Professional Documents
Culture Documents
KISW 421 Sintaksia
KISW 421 Sintaksia
MAAGIZO:
Jibu Maswali Matatu
Swali la Kwanza
(a) Fafanua aina tano za vivumishi na uvitolee mifano katika muktadha na sentensi. [alama 7]
(b) Eleza mchango wa wanasarufi wowote watano wa kimapokeo huku ukieleza mchango
wao kwa sintaksia kama tuijuavyo leo. [alama 10]
(a) Pambanua dhana ya KN na KT kama inavyotumia katika sintaksia. Toa mifano miwili kwa
kila mojawapo. [alama 6]
(b) Chambua sentensi zifuatazo ukitumia matawi [alama ]
i. Alitutembelea juzi
ii. Askari aliyefutwa kazi amehamia kwao
iii. Jirani amehamia shamba lake na yeye alimsaidia sana
Swali la Pili
a) Fafanua aina za sentensi zifuatazo ukitoa mifano ya Kiswahili
i) Sentensi sahihi [alama 2]
ii) Sentensi ambatano [alama 3]
iii) Sentensi changamano [alama 3]
KISW 421/Page 1 of 2
b) Tofautisha aina tatu kuu za vitenzi kwa kuitungia sentensi mbili kila mojawapo. [alama
9]
Swali la Tano
(a) Jadili uhusiano uliopo kati ya sintaksia na mofolojia. [alama 8]
(b) Fafanua dhana ya kihusishi katika sentensi ya Kiswahili [alama 10]
Swali la Tatu
a) Ainisha nomino za Kiswahili na kisintaksia [alama 10]
Jadili kwa nini uanishaji wa maneno ya Kiswahili kisintksia ni mwafaka Zaidi kuliAinisha ngeli
za Kiswahili kisintaksia. Toa mifamo mahsusi. [alama 10]
KISW 421/Page 2 of 2