Professional Documents
Culture Documents
Eleza Aina Za Usampulishaji Ni Kutolea M
Eleza Aina Za Usampulishaji Ni Kutolea M
A) Sampuli /sampling
Sampuli ni ndogo na huwa kiwakilishi tosha katika ukusanyaji wa data kutoka kwa jamii pana.
Data inayokusanywa hapa huwa kiwakilishi mwafaka cha jamii lengwa.(Field, 2005)
Aina za sampuli
a. Sampuli kutegemea fursa(opportunity sample)-Wale ambao ni rahisi kuhojiwa.
b. Sampuli nasibu(random sampling)
c. Sampuli nasibu tabakishi(stratified random sample)-hukuwezesha kupata aina ya watu
unaowahitaji.
d. Sampuli kusudio(purposeful sample)
e. Sampuli mgao (quota sample)
f. Sampuli tajwa. (snowball sample)
Uzuri wa mbinu hii.
Hii ni mbinu ya ukusanyaji wa data ambapo mtafiti huikusanya data kwa kupima. mtafiti
hutumiavifaa maalum vya Upimaji huku akirekodi matokeo.
Mbinu hii huweza kutumika katika hali mbalimbali kama ifuatavyo.
a. Zamani ili mtoto ajiunge na shule ya msingi, aliweza kujipima kwa kutumia mkono
wake juu ya kichwa. Iwapo alijigusa sikiobasi iliaminika kuwa alikuwa tayari
kujiunga na shule ya msingi.
b. Fundi mshona-nguo ni lazima aitafute data ya vipimo vya mteja wake kabla ya
kumshonea nguo.
c. Masorovea hutumia vifaa mbalimbali vya upimaji ili kubaini kiwango cha shamba
linalonunuliwa au kutatua migogoro ya mashamba.
d. Ili wahandisi waweze kuzigenga barabara au majumba ya maghorofa nilazima
waweze kuchukua data katika mbinu hii ili kuhakikisha kuwa wanachotarajia
kukitekeleza kitakuwa swari.
Marejeleo
a. Adam, J na Kamuzora, F (2008) Research Methods for Business and Social Studies.
Morogoro:Mzumbe Book Project.
b. Bowern, C(2008) Linguistic Fieldwork: A Practical Guide. New York:Palgravw-
Macmillan.
c. Kothari, C.R(2004) Research Methodology: Methods and Techniques. New
Delhi:New Age International.
d. Msokile,M (1993) Misingi ya Uhakiki wa Fasihi, Nairibi:EAEP
e. Mulokozi, M.M.(1983) “Utafiti wa Fasihi Simulizi” Katika TUKI Makala ya Semina
ya Kimataifa ya Waandishi wa Kiswahili 111:Fasihi. Dar es Salaam:TUKI Kur. 1-25.
f. Ongechi,N.O.L Shitemi,na K.I. Simala (wah) (2008)Nadharia katika Taaluma ya
Kiswahili na Lugha za Kiafrika. Eldoret:Moi Univesity Press.
g. Pons,Valdo (Mh) (1992) Introduction to Social Research. Dar es Salaam:Dup.
h. Sewangi, S.S. and Madulla J.S.(eds)(2007) Makala ya Kongamano la Jubilei ya
TUKI(Vol.1 and 11) Dar es Salaam:TUKI.
i. Siiimala K.I.(mh) (2002) Utafiti wa Kiswahili. Eldoret:MoiUniversity Press.
j. K.W.Wamitila(2004)Chemichemi za Kiswahili,Longhorn Printers(Kenya)Ltd,
Nairobi, Kenya.
k. J.Habwe na A. Matel (2006)Darubini ya Kiswahili.,Phonex Publishers, Nairobi.
l. L.Sanja na M.Kusino(2006) Kurunzi ya Kiswahili K.C.S.E. Kitabu cha marudio,
Focus Publishers Ltd,Nairobi.
m. F.Waititu na Wenzake(2004) Kiswahili Fasaha Kidato cha Tatu,Oxford University
Press, East Africa Ltd. (Kenya)