You are on page 1of 3

MKATABA WA AJIRA YA KUENDESHA PIKIPIKI

Makubaliano haya yamefanyika leo tarehe……………mwezi ………….., 201…

KATI YA

…………………..……………wa S.L.P…………, ………………., (katika mkataba huu


atajulikana kama Mwajiri ambaye Ndie mmiliki wa pikipiki.)
NA

…………………………………………wa SLP.….., ………………… (ambaye katika mkataba


huu atakayejulikana kama “mwajiriwa” pia Ndie muendeshaji wa wa pikipiki tajwa hapo chini)

TAARIFA ZA PIKIPIKI
TAARIFA ZA PIKIPIKI
Namba ya usajili:
mtengenezaji:
Muundo:
Namba ya chesesi.
Namba ya injini.
Rangi.

Ambapo mwajiri anamuajiri mwajiriwa na mwajiriwa amekubali kuajiriwa na mwajiri kwa


masharti na makubaliano kama itakavyoainishwa hapa kwenye mkataba huu. Kwa hiyo,
kutokana na makubaliano, misingi na masharti kama itakavyoainishwa hasa chini ya mkataba
huu muajiri na mwajiriwa kwa hiari zao wana kubaliana kama ifuatavo;

1.0 MWANZO WA MKATABA NA KIPINDI CHA MKATABA.

Mwajiri anamuajiri mwajiriwa na mwajiriwa anakubali kuajiriwa kama mtoa dawa kwa kipindi
cha miezi mitano kuanzia tarehe ……………201….mpaka……………………201...

2.0 AINA YA AJIRA NA MCHANGANUO WA KAZI

Mwajiriwa ataajiriwa kama mtoa dawa kwa mujibu wa masharti na makubaliano ya kufanya kazi
kama yalivyobainishwa kwenye mchanganuo wa kazi.

3.0 MDHAMINI WA MUAJIRIWA


Muajiriwa anadhaminiwa na Bwana/Bi……………………………………… hivyomdhamini
atawajibika kwa hasara yoyote itayoletwa na muajiriwa

4.0 KUTUNZA PIKIPIKI


Mwajiriwa ana wajibu wa kuitunza pikipiki aliyokabidhiwa na muajiri wake kwa namna yoyote
dhidi ya uharibifu wa aina yoyote ile.
5.0 MUDA WA KAZI

Muda wa kawaida wa saa za kazi utakuwa kuanzia saa………..mpaka……………… kuanzia


siku ya..…………..mpaka siku ya………….

6.0 MSHAHARA NA MARUPURUPU

Mwajiriwa atatakiwa kumkabidhi muajiri wake tsh………………tu, kila jumapili, pesa yote
inayobaki ni mwajiriwa.

7.0 NOTISI AU TAARIFA

Notisi au taarifa ua ya kuacha au kumuachisha kazi kwa itolewe kimaandishi wiki moja kabla,
upande utaovunja mkataba bila kufuata utaratibu huu utapaswa kuulipa upande mwingine malipo
ya wiki moja.

8.0 UTATUZI WA MGOGORO KATIKA MKATABA HUU

Endapo kutatokea mgogoro wowote kuhusiana na Mkataba huu au uvunjaji wa mkataba huu,
mwajiri na mwajiriwa watatumia juhudi zao zote kutatua mgogoro huo kwa amani na utulivu,
wakishindwa basi wataenda kwa wanasheria wasuluhishi katika ofisi ya Mwakabungu law
chambers kabla ya kwenda katika mahakama za kazi.

9.0 KUKABIDHI

Mwajiriwa atakabidhi mara moja bila kuchelewa piki piki na vifaavyake vyote alivyopewa na
mwajiri kwa matumizi wakati wa ajira yake ikiwa ni pamoja na nyaraka na kumbukumbu zote.
Mwajiriwa atatakiwa kutii kanuni na taratibu zote atakazopewa na mwajiri kama zitakavyokuwa
zinatolewa na mwajiri mara kwa mara.

Imeshuhudiwa na Pande zote mbili kama walivyotia sahihi katika tarehe husika hapa chini.

Imetiwa Saini hapa Iringa na ……...


…………………………………………….
Ambae ni muajiriwa _ leo tarehe __________________________
mwezi………………….….., 201 SAHIHI YA MUAJIRIWA

Imetiwa Saini hapa Iringa na


…………………………………………….
ambaye ni muajiri
leo tarehe ……………………….............. __________________________
mwezi…………………….., 201…. SAHIHI YA MUAJIRI
Imetiwa Saini hapa Iringa na
…………………………………………
ambaye ni muajiri
leo tarehe ………………………........... __________________________
mwezi…………………….., 201…. SAHIHI YA MDHAMINI WA
MUAJIRIWA

IMESHUHUDIWA NA.

SHAHIDI WA MWAJIRI SHAHIDI WA MWAJIRIWA


Jina……………………………………. Jina…………………………………
Sahihi…………………………………. Sahihi ………………………………
Tarehe………………………………… Tarehe………………………………

VIONGOZI WA MTAA WA…………………………..


Jina……………………………………. Jina……………………………
Sahihi…………………………………. Sahihi…………………………
Tarehe………………………………… Tarehe…………………………..
Cheo…………………………………… Cheo………………………………

You might also like