Professional Documents
Culture Documents
SINTAKSIA (Autosaved) - 102653
SINTAKSIA (Autosaved) - 102653
UTANGULIZI
DHANA YA SINTAKSIA
Sentensi Sahili
Sentensi sahili huundwa na kishazi huru kimoja ambacho
maana yake ni kamilifu. Mara nyingi sentensi sahili huwa na
muundo wa kiima au kikundi nomino na kiarifu au kikundi
kitenzi (Matinde, 2012). Kwa mfano:
Mwalimu anafundisha.
Salamba anaimba.
Uainishaji wa sentensi
Sentensi ambatani
Sentensi ambatani ni sentensi yenye vishazi viwili au zaidi
vilivyounganishwa kwa kutumia viunganishi, hususani na,
lakini, wala, au, tena, ila, ingawa na pia. Kila kishazi
katika sentensi ambatani huweza kujitegemea kama
sentensi, kwa mfano:
Sentensi changamani
ni sentensi inayoundwa na kishazi kimoja huru ambacho
ndicho kikuu na kishazi tegemezi. Pia, sentensi hii inaweza
kuwa na vishazi viwili vitegemezi. Mifano ya sentensi
zifuatazo inadhihirisha sentensi changamani.
Mwanafunzi aliyefika jana ameondoka.
Mawingu yakitanda mvua hunyesha.
Uainishaji wa sentensi
Sentensi Swalifu
Sentensi swalifu huuliza swali kuhusu jambo fulani
na huishia kwa alama ya kuuliza.
Kwa mfano:
Wazee wamehitimisha kikao?
Mkuu wa sheria amefika kortini?
uamilifu
Sentensi amrishi
Sentensi amrishi huwa na kazi ya kuamrisha. Kimsingi
humwagiza anayesikiliza kutenda jambo fulani,
ndiposa Matei (2008) anaziita sentensi agizi. Sentensi
hizi huishia kwa alama ya hisi au nukta. Mara nyingi
sentensi hizi huwa na sehemu ya kiarifu tu. Baadhi ya
mifano ya sentensi hizi ni:
Zima runinga!
Kuja hapa!
uamilifu
Sentensi mshangao
Kiuamilifu, sentensi mshangao hudhihirisha hisia
za mshangao kutoka kwa msemaji, kuhusu jambo
fulani. Aghalabu, huishia kwa alama ya hisi au
mshangao. Tazama mifano ifuatayo:
Siamini wazee walitindi mpaka wakadondoka!
Hata wewe unanichezea!
uamilifu
Sentensi shurutia
Sentensi rai
Sentensi rai huonyesha ombi la kufanyiwa jambo fulani.
Kwa mfano:
Tafadhali, peleka mifugo malishoni.
Samahani, singeweza kufika chuoni jana.
Sifa za sentensi za kiswahili
Kimsingi,
muundo wa sentensi una
sehemu mbili kuu:
kiima;
kiarifu
Kiima: dhana na miundo yake
Mtoto anacheza
Baba anaimba
Kakake anaroga
kielezi
Purity
yuko nyumbani
Jumba anakimbia sana
shamirisho
hutoa
Kipashio amilifu katika sentensi ambacho
maelezo ya kitenzi-hukamilisha kitenzi
Maria ni mwanasheria; calisters anaenda Uganda
Neno kuu ni V
Aina zake:
V+KN-anapenda mwenye kandarasi; mwenye mali; wenye watoto
V+E-mrembo sana; mweusi ti; mkali ajabu;
V+KT-mwema ameenda; chenyewe kimechafuka; changu hakipo; kibaya chajiuza
V+Kirai Kiunganishi-Mpungufu wa akili; nzuri ya kupendeza; hodari wa mapenzi