Professional Documents
Culture Documents
Kiswahili-Nevep 2020
Kiswahili-Nevep 2020
OFISI YA RAIS
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
NEW VISION EDUCATION PLATFORM [NEVEP]
@NEVEP 2020
SEHEMU A: IMLA
1. Sikiliza kwa makini sentensi zisomwazo na msimamizi kisha
ziandike kwa usahihi sehemu uliyopewa.
i. ___________________________________________________
ii. ___________________________________________________
iii. ___________________________________________________
iv. ___________________________________________________
v. ___________________________________________________
SEHEMU B: MATUMIZI YA LUGHA
2. Changua jibu sahihi kwa kuandika herufi ya jibu sahihi kwenye
kisanduku ulichopewa.
i. Wanafunzi walitembea ____________ miguu kutoka Posta hadi
Makumbusho.
A. Na B. Kwa C. Bila D. La [ ]
ii. Walikwenda maktaba kuazima vitabu wakamkuta _______
anapanga vitabu . [ ]
A. Mkutubi B. Boharia C. Banati D. Librariani
iii. Mama Salome alitaka kuwaona wachuuzi hivyo aliamua kwenda
_____________ kuwaona. [ ]
A. Mahakamani B. Barabarani C. Sokoni D. Baharini
iv. Nini wingi wa neno Mundu?
A. Miundu B. Mundu C. Mwundu D. Vyundu [ ]
v. Nini wingi wa sentensi “ Amenunua pakacha sokoni”
A. Wamenunua pakacha sokoni
B. Wamenunua pakacha sokoni [ ]
C. Wamenunua mapakacha sokoni
D. Wamenunua pakacha masokoni.
SEHEMU C: METHALI, NAHAU NA VITENDAWILI
3. Kamilisha kazi za kifasihi zifuatazo kwa kuandika jibu sahihi kwa
kila swali.
i. Ada ya muja hunena ___________________________________”
ii. Katika mchezo wa kukata na shoka kati ya timu ya Simba dhidi
ya timu ya Yanga. Kamsoko alicheza rafu. Nini maana ya nahau
“Cheza rafu”? ________________________________________
iii. Kitendawili “ Amefika kabla ya mjumbe hajarudi”
____________________________________________________
iv. Andika methali inayofaa kumshauri mtoto asiyependa kujisomea
na kutegemea kuibia kwa mwenzake darasani.
____________________________________________________
v. Nini maana ya nahau “ Fuja mali”
____________________________________________________
SEHEMU D: UTUNGAJI
4. Panga sehemu za barua zifuatazo kwa kuzipa herufi A, B, C, D na
E.
i. Lengo la barua [ ]
ii. Tarehe [ ]
v. Mwisho wa barua. [ ]
SEHEMU E: UFAHAMU