Professional Documents
Culture Documents
BEWA KUU
JINA. :HELLEN.M.NYAMWEYA
NAMBARI YA USAJILI:MS/KIS/5467/21
Uchunguzi nyanjani
Uchunguzi shirikishi/Usoshirikishi.
MWAKA. :2020/2021
MUHULA. :KWANZA
TAREHE. : 03/03/2022
1)DHANA YA UTAFITI
Utafiti ni uchunguzi unaotumia mbinu za kisayansi katika kutafuta taarifa juu ya Jambo fulani.
Utafiti hujumuisha kazi ya ubunifu ambayo hufanywa kwa misingi ya utaratibu ili kuongeza
maarifa ya elimu mfano; Ujuzi wa wanadamu.
Utamaduni na jamii.
a) Utafiti wa msingi
b) Utafiti wa matumizi
UTAFITI WA MSINGI
Ni utafiti unaolenga kupata maarifa au mawazo mapya juu ya tabia ya viasili vinavyoweza
kubadilika kukiwepo hali fulani.
Utafiti wa namna hii huzingatia sana kutumia matokeo yake kwa kutatua tatizo. Mfano; kufanya
Jambo ambalo halijawahi kufanywa ili kupata jibu.
UTAFITI WA MATUMIZI
1.2.2 Fafanua tatizo la utafiti- Changanua tatizo ambalo umelichagua kwa undani ili kulielewa
zaidi kabla ya kuanza kulishughulikia na baada ya kusoma kazi kadha za kinadharia katika
uwanja huo.
1.2.3. Eleza madhumuni na malengo ya utafiti- Tambua Jambo ama sababu la kufanyia utafiti ili
kumfanya mtafiti kuangazia suala moja na lifaalo katika kazi yake.
1.2.4. Eleza nadharia tete zitakazoongoza utafiti wako- Tambua njia au mwelekezo utakao
utumia katika kazi uliyo ichagua kati ya zingine.
1.2.5. Jadili machapisho yaliyoshughulikia suala hilo na onyesha dosari na mapengo yake-
Mtafiti anapaswa kuangalia kazi iliyofanywa mbeleni ili kulitambua Jambo ambalo bado
halijaangaziwa na watafiti waliomtangulia.
1.2.6. Onyesha namna utafiti wako utakavyorekebisha dosari na kuziba mapengo hayo na
matarajio yako- Angalia Kama jawabu lako litaleta suluhisho na kuziba pengo zilizoko .
1.2.8. Eleza nadharia za kiuchambuzi utakazotumia kuchambua data zako- Njia zitumikazo
katika uchambuzi pia husaidia sana katika kuifanya kazi yako kuwa ya kuaminika.
1.2.9. Onesha ratiba ya utafiti- Panga kazi yako ukianzia na Jambo utakalo lifanya kuanzia la
kwanza hadi la mwisho ili kuwa na mwelekeo wa kazi yako unao onekana.
1.2.10. Onyesha makisio ya bajeti ya utafiti-, bajeti iwiane na ahughuli zitakazo fanyika- Mtafiti
anapaswa kuhakikisha amepiga bajeti ya pesa aatakazo hitaji katika kazi yake ili kujipanga
kuzipata pesa hizo.
1.2.11. Weka orodha ya marejeleo- Mtafiti anapaswa kuorodhesha nakala ambazo aatarejelea
katika kuandika na kufanya utafiti wake
Umuhimu wa utafiti kaatika taaluma ya Kiswahili katika maeneo mbalimbali ni Kama ifuatavyo;
a) Utafiti na kujisomea
Utafiti huu utakuwa na umuhimu kutumika Kama rejeleo muhimu katika tafiti za baadaye
kuhusiana na ushairi wa kimapokeo na ule wa kisasa kwa mfano.
Vilevile, utafiti huu hutumika Kama kitabu ama rejeleo kwa wanafunzi wa ngazi za shahada ya
kwanza, uzamilifu katika taaluma za fasihi ya Kiswahili.
b) Kitamaduni
Utafiti huu utaonesha masuala ya kiutamaduni katika jamii za mwambao na jamii za bara. Kwa
kuzibaini tamaduni hizo itakuwa rahisi kwa msomaji na Mtafiti ama mhakiki yeyote yule
kuzielewa kwa undani pale aanapotaka kutumia tamaduni hizo katika maandishi yake.
c)Kinadharia
Katika ngazi ya elimu ya sekondari,utafiti huu utakuwa na umuhimu kwa watunzi sera na
mitaala ya elimu kwamba, wanapotunga mitaala hiyo kuhusu fasihi ya Kiswahili kwa ujumla na
ushairi mahususi wazingatie mambo gani yanayopaswa kuigizwa katika mitaala hiyo.
d)Kihistoria
Baada ya kupatikana kwa uhuru wa Tanganyika, historia ya ushairi wa kiswahili ilianza kuwa na
mgogoro wa ushairi wa kiswahili na sasa tunaandika kuhusu mambo yatokanayo na mgogoro
huo.
Humwezesha mtafiti kupata suluhisho la kilele la Jambo lililompa msukumo kufanya kazi yake.
Humsaidia Mtafiti kugundua ujuzi, maarifa au Kanuni mpya zinazosaidia kueleza nadharia mpya
za kielimu.
Humwezesha mtafiti kupima na kukadiria mafanikio.mfano; Tafiti zenye lengo la kuona ubora
wa mihtasali mipya, vitabu vipya, njia mpya za ufundishaji na masomo mbalimbali na hatimaye
kufanya marekebisho ili kufikia kiwango kinachohitajiwa.
3)UKUSANYAJI WA DATA
i) Uwanja wa taaluma unaohusika- Hii ni sehemu ambayo inashughulikiwa na mtafiti katika kazi
yake ya utafiti.
ii)Lengo la utafiti- Ni lile Jambo ambalo mtafiti anataka kupata suluhisho kwalo kutokana na
utafiti anao ufanya.
iii)Uwezo wa nyenzo alizonazo mtafiti - Vifaa ambavyo mtafiti amevichagua kufanya kazi yake
ya utafiti pia huweza kudhihirisha iwapo kazi iliyofanywa ni ya kuaminika au la.
iv)Muda alio nao mtafiti- Iwapo mtafiti ana muda wa kutosha wa kufanya kazi yake, basi
ataifanya kazi yake kikamilifu na kwa makini kuhakikisha kuwa utafiti wake Ni wa kuaminika.
.Utafiti wa uwandani
Nyaraka asilia.
3.1.c.Utafiti wa Uwandani
Mbinu za Utafiti
Kushuhudia
Kushiriki
Mahojiano
MBINU ZA KUSHUHUDIA
Namna za Ushuhudiaji
b)Ushuhudiaji fungemno .
d)Ushuhudiaji lengani.- Mtafiti huangalia tukio katika mazingira yake asilia bila majedwali.
e) Ushuhudiaji huru/ Usiofunge- Hufanywa kwa siri na mtafiti bila mtafitiwa kufahamu na bila
mpangilio wa wazi.
a) Kusikiliza
Mkusanyaji anaweza kusikiliza wasanii katika jamii wakitamba, kusimulia au kuimba tungo zao.
b)Kushiriki
Mkusanyaji data anaweza kujiunga na jamii kwa Kushiriki katika ngoma, soga, na masimulizi ya
hadithi na tanzu zingine.
UMUHIMU WA KUSHIRIKI
.Mtafiti huja karibu zaidi na jamii na hupata habari za kuaminika moja kwa moja.
.Mkusanyaji hupata hisia halisi ya yanayowasilishwa kwa vile anakabiliana ana kwa ana na
watendaji hivyo kuelewa zaidi mada ya utafiti.
.Hukuza utangamano kati ya mtafiti na wanajamii.
.Kushiriki ni njia bora ya kukusanya habari kutoka kwa watu ambao hawajui kusoma na
kuandika.
UDHAIFU WA KUSHIRIKI
.Ugeni wa mtafiti huweza kuleta wasiwasi miongoni mwa washiriki na wakakosa kutenda Kama
kawaida.
.Hii ni njia ghali ya utafiti kwani inamhitaji mtafiti kusafiri mbali ili Kushiriki katika utendaji.
Mkusanyaji anaweza kusikilizana na watu na kuwarekodi katika vinasa sauti , kanda na video.
d) Kutazama
Mkusanyaji anaweza kushuhudia kwa macho fasihi fulani ikiendelezwa bila Kushiriki.
UMUHIMU WA UTAZAMAJI
.Ni rahisi kwa mtafiti kurekodi kwa vile hashiriki katika utendaji.
.Mtafiti hupata habari za kutegemewa zaidi hasa pale anapotumia kinasa sauti kurekodi.
.Utendaji wa wahusika hauathiriwi kwani hawafahamu kuwa mtafiti anawaona, hivyo basi
kuaminika.
UDHAIFU WA UTAZAMAJI
e) Kutumia Hojaji
Hojaji huandaliwa na mkusanyaji wa data na kutumwa kwa mhojiwa atakaye jaza . Kuna hojaji
wazi na funge.
UMUHIMU WA HOJAJI
.Gharama ya chini.
UPUNGUVU WA HOJAJI
UMUHIMU WA KUREKODI
UDHAIFU WA KUREKODI
g)Mahojiano
UMUHIMU WA MAHOJIANO
UDHAIFU WA MAHOJIANO
Ehtridge, D.E. (2004) "Research Methodology in Applied Economics." John Wiley & Sons
p.24.
Fox, W. & Bayat, M. S (2007) "A Guide to Managing Research" . Juta publications, p.45.