Professional Documents
Culture Documents
BOX 1081,
K.K.K.T BUILDING, GROUND FLOOR, ROOM NO. 06
INDIA STREET
+255717192671/+255742949604
mosharp8@gmail.com
KATIBU MKUU
KANISA LA KIINJILI LA KILUTHERI TANZANIA,
DAYOSISI YA KASKAZINI KATI,
S.L.P 519, ARUSHA.
FAX: 2508039
Bwana Yesu Asifiwe,
Sisi RIPAMO & CO. ADVOCATES ofisi ya sheria hapa Arusha, chumba namba 06
kwenye jengo la Kanisa (K.K.K.T) Dayosisi ya Kaskazini Kati sakafu ya kwanza;
tunaleta ombi kwako na kamati yako teule kuhusu kupangishiwa chumba namba 07
iliyopo karibu kabisa na chumba chetu (chumba namba 06) kwa kuwa ofisi yetu
imepanuka kwa uhitaji (chumba cha wakili mwandamizi, wakili msaidizi, katibu wa
ofisi, sehemu ya kabati la vitabu, sehemu ya shelves ya nyaraka mbalimbali na
majalada), chumba namba 06 imekuwa ndogo. Nasi tunapenda kuendelea kuwa
wapangaji katika jengo hili zuri.
Ni matumaini yetu kuwa ombi letu litapata kibali kwako; aidha tunatanguliza
shukrani zetu
Wako mwaminifu
…………………………
RICHARD PATRICE MOSHA
(WAKILI)
RIPAMO & CO. ADVOCATES, P.O.BOX 1081,
K.K.K.T BUILDING, GROUND FLOOR, ROOM NO. 06
INDIA STREET
+255717192671/+255742949604
mosharp8@gmail.com