Professional Documents
Culture Documents
KENYA UNIVERSITY
NA
1
YALIYOMO
SOMO LA KWANZA ....................................................................................................................................... 3
SILABI .......................................................................................................................................................... 33
SOMO LA TANO........................................................................................................................................... 47
2
SOMO LA KWANZA
Katika somo hili tutaangazia dhana hizi tatu:lugha,fonetiki na fonolojia kwani ndio misingi ya
Shabaha
lugha
fonetiki
fonolojia
Lugha
Kamusi ya Kiswahili Sanifu (2004) inaeleza lugha kama; ni mpangilio wa sauti na maneno
unaoleta maana na hutumiwa na watu wa taifa au kabila fulani kwa ajili ya kuwasiliano; maneno
3
Baye Good, mhariri wa Dictionary of Education, (1973) anaeleza lugha kama ni kiashiria cha
kuwasiliana mawazo na hisia kutika kwa mwanadamu mmoja kwenda kwa pande mbili, lugha
Trudgil (1974) anayeonyesha kuwa lugha ni mfumo wa sauti nasibu zinazotumiwa kwa
Sapir (1921) anasema kuwa lugha ni mfumo ambao mwanadamu hujifunza ili kutumia
kuwasilishia mawazo, maana na mahitaji. Mfano huu hutumia ishara ambazo hutolewa kwa
hiari. Kutokana na maelezo ya kamusi na watu tuliowataja, lugha inaweza kufasiriwa kama
ifuatavyo:
Lugha ni mfumo wa sauti zenye kubeba maana na ambazo zimekubaliwa na jamii ya watu Fulani
4
Lugha pia huweza kuelezwa kama mfumo wa ishara nasibu amabayo hutumika katika
mawasiliano na binadamu.ni mfumo kwa kuwa vipengele vyake vinajitokeza kwa mpangilio
Lugha huhusishwa na binadamu,hii ina maana kuwa ,ingawa wanyama wana uwezo wa
kuwasiliana,wao hawana lugha,hata hivyo mawasiliano huenda yakawepo bila lugha.kuna sifa
Sauti zitokazo kinywani mwa binadamu ndizo zinazohusishwa na lugha.sauti hizi huwa na
sauti hautoshi kuleta mawasiliano,sauti hizi huhitaji kuwekwa kwenye muundo maalumu ili
Sauti k.v /a/,/b/,/e/hazina maana ikiwa hazikuunganishwa lakini /b/ na /a/ zikiunganishwa huleta
silabi ba.silabi ba ikiunganishwa na silabi ingine ba huleta neno baba lenye maana ya mzazi
Mawasiliano hayajitokezi kwa kutumia neno moja tu,yahitaji maneno mengine ambayo
Tukirejelea fonetiki na fonolojia tunabaini kuwa lugha inahusiana kwa kiwango kikubwa na sauti
zinazotamkwa.
5
Fonetiki
Foenetiki matamshi
Foenetiki akustiki
Fonetiki sikizi
1.Fonetiki matamshi
Ulimi
Midomo
Meno
Paa la kinywa
Ulimi
Huwa na sehemu nne kuu bainifu zaidi:sehemu ya mbele hufahamika pia kama ncha ya
ulimi).
6
Midomo
mdomo hubadilika ili kuzitamka kwa mfano mdomo huweza kuviringwa kutamka sauti [o] na
Meno
Meno huweza kutumika kutamkia sauti za Kiswahili.Meno haya huweza kushirikiana na ala
zingine ili kutamka sauti hizi kwa mfano meno ya juu hushirikiana na mdomo wa chini kutamka
Meno ya pande mbili hushirikiana na ncha ya ulimi ili kutamka sauti [d] na [nd]
Paa la kinywa
1.Sehemu ya mbele
2.Sehemu ya katikati
3.Sehemu ya nyuma
7
Sehemu hii hujulikana kama kaakaa,sehemu hii huwa laini.huweza kugusana au kukaribiana na
Zoezi
2.Fonetiki Akustiki
mfano vokali [a] hutamkwa midomo ikiwa imetandazwa ilhali vokali [o] hutamkwa midomo
ikiwa imeviringwa.
3.Fonetiki Skiizi
Kiwango hiki cha fonetiki hujishughulisha na jinsi sauti inavyopokelewa na mskilizaji kutoka
kwa msemaji.kwa mfano ikiwa msemaji ametamka sauti[f] mskilizaji anaeza akaipokea kama
Fonolojia
8
Fonolojia huwa ina viwango vitatu:
Fonolojia nadharia
Fonolojia zalishi
Fonolojia tendaji
Fonolojia nadharia
Fonolojia zalishi
Fonolojia zalishi huzingatia lugha kama mfumo wa sheria unaowakilisha ujuzi wa mtu
binafsi.kupitia fonolojia zalishi mtu huweza kuzalisha sauti za lugha kwa kuzingatia mfumo wa
sheria.
Fonolojia tendaji
Fonolojia tendaji ni ulimisi wa mfumo bayana wa sauti ambao humwezesha msemaji kueleweka
Muhtasari
Katika somo hili tumweza kubaini maana ya lugha,fonetiki tukabaini imegawaika katika
fonolojia ambayo tumeona ina viwango vitatu pia ,fonolojia nadharia,fonolojia zalishi na
fonolojia tendaji.
9
Zoezi
Lugha
Fonetiki
Fonolojia
10
Marejeleo
11
SOMO LA PILI
SAUTI ZA LUGHA
Utangulizi
kama vile mlio na usemi kulingana na kamusi ya Kiswahili(1981).katika somo hili tutaangazia
Shabaha
1.Foni
Foni ni sauti ya lugha,sauti za lugha huweza kubainishwa kwa vikundi viwili vikuu:
Vokali
konsonati
12
2.Sauti
kwa mfano neno #baba# limeundwa na sauti [b] na sauti [a] ambazo zimejirudia.
Kila lugha huwa na sauti zake .Kiswahili kina sauti zake zenye kugawika katika makundi mawili
Maana ingine ya sauti ni kuwa ni kipashio kidogo zaidi cha mfumo wa sauti ambacho hubainika
kimatamshi.
Ebu sasa tutazama sauti kuu amabazo ni vokali na konsonati.Konsonanti ni sauti amabazo
Jedwali hili linaonyesha konsonanti za Kiswahili pamoja na zingine chache kutoka lugha
A)KONSONANTI(K)
B B baraka kiswahili
P P penzi kiswahili
Mb Mb mbuzi kiswahili
13
ɸ B bata Thamani kikuyu
F F figo kiswahili
V V vazi kiswahili
Ɵ Th thama kiswahili
Ð Dh dhana Kiswahili
M M maji kiswahili
T T tendo kiswahili
D D dawa kiswahili
Nd Nd ndovu kiswahili
N N neno kiswahili
S S sifa kiswahili
Z Z zana Kiswahili
L L leso kiswahili
R R radhi Kiswahili
Š Sh shule kiswahili
Č Ch chama kiswahili
J J jina kiswahili
14
ɲ Ny nyani kiswahili
ɲǰ Nj njama kiswahili
J Y yungi kiswahili
K K kambi kiswahili
X Kh kheri Kiswahili
ŋɡ Ng ngoma Kiswahili
ŋk Nk nkoro kikisii
ɡ G gereza kiswahili
H H hali kiswahili
b)Vokali
Vokali ni sauti inayotamkwa kwa mkondohewa pana,na kwa hivyo,mkondohewa huwa huru
I imba Kiswahili
Ɛ E embe Kiswahili
15
Æ A animal Mnyama kiingereza
A A ada Kiswahili
Ɔ O ono Kiswahili
Ikumbukwe !!!
Zoezi
kifonetiki:
Mchochezi
16
Dhahabu
Juu
Tamthil
3.Fonimu
Fonimu ni kipashio kidogo zaidi cha mfumo wa sauti ambacho hutumika kubainisha maana za
Kwa mfano neno #Vua# Tukibadili sauti [v] kwa sauti [f] tutapata neno #fua# ambalo maanake
ni tofauti kabisa na vua. Kwa hivyo ni bayana kusema kuwa sauti [v] na [f] ni fonimu za lugha
ya Kiswahili.
Neno #Oa# tukibadili sauti [o] kwa sauti [u] tutapata neno #Ua# ambalo ni tofauti kimaana na
neno oa.hivyo sauti [o] na sauti [u] ni fonimu za lugha ya Kiswahili kwani ni vipashio vidogo
Msingi wa fonimu ni foni yaani sauti za lugha hutambuliwa kuwa foni kwanza,kisha fonimu
17
Fonimu huweza kutambuliwa kwa kuangalia ulinganifu wa matamshi ndiposa uweze kubaini
jinsi sauti zinatumika kutofautisha maana.kuna njia tatu kuu za kutambua fonimu:
mfano vokali [a] ina sifa tofauti na vokali [o] kwa kuwa vokali [a] inapotamkwa sifa kuu ni
kuwa midomo hutandazwa ilhali unapotamka vokali [o] midomo huwa imeviringwa.
Mbinu hii ya kutambua fonimu husisitiza matumizi ya sauti moja pekee pahala sawa,inasisitiza
3.Ubainifu Wa Maana
Mbinu hii husisitiza tofauti za maana za maneno linganuzi.Kunaweza kutokea tabadili ya sauti
na kwa hivyo tofauti za matamshi,bila kuleta ubainfu wa maana.aina hii ya tabadili ikitokea basi
foni husika huwa hazitambuliki kuwa fonimu tofauti bali huwa ni alofoni za fonimu moja.
Zoezi
mengine,kutokana na haya:
a)Imba
b)Pika
c)Ota
18
4.Alofoni
Huwa ni sura tofauti za fonimu moja,kwa kifupi ni foni tofauti ambazo hurejelea fonimu moja.
#heri#
#habari#
#kheri#
#khabari#
Katika mifano hii yetu wengi hutumia sauti [h] badala ya [x]-kh. Kwa hivyo sauti [h] na sauti [x]
Zoezi
19
Maumbo Ya Sauti
Umbo la sauti hurejelea vipengele vya muundo wake.Umbo hili hudhihirishwa na idadi na hali
Sauti sahili
Sauti wakaa
Sauti changamano
1.Sauti sahili
Huundwa kwa kipengele kimoja na kuwakilishwa kwa herufi moja.sauti sahili hurejelea foneta
a)K K V V
K S I U
2.Sauti Wakaa
Aina hii ya sauti hujumuisha sauti mbili zenye muundo sawa.Ishara ya nukta mbili,[:] hutumika
20
K VV
P a:
3.Sauti changamano
Aina hii huwa ni mseto wa sauti sahili mbili au zaidi zenye muundo tofauti.Mseto huu unaweza
Mfano wa sauti changamano za asilia ni [mb] na [nd] sauti hizi hutumika katika
maneno:#mbwa# na #ndizi#
K K V V
PW N a i
Muhtasari
21
Katika somo hili tumweza kubaini dhana ya sauti,foni,fonimu na alofoni.tumeona kuwa msingi
sahili,wakaa au changamano.
Zoezi
Fonimu
Foni
Alofoni
Marejeleo
Press.
22
SOMO LA TATU
SIFA ZA SAUTI
UTANGULIZI
Katika somo la pili tuliweza kubaini kuwa kuna aina mbili kuu za lugha ya Kiswahili:konsonanti
na vokali.katika somo hili tutaangazia sifa za kila mojawapo ya sauti hizi kuu mbili.
Shabaha
Sifa ni sura yoyote ya kimatamshi ambayo hutumika kubainisha sauti moja au aina ya sauti.
Sifa Za Konsonanti
Konsonati ni sauti ambazo hutamkwa kwa ukuruba ambao husababisha uzuilifu Fulani wa
mkondohewa pahali na jinsi ya kuvitamka.kutokana na maelezo haya tunapata sifa mbili kuu za
konsonanti:
Jinsi ya kutamka
Pahali pa kutamkia
23
1.Jinsi Ya Kutamka
hali mbalimbali,hali hii husika husababisha athari ya mpito wa hewa.Kipengee hiki huoreshesha
A)Vipasuo
Hizi zinapotamkwa hewa itokayo mapafuni husukumwa kwa nguvu na kuzuiwa kinywani kisha
huachiliwa kwa ghafla na kutoa mlio unaofanana na baruti inapolipuka.nazo katikia Kiswahili ni
[p],[b],[t],[d],[k] na[g]
B)Kizuio-Kwamiza
Hizi zinapotamkwa hewa toka mapafuni husukumwa nje kwa nguvu kisha huzuiwa kinywani.
Nafasi ndogo huachwa baina ya ala za kutamkia,hewa hii hupita kwa kukwaruza na kusababisha
Zoezi
Unagundua nini?
C)Vikwamizi/Vikwamizo/Vikwaruzo
Hizi zinapotakwa hewa toka mapafuni hupitishwa taratibu na polepole ,ala za kutamkia nazo
24
Sauti hizi katika Kiswahili ni [s],[t],[Š],[gh],[h],[ž],[z][x],[y],[f] na [v]
D)Kitambaza
Hizi zinapotamkwa hewa huachiliwa kwa namna ya kutambaa kinywani kisha huzuiwa na
kuruhusiwa ipite taratibu pembeni mwa ufizi na ncha ya ulimi.kitambaza katika lugha ya
Kiswahili ni [l]
E)Kimadende
F)Ving’ong’o
Hivi vinapotamkwa hewa kutoka mapafuni huzuiwa kuingia kinywani,badala yake huingia
[m],[n],[Ŋ] na [ɲ]
G)Viyeyusho
Hivi hutamkwa kwa kusukuma hewa kwa nguvu hadi kwenye kinywa,huzuiliwa
mdomoni.Midomo nayo hufanya umbo la mviringo kisha ulimi hupindwa na kugusa ala
25
2.Pahala Pa Kutamkia
ifuatavyo:
A)Vimeno
Konsananti zinazotamkiwa menoni ni kama [f],[v] ambazo meno ya juu hushirikiana na mdomo
wa chini kuzitamka na[Ɵ],[ð] meno ya pande zote mbili hushirikiana na ncha ya ulimi
kuzitamka.
B)Vimidomo
Midomo miwili huweza kutumika kutamka konsonanti za aina hii.konsonanti hizi ni kama
[p].[b],[mp],[m],[O] na [3]
C)Viburutio
Konsanati hizi hutamkiwa katika burutio,burutio ni sehemu ya katikati ya juu zaidi la paa la
[č].[Š],[ž],[ǰ],[ɲǰ],[ɲ] na [j]
D)Vimasine
Vimasine hutamkwa katika masine,Masine ni sehemu ya mbele ya paa la kinywa ambayo pia ipo
nyuma ya ufizi wa juu,kutamka konsonanti za aina hii masine hushirikiana na bapa la mbele la
ulimi.
26
E)Viglota
Glota ni mwanya unaopenye katikati mwa kongomeo na kooni ambayo pia huzingirwa na nyuzi
F) Vikaakaa
Sifa hizi mbili za kuanisha konsonanti zinaweza kuonyesha kwa kupitia jedwali lifutalo.
Vipasuo Pb t d k g
Vizuiwa ts dz č ǰ
Vikwaruzo Øß f vøð s z Šž x y H
Kitambaza mp mb mf mv nƟ nt nd ns ɲč ɲǰ ŋg ŋk
nð nz
Nazali m n ɲ Ŋ
Vilainisho rl
Viyeyusho w j W
27
Konsonanti za Kiswahili zinaweza kuaainishwa pia kwa sifa ya ughuno.Mghuno ni mrindimo
unaoletwa na mtetemo kasi wa nyuzi za sauti,hali hii huweza kubainsha konsonanti kwa
makundi mawili:
Hali ya
Vipasuo P b mp mb
t d nt nd
k g ŋk ŋg
č ǰ ɲč ɲǰ
Vikwaruzo f ß mf mß
Ɵ v nƟ mv
s ð ns nð
Š z ɲŠ ndz
x ž ŋx ɲž
ɸ y mɸ ŋy
28
Sifa Za Vokali
Matamshi ya vokali huwa hayana uzuilifu wa hewa kama ule wa konsonanti ,hivi ni kusema
Umbo la midomo
Ulalo wa ulimi
Uinuko wa ulimi
A)Umbo La Midomo
Sifa hii hurejelea jinsi mdomo huwa wakati wa kutamka vokali hizi,midomo aidha huviringwa
au kutandazwa.
1.Vokali viringe
2.Vokali tandaze
Hizi huweza kutamkwa midomo ikiwa imetandazwa,mfano wa vokali hizi ni:[a],[e] na [i]
B)Ulalo Wa Ulimi
Vokali za Kiswahili zinapotamkwa ulimi huweza kulala aidha ukielekea bapa la ulimi,nyuma
kulekea shina la ulimi au ndani katikati mwa mwili wa ulimi hivyo basi tukirejelea haya tunapata
29
Vokali za mbele:[i] na [e]
Vokali za ndani:[a]
C)Uiniko Wa Ulimi
Wakati wa kutamka ulimi huweza kushuka au kuinuka viwango mbalimbali kutegemea na sauti
Vokali za juu:[i]na[u]
Vokali za chini:[a]
Sifa hizi mbili kuu za vokali[uiniko na ulalo wa ulimi) zinadhirishwa katika jedwali lifuatalo.
Juu I u
Kati ɜ o
e ɔ
Chini ɒ
æ a ɑ
30
Zoezi
[m]
[b]
[o]
[e
Muhtasari
Katika somo hili tumeweza kufafanua sifa za sauti za Kiswahili(vokali na konsonati)katika soma
31
Marejeleo
Hyman,L.M(1975).Phonolgy:Theory &Anaysis.Newyork:HRW
32
SOMO LA NNE
SILABI
Utangulizi
Katika somo hili tutaangazia silabi inavyodhihirisha ruwaza za sauti za lugha.kufanya haya
Shabaha
Dhana Ya Silabi
Silabi huwa ni tamko katika mfumo wa sauti ambalo huwa ni irabu au konsonati na irabu.
Silabi ni kiungo cha neno ambacho kwa kawaida hujumuisha vokali moja au badili la
vokali.maneno yote ya lugha moja inafaa iweze kijigawa silabi zenye ruwaza dhahiri
Kwa mfano neno #baba# limeundwakwa silabi mbili ambazo ni SbaS na SbaS
33
Mwambatanisho wa sauti ndiyo hali ya kawaida ya kipashio cha silabi,ijapokuwa pia sauti moja
pekee huweza kuunda silabi. Kwa mfano katika neno #mti# sauti ya kwanza imeundwa kwa
ZOEZI
ngapi.
Ndege
Mtu
Kazi
Maumbo Ya Silabi
Umbo la silabi hurejelea idadi ya vokali na konsonanti zilizotumika kuunda silabi hio.Maumbo
ya silabi za Kiswahili huwa ya aina tofauti kulingana na idadi ya foneti na aina ya mpangilio wa
foneti hizi.
1.Umbo la KV
2.Umbo la V au N
3.Umbo la KK
34
4.Umbo la KVK
1.Umbo la KV
Umbo hili ndilo umbo bia la silabi,hurejelea konsonanti mwanzo kisha vokali,kwa mfano hili
#pa# SpaS:KV
#juu# Sju:S:KV
2.Umbo la V au N
Umbo hili hurejelea silabi za Kiswahili ambazo huwa na sauti moja aidha vokali au nazali.sauti
kwa mfano katika neno #uzi#-neno hili limundwa kwa silabi mbili ambazo ni SuS na SziS
Nazali inapotumika mwanzoni mwa neno huchukuliwa kama silabi moja,kwa mfano katika
maneno:
#mti#----------
#nzi#.............
35
Zoezi
silabi.
3.Umbo la KK
Silabi zenye umbo hili la KK huwa na silabi mbili zenye umbo la konsonanti,konsonanti ya pili
ya umbo hili huwa ni nazali au kilainisho.Umbo la aina hili linadhihirika vyema katika lugha ya
kiingereza.
#table#
4.Umbo la KVK
Umbo hili hudhirisha kuwepo kwa silabi iloundwa na silabi konsonanti,vokali kisha konsonanti
Muundo Wa Silabi
36
Kilele
Fungio
Tangulio
1.Kilele(LE)
Katika lugha ya kiswahili kilele huwa ni kiungo ambacho kwa kawaida huwa sauti ya
LE V(N)(L)
Ambamo N=n(m)
L=l
2.Fungio(FU)
Fungio ni kiungo cha silabi ambacho hufuata kilele.huweza kuundwa kwa konsonanti moja au
zaidi.
FU K (O)
3.Tangulio(TA)
Tangulio ni sehemu inayounga sauti zote ambazo huja awali ya kilele(yaani kabla ya
37
Viungo hivi viatatu vya muundo wa silabi huweza kujiunga na kudhirisha vipengele viwili
Kina hujumuisha kilele na fungio,lakini iwapo silabi haina fungio basi kilele pekee huwa kama
kina.
KI LE -FU (LE)
Mahusiano haya ya silabi yanadhirishwa vyema kwa kutumia mchoro wa matawi kama
ifuatavyo:
SI KVK:$nam$ ya neno#nam#
SI
TA KI
LE FU
K V K
N a m
38
(4:12) SI V: $a$ ya #a $ da#
39
(4:15) SI N: $m$ ya #m $ tu#
40
Sifa Za Silabi
Katika kutathmini sifa za silabi,mtu hurejelea muundo wa kina,awali tulisema kuwa kina ni
Silabi wazi
Silabi funge
Silabi nyepesi
Silabi nzito
1.Silabi wazi
Silabi wazi huwa hazina fungio hivyo basi huweza kuishia kileleni.Huweza kukomea kwenye
41
(4:17)
(a)
2.Silabi Funge
Aina hii ya silabi huishia kwa sauti ya konsonanti.konsonanti hi indo hutumika kufungia silabi.
4:18
42
3.Silabi Nyepesi
Silabi nyepesi huundwa kwa kina cha vokali sahili,vokali changamano,mseto wa konsonanti
Silabi inaweza kuwa nyepesi wazi au nyepesi funge.mfano wa nyepesi wazi ni kama $ni$ na
4:19
4:20
43
4.Silabi Nzito
Aina hii ya silabi huundwa kwa kina cha vokali wakaa,mseto wa vokali wakaa na konsonanti
moja au mseto wa vokali fupi na konsonanti mbili au zaidi,yaweza kuwa silabi nzito wazi kwa
Muhtasari
44
Katika somo hili tumweza kufasili maana ya silabi,maumbo ya silabi na sifa za silabi na
Zoezi
Ofisi
Dawati
Akustikia
Marejeleo
Hyman,L.M(1975).Phonolgy:Theory &Anaysis.Newyork:HRW
Press.
45
46
SOMO LA TANO
ARUDHI YA SAUTI
Utangulizi
Katika somo lililotangulia tuliweza kuangazia ruwaza na mahusiano ya sauti,katika somo hili
Shabaha
Arudhi maumbo
Arudhi maumbo huzingatia jinsi vipashio hivi hujengwa.kwa mfano husisitiza kuwa silabi ni
47
Nayo neno licha ya kuwa kiungo chake ni silabi,inafasiriwa kuwa kipashio kinachojisimamia
Sentensi :Baba anapika chakula.-sentensi hii yetu imeundwa kwa maneno matatu:#baba#
Maneno katika sentensi huwa yameundwa kwa silabi tofauti kwa mfano mengine yameundwa
Umbo la neno hurejelea idadi ya silabi wala sio foni manake silabi kamili ni rahisi kutamka na
a)#juu# $ju:$
b)#sema# $S)ma$
Maumbo haya ya maneno huwakilishwa kwa michoro matawi.michoro hii inaonyesha moja kwa
A) NE
(NE)--------Ni neno
SI (SI)……..Ni silabi
48
Ju:
B) NE
So ma
C) NE
SI SI SI SI
U so ma ji
Kirai tonishi
49
Ni mfululizo wa usemi wenye mawimbi bayana ya sauti.Mawimbi haya ya sauti hujengwa
kupitia kwa kidatu cha sauti.kidatu cha sauti ni kule kupaa kwa silabi moja ikilinganishwa na
nyingine ambata.
Mfano kauli “kingereza ni lugha ya silabi ngumu”,Kauli hii ina virai viwili ambavyo ni:
a)kingereza ni lugha
kirai cha kwanza(kingereza ni lugha) kina silabi saba ilhali kirai cha pili(ya silabi ngumu)ina
silabi sita.
KA
KI KI
50
SI SI SI SI SI SI SI SI SI SI SI SI SI
Arudhi sifa
Wakaa wa sauti
Shadda ya sauti
1.Wakaa wa sauti
Wakaa husimamia wingi wa muda wa matamshi ya silabi moja ulio tofauti na umbo lingine
linganifu kimuundo.
Wakaa wa sauti huonyeshwa kwa kutumia nukta mbili[:] kwa mfano neno
51
Wakaa fonetiki
Wakaa leksia
Wakaa fonetiki
Mfano
#paa# pa:
Wakaa leksia
a)#mchuzi# na #mchuuzi#
b)#bidi# na #bidii#
#mchuzi# [mcuzi]
#mchuuzi# [mcu:zi]
#bidi# [bidi}
#bidii# [bidi:]
52
Wakaa huzingatia hoja kwa muda wa kutamka sauti moja,muda mfupi unaotumika huitwa mora.
Mora moja huweza kukadria muda wa kutamka vokali sahihi kama vile [a],[e] nakadhalika au
Kidatu ni hali ya kupaa kwa silabi moja ikilinganishwa na nyingine ambata.au yaweza
kufasiriwa kuwa ni ile hali ya kupanda au kushuka kwa sauti wakati wa matamshi.
Katika kutamka silabi -mwa sauti huwa inapanda ilhali ukitamka silabi -shi sauti huwa inashuka
Kushuka au kupanda huku kwa sauti hutegemea mtetemo wa nyuzi za sauti ndani ya glota.
Kidatu chachini(CH)
Zoezi
ukucha
lala
53
mwaki
Toni
Tonisho
Toni
Toni ni daraja ya kidatu ambayo huhusika na maneno,toni hii yaweza kuwa toni fonetiki au toni
ya kileksia.
Toni fonetiki huzingatia matamshi sahihi,ambayo yaweza kuwa toni sahili au toni mseto.Toni
sahili huenda sawa na idadi ya silabi katika neno,hii ni kusema kuwa idadi ya toni na ile ya silabi
kwa mfano katika neno #baba# idadi ya silabi ni mbili sawia na idadi ya toni ambazo ni mbili.
Silabi: ba $ ba
Toni: KA KA
Neno letu #baba# limeundwa na silabi mbili,limeundwa na toni mbili ambazo ni za kidatu cha
kati(KA)
54
ZOEZI
Toni mseto hujumuisha ufululizo wa upinde wa viwango viwili au zaidi vya kidatu katika silabi
Tonimu
Ni ruwaza za toni bainifu,lugha moja huenda ikawa na tonimu zaidi ya mbili au nne.Tonimu ndo
55
Iria JUCH ziwa
Lugha nyingi hutumia kidatu cha juu na chini,ni baadhi ya lugha tu hutumia vidatu vyote vitatu.
Tonisho
Jina lingine la tonisho ni kiimbo,huweza kutumiwa kusimamia ruwaza ya kidatu cha daraja ya
kirai.
Watu wanapozungumza ,matamshi yao hutegemea hali zao au maumbile yao na yale
wakati akiwa na huzuni,vivyo hivyo iwapo anatoa maelezo ,matamshi yake yatakuwa tofautu na
a)Amefika?
B)Amefika.
c)Amefika!
56
Amefika? KA CH KA JU swali la kawaida
Amefika! CH CH JU JU mshangao
3.Shadda Ya Sauti
Shadda ni mkazo mzito wa silabi moja ikilinganishwa na nyingine yenye umbo sawa .Hii ni sifa
inayoshughulikia namna watu huongeza nguvu katika baadhi ya sauti za maneno na ukali ilhali
Baadhi ya maneno hubadilisha maana kutegemea sehemu ya sauti inayotiliwa mkazo kwa mfano
neno barabara likitamkwa kwa kutilia mkazo(bar-r-abara) yaani sawasawa lina maana tofauti na
Kiwango cha uzito wa shadda hutegemea wingi wa nguvu za hewa inavyosukumwa kutoka
Shadda neno
Shadda silabi
Mfano katika neno #barabara# hamna mkazo ambao hutuliwa katika kutamka hivyo maana kuwa
ni njia
#bar-a-bar-a# katika mfano huu mkazo umetiliwa katika silabi hivyo basi maana kubadilika na
kuashiria (sawa)
57
Baadhi ya lugha hudhirisha daraja zingine mbili za shadda:
Shadda nzito
Shadda hafifu
Shadda nzito huwakilishwa kwa ritifaa ya juu(‘) mfano neno ng’ombe shadda nzito ni ng’
Viwango vingine vya shadda huonyeshwa kwa kuongeza alama(x) juu ya ile ya silabi.
Shadda nzito x x x
Shadda silabi x x x x x x x x x x x x x
Ikumbukwe kuwa.
58
Shadda tuli
Shadda huru
Shadda tuli hubaki au kutua kwa silabi bayana licha ya urefu wa umbo la neno.huweza kuelezwa
kwa kifupi kwa kutumia sheria ya kijumla inayosema shadaa(SHA) huwekewa silabi(SI) ya pili
SI [+SHA] /-SI#
Shadda tuli hujulikana kama shadda fonetiki kwani hutawaliwa na kanuni za matamshi pekee.
Shadda nzito:x
Shadda silabi:xx
Shadda huru huweza kutumika kileksia ambapo ruwaza za shadda hubainisha maana za
kimsingi.mfano
Shadda nzito:x x x x
59
Umbo-neno:in valid in vaelid kon tent kan tent
Ni bayana kuwa ruwaza ya shadda huleta tofauti za kimofolojia pia kwa mfano katika neno la
Shadda nzito:x x
Shadda silabi:xx xx
Muhtasari
Katika somo hili tumeweza kuangazia maana ya arudhi ya sauti,mitazamo yake,sifa za arudhi za
Zoezi
Wakaa wa sauti
Shadda ya sauti.
60
Marejeleo
Hyman,L.M(1975).Phonolgy:Theory &Anaysis.Newyork:HRW
61
SOMO LA SITA
MAGEUKO YA SAUTI
Utangulizi
Katika masomo yote yalotangulia tuliangazia sauti za lugha,sifa za sauti hizi za lugha,ruwaza ya
sauti na arudhi ya sauti,katika somo hili tutangazia mageuko ya sauti kwani sauti huenda
Shabaha
Mageuko ya sauti ni ubadiliko wa muundo wa sauti katika neno moja likilinganishwa na hali
Y i
62
Kuna mageuko ya kihistoria na mageuko ya muda wa usemi
Vikwazo vya ruwaza ya sauti moja katika maumbo ya silabi na hata maneno
Mageuko ya sauti hutegemea kanuni Fulani za matumizi ya lugha husika kwa ujumla.kanuni hizi
hushirikiana na ishara maalumu ambazo huweza kubainisha mageuko haya pamoja na mazingira
ya mageuko haya.
Kwa mfano vokali[u] ambayo inapatikana katika sehemu ya juu nyuma huweza kuyeyuka na
kuwa [w]
U w / -a
Muungano wa sauti
Udodonsho wa sauti
Uchopeko wa sauti
Usigano wa sauti
Usimilisho wa sauti
63
1.Muungano wa sauti
Ni aina ya mageuko ya sauti ambayo huwa ni mseto wa sauti mbili ambazo huungana kuunda
Sauti hii mpya iloundwa hushirikisha sifa toka kila moja ya sauti asilia.
Kwa mfano vokali ya chini[a] huungana na ya juu mbele[i] kuunda vokali ya kati mbele[e]
a+i e
mifano ya maneno
/wa+izi [wezi]
/wa+ingi [wengi]
/ma+iko [meko]
Muungano wa vokali hizi mbili ni mseto wa sifa.sifa za chini(CH) na juu(JU) kabisa au juu-
64
ZOEZI
sauti moja.
2.Udondosho Wa Sauti
Hii ni aina ya mageuko ya sauti ambapo sauti au silabi hutoweka katika muundo Fulani wa
kwa mfano
a) Vokali [a] inapotumika katika tamati ya neno tangulizi na pia awali ya neno ambata,husikika
/wataka#aje/ [watakaje]
/dada#amefika/ [dadamefika]
ZOEZI
udondosho.
65
B)Udondosho wa silabi
Udodonsho wa silabi huweza kudhirika katika lugha ya Kiswahili ambapo baadhi ya kauli
Kwa mfano:
/Mbwa#wangu/ mbwangu
/Kaka#yangu/ kakangu
/Shangazi#yao/ shangazio
ZOEZI
C)Udondosho wa vimilikishi
/ja+aŋgu/ [jangu]
/li+akƐ/ [lakƐ]
/ja+Ɛtu/ [jƐtu]
/pa+akƐ/ [pakƐ]
66
Kuna baadhi ya mgeuko unaohusu utohozi wa mikopo,kwa mfano lugha ya kidholuo inapokopa
mfano
Kiswahili kidholuo
Kitabu kita:b
Kalamu kala:m
3)Uchopeko Wa Sauti
Uchopeko wa sauti hurejelea hali ya kuingiza sauti katika umbo asilia au kauli ya kimsingi zaidi.
Kwa mfano badala ya kutamka neno #fua# utapata msemaji ameongeza silabi $w$ na hivyo
Mifano zaidi
[kua] [kuwa]
[arusi] [harusi]
[lia] [liya]
Uchopeko huweza kutokea katika uambishi wa nomino na vitenzi ambazo huchopeka sauti
Kwa mfano tukirejelea lugha ya Kiswahili,Kiswahili sanifu huchopeka vokali ya juu[i] ndani ya
67
Mfano
Mtaro mitaro
Mti miti
Mstari mistari
yetu.
Utohozi wa mikopo unaweza kuchopeka silabi kamili kwa mfano lahaja ya kimaasai,huchopeka
Mfano:
Kiswahili kimaasai
Birika Ɛmbirika
Kikombe Ɛŋkikombe
Utohozi wa mikopo ya Kiswahili kutoka kingereza huchopeka vokali ndani ya tamati ya neno
kama ifutavyo:
Kingereza kiswahili
Card kadi
Hospital hospitali
Office ofisi
68
Kila mazingira ya uchopeko inahusu sauti ya konsonanti.
Ǿ V / K-
4.Usigano wa sauti
Mfano vokali za juu katika lugha ya kiswahili [i],[e],[u] na [o] huweza kuyeyuka na kuwa [j] au
A) u+v-------------w:
/mu+aka/ [mwaka]
/mu+ili/ [mwili]
b) i+v----------------j:
/afi+a/ [afyia]
/Vi+ama/ [vyama]
Uyeyusho huu wa vokali hutokea sawia na umilisho wa kiyeyusho kwa konsonanti ambata na
69
Usigano mwingi hudhihirika vyema katika lugha ya kikuyu. Kwa mfano katika mazingira ya
vikwamizo sighuna[-GH] vya ulimi na paa la kinywa,kiambishi {ko} hugeuka na kuwa [yo],
a)ko yo/Ǿ:
b)ko yo/-t:
c)ko yo/-Š:
d)ko yo/-k:
5.Usilimisho Wa Sauti
70
Aina hii ya mgeuko hueleza athari za sauti moja kwa nyingine zinazoleta ukuruba zaidi wa
Pahala pa kutamka
Jinsi ya kutamka
Usilimisho tangulizi
Usilimisho fuatilizi
Usilimisho Tangulizi
Usimilisho tangulizi wa pahala pa kutamkia hutokea kwa wingi pale ambapo sauti ya nazali
inaambata kikwamizo hivyo sauti ya nazali husilimishwa na kufanywa kuchukua umbo la nazali
ya pahala pa kutamkia.
Kanuni ni: N N / -K
[+PA] [+PA]
Vikwamizo vya Kiswahili [b],[d],[g] na [j] huaminika kuwa msingi wa nazalishi awali
linganifu:[mb],[nd],[ŋg] na[nj].
71
Mofimu {n}huweza kuchukua umbo la nazali ya pahali pa kutamkia kikwamizo kinachotumika
Mfano
/N+buzi/ [mbuzi]
/N+dovu/ [ndovu]
/N+gazi/ [ngazi
huweza kusilimisha maneno yanayoanza na sauti [l] na kuyafanya yawe katika hali ya
ukanusho,kwa mfano:
Literate illiterate(asiyesoma)
Legible illegible(isiyosomeka0
Legal illegal(haramu)
Iwapo sauti ya awali ya shina ni [r] basi usimilisho wa [l] hugeuka kuwa [r]
il ir /r:
il+relevant irrelevant
il+religious irreligious
il+regular irregular
72
Usimilisho tangulizi wa vokali hutokea katika lugha ya Kiswahili katika wingi wa vitenzi
vyake.kwa mfano katika umoja kitenzi huwa kinamalizia kwa vokali ya chini[a],lakini
inapokuwa katika hali ya wingi huweza kuchopeka mofimu{ni}ivo basi kufanya kiishio {a}
kuwa {Ɛ}
Mfano :
/Andika+ni/ [andikeni]
/pika+ni/ [pikeni]
/fua+ni/ [fueni]
/Soma+ni [someni]
Kutokana na mifano hii yetu ni bayana kuwa vokali ya juu[i] inasilimisha ile ya chini[a] na
kuigeuza kuwa vokali[Ɛ] ambayo ni ya kati.Hii ni kudhihirisha kuwa vokali ya chini hugeuzwa
V V/ -V
Muhtasari
73
Katika somo hili tumweza kubaini mgeuko wa sauti na tukaweza kubaini aina tano ya
umefafanulia wazi.
Zoezi
Muungano wa sauti
Uchopeko wa sauti
Usigano wa sauti
Usilimisho wa sauti
74
Marejeleo
Loanwords.Ph.D.Thesis:Kenyatta University.
75