Professional Documents
Culture Documents
Mkataba Wa Nyumba 1
Mkataba Wa Nyumba 1
KATI YA
Ndugu __________ wa S.L.P……. .., anaeishi …… shehia ya ………., wilaya ya MJINI
MAGAHARIBI B, ZANZIBAR (ambaye ni mkodishaji).
NA
_______________wa S.L.P ………. Zanzibar anaeishi ………, shehia ya ………., wilaya ya
MJINI, ZANZIBAR (ambaye ni mpangaji).
A: MAELEZO YA AWALI
KWA KUWA MWENYE NYUMBA ni mmiliki halali wa sehemu ya nyumba namba ….……….
NA KWA KUWA MPANGAJI anapenda na ameonyesha nia ya kupanga kwenye nyumba hiyo na
MWENYE NYUMBA ameridhia maombi hayo.
B: MASHARTI YA JUMLA
6. a). MPANGAJI atatumia na kutunza kwa hali ya usafi kwa muda wote wa makubaliano
haya
b). Mpangaji atatoa ruhusa kwa mwenye nyumba kuingia ndani ya nyumba na kuifanyia
ukaguzi kulingana na ibara 6 (a) ya makubaliano haya.
7. a). Mwenye nyumba ataheshimu makubaliano haya ikiwemo kutoingia ndani ya nyumba
kwa ukaguzi pasipo na taarifa ya awali ya kimaandishi isiyopungua siku tatu.
b). Mwenye nyumba ataendelea kulipia kodi ya umiliki wa mali (Property Tax) kwa kipindi
chote cha makubaliani haya.
8. a). Endapo kutakuwepo kutoelewana basi migogoro kati ya pande zote mbili, kabla ya
kupelekwa mahakamani, utasuluhishwa na msuluhishi atakayependekezwa na
kukubaliwa na pande zote.
c). Endapo mpangaji ataendelea kupanga nyumba hii baada ya kipindi cha makubaliano
haya kumalizika, itabidi atoe taarifa ya maandishi kwa mwenye nyumba katika kipindi
kisichozidi miezi mitatu kabla ya makubaliano haya kumalizika.
d). Endapo mwenye nyumba au mpangaji atataka kusitisha mkataba huu kabla ya
kumalizika kwa muda wake, atalazimika kutoa taarifa ya maandishi kwa upande mwingine
katika kipindi kisichozidi miezi mitatu kabla ya siku ya kusitisha makubaliano haya.
Pande zote mbili wanaweka sahihi na/au alama zao za vidole katika makubaliano haya
kuridhisha nia ya kusudi zao kama ifuatavyo
…………………………………………
MWENYE NYUMBA
NA
……………………………………
MPANGAJI
NA
EDDIE JRILL
…………………………………………………………
SHAHIDI WA MPANGAJI