Tabaka la wanyonyaji
linajaribu kwa vyoyote vile kuendeleza sera zake hali tabaka la wanayonyanyaswa linajizatiti
Mbali na kukamatwa na kushikwa kwa Lanina, wahusika wengine kama Musa na Dewe
Lucas, Georg. The Meaning of Contemporary Realism. London: Merlin Press, 1963.
haujulikani).
Wafula, R. M. ‘Harakati za Ukombozi katika Kilio cha Haki’, Uhakiki wa Tamthilia: Historia
46
MHADHARA WA NANE
UDHANAISHI/UTAMAUSHI
Malengo
udhanaishi/utamaushi.
kuhusu ‘dhana ya maisha’. Kwa upande mwingine, istilahi ya ‘utamaishi’ inatokana na neno
‘kutamauka’. Kutamauka ni kutokuwa na furaha (pengine kwa kushika tama) kwa kujua kuhisi
upembuzi hali ya nafasi ya mtu katika ulimwengu anaoishi. Pia, ni falsafa inayozungumzia
uhusiano uliopo kati ya mtu wa Mungu, na iwapo mtu anapaswa kuamini kuwepo kwa Mungu.
Baadhi ya wahakiki wanasema kwamba mtazamo huu juu ya maisha ni ushuhuda madhubuti wa
sayansi ili asiwa. Dai hii linaeleweka ikitiliwa maanani kwamba falsafa ya utamaushi ilitia fora
zaidi katika miongo iliyokumbwa na vita vya dunia mara mbili. Wahakiki na wanafalsafa wa
kimarx wanauita utamaushi juhudi za mwisho za mabepari katika harakati za kutaka kuendelea
kushinda licha ya kulemewa kwao na kupitwa na wakati. Katika kuhudi hizo za mwisho,
47
mahitaji ya kibepari (ubinafsi, uchoyo, upweke) yalisisitizwa zaidi kuliko maslahi ya jamii kwa
ujumla.
Kwa upande mwingine, kuna wale wanaoamini kwamba utamaushi ni upinzani yakini dhidi
mielekeo na mitazamo iliyokuwa ikichipuka ambayo ilitilia maanani umuhimu wa jamii kuliko
mtu binafsi. Hivyo, basi mtu alihitaji kupingana na jamii kwa kutetea ubinafsi wake, ubinafsi
ambao ilitilia maanani umuhimu wa jamii kuliko mtu binafsi. Hivyo, basi mtu alihitaji kupingana
na jamii kwa kutetea ubinafsi wake, ubinafsi ambao daima ulikuwa ukinyimwa uhuru na
Licha ya madai haya, utamaushi haukuanza katika karne ya ishirini. Wataalamu wengi
1855) kutoka Denmark. Katika vitabu vyake vya Fear and Trembling, the Concept of Dread na
Sickness unto Death, Kierkgaard anashikilia kwamba mtu ni kikaragosi cha nguvu
zilizomuumba. Na ni katika kuzicha nguvu hizi ambapo mtu huyu anaweza kupata utulivu wa
kiroho.
Jaspers. Pamoja na kuuelezea mtazamo huu ka mapana, wanaigiza ndani yake dhana ya
kutomwamini Mungu.
Kwa ujumla watamaaushi wengi wanafikiria kwamba mtu kwanza huzaliwa, akawepo, kisha
mambo mengine yakafikiriwa naye baadaye. Wanashikilia kuwa binadamu ndiye kiini cha
48
kuwepo kwa ulimwengu. Kama mtu hangekuwepo, basi na ulimwengu wote pia haungekuwepo.
Ukweli ni kwamba ulimwengu haungepewa jina kwa vile yote yanayoelezwa kuhusu ulimwengu
Ujuzi wa mtu, tajriba anazopitia, hisia na dhana zake zote zinatokana na kule kuwepo kwake.
Chambilecho Jean Paul Sarte, mtu kwanza huhisi kwamba anaishi, kisha mambo mengine
Kwa mujibu wa maelezo ya Sartre, mtu huzaliwa au hujipata katumbukia kwenye ombwe la aian
fulani. Ana uhuru wa kukaa katika ombwe hilo na kuishi maisha ya utulivu na kukabiliana
vilivyo na ulimwengu uliomzunguka. Kwa kuwa hana uwezo juu ya masuala kama maumivu na
mateso, anaweza kukata tamaa. Hata hivyo, kabla ya kukumbwa na mauti mtu huyo atafanya
Waandishi wengi ambao wanajadili kuhusu utamaushi wanatilia mkazo matatizo halisi
Kwao, kwamba Mungu yupo au aliuumba ulimwengu ni suala ambao hawalishughulikii kwa
uwezo wa mtu wa kujifikiria na kujiamulia na wajibu wa binadamu katika ulimwengu. Kwa vile
kujiridhisha ni la kibinafsi. Maudhui mengine yaliyotagaa katika utamaushi ni; ukengeushi, hali
49
ya kutokuwa na uhakiki (chochote chaweza kutokea), kukataa tamaa na mauti. Hata hivyo kuna
Ugwe unaowaunganisha watamaushi wote, wenye kukata tamaa kwa wenye kutumaini ni
wanaonyesha kwamba juhudi za mtu za kujitafutia maana ya maisha mara nyingi huishia katika
kinafsia. Pamoja na haya, utamaushi unajadili hali kama fadhaa, mashaka, na uchovu na jinsi
zinazopatikana katika maandishi yake zinaonyesha kwamba pengine ama yu miongoni mwa
watamaushi wasiokuwa na uhakikia kwamba Mungu yupo au miongoni mwa wale wasiokuwa
waumini kabisa. Ushahidi wa maoni haya unapatikana katika riwaya ya Kichwamaji (1975)
Mambo yaliharibika nilipoanza kuwaambia kwamba huenda hakuna Mungu. Wazee wote
50
Na katika riwaya ya Rosa Mistika, Mungu amesawiriwa kama hakimu wa kibinadamu
Rosa: Eee Mungu wangu, haya yote yametokea kwa sababu ya baba yangu.
Mungu: Na Zakaria?
mkono).
Maigizo ya aina hii yanaweza kutoka tu katika akili ya mwandishi mwenye mawazo asi kuhusu
Mfano Mwingine
Mashairi yanayopatikana katika diwani za Kichomi (1974) na Karibu Ndani (1988) pia
yanasisitiza mwelekeo wa kitamaushi kwa upande wa mwandishi. Shairi kama ‘Kisu Mkononi’.
51
(Kichomi) linasawiri chagizo, ukosefu wa hakika na hatimaye kujiamulia kwa mshairi kutenda
Mambo matatu muhimu yanayojitokeza katika mtiririko wa shairi hili. (i) mshairi hajui
anakokwenda wala anakotoka (ii) hatari nyingi zimemzunguka mtunzi (iii) kuna azimio la
Ubeti wa tatu unazungumzia mtu aliyekata tamaa. Jazanda ya ‘chui mweusi’ imetumiwa
kuashiria giza na hatari ambayo iko karibu kumpata mtunzi. Na ingawa tumeelezwa kwamba
nyuma kuna mwanga, mwanga huu hauonyeshi matumaini, bali ‘vifurushi maelfu vya dhambi’.
Mtungaji ametumbukizwa bila utashi wake katika dunia iliyochelea kumpa tumani na tamanio.
Kile tunachajulishwa ni kuwa maisha hayana maana kivyake na kipekee. Kwa hivyo, inambidi
mwanadamu anayejikuta katika ajali mbaya ya kuishi kujitafutia maana ya maisha kibinafsi.
52
Msemaji anadai kwamba maisha ni kafiri. Ni kafiri kwa sababu hakuna maadili ambayo
yanaweza kuchotwa kutokana nayo. Hii ndiyo sababu inayomfanya kukaribia kujiua kabla ya
Uamuzi huu unafanywa kwa matumizi ya tamathali nzito na yenye kuonyesha ari ya
kutoshindwa na maisha. Anasema ‘Sasa kama simba-mtu’. Ukweli ni kwamba hii ni njonzi tupu.
Kiuyakinifu, ng’ombe wa aina hii hajiwezi katika ngazi zote za maisha. Hana uhuru kwenda
anakotaka. Kuna utata hapa vilevile, pengine ng’ombe huyu amefungwa ili achinjiwe. Katika
muktadha wa hali ya mshairi, jambo hili linamaanisha kuwa mshairi hawezi kuhepa tanzia
tayari kukabiliana na makali ya machinjioni. Lakini kabla kitendo hiki kutokea, mshairi
anapaswa kutekelezea kiwiliwili chake mahitaji yote. Kwa kifupi, shairi la ‘Kisu Mkononi’ ni
Kezilahabi.
Mihimili
53
5. Jazanda zinazoashiria kiungulia, uchovu, pekecho na kiwewe zinatumika kusawiria
hali ya binadamu.
Marejeleo
54
MHADHARA WA TISA
UFEMINISTI
Malengo
(a) Mshiriki anapaswa kueleza historia fupi ya ufeministi baada ya mhadhara huu.
(c) Baada ya mhadhara huu, mshiriki anatarajiwa kuainisha mihimili ya ufeministi kwa
ujumla.
(d) Baada ya mhadhara mwanafunzi anapaswa kufanya utafiti mdogo na atofautishe kati ya
Utangulizi
Katika sura hii tunachunguza ufeministi. Hii ni nadharia inayoyaangalia na kujaribu kutatua
wanawake yanahusiana na yanasababishwa na jinsia. Hii ina maana kwamba shida nyingi
zinazowakumba wanawake zimengeka kwenye misingi ya uana wao. Kwa sababu ya uana,
mwanamke amewekwa katika kitengo maalumu cha jamii. Nadharia inayohusu masuala ya
wanawake inajaribu kufichua yawapatayo wanawake kama tabaka la kiuchumi na pia kama
wanawake.
Wanawake wamekuwa wakipigania hazi zao katika kipindi chote ambacho binadamu ameitawala
sayari hii. Kinadharia, masuala yameanza kutia fora tangu miaka 70 iliyopita ambapo,
wanawake, hasa wanawake wa kizungu walianza kuzungumza juu ya matatizo yao kwa
55
Matapo katika Nadharia Inayohusu Masiala ya Wanawake
Kifaransa Kiingerza
Kimarekani Kiafrika
(a) Wafaransa
Wanawake wa Kifaransa wanatilia mkazo juu ya lugha. Utafiti wao unalenga katika kufafanua
namna lugha inavyomtolea maana mtumiaji wake. Wanadai kwamba lugha kama inavyotumika
ni zao la taasubi ya kiume. Inampendelea mwanaume zaidi kuliko mwanamke. Jazanda zenye
kuelezea uwezo, nguvu na mamlaka ni za kiume na ilhali zile zenye kusawiria ulegevu na
kutoweza ni za kike.
(b) Wamerekani
Wanakubaliana na Wafaransa kuhusu lugha. Wanaongezea kwamba wanawake wana namna yao
(c) Waingereza
wanazunguzia zaidi masuala ya kihisia na kisanaa na kusahau historia na siasa. Kwao, mambo ya
56
(d) Waafrika
Mihimili ya Nadharia
Kutokana na matapo ambayo yamezungumziwa hapo juu, sifa kadhaa na za kijumla zinajitokeza.
(a) Ni nadharia inayotumia fasihi kama jukwaa la kuelezea kwa uyakinifu hali aliyomo
(b) Nadharia hii inanuia kuwasawazisha wanadamu kwa upande wa utamaduni na uana.
Inapigani jamii mpya yenye msingi katika amali za kibinadamu. Baadhi ya amali ni za kike
(c) Mtazamo huu vile vile unajaribu kuhamasisha utungaji wa kai za sanaa zenye wahusika wa
linalodhulumiwa.
(e) Pia, nadharia hii hunuia kuzindua mwamko kwa upande wa wanawake jinsi wanavyojiona,
(f) Hatimaye, lengo muhimu la nadharia hii ni kuvumbua na kuziweka wazi kazi za fasihi
unaompendelea mwanamume.
57
Masuala ya Wanawake na Fasihi ya Kiswahili
Mwachofi (1987), Alamin Mazrui (1982) na P. O. Mlama (1978), Clara Momanyi (2006).
wanawake. Wamepigania usawa kati ya mume na mke katika asasi mbalimbali za maisha.
usawa kati ya wanadamu. Inatetea uhuru wa mwanamke kwa kudai kwamba yeye si kibaraka cha
mwanamume.
58
MHADHARA WA KUMI
(a) Baada ya mhadhara huu, mtahiniwa anatarajiwa kutambua baadhi ya mikondo ya nadharia
ya kimtindo.
(b) Juu ya haya, baada ya mhadhara huu, mtahiniwa anatazamiwa kubainisha mihimili ya
Katika mhadhara huu tutazungumzia nadharia zinazohusiana na mtindo wa fasihi. Nadharia hizi
zinajaribu kufafanua jinsi lugha ya fasihi livyo. Nazo ni: umuundo, umaumbo na miongozi
Umuundo
linalodai kwamba fasihi ni tokeo la mchango wa maudhui na fani. Dhana ya kimapokeo kuhusu
fasihi inasema kwamba fasihi ni umbo lenye viungo viwili, maudhui na fani ni kwamba viungo
mtindo ni jinsi dhamira zinavyowasilishwa. Kauli hii inachukulia kwamba wao kwanza huota
59
katika fikra za mwanasanaa au msemaji yeyote wa kifasihi. Wadhifa wa mwanasanaa ni
Moja kati ya masomo walilofundishwa watoto wa Kiyunani lilikuwa jinsi kujieleza vyema.
‘vazi’ la fikra. Fikra na dhana zilikuwepo, lakini zilienea angani bila umbo au muundo wowote.
Ilibidi fikra ‘zivalishwe nguo’. Yaani, zielewe kimaneno ili zipate sura maalumu. Imain hii
kuwasilishwa katika mtindo unaofikiana nayo. Jambo hili lilisisitizwa hasa katika kipindi cha
Siku hizi, mbali na maoni haya ya Kirasimi, kuna wataalamu wanaofikiria kwamba madhumuni
ya msanii hayawezi kutenganishwa na jinsi msanii huyo anavyoiwasilisha kazi yake. Kadairi
Umuundo unashikilia kwamba dunia ni umbo lisiloweza kugawika. Dunia haikuundwa kwa
60
Ferdinand de Saussure
Kabla ya umuundo kutumiwa katika fasihi, ulijaribiwa kwa mafanikio makubwa na mwanaisimu
Ferdinand de Saussure. Katika kuzungumzia muundo wa lugha, De Saussure aliona kuwa lugha
(i) Kuna lug inayojikita katika maongezi ya kila siku – lugha dhahiri.
Lugha ya kudhaniwa – ambayo daima haibainiki wazi, ijapokuwa baadhi ya kanuni zake
Kutokana na fikra hii, Saussure alihitamidi kwamba lugha dhahiri au lugha tumikizi huonyeshwa
katika uwezo wa mtu wa kuunda idadi ya sentensi kadiri anavyotaka. Hata hivyo, mtu hawezi
kutunga sentensi zote zinazoweza kutungwa kwa sababu jambo hili haliwezekani.
Pili, mwanaisimu huyu aliona kwamba licha ya kuwa si rahisi kufahamu tabia ya lugha kwa
ujumla, maongezi ya kawaida yanategemea miundo na tabia za lugha. Yaani lugha ni mfano wa
ya mipaka ya muundo huu. Dhima ya kila tawi inatokana na kutegemea kuwepo kwa matawi
61
(i) Fonetiki – kiwango cha lugha kinachoshughulika na ishara – sauti zinazopatikana katika
kutoka katika sikio moja hadi sikio jingine. Hatimaye, lengo la fonetiki ni kuainisha
Pengine tatizo hili halipatikani katika lugha ya Kiswahili. Lakini lugha zingine kama
Kiingereza zinalo. Katika maneno ‘Sit’, ‘women’ na ‘enough’ sauti (1) inawakilishwa na
herufi tofuati tofauti ambazo ni ‘I’, ‘O’, ‘E’. Katika hali kama hii ambapo utamkaji wa
(ii) Fonolojia- kama ningekuwa nikizungumza katika lugha ya Kiswahili, na nikiwa katikati
(iii) Mofolojia – Hii ni tawi la isimu linalochunguza maneno na aina ya maneno. Pia
(iv) Sintaksi – Hii ni dhana ya isimu inayotumiwa kuelezea utaratibu unaofuatwa katika
ujenzi wa sentensi na miundo yake. Pia, sintaksi inaweza kuchukuliwa kama tawi la
62
sarufi linalochanganua mpangilio wa vipashio katika sentensi.
(v) Semantiki – Ni taaluma inayohusu maana ya maneno na sentensi. Kama ilivyotajwa hapo
awali, uhusiano kati ya neno na maana yake ni wa kunasibisha. Kama neno lingesadifu
Maana dhahania - Hii ni maana halisi kwa ambavyo inavyojaribu kuzingatia sifa za
kati za neno na kuzieleza. Maana halisi ya ‘Jipu’ itakuwa ‘Uvimbe unaotuna usaha’.
(vi) Pragmatiki – Kuna vipengele vya maana ya lugha visivyoweza kufahamika kutokana na
mtumiaji.
De Saussure hakuzungumzia viwango vyote vya lugha kwa tafsili. Hata hivyo maoni
majaribio ya baadaye. Viwango vya kiisimu vya lugha vinaweza kubadilishwa na kuwa
Mihimili
63
(a) Fasihi inaweza kuangaliwa kama mfumo mdogo ndani ya mfumo mkubwa wa lugha.
Hapa, lugha ya fasihi inakuwa ni matumizi ya kilugha maalumu katika mfumo mpana wa lugha
Vilevile, tanzu za fasihi zinaweza kuhakikiwa kwa kufuata mwelekeo huu. Uhusiano uliopo kati
(b) Baadhi sifa na viwango vya lugha kiisimu vyaweza kumsaidia mhakiki kuichambua kazi
ya fasihi. Kwa kuzingatia jinsi fonetiki, fonemiki, mofolojia, sintakisia, semantiki na pragmatiki
(c) Imetajwa kitambo kwa lugha ni mfumo wa sauti – ishara. Lugha zote zina sifa
zinazozifananisha. Baadhi ya sifa bia hizi humsaidia mhakiki. Moja kati ya sifa bia za lugha ni
utata. Jambo linaweza kuelezwa katika namna nyingi. Kiisimu, kuwepo kwa sanaa ni ushahidi
unaonyesha kwamba lugha inaweza kuvyaziwa miundo mingi kadiri mtumiaji wake anvyotaka.
64
Sifa nyingine ya lugha inahusiana na unasibu wa maneno. Uhusiano kati ya neno na maana yake
vina, mizani na mitiririko maalum katika kazi zao. Shadda na kidatu pia huweza kuyapa
matamshi maana ya kifasihi. Semantiki huhusu maana. Maana nyingi ni za aina mbili. Kuna
maana dhahania na maana husishi. Kifasihi maana hizi zinaweza kufasiliwa kama maana dhahiri
– kama ile inayotunika katika riwaya ya Mafuta Kusadikika na Walenisi. Semantiki hutuwezesha
lugha. Fasihi inahusu uchanganuzi, uteuzi na matumizi ya maneno kwa uangalifu. Hivyo
Kwa ujumla, kama ambavyo muundo wa lugha ni mfumo, muundo wa fasihi una vipengele
fasihi kuna vitengo vya kisanaa kama yaliyomo, ploti, wahusika na lugha. Hakuna kipengele cha
fasihi kati ya hivi kitakachoelezwa vizuri katika upekee wake. lazima kielezwe kwa kuzingatia
kuwep kwa kazi za vipengele vingine. Katika kuzungumzia wahusika, ploti, wahusika
watashirikishwa.
65
Nadharia ya umuundo husisitiza vipengele vya kazi ya sanaa, jinsi vianvyohusiana hadi
kuikamilisha kazi hiyo. Huangalia namna sehemu mbalimbali za kazi ya sanaa zimefungamana.
Riwaya, kwa mfano, huangaliwa kama zao linalojitosheleza. Riwaya ina msuko, wahusika na
mbinu mbalimbali za kusimulia ambazo huingiliana na kuchangiana. Mambo haya ndio huifanya
Umaumbo
Nadharia ya umaumbo na ya ummundo zinafanana kwa jambo moja – nalo ni kwamba zote
zinapinga wazo la kimapokeo juu ya fasihi. Wazo la kimapokeo juu ya fasihi ni kwamba fasihi
ina vitengo viwili, Maudhui (yaliyomo) na mtindo (jinsi yaliyomo yanavyowasilishwa). Hata
hivyo, kila mojawapo ya nadharia hizi inapinga dhana ya kimapokeo kivyake pia, msisitizo ni
tofauti. Umuundo hujaribu kuonyesha uhusiano uliopo kati ya ishara na vipashio mbalimbali
vinavyopatikana katika kazi ya sanaa. Kwa upande mwingine, umaumbo hulenga kuainisha sifa
Umaumbo ulianzishwa mnamo mwaka wa 1904 huko urusi. Mwasisi wa nadharia hii alikuwa
Viktor Shklovsky. Aliandika makala ‘ufufuo wa neno’. Katika haya makala Shklovsky
Katika mwaka wa 1919, chama cha waitifaki wa Shlovsky kiliundwa kwa shabaha ya kuelezea
Zhirmunsky, Boris Elkhebaum na Roman Jakobson. Wahakiki hawa walidai kwamba kazi ya
fasihi hujitosheleza – yaani kazi ya sanaa inapaswa kuelezwa – kwa kutumia kanuni za kisanaa.
66
Wanasema kwamba hapo zamani fasihi ilifanuliwa kwa kurejelea masomo mengine. Jambo hili
lilifanya fasihi kutokuwa somo huru. Ili liwe huru hapana haja ya kurejelea masomo mengine
kama historia, sisiolojia na saikolojia ili kuelezea fasihi. Kwake Shklovsky, fasihi ni tungo
zilizotungwa kwa kutumia mbinu za kipekee za kisanii ili zionekane sanifu kadiri zinavyoweza.
Roman Jakobson naye anasema kwamba lengo la fasihi ni kubainisha usanaa katika sanaa ya
maneno. Usanaa unamaanisha sifa zianzouainisha utunzi hadi kiwango cha kuweza kuitwa kazi
ya fasihi. Kwa ujumla wanaumaumbo wanadai kwamba fasihi inajijua na hujitangaza yenyewe
Kwa mfano, shabaha muhimu ya riwaya ni kusimulia hadithi. Kila kiungo cha kusimulia kipo ili
kuiwezesha riwaya kuwepo. Maudhui yni sehemu ya hayo masimulizi. Jambo hili ni kinyume na
taharuki, sadifa, mtiririko, ploti na muwala) na kuonyesa dhima ya mbinu hizo katika kufanikish
mazimulizi.
Mambo haya yanaweza kubainika katika kazi yoyote ya fasihi. Kutokana na utumiaji wa mbinu
ya sadifa katika riwaya ya Utubora Mkulima, utubora anakutana na wahusika mbalimbali. Kuna
wale anaokubaliana nao kama Radhia na wengine ambao hakubaliani nao kama Sheha na
67
Kwa upande mwingine lengo la utungo wa kishairi ni kudhihirisha mbinu zinazolifanya shairi
kuwa na mvuto wa kishairi kadiri linavyoweza. Ni mbinu gani zimeajiriwa na mshairi kufaulisha
shairi hili:
Ukariri wa maneno ‘wakati’ na ‘lakini’ unalizidishia shairi hili sifa za kishairi pia. Mtunzi
ametumia vina na mizani maalumu. Hali ya ukinzani vilevile inaufanya utungo huu kuwa wa
kishairi.
Mihimili
1. Kazi za fasihi hasa za kishairi zinapaswa kutumia vipengele mahsusi vya takriri.
Orodhesha sifa nyingine za kishairi zinazopatikana katika kipande cha shairi kilichonukuliwa hapo
juu
68
MHADHARA WA KUMI NA MOJA
(c) Kutaja baadhi ya mihimili ya (i) ujenguzi (ii) usemazano na (iii) uhalisiajabu.
Utangulizi
Nadharia za hapo awali zilitia maanani sana mantiki ya usomaji. Kazi ya sanaa ilitarajiwa kuwa
na mashikanamo ambao ungeiwezesha kujitawala yenyewe. Hivyo ndivyo mambo yalivyo katika
nadharia tutakazozungumzia hivi punde zinapuuza mihimili ya kimapokeo kuhusu kazi ya fasihi.
fasihi kama ilivyozewewa na mapokeo si muhimu tena. Nadharia hizi zinashikilia kwamba kazi
(a) Ujenguzi
kwamba muundo wa lugha na fasihi huendelea kubadilika. Kwa upande wa fasihi hii ina maana
69
kwamba kila usomaji wa kazi ya sanaa ni toleo jipya la kazi hiyo. Uhakiki hujaribu kuiweka kazi
Kutokana na madai ya ujenguzi, hakuna toleo la mwisho la kazi ya fasihi. Hii ndio sababu
inayowafanya wahakiki kutoa fasiri tofauti za jambo moja baadhi yazo zinazopingana, maadamu
wana ushahidi wa kutosha. Mwasisi wa nadharia hii alikuwa Mfaransa Jacquies Derrida. Derride
aliamini kwamba neno liliopo huendelea kuahirisha maana yake ya mwisho. Jambo hili huifanya
maana kukosa utengamano. Waitifaki wa ujenguzi kama J. Hills Miller wanasema kwamba
ujenguzi hauivunji kazi ya fasihi vipande vipande. Kinyume na haya, ni nadharia inayosawiri
(b) Usemezano
mwanaisimu na mhakiki wa fasihi Mrusi Mikhail B. Bakhtin. Bakhtin aliishi kati ya mwaka wa
1895 – 1975. Kwake Bakhtin kazi ya fasihi ni uwanja ambao una mwingiliano wa matini. Katika
kazi ya fasihi, sauti mbalimbali zinaingiliana na kupiga mwangwi katika kazi nyinginezo
Bakhtini hakuna matini iliyo asilia zaidi. Kila matini inarejelea matini nyinginezo. Uhusiano
uliopo kati ya hadithi kama Adili na Nduguze na Alfu-Lela Ulela. Kitabu cha kwanza
unathibitisha hoja ya Bakhtin. Kuna mwangwi wa Alfu-Lela Ulela. Kitabu cha kwanza
kumi na tisa na ishirini. Katika uhalisiajabu, matukio yasiyoaminika (ya kifantasia) husawiriwa.
Mambo ya kiajabu yanaelezwa kwa namna ya moja kwa moja na kuonekana kuwa ya kawaida.
ndoto na uhalisi vinachanganywa. Pamoja na haya, mipaka yote huvunjwa. Hata wakati nao pia
Mohamed Dunia Yao (2006) na Mhanga Nafsi Yangu (2011) ni mifano ya kazi za sanaa
Marejeleo
Bakhtin Mikhail. The Dialogic Imagination. Austin: University of Texas Press, 1981.
(Haijachapishwa).
Cooper, B. Magical Realism in West African Fiction. New York: Routledge, 1998.
71
MHADHARA WA KUMI NA MBILI
UJUMI-MWEUSI
Malengo
(d) Kuorodhesha mihimili ya ujumi mweusi na kuonyesha utendakazi wake katika kuhakiki
kazi za fasihi.
Kwa mujibu wa maelezo ya Pio Zirimu (1971), Ujumi ni vigezo vinavyotumiwa kuuanisha
urembo wa sanaa. Vigezo vinavyofaa kutumiwa kuainisha kadhia zenye kuthaminiwa vinatokana
na hali halisi ya jamii inayohusika. Zirimu anasema kwamba jamii mbalimbali zina aina
mbalimbali za ujumi. Jamii za kijamaa zina ujumi wa kijamaa; nazo jamii za kitabaka
hujishughulisha zaidi na kadhia zinazothaminiwa na tabaka tawala. Kwa vyovyote vile, ujumi na
Kiafrika si wahakiki halisi, ni waigaji tu. Uhakiki unaofaa, anaendelea kusema Zirimu, ni ule
Kosa la Mwafrika ni kule kufikiria kwake kwamba Uyunani ndicho kitovu cha kila tulichonacho.
Kuiga kwa mawazo ya Wagiriki hutokea ijapokuwa mawazo hayo yamechafuliwa na wasomi wa
Ili kufahamu sababu zilizowafanya watu weusi popote pale walipokuwa kuanza kushughulikia
urembo wa utamaduni wao, historia yao yapaswa kueleweka. Tangu Mwafrika aanze
vitabu vya kimagharibi vya historia, falsafa vinamsawiri kama kiumbe ambaye hawezi kurithi
chochote kutoka ardhini kwa sababu yeye ni mshenzi kupita kiasi au yeye amelaaniwa kuwa
Kuna hadithi moja katika Biblia inayosimulia juu ya laana iliyowekwa juu ya mmojawapo wa
watoto wa Nuhu kwa kumchekelea babake. Ham alilaaniwa kwa sababu alithubute kuona uchi
wa babake. Kulingana na wageni wengi, kisasili hiki ndicho kitovu cha maumbile ya Mwafrike
na tajriba ngumu alizozipitia. Utumwa mwa Mwafrika, weusi wake na nywele zake ngumu ni
baadhi ya matokeo ya laana ya Nuhu juu ya mwanawe. Hatimaye, Mwafrika anatokana na kizazi
cha Ham. Watoto wengine wa Nuhu walibarikiwa kutegemea kiasi cha fadhila waliyomtendea
Afrika halisi (Afrika Kusini ya jangwa la sahara) haijaingiliana wala kuhusiana na jamii
kusijulikane chochote kilichomo. Afrika ni eneo lililozaliwa juzijuzi, linalobarizi nje ya mipaka
73
ya historia inayofahamiwa na kujulikana. Ni eneo ambalo limefunikwa gubigubi kwa utandu wa
giza totoro, giza la usiku. Ijapokuwa Mwafrika bado anaishi porini na hawezi kamwe kuguwa,
anasawiri kwa ishara za mbali sifa za kibinadamu kama tunavyozifahamu. Hata hivyo, huwezi
kutarajia ustaarabu wa aina yoyote kutokana na kiumbe cha aina hii. Kwa hayo, tunaliacha eneo
ambayo ni mtovu wa historia, iliyokwama katika tope las uasili wake na ambayo haijabadilika
wala kukua tangu hapo na kuota kwake. Tumegusia kwa kifupi sura ya ulimwengu ulivyokuwa
kwa jumla kabla ya taathira zozote za kihistoria kutokea. Historia ya ulimwengu husoma ikitokea
mashariki ikieleka magharibi. Uropa ni hatima ya historia, Asia chanzo chake. (Sehemu hii
Wakoloni, wamisieni na walanguzi wengine na Kizungu waliyjua mambo haya hata kabla ya
kuja barani Afrika. Walipofika, mawazo yao juu ya Mwafrika yalikuwa kitambo yameimarika.
Taasubi ya wageni, pamoja na ukosefu wao wa kuzielewa jamii za Kiafrika katika mising yake
ya kipekee uliwafanya kukubaliana na maoni kama haya. Katika mshabaha huu, kanisa
haikukuwa taasisi iliyowaongoa ‘washenzi’ kutokana na dhambi zao na kuwaleta karibu Mungu;
Kanisa ilikuwa taasisi iliyotumiwa kumleta Mwafrika karibu na utamaduni na ustaarabu wa mtu
mweupe (Fanon).
David Hume anaelezea vingine kuhusu ukosefu wa sayansi na sanaa barani Afrika. Anaamini
74
Baadhi ya wazazi hawa wa mwanzo walikuwa wajinga, wengine walikuwa werevu. Wajinga
walizaa wajinga na werevu wakazaa werevu. Kwa maoni yake Hume, Waafrika ni wajinga kwa
akisema:
Hakujakuwepo na taifa lililostaarabika isipokuwa la watu wenye umbo jeupe. Hata watu
binafsi wenye vipawa vya kutafakari na kuunda ni weupe. Watu wasiokuwa weupe
hawaonyeshi uvumbuzi unaobainisha umakinifu wa kufikiria miongoni mwao; hawana
sayansi wala sanaa. Tofauti hizi sare hazingetokea katika mataifa mengi ya nyakati
nyingi kama watu hao hawangekuwa tofauti tangu hapo na uumbaji (uk. 14).
Maoni kama haya yalipalilia na kukuza falsafa ya kikoloni na utumwa. Nia ya falsafa hii ilikuwa
Ulimwengu wa kikoloni una falsafa kuwa kila kitu kilichomo duniani hutokana na
mwangaza au giza, ama hutokana na kitovu cha halali au cha haramu. Ni dunia
iliyojengeka kwenye nguzo kwamba mtu huzaliwa kitambo akiwa amemarikiwa au
kuharamishwa. Ni dunia iliyojengeka kwenye nguzo kwamba mtu huzaliwa kitambo
akiwa amebarikiwa au kulaaniwa. Mkoloni haridhishwi na kumwaangamiza kiwiliwili
mateke wa utawala wake kwa huduma za jeshi au sakri tu; mkoloni vile vile humhujumu
mtawaliwa kihisia na kinafsi. Mbali na kuonyesha kwamba hakuna thamani zozote
zinazopatikana katika utamaduni wa watawaliwa, au hazikuwemo katika jamii ya
mtawaliwa, yeye mtawaliwa huchukuliwa kuwa mtove wa utamaduni. Pamoja na haya,
mtawaliwa anasawiriwa kuwa pingamizi na hata kile cha kinyume cha utamaduni huo
wenyewe. (Uk. 41).
Hii haikosi kuwa ndiyo sababu mkoloni kufikiria kwamba ingechukua muda mrefu sana kwa
nyanja zote za maisha. Ni upinzani dhidi ya hujuma zilizofanywa na wakoloni dhidi ya heshima
yake. Hata katika zama hizi, rangi nyeusi, katika falsafa za Kimagharibi ni ishara ya mauti na
75
kuzimu; ni ishara ya milki ya shetani. Juu ya kuitetea heshima ya Mwafrika moja kwa moja,
ya istilahi hizi ni kama: Wamerikani Weusi, Waislamu Weusi, Nguvu Nyeusi n.k. Hizi istilahi
zimedhamiriwa kuonyeshwa kwamba Mwafrika ana fahari juu ya utu wake, range yake na hata
matendo yake.
Kwa mujibu wa maelezo ya Lepold Sedar Senghor, Ujumi Mweusi ni ‘jumla ya ustaarabu na
Okot P’Bitek na Chinua Achebe wameusifu utamaduni wa Kiafrika. Achebe amesema bila
kuficha kuwa yeye ni mwamini wa mizimu na miungu wa Kiafrika. Riwaya zake za mwanzo
zina nia ya kudhihirisha kwamba Waafrika walikuwa na utamaduni wao. Achebe amenukuliwa
akisema:
Nitaridhishwa vya kutosha iwapo riwaya zangu (hasa zile zinazosawiri mandhari ya
zamani) hazitekelezi lolote lile isipokuwa kuwafundisha wasomaji wake kwamba zamani
wamisheni wa kwanza.
Tafsiri yetu kutoka ‘The Novelist as Teacher’, katika African Writers on African Writing (ed. G.
D. Killam) uk. 4.
76
Waandishi wengine kama vile Ferdinand Oyono (Boi) na Okot P’Bitek Wimbo wa Lawino
amekasirika, P’Bitek anawatukana Waafrika walioelimika akisema wao ni waigaji kwa kiasi cha
kupotosha yale yanayoigwa. Katika riwaya ya Boi, Oyono anaonyesha ni kwa kiasi gani
mwafrika mwenyewe amekubali kwa hiari yake, kujiweka chini ya himaya ya wakoloni.
Matapo mawili ya ujumi mweusi yalijitokeza katika miaka ya 50 na 60. Moja ni lile la Leopold
Senghor na jingine ni la Aime Cesaire. Kama tulivyotangulia kusema, Senghor, alieleza ujumi
mweusi kuwa ujumla wa mambo yanayojenga ustaarabu wa ulimwengu wa Kiafrika. Kiini cha
mambo haya kilisawiriwa katika weusi wa Mwafrika. Kwa kuwa Mwafrika ni mweusi, ana mila
haya, Senghor na wale waliofuata mitindo yake aliyachukua mambo yale yale yaliyolundikwa
Mwafrika na kumfanya Mwafrika huyo ajihisi kuwa Mwafrika-Mzungu. Katika tungo zake za
ushairi. Senghor alichora bara la Afrika katika taswira za kilimbwende. Alilionyesha bara hili
kuwa na urembo asili na roho tajiri isiyokuwa na uchoyo (Reed, Uk. 50). Mashairi ya Senghor
77
anamopatikana Mwafrika. Jazanda anazotumia mshairi zinaonyesha hali hii. Ushairi wake
unasifu urembo mweusi, na unalingana sana na jinsi Mulokozi anavyomsifu Mtage katika
mgomba taswira alizopewa Mwafrika na mtu mweupe. Badala ya kutumia tamathali zinachukiza
kumdhalilisha.
Senghor aliishia katika kusifu baadhi ya upungufu wa Mwafrika. Pamoja na haya ushairi mwingi
kwa kuwatendea Wafrika nuksani zisizostahili. Kejeli ni kwamba wakati alikokuwa akiandika
Senghor ulikuwa muhula wa utetezi mkali wa kisiasa, ambapo Waafrika katika sehemu nyingi za
Waaidha Senghor aliisifu Ufaransa kwa kumfundisha utamaduni mzuri. Pia, Senghor alimwona
Mwafrika kuwa kiumbe anayehisi zaidi kuliko kufikiria. Naye Mzungu alionekana kuwa kiumbe
kwamba ndoa baina ya tabia za kipekee na kizungu kama vile kutafakari na tabia za kipekee za
Kiafrika kama kuhisi ingezalisha utamaduni mwafaka ambao ungekubalika duniani kote. Bila
ustarabu wa hali ya juu. Pili, na pengine hili ndilo jambo muhimu zaidi, Senghor
78
Amie Cesaire anawakilisha tapo lingine la ujumi-mweusi. Tungo zake zinabainisha kwamba
hapawezi kuwa na uhusiano wa kidugu baina ya Mwafrika na Mzungu ... Anashughulikia sana
taasubi inayomfanya Mzungu kujifikiria kuwa yu bora kuliko Mwafrika. Picha anazotumia
kusawiria dhamira zake zinaonyesha uchungu alionao juu ya madhambi aliyotendewa Mwafrika.
Yeye ni mtetezi wa wala njaa na hafichi chuki yake juu ya mnyanyasaji na mnonyaji wa
Mwafrika. Kwake, vita vya wanaoteswa dhidi ya watesaji wao ni mithili ya mashua inayoelea
Kwa hivyo, Cesaire anamsuta Mzungu akitumia kauli wanazotumia Wazungu kujisifu nazo.
Anasema kwa mfano kwamba ijapokuwa Wazungu wanajisifu kuwa ni wao walioleta ustaarabu,
huo ustaarabu umeletwa kwa kuwatumikisha watu wengine na hana hofu nao.
Ujumi mweusi kama tulivyotangulia kusema ni nadharia iliyozuka katika mazingira ya ubaguzi
wa rangi na ukoloni. Nadharia hii imejizatiti kumrudishia Mwafrika hadhi yake, adi
(i) Nyimbo zinazousifu uafrika na kutilia mkazo usawa wa watu wote weupe kwa weusi.
79
(ii) Majasiri wa Kiafrika kuonyeshwa katika kazi za sanaa.
misimbo).
Maudhui ya Kiafrika
Soma tamthilia ya Wingu Jeusi (1987) na Sumu ya Bafe (2006) (C. N. Chacha). Ainisha na
ujadili sifa za kisanaa zinazotokana na utamaduni wa Mwafrika.
Unafikiria kuna hatari gani zinazoweza kutokana kutumia ujumi mweusi kiholela?
Marejeleo
Achebe, Chinua. ‘The Novelist as Teacher’ African Writers on African Writing. (G. D. Killam).
Cesaire Aime. Notebook of a Return of the Native Land. Middletown, Connecticut Wesleyan
80
Senghor, Leopold Sedar ‘Negritude’ A Humanism of the Twentieth Centyury’, Colonial
Discourse and Post Colonial Theory: A Reader. Ed. Patrick William and Laura Chrisman.
Zirimu, P. O. et. al. Black Aesthetics: Papers from a Colloquim held at the University of Nairobi.
Hitimisho
Katika kazi hii tumejaribu kuainisha baadhi ya nadharia za uhakiki wa fasihi. Pia, tumeonyesha
jinsi zinavyoweza kutumika kuzifahamu kazi tofauti tofauti za fasihi. Soma kazi ambazo
zimetajwa katika mwongozo huu pia ili ufaidike zaidi. Kumbuka kwa kwamba ni kupitia katika
usomaji wa kinadharia ndipo utakavyoweza kujifunza usomaji wenye misingi ya kitaalamu. Hizi
ni baadhi ya Nadharia tu . Utafaidika zaidi ikiwa utarutubisha usomaji wako kwa kusoma vitabu
muhimu kama:
Marejeleo:
Senkoro, Fikeni. Fasihi na Jamii. Dar es Salaam: Press & Publicity centre, 1987.
Wafula, R.M. Uhakiki wa Tamthilia: Historia na Maendeleo yake. Nairobi: Jomo Kenyatta
Foundation, 2003.
81
Wamitila, K.W. Uhakiki wa Fasihi. Nairobi: Phoenix, 2002.
KILA LA HERI
82