Professional Documents
Culture Documents
Mkataba Wa Kupa-Wps Office
Mkataba Wa Kupa-Wps Office
SEHEMU A.
MAKABIZIANO NA MALIPO
Mkataba huu ni wa mpangaji na mwenye nyumba, nyumba iliyopo eneo la Lemara Kikokwaru B nyumba
namba 04.
Kodi kwa mwezi ni Laki moja (Tsh.100,000/=) kwa chumba. Hivyo mpangaji amelipa Laki tatu tu
(Tsh.300,000) ambayo ni kodi ya miezi mitatu(3).
SEHEMU B
MASHARTI YA MKATABA
1. Mpangaji anatakiwa kulipa gharama zote za umeme na maji kwa kadri atakavyotumiaama kuelekezwa
na mwenye nyumba.
2. Mpangaji anatakiwa kutunza mazingira kwa kufanya usafi katika maeneoyanayomzunguka pamoja na
maliwato.
5. Endapo utapata mgeni na atakaa kwako zaidi ya siku moja ni sharti umtaarifu mwenyenyumba.
6. Mpangaji atatakiwa kuhama katika nyumba endapo mwenye nyumba atataka iwe hivyokwa kumpa
notisi ya kuhama mwezi mmoja (1) kabla ya kumaliza mkataba uliopo.
7. Endapo mpangaji atataka kuendelea na mkataba kwa miezi mingine atatakiwakumtaarifu mwenye
nyumba mwezi mmoja (1) kabla ya mkataba uliopo kumalizika.
8. Mpangaji anatakiwa kuhakikisha usalama na utulivu unapatikana muda wote wamkataba wake.
10. Hauruhusiwi kufanya biashara yoyote ndani au kuzunguka eneo la nyumba pasipoidhini ya mwenye
nyumba.
SEHEMU C
4.Kudharau mamlaka.
Kwa kuthibitisha mkataba huu kwa pande zote zinaweka chini sahihi zao kwa makubaliano yote
yaliyoandikwa kwenye mkataba kwa hiari yao kama ifuatavyo:-
SAHIHI.................................................................................................
TAREHE.................................................................................................
SAHIHI.................................................................................................
TAREHE.......................................................................................................................
SAHIHI...........................................................................................................
TAREHE..................................................................................................................