Professional Documents
Culture Documents
KATI YA
TRIPLE A FINANCE (SARA MKONO)- mwenye anuani ya posta 65000 Dar Es Salaam,namba ya simu ya
mkononi ya ofisi 0719356640 , namba ya account ya bank 20902501082 , ambaye katika mkataba huu
anajulikana kama Mkopeshaji.
NA
KWAMBA kwa kuwa mkopeshaji ni kampuni iliyosajiliwa kisheria na moja kati ya shughuli zake ni
kukopesha.
NA KWAMBA kwa kuwa mkopeshwaji anahitaji huduma ya kukopeshwa toka kwa mkopeshaji.
MASHARTI YA MKOPO