Professional Documents
Culture Documents
KWA KUWA mwajiri anahitaji kufanikisha ukusanyaji wa madeni kutoka kwa wateja
wake walioshindwa kulipa marejesho kwa mujibu wa mkataba wa mikopo yao.
NA
KWA KUWA mwajiri anaona kwamba kuna umuhimu wa kumteua mtu mwenye
taaluma uwezo na weledi wa kufaa atakaye kusanya madeni hayo kutoka kwa wadaiwa
sugu.
NA
KWA KUWA anazo sifa hizo na amekubali kufanya kazi hiyo ya ukusanyaji wa madeni
hayo kutoka kwa wahusika (wadaiwa).
KWA HIYO MKATABA HUU UNASHUHUDIA MAKUBALIANO YAFUATAYO
1. Kwamba Mwajiri amemteua wakala ili afanye kazi ya kukusanya madeni hayo
kutoka kwa wadaiwa na wakala amekubali uteuzi huo.
2. Kwamba, wakala atawajibika kutekeleza majukumu yake kwa uwezo wake wote.
10.Malipo ya wakala:-
(a) Malipo katika kipengele hiki yatajumuisha jumla ya deni analodaiwa mdaiwa,
asilimia kumi (25%) ya deni, pamoja na gharama za ufuatiliaji/usafiri deni
kama itakavyoelezwa katika kipengele (c) hapo chini.
2
DEGRA AUCTION MART
For Your Prosperity
P.o Box 619 Kahama; Nyihogo Street; Plot No.54, House No.33
Email Address:degrafinanceltd@gmail.com, Contacts: +255 752 710485/659 302 825
DEALERS & AUCTIONEERS IN PROPERTY VALUE, COMMISION AGENTS & DEBT COLLECTORS
(c) Wakala atalipwa Tshs. 20,000/= (elfu ishirini tu) tu, ikiwa ni gharama za
ufuatiliaji) kwa kila mdaiwa atakayekabidhiwa kwake na ambae anapatikana
ndani ya wilaya aliyochukulia pesa. Pia wakala atalipwa kati ya Tshs.
100,000/= (laki moja tu) hadi Tshs. 300,000/ (laki tatu) kwa wale wadaiwa
watakaofuatiliwa nje ya Wilaya na Mkoa waliochukulia pesa,
(d) Jumla ya gharama zote zilizoainishwa katika sehemu hii ambazo ni asilimia
25% na gharama za ufuatiliaji deni zitalipwa na mdaiwa na sio mwajiri na kama
zitakavyoainishwa kwenye notisi ya madai atakayopewa na wakala.
(a) Iwapo mali za mdaiwa zitakamatwa mf; mifugo na kumfanya wakala kuswaga
mifugo hiyo kwa zaidi ya 3km basi mdaiwa huyo atalipa gharama za uswagaji
wa mifugo hiyo ambazo ni Tsh. 30,000/= (Elfu Thelathini) kwa kila mfugo na
kama vitu vya ndani vitakamatwa na kumfanya wakala kukaa na vitu hivyo kwa
maana ya uhifadhi, basi gharama za uhifadhi huo zitatozwa kulingana na
thamani ya mali husika.
11.KUVUNJA MKATABA
Mkataba unaweza kuvunjika wakati wowote iwapo upande mmoja hautaridhika na
utendaji kazi wa upande mwingine kwa kutoa notisi ya siku thelathini (30) ya
kusudio la kuvunja mkataba.
3
DEGRA AUCTION MART
For Your Prosperity
P.o Box 619 Kahama; Nyihogo Street; Plot No.54, House No.33
Email Address:degrafinanceltd@gmail.com, Contacts: +255 752 710485/659 302 825
DEALERS & AUCTIONEERS IN PROPERTY VALUE, COMMISION AGENTS & DEBT COLLECTORS
HIVYO BASI, wahusika wametia saini zao hapa chini katika namna na tarehe
kama inavyoonekana hapa chini;
JINA:……………………………………… …….….
SAINI: ………………………………………………
ANUANI: …………………………………………...
WADHIFA: …………………………………………
JINA: …………………………………………….
SAINI: …………………………………………...
ANUANI: …………………………………..…....
WADHIFA: ……………………………………...
UMESHUHUDIWA MBELE:
Jina: …………………………………
Sahihi: ………………………………
4
DEGRA AUCTION MART
For Your Prosperity
P.o Box 619 Kahama; Nyihogo Street; Plot No.54, House No.33
Email Address:degrafinanceltd@gmail.com, Contacts: +255 752 710485/659 302 825
DEALERS & AUCTIONEERS IN PROPERTY VALUE, COMMISION AGENTS & DEBT COLLECTORS
Anwani: …………………………….
Cheo: KAMISHINA WA VIAPO