You are on page 1of 6

KANUNI FAITH VICOBA 2020 to 2021

KANUNI ZA WANAKIKUNDI WA FAITH VICOBA

NA. KANUNI FAINI /MCHANGO


1 Kuchelewa kikaoni Tshs 5,000
2 Kusinzia kikaoni Tshs 2,000
3 Kusahau kitabu cha Hisa Tshs 50,000
4 Kupoteza Kitabu Tshs 50,000
5 Kutoa siri ya kikundi nje Tshs 50,000
6 Kuiba mali ya kikundi 1. Faini Tshs 50,000
2. Ataondolewa kikundini
7 Kuongea/kunong’ona/kupokea simu kikaoni Tshs 2,000
8 Kutokufika kikaoni bila sababu maalum Tshs 20,000
Sababu zitazokubaliwa ni
 Kuuguliwa (Evidence)
 Kufiwa
 Kikazi
 Au Dharula yeyote ambayo kikundi kitaafiki
kutolewa ruhusa

9 Kutokuvaa sare ya vicoba kwenye mambo ya jamii Tshs 20,000


10. Kutumia mali ya Kikundi Vibaya Tshs 50,000
Ikiwemo na kuvaa sare ya vicoba nje ya makubaliano
11. Kufika kikaoni ukiwa amelewa/kunywa pombe kikaoni Tshs 10,000
12. Kutokununua Hisa Tshs 10,000
13. Kuchelewa kununua hisa baada ya saa 2 usiku J2,
na mwisho saa nne j3, baada ya hapo utahesabiwa Tshs 2,000
kua hujanunua hisa na faini ya kutokununua hisa
itahusika.
14. Kujitoa kwenye kikundi bila sababu maalum Anakatwa 10% ya hisa zake
15. Mwanakikundi kujitoa kwa sababu maalum kama Atakatwa 10% atakatwa pia Madeni yake yote na
kuoa, kuolewa na kuhama kurudishiwa haki zake
16. Kiongozi
 Kutokuwajibika atatozwa Tshs 50,000
 Atapongezwa(mwisho wa mwaka) Tshs 100,000
17. Mwanachama
 Pongezi kwa mwenye hisa nyingi Tshs 10,000

18. Kutoka kikaoni bila ruhusa Tshs 5,000


KANUNI FAITH VICOBA 2020 to 2021

19. Ukomo wa Ununuzi wa Hisa Kiwango cha mwisho cha kununua hisa ni Tsh
250,000/= kwa week.
20. Mwanakikundi kutokuchangia mawazo online Tshs 5,000
21. Mwanakikundi kukataa kutoa faini Atalipa mara mbili ya faini
Kiongozi wa Nidhamu atasimamia hili
22. Gawio/ Faida italipwa kwa wanakikundi wote Zitagawiwa kulingana na Hisa za mwanachama
kulingana na hisa na mwisho wa daraja la mikopo
kufungwa.
23. Kufukuzwa kwa mwanakikundi kwa makosa yatakayo Atakatwa 10% ya Hisa zake na kurejeshewa hela
ainishwa na wanakikundi/ au kwa azimio la Zake
wanakikundi kwa pamoja
24. Mwanakikundi akifariki  Madeni yake yatafutwa
 Fedha zake atapewa mrithi wake
 Bima ya wanakikundi kutoka bank itacover.
 Kikundi kitatoa Taji, Sanda
 Mrithi anaweza kua mwanachama
akikidhi vigezo

25. Mwanakikundi akipatwa na msiba wa Rambi rambi itatolewa kutokana na policy ya Bima
 Mume au Mke tutakayo jiunga.
 Mtoto
 Mzazi
26. Mwanakikundi kutokuhudhuria mambo ya jamii Tshs 20,000
27. Mwanachama akijifungua Kila mwanakikundi atachangia Tshs 10,000
28. Mwanachama akiwa na harusi . Kila mwanakikundi lazima kuchangia
mchango wa harusi
. Kila mwanakikundi atachangia zawadi
20,000

29. Ukomo wa uanachama


 Kutokuhudhuria vikao mara tatu mfululizo
 Kutokuchangia hisa mara tano mfululizo
 Kupatwa na ugonjwa wa akili
 Kifo
 Kuachishwa kufukuzwa kwa azimio la
wanakikundi
30. Mwanakikundi akiwa na shughuli ya kijamii Kila mwanakikundi atachangia 5,000/=
Ubatizo,Kipaimara,Hakika,Graduation(member),40 ya
mtoto.
31. Kikundi kitakutana endapo kuna hitajika kukutana
mara moja baada ya miezi 3 ili kuweza
kupata taarifa ya fedha na mahala pa kukutana
ni Tripple B.
KANUNI FAITH VICOBA 2020 to 2021

32. Kusitishwa kwa uongozi


 Muda wa uongozi katika kikundi ni mwaka 1
 Viongozi waliomaliza mda wao wanaweza
kuchaguliwa tena.

 Kiongozi akiamua kujiuzuru kwa ridhaa yake


mwenyewe kwa maslahi ya kikundi na Zaidi
ya nusu ya wanakikundi wamekubaliana na
ombi lake la kujihudhuru

33. Wanachama waliosafiri mkoani


 Atashiriki kwenye miradi ya kila mwezi kwa
kutoa Tshs 5,000
 Atawajibika kwa kuchangia Tshs 5,000 kila
tutakapokutana kwenye kikao
34. Mwanakikundi kuwa na maneno ya kejeli, majungu, Tshs 50,000
umbea, chuki ugomvi, matusi, dharau e.t.c
Kiongozi wa Nidhamu atasimamia hili
35. Mkopo wa Biashara ni mara 3 ya hisa zako Riba 10%

Timeframe ya mkopo ni BIMA YA MKOPO


0-1,500,000= MIEZI 3 0 - 500,00 = NO BIMA
510,000 - 1,500,000= 1%
1,510,000-3,000,000= MIEZI 4 1,510,000 - 3,000,000= 2%
3,100,000-INFINITY= MIEZI 5 3,100,000 - 4,500,000= 3%
4,510,000 - INFINITY = 4%
% ya bima na 10% itakatwa kabla ya
kuchukua mkopo

15% ya mkopo uliyobaki/usiyolipwa


Kutorejesha rejesho kwa mda husika
kama faini

Mwanakikundi lazima ajaze form ya mkopo MWISHO WA KIWANGO CHA


kikamilifu pamoja na wadhamini wake ndo KUKOPA NI SH MILLION 7.
ataweza kupewa mkopo.
36 Kila mwanakikundi ni lazima kukopa kwa awamu mbili
tofauti au Zaidi.
37
Thamani ya Hisa 5,000 @ 1
38
Thamani ya jamii 2,000 @ 1
39
Kikoba kinavunjwa kila mwisho wa mwaka
40
Kiingilio ni sh 150,000 kwa wanachama wapya
KANUNI FAITH VICOBA 2020 to 2021

41. Mkopo wa Dharula ni wa mwezi na kiwango chake ni Mwisho wa kuchukua mkopo wa dharula ni mara 2.
Tsh 200,000 bila riba na huu mkopo unarudishwa ndani
ya mwezi Mmoja.

42. Wanakikundi kwa pamoja watatembelea watoto Kila mwanakikundi atachangia Tsh 20000/=
wasiojiweza kila mwisho wa mwaka.

43. Mwanakikundi akishindwa kurejesha mkopo, Pamoja na mali alizoorodhesha endepo hisa
atakatwa hisa zake pamoja na wadhamini wake hazitatosha.

44. Idadi ya wanakikundi itakuwa 35.

VIONGOZI

1.Mwenyekiti – JESCA PHILIPO

2.Katibu_ ROSEN CHINGUWILE

3.Mhazini _ SLYVIA LUBINGA

4.Nidhamu _ ESTHER LYIMO

5.Jamii & Mradi_ JUDITH AUDAX

NB PESA ZOTE ZA KIKUNDI ZITUMWE KUPITIA


ACCOUNT YA BANK YA KIKUNDI.(NMB) 23510044334
KANUNI FAITH VICOBA 2020 to 2021
KANUNI FAITH VICOBA 2020 to 2021

You might also like