You are on page 1of 4

Picha

Fomu Na:

___________________________

PROGRAMU YA TAIFA YA UKUZAJI UJUZI

FOMU YA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UKUZAJI UJUZI


(Tafadhali soma maelekezo yote kikamilifu kabla ya kujaza fomu hii, kisha ujaze)

(Fomu hii hutolewa bila malipo yoyote)

SEHEMU YA KWANZA : TAARIFA YA MWOMBAJI

1. Jina la Kwanza______________________ Jina la Kati____________________________

Jina la Ukoo ________________________________

2. Jinsi KE ME

3. Uraia wako __________________________________

4. Namba ya simu________________________ au_________________________________

5. Tarehe na Mahali ulipozaliwa ______________________________________________

Kata__________________Wilaya ____________________ Mkoa _____________________

6. Hali ya Afya : Una ulemavu wa aina yoyote : Ndiyo Hapana


Taja aina ya ulemavu ulionao_____________________________________________

SEHEMU YA PILI: TAARIFA YA ELIMU YA MWOMBAJI


7. Elimu ya Msingi:
Jina la Shule: ________________________________Mwaka Uliohitimu____________
8. Elimu ya Sekondari
Jina la Shule : ________________________________Mwaka Uliohitimu _____________
9. Elimu nyingine Uliyopitia (Ufundi, Elimu ya Juu, Chuo):
Jina la Chuo: __________________________________Fani_______________________
Mwaka Uliohitimu_______________________________

SEHEMU YA TATU : TAARIFA YA MAKAZI


10. Mahali unapoishi: Namba ya Nyumba ____________________________________

Mtaa/Kijiji ___________________________ Kata___________________________________

Wilaya_______________________________ Mkoa _________________________________

SEHEMU YA NNE: TAARIFA ZA WAZAZI/WALEZI


11. Jina la baba_____________________________ yuko hai Ndiyo Hapana

12. Kazi ya baba______________________ Namba ya simu_____________________

13. Jina la mama____________________________ yuko hai Ndiyo Hapana

14. Kazi ya mama_____________________ Namba ya simu________________________

15. Mzazi au mlezi wa kuwasiliana katika jambo lolote la dharura.

Jina_______________________________ Namba ya simu __________________________

SEHEMU YA TANO: TAARIFA YA MAOMBI


16. Jaza fani mbili unazopenda kupata ujuzi (Fani utakazojaza zinapatikana
katika chuo ulichochukua fomu kama ilivyoainishwa kwenye tangazo na ndicho
utakachorudisha kwa ajili ya mafunzo)
a._______________________ b._________________________
17. Mafunzo yataendeshwa muda wa asubuhi na alasiri (ni ya kutwa): chagua muda:

Asubuhi Mchana

Mimi ________________________________________________________________
Nathibitisha kuwa maelezo niliyotoa hapo juu ni ya kweli na sahihi, endapo
nikibainika nimedanganya hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yangu.

Sahihi ya Mwombaji Tarehe

Angalizo:
Siku ya kurudisha fomu njoo na vitu vifuatavyo :
a) Nakala ya cheti cha kuzaliwa
b) Nakala ya cheti cha shule ya msingi/sekondari au barua kutoka shule
uliyomaliza
c) Picha ndogo nne
d) Barua ya afisa mtendaji wa Mtaa/Kijiji
e) Barua ya maombi ya mafunzo
f) Nakala ya Kitambulisho cha mpiga kura/taifa/Wenye umri chini ya miaka
18 cheti cha kuzaliwa kitatumika
g) Barua ya hali ya afya yako toka Hospitali inayotambulika na serikali

Matokeo ya walio chaguliwa yatatolewa kwa njia ya magazeti au simu yako


uliyoandika kwenye fomu. Pia yatabandikwa katika chuo husika.
Kwa matumizi ya ofisi tu.
Maombi yako yamekubalika Ndiyo Hapana
Imethibitishwa na
_____________________________ ______________________
Mkuuu wa chuo Tarehe

You might also like