Professional Documents
Culture Documents
JARIBIO LA 1 .................................................................................................................................... 1
JARIBIO LA 2 .................................................................................................................................... 3
JARIBIO LA 3 .................................................................................................................................... 7
JARIBIO LA 4 .................................................................................................................................... 9
JARIBIO LA 5 .................................................................................................................................. 12
JARIBIO LA 6 .................................................................................................................................. 15
JARIBIO LA 7 .................................................................................................................................. 18
JARIBIO LA 8 .................................................................................................................................. 20
JARIBIO LA 9 .................................................................................................................................. 22
JARIBIO LA 10 ............................................................................................................................... 25
JARIBIO LA 11 ............................................................................................................................... 27
JARIBIO LA 12 ............................................................................................................................... 29
JARIBIO LA 13 ............................................................................................................................... 33
JARIBIO LA 14 ............................................................................................................................... 36
JARIBIO LA 15 ............................................................................................................................... 40
JARIBIO LA 16 ............................................................................................................................... 42
JARIBIO LA 17 ............................................................................................................................... 45
JARIBIO LA 18 ............................................................................................................................... 48
JARIBIO LA 19 ............................................................................................................................... 51
JARIBIO LA 20 ............................................................................................................................... 53
JARIBIO LA 21 ............................................................................................................................... 57
JATIBIO LA 22 ................................................................................................................................ 59
JARIBIO LA 23 ............................................................................................................................... 63
JARIBIO LA 24 ............................................................................................................................... 66
JARIBIO LA 25 ............................................................................................................................... 69
JARIBIO LA 26 ............................................................................................................................... 72
JARIBIO LA 27 ............................................................................................................................... 74
JARIBIO LA 28 ............................................................................................................................... 79
JARIBIO LA 29 ............................................................................................................................... 81
JARIBIO LA 30 ............................................................................................................................... 83
JARIBIO LA 31 ............................................................................................................................... 86
JARIBIO LA 32 ............................................................................................................................... 88
MAJIBU ................................................................................................................................................ 92
Bunduki76said@gmail.com
Mufindi - Iringa
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma iii
JARIBIO LA 1
Andika herufi ya jibu sahihi
1. Kikundi kidogo cha watu walio na uhusiano wa damu, ndoa au wa kuishi pamoja
hujulikana kama: A. familia B. ukoo C. jirani D. ndugu
2. Kuna aina ____________ za familia. A. 8 B. 6 C. 3 D. 10
3. Baba, mama na watoto huunda aina gani ya familia? A. Familia ya awali
B. Familia ya mzazi mmoja C. Familia ya mke na mume D. Familia pana
4. Familia ya watoto wanaoishi peke yao na kujitegemea bila ya wazazi hujulikana kama:
A. Familia ya awali B. Familia ya mzazi mmoja C. Familia ya mke na mume
D familia ya watoto yatima
5. Baba, mama na watotot ni ______ A. ukoo B. kijiji C. familia D. utamaduni
6. Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania aliyeanzisha mfumo wa ubinafsishaji ni:
A. John Pombe Magufuli B. Samia Suluhu Hassan C. Benjamin Williamu
Mkapa D. Jakaya Mrisho Kikwete
7. Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania aliyeanzisha mfumo wa Elimu bure kwa
wote kuanzia darasa la awali mpaka kidato cha nne ni yupi kati ya hawa wafuatao?
A. John Pombe Magufuli B. Samia Suluhu Hassan
C. Benjamin Williamu Mkapa D. Jakaya Mrisho Kikwete
8. Ni raisi yupi ambaye akiwa madarakani alijitahidi kuhakikisha kila kata inajengwa
shule ya sekondar? A. John Pombe Magufuli B. Samia Suluhu Hassan
C. Jakaya Mrisho Kikwete D. Ali Hassan Mwinyi
9. Wafuatao ni mawaziri wakuu waliohudumu katika taifa hili katika serikali ya awamu
ya kwanza isipokuwa A. Majaliwa Kassim Majaliwa B. Rashidi Mfaume
Kawawa C. Edward Moringe Sokoine D. Salim Ahmed Salim
10. Ni waziri mkuu yupi ambaye amehudumu katika serikali ya awamu ya nne kati ya
wafuatao? A. Joseph Sinde Warioba B. Edward Moringe Sokoine
C. Rashidi Mfaume Kawawa D. Edward Ngoyai Lowassa
11. Ni raisi yupi kati wa wafuatao alitawala nchi hii kutoka mwaka 2005 hadi 2015?
A. John Pombe Magufuli B. Jakaya Mrisho Kikwete
C. Benjamin Williamu Mkapa D. Ali Hassan Mwinyi
12. Raisi wa kwanza wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ni yupi kati ya wafuatao?
A B C D
13. Mawaziri wakuu wangapi walioongoza Tanzania tangu awamu ya kwanza hadi awamu
hii ya sita? A. 9 B. 2 C. 6 D. 11
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 1
14. Waziri mkuu aliyemalizia mhula wa pili wa serikali ya awamu ya nne ni yupi kati ya
wafuatao? A. B B. D C. A D. C
A B C D
15. Ni waziri mkuu yupi kati ya hawa wafuatao aliongoza Tanzania kama waziri mkuu
miaka mingi zaidi? A. Rashidi Mfaume Kawawa B. Frederick Sumaye
C. Edward Moringe Sokoine D. Edward Ngoyai Lowassa
16. Ni awamu ipi ya urais hapa Tanzania iliongozwa na waziri mkuu mmoja mihula yote?
A. awamu ya tatu B. awamu ya pili C. awamu ya kwanza D. awamu ya nne
17. Gamba ambalo huumbwa na miamba ambalo huzunguka jua kupitia njia maalumu
huitwa: A. ardhi B. Mwezi C. Sayari D. jua
18. Mfumo wa mawasiliano kati ya watu wa jamii au taifa Fulani huitwa:
A. Utandawazi B. lugha C. mtandao wa intaneti D. elimu
19. Mtoto wa mjomba au shangazi anaitwa: A. kaka B. Mjukuu C. binamu D. shangazi
20. Misitu ni rasilimali muhimu sana katika maisha ya binadamu kwani ni rasilimali
inayotupatia mahitaji mengi. Yafuatayo ni baadhi ya mazao ya msitu ISIPOKUWA:
A. mbao B. mkaa C. samaki D. asali
21. Mahitaji ya msingi ya binadamu ni: A. Chakula, kucheza na shule
B. gari, nyumba na elimu C. gari, chakula na simu D. chakula, malazi na mavazi
22. Bwana na bibi Paulo wanaishi katika kijiji cha Upendo na watoto wao wawili. Hii ni
aina gani ya familia? A. Familia pana B. Familia ya awali C. Familia ya mke
na mume D. familia ya watoto yatima
23. Yafuatayo ni mazao ya biashara ISIPOKUWA moja tu ambalo ni:
A. mahindi B. chai C. kahawa D. pamba
24. Jakaya Mrisho Kikwete ameiongoza nchi hii kwa kipindi cha miaka kumi. Kipindi
hicho ni sawa na: A. karne moja B. muongo mmoja C. millennia moja D. saa 24
25. Kuchomoza na kuzama kwa jua na usiku na mchana ni matokeo ya:
A. dunia kulizunguka jua B. majira ya mwaka C. Kupatwa kwa jua
D. dunia kujizungusha kwenye mhimili wake
26. Tanganyika ilipata raisi wake wa kwanza mwaka gani? A. 1961 B. 1962 C. 1964 D. 2020
27. Zanzibar inaundwa na visiwa vikubwa vingapi? A. 3 B. 2 C. 4 D. 1
28. Utalii ni sekta muhimu sana katika taifa letu kwasababu:
A. watalii hutuburudisha B. utalii hutatua migogoro katika jamii C. utalii
huharibu utamaduni wa mtanzania D. utalii hutupatia fedha za kigeni
JARIBIO LA 2
Andika herufi ya jibu sahihi
1. Matukio makubwa ya hatari yanayosababishwa na nguvu za asili ambayo hutokea
ghafla na kusababisha maafa hujulkana kama:
A. vita B. Tsunami C. majanga D. madhara
2. ________________ ni kifaa chochote ambacho hutumiwa na binadamu ili kumwezesha
kufanya kazi zake za kila siku. A. zana B. zama C. injini D. mshale
45. Taja matokeo mawili ya matumizi ya zana za chuma kwa zami hizo. _______________
JARIBIO LA 3
Andika herufi ya jibu sahihi
1. __________________________________ni mambo yaliyowahi kutokea katika jamii.
A. Kumbukumbu B. Ajali C. Matukio D. Mazingira
2. Faida ya kutunza kumbukumbu za kihistoria ni _______ A. kurithisha vizazi vijavyo
B. kuharibu utamaduni C. mmomonyoko wa maadili D. maandishi
3. Kipi kati ya hivi vifuatavyo hakiwezi kutumika kutunza kumbukumbu za matukio ya
kihistoria? A. Kamera B. Shajara C. Simu za viganjani D. hewa
4. Njia ambayo mtaalamu hufukua ardhini kutafuta mabaki ya kale ya binadamu na zana
zilizotumika enzi za kale hujulikana kama: A. Anthropolojia B. makumbusho
ya taifa C. Akiolojia D. masimulizi ya mdomo
5. Vifuatavyo ni vyanzo vya matukio ya kihistoria isipokuwa:
A. Akiolojia B. Ikolojia C. Anthropolojia D. masimulizi ya mdomo
6. Zifuatazo ni njia za kukusanya taarifa za matukio ya kihistoria isipokuwa moja tu ambayo ni:
A. Mahojiano B. dodoso C. kusoma maandiko mbalimbali D. kutembelea mwezini
7. Nini kazi ya kamera katika utunzaji wa kumbukumbu za matukio ya kihistoria?
A. Kupiga picha za matukio mbalimbali B. Kuandika taarifa za matukio mbalimbali
C. Kuhifadhi zana na vifaa vya kihistoria D. Kutafuta maeneo ambayo matukio ya
kihistoria yametokea
8. Kifaa kipi kati ya hivi vifuatavyo hakiwezi kutumika kutunza kumbukumbu za matukio
ya kihistoria? A. Kamera B. Shajara C. Simu za viganjani D. barabara
9. Ni tukio gani la kihistoria tunalikumbuka ifikapo tarehe 26/4 ya kila mwaka?
A. Siku ya uhuru B. Kifo cha Mwalimu J. K. Nyerere C. Muungano
wa Tanganyika na Zanzibar D. Kifo cha Edward Moringe Sokoine
10. Isimila na Oldvai Gorge ni mfano halisi wa: A. Shajala B.maktaba C. Makumbusho
D. maeneo ya kihistoria
11. Fuvu la binadamu wa kale liligunduliwa na daktari Luis Leakey na daktari Mery
Leakey katiaka bonde la Olduvai Gorge huko mkoani Arusha kwa kutumia kifaa
kiitwacho: A. anemomita B. baromita C. darubini D. Kaboni 14
12. Kumbukumbu ya kifo cha raisi wa kwanza wa Zanzibar hufanyika tarehe _____ ya kila
mwaka. A. 14 Oktoba B. 21 Mei C. Januari D. 7 Aprili
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 7
13. Fuvu la mtu wa kale liligunduliwa mwaka: A. 1959 B. 1886 C. 1914 D. 1961
14. Hizi ni baadhi ya njia tunazoweza kutumia kupata habari za matukio yaliyowahi
kutokea katika jamii zetu. A. Gazeti, Barua na Barometa B. kamera, Kipima joto na Tv
C. Masimulizi, redio, Vitabu na Luninga D. kamera, mvua na upepo
15. Wafuatao ni raisi na makamu wa raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
waliofariki katika awamu tofauti wakiwa bado wapo madarakani.
A. Mwalimu Julius K. Nyerere na Edward Moringe Sokoine B. John Magufuli na
Benjamini W. mkapa C. Mwalimu Julius K. Nyerere na John P. Magufuli
D. John P. Magufuli na Omari Ali Juma
16. Joseph alitaka kupata taarifa kuhusu matukio ya kihistoria ya nchi yetu. Unafikiri ni
mahali gani angeweza kwenda ili lengo lake litimie? A. Maabari B. mbuga
za wanyama C. makumbusho D. ikulu
17. Eid, Pasaka na Krismasi ni baadhi ya sikukuu za ____________________________
A. kidini B. kisiasa C. kijamii D. kijinsia
18. Waliovumbua fuvu la binadamu wa kwanza katika bonde la Olduvai walikuwa ni:
A. Dkt Mary George na Dkt George Lincolin B. Dkt. Louis Leakea na Dkt Mary
Leakey C. Dkt George Louis na Dkt Mary Leakey D. Vasco Da Gama na Carl Peters
19. ____________ huonesha michoro na utamaduni wa watu wa kale. A. sehemu zenye
masalia ya kale B. makumbusho ya taifa C. Akiolojia D. ikulu
20. Taarifa za matukio yaliyotokea na kuhifadhiwa na jamii inayohusika kwa nyakati
tofauti hujulikana kama: A. kumbukumbu za matukio ya kihistoria
B. makumbusho C. mkoba wa kazi D. shajala
Yafuatayo nu matukio ya kihistoria katika nchi yetu na mwaka wa kila tukio. Oanisha
matukio hayo kutoka fungu A na tarehe au mwaka tukio hilo lilipotokea kutoka fungu B
FUNGU A FUNGU B
21. Tanganyika ilipata uhuru wake A. 1985
22. Tanganyika ilikuwa jamhuri B. 12 Januari 1964
23. Mapinduzi ya Zanzibar C. 26 Aprili 1964
24. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar D. 1996
25. Meli ya Mv Bukoba ilizama E. 9 Disemba 1961
F. 1992
26. Kifo cha Raisi Magufuli
G. 1974
27. Mwalimu J.K.Nyerere alistaafu kuwa Raisi wa Tanzania
H. 9 Desemba 1962
28. Azimio la Musoma I. 14 Oktoba 1999
29. Azimio la Arusha J. 1985
30. Ajali ya garimoshi Dodoma K. 1984
31. Mvua ya Elinino L. 1967
32. Kifo cha aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania hayati Edward M. 12 Januari 1964
Moringe Sokoine N. 26 Aprili 1964
33. Vita vya Kagera O. 1898
34. Uchaguzi wa kwanza ulioshirikisha vyama vingi vya siasa P. 1995
35. Kifo cha Mkwawa Q. 17/3/2021
R. 1978 - 1979
S. 9 Disemba 1962
T. 1997 – 1998
U. 2002
JARIBIO LA 4
Andika herufi ya jibu sahihi
1. Ipi ni maana sahihi ya mazingira kati ya hizi zifuatazo?
A. Kitu chochote kilichopo shuleni B. Vitu vyote vinavyotuzunguka
C. Viumbe hai pekee D. Viumbe visivyo na uhai pekee
2. Lipi kati ya yafuatayo ni janga litokanalo na mvua kubwa hasa maeneo ya bondeni?
A. mafuriko B. tetemeko la ardhi C. ukame D. mlipuko wa volkana
3. Ni taasisi ipi ya kitaifa ambayo husimamia utunzaji wa mazingira?
A. NEMC B. NECTA C. NACTE D. BASATA
4. Kwa nini kilimo ni uti wa mgongo wa uchumi wa Tanzania? A. Kinapendwa na watu
wengi B. Kinavutia watalii C. Kinaajiri watu wengi D. Kinaharibu mazingira
5. Vitu vifuatavyo vinaweza kuunda mazingira ya darasani ISIPOKUWA kimoja tu
ambacho ni: A. dawati B. kabati C. gari D. meza
6. Usafirishaji, kilimo, biashara na uchimbaji wa madini ni: A. shughuli za kijamii
B. shughuli za kiuchumi C. shughuli za kisiasa D. shughuli za kidini
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 9
7. Kipi kati ya vyombo vya usafiri vifuatavyo hakitumiki katika usafirishaji kwa njia ya
ardhini? A. meli B. basi C. lori D. punda
8. Mahali ambapo malighafi huchakatwa na kuwa bidhaa hujulikana kama: __________
A. shamba B. dukani C. sokoni D. kiwanda
9. Kitendo cha kubadilishana bidhaa kwa bidhaa au bidhaa kwa fedha hujulikana kama:
A. rasilimali B. biashara C. uwekezaji D. utalii
10. ____________ ni mahali ambapo watu huenda kwa shughuli ya kuuza na kununua
bidhaa mbalimbali. A. kiwanda B. Mgodi C. barabara D. Soko
11. Zifuatazo ni njia za kukabiliana na athari za shughuli za kilimo isipokuwa:
A. kilimo cha matuta ya kukingama B. kilimo mseto
C. kilimo cha kuhamahama D. kilimo cha kubadilisha mazao
12. Maubile ya ardhi katika kijiji cha Kwamsisi ni milima na miteremko mikali lakini
udongo wake una rutuba sana. Wewe kama mtaalamu ungewashauri wanakijiji kulima
kilimo gani? A. kilimo cha kuhamahama B. kilimo cha matuta ya kukingama
C. kilimo cha zao la aina moja miaka yote D. kilimo cha mpunga
13. ________________ ni aina ya kilimo ambapo zao zaidi ya moja hupandwa katika
shamba moja katika msimu husika. A. kilimo mseto B. kilimo cha matuta
C. kilimo cha kuhamahama D. kilimo cha msimu
14. Kupunguza matumizi ya mbolea za viwandani ni moja ya njia za kukabiliana na athari
za ________________ katika mazingira. A. kilimo B. ufugaji C. uchungaji D. uvuvi
15. Mojawapo kati ya yafuatayo siyo faida zitokanazo na ufugaji. A. malighafi viwandani
B. kukuza utamaduni C. samadi mashambani D. kujipatia fedha
16. Mojawapo si njia ya kudhibiti athari zitokanazo na viwanda. A. kujenga viwanda
mbali na makazi ya watu B. viwanda kujengewa mashine zenye mitambo ya kupunguza
moshi C. kuweka utaratibu wa urejelezaji D. maji machafu kutoka viwandani
kutiririshwa mtoni
17. Shughuli ipi kati ya hizi zifuatazo husababisha uharibifu wa mazingira? A. Kupanda
miti B. Ukataji miti hovyo C. Kilimo cha matuta D. Urejeleaji wa takataka
18. Ni kiumbe yupi ni msababishi na mharibifu mkubwa wa mazingira?
A. nyani B. tembo C. panya D. binadamu
19. Kulima kwa kufuata kanuni bora za kilimo ni njia mojawapo ya kutunza __________
A. nyumba B. mazingira C. miti D. mifugo
20. Ni athari ipi ya uharibifu wa mazingira haisababishwi na uchimbaji wa madini?
A Ukataji wa miti ovyo B. Ongezeko la mvua C. Uchafuzi wa maji D. Kuwepo
mashimo makubwa
21. Njia bora na endelevu katika utunzaji wa mazingira ni? A. Uchomaji mkaa B. Ufugaji
wa wanyama wengi C. Upandaji wa miti na nyasi D. Ukosefu wa vyoo
22. Mitego ya madema na migono ni vifaa vinavyotumika kwa shughuli ya ____________
A. kuchimbia madini B. kushonea nguo C. kuvua samaki D. kuchezea ngoma
23. Madini yanayopatikana nchini Tanzania pekee kati ya haya yafuatayo ni ___________
A. Almasi B. Rubi C. Dhahabu D. Tanzanite
24. Eneo la ardhi panapofanyika shughuli za uchimbaji madini huitwa _______________
A. gulio B. mgodi C. malighafi D. karakana
25. Migogoro kati ya wakulima na wafugaji husababishwa na A.Vyama vingi vya siasa.
B. uhaba wa ardhi. C. uhaba wa mifugo na mazao. D. kupungua kwa wafugaji.
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 10
26. Mabadiliko makubwa ya wastani wa hali ya hewa inayorekodiwa kwa kipindi cha
muda mrefu kuanzia miaka 30 au zaidi hujulikana kama: A. Mabadiliko ya hali ya
hewa B. Mabadiliko ya sura ya nchi C. uharibifu wa mazingira D. Mabadiliko ya tabianchi
27. Tabianchi ya eneo lolote kwenye uso wa dunia huathiriwa na mambo yafuatayo
isipokuwa:- A. Latitudo ya eneo hilo B. Mwinuko kutoka usawa wa bahari
C. Sura ya nchi D. kupwa na kujaa kwa bahari
28. _________________________ ni umbile la eneo fulani kama vile milima na mabonde.
A. hali ya hewa B. sura ya nchi C. ardhi D. tabianchi
29. Zifuatazo ni athari za kuongezeka kwa joto duniani isipokuwa: A. Kutokea mara kwa
mara majanga kama ukame na mafuriko B. Kutokea mara kwa mara vimbunga
na upepo mkali C. Kuharibiwa na kupungua kwa kiwango cha theluji
katika milima mirefu D. kupungua kwa idadi ya watu duniani
30. Zifuatazo ni mbinu za kukabiliana na ukame isipokuwa: A. Kilimo cha umwagiliaji
B. Kupanda mazao yanayostahamili ukame na kukomaa kwa muda mfupi C. Kutoa
elimu kwa jamii kuhusu kilimo hifadhi, aina nzuri ya mbegu za mazao na matumi
zibora ya pembejeo D. kuhamasisha wakulima kuacha kilimo ili kujishughulisha na
shughuli nyingine
JARIBIO LA 5
Kupima kasi ya
31. upepo
______________________
Kampbeli stok
_____________
33.
Kupima
mgandamizo wa
______________________ hewa
34.
Kipimaupepo
35. ______________
Kupima halijoto
36.
Haigromita
______________
37.
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 14
Jaza nafasi za wazi
38. Ni katika kipindi gani cha majira ya mwaka jotoridi huwa juu? ___________________
39. Kifaa kinachotumika kupima jotoridi huitwa __________________________________
40. Hali ya angahewa katika eneo fulani ambayo hurekodiwa kwa kipindi kifupi hujulikana
kama _________________________________________________________________
41. Mamlaka ya hali ya hewa ya nchi fulani ilitoa takwimu za wastani wa baadhi ya
vipengele vya hali ya hewa ya nchi hiyo kwa kipindi cha miaka 30 kama ifuatavyo;
wastani wa jototidi ni 280C na mvua ni mililita za ujazo 1200. Wastani huo wa hali ya
hewa kwa kipindi kirefu kama hicho hujulikana kama: ________________________
42. Wastani wa hali ya hewa ya eneo fulani iliyorekodiwa kwa kipindi cha muda mrefu
kuanzia miaka 30 au zaidi hujulikana kama: _______________________________
43. Maumbile ya eneo fulani kama vile milima na mabonde hujulikana kama. _______
44. Taja mambo mawili ambayo huathiri tabianchi ya Tanzania.
i. ___________________________ ii. ________________________________
45. Tanzania ni sehemu ya ukanda wa kitropiki ambapo imegawanyika katika kanda kuu
nne za tabianchi. Zitaje kanda hizo.
i. ______________ ii. ______________ iii. ______________ iv. ______________
46. Eleza kwa kifupi sababu za mikoa iliyopo katika ukanda wa ziwa kupata kiwango
kikubwa cha mvua kwa mwaka.
47. Orodhesha sababu mbili za zao la kahawa hustawi zaidi katika sehemu zenye miinuko
na milima.
48. Ainisha athari 2 za mabadiliko ya tabianchi ya Tanzania. ________________________
49. Eleza kwa kifupi tofauti iliyopo kati ya hali ya hewa na tabianchi._________________
50. Eleza kwa kifupi faida za kufahamu hali ya hewa ya eneo Fulani. _______________
JARIBIO LA 6
1. Fungu lipi kati ya yafuatayo SIYO vielelezo vya utamaduni? A. mila na desturi
B. utandawazi na utamaduni C. lugha na sanaa D. mila na sanaa
2. __________________ ni jumla ya mambo yanayofanywa na jamii husika kulingana na
asili, mazingira na mienendo ya jamii hiyo.
A. mila B. desturi C. utamaduni D. miiko
3. Mambo ya kawaida yanayofanywa mara kwa mara na wanajamii ambayo huweza
kubadilika kulingana na mahali na wakati hujulikana kama:
A. mila B. desturi C. tambiko D. miiko
4. Kipi kati ya vifuatavyo SI kielelezo cha utamaduni wa watanzania?
A. Kuongea lugha ya Kiswahili B. Kula ugali C. Kuvaa kanga D. kuongea Kingereza
5. Kitendo kipi kati ya vifuatavyo hakioneshi ushirikiano shuleni?
A. Kufanya mazoezi na majaribio yote yanayotolewa na walimu B. kuwa mtoro
C. kuwauliza maswali walimu D. Kushiriki kufanya kazi kwene shamba la shule
6. Diana ni dada wa baba yako. Je, Diana unamwitaje?
A. dada B. shangazi C. mjomba D. bibi
7. Tunapaswa kufanya nini pale mtu anapokukosea kwa mara ya kwanza na kwa bahati
mbaya? A. kusema asante B. kuomba msamaha C. kumsamehe D. kumpiga
________________________________________________________________________
44. Eleza jinsi vyombo vya habari vinavyoweza kuendeleza na kuharibu mila na desturi za
jamii.
______________________________________________________________________
______________________________________________________________________
______________________________________________________________________
45. Eleza njia 2 zilizotumiwa na wakoloni kuathiri mila na desturi za jamii zetu.
______________________________________________________________________
______________________________________________________________________
______________________________________________________________________
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 19
JARIBIO LA 8
1. Katika karne ya 9, Pwani ya Afrika Mashariki ilitembelewa na watu kutoka bara la:
A. Asia B. Amerika C. Australia D. Antaktika
2. Wafanyabiashara kutoka India, China na nchi za kiarabu kama Omani waliokuja
Tanganyika mnamo karne ya tisa walifuata nini: A. shanga, bilauri na bunduki B. nguo,
shanga na pete C. dhahabu na pembe za ndovu D. Almasi na Tanzanaiti
3. Mnamo karne ya 9, biashara ya dhahabu baina ya watanganyika na wafanyabiashara
kutoka India, China na nchi za kiarabu kama Omani ilifanyika katika mji wa:
A. Dar es Salaam B. Dodoma C. Tanga D. Kilwa
4. Watu wa kwanza kutoka Ulaya kuja kufanya biashara mbalimbali Pwani ya Afrika
Mashariki walikuwa ni: A. Wagiriki na Warumi B. waingereza na warumi
C. waingereza na wajerumani D. wajerumani na warusi
5. Baada ya Wagiriki na Warumi kuja kufanya biashara mbalimbali Pwani ya Afrika
Mashariki, walifuatia watu gani kuja Pwani ya Afrika Mashariki? A. Wajerumani
B. Waingereza C. Wareno D. Wafaransa
6. Bomba refu kabisa ambalo husafirisha mafuta kutoka Dar es Salaam Tanzania hadi
Ndola Zambia linaitwa: A. TAZAMA B. TAZARA C. BASATA D. TZZA
7. Wareno walifika Pwani ya Afrika Mashariki mwaka 1498 wakiongozwa na kiongozi
wao: A. Vasco Da Gama B. Daktari Livingstone C. Richard Burton D.Karl Petters
8. Wareno walifika katika mji wa Kilwa mnamo karne ya: A. 16 B. 19 C. 20 D. 18
9. Wareno walipokuja katika Pwani ya Afrika Mashariki, makao makuu yao yalikuwa
katika mji gani? A. Kilwa B. Lindi C. Dar es Salaam D. Mombasa
10. Ngome ya Yesu (Fort Jesus) ilijengwa katika nchi gani?
A. Tanzania B. Kenya C. Uganda D. Zanzibar
11. Ngome ya Yesu (Fort Jesus) ilijengwa katika mji gani?
A. Malindi B. Mombasa C. Kilwa D. Bagamoyo
12. Waarabu wa Omani wakishirikiana na waswahili wa Pwani ya Afrika Mashariki
walifanikiwa kuwafukuza Wareno mwanzoni mwa karne ya: A. 16 B. 17 C. 18 D. 19
13. Baada ya Wareno kufukuzwa katika Pwani ya Afrika Mashariki na Waarabu wa Omani
wakishirikiana na Waswahili wa Pwani ya Afrika Mashariki walikimbilia wapi? _____
A. Msumbiji Kusini mwa mto Ruvuma. B. Malawi C. Zambia D. Kongo
14. Mmoja kati ya wafuatao SIYO vitangulizi vya mwanzo vya wakoloni. A. wapelelezi
B. watalii C. wafanyabiashara D. wamisionari
15. Yafuatayo ni malengo ya wapelelezi kama vitangulizi vya wakoloni isipokuwa:
A. kutafuta ardhi kwaajili ya kilimo cha mazao ya biashara B. kutafuta maeneo yenye
hali ya hewa nzuri kwaajili ya makazi C. kutafiti na kujua sehemu zilizokuwa na idadi
kubwa ya watu D. kutafiti maeneo yaliyoinuka kwaajili ya kujenga minara ya simu
16. Richard Burton, John Hanning Speke, Dr. Livingstone na Henry Murton Stanley ni miongoni
mwa _____________ waliofika Tanganyika.
A. wapelelezi B. watalii C. wafanyabiashara D. wamisionari
17. Safari ya wapelelezi kuingia Tanganyika ilianzia Zanzibar ambapo _________ aliwapa
vibali na maelekezo muhimu kuhusu sehemu walizokusudia kutembelea.
A. rais wa kwanza wa Zanzibar B. rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
C. waziri kiongozi wa Zanzibar D. sultani Seyyid Said
18. Wamisionari walianza kuingia Tanganyika mwaka: A. 1844 B. 1860 C. 1880 D. 1920
19. Wamisionari walianza kuingia Tanganyika karne ya A. 18 B. 19 C. 20 D. 21
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 20
20. Wafuatao ni miongoni mwa wamisionari waliofika Tanganyika.
A. Vasco Da Gama na Dr. Livingstone B. Johann Ludwig Krapf na Johannes
Rebmann C. Karl Petters na Vasco Da Gama D. Karl petters na Dr. Livingstone
21. Johann Ludwig Krapf na Johannes Rebmann ni wamisionari ambao waligharamiwa na
chama chao cha: A. Church Missionary Society (CMS) B. Universities Mission to
Central Africa (UMCA) C. Kampuni ya wajerumani ya Afrika Mashariki D. BEACO
22. Moja kati ya yafuatayo SIYO matokeo ya uhusiano kati ya jamii za ulaya na Asia na
Tanganyika kabla ya ukoloni. A. kuanzishwa kwa biashara ya utumwa B. kukomeshwa
kwa biashara ya utumwa . kuenea dini ya Kikristo na kueneza shule kwaajili
ya kuwafundisha waafrika kusoma D. ujio wa ukoloni
23. Miongoni mwa wafanyabiashara maarufu waliofanya biashara na jamii za
kitanganyika ni muingereza aliyeitwa: A. Vasco Da Gama B. Karl petters
C. Dr. Livingstone D. William Mackinoon
24. William Mackinoon alikuwa ni mfanyabiashara kutoka uingereza. Mfanyabiashara
huyu hakufanikiwa sana katika maswala ya biashara kutokana na
A. kuuza bidhaa kwa bei kubwa B. biashara yake ilikuwa sehemu moja C. alikuwa
hajui kuongea Kiswahili D. alikosa ushirikiano kutoka kwa serikali yake ya uingereza
25. Mjumbe wa kwanza wa wafanyabiashara kutoka ujerumani aliyetumwa kuja kufanya
mikataba na machifu alikuwa ni: A. Karl Peters B. Vasco Da Gama C. William
Mackinoon D. Dr. Livingstone
26. Chifu Mangungo wa Msovero alisaini mikataba ya kilaghai na mfanyabiashara yupi
kati ya wafuatao? A. William Mackinoon B. Karl Peters C. Charles Stokes
D. Sultani Seyyid Said
27. Ni mfanyabiashara yupi aliyetumwa na kampuni iliyojulikana kama “Kampuni ya
wajerumani ya Afrika Mashariki” kuja hapa Tanganyika? A. William Mackinoon
B. Karl Peters C. Charles Stokes D. Vasco Da Gama
28. _____________ ni mtindo wa nchi kutawala nchi nyingine kisiasa, kiuchumi na
kiutamaduni. A. ukabaila B. ujima C. utumwa D. ukoloni
29. _______________ ni makubaliano yanayofikiwa kwa maandishi kati ya pande mbili au
zaidi ambayo yanatekelezwa na pande hisika kwa mujibu wa taratibu na sheria.
A. utamaduni B. mkakati C. utumwa D. mkataba
30. Kwanini Chifu Mangungo wa Msovero alisaini mikataba ya kilaghai na
mfanyabiashara Karl Peters? A. alipewa hongo B. hakujua kilichoandikwa katika
mkataba huo C. hakuwapenda watu aliokuwa akiwaongoza D. alikuwa analipiza kisasi
31. Bwana John anamiliki mashamba makubwa ambayo huyakodisha kwa watu. Hii ni aina
gani ya ukabaila? A. Ubugabire B. Ntemi C. Nyarubanja D. Ujima
32. Mfumo wa kwanza wa kiuchumi na kiutawala ambapo watu waliishi na kushirikiana
pamoja uliitwa____________ A. Ujima B. Ujamaa C. Ubepari D. Ukabaila
33. Ujima ni mfumo wa ___________________ Wa maisha ya maendeleo ya binadamu.
A. Mwisho B. kati C. sasa D. mwanzo
34. Ni kundi lipi la jamii za Kitanzania bado linaendeleza mfumo wa ujima?
A. Wandorobo, Wasandawe na Wamakonde B. Wamasai, Wasandawe na Wafipa.
C. Wehadzabe, Wandorobo na Wakurya. D. Wandorobo, Wasandawe na Wahadzabe
35. Umwinyi was the feudal system that existed in which part of Tanzania? A. Kigoma
C. maeneo ya pwani B. magharibi mwa ziwa Viktoria D. maeneo ya Kusini
JARIBIO LA 9
1. Mkutano wa Berlin ni mkutano uliojumuisha mataifa ya kibeberu kwa lengo la
kugawana makoloni barani Afrika. Mkutano huu uliitishwa na nani? A. Karl Peters
B. Vasco Da Gama C. Kansela Otto von Bismark D. umoja wa mataifa
2. Moja kati ya masharti yaliyowekwa kwenye mkutano wa Berlin ilikuwa ni:
A. Kukomesha biashara ya utumwa ndani ya makoloni B. kuimarisha biashara ya
utumwa ndani ya makoloni C. kueneza dini ya Kikristo Afrika nzima
D. elimu ya msingi kutolewa bure kwa waafrika wote
3. Mkutano wa Berlin ulifanyika katika nchi gani? A. Ufaransa B. Ujerumani
C. Uingereza D. Marekani
4. Ni mito mikuu ipi ambayo katika mkutano wa Berlin iliazimiwa itumike kwa usafiti na
iwe wazi kwa mataifa yote? A. mto Ruaha na mto Kagera B. mto Naili na mto Kagera
C. mto ruaha na mto Ruvu D. mto Kongo, mto Senegal na mto Zambezi
5. Mkutano wa Berlin ulianza ____________ na kumalizika mwezi Februari 1985.
A. Novema 1984 B. Januari 1984 C. Februari 1985 D. Januari 1985
6. Mkataba uliofanyika mwaka 1890 kati ya serikali ya Uingereza na Ujerumani wenye
madhumini ya kurekebisha mipaka ya mwaka 1886 ulijulikana kama: A. mkataba wa
Hamaton B. mkataba wa freire C. mkataba wa Berlin D. mkataba wa Heligoland
7. Moja kati ya zifuatazo SIYO sababu ya mataifa ya kibeberu kugawana na kulitawala
bara la Afrika. A. Kupata vibarua wa gharama nafuu B. kupata maeneo
ya kuwekeza vitega uchumi C. kupata malighafi na masoko ya bidhaa za
viwandani D. kuja kueneza dini ya Kikristo
8. Uvamizi wa wakoloni katika bara la Afrika ulianza miaka ya 1870. Hii ni karne ya
ngapi? A. karne ya 18 B. karne ya 19 C. karne ya 187 D. karne ya 1870
9. Kitendo cha nchi moja kuitawala nchi nyingine kiuchumi, kisiasa na kijamii hujulikana
kama: A. Utamaduni B. demokrasia C. ukoloni D. utumwa
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 22
10. Ni mataifa yapi kati ya yafuatayo yaliitawala Tanganyika katika vipindi tofauti? A. Marekani
na ujerumani B. Ujerumani na Uingereza C. ufaransa na Uingereza D. Ureno na marekani
11. Tanganyika ilianza kutawaliwa na wakoloni wa taifa gani?
A. Ujerumani B. Uingereza C. Ufaransa D. Ureno
12. ____________ ni gavana wa kwanza kuteuliwa na serikali ya Ujerumani kusimamia utawala
wa kikoloni Tanganyika. A. Julius Von Soden B. Vasco Da Gama
C. Karl Peters D. William Macknoon
13. Maakida, maliwali na machifu katika utawala wa Wajerumani walikuwa na majukumu
yafuatayo isipokuwa: A. kukusanya kodi B. kuandikisha manamba na
vibarua C. kutoa taarifa kuhusu jambo lolote lililohatarisha usalama wa serikali ya kikoloni.
D. kusimamia elimu ya msingi na vyuo vikuu
14. Ili kurahisisha usafirishaji wa mizigo na wafanyakazi, wakoloni walijenga miundombinu ya
usafirishaji hapa Tanganyika. Bandari za tanga na Dar es Salaam zilijengwa na wakoloni wa:
A. Kingereza B. Kireno C. Kijerumani D.Kifaransa
15. Reli ya Tanga hadi Moshi ilianza kujengwa mwaka 1893 na kumalizika mwaka:
A. 1899 B. 1897 C. 1900 D. 1911
16. Reli ya Dar es Salaam hadi Kigoma ilianza kujengwa mwaka _________________ na
kumalizika mwaka 1914. A. 1900 B. 1905 C. 1910 D. 1913
17. Vita vya Maji maji vilipiganwa mwaka 1905 hadi __ A. 1907 B. 1914 C. 1940 D. 1945
18. Mganga aliyewaaminisha watanganyika katika vita vya Maji maji kuwa risasi za
wajerumani zitabadilika kuwa maji aliitwa:
A. Kinjekitile Ngwale B. Chifu Mangungo C. Kibanga D. Karl Peters
19. Kinjekitile Ngwale alikuwa ni mganga wa jadi kutoka kabila la:
A. wahehe B. wabena C. wamatumbi D. wangoni
20. Vita vya Maji maji vilihusisha makabila yafuatayo isipokuwa:
A. wangoni B. wabena C. wamatumbi D. wahehe
21. Ipi kati ya zifuatazo SIYO sababu iliyopelekea kutokea kwa vita vya Maji maji?
A. Utawala wa mabavu wa wajerumani B. kodi kubwa zilizotozwa na watawala
C. wajerumani kudharau tamaduni za wenyeji D. Watanganyika kupewa nafasi za
juu katika utawala wa wajerumani
22. Zifuatazo ni sababu zilizopelekea watanganyika kushindwa katika vita vya Maji maji
isipokuwa: A. wajerumani walikuwa ni wachawi kuliko Kinjekitile Ngwale
B. silaha duni za wenyeji C. kukosekana kwa umoja imara baina ya
watanganyika D. tofauti baina ya niongozi wa vikosi vya wenyeji
23. Moja kati ya yafuatayo siyo matokeo ya vita vya Maji maji. A.vifo vya watu kati ya
75,000 na 120,000 B. Tanganyika kupata uhuru C. njaa kali
D. kusambaratika kwa tawala nyingi za jadi
24. Utawala wa Uingereza dhidi ya jamii za watanganyika ulianza mwaka:
A. 1910 B. 1915 C. 1918 D. 1945
25. Utawala wa Wangereza dhidi ya jamii za watanganyika ulianza mara baada ya
wajerumani kushindwa vibaya katika: A. Vita vya Maji maji B. Vita vya
pili vya dunia C. Vita vya Sangu Bena D. Vita vya kwanza vya dunia
26. Vita kuu vya kwanza vya dunia ilianza kupigana mwaka 1914 hadi _____________
A. 1918 B. 1945 C. 1910 D. 1950
27. Baada ya Ujerumani kushindwa katika vita kuu vya kwanza vya dunia, eneo la
Tanganyika liliwekwa chini ya utawala wa Waingereza kwa udhamini wa umoja wa
JARIBIO LA 11
1. Viongozi wa mwanzo wa bara la Afrika waliopinga uvamizi wa wakoloni katika
Nyanja za kiuchumi, kisiasa na kijamii hujulikana kama: A. magavana wa Afrika
B. waafrika C.mashujaa wa Afrika D. maliwali
2. ______________________ ni mtu yeyote anayeweza kukabiliana na matatizo ya jamii
yake kwa nia, moyo na nguvu thabiti. A. mkoloni B. mtawala C. shujaa D. mvamizi
3. Watawala wa jadi ambao walikuwa machifu walitofautiana majina kama Mtemi,
Mangi, Mtwa, Nkosi au Mwene kulingana na tamaduni za _______ husika.
A.Taifa B. kabila C. koloni D. dini
4. Chama cha African Association kilianzishwa mwaka 1929 na baadaye mwaka 1948
kilibadilishwa jina na kuitwa: A. Chama Cha Mapinduzi B. TANU
C. Tanganyika African Association (TAA) D. UKAWA
5. Chama cha Tanganyika Africac National Union (TANU) kilizaliwa tarehe:
A. 7/7/1954 B. 7/7/1977 C. 9/12/1962 D. 12/4/19892
6. Tanganyika ilipata uhuru wake mwaka 1961 kutoka mikononi mwa utawala wa:
A. Wajerumani B. Waingereza C. Waarabu D. Wareno
7. Chama cha Afro Shiraz Party (ASP) kiliundwa tarehe:
A. 5/2/1957 B. 7/7/1977 C. 9/12/1962 D. 12/4/19892
8. Moja kati ya yafuatayo siyo sababu zilizopelekea mashujaa wetu kupinga uvamizi
katika bara la Afrika. A. kulinda uhuru B. kupinga unyonyaji C. kupinga wavamizi
waliopora na kumiliki rasilimali D. kupinga dini ya Kiislamu isienee nchini
9. Baada ya kupata uhuru wake mwaka 1961, Tanganyika ikawa jamhuri tarehe________
A. 26/4/1964 B. 12/1/11964 C. 9/12/1961 D. 9/12/1962
10. Waziri mkuu wa kwanza wa Tanzania alikuwa nani? A. Rashid Mfaume Kawawa
B. Kassim Majaliwa C. Mwalimu Julius K. Nyerere D. Edward Moringe Sokoine
11. Nchi ambayo ni jamhuri kama Tanzania huongozwa na: _________________________
A. raisi B. waziri mkuu C. Malkia D. Mfalme
JARIBIO LA 12
1. Hali ya mtu na mtu au nchi na nchi kuamua kushirikiana kwenye mambo watakayo
kubaliana hujulikana kama: A. uhusiano B. utumwa C. ukoloni D. ujima
2. Umoja wa Afrika (Africa Union- AU) ni umoja wa nchi za Afrika ulioundwa mwaka
A. 1967 B. 1961 C. 2002 D. 2020
3. Ni umoja upi kati ya zifuatazo ulitangulia kuundwa? A. Umoja wa Afrika (African
Union- AU) B. Umoja wa nchi huru za Afrika (Organization of Africa unity - OAU)
C. Jumuiya ya Afrika Mashariki (East Africa Community - EAC) ya sasa
D. Ushirikiano wa kiuchumi wan chi za Afrika ya Magharibi ECOWAS
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 29
4. Zifuatazo ni jumuiya ambazo Tanzania ni mwanachama isipokuwa:
A Ushirikiano wa kiuchumi wan chi za Afrika ya Magharibi ECOWAS
B. Umoja wa nchi huru za Afrika (Organization of Africa unity- OAU)
C. Jumuiya ya Afrika Mashariki (East Africa Community - EAC) ya sasa
D. Umoja wa Afrika (African Union - AU)
5. Makao makuu ya umoja wa Afrika (Africa union - AU) yapo katika mji gani?
A. Mombasa – Kenya B. Arusha – Tanzania C. Addis Ababa Ethiopia
D. Dar es Salaam – Tanzania
6. Ipi kati ya zifuatazo ni nembo ya Umoja wa Afrika (Africa Union- AU)?
A B C D
7. Makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (East Africa Community - EAC) yapo
katika mji gani? A. Nairobi – Kenya B. Arusha – Tanzania C. Addis Ababa
Ethiopia D. Dar es Salaam – Tanzania
8. Yafuatayo ni malengo ya Umoja wa Afrika (Africa Union-AU) isipokuwa:
A. Kuunganisha na kuimarisha ushirikiano wa nchi zaAfrika B. Kuwa na Afrika
yenye amani na usalama C. Kuondoa aina zote za unyonyaji barani Afrika
D. kuleta ukoloni mamboleo unaosimamiwa na mataifa ya kibepari kutoka Alaya na Asia
9. Umoja wa mataifa umepata mafanikio mengi na yafuatayo ni baadhi ya mafanikio hayo
isipokuwa:- A. utatuzi wa migogoro ya kisiasa kwa kutumia mazungumzo
B. ujenzi wa miundombinu inayohimiza upatikanaji wa maendeleo kwa nchi
wanachama C. kupigana vita na mataifa ya Afrika yaliyopo katika hali ya
umasikini D. uwepo wa uhusiano mzuri wa kisiasa na kiuchumi kupitia mikopo yenye
riba nafuu ya Benki ya maendeleo ya Afrika.
10. Moja kati ya zifuatazo ni changamoto zinazoukabili Umoja wa Afrika (Africa Union-
AU) A. upungufu wa fedha za kuendeshea umojahuo B. kutokuwepo kwa
migogoro baina ya nchi za kiafrika C. Umoja wa mataifa kusaidia nchi maskini
barani Afrika D. Utulivu wa kisiasa uliopo katika mataifa mengi ya Afrika
11. Tanganyika ilijiunga na umoja wa Forodha mwaka: A. 1964 B. 1927 C. 2002 D. 2012
12. Kwa mara ya kwanza Jumuiya ya Afrika Mashariki iliundwa mwaka 1967 ikiwa na
nchi tatu wanachama ambao ni A. Kenya, Uganda na Rwanda B. Tanzania, Rwanda
na Burundi C. Tanzania, Kenya na Uganda D. Kenya, Uganda na Sudani Kusini,
13. Jumuiya ya Afrika Mashariki iliundwa mwaka 1967 na kuvunjika mwaka 1977. Baada
ya hapo ilifufuliwa na utekelezaji wake ulianza rasmi mwaka:
A. 2002 B. 2012 C. 2020 D.2000
14. Makao makuu ya Jumuiya mpya ya Afrika Mashariki yapo wapi? A. Arusha –Tanzania
B. Kampala – Uganda C. Addis Ababa Ethiopia D. Bujumbura – Burundi
15. Tarehe 30/11/1999 waliokuwa viongozi wakuu wa nchi za Afrika Masharki
(Rais wa Kenya, Emilio Mwai Kibaki, Rais wa Uganda Yoeri Kaguta Museveni na
Rais wa Tanzania ________________ walitia saini mkataba wa ushirikiano wa Afrika
Mashariki na hatimae Jumuiya ya Afrika Mashariki ikafufuliwa tena mwaka 2000.
A. John P. Magufuli B. Benjamini W. Mkapa C. Jakaya M. Kikwete D. Samia S. Hassan
Wafuatao ni baadhi ya viongozi waliopigania uhuru katika nchi zao na vyama vyao
vya siasa. Angalia jinala kiongozi kutoka sehemu A kisha chagua chama
alichoongoza kutoka sehemu B
SEHEMU A MAJIBU SEHEMU B
36. Agustino Neto A. African National Congress (ANC)
37. Kwame Nkrumah B. Movement Nationale Congolais (MNC)
38. Samora Machel C. Kenya African National Union (KANU)
39. Nelson Mandela D. FRELIMO
40. Patrice Lumumba E. Tanganyika African National Union (TANU)
41. Jomo Kenyatta F. Convention People’s Party
42. Ahmed Ben Bella G. Movimento Popular de Libertacao de Angola (MPLA)
43. Julius Nyerere H. Front Pour la Liberation Nationale (FNL)
44. Ni rais yupi alichaguliwa katika uchaguzi wa kwanza kabisa ulioshirikisha vyama vingi
vya siasa hapa Tanzania? _________________________________________________
45. Elezea sababu ya makoloni yaliyotawaliwa na Wareno kupata uhuru wao kwa njia ya
vita. i. _________________________________ ii. ____________________________
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 32
JARIBIO LA 13
1. Tendo la kupeleka watu au bidhaa kutoka eneo moja kwenda eneo jingine kwa kutumia
chombo cha usafiri huitwa: A. mawasiliano B. ukoloni C. usafirishaji D. uhusiano
2. Kuna aina tatu za usafirishaji ambao ni usafiri wa: A. ndege, basin a lori B. basi, trini
na meli C. miguu, meli na magari D. nchi kavu, majini na anga
3. Usafiri wa nchi kavu umegawanyika katika sehemu tatu ambazo ni: A. barabara, reli
na mabomba B. miguu, magari na treni C. barabara, reli na majini D. anga,
majini na barabara
4. Ni vyombo vipi vha usafiri kati ya vifuatavyo husafiri kwenye mito, maziwa na
bahari? A. ndege na meli B. meli na jahazi C. treni na meli D. basin a lori
5. Shangazi anataka kusafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar. Unafikiri anaweza
kutumia chombo gani cha usafiri? A. basi au ndege B. teksi au treni C. meli au ndege
D. treni au bajaji
6. Wapioganaji wa chama cha FRELIMO walipata mafunzo ya kijeshi nchini Tanzania
na kufanikiwa kuleta uhuru wa kweli katika nchi ya:
A. Kenya B. Uganda C. Zanzibar D. Msumbiji
7. Katika harakati za kudai uhuru, baadhi ya nchi za Afrika zilipata uhuru kwa njia ya
mapinduzi. Baadhi ya nchi hizo ni: A. Zanzibar na Misri B. Zanzibar na Ethiopia
C. Tanganyika na Zanzibar D. Zanzibar na Uganda
8. Kuna baadhi ya mataifa ambayo yalikuwa makoloni ambayo mazingira yake
hayakuruhusu uhuru kwa njia ya vyama vya siasa na mabadiliko ya katiba badala yake
yalipata uhuru kwa njia ya mtutu wa bunduk.Yapi Kati ya yafuatayo ni mataifa
yaliyopata uhuru wake kwa mtutu wa bunduki? A. Kenya, Afrika Kusini, Namibia,
Angola, Msumbiji na Algeria B. Tanzania, Angola, Uganda Msumbiji na Algeria
C. Ethiopia, Uganda, Rwanda na Algeria D. Tanganyika, Mali, Uganda, na Algeria
9. Mwalimu Julius K. Nyerere aliongoza harakati za kudai uhuru wa Tanganyika akiwa
mwenyekiti wa chama cha: A. CCM B. ASP C. TANU D. TLP
10. _________________ ni hali ya kutoka hatua duni kwenda hatua bora.
A. utamaduni B. desturi C. maendeleo D. usafirishaji
11. Tanzania iliingia katika mfumo wa vyama vingi vya siasa mwaka gani?
A. 1995 B. 1985 C. 1992 D. 1982
12. Tanzania imefanya chaguzi kuu ngapi tangu mfumo wa vyama vingi vya siasa uanze?
A. 3 B. 4 C. 5 D. 6
13. Ni rais yupi alichaguliwa katika uchaguzi wa kwanza kabisa ulioshirikisha vyama
vingi vya siasa hapa Tanzania? A. Julius K. Nyerere B. Ali Hassan
Mwinyi C. Benjamin Williamu Mkapa D. Jakaya Mrisho Kikwete
14. Mchoro unaowakilisha taswira ya nchi au sehemu ya nchi unaochorwa kwenye
karatasi, kipande cha ubao au ardhini kwa vipimo maalumu hujulikana kama:
A. Picha B. fremu C. ramani D. ramani ya takwimu
15. Vitu vyote katika ramani hutafsiriwa katika sehemu ya ramani ijulikanayo kama:
A. ufunguo B. dira C. kipimio D. kichwa cha ramani
16. Ramani ya _____________ ni ramani inayoonesha sura ya asili ya nchi kama bahari,
mito, milima na mabonde pamoja na vitu vilivyojengwa na binadamu kama majengo,
barabara na mazao. A. ramani ya topografia B. ramani ya takwimu
C. ramani ya asili D. ramani ya kisayansi
c
A
42. Katika ramani hii kuna vitu ambavyo tunashindwa kuvitambua kutokana na
kukosekana kipengele muhimi sana cha ramani. Kipengele hicho kinachokosekana ni
____________________________________________________________
43. Herufi C inawakilisha nini katioka ramani hii? _______________________
44. Herufi A inawakilisha nini katioka ramani hii? _______________________
45. Ukiwa Msikitini daraja lipo upande gani? ___________________________
19. Mtangazaji wa BBC alitangaza kuwa ni saa 11:00 jioni huko London Uingereza
ambako huchukulia majira yake 00. Itakuwa ni saa ngapi katika Mji wa Dar es Salaam
450 Mashariki? A. 9:00 alasiri B. 11:00 asubuhi C. 12:00 jioni D. 2:00 usiku
20. Ikiwa katika mji wa Dodoma unaochukulia majira yake 450 Mashariki ni saa 7:00
mchana itakuwa ni saa ngapi katika mji wa Kigali huko Rwanda 30 0 Mashariki?
A. 5:00 asubuhi B. 9:00 alasiri C. 6:00 mchana D. 8:00 mchana
JARIBIO LA 15
1. Sayari ya tatu kutoka jua inaitwa ______ A. Zebaki B. Satani C. Dunia D. Sumbula
2. Kama ukitaka kuona kimondo hapa Tanzania lazima utembelee ___________ Mbeya.
A. Mbozi B. Chunya C. Songwe D. Sabasaba
3. Nyota iliyo karibu zaidi duniani kuliko nyota nyingine ni:
A. Jua B. Mwezi C. Jupitan D. Zuhura
4. Robo tatu ya sayari ya dunia imefunikwa na: A. gesi B. mwanga C. maji D. barafu
5. Dunia hujizungusha kwenye mhimili wake kutoka upande wa ______ kuelekea _____
A. Mashariki – Magharibi B. Magharibi – Mashariki C. Kusini – Kaskazini
D. Kaskazini – Magharibi
6. Yafuatayo ni matokeo ya dunia kujizungusha kwenye mhimili wake isipokwa:
A. kutokea kwa usiku na mchana na mabadiliko ya muda kati ya longitudo moja na
nyingine B. kupwa na kujaa kwa maji C. mabadiliko ya uelekeo wa
upepo na mikondo ya bahari D. majira ya mwaka
7. Dunia hutumia muda gani kujizungusha nyuzi 1 ya longitudo?
A. Dakika 4 B. saa 1 C. siku 1 D. mwaka mmoja
8. Dunia hutumia muda gani kujizungusha nyuzi 15 za longitudo? A. Dakika 4
B. saa 1 au dakika 60 C. siku 1 au saa 24 D. mwaka mmoja au miezi 12
9. Kutokea kwa majira ya mwaka na tofauti ya urefu kati ya usiku na mchana ni matokeo ya:
A dunia kujizungusha kwenye mhimili wake B. dunia kulizunguka jua
C. kupatwa kwa jua D. kupatwa kwa mwezi
10. Ni sayari ipi katika mfumo wa Jua ambayo ipo karibu sana na Jua? ______________
A. Zebaki B. Sumbula C. Zuhura D. Kausi
11. Ni sayari ipi katika mfumo wa Jua ambayo ni kubwa kuliko zote? _______________
A. Zebaki B. Sumbula C. Zuhura D. Kausi
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 40
12. Baadhi ya mazao yanayopatikana baharini ni kauri, koa, kombe na:
A. Simbi B. choroko C. tanzanite D. maji ya kunywa
13. Sayari iliyo mbali zaidi kwenye mfumo wa Jua ni ____________________________
A. Dunia B. Kausi C. Sumbula D. Zebak
14. Mfumo wa jua unaundwa na sayari ngap? A. 3 B. 6 C. 8 D. 10
15. Katika mfumo wa Jua, sayari ya kwanza kutoka kwqenye kitovu cha mfumo huo ni ipi?
A. Zebaki B. Dunia C. Kausi D. zuhura
16. Katika mzunguko wa dunia kulizunguka jua tarehe 3 mwezi Januari ya kila mwaka dunia
huwa karibu zaidi na jua. Kipindi hiki hujulikana kama:
A. mzingo wa Aktiki B. kupatwa kwa jua C. Perihelioni D. Afelioni
17. Mabadiliko ya kupwa na kujaa kwa maji hutokea mara mbili _____________________
A. kila siku B. kila mwezi C. kila wiki D. kila mwaka
18. Katika mzunguko wa dunia kulizunguka jua, tarehe 6 mwezi Julai ya kila mwaka dunia
huwa mbali zaidi na jua. Kipindi hiki hujulikana kama:
A. mzingo wa Aktiki B. kupatwa kwa jua C. Perihelioni D. Afelioni
19. Sayari ambayo viumbe hai huishi inaitwa: A. Dunia B. Sumbula C. Zebaki D. Kausi
20. Dunia hujizungusha kwenye mhilili wake nyuzi 360 kwa muda gani?
A. siku 3651/2 au mwaka 1 B. saa 24 au siku 1 C. dakika 60 au saa 1 D. dakika 15
Andika KWELI kama sentensi hiyo ni ya kweli au SIKWELI kama sio sahihi
21. Jua ni nyota ambayo haitembei lakini hutoa mwanga na joto. ______________________
22. Mpangilio wa sayari pamoja na magimba mengine yanayolizunguka jua hujulikana kama
Mfumo wa Jua ___________________________________________________________
23. Jua hutembea kutoka Mashariki kuelekea Magharibi wakati Dunia haitembei. _________
24. Dunia hujizungusha katika mhimili wake kutoka Mashariki kuelekea Magharibi. _______
25. Afelioni ni kipindi ambacho dunia huwa mbali zaidi na jua na hutokea tarehe 6 mwezi
Julai ya kila mwaka. _______________________________________________________
Zifuatazo ni sayari nane zinazounda mfumo wa Jua na sifa zake. Oanisha sayari hizo
kutoka fungu A na sifa zake stshiki kutoka fungu B
40. Taja vitu viwili (2) vilivyopo angani ambavyo hutoa mwanga wakati wa usiku.
i. __________________________________ ii ________________________________
41. Zebaki, Dunia, Sumbula, mwezi, asteroid, kometi na jua, vinaitwa _____________
42. Kiini cha mfumo wa jua ni ________________________________________________
43. Sayari hulizunguka jua katika njia yake iitwayo _______________________________
44. Wakati wa kupatwa kwa mwezi, ni gimba lipi huwa katikati ya mengine? ___________
45. Mchoro huo hapo chini unawakilisha tukio gani? ______________________________
JARIBIO LA 16
1. Angani kuna magimba ya aina mbalimbali kama jua, sayari, kometi, asteroid na
mengineyo. Ni magimba yapi ambayo ni vitufe vidogo kuliko sayari vinavyoundwa kwa
miamba migumu ambayo huzunguka jua?
A. Vimondo B. meteori C. kometi D. Asteroidi
2. ________________ ni vitufe vidogo kuliko sayari ambavyo hulizunguka jua ambavyo
vimeundwa kwa barafu zilizogandamana na vumbi na vipande vidogo vidogo vya mawe.
A. Vimondo B. meteori C. kometi D. Asteroidi
3. Asteroidi hupatikana kwenye eneo lijulikanalo kama ukanda wa asteroidi lililopo katikati
ya obiti ya sayari ya Mirihi na obiti ya sayari ya
A. Dunia B. Kausi C. Sumbula D. Zebaki
4. Asteroidi na kometi wakati wa usiku huweza kuonekana zikijongea katika mwendo wa
kasi na kutoa mwanga mkali ambao huzifanya zionekane kama zina mikia. Zikiwa katika
hali hiyo huitwa: A. Vimondo B. meteori C. kometi D. Asteroidi
5. Utando wa blanket unaoifunika dunia ili kuikinga dhidi ya vimondo na magimba
mengine ya angani yasiigonge huitwa:
A. tabaka la Ozoni B. Mizazi ya dunia C. Obito D. mawingu
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 42
6. Jua la utosi hutokea mara mbili kwa mwaka katika eneo gani? A. kwenye Ikweta
B. kwenye tropiki ya Kansa C. kwenye tropiki ya Kaprikoni D. kwenye mzingo wa Aktiki
7. Yafuatayo ni matokeo ya dunia kulizunguka juia isipokuwa:- A. kutokea kwa majira ya
mwaka B. tofauti kati ya urefu wa usiku na urefu wa mchana C. kutokea kwa usiku
na mchana D. Kupatwa kwa jua na kupatwa kwa mwezi.
8. ____________________ ni vipindi au misimu maalumu ya hali ya hewa katika mwaka.
A. Hali ya hewa B. Majira ya mwaka C. Tabianchi D. Mfumo wa jua
9. __________ ni kipindi cha majira ya mwaka yenye baridi kali inayoweza kukausha mazao
kama vile mahindi na maharage. A. Kipupwe B. Vuli C. Kiangazi D. masika
10. Tabaka la gesi mbalimbali linaloizunguka dunia huitwa:
A. gesi B. ozoni C. angatropo D. angahewa
11. Angahewa limegawanyika katika matabaka makuu mangapi kutoka katika uso wa dunia
kuelekea angani? A. 2 B. 3 C. 4 D. 5
12. Ni tabaka lipi la angahewa ambalo binadamu na viumbe wengine wanaishi?
A. angatropo B. angastrato C. angameso D. angajoto
13. Angatropo ni tabaka la angahewa ambalo hupatikana katika kina cha kuanzia kilometa
ngapi? A. km 0 hadi km 10 B. km 10 hadi km 50 C. km 50 hadi km 85 D. kuanzia km 85
14. Ni tabaka lipi la angahewa ambalo lina joto kali zaidi?
A. angatropo B. angastrato C. angameso D. angajoto
15. Ni matabaka yapi ya angahewa ambayo jotoridi hupungua kadiri kina kinavyoongezeka
kutoka katika uso wa dunia? A. angameso na angajoto B. angajoto na angastrato
C. angatropo an gameso D. angastrato na angameso
16. Tabaka la ozoni hupatikana katika tabaka lipi la angahewa?
A. angatropo B. angastrato C. angameso D. angajoto
17. Ni matabaka yapi ya angahewa ambayo jotoridi huongezeka kadiri kina kinavyoongezeka
kutoka katika uso wa dunia? A. angameso na angajoto B. angastrato na
angajoto C. angatropo an gameso D. angastrato na angameso
18. Ndege ndogo na kubwa huruka katika tabaka lipi la angahewa?
A. angastrato B. angajoto C. angameso D. angatropo
19. Ni tabaka lipi la angahewa ambalo hupunguza kiwango cha nyuzijoto 0.6 0 C kwa kila
mita 100 za mwinuko? A. angatropo B. angastrato C. angameso D. angajoto
20. Ni tabaka lipi la angahewa ambalo lina baridi kali?
A. angatropo B. angastrato C. angameso D. angajoto
21. Ni tabaka lipi la angahewa ambalo jotoridi hufikia 2000 0C?
A. angatropo B. angastrato C. angameso D. angajoto
22. Tabaka la ozoni linapatikana katika umbali wa kilomita _______ juu ya uso wa dunia.
A. 20 hadi 30 B. 10 hadi 20 C. 50 hadi 80 D. 10 hadi 50
34. Ni aina gani ya makazi yanayoonekana katika picha hapo juu? __________________
35. Taja shughuli moja ya kiuchumi ambayo ni rafiki na mazingira hayo. ____________
36. Eleza uhusiano uliopo kati ya idadi ya watu na makazi.
Chunguza picha ifuatayo ambayo huonesha muundo wa makazi ya watu kisha jibu
maswali yanayofuata.
MASWALI
37. Ni muundo gani wa makazi
uliooneshwa na picha hiyo?
____________________________
38. Taja mambo mawili yanayoweza
kusababisha kutokea kwa muundo huo
wa makazi ya watu.
_______________________________
39. Kwa utafiti uliofanyika miaka miwili iliyopita inaonesha watanzania wamefikia zaidi ya
milioni hamsini na tano kutoka milioni thelathini na tano ya sense ya watu na makazi ya
mwaka 2002. Unafikiri ni sababu gani zilizopelekea ongezeko kubwa hili la watu?
______________________________________________________________________
40. Vijana wengi wakimaliza masomo yao wanahama kutoka vijijini kuelekea mijini. Ainisha
sababu mbili zinazopelekea vijana kutoka vijijini kuelekea mijini.
41. Vijana wengi wakimaliza masomo yao wanahama kutoka vijijini kuelekea mijini.
Unafikiri nini kifanyike ili vijana hawa wajenge taifa lao wakiwa vijijini kwao?
JARIBIO LA 18
1. Moja kati ya zifuatazo SIYO maana za ujasiriaamali. A. uwekezaji wa mtaji katika
biashara kwa lengo la kujiajiri na kujipatia kipato B. uwezo binafsi wa mtu wa kubadili
mawazo na kuyaweka katika vitendo C. ni ufanyabiashara mdogomdogo ambao faida
ndogo tu hupatikana D. ujuzi na maarifa ya mtu katika kutumia fursa zilizopo
2. Zifuatazo ni sifa za mjasiriamali isipokuwa: A. ubunifu wa kutumia maarifa na mbinu
tofauti B. uthubutu, bidii, kutokata tama na kujiwekea malengo makubwa C. uaminifu,
kujitegemea, kujituma nauadilifu D. kutunza vizuri nyumbani fedha zote anazozipata
3. Zifuatazo ni aina za wajasiriamali isipokuwa: A. wajasiriamali wafanyabiashara
B. wajasiriamali watumishi C. wajasiriamali jamii D. wajasiriamali wa kati
4. Juma ni kijana mwenye umri wa miaka 25 ambaye ameajiriwa kuchunga ng’ombe wa
shule. Kijana huyu anaonesha tabia za kijasiriamali katika kazi yake. Wewe kama
mtaalamu unafikiri Juma ni mtu wa aina gani? A. Majasiriamali Mfanyabiashara
B. Mjasiriamali Mtumishi C. Mjasiriamali jamii D. Mjasiriamali mdogo
5. Kutokana na sera ya kuendeleza biashara ndogo na za kati Tanzania ya mwaka 2003
ujasiriamali umegawanyika katika makundi mangapi? A. mawili B. matatu C. manne
6. Mafanikio katika biashara hutegemea: A. Jinsi unavyofikiri na kutenda B. Kiasi cha
fedha ulichonacho C. Watu gani ulio na uhusiano nao D. kiwango cha elimu uliyonayo
7. Unapoanzisha mradi wa kufuga kuku lengo kuu ni: A. kupata kuku na mayai B. kupata
kipato kutokana na mradi wako C. kupata samadi kwaajili ya bustani ya mboga
D. kuvutia watalii katika mradi wako
8. Shughuli kuu za uzalishaji mali hapa nchini kabla ya uhuru zilikuwa: A. kilimo, ufugaji na
uvuvi B. viwanda, uchimbaji wa madini na huduma za kibenki C. ufugaji
wa kuku wa mayai, kilimo na utalii D. viwanda na biashara
9. Kazi azifanyazo binadamu ili kumuingizia kipato hujulikana kama:
A. kilimo B. rasilimali C. mali D. shughuli za uzalishaji mali
10. Mazao gani ya biashara yaliolimwa na wakoloni hapa nchini? A. mahindi, karanga
na viazi mbatata B. pareto, chai na maharage C. mkonge, pareto, pamba na chai
D. maharage, pareto, pamba na viazi vitamu
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 48
11. Mashirika ya umma yana mashamba makubwa ya kufugia mifugo. Mashamba haya
huitwa: A. isteti B. ranchi C. migodi D. Bustani
12. Mikoa ambayo ina ranchi za taifa ni: A. Dodoma, Tanga na Pwani B. Iringa, Njombe na
Rukwa C. Kilimanjaro, Morogoro na Iringa D. Lindi na Shinyanga
13. Aina za mazao yanayoendelea kulimwa na wawekezaji hapa nchini ni pamoja na:
A. pamba na mkonge B. chai na tumbaku C. kahawa na maharage D. tumbaku
14. Mzee Chihungi alikuwa ni mvuvi mashuhuri katika mkoa wa Tanga kabla ya ukoloni.
Unafikiri ni vifaa gani kati ya hivi alivitumia? A. mgono, jarife, ndoana na upindo
B. ndoana, meli na upindo C. upinde, bunduki na baruti D. nyavu, bunduki na ndoana
15. Yafuatayo ni maeneo hapa Tanzania ambayo yana ranchi za kitaifa isipokuwa:
A. Kongwa mkoani Dodoma B. Handeni mkoani Tnga C. Ruvu mkoani
Pwani D. Isimila mkoani Iringa
16. Kila mtu maishani anatamani kuwa na mafanikio makubwa. Ili mtu aweze kufanikiwa
inategemea: A. kuungwa mkono na ndugu zake B. yeye mwenyewe kujitambua na
kutumia fursa zinazomzunguka. C. kupata misaada kutoka serikalini D. kiwango cha elimu
17. Ili kupata fursa ya kibiashara, ni lazima kuwe na watu wenye __________wa kununua
bidhaa au huduma unayoitoa. A. wivu B. uwezo C. uhitaji na uwezo D. uangalizi
18. Ili kuongeza kipato na kufaidi matunda ya ujasiriamali ni vyema: A. kufanya kazi kwa
mazoea B. kufanya kazi kwa bidii C. kuomba msaada wa Mungu D. kuwa mkali
19. Katika kijiji cha Mahulunga kuna kampuni ya kutengeneza sabuni na dawa za kutoa
madoa kwenye nguo. Kiwanda hicho kimewekeza mtaji wa shilingi milioni mia moja
kununua mitambo na vifaa na kina wafanyakazi 35. Je, kampuni hiyo ipo katika kundi lipi
la ujasiriamali? A. Ujasiriamali biashara mdogo mdogo B. Ujasiriamali biashara mdogo
C. Ujasiriamali biashara wa kati D. Ujasiriamali biashara mkubwa
20. Zifuatazo ni faida za kuwa mjasiriamali isipokuwa: A. kupata mali yako wewe
mwenyewe, kulipa kodi kwa serikali na kupunguza umasikini B. kujiajiri mwenyewe
kuliko kuajiriwa C. kutatua changamoto katika jamii D. kukosa ajira serikalini
21. Kiasi cha fedha ulizotumia ili kuanzisha mradi hujulikana kama:
A. faida B. mradi C. mtaji D. hasara
22. Kijiji cha Tiamaji ni soko kuu la uuzaji na ununuzi wa mbao wilayani Mufindi. Soko hili
limeajiri vijana wengi kufanya kazi za kupanga na kupakia mbao kwenye malori. Vijana
hawa wanahitaji mahitaji mbalimbali ikiwemo chakula. Licha ya wakinamama wengi
kupika wali na pilau kwenye eneo hilo, vijana wengi huenda katika kijiji jirani cha
Ilengititu kula ugali. Wewe kama mtaalamu unafikiri ni kitu gani wanakosea wakinamama
hawa na kufanya vijana waende Ilengititu?
A. wanapima kipimo kidogo B. wanapika chakula kibichi C. wanauza chakula kwa
bei ya ghali D. hawatambui mahitaji ya wateja
23. Juma anatamani kufungua biashara ya kuuza nguo za wakina mama lakini hana mtaji wa
kutosha kuanzisha biashara hiyo. Zifuatazo ni njia za kutatua changamoto hiyo
isipokuwa: A. kushirikiana na watu wenye mytaji lakini hawana wazo la biashara hiyo
B. kuanzisha biashara zisizohitaji mtaji mkubwa kasha kukusanya fedha kukamilisha
lengo lake C. kuachana na wazo la biashara D. kupata mikopo kutoka taasisi za kifedha
24. _______________________ ni picha ya mambo au vitu inayomjia mtu akilini mwake.
A. maono B. taswira C. usingizi D. mali
JARIBIO LA 19
1. Jumuiya ya Afrika Mashariki ni jumuiya ya ukanda wa kiuchumi inayoundwa na nchi
ngapi? A. 3 B. 6 C. 9 D. 15
2. Jumuiya ya Afrika Mashariki ni jumuiya ya ukanda wa kiuchumi ambapo nchi
wanachama hujishughulisha na shughuli mbalimbali ikiwemo viwanda. Malighafi
zinazotumika katika viwanda zinatoka katika: A. nchi ya Uchina B. Marekani
C. Tanzania D. mazao ya kilimo, ufugaji na rasilimali za asilili
3. Ni nchi ipi mwanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki ambayo ina eneo kubwa zaidi
na idadi kubwa ya watu? A. Tanzania B. Kenya C. Uganda D. Rwanda
4. Yafuatayo ni madhara yanayoweza kusababishwa na shughuli za utalii hapa Tanzania
isipokuwa: A. Maambukizi ya magonjwa B. Mmomonyoko wa maadili ya kitanzania
C. ongezeko la fedha za kigeni hapa nchini D. kuharibiwa kwa utamaduni wetu
5. _____________________ ni aina ya nguo kama shuka ambayo hutumiwa na wavuvi
kuvulia dagaa au samaki wadogo. A. Ndoana B. jahazi C. Upindo D. jarife
6. Moja kati ya zifuatazo si faida ya kutumia pembejeo za kisasa katika kilimo. A. gharama
kubwa za uendeshaji wa kilimo B. Uwezo wa kulima shamba kubwa zaidi C. Mavuno
kuwa mengi D. Hurahisisha kazi na hutumia muda mfupi
JARIBIO LA 20
1. Wanafunzi wa darasa la sita walikuwa wakijadiliana kuhusu faida zitokanazo na upepo.
Majibu yao yalikuwa haya yafuatayo isipokuwa: A. upepo husababisha mvua
kunyesha B. upepo huendesha mitambo ya kufua umeme C. upepo husaidia kukausha
vitu kama mazao na nguo D. upepo huchavusha maua ya mimea
E. upepo huzuia takataka kuzagaa kwenye mazingira
2. Tanzania ni nchi iliyobarikiwa rasilimali nyingi sana ikiwemo gesi asilia, ardhi yenye
rutuba na madini mbalimbali kama dhahabu, shaba na tanzanite. Madini ya Tanzanite
hapa Tanzania hupatikana wapi? A. Mererani Mkoani Manyara B. Mwadui mkoani
Shinyanga C. Mbozi mkoani Songwe D. Handeni mkoani Tanga E. Kilolo mkoani Iringa
3. Mwalimu alituambia tutaje shughuli zinazofanywa na binadamu zinazoweza kuharibu
mazingira. Mimi nilitaja moja tu ambayo ni: A. uchimbaji wa madini B. ufugaji wa ndani
C. urejelezaji. D. upandani miti E. ukusanyaji takataka
JATIBIO LA 22
1. Wanakijiji wa kijiji cha Ilengititu wanafuga mifugo mingi katika eneo dogo. Nini
kinaweza kutokea katika kijiji hicho kati ya yafuatayo? A. Mifugo kunenepa B. Wafugaji
kuchoka C. Mmomonyoko wa udongo D. Kuongezeka kwa mvua
2. Watanzania huadhimisha sikukuu mbalimbali kila mwaka zikiwemo za kisiasa na za
kidini. Kati ya matukio yafuatayo ni lipi huanza kuadhimishwa kila mwaka? A. kifo cha
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 59
baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere B. muungano wa Tanganyika na
Zanzibar C. Uhuru wa Tanganyika D. sikukuu ya wafanyakazi
3. Binadamu alianza kutengeneza mavazi kutokana na magome ya miti na ngozi za
wanyama katika kipindi gani? A. Zama za mawe za mwanzo B. Zama za mawe za kati
C. Zama za chuma D. Zama za mawe za mwish
4. Ni kiumbe yupi ni msababishi na mharibifu mkubwa wa mazingira?
A. nyani B. tembo C. panya D. binadamu
Ardhi ni rasilimali muhimu sana ambayo inahifadhi viumbe haina rasilimali nyingine.
Zifuatazo ni njia za kutunza rasilimali ardhi isipokuwa: A. Kupanda miti B. Uvunaji
endelevu wa misitu C. Matuta na kilimo cha kubadilisha mazao D. Matumizi ya
mbolea za viwandani shambani
5. Janeth alichora ramani ya kijiji chetu ambayo ina kichwa cha ramani, dira fremu na
kipimio lakini tumeshindwa kuisoma ramani hiyo. Wewe ukiwa mtaalamu wa ramani
ungemshauri aongeze kitu gani ili ramani hiyo isomeke na kueleweka vizuri?
A. rangi B. ufunguo C. ukubwa wa ramani D. akoleze
6. Watanzania hupenda kucheza ngoma mbalimbali katika matukio tofauti. Ngoma ya
Akasimbo huchezwa na kabila gani ?
A. Wamakonde B. Wazaramo C. Wamasai D. Wahaya
7. Wafuatao ni raisi na makamu wa raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania waliofariki
katika awamu tofauti wakiwa bado wapo madarakani. A. Mwalimu Julius K. Nyerere
na Edward Moringe Sokoine B. John Magufuli na Benjamini W. mkapa
C. Mwalimu Julius K. Nyerere na John P. Magufuli
D. John P. Magufuli na Omari Ali Juma E. Magufuli na Omari Ali Juma
8. Mzee Chihungi alikuwa ni mvuvi mashuhuri katika mkoa wa Tanga kabla ya ukoloni.
Unafikiri ni vifaa gani kati ya hivi alivitumia? A. mgono, jarife, ndoana na upind
B. ndoana, meli na upindo C. upinde, bunduki na baruti D. nyavu, bunduki na ndoana
9. Vita vya Maji maji ni moja kati ya vita muhimu sana katika kumbukumbu za Tanganyika.
Vita hii ilianzishwa na watu wa makabila mbalimbali ya kusini mwa Tanganyika kupinga
uvamizi wa wajerumani. Je ni nani aliyekuwa kiongozi wa vita hiyo ? A. Mtemi Isike
B. Mtwa Mkwawa C. Mtemi Mirambo D. Kinjekitile Ngwale
10. Mfumo wa vyama vingi vya siasa nchini Tanzania ulianza mwaka 1992, Uchaguzi wa
vyama vingi vya siasa nchini Tanzania ulifanyika mwaka 1995. Ni Rais yupi alichaguliwa
mwaka huo miongoni mwa maraisi wafuatao? A. Mwalimu J. K. Nyerere B. Jakaya
Mrisho Kikwete C. Ali Hassan Mwinyi D. Benjamin William Mkapa
11. Joseph alitaka kupata taarifa kuhusu matukio ya kihistoria ya nchi yetu. Unafikiri ni
mahali gani angeweza kwenda ili lengo lake litimie?
A. Maabari B. mbuga za wanyama C. makumbusho D. ikulu
12. Kijiji cha Ulete kinakabiliwa na janga la maporomoko mara kwa mara. Unafikiri ni njia
ipi kati ya zifuatazo wanapaswa kuitumia wanakijiji ili kukabili janga hilo?
A. kupanda miti B. kukata miti mikubwa C. kuhama eneo hilo D. kutambikia mizimu
13. Mistari ya kubuni inayochorwa kwenye ramani kutoka Magharibi kuelekea mashariki
huitwa. A. Longitudo B. Latitudo C. Ikweta D. Meridian
14. Reli ya kati inayoanzia Dar es Salaam hadi Kigoma nchini Tanzania ilijengwa mwaka
1905 kwa lengo la kusafirisha malighafi wakati wa ukoloni. Je ni taifa gani lilijenga reli
hiyo ? A. Waingereza B. Wajerumani C. Wachina D. Wareno
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 60
15. Monalisa hutumwa na baba yake kununua vitu vya nyumbani kila jumapili. Baba yake
mara nyingine hamuamini Monalisa akimwambia kwamba hakuna kiasi chochote cha
fedha kinachobakia. Je utamshauri Monalisa ampe nini baba yake ili amuamini?
A. bajeti B. Risiti C.Mawasiliano D. Fedha taslimu
16. Moto umegunduliwa katika zama zipi? A. zama za mawe za kati B. zama za chuma
C. zama za mawe za mwisho D. zama za teknolojia ya kisasa na digitali
17. Lipi kati ya yafuatayo si maendeleo yaliyofikiwa na binadamu katika kipindi cha zama za
mawe za mwisho? A. kuanzisha makazi ya kudumu B. ufugaji wa wanyama na ndege
C. kuanza kilimo cha mazao ya chakula D. kutembea kwa miguu na mikono
18. Ni jumuiya ipi kati ya zifuatazo ilitangulia kuundwa? A. Umoja wa Afrika (African
Union- AU) B. Umoja wa nchi huru za Afrika (Organization of Africa unity-
OAU) C. Jumuiya ya Afrika Mashariki (East Africa Community- EAC) ya sasa
D. Ushirikiano wa kiuchumi wan chi za Afrika ya Magharibi ECOWAS
19. Bwana Maregesi alijaribu kulima zao la kahawa katika mkoa wa Pwani. Licha ya mvua za
kutosha zinazonyesha katika mkoa huo lakini zao hilo halikustawi. Unafikiri ni kwanini?
A. uwepo wa baridi kali B. uwepo wa joto kali C. uwepo wa rutuba nyingi
D. ukosefu wa mvua
20. Tabianchi ya eneo lolote kwenye uso wa dunia huathiriwa na mambo yafuatayo
isipokuwa:- A. Latitudo ya eneo hilo B. Mwinuko kutoka usawa wa bahari
C. Sura ya nchi D. kupwa na kujaa kwa bahari
21. Zifuatazo ni mbinu za kukabiliana na ukame isipokuwa: A. Kilimo cha umwagiliaji
B. Kupanda mazao yanayostahamili ukame C. kuhamasisha wakulima kuacha kilimo
ili kujishughulisha na shughuli nyingine D. Kupanda mazao yanayokomaa kwa muda mfupi
22. Bwana Rahatupu anaishi na mkewe, watoto wawili na ndugu wengine katika kijiji cha
Mabondeni. Hii ni familia ya aina gani? A. familia ya awali B. familia pana
C. familia ya mzazi mmoja D. familia ya mume na mke
23. Ni shujaa yupi ambaye alipinga uvamizi ukanda wa Magharibi na alivyoona anakaribia
kukamatwa na Wajerumani akajilipua yeye na familia yake kwa kutumia baruti?
A. Isike Mwana Kiyungi B. Mtwa Mkwawa C. Mirambo D. Chifu Mangungo
24. Wareno walifika Pwani ya Afrika Mashariki mwaka 1498 wakiongozwa na kiongozi wao:
A. Vasco Da Gama B. Daktari Livingstone C. William Macknoon D.Karl Petters
25. Mkutano wa Berlin ni mkutano uliojumuisha mataifa ya kibeberu kwa lengo la kugawana
makoloni barani Afrika. Mkutano huu uliitishwa na nani? A. Karl Peters
B. Vasco Da Gama C. Kansela Otto von Bismark D. umoja wa mataifa
26. Baada ya mkutano wa Berlin mwaka 1886, Tanganyika ilikuwa chini ya utawala wa:
A. Waingereza B. waarabu C. wafaransa D. wajerumani
27. Uvamizi wa wakoloni katika bara la Afrika ulianza miaka ya 1870. Hii ni karne ya ngapi?
A. karne ya 18 B. karne ya 19 C. karne ya 187 D. karne ya 1870
28. Mkataba uliofanyika mwaka 1890 kati ya serikali ya Uingereza na Ujerumani wenye
madhumini ya kurekebisha mipaka ya mwaka 1886 ulijulikana kama: A. mkataba wa
Hamaton B. mkataba wa freire C. mkataba wa Berlin D. mkataba wa Heligoland
29. Wafuatao ni magavana wa Uingereza hapa Tanganyika isipokuwa: A. Donald Kameroon
B. Horace Byatt C. Edward Twining D. Julius Von Soden
30. Juma anatamani kufungua biashara ya kuuza nguo za wakina mama lakini hana mtaji wa
kutosha kuanzisha biashara hiyo. Zifuatazo ni njia za kutatua changamoto hiyo
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 61
isipokuwa: A. kushirikiana na watu wenye mytaji lakini hawana wazo la biashara hiyo
B. kuanzisha biashara zisizohitaji mtaji mkubwa kasha kukusanya fedha kukamilisha
lengo lake C. kuachana na wazo la biashara D. kupata mikopo kutoka taasisi za kifedha
31. Utawala wa Waingereza dhidi ya jamii za Watanganyika ulianza mwaka 1918 baada ya
tukio gani? A. vita vya kwanza vya dunia B. vita vya pili vya dunia
C. mkutano wa Berlin D. mkataba wa Heligoland
32. Kuna njia mbalimbali za kupika chakula. Bainisha njia sahihi za kupika chakula kwa
kutumia joto kavu katika njia zifuatazo: A. kukaanga na kuoka B. kuoka na kubanika
C. kuchemsha na kukaanga D. kupika na kukaanga E. kuchemsha na kubanika
33. Moja kati ya zifuatazo SIYO maana za ujasiriaamali. A. uwekezaji wa mtaji katika
biashara kwa lengo la kujiajiri na kujipatia kipato B. uwezo binafsi wa mtu wa kubadili
mawazo na kuyaweka katika vitendo C. ni ufanyabiashara mdogomdogo ambao faida
ndogo tu hupatikana D. ujuzi na maarifa ya mtu katika kutumia fursa zilizopo
34. Katika mzunguko wa dunia kulizunguka jua, tarehe 6 mwezi Julai ya kila mwaka dunia
huwa mbali zaidi na jua. Kipindi hiki hujulikana kama: A. mzingo wa Aktiki
B. kupatwa kwa jua C. Perihelioni D. Afelioni
35. Baada ya uhuru wa Tanganyika mwaka 1961, nchi hii iliongozwa na Mwalimu Julius. K.
Nyerere kama____________ hadi mwaka 1962 ilipokuwa jamhuri.
A. Raisi B. liwali C. makamu wa raisi D. waziri mkuu
36. ___________ ni sehemu ya kumbukumbu za historia ambayo masalia ya zana za mawe za
kale ziligunduliwa. A. olduvai Gorge B. Engaruka C. Kondoa D. Isimila mkoani Iringa
37. Mwalimu aliwauliza wanafunzi wake Uvuvi haramu ni hatari kwa vile huharibu:
A. miundombinu B. mazalia ya samaki C. chakula D. maliasili
38. Utunzaji wa kumbukumbu za kihistoria husaidia __ A. kufahamu mambo yaliyopita,
yaliyopo na yajayo B. kufahamu mambo yaliyopo C. kuboresha mambo ya kale
D. kufahamu mambo yajayo
39. Ni chombo kipi hutumika kupima mwendo kasi wa upepo A. kipima upepo
B. haigrometa C. anemometa D. kipima mvua
40. Moja ya malengo ya Elimu ya Kikoloni ilikuwa ni A. kupambana dhidi ya ujinga na
umasikini B. kupunguza uzalishaji wa maeneo ya biashara C. kupata watumishi
wa ngazi ya chini D. kupanua ajira kwa vijana
JARIBIO LA 24
1. Njia mbalimbali za uzalishaji mali zilitumika katika bara la Afrika kabla na baada ya
ukoloni. Mfumo wa ukabaila uliokuwa umeshamiri magharibi mwa ziwa Victoria katika
maeneo ya karagwe, Burundi na Rwanda ulijulikana kama:
A. umwinyi B. mtemi C. ubugabile D. nyarubanja
2. Tanganyika ni mojawapo ya nchi za kiafrika ambayo iliyovamiwa na wageni mbalimbali
wa mataifa ya nje. sababu kuu ya uvamizi wa wareno afrika mashariki ilikuwa ni
A. Kueneza uislamu B. Kupanua ujamaa C. Kuendesha biashara D. Kujifunza
tamaduni wetu
3. Kuna aina mbalimbali za uchafuzi wa mazingira. Ni ipi kati ya zifuatazo siyo aina ya
uchafuzi wa mazingira? A. Uchafuzi wa ardhi B. Uchafuzi wa hewa C. Uchafuzi wa
upepo D. Uchafuzi wa kelele
4. Kuna wataalamu wengi wa akiolojia duniani. Ni mwana akiolojia gani aligundua fuvu la
mtu wa kale kwenye bonde la Oldvai Gorge mwaka 1959? A. Vasco Da Gama
B. Dr. lowis Leakey C. Dr. Charles Darwin D. Carl peters
5. Kijiji cha Twilumba kina ukame na mchanga ambapo hakuna mimea iliyoota eneo hilo.
Jina gani ni sahihi tukiite kijiji cha Twilumba?
A. Mafichoni B. bustani C. shamba D. jangwa
6. Nchini Tanzania maazimio mbalimbali yalifikiwa ili kuchochea maendeleo ya kiuchumi
katika Nyanja mbalimbali. Ni mwaka gani azimio la Musoma lilitangazwa?
A. 1974 B. 1967 C. 1884 D. 1972
7. Tanzania ni nchi yenye makabila zaidi ya 120 yenye aina mbalimbali za ngoma za asili.
Kundi lipi kati ya yafuatayo huonesha ngoma za asili za Tanzania?
A. Mganda, mdumange, taarabu na rege B. Akasimbo, lizombe, iringi na zeze
C. Hiphop ,regge, taarabu na RMB D. Mdundiko, iringi kihoda na bugobogobo
8. Latitudo ni mistari inayochorwa kwenye ramani kuonesha mahali mbalimbali kwenye
ramani ambayo hupita kuanzia mashariki kwenda magharibi. Latitudo pekee
inayotengeneza mduara mkubwa katika dunia ni:
A. Ikweta B. Tropiki ya kansa C. Tropic ya kaprikoni D. Greenwich
0
9. Kama ni saa 4:30 asubuhi katika mji wa Mtwara 45 Mashariki, Je itakuwa ni saa ngapi
katika mji wa Kigali uliopo 300 Mashariki? A. Saa 1:30 asubuhi B. Saa 5:30 asubuhi
C. Saa 2:30 asubuhi D. Saa 3:30 asubuhi
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 66
10. Chukulia mfano umekutana na watu kutoka Canada wanataka kutembelea eneo nchini
Tanzania ambalo kuna michoro ya binadamu wa kale mapangoni. Ni sehemu ipi
utawashauri watembelee? A. Isimila Iringa B. Olduvai gorge Arusha C. Mombasa
Kenya D. Kondoa irangi Dodoma
11. Ni taasisi gani kati ya zifuatazo inashughulika na usimamizi na utunzaji wa mazingira
nchiniTanzania? A. TAWLA B. UNEP C. TAMWA D. NECTA E. NEMC
12. Kipimio cha ramani kilichoandikwa sentimita moja huwakikilisha kilometa mbili na nusu
kitawasilishwaje kwa njia ya uwiano kwenye ramani?
A. 1:250,000 B. 20:000 C. 1:500,000 D. 1:25
13. Tanzania ilitawaliwa na mataifa mbalimbali kutoka Ulaya kama vile Uingereza na
Ujerumani. Ipi kati ya Nyanja zifuatazo ilikuwa ni Nyanja kuu ya uchumi wa kikoloni
nchini Tanganyika na Zanzibar? A. Viwanda B. Biashara C. Madini D. Kilimo
14. Vyama mbalimbali vya siasa viliundwa kupigania uhuru wa Tanganyika, ni chama kipi
kati ya vyama hivi kilifanikisha Tanganyika kupata uhuru wake 9.12.1961?
A. AMNUT B. ANC C. TANU D. UTP
15. Kama mtaalamuwa kilimo uishiye mkoa wa Tabora. Ni zao gani la biashara utawashauri
wakazi wa Tabora kulima kulingana na tabia ya nchi pamoja na udongo katika mkoa huo?
A. Miwa B. Tumbaku C. Karafuu D. Kahawa
16. Tanganyika ilivamiwa na wageni wengi kabla na katika kipindi cha ukoloni. Julius Von
Suden alikuwani nani? A. Gavana wa kwanza wa kireno B. Gavana wa kwanza
wa uingereza nchini Tanganyika C. Mwanzilishi mfumo wa utawala wa mlango
nyuma D. Gavana wa kwanza wa ujerumani nchini Tanganyika
17. Kama mtaalamu wa mambo ya hali ya hewa unayeishi katika kijiji cha kunduchi. Ni kifaa
gani utawashauri wanafunzi wa shule ya msingi Mibata ambao walipewa kazi ya kupima
kiasi cha jotoridi katika shule yao?
A. Themometa B. kipima mwelekeo wa upepo C. Anomometer D. Haigrometa
18. Nchi nyingi barani Afrika sasa hubadili viongozi wake kwa njia ya uchaguzi huru na wa
haki.Wakati kipindi cha jamii za ukabaila na ujima viongozi waliingia madarakani kwa
njia ya: A. Uchaguzi wa kikabila B. Kurithi madaraka C. Kura ya maoni D. kujitolea
19. Ipi kati ya vielelezo vifuatavyo ni sahihi kuhusu utamaduni? A. watu wote duniani wana
utamaduni mmoja B. watu wa Ulaya hawana utamaduni C. Kiswahili ni lugha
ya dunia D. utamaduni hutambulisha na kuunganisha watu
20. Ili kuimarisha na kuthamini sanaa nchini mwetu serikali iliamua kuanzisha Baraza la
Sanaa Tanzania (BASATA). Ni lini taasisi hii ilianzishwa?
A. 1984 B. 1964 C. 1980 D.2006 E.1977
21. Mojawapo ya vitu vinavyounda mfumo wa jua ni sayari, mwezi, nyota,vimondo na
asteroid. Kuna jumla ya sayari ngapi katika mfumo wa jua?
A. sita B. nane C. kumi D. kumi na moja
22. Mifano ya mashujaa wa Afrika ni pamoja na Mwl. Julius K.Nyerere Kutoka Tanganyika,
Nelson Mandela wa Afrika Kusini na Robert Mugabe wa Zimbabwe. Shujaa aliyepelekea
kupatakana kwa uhuru wa Ghana mwaka 1957 alikuwa nani? A. Joyce Banda
B. Paul Kagame C. Ahmed Seku Toure D. Kwame Nkurumah
23. Dunia inapokuwa katikati ya Jua na mwezi, tukio hili hujulikana kama A. kupwa na
kujaa kwa maji baharini B. Kupatwa kwa jua C. kupatwa kwa mwezi
D. dunia kujizungusha kwenye mhimili wake
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 67
24. Tabaka la angahewa ambalo mawimbi ya redio hushika ni lipi?
A. Angatropo B. angastrato C. angameso D. Angajoto
25. Ninazunguka jua kwa siku 28, Mimi ni satelaiti ya asili ya dunia. Je mimi ni nani?
A. nyota B. Dunia C. kimondo D. mwezi
26. Ni zama zipi Binadamu aligundua moto kwa kufikicha vijiti viwili vya miti na vijiti
ambavyo ni ulindi na uwimbombo? A. zama za mawe za mwanzo B. zama za mawe za
kati C. zama za mawe za mwisho D. Zama za kidigitali na teknolojia
27. Kuna majanga mbalimbali yanayotokea kwenye mazingira. Lipi kati ya majanga
yafuatayo husababishwa na binadamu?
A. tetemeko la ardhi B. magonjwa C. mlipuko wa volkano D. mafuriko
28. Inasadikika kuwa bindamu alianza shughuli za Ufugaji wa wanyama miaka mingi
iliyopita. Mnyama wa kwanza kufugwa na binadamu alikuwa ni:
A. Ng’ombe B. paka C. mbwa D. mbuzi
29. Tabia ya nchi ya Tanzania inaweza kuathiriwa na sababu mbalimbali kama sehemu
nyingine za dunia. Ipi kati ya zifuatazo SI sababu ya kuathiri tabia ya nchi ya Tanzania?
A. Umbali kutoka baharini B. Sura ya nchi na uoto wa asili C. Latitudo D. Longitudo
30. Tanzania ina viwanda vya nguo kama vile MWATEX, MUTEX, KILITEX na A – Z
Arusha. Ni malighafi gani hutegemea katika uzalishaji wa bidhaa zao?
A. miwa B. tumbaku C. pareto D. pamba
31. Mimi ni mwanafunzi wa darasa la saba ambaye nimepewa kazi ya kuchora ramani ya
Tanzania kuonesha mito, maziwa milima na uwanda. Ni sehemu gani ya ramani
inatusaidia kutambua alama zilizooneshwa kwenye ramani?
A. ufunguo B. kipipio cha ramani C. kichwa cha ramani D. dira
32. Latitudo na longitudo ni mistari ya kubuni inayochorwa kwenye ramani. Kielelezo kipi ni
sahihi kuhusu mistari hii yote miwili? A. hutumika kutafuta muda wa mahali
B. hutumika kutaja mahali C. hutumika kutambua tabia ya nchi D. hupimwa
kwa kutumia sentimeta
33. Tunatumia vitu mbalimbali kusafisha viatu na kufua nguo. Vifaa vifuatavyo vinaweza
kutumia kusafisha viatu isipokuwa A. Kiwi B. Brashi C. Sponji D. pasi ya mkaa
34. Soko kuu la watumwa Afrika ya Mashariki lilikuwa wapi?
A. Bagamoyo B. Mombasa C. Kilwa D. Zanzibar
35. Mwana sayansi aliyeelezea nadharia ya mabadiliko ya binadamu ni:-
A.Vasco Da Gama B.Charles Darwn C.Louis Leakey D. Barthomeo Diaz
36. Mji uliojitengenezea sarafu yake yenyewe ulikuwa:
A.Bagamoyo B.Zanzibar C.Mombasa D.Kilwa
37. Zanzibar ilianza kutawaliwa rasmi na Waingereza mwaka:
A.1913 B. 1882 C.1892 D. 1885 E. 1890
38. Kifaa kinachotumika kupima ukubwa wa tetemeko la ardhi huitwa ______________
A. rikta B. Anemomita C. Sesimografu D. Kampbel stok
39. Ipi kati ya zifuatazo ni shughuli inayosababisha ongezeko la joto duniani? A. Matumizi
ya Fuel za kisukuku B. Kupanda miti C. Kutumia biogesi (Gesi vunde) D. Kutumia
nishati ya jua
40. Ipi kati ya milima ifuatayo ni mlima unaoonyesha dalili ya volcano kulipuka muda
wowote? A. Kilimanjaro B. Rungwe C. Udizungwa D. Oldonyo Lengai
____________________________________
____________________________________
Inaitwa: ______________________________
____________________________________
_____________________________________
JARIBIO LA 25
1. Zifuatazo ni faida za kufahamu hali ya hewa ya eneo fulani, ISIPOKUWA:
A. Kuchagua aina ya mavazi ya kuvaa B. Kuchukua tahadhari dhidi ya majanga
ya hali ya hewa C. Huwasaidia marubani kuchukua tahadhari kabla ya kurusha
ndege au kutua D. Kujua matukio ya kihistoria yaliyotokea hapo zamani
2. Karne moja ni sawa na miaka mingapi? A. 10 B. 20 C. 100 D. 1000
3. Hali ya upungufu au ukosefu wa mvua kwa kipindi cha muda mrefu hujulikana kama:
A. Ukame B. Mafuriko C. Njaa D. Kipupwe
4. Njia ipi ya kuhifadhi kumbukumbu za matukio ya kihistoria hutumiwa zaidi na watu
wasiojua kusoma na kuandika?
A. Vitabu B. Maandishi C. Mazungumzo ya mdomo D. Maktaba
5. Fuvu la kichwa cha mtu wa kale zaidi liligunduliwa katika bonde la Olduvai na:
A. Dk. Louis Leakey B. Dk. Livingstone C. Dk. Charles Darwin D. Vasco Da Gama
6. Eneo la kihistoria ambalo ni maarufu kutokana na michoro ya mapangani nchini Tanzania
ni: A. Isimila B. Kilwa C. Engaruka D. Kondoa Irang
7. Binadamu wa kale alianza kilimo na ufugaji katika kipindi cha: A. Zama za Mawe za
Kale B. Zama za Chuma C. Zama za Mawe za Kati D. Zama za Mawe za Mwisho
8. Mkwawa anakumbukwa kama miongoni mwa mashujaa wa nchi yetu kwa sababu:
A. Aligundua fuvu la kichwa cha mtu wa kale zaidi katika bonde la Olduvai
B. Alisaini mikataba ya ulaghai na Waingereza C. Aliongoza vita vya Majimaji
dhidi ya Wajerumani D. Alipambana na Wajerumani kwa ujasiri mkubwa
9. Nchi ngapi zilikuwa wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuanzia mwaka 1967
hadi1977? A. Mbili B. Tano C. Tatu D. Sita
JARIBIO LA 27
1. Ardhi ni rasilimali ambayo isipotunzwa vizuri inaweza kusababisha hatari katika maisha
ya viumbe hai na rasilimali nyingine. Ipi ni njia bora itakayotumika kutunza rasilimali
hiyo kati ya zifuatazo? A. Kuongeza idadi ya wakulima mashambani B. kuwagawia
watanzania kila mmoja awe na eneo lake C. Kuhimiza wafugaji kuongeza idadi ya
mifugo D. Kuhimiza upandaji miti katika maeneo ya wazi.
2. Katika sikukuu ya wakulima, kauli mbiu iliyotolewa na Waziri Mkuu ilikuwa ni,
“Kilimo ni uti wa mgongo katika uchumi wa Tanzania”. Kauli mbiu hiyo ina maana gani?
A. Ni shughuli inayofanywa na watu matajiri B. Hufanyika kwa kutumia matrekta na
majembe ya kukokotwa na ng’ombe C. Ndio shughuli kuu ya uzalishaji mali na
iliyoajiri watu wengi D. Hufanyika sehemu zenye vyanzo vya maji pekee
3. Mwalimu Kazimoto alifundisha kuhusu shughuli ya kilimo cha mazao ya biashara
kilichofanywa Tanganyika kabla ya uhuru. Je, wanafunzi walibaini mazao yapi ya
biashara? A. Korosho, maharage, mkonge na pareto B. Mahindi, kahawa, chai na pareto
C. Kahawa, pareto, mkonge na chai D. Zabibu, kahawa, chai na maharage
4. Wakulima wengi nchini Tanzania hupeleka mazao sokoni kuuza. Ni njia zipi kuu za
usafirishaji zinazotumika? A. Barabara na Reli B. Anga na Barabara
C. Reli na Anga D. Maji na Anga
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 74
5. Shughuli za kilimo huweza kuharibu ardhi ikiwa hazikufanyika kwa uangalifu. Ni kwa
namna gani kilimo kinaweza kuharibu ardhi? A. Kwa kutumia mbolea ya asili
B. Kwa kulima kwa kubadilisha mazao C. Kwa kulima matuta ya kukinga
mteremko D. Kwa kutumia mbolea za viwandani
6. Shamba la Bwana Tembo ambalo lipo pembeni ya mlima Pina limepungukiwa na rutuba
kutokana na momonyoko wa udongo. Kama mtaalam wa mazingira ni nini chanzo cha
momonyoko huo? A. Shamba kuwa katika mteremko mkali B. Shamba kuwa na miti
mingi C. Samadi kuwekwa shambani D.Shamba kupandwa mazao mengi ya mizizi na
nafaka
7. Shughuli za kibinadamu kando ya mto Matumaini huleta madhara kwa jamii
inayouzunguka. Ni madhara gani yanasababishwa na shughuli za ukataji miti ovyo
pembeni mwa mto huo? A. Ukosefu wa maji viwandani B. Uchafuzi wa hewa
C. Ardhi kupoteza rutuba D. Kukauka kwa vyanzo vya maji
8. Wazo ni mkulima ambaye anataka kuanzisha kilimo katika eneo ambalo ni nusu jangwa.
Kama Afisa kilimo ni ushauri gani utampa? A. Kulima mazao yanayovumilia ukame
B. Kuachana na shughuli za kilimo C. Kulima msimu wa mvua tu D. Kutumia samadi
peke yake wakati wa kilimo
9. Ukiwa ni kiongozi wa klabu ya kutunza mazingira, utampa ushauri gani mtu anaye kata
miti ovyo kwa ajili ya kupata nishati? A. Kutumia nishati mbadala rafiki kwa mazingira
B. Kujificha asikamatwe na Maafisa Misitu C. Kuhifadhi vyema mabaki ya
miti iliyokatwa D. Kuuza kuni na mkaa kujiongezea kipato
10. Ni tukio lipi la kihistoria lilitokea Tanganyika mwaka 1926? A. Kuanza kwa Vita Kuu
ya Pili ya Dunia B. Kuanzishwa kwa chama cha African Association C. Kuanzishwa
kwa Baraza la Bunge D. Uhuru wa Tanganyika
11. Wanafunzi wa Darasa la Saba katika Shule ya Msingi Mwenge wanapanga safari ya
kimasomo kwenda kuona mabaki ya mifumo ya kilimo cha umwagiliaji iliyotumiwa na
watu wa kale. Ni eneo lipi la kihistoria utawashauri kutembelea?
A. Engaruka B. Amboni C. Isimila D. Kondoa Irangi
12. Maeneo yafuatayo ya kihistoria yanapatikana Tanzania isipokuwa:
A. Rusinga B. Olduvai Gorge C. Kondoa Irangi E Kaole
13. Historia ya ukombozi wa Tanzania ilianza na vyama vya ustawi wa wafanyakazi kama
vile TTACSA mwaka 1922 kilichobadilishwa kuwa TAA mwaka 1929 na baadae kuwa
TANU mwaka 1954. Je, ni kwa nini TAA ilibadilishwa kuwa chama cha TANU mwaka
1954? A. Kuwaunganisha watu wote katika kudai uhuru B. Kuwa chama cha kisiasa
kwa ajili ya wafanyakazi tu C. Kuwaunganisha watu wote kupigana vita vya ukombozi
D. Kuunganisha vyama vyote vya siasa katika harakati za ukombozi
14. Wanafunzi wa Darasa la Sita walirekodi viwango vya jotoridi kuanzia Jumatatu hadi
Jumapili kama ifuatavyo: 200C, 320C, 300C, 240C, 270C, 270C na 220C mtawalia. Je, upi
ni wastani wa jotoridi kwa wiki? A. 200C B. 320C C. 270C D. 260C
15. Umepewa jukumu la kutoa mafunzo kwa wanakijiji wa Kijiji cha Juhudi juu ya fursa
mbalimbali za kibiashara ambazo zinaweza kufanyika katika vipindi mbalimbali vya
mwaka. Je, ungewashauri kufanya biashara ya kuuza miavuli katika kipindi gani?
A. Wakati wa Kiangazi B. Wakati wa Kipupwe C. Wakati wa Baridi D.Wakati wa Masika
16. Wanafunzi wa Darasa la Nne walifundishwa kuhusu vipengele mbalimbali vya hali ya
hewa. Ni kundi lipi linawakilisha vipengele vya hali ya hewa walivyojifunza?
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 75
A. Jotoridi, udongo, mvua na unyevuanga B. Anga, mwangajua, mgandamizohewa na
upepo C. Mvua, jotoridi mgandamizohewa na anga D. Mgandamizohewa, jotoridi,
mvua na mwanga jua
17. Baraka anatafuta msaada wako kumwezesha kujibu swali kuhusu dhana ya
“utamaduni”. Je, ni vielelezo vipi vya utamaduni utakavyompa Baraka ili aweze
kuielewa vizuri dhana hiyo? A. Lugha, mila na tohara B. Mila, desturi na lugha
C. Mila, desturi na miiko D. Tohara, mila na desturi
18. Ngoma za asili, uchongaji, uchoraji na maigizo ya jadi ni miongoni mwa mambo ya
kitamaduni yanayovutia watalii. Ni neno gani lifaalo kwa vipengele hivi vya utamaduni?
A. Mila B. Sanaa C. Michezo ` D. Lugha
19. Kiongozi kutoka Wizara inayosimamia Utamaduni aliwataka vijana kuacha kushabikia
tamaduni za kigeni na kudharau tamaduni za Kiafrika. Je, nini lengo la ushauri huo?
A Kulinda maslahi ya wageni B. Kulinda maslahi ya viongozi C. Kulinda mali za
wageni D. Kufurahia rasilimali za Taifa
20. Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Harambee husisitiza wanafunzi wake kushiriki
katika michezo ya jadi. Lipi kati ya yafuatayo ni lengo lake kuu? A. kukuza kufikiri na
kucheza B. kuwezesha maamuzi na kuwa mbinafsi C. kukuza kufikiri na kufanya
maamuzi D. kuongeza uzuri wa nyimbo na kufikiri
21. Fikiria umeteuliwa kuongea na mojawapo ya makundi rika katika jamii yako kuhusu
mahusioano mema miongoni mwao. Lipi kati ya yafuatayo ungelisisitiza?
A. Kuheshimiana na kusaidiana B. Kusaidiana na kugombana C. Kusalimiana na
kudharauliana D. Kuheshimiana na kubaguana
22. Kama kuna wazazi na watoto, hii ni familia ya awali. Je, familia hii itaitwaje baada ya
vifo vya wazazi wao? A. Familia pana B. Familia ya watoto yatima C. Familia ya
watoto D. Familia tegemezi
23. Ukoloni katika nchi nyingi za Kiafrika ulikuwa na hasara zaidi kuliko faida. Kama
mwanahistoria, ipi unadhani ni athari ya kijamii iliyotokana na ukoloni katika
Tanganyika? A. Kusaini mikataba na watawala wenyeji na kuleta mazao mapya
B. Kuanzishwa kwa elimu rasmi na kueneza Ukristo C. Kusaini mikataba na watawala
wenyeji na kujenga barabara D. Kuanzishwa kwa mazao mapya na kuteua machifu kama
watawala
24. Nchi nyingi za Afrika kuwa wanachama wa jumuiya mbalimbali inadhihirisha umuhimu
wa jumuiya hizo kwa nchi husika. Unadhani nini kitatokea endapo nchi itavunja uhusiano
huo? A. Kutakuwa na maendeleo makubwa katika nchi B. Kushuka kwa uchumi na
kudorora kwa amani C. Kutumia bidhaa za nchi nyingine na kukua kwa maendeleo
D. Kuongeza wajuzi katika nchi na dunia
25. Mnamo robo ya mwisho ya karne ya 19, Mataifa ya Ulaya yaligombea maeneo ya Afrika
kwasababu walitaka malighafi, masoko, wafanyakazi na sehemu ya kuweka vitega
uchumi. Maeneo yafuatayo yaligombaniwa isipokuwa: A. Maeneo ya kando kando ya
Bahari au Ukanda wa Pwani B. Maeneo yenye hali ya hewa nzuri na ardhi yenye rutuba
C. Maeneo yenye maziwa na mito mikuu D. Maeneo yenye utajiri wa madini na
rasilimali nyingine
26. Mwalimu Julius Kambarage Nyerere anatambulika kuwa ni shujaa hapa Tanzania na
Afrika kwa ujumla. Ni nini kinachomfanya atambulike hivyo? A. Alihudhuria vikao vya
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 76
UNO huko Ulaya B. Alipinga vikali aina zote za ubaguzi wa rangi na kidini
C Alipinga vikali urejeshwaji wa mfumo wa vyama vingi D. Alihamasisha mapinduzi
katika kupigania uhuru
27. Kuanzia mwaka 1985 hadi 2015 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliongozwa na
marais watatu. Ipi ni orodha sahihi ya Marais hao? A. Julius K. Nyerere, Ali H. Mwinyi
and Bejamin W. Mkapa B. Julius K. Nyerere, Ali H. Mwinyi na Jakaya M. Kikwete
C. Ali H. Mwinyi, Benjamin W. Mkapa na Jakaya M. Kikwete
D Julius K. Nyerere, Abeid A. Karume na John P. Magufuli
28. Mwalimu aliwaambia wanafunzi wake kuwa mistari ya latitudo huwa na mizingo tofauti
tofauti kutegemea na mahali ulipo. Ni mstari upi wenye mzingo mrefu kati ya hii
ifuatayo? A. Tropiki ya Kaprikoni B. Mzingo wa Aktiki C. Mstari wa Ikweta
D. Tropiki ya Kansa E Mzingo wa Antaktiki
29. Wakati wa kipindi cha somo la Maarifa ya Jamii mwalimu aliwapa wanafunzi ramani ya
Tanzania yenye vitu vya asili na vilivyotengenezwa na binadamu kwa lengo la kujifunza.
Je, hiyo ilikuwa ni ramani ya aina gani? A. Ramani za takwimu B. Ramani za
kisiasa C. Ramani za kontua D. Ramani za topografia
30. Mtalii aliwasili nchini Tanzania kupitia uwanja wa ndege wa Kilimanjaro na kuelekea
moja kwa moja katika hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro bila ya kupokelewa na mwenyeji
yeyote. Ni kifaa kipi kati ya vifuatavyo kilimwezesha kufika huko?
A. Skeli B. Hali ya hewa C. Ramani D. Picha
31. Bahati alichora ramani ya kijiji chao bila kuonesha kipimio cha ramani. Ni athari ipi
atakayoipata mtumiaji wa ramani hiyo? A. Kushindwa kufahamu mipaka ya kijiji
B. Kutofahamu ukubwa halisi wa kijiji C. Kutozitambua alama zilizotumika
D. Maudhui ya ramani kutoeleweka
32. Fikiria kuwa umealikwa kama mtaalamu wa mambo ya hali ya hewa kuelezea umuhimu
wa tabaka la Ozoni kwa jamii. Je, ungeeleza nini? A. Huzuia kansa ya ngozi B. Huzuia
mmomonyoko wa udongo C. Huongeza idadi ya watu D. Husababisha kutengenezeka
kwa mvua
33. Rafiki yangu alisafiri kwenda Ulaya kumtembelea shangazi yake kipindi cha likizo.
Kulikuwa na baridi kali iliyoambatana na mchana kuwa mfupi kuliko usiku. Je, hali hiyo
inawakilisha msimu upi wa mwaka?
A. Kiangazi B. Masika C. Kipupwe D. Vuli
34. Wanafunzi wa Darasa la Tatu walijifunza kuwa, kuna sayari nane zinazounda mfumo wa
jua ambazo baadhi zipo mbali na nyingine zipo karibu na jua. Je, ni Sayari ipi miongoni
mwa zifuatazo ipo karibu zaidi na jua?
A. Sumbula B. Dunia C. Zuhura D. Zebaki
35. Tanzania ni nchi iliyojaaliwa kuwa na madini ya aina mbalimbali. Ni kundi lipi kati ya
yafuatayo hujumuisha madini ya vito? A. dhahabu, chumvi na chuma B. Almasi, rubi na
chuma C. almasi, dhahabu na chuma D. Cobalt rubi na Tanzanaiti
36. Wanafunzi wa Darasa la Saba walipewa aina mpya ya vifungo kwa ajili ya mashati yao.
Ni kanuni ipi wanapaswa kuzingatia wakati wa kushona vifungo hivyo?
A. Kuchagua uzi wenye rangi tofauti na vifungo walivyopewa B. Kuchagua sindano
38. Bwana Nzima amepanga kusafiri na amedhamiria kufungasha nyama kwa ajili ya
safari yake. Ungemshauri kutumia mojawapo ya njia zipi kuandaa nyama hiyo ili kuzuia
kuharibika? A. Kukaanga, kuchemsha na kuchoma B. Kuchemsha, kubanika na
kukaanga C. Kutokosa, kukaanga na kuchoma D. Kuchoma, kukaanga na kubanika
39. Mwalimu wa Stadi za Kazi aliwaongoza wanafunzi kufinyanga chungu na kuwapa mbinu
za kukikausha vizuri. Je, kuna umuhimu gani wa kukikausha chungu hicho?
A. Kukifanya kiwe imara B. Kukifanya kiwe na rangi nyeusi C. Ili kuweza
kukiweka nakshi D. Kukifanya kuwa na harufu ya kuungua
40. Mimi ni mbunifu, mwenye uthubutu na ninajituma katika kutimiza malengo yangu.
Je, mimi ni nani?
A. Mjasiriamali B. Mtu mwenye ujuzi C. Mfanyabiashara D. Mnunuzi
Mwezi J F M A M J J A S O N D
Mvua (mm) 800 800 1000 1200 1000 800 700 900 600 800 900 900
0
Jotoridi ( C) 18 18 24 28 24 18 16 19 20 18 19 19
a. Ni mwezi upi ulikuwa na mvua na jotoridi kubwa? ____________________________
b. Ni aina ipi ya tabia ya nchi inawakilishwa na taarifa zilizopo kwenye jedwali? ______
45. Ni kwa nini Chifu Mkwawa alijulikana kama shujaa katika jamii yake? ______________
JARIBIO LA 29
1. Mkataba wa Moresby wa kukomesha biashara ya utumwa Tanganyika na Zanzibar
ulisainiwa mwaka: A. 1922 B. 1822 C. 1884 D. 1890
2. Umoja wa hiari wa nchi huru zilizokuwa chini ya ukoloni wa Kiingereza unajulikana
kama:- A. Jumuiya ya Madola B. Umoja wa Mataifa C. Umoja wa Afrika
D. Jumuiya ya Mataifa
3. Wajerumani walianza kutawala Tanganyika baada ya tukio gani?
A. Mkutano wa Berlin B. Vita kuu ya pili ya dunia C. Vita kuu ya
kwanza ya dunia D. Mkataba wa Heligoland
4. Kipindi cha utawala wa Mwingireza Zimbabwe ilijulikana kama:
A. Rhodesia ya Kusini B. Rhodesia ya Kaskazini C. Nyasaland D. Zimbabwe
5. Mkataba uliofanyika kati ya Wajerumani na Waingereza mwaka 1890 ulikuwa:
A. Mkataba wa Heligoland B. Mkataba wa Hamerton C. Mkataba wa
Frere D. Mkataba wa Moresby
6. Zama za mawe zimegawanyika katika sehemu ngapi?
A. Saba B. Sita C. Tano D. Tatu
7. Shirika la nyumba la Taifa lilianzishwa baada ya: A. Azimio la Zanzibar B. Azimio la
Musoma C. Azimio la Arusha D. Azimio la Iringa
8. Kiongozi wa Kiafrika wa mwisho kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ni:
A. Kofi Annan B. Amri Mussa C. Salim Ahmed Salim D. Asha Rose Migiro
9. Picha inayoonesha misitu minene na mazao kama michikichi itakuwa imepigwa
kutoka kwenye eneo lenye hali ya:
A. Kiikweta B. Kitropiki C. Kimonsuni D. Kimediteraniani
10. Katika kila nyuzi moja ya longitudo kuna tofauti ya muda gani wakati dunia
inapojizungusha katika mhimili wake?
A. Dakika 14. B. Dakika 15. C. Saa 1. D. Dakika 4
11. Ni rahisi kuthibitisha kuwa dunia ni duara kwa kuangalia:
A. umbo la tufe B. kupatwa kwa jua C. jua la utosi D. kupatwa kwa mwezi
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 81
12. Tanzania na Msumbiji zinatenganishwa na mtogani?
A. Rufiji B. Malagarasi C. Ruvu D. Ruvuma
13. Usafirishaji wa bidhaa au watu kupeleka mahali pengine huitwa:
A. uchukuzi B. utalii C. biashara D. uhamaji
14. Vasco da Gama baharia na mpelelezi kutoka Ureno alifanikiwa kufika India kupitia
Rasi ya Tumaini Jema mnamo mwaka A. 1590 B. 1498 C. 1488 D. 1998
15. Mvua zitokanazo na makutano ya pepo za baridi na pepo zenye joto huitwa:
A. Mkabala B. Myuko C. Milimani D. Vuli
16. ___________ni uzi wa kumbi la nazi uliotengenezwa tayari kufanywa kamba.
A. Shupatu B. Chega C. Kitasiaji D. Utembo
17. _____ ni stadi inayomwezeshaa mtu kubuni na kuanzisha miradi mbalimbali ya
uzalishaji mali kulingana na fursa zilizopo katika mazingira yake.
A. Ubunifu B. Ujasiriamali C. Biashara D. Uuzaji
18. Sanaa ya ususi inazalisha vitu vifuatavyo:- A. mikeka, mazulia, nyungo na kata za
mezani B. vyungu, kawa, vikapu na nyungo C. kawa, nyungo, mazulia
na sufuria D. kamba, vyungo, mikeka, kata za mezani
19. _______ ni sanaa inayotumika katika kutengeneza maumbo mbalimbali kwa kutumia
udongo wa mfinyanzi, saruji, makaratasi na gundi.
A. Ususi B. Ukili C. Ufinyanzi D. Upishi
20. Chama kilichopigania uhuru wa Zanzibar ni:
A. TANU B. TAA C. ASP D. UNIP
21. Zifuatazo ni nchi wanachama wa Jumuiya ya kiuchumi ya Kusini mwa Afrika
isipokuwa: A. Afrika Kusini B. Uganda C. Zambia D. Lethoto E. Namibia
22. Wapelezi kutoka Ulaya walianza kuja Kusini mwa bara la Afrika katika karne ya
ngapi? A. 15 B. 19 C. 16 D. 20 E. 18
23. Kampuni ya kibiashara ya Kijerumani Afrika Mashariki iliongozwa na:
A. David Livingstone B. Vasca da Gama C. Bartholomew Diaz D. Karl Peters
24. Kiongozi wa Jumuiya ya Madola anatoka nchi gani?
A. Uingereza B. Italia C. Ufaransa D. Denmark
25. Mji mkongwe kuliko yote katika Pwani ya Afrika Mashariki ni:
A. Bagamoyo B. Mombasa C. Tanga D. Mtwara
26. Vita vya majimaji vilianza katika wilaya ya:
A. Nachingwea B. Liwale C. Kilwa D. Lindi E. Songea
27. Viongozi wa jadi wafuatao walipigana vita dhidi ya ukoloni isipokuwa:
A. Mkwawa B. Isike C. Songea D. Chifu Mangungo E. Abushiri
28. Nchi ya mwisho kabisa katika Afrika kutambuliwa kama nchi na Umoja wa Mataifa ni:
A. Eritrea B. Namibia C. Afrika Kusini D. Sudani Kusini
29. Mabaki ya zinjanthropus yaligunduliwa huko:
A. Kondoa Irangi B. Olduvai C. Kalenga D. Isimila
30. Dunia ipo kati ya sayari zipi katika mfumo wa juaA. Sarateni na Sumbula
B. Zebaki na Zohari C. Mihiri na Zebaki D. Zuhura na Mirihi
31. Ukanda wa vuguvugu una tabia gani?
A. Kimediterania B. Kisavana C. Kiikweta D. Kimonsoon E. Kijangwa
0
32. Longitudo yenye nyuzi 180 huitwaje?
A. Greenwich B. Meridian C. Mzingo D. Mstarihi
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 82
33. Upi ni mlima meza kati ya hii ifuatayo?
A. Udzungwa B. Sekenke C. Uluguru D. Kilimanjaro
34. Bahari ya Atlantiki na Mediterania zimetenganishwa na mlango bahari wa:
A. Gibraltar B. Suez C. Panama D. Park E. Kanari
35. Soko kuu la watumwa Afrika Mashariki lilikuwa:
A. Zanzibar B. Mombasa C. Kilwa D. Bagamoyo
36. Ufugaji wa kisasa wa wanyama huzingatia nini? A. Utamaduni wa jamii B. Ubora
wa wanyama na mazao yao C. Kuwapo kwa ardhi ya kutosha D. Mbuga za asili za
kulishia mifugo
37. ________ ni eneo la kumbukumbu za kihistoria lenye masalia ya zana za mawe za
mwanzo zilizotumiwa. A. Engaruka B. Amboni C. Kondoa-Irangi D. Isimila
38. Mageuzi ya viwanda huko Ulaya yalitokea kati ya karne za ______
A.16 na 17 B.15 na 16 C.17 na 18 D. 18 na 19
39. Chifu Machemba alikuwa mtawala wa jadi wa kabila la:
A. Wahehe B. Waha C. Wayao D. Wanyamwezi E. Wasangu
40. Ni bidhaa gani zilizoletwa Afrika Mashariki na wafanyabiashara toka China na
Indonesia? A. Shanga, tende na Sukari B. Shanga, pembe za ndovu na ngozi za chui
C. Bunduki, ngozi ya chui na dhahabu D. Nguo za pamba, shanga na vyombo vya ndani
JARIBIO LA 30
JARIBIO LA 32
1. Chama cha ushirikiano wa waafrika (A.A) kilianzishwa mnamo mwaka ____________
A. 1927 B. 1929 C.1948 D. 1954
2. Jina Tanganyika lilianza kutumika rasmi mnamo mwaka ________________________
A. 1961 B. 1962 C. 1964 D. 1920 E.1886
3. Dunia hujizungusha yenyewe kwenye mhimili wake kutoka _______ kwenda ______
A. Magharibi Kaskazini
B. Magharibi Kusini
C. Mashariki Magharibi
D. Magharibi Mashariki
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 88
4. Kisiwa kikubwa kuliko vyote barani Afrika ni kile cha _________________________
A. Comoro B. Ushelisheli C. Madagaska D. Unguja
5. Rasilimali inayovutia watalii na kuchangia katika ukuaji wa uchumi wa Taifa ni _____
A. Ardhi B. Mito C. Hifadhi za mbuga za wanyama D. Madini
6. Mtu anayewekeza mtaji wake katika mradi fulani ili kutengeneza faida huitwa _______
A. Mwanauchumi B. Mdhamini C. Mtanguzi D. Mjasiriamali
7. Inasadikiwa kuwa binadamu wa kwanza aliishi________________________________
A. Ulaya B. Amerika kusini C. Afrika D. Asia
8. Nchi ya mwisho kiupata uhurubarani Afrika ni ipi kati ya zifuatazo?
A. Afrika Kusini B.Sudani ya Kusini C. ghana D. Angola
9. Jasusi aliyetikisa nchi ya Uganda kwa vita dhidi ya Tanzania mwaka 1978 – 1979
aliitwa A. Kabaka Yeka B. Ibrahim Chande C. Iddi Amin Dada D.Machemba
10. Ardhi ilitumika kama zana ya kunyonyea watu wengine katika utaratibu upi wa
maisha?_____ A. ubepari B. ujamaa C. ujima D. ukabaila
11. Umoja wa mataifa (UNO) uliundwa lini? A. baada ya vita kuu ya kwanza B.
Kabla ya vita kuu ya kwanza C. baada ya vita kuu ya pili D. kabla ya vita kuu
ya pili
12. Elimu kwa wote (UPE) nchini Tanzania ilianzishwa mwaka__________________
A. 1974 B. 1970 C. 1972 D. 1980 E. 1977
13. Nchi ya Afrika iliyokuwa inafuaata mfumo wa vyama vingi vya siasa tangu mwaka
1980 ni: A. Zimbabwe B. Tanzania C. Botswana D. Ghana E. Ethiopia
14. Iwapo umbali wa kilomita 25 kwenye ardhi unawakrikishwa na urefu wa sentimita 5
kwenye ramani, kipimo cha ramani ni___________
A. 1:20000 B. 1: 100000 C. 1: 500000 D. 1:5000000 E. 1:10000
15. Jua la utosi katika mwezi Desemba huwa katika ____________ A. Kizio cha kusini
B. Tropiki ya kansa C. Ikweta D. Kizio cha kaskazini E. Tropiki ya kaprikoni.
16. Bainisha vyanzo vya umeme kati ya vifuatavyo:- A. Nguvu ya maji, madini na
nyaya B. Upepo, maji na transfoma C. maji, upepo na Jua D. Makaa ya mawe,
nyaya na transfoma
17. Kanuni ya Lapse inasema joto hupungua nyuzi 0.6 za sentigredi kila mita__________
kwenda juu kutoka usawa wa bahari. A. 100 B. 1000 C. 700 D. 500
18. Faida ya matumizi ya mrudio katika utunzaji wa mazingira ni______ A. Kupanga kazi
mradi B. uzalishaji wa bidhaa mbalimbali C. kupunguza taka D. kutengeneza taka
19. Mazao yaliyoletwa na Wareno hapa Tanganyika ni pamoja na: A. mihogo na kahawa
B. Kahawa na karafuu C. Katani na mihogo D. Korosho na nazi
20. Soko la watumwa Zanzibari lilifungwa mwaka: A.1984 B.1905 C. 1973 D.1873
21. Ugonjwa wa UVIKO – 19 uliingia nchini Tanzania lini?
A. Mach 2018 B. Machi 2019 C. Machi 2020 D. Machi 2021
22. Tendo la kutembea mahali kwa ajili ya kuona vitu mbalimbali na kujifurahisha huitwa:
A. Maonesho B. Utalii C. Michezo D. Utafiti
23. Kwa upande wa Mashariki nchi ya Tanzania imepakana na:
A. Nchi ya Kenye B.Nchi ya Uganda C. Bahari ya Hindi D. Ziwa Viktoria
24. Nishati isiyo na madhara katika mazingira ni:
A. Kuni B. Mkaa C. Makaa ya mawe D. Umeme wa Jua
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 100
JARIBIO LA 14
Na. JIBU Na. JIBU
1 A 31 Mstarihi
2 B 32 1800
3 C Kuepusha kutofautiana kwa tarehe katika nchi moja
4 D 33
5 A
6 B Kuonesha mahali katika ramani
7 Kupima umbali wa maeneo katika ramani
Kubaini siku na tarehe za nchi mbalimbali duniani kwa
8 B 34 kuzingatia mstarihi
9 A Kuonesha njia za vyombo vya usafiri wa majini na anga
10 D Longitudo hutumika kukokotoa muda wa mahali Fulani duniani
11 C 35 Mawili
12 B 36 Mitatu
13 C 37 Bwawani
14 C 38 Ramani ya takwimu
15 B Inaonesha mtawanyiko wa vituo vinavyotoa
16 B 39 huduma za afya katika wilaya ya Mufindi/
17 A haikuonesha sura ya nchi kwenye eneo husika
18 A 40 Kusini
19 D 41 Moja
20 C Ramani hii imeonesha vitu vilivyojengwa na binadamu tu
21 A wakati ramani ya kijiji cha Mtakuja imeonesha maumbo ya
asili ya sura ya nchi na miundombinu iliyojengwa na
22 A 42 binadamu.
23 C Ramani hii imeonesha vitu vichache na maalumu tu wakati
24 A ramani ya kijiji cha mtakuja imeonesha vitu vingi
25 B vilivyopo kwenye eneo
26 A 43 i. Ramani za topografia
27 B ii. Ramani za takwimu
28 C 44 Topografia
29 B 45 Kipande cha karatasi/ardhini/ukutani/kwenye
30 D kipande cha mbao n.k
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 101
JARIBIO LA 15 JARIBIO LA 16
Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU
1 C 31 F 1 D 27 Jua
2 A 32 G 2 C 28 Mfumo wa jua
33 H Nyota humwekamweka
3 A 3 C na nuru yake haitulii
34 Jua ni nyota iliyo 29
4 C karibu zaidi na dunia.
4 A wakati, sayari nuru
yake inatulia na
5 B 5 B haimweki.
Dunia kujizungusha
6 D kwenye mhimili
6 A
35 30 Kutokana na kani ya
7 A wake 7 C uvutano iliyopo kati ya
8 B Dunia 8 B sayari hizo.
kulizunguka jua 31 21 Juni
9 B 9 A
10 A Vuli, Masika 10 D 32 22 Disemba
11 B 36 Kiangazi na 11 C 33 21 Mach na 23
12 A kipupwe 12 A Septemba
Huruhusu maisha ya viumbe
13 B 37 Tarehe 3. Januari 13 A hai/Shukhuli za kila siku za
binadamu hufanyika katika
14 C 38 Kupwa kwa 14 D tabaka hili/Hutupatia vipengele
vya hali ya hewa.
15 A maji. 15 C 34 Hupunguza kiwango cha
nyuzijoto 0.6 0 C kwa kila mita
16 C Nguvu za uvutano 16 B 100 za mwinuko
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 102
JARIBIO LA 17
Na. JIBU Na. JIBU
1 C 31 Sensa ya watu na makazi
2 B 32 Makazi
3 D 33 Makazi ya mjini na makazi ya kijijini
4 D 34 Makazi ya mjini/mkusanyiko
5 B 35 Biashara
6 A 36 Makazi ya watu hutegemea idadi ya watu. Idadi ya
7 D watu inapokuwa kubwa na makazi huongezeka.
8 C 37 Makazi ya mstari
9 B 38 Barabara, reli, mto, ziwa, au maumbile ya ardhi
10 D kama mabonde na milima
11 A 39 Idadi ya watoto wanaozaliwa
12 C Upatikanaji wa huduma bora za kijamii mijini
13 A 40 (masoko/afya/intaneti/elimu n.k )
14 Fursa za ajira (biashara na shughuli nyinginezo)
B
15 C Kuboresha huduma za kijamii vijijini
16 D 41 Kutoa elimu kwa vijana kuhusu matumizi ya fursa
17 A za ajira zilizopo vijijini
18 A 42 Tembo
19 C 43 Watalii
20 C 44 Majangili
21 D 45 Pembe
22 B
23 C
24 A
25 D
26 B
27 B
28 C
29 B
30 D
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 103
JARIBIO LA 18
Na. JIBU Na. JIBU
1 C
Biashara zinazofanana ni kunyang’anyana wateja
2 D hivyo ubunifu ufanyike kufanya biashara tofauti na
3 D 31 wenginey
4 B Kufanya biashara tofauti na wengine ni kuwa na
5 C wateja wengi zaiodi na hivyo kupata faida kubwa
6 A zaidi.
7 B
8 A 32 Kuelewa maendeleo ya biashara
Kufanya maamuzi sahihi kwa biashara yako.
9 D
10 C
(i) Kutonunuliwa kwa bidhaa au huduma anazouza
11 B 33 (ii) Kukatishwa tamaa na hivyo kuacha kuwa
12 A mjasiriamali.
13 A (iii) Kupoteza wateja.
14 A Uthibitisho unaomruhusu mtu kufanya biashara ya iana
15 D 34 Fulani. Mfano, namba ya utambulisho wa mlipa kodi,
16 leseni ya biashara na vitambulisho vya wajasiriamali
B
wadogo.
17 C
18 B 35 Kukwepa kulipa kodi/kuendesha biashara bila kibali/kuuza
19 A bidhaa zisizo na ubora/kuuza bidhaa haramu.
20 D 36 Mlima Kilimanjaro
21 C 37 Arusha
22 D 38 Watalii
23 C 39 Kukuza pato la taifa/fedha za kigeni
24 A 40 Biashara
25 B 41 Rasilimali
26 C 42 Biashara
27 C 43 Utalii wa ndani na utalii wa nje
28 D 44 Ikolojia
29 A 45 Chakula
30 B Kipato
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 104
JARIBIO LA 19
Na. JIBU Na. JIBU
1 B 27 Kilimo/viwanda na biashara/uchimbaji
wa madini/utalii/uvuvi/ufugaji
2 D
3 A Imeimarisha ulinzi katika maeneo
yanakopatikana madini ya Tanzanitekwa
4 C 28 kujenga ukuta kuzunguka eneo hilo.
5 C Imeanzisha masoko ya ununuzi na uuzaji
wa madini kwa kila mkoa.
6 A
7 D 29 Kondoa Irangi, Bonde la Olduvai,
8 C Bagamoyo
9 D 30 Mlima Kilimanjaro/ Mlima Meru/
Mlima Udizungwa/ Mlima Rungwe
10 F
11 A 31 Serengeti, Mikumi, Selous, Ngorongoro
12 H Wakulima watumie pembejeo
13 B 32 sahihi/watumie njia bora na za
14 J kisasa katika kilimo
15 L 33 Maji, madini, gesi asilia, mafuta
16 K Kupanda miti/Uvunaji endelevu wa
17 G 34 misitu/Njia bora za kilimo mfano kilimo
mseto, kilimo cha matuta na kilimo cha
18 C kubadilisha mazao.
19 I 35 Kufanya shughuli mbalimbali za kuzalisha
mali/Kutunza rasilimali nyingine
20 E
21 Ufugaji 36 Nchi kavu, majini na anga
Tanzania Bureau of Standards
22 Nyama/maziwa/ngozi/ 37 (Shirika la ubora wa viwango Tanzania)
samadi 38 Tanzania Revenue Authority (Mamlaka ya mapato
Tanzania.
23 Nyama na maziwa 39 Tanzania Communication Regulatory
Authority.
(Mamlaka ya mawasiliano Tanzania.)
Mmomonyoko wa udongo Tanzania Raylway limited (shirika la reli Tanzania)
24 40
Surface and Marine Transport Authority (Mamlaka ya
25 Umwagiliaji/viwandan 41 usafirishaji wa majini na nchi kavu).
Kutofaa kutumika kwa bidhaa kutokana na muda wa matumizi
26 Kuepuka kufuga mifugo 42 kuisha.
mingi katika eneo dogo
43 Utalii wa ndani na utalii wa nje
Ufugaji wa ndani
44 Ikolojia
45 Chakula na kipato
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 105
JARIBIO LA 20 JARIBIO LA 21
Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU
1 E 31 A 1 C 31 D
2 A 32 A 2 A 32 C
3 A 33 C 3 B 33 D
4 A 34 A 4 B 34 A
5 E 35 D 5 B 35 B
6 A 36 A 6 D 36 B
7 D 37 B 7 A 37 D
8 D 38 C 8 C 38 A
9 E 39 D 9 D 39 C
10 A 40 D 10 C 40 B
11 A Dunia 11 C 41 Utalii wa ndani
kujizungusha Wafanya
12 B 41 kwenye mhimili 12
B
biashara
13 B wake 13 B 42
Wapelelezi
14 D Dunia 14 A
kulizunguka jua Wamisionari
15 E 15 C Kifo cha rais
16 B 42 Dhahabu na 16 B Samia Suluhu
17 C pembe za ndovu 17 C 43 Hassan kuanza
18 A 18 C kuongoza nchi
kama raisi
19 C 19 D
20 D 43 Mwezi unakuwa 20 B Kupima
21 D umepatwa pale dunia 21 B mwendokasi
inapokuwa katikati ya wa upepo
22 B jua na mwezi hivyo 22 A 44
A Kupima
23 C dunia huzuia mwanga 23
uelekeo wa
24 E kutoka kwenye jua 24 D
usiufikie mwezi. upepo
25 A (Mwezi hutegemea mwanga
kutoka kwenye Jua)
25 D Kuoka
26 D 26 C 45 Kuchemsha/
27 C 44 Waarabu 27 C kutokosa
28 A 45 Jotoridi/Upepo/mvua/ 28 D
mgandamizo wa
29 B hewa/mwanga wa 29 A
30 A jua/unyevuanga 30 A
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 106
JARIBIO LA 22 JARIBIO LA 23
Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU
1 C 31 A 1 C 31 A
2 B 32 B 2 C 32 D
3 B 33 C 3 B 33 C
4 D 34 D 4 C 34 D
5 B 35 D 5 A 35 B
6 D 36 D 6 D 36 B
7 D 37 B 7 A 37 D
8 A 38 A 8 B 38 B
9 D 39 C 9 D 39 A
10 D 40 C 10 C 40 B
11 C 41 Gavana 11 B 41 Pasi ya umeme
12 A 42 Malighafi 12 A 42 Mwaka 2012
13 B Wataalamu 13 A 43 1984 hadi 1985
14 B Jua ni nyota 14 D 44 UNESCO
15 B 43 iliyo karibu zaidi 15 D 45 Kupatwa kwa
16 A na dunia kuliko 16 D Mwezi
17 D nyota nyingine 17 E
18 B 44 Taka ngumu 18 B
19 B Taka laini 19 C
20 D 45 Saa 2:00 usiku 20 C
21 C 21 C
22 B 22 B
23 A 23 B
24 A 24 D
25 C 25 B
26 D 26 C
27 B 27 A
28 D 28 B
29 D 29 C
30 C 30 B
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 107
JARIBIO LA 24 JARIBIO LA 25
Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU
1 D 31 A 1 D 31 D
2 C 32 B 2 C 32 A
3 D 33 D 3 A 33 D
4 B 34 D 4 C 34 B
5 D 35 B 5 A 35 C
6 A 36 D 6 D 36 D
7 B 37 A 7 D 37 D
8 A 38 C 8 D 38 C
9 D 39 A 9 C 39 C
10 D 40 D 10 B 40 A
11 E 41 Natron 11 C 41 Kitulo
12 A 42 Unguja 12 C 42 Uhuru Kenyatta
13 D 43 Saadani 13 C (Anastaafu 2022)
14 C 44 Zambia 14 C Vyombo vya
uchukuzi hulipa kodi
15 B 45 Mto Kagera 15 D ambayo hutumika
16 D 16 D 43 kutoa huduma
17 A 17 C mbalimbali kwa
jamii.
18 B 18 C
19 D 19 D Vifo vya
binadamu na
20 A 20 D viumbe wengine
21 B 21 C Upotevu wa mali
22 D 22 A Ulemavu
44 Uharibifu wa
23 C 23 A mazingira
24 D 24 A Uharibifu wa
25 D 25 D makazi na
26 B 26 D miundombinu ya
huduma za kijamii
27 D 27 B n.k
28 C 28 C
29 D 29 D 45 330C
30 D 30 D
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 108
JARIBIO LA 26 JARIBIO LA 27
Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU
1 C 31 C 1 D 31 B
2 D 32 C 2 C 32 A
3 B 33 A 3 C 33 C
4 C 34 D 4 A 34 D
5 C 35 A 5 D 35 D
6 A 36 B 6 A 36 C
7 C 37 C 7 D 37 C
8 B 38 D 8 A 38 D
9 B 39 D 9 A 39 A
10 C 40 D 10 C 40 A
11 D Hutoa moshi 11 A
Hutoa hewa chafu
12 B Huzalisha maji
12 A
13 D taka kwa wingi 13 A
14 A 41 Hutoa kelele 14 D 41
15 B Masalia ya bidhaa 15 D
uzagaa kwenye
16 C mazingira 16 D
17 A (mfano chupa 17 B
18 E na vifungashio) 18 B Udongo
19 D Kurithi 19 D 42 wenye rutuba
20 D wajane 20 A Kutokea kwa
21 B 42 Ukeketaji wa 21 A mlima
22 D watoto wa 22 B 43 Kiikweta
23 C kike 23 B 44 a. Aprili
24 C 24 B b. Kimediterania
25 D Ni mfumo mzima 25 D Alipambana
26 43 wa maisha ya watu 26 na
A B
fulani. Wajerumani
27 A 27 C 45 kwa ujasiri
28 D 28 C mkubwa
29 B 44 Kipimio 29 D Hakupenda
30 D 45 Saa 4:30 usiku 30 C kutawaliwa na
Wajerumani
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 109
JARIBIO LA 28 JARIBIO LA 29
Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU
1 B 31 A 1 B 31 B
2 D 32 B 2 A 32 D
3 C 33 A 3 A 33 D
4 B 34 A 4 A 34 A
5 D 35 A 5 A 35 A
6 C 36 A 6 D 36 B
7 D 37 A 7 C 37 D
8 D 38 A 8 A 38 C
9 B 39 D 9 A 39 C
10 D 40 A 10 D 40 E
11 D 41 Ghana 11 B 41 Taka ngumu
12 D 42 Kilimo 12 D Taka laini
13 D 43 UNICEF 13 A 42 Meroe
14 D 44 Sm 64 14 B 43 Zama za chuma
15 A 45 1994 15 B 44 Periplus
16 C 16 D 45 5:32 Asubuhi
17 B 17 B
18 D 18 A
19 A 19 C
20 A 20 C
21 D 21 B
22 A 22 B
23 D 23 D
24 B 24 A
25 A 25 A
26 D 26 B
27 D 27 D
28 C 28 D
29 C 29 B
30 A 30 D
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 110
JARIBIO LA 30 JARIBIO LA 31
Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU
1 B 31 B 1 D 31 D
2 C 32 B 2 B 32 D
3 B 33 A 3 C 33 D
4 A 34 C 4 C 34 C
5 A 35 B 5 B 35 C
6 B 36 C 6 A 36 B
7 D 37 C 7 B 37 A
8 C 38 A 8 E 38 A
9 A 39 B 9 A 39 A
10 C 40 D 10 B 40 C
11 D 41 Masimulizi 11 D 41 Mkonge (katani)
12 D Makazi ya mjini 12 C 42 Tanga
(mkusanyiko)
13 C 42 13 B Morogoro
Makazi ya vijijini Kutengenezea
14 A 14 C
15 D 43 Angatropo 15 D 43 kamba
16 44 Magendo 16 Kutengenezea
D D
magunia
17 C 45 Afrika kusini 17 B
18 D Zimbabwe 18 C 44 Udongo wa
19 C 19 C mfinyanzi
20 A 20 B Sukari
21 C 21 C 45 Majani
22 D 22 B Maji
23 B 23 D
24 A 24 B
25 C 25 C
26 C 26 C
27 C 27 C
28 C 28 D
29 A 29 C
30 C 30 A
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 111
JARIBIO LA 32
Na. JIBU Na. JIBU
1 A 31 A
2 D 32 D
3 D 33 A
4 C 34 D
5 C 35 B
6 D 36 Fangasi
7 C Julius Kambarage Nyerere
8 A 37
9 C
10 D 38 Dar es Salaam
11 C 130C
12 A 39 Utalii wa ndani
13 D 40 Sumbula (Jupita)
14 C 41 100 hadi 130
15 E 42 Kuoka
16 C Kutokosa/kuchemsha
17 A 43 Masimulizi
18 C 44 William Macknon
19 A 45 Tanganyika
20 D 46 Ziwa Kyoga
21 C 47 Unguja
22 B 48 Dodoma
23 C 49 Nchi ya Rwnda
24 D 50 Tanzania
25 A
26 B
27 D
28 A
29 A
30 C
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 112