Professional Documents
Culture Documents
UJIFUNZAJI/UFUNDISHAJI WA
KISWAHILI KWA WAGENI
Lengo kubwa ni kwamba ili mwanafunzi aweze kujua lugha hiyo kwa
stadi zote za lugha ile. Stadi za lugha ni 1. Kusikiliza 2.kuzungumza 3.
Kusoma 4.kuandika 5. Sarufi 6. Utamaduni wa lugha ile
LUGHA YA PILI
LUGHA YA KIGENI
1) NADHARIA YA UHULKA
2) NADHARIA YA UTABIA
3) NADHARIA YA UTAMBUZI
Nadharia hii iliasisiwa na Jean Hajet (1954)
4) NADHARIA YA UUMBAJI
Muktadha
Tajiriba (experience)
Upangilifu (organization)
Kujenga mazingira ya upekuzi (udadisi_
Kila jamii ina mtazamo wake kuhusu ujifunzaji lugha, mtazamo hasi ndio
ambao huathiri ujifunzaji lugha na kupelekea kutopata motisha wa
kujifunza lugha. Baadhi ya mambo yanayoathiri ni kama vile
ii. Jinsia
iii. Umri
iv. Mazingira
h) Awe mtendaji
MOTISHA
AINA ZA MOTISHA
2. Motisha wa nje
a) Akili ya mwanafunzi: lazima utambue tofauti zao katika akili zao ili
kujifunza lugha
a) Kutoa habari
Kusimulia
Kuuliza
Kutoa taarifa
MASHARTI YA KUZINGATIA
a) Mwanafunzi
b) Mwalimu
c) Jamii
1. Umilisi wa kiisimu
2. Umilisi wa kiisimujamii
NADHARIA ZA KUJIFUNZA
Iliasisiwa na Gouin(1880)
Nadharia hii inaamini kwamba kila lugha ina mfumo wake tofauti na
lugha nyingine, hivyo ufundishaji wa lugha ya pili ulenge kumfanya
mjifunzaji wa lugha kuwa mmilisi au kukaribia kuwa mmilisi wa lugha
anayojifunza
(Mwalimu) (mwanafunzi)-(anabadilika)
Kujua lugha kwa hakika sio kujua kanuni za lugha ile bali ni kujua
namna ya kuwasiliana na watu wa jamii ile kwa kuzingatia mikitadha
mbalimbali ambamo lugha hiyo inatumika
INTERMIDIATE
Get started