You are on page 1of 115

YALIYOMO

JARIBIO LA 1 .................................................................................................................................... 1
JARIBIO LA 2 .................................................................................................................................... 3
JARIBIO LA 3 .................................................................................................................................... 7
JARIBIO LA 4 .................................................................................................................................... 9
JARIBIO LA 5 .................................................................................................................................. 12
JARIBIO LA 6 .................................................................................................................................. 15
JARIBIO LA 7 .................................................................................................................................. 18
JARIBIO LA 8 .................................................................................................................................. 20
JARIBIO LA 9 .................................................................................................................................. 22
JARIBIO LA 10 ............................................................................................................................... 25
JARIBIO LA 11 ............................................................................................................................... 27
JARIBIO LA 12 ............................................................................................................................... 29
JARIBIO LA 13 ............................................................................................................................... 33
JARIBIO LA 14 ............................................................................................................................... 36
JARIBIO LA 15 ............................................................................................................................... 40
JARIBIO LA 16 ............................................................................................................................... 42
JARIBIO LA 17 ............................................................................................................................... 45
JARIBIO LA 18 ............................................................................................................................... 48
JARIBIO LA 19 ............................................................................................................................... 51
JARIBIO LA 20 ............................................................................................................................... 53
JARIBIO LA 21 ............................................................................................................................... 57
JATIBIO LA 22 ................................................................................................................................ 59
JARIBIO LA 23 ............................................................................................................................... 63
JARIBIO LA 24 ............................................................................................................................... 66
JARIBIO LA 25 ............................................................................................................................... 69
JARIBIO LA 26 ............................................................................................................................... 72
JARIBIO LA 27 ............................................................................................................................... 74
JARIBIO LA 28 ............................................................................................................................... 79
JARIBIO LA 29 ............................................................................................................................... 81
JARIBIO LA 30 ............................................................................................................................... 83
JARIBIO LA 31 ............................................................................................................................... 86
JARIBIO LA 32 ............................................................................................................................... 88
MAJIBU ................................................................................................................................................ 92

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma i


UTANGULIZI
Kitini hiki kimeandaliwa kwa mtindo wa maswali na majibu
mahususi kabisa kwaajili ya wanafunzi wa darasa la saba kwa
mada/mahiri zote kuanzia darasa la tatu hadi darasa la saba
ili kumuwezesha pia kufanya marudio ya mahiri alizojifunza
madarasa ya nyuma. Kitini hiki kina majaribio 32 yenye
maswali 45 kila jaribio isipokuwa jaribio la 5 na 32 ambayo
yana maswali 50 kila moja. Jaribio la kwanza hadi 20 ni
majaribio yaliyotungwa kulingana na mtiririko wa Mahiri
zilivyo kwenye Muhtasari wa Elimu Msingi ili kumuwezesha
mwanafunzi kujifunza kulingana na mtiririko wa ufundishaji
wa Mwalimu na jaribio la 21 hadi 32 yametungwa kwa mahiri
zote muhimu ili kumuwezesha mwanafunzi aweze kujipima
kwa mahiri zote za Elimu Msingi katika somo hili la Maarifa
ya Jamii na Stadi za Kazi.
Maswali yaliyomo humu yametungwa kutoka kwenye mahiri
zote za Muhtasari wa Elimu Msingi kwa mbinu mbalimbali
za kumfanya mwanafunzi ajifunze mambo mengi na mbinu
nyingi za kimitihani. Pia kitini hiki kinaweza kumsaidia
Mwalimu kuwaongoza wanafunzi kufanya marudio ya mahiri
mbalimbali kwa kufundisha au kwa kutoa majaribio hivyo ni
rafiki kwa Mwanafunzi na Mwalimu.

Ndugu mzazi/Mlezi, usibaki nyuma muandae Mwanao


Galaxy Stationery, Tumetimiza wajibu wetu bado wewe Mzazi.
Galaxy Stationery,
Uwepo wenu ndio Uhai wetu

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma ii


SHUKRANI
Ninapenda kutoa shukrani zangu za Dhati kabisa kwa Ndugu KIBWANA ABDALLAH
BUNDUKI kwa ushirikiano wake kwa kuhariri kazi yangu hii. Pia nawashukuru watu
wote mtakaotumia bidhaa yetu hii kwani uwepo wenu ndio uhai wetu.

Mwenyezi Mungu awabariki sana.

Said Bunduki Chihungi

0764 968 345/0784 678 250

Bunduki76said@gmail.com

Mufindi - Iringa

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma iii
JARIBIO LA 1
Andika herufi ya jibu sahihi

1. Kikundi kidogo cha watu walio na uhusiano wa damu, ndoa au wa kuishi pamoja
hujulikana kama: A. familia B. ukoo C. jirani D. ndugu
2. Kuna aina ____________ za familia. A. 8 B. 6 C. 3 D. 10
3. Baba, mama na watoto huunda aina gani ya familia? A. Familia ya awali
B. Familia ya mzazi mmoja C. Familia ya mke na mume D. Familia pana
4. Familia ya watoto wanaoishi peke yao na kujitegemea bila ya wazazi hujulikana kama:
A. Familia ya awali B. Familia ya mzazi mmoja C. Familia ya mke na mume
D familia ya watoto yatima
5. Baba, mama na watotot ni ______ A. ukoo B. kijiji C. familia D. utamaduni
6. Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania aliyeanzisha mfumo wa ubinafsishaji ni:
A. John Pombe Magufuli B. Samia Suluhu Hassan C. Benjamin Williamu
Mkapa D. Jakaya Mrisho Kikwete
7. Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania aliyeanzisha mfumo wa Elimu bure kwa
wote kuanzia darasa la awali mpaka kidato cha nne ni yupi kati ya hawa wafuatao?
A. John Pombe Magufuli B. Samia Suluhu Hassan
C. Benjamin Williamu Mkapa D. Jakaya Mrisho Kikwete
8. Ni raisi yupi ambaye akiwa madarakani alijitahidi kuhakikisha kila kata inajengwa
shule ya sekondar? A. John Pombe Magufuli B. Samia Suluhu Hassan
C. Jakaya Mrisho Kikwete D. Ali Hassan Mwinyi
9. Wafuatao ni mawaziri wakuu waliohudumu katika taifa hili katika serikali ya awamu
ya kwanza isipokuwa A. Majaliwa Kassim Majaliwa B. Rashidi Mfaume
Kawawa C. Edward Moringe Sokoine D. Salim Ahmed Salim
10. Ni waziri mkuu yupi ambaye amehudumu katika serikali ya awamu ya nne kati ya
wafuatao? A. Joseph Sinde Warioba B. Edward Moringe Sokoine
C. Rashidi Mfaume Kawawa D. Edward Ngoyai Lowassa
11. Ni raisi yupi kati wa wafuatao alitawala nchi hii kutoka mwaka 2005 hadi 2015?
A. John Pombe Magufuli B. Jakaya Mrisho Kikwete
C. Benjamin Williamu Mkapa D. Ali Hassan Mwinyi
12. Raisi wa kwanza wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ni yupi kati ya wafuatao?

A B C D

13. Mawaziri wakuu wangapi walioongoza Tanzania tangu awamu ya kwanza hadi awamu
hii ya sita? A. 9 B. 2 C. 6 D. 11
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 1
14. Waziri mkuu aliyemalizia mhula wa pili wa serikali ya awamu ya nne ni yupi kati ya
wafuatao? A. B B. D C. A D. C

A B C D
15. Ni waziri mkuu yupi kati ya hawa wafuatao aliongoza Tanzania kama waziri mkuu
miaka mingi zaidi? A. Rashidi Mfaume Kawawa B. Frederick Sumaye
C. Edward Moringe Sokoine D. Edward Ngoyai Lowassa
16. Ni awamu ipi ya urais hapa Tanzania iliongozwa na waziri mkuu mmoja mihula yote?
A. awamu ya tatu B. awamu ya pili C. awamu ya kwanza D. awamu ya nne
17. Gamba ambalo huumbwa na miamba ambalo huzunguka jua kupitia njia maalumu
huitwa: A. ardhi B. Mwezi C. Sayari D. jua
18. Mfumo wa mawasiliano kati ya watu wa jamii au taifa Fulani huitwa:
A. Utandawazi B. lugha C. mtandao wa intaneti D. elimu
19. Mtoto wa mjomba au shangazi anaitwa: A. kaka B. Mjukuu C. binamu D. shangazi
20. Misitu ni rasilimali muhimu sana katika maisha ya binadamu kwani ni rasilimali
inayotupatia mahitaji mengi. Yafuatayo ni baadhi ya mazao ya msitu ISIPOKUWA:
A. mbao B. mkaa C. samaki D. asali
21. Mahitaji ya msingi ya binadamu ni: A. Chakula, kucheza na shule
B. gari, nyumba na elimu C. gari, chakula na simu D. chakula, malazi na mavazi
22. Bwana na bibi Paulo wanaishi katika kijiji cha Upendo na watoto wao wawili. Hii ni
aina gani ya familia? A. Familia pana B. Familia ya awali C. Familia ya mke
na mume D. familia ya watoto yatima
23. Yafuatayo ni mazao ya biashara ISIPOKUWA moja tu ambalo ni:
A. mahindi B. chai C. kahawa D. pamba
24. Jakaya Mrisho Kikwete ameiongoza nchi hii kwa kipindi cha miaka kumi. Kipindi
hicho ni sawa na: A. karne moja B. muongo mmoja C. millennia moja D. saa 24
25. Kuchomoza na kuzama kwa jua na usiku na mchana ni matokeo ya:
A. dunia kulizunguka jua B. majira ya mwaka C. Kupatwa kwa jua
D. dunia kujizungusha kwenye mhimili wake
26. Tanganyika ilipata raisi wake wa kwanza mwaka gani? A. 1961 B. 1962 C. 1964 D. 2020
27. Zanzibar inaundwa na visiwa vikubwa vingapi? A. 3 B. 2 C. 4 D. 1
28. Utalii ni sekta muhimu sana katika taifa letu kwasababu:
A. watalii hutuburudisha B. utalii hutatua migogoro katika jamii C. utalii
huharibu utamaduni wa mtanzania D. utalii hutupatia fedha za kigeni

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 2


29. Eneo kubwa la ardhi lililojaa miti mikubwa na midogo hujulikana kama__________
A. Jangwa B. msitu C. kichuguu D. kichaka
30. Kwanini Mwalimu Julius Kambarage Nyerere anajulikana kama Baba wa Taifa?
A. ana watoto wengi B. alikuwa mwalimu C. aliishi miaka mingi
D. ndiye muanzilishi mkubwa wa kusaka uhuru wa taifa hili
31. Ni tendo gani kati ya yafuatayo huhifadhi mazingira? A. ufugaji wa wanyama wengi
B. kuchoma moto misitu C. kutiririsha maji machafu yote kutoka viwandani
kwenda mtoni D. kufanya urejelezaji
32. Kipi kati ya vifuatavyo husababisha uchafuzi wa hewa? A. kukata miti B. kulima
kandokando ya mto C. moshi kutoka viwandani na kwenye magari
D. kilimo cha miti ya mbao
33. Tanganyika na Zanzibar ziliungana na kupata kitu kimoja kiitwacho: ______________
A. CCM B. Tanzania C. TAZAMA D. Tanzanaiti
34. Vifuatavyo ni vitu vya asili vinavyounda mazingira isipokuwa: A. milima
B. nyumba C. mabonde D. mwanga wa jua
35. Moja ya faida za kuwa na ushirikiano katika jamii ni: A. kujenga uadui B. hujenga
umoja na mshikamano C. kuibua migogoro D. kuandaa kizazi kisicho na maadili

Oanisha fungu A na B ili upate maana kamili


FUNGU A MAJIBU FUNGU B
36. Umwinyi A. Hupimwa kwa kipimajoto
37. Jotoridi B. Radi, kimbunga na mafuriko
38. Majira ya mwaka C. Alikuwa kiongozi wa wahehe
39. Matukio D. Masika, kipupwe,kiangazi,vuli
40. Mtwa Mkwawa E. Ulishamiri sehemu za Pwani
F. Kiongozi wa Wahehe

Jaza nafasi zilizoachwa wazi


41. Shughuli gani hufanywa zaidi maeneo ya vijijini wakati wa masika? _______________
42. _______________________________________ni mtoto wa mjomba au shangazi.
43. Baba, mama na watoto huunda_____________________________________________
44. Shujaa aliyejiua mwenyewe mkoani Iringa aliitwa _____________________________
45. Tanganyika ilipata uhuru wake mwaka ______________________________________

JARIBIO LA 2
Andika herufi ya jibu sahihi
1. Matukio makubwa ya hatari yanayosababishwa na nguvu za asili ambayo hutokea
ghafla na kusababisha maafa hujulkana kama:
A. vita B. Tsunami C. majanga D. madhara
2. ________________ ni kifaa chochote ambacho hutumiwa na binadamu ili kumwezesha
kufanya kazi zake za kila siku. A. zana B. zama C. injini D. mshale

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 3


3. Zifuatazo ni baadhi ya athari za tetemeko la ardhi isipokuwa: A. uharibifu wa
mazingira na makazi ya viumbe hai B. mlipuko wa magonjwa C. kuongezeka
au kupungua kwa kina cha bahari D. nyasi kukua kwa haraka shambani
4. Lipi kati ya majanga yafuatayo hutokea taratibu?
A. kimbunga B. ukame C. tetemeko la ardhi D. ajali ya basi
5. Ni majanga yapi ya asili ambayo wakati mwingine husababishwa na shughuli za
kibinadamu? A. mafuriko, ukame na moto B. moto, tetemeko la ardhi
na kimbunga C. vita, tetemeko la ardhi na mlipuko wa volcano D. mlipuko wa
volcano, tetemeko la ardhi na kimbunga
6. Vifuatavyo ni viashiria vya maporomoko ya udongo isipokuwa: A. nyufa kubwa na
ndogo ardhini B. ardhi kudidimia C. kutokea kwa matetemeko
madogomadogo mara kwa mara D. upepo kuvuma kutokea Mashariki
7. Moja kati ya zifuatazo si kanuni ya kufuata katika kuokoa mali na maisha ya watu
wakati wa janga la moto. A. kulala kifudifudi na kuwa kimya B. kupiga simu
kwenye namba 114 C. kupiga kelele, king’ora au mayowe kuomba msaada
D. kuzima swichi kuu kwanza kama moto huo umetokana na hitilafu ya umeme
8. Kimiminika cha moto sana kilichotokana na kuyeyuka kwa miamba ardhini kabla ya
kutokea kwenye uso wa dunia huitwa: A. lava B. magma C. mafuriko D. ufa
9. Kimiminika cha moto sana kilichotokana na kuyeyuka kwa miamba ardhini baada ya
kutokea kwenye uso wa dunia huitwa: A. lava B. magma C. mafuriko D. uji
10. Seti ipi ya mambo husababisha kutokea kwa mlipuko wa volcano?
A. mgandamizo, joto na lava B. nyufa, mgandamizo na magma C. nguvu
ya msukumo, lava na hewa D. nguvu ya msukumo na mgandamizo wa hewa
11. Moja kati ya njia zifuatazo si njia ya kuzuia kutokea kwa janga la moto.
A. kutumia vifaa vilivyothibitishwa kwa ubora B. matumizi mazuri ya mioto
iliyo wazi C. elimu kwa umma D. kutumia moto wakati wa kurina asali
12. Mmeguko wa ardhi kufuata mteremko mkali huitwa: tetemeko A. tetemeko la ardhi
B. mmomonyoko wa ardhi C. maporomoko ya ardhi D. kuchimbika kwa ardhi
13. Maumbo yafuatayo husababisha kutokea kwa janga la tsunami isipokuwa: A. mlipuko
wa volcano B. kuanguka kwa vimondo baharini C.tetemeko la ardhi D. mafuriko
14. Mlipuko wa volcano husaidia kufanyika kwa udongo wenye:
A. mawe B. majimaji C. rutuba D. jasi
15. Kijiji cha Uneni kinakabiliwa na janga la maporomoko mara kwa mara. Unafikiri ni
njia ipi kati ya zifuatazo wanapaswa kuitumia wanakijiji ili kukabili janga hilo?
A. kupanda miti B. kukata miti mikubwa C. kuhama eneo hilo D. kuacha kilimo
16. Moja kati ya maumbo yafuatayo ni sababu ya asili ya kutokea kwa moto msituni.
A. kuchoma mkaa B. umeme wa radi C. urinaji wa asali D. hitilafu ya umeme
17. _______________ ni uji wa moto unaotokea juu ya uso wa dunia baada ya mlipuko wa
volcano. A. lava B. magma C. sima D. ufa
18. Katika historia ya maendeleo ya maisha ya binadamu yamepitia vipindi vitatu tofauti.
Vipindi hivyo ni: A. zama za mawe za kale, zama za mawe za kati na zama za mawe za
mwisho B. zama za chuma za kale, zama za chuma za kati na zama za chuma za
mwisho C. zama za mawe, zama za chuma na zama za teknolojia ya kisasa na digitali
D. zama za mawe, zama za chuma na zama za maji

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 4


19. Katika historia ya maendeleo ya maisha ya binadamu yamepitia vipindi vitatu tofauti
vinavyoitwa zama. Je, kwa sasa tupo katika zama gani? A. zama za teknolojia ya
kisasa na digitali B. zama za kale C. zama za mawe D. zama za chuma
20. Binadamu aliweza kutengeneza na kutumia zana kwa mara ya kwanza katika zama
zipi? A. zama za teknolojia ya kisasa na digitali B. zama za kale C. zama za
mawe D. zama za chuma
21. Katika zama za mawe, zana zilizotengenezwa zilitumika katika shughuli gani?
A. uwindaji, uchimaji wa mizizi na kutengenezea nguo B. kilimo, uvuvi na uwindaji
C. viwanda, kuengeneza vyombo vya kupikia na kuwindia D. kilimo na silaha za kivita
22. Zama za mawe zimegawanuika katika vipindi vitatu ambavyo ni: A. zama za mawe za
kale, zama za mawe za kati na zama za mawe za mwisho B. zama za mawe za kwanza
C. zama za mawe za sasa na zama za mawe za zijazo D. zama za mawe za kale, zama
za mawe za kisasa na zama za mawe za kisayansi
23. Ni katika zama zipi za mawe ambapo binadamu alitembea kwa miguu na mikono?
A. zama za mawe za mwisho B. zama za mawe za kati C. zama za mawe za
kale D. zama za teknolojia ya kisasa na digitali
24. Masalia ya zana za mawe za kale hapa Tanzania yamegunduliwa katika sehemu nyingi
na miongoni mwa sehemu hizo ni: A. chini ya mlima Kilimanyaro na mikumi mkoani
Morogoro B. Kilombero mkoani Morogoro na katika hifadhi ya Serengeti C. amboni
mkoani Tanga na Kihesa mkoani iringa D. bonde la Olduvai mkoani Arusha, Isimila
mkoani Iringa, Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma na bonde la mto Kagera
25. Michoro ya kale ya mapangoni iliyochorwa na binadamu wa zama za mawe
imegunduliwa sehemu gani? A. bagamoyo B. mapango ya Kondoa C. bonde la
Olduvai D. juu ya mlima Kilimanjaro
26. Michoro ya mapangoni ilikuwa na malengo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuwafunza
vijana mambo muhimu katika jamii ikiwemo A. zana za kuwindia, mbinu za uwindaji
na aina za wanyama katika mazingira yao B. ujenzi wa madarasa bora C. jinsi ya
kutengezeza mbolea kwaajili ya mashambani D. namna ya kujenga viwanda
27. Yafuatayo ni maendeleo yaliyofikiwa na binadamu katika kipindi cha zama za mawe za
kati. A. kutembea kwa miguu miwili, kugundua chuma na kutengeneza magari
B. kutembea kwa miguu miwili, kugundua chuma na kugundua moto
C. kutembea kwa miguu miwili, kutengeneza na kuvaa nguo za ngozi za wanyama na
magome ya miti na kugundua moto D. kutembea kwa miguu miwili na kutumia
sayansi ya kidigitali kuengeneza vyombo vya kisasa
28. Moto umegunduliwa katika zama zipi? A. zama za mawe B. zama za chuma
C. zama za mawe za mwisho D. zama za teknolojia ya kisasa na digitali
29. Ugunduzi wa moto ulihusisha vipande viwili vya mti. Kipande kimoja kilikuwa
kipekecheo na cha pili ndio kilipekechwa. Kile kipande kilichopekechwa kiliitwa:
A. ulindi B. uwimbombo C. kiberiti D. kijiwe
30. Lipi kati ya yafuatayo si maendeleo yaliyofikiwa na binadamu katika kipindi cha zama
za mawe za mwisho? A. kuanzisha makazi ya kudumu B. ufugaji wa wanyama na
ndege C. kuanza kilimo cha mazao ya chakula D. kutembea kwa miguu na mikono
31. Baada ya zama za mawe za mwisho zilifuatia zama gani? A. zama za mawe za kati
B. zama za teknolojia ya kisasa na digitali C. zama za chuma D. zama za mawe za kale
32. Ugunduzi wa chuma ulifanyika katika zama zipi? A. zama za mawe za kati
B. zama za teknolojia ya kisasa na digitali C. zama za mawe za kale D. zama za chuma
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 5
33. Inasadikika kuwa mnyama wa kwanza kufugwa na binadamu alikuwa ni:
A. mbwa B. mbuzi C. ng’ombe D. kondoo
34. Moja kati ya zifuatazo si sehemu zenye michoro ya mapangoni na masalia ya zana za
zama za kale za mawe. A. Kondoa B. Isimila C. Engaruka D. Nyumba ya Mungu
35. Kuna majanga ya aina mbili kutokana na visababishi ambayo ni:
A. makubwa na madogo B. ya asili na ya kusababishwa na binadamu C. ya muda
mfupi na ya muda mrefu D. makubwa na madogo

Jaza nafasi za wazi


36. _____________ ni mtikisiko wa ghafla unaotokea katika tabaka la juu la dunia ambao
husababishwa na nguvu za asili zinazotokana na nguvu ya mawimbi yapitayo katikati
ya miamba ardhini.
37. Taja milima miwili yenye asili ya volcano inayopatikana hapa Tanzania.
i. _______________________________ ii. _______________________________
38. Eleza kwa kifupi tofauti iliyopo kati ya majanga ya asili na majanga yasiyo ya asili.
39. Bainisha matumizi mawili ya zana zilizotengenezwa kipindi cha zama za mawe.
i. ____________________________ ii. ________________________________
40. Moto uligunduliwa katika zama zipi za mawe? _______________________________
41. Binadamu alianza kutembea kwa miguu miwili katika zama zipi? ________________

Chunguza michoro ifuatayo kisha jibu maswali yake

42. Picha hii inaonesha janga gani?


_____________________________
_____________________________
_____________________________
_____________________________
_____________________________

43. Michoro hii inaonesha zana


mbalimbali. Zana hizo
zilitengenezwa katika zama zipi?
_____________________________
_____________________________
_____________________________

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 6


44. Picha hii inaonesha mchakato wa
utengenezaji wa zana mbalimbali.
Unafikiri ni zama zipi hizo?
____________________________
____________________________
____________________________
____________________________

45. Taja matokeo mawili ya matumizi ya zana za chuma kwa zami hizo. _______________

JARIBIO LA 3
Andika herufi ya jibu sahihi
1. __________________________________ni mambo yaliyowahi kutokea katika jamii.
A. Kumbukumbu B. Ajali C. Matukio D. Mazingira
2. Faida ya kutunza kumbukumbu za kihistoria ni _______ A. kurithisha vizazi vijavyo
B. kuharibu utamaduni C. mmomonyoko wa maadili D. maandishi
3. Kipi kati ya hivi vifuatavyo hakiwezi kutumika kutunza kumbukumbu za matukio ya
kihistoria? A. Kamera B. Shajara C. Simu za viganjani D. hewa
4. Njia ambayo mtaalamu hufukua ardhini kutafuta mabaki ya kale ya binadamu na zana
zilizotumika enzi za kale hujulikana kama: A. Anthropolojia B. makumbusho
ya taifa C. Akiolojia D. masimulizi ya mdomo
5. Vifuatavyo ni vyanzo vya matukio ya kihistoria isipokuwa:
A. Akiolojia B. Ikolojia C. Anthropolojia D. masimulizi ya mdomo
6. Zifuatazo ni njia za kukusanya taarifa za matukio ya kihistoria isipokuwa moja tu ambayo ni:
A. Mahojiano B. dodoso C. kusoma maandiko mbalimbali D. kutembelea mwezini
7. Nini kazi ya kamera katika utunzaji wa kumbukumbu za matukio ya kihistoria?
A. Kupiga picha za matukio mbalimbali B. Kuandika taarifa za matukio mbalimbali
C. Kuhifadhi zana na vifaa vya kihistoria D. Kutafuta maeneo ambayo matukio ya
kihistoria yametokea
8. Kifaa kipi kati ya hivi vifuatavyo hakiwezi kutumika kutunza kumbukumbu za matukio
ya kihistoria? A. Kamera B. Shajara C. Simu za viganjani D. barabara
9. Ni tukio gani la kihistoria tunalikumbuka ifikapo tarehe 26/4 ya kila mwaka?
A. Siku ya uhuru B. Kifo cha Mwalimu J. K. Nyerere C. Muungano
wa Tanganyika na Zanzibar D. Kifo cha Edward Moringe Sokoine
10. Isimila na Oldvai Gorge ni mfano halisi wa: A. Shajala B.maktaba C. Makumbusho
D. maeneo ya kihistoria
11. Fuvu la binadamu wa kale liligunduliwa na daktari Luis Leakey na daktari Mery
Leakey katiaka bonde la Olduvai Gorge huko mkoani Arusha kwa kutumia kifaa
kiitwacho: A. anemomita B. baromita C. darubini D. Kaboni 14
12. Kumbukumbu ya kifo cha raisi wa kwanza wa Zanzibar hufanyika tarehe _____ ya kila
mwaka. A. 14 Oktoba B. 21 Mei C. Januari D. 7 Aprili
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 7
13. Fuvu la mtu wa kale liligunduliwa mwaka: A. 1959 B. 1886 C. 1914 D. 1961
14. Hizi ni baadhi ya njia tunazoweza kutumia kupata habari za matukio yaliyowahi
kutokea katika jamii zetu. A. Gazeti, Barua na Barometa B. kamera, Kipima joto na Tv
C. Masimulizi, redio, Vitabu na Luninga D. kamera, mvua na upepo
15. Wafuatao ni raisi na makamu wa raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
waliofariki katika awamu tofauti wakiwa bado wapo madarakani.
A. Mwalimu Julius K. Nyerere na Edward Moringe Sokoine B. John Magufuli na
Benjamini W. mkapa C. Mwalimu Julius K. Nyerere na John P. Magufuli
D. John P. Magufuli na Omari Ali Juma
16. Joseph alitaka kupata taarifa kuhusu matukio ya kihistoria ya nchi yetu. Unafikiri ni
mahali gani angeweza kwenda ili lengo lake litimie? A. Maabari B. mbuga
za wanyama C. makumbusho D. ikulu
17. Eid, Pasaka na Krismasi ni baadhi ya sikukuu za ____________________________
A. kidini B. kisiasa C. kijamii D. kijinsia
18. Waliovumbua fuvu la binadamu wa kwanza katika bonde la Olduvai walikuwa ni:
A. Dkt Mary George na Dkt George Lincolin B. Dkt. Louis Leakea na Dkt Mary
Leakey C. Dkt George Louis na Dkt Mary Leakey D. Vasco Da Gama na Carl Peters
19. ____________ huonesha michoro na utamaduni wa watu wa kale. A. sehemu zenye
masalia ya kale B. makumbusho ya taifa C. Akiolojia D. ikulu
20. Taarifa za matukio yaliyotokea na kuhifadhiwa na jamii inayohusika kwa nyakati
tofauti hujulikana kama: A. kumbukumbu za matukio ya kihistoria
B. makumbusho C. mkoba wa kazi D. shajala
Yafuatayo nu matukio ya kihistoria katika nchi yetu na mwaka wa kila tukio. Oanisha
matukio hayo kutoka fungu A na tarehe au mwaka tukio hilo lilipotokea kutoka fungu B
FUNGU A FUNGU B
21. Tanganyika ilipata uhuru wake A. 1985
22. Tanganyika ilikuwa jamhuri B. 12 Januari 1964
23. Mapinduzi ya Zanzibar C. 26 Aprili 1964
24. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar D. 1996
25. Meli ya Mv Bukoba ilizama E. 9 Disemba 1961
F. 1992
26. Kifo cha Raisi Magufuli
G. 1974
27. Mwalimu J.K.Nyerere alistaafu kuwa Raisi wa Tanzania
H. 9 Desemba 1962
28. Azimio la Musoma I. 14 Oktoba 1999
29. Azimio la Arusha J. 1985
30. Ajali ya garimoshi Dodoma K. 1984
31. Mvua ya Elinino L. 1967
32. Kifo cha aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania hayati Edward M. 12 Januari 1964
Moringe Sokoine N. 26 Aprili 1964
33. Vita vya Kagera O. 1898
34. Uchaguzi wa kwanza ulioshirikisha vyama vingi vya siasa P. 1995
35. Kifo cha Mkwawa Q. 17/3/2021
R. 1978 - 1979
S. 9 Disemba 1962
T. 1997 – 1998
U. 2002

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 8


Jaza nafasi za wazi
36. ____________ni sehemu ambayo kumbukumbu mbalimbali za kihistoria huhifadhiwa.
37. Taja matukio mawili ya kihistoria yaliyotokea hapa Tanzania mwaka 2021.

Zifuatazo kwenye kisanduku ni baadhi ya sehemu zenye masalia ya kale katika


nchi ya Tanzania. Tumia sehemu hizo kujaza nafasi za wazi.
Engaruka mkoani Arusha wilaya ya Ngorongoro, Kondoa Irangi mkoani Dodoma Isimila
mkoani Iringa, Kilwa kisiwani mkoani Lindi, Kaole mkoani Pwani, Olduvai Gorge
mkoani Arusha, Amboni mkoani Tanga, Mji mkongwe wa Bagamoyo mkoani Pwani,

38. ______________________ ni sehemu ambayo masalia ya fuvu la binadamu wa kale


zaidi duniani yaligunduliwa mwaka 1959.
39. ______________________ ni sehemu ambayo mabaki ya masalia ya mifumo ya kilimo
cha umwagiliaji iliyotumika na watu wa kale zaidi hupatikana.
40. ______________________ ni sehemu ambayo kumbukumbu ya urithi wa historia ya
Tanzania ya mapango makubwa yenye maumbo mbalimbali hupatikana.
41. ______________________ ni sehemu ya kumbukumbu za historia ambayo masalia ya
zana za mawe za kale ziligunduliwa.
42. ______________________ ni sehemu ya kumbukumbu za historia ambayo mabaki ya
majengo ya kale yaliyojengwa na Waarabu ikiwemo misikiti hupatikana.
43. ______________________ ni sehemu ya kumbukumbu za historia ambayo mabaki ya
masalia ya majengo ya misikiti na vitu vya thamani vilivyoletwa na kutumiwa mnamo
karne ya 13 na wafanyabiashara kutoka Mashariki ya mbali.
44. ______________________ ni sehemu ya kumbukumbu za historia ambayo masalia ya
majengo yaliyotumiwa kwaajili ya biashara ya utumwa, kumbukumbu za kanisa la
kwanza la Kikatoliki na makaburi ya wageni waliofariki wakiwa bagamoyo hupatikana.
45. ______________________ ni sehemu ya kumbukumbu za historia ambayo michoro
mbalimbali ya mapangoni iliyochorwa katika miamba hupatikana.

JARIBIO LA 4
Andika herufi ya jibu sahihi
1. Ipi ni maana sahihi ya mazingira kati ya hizi zifuatazo?
A. Kitu chochote kilichopo shuleni B. Vitu vyote vinavyotuzunguka
C. Viumbe hai pekee D. Viumbe visivyo na uhai pekee
2. Lipi kati ya yafuatayo ni janga litokanalo na mvua kubwa hasa maeneo ya bondeni?
A. mafuriko B. tetemeko la ardhi C. ukame D. mlipuko wa volkana
3. Ni taasisi ipi ya kitaifa ambayo husimamia utunzaji wa mazingira?
A. NEMC B. NECTA C. NACTE D. BASATA
4. Kwa nini kilimo ni uti wa mgongo wa uchumi wa Tanzania? A. Kinapendwa na watu
wengi B. Kinavutia watalii C. Kinaajiri watu wengi D. Kinaharibu mazingira
5. Vitu vifuatavyo vinaweza kuunda mazingira ya darasani ISIPOKUWA kimoja tu
ambacho ni: A. dawati B. kabati C. gari D. meza
6. Usafirishaji, kilimo, biashara na uchimbaji wa madini ni: A. shughuli za kijamii
B. shughuli za kiuchumi C. shughuli za kisiasa D. shughuli za kidini
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 9
7. Kipi kati ya vyombo vya usafiri vifuatavyo hakitumiki katika usafirishaji kwa njia ya
ardhini? A. meli B. basi C. lori D. punda
8. Mahali ambapo malighafi huchakatwa na kuwa bidhaa hujulikana kama: __________
A. shamba B. dukani C. sokoni D. kiwanda
9. Kitendo cha kubadilishana bidhaa kwa bidhaa au bidhaa kwa fedha hujulikana kama:
A. rasilimali B. biashara C. uwekezaji D. utalii
10. ____________ ni mahali ambapo watu huenda kwa shughuli ya kuuza na kununua
bidhaa mbalimbali. A. kiwanda B. Mgodi C. barabara D. Soko
11. Zifuatazo ni njia za kukabiliana na athari za shughuli za kilimo isipokuwa:
A. kilimo cha matuta ya kukingama B. kilimo mseto
C. kilimo cha kuhamahama D. kilimo cha kubadilisha mazao
12. Maubile ya ardhi katika kijiji cha Kwamsisi ni milima na miteremko mikali lakini
udongo wake una rutuba sana. Wewe kama mtaalamu ungewashauri wanakijiji kulima
kilimo gani? A. kilimo cha kuhamahama B. kilimo cha matuta ya kukingama
C. kilimo cha zao la aina moja miaka yote D. kilimo cha mpunga
13. ________________ ni aina ya kilimo ambapo zao zaidi ya moja hupandwa katika
shamba moja katika msimu husika. A. kilimo mseto B. kilimo cha matuta
C. kilimo cha kuhamahama D. kilimo cha msimu
14. Kupunguza matumizi ya mbolea za viwandani ni moja ya njia za kukabiliana na athari
za ________________ katika mazingira. A. kilimo B. ufugaji C. uchungaji D. uvuvi
15. Mojawapo kati ya yafuatayo siyo faida zitokanazo na ufugaji. A. malighafi viwandani
B. kukuza utamaduni C. samadi mashambani D. kujipatia fedha
16. Mojawapo si njia ya kudhibiti athari zitokanazo na viwanda. A. kujenga viwanda
mbali na makazi ya watu B. viwanda kujengewa mashine zenye mitambo ya kupunguza
moshi C. kuweka utaratibu wa urejelezaji D. maji machafu kutoka viwandani
kutiririshwa mtoni
17. Shughuli ipi kati ya hizi zifuatazo husababisha uharibifu wa mazingira? A. Kupanda
miti B. Ukataji miti hovyo C. Kilimo cha matuta D. Urejeleaji wa takataka
18. Ni kiumbe yupi ni msababishi na mharibifu mkubwa wa mazingira?
A. nyani B. tembo C. panya D. binadamu
19. Kulima kwa kufuata kanuni bora za kilimo ni njia mojawapo ya kutunza __________
A. nyumba B. mazingira C. miti D. mifugo
20. Ni athari ipi ya uharibifu wa mazingira haisababishwi na uchimbaji wa madini?
A Ukataji wa miti ovyo B. Ongezeko la mvua C. Uchafuzi wa maji D. Kuwepo
mashimo makubwa
21. Njia bora na endelevu katika utunzaji wa mazingira ni? A. Uchomaji mkaa B. Ufugaji
wa wanyama wengi C. Upandaji wa miti na nyasi D. Ukosefu wa vyoo
22. Mitego ya madema na migono ni vifaa vinavyotumika kwa shughuli ya ____________
A. kuchimbia madini B. kushonea nguo C. kuvua samaki D. kuchezea ngoma
23. Madini yanayopatikana nchini Tanzania pekee kati ya haya yafuatayo ni ___________
A. Almasi B. Rubi C. Dhahabu D. Tanzanite
24. Eneo la ardhi panapofanyika shughuli za uchimbaji madini huitwa _______________
A. gulio B. mgodi C. malighafi D. karakana
25. Migogoro kati ya wakulima na wafugaji husababishwa na A.Vyama vingi vya siasa.
B. uhaba wa ardhi. C. uhaba wa mifugo na mazao. D. kupungua kwa wafugaji.
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 10
26. Mabadiliko makubwa ya wastani wa hali ya hewa inayorekodiwa kwa kipindi cha
muda mrefu kuanzia miaka 30 au zaidi hujulikana kama: A. Mabadiliko ya hali ya
hewa B. Mabadiliko ya sura ya nchi C. uharibifu wa mazingira D. Mabadiliko ya tabianchi
27. Tabianchi ya eneo lolote kwenye uso wa dunia huathiriwa na mambo yafuatayo
isipokuwa:- A. Latitudo ya eneo hilo B. Mwinuko kutoka usawa wa bahari
C. Sura ya nchi D. kupwa na kujaa kwa bahari
28. _________________________ ni umbile la eneo fulani kama vile milima na mabonde.
A. hali ya hewa B. sura ya nchi C. ardhi D. tabianchi
29. Zifuatazo ni athari za kuongezeka kwa joto duniani isipokuwa: A. Kutokea mara kwa
mara majanga kama ukame na mafuriko B. Kutokea mara kwa mara vimbunga
na upepo mkali C. Kuharibiwa na kupungua kwa kiwango cha theluji
katika milima mirefu D. kupungua kwa idadi ya watu duniani
30. Zifuatazo ni mbinu za kukabiliana na ukame isipokuwa: A. Kilimo cha umwagiliaji
B. Kupanda mazao yanayostahamili ukame na kukomaa kwa muda mfupi C. Kutoa
elimu kwa jamii kuhusu kilimo hifadhi, aina nzuri ya mbegu za mazao na matumi
zibora ya pembejeo D. kuhamasisha wakulima kuacha kilimo ili kujishughulisha na
shughuli nyingine

Ifuatayo ni baadhi ya mikoa inayolima mazao ya chakula na biashara kwa wingi.


Oanisha zao kutoka fungu A na mikoa inayolima zao hilo kutoka fungu B
FUNGU A MAJIBU FUNGU B

31. Mahindi A. Kagera, Arusha, Kilimanjaro na Mbeya


32. Mpunga B. Lindi, Mtwara na Pwani
33. Ndizi C. Mwanza, Shinyanga, Simiyu na Tabora
34. Mihogo D. Mbeya, Morogoro, Rukwa, Pwani, Tabora, Mwanza na Shinyanga

35. Chai E. Tabora, Ruvuma, Katavi na Iringa


F. Mbeya, Iringa, Ruvuma, Morogoro, Rukwa, Dodoma, Kilimanjaro, Njombe, Katavi na Songwe
36. Kagawa
G. Tanga, Mtwara, Lindi, Mwanza, Ruvuma, Pwani, Morogoro, Kigoma na Mara
37. Katani
H. Iringa, Njombe, Tanga na Mbeya
38. Pamba
I. Tanga na Morogoro
39. Korosho
J. Kagera, Kilimanjaro, Arusha, Mbeya, Ruvuma na Songwe
40. Tumbaku

Jaza nafasi za wazi


41. ___________________________ ni jumla ya vitu vyote vinavyomzunguka binadamu.
42. Ni njia gani inaweza kutumika ili kuwezesha shughuli za kilimo kufanyika wakati
wote bila kutegemea mvua? _______________________________________________
Soma picha ifuatayo kisha jibu maswali

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 11


MASWALI
43. Kitendo gani anachofanya huyo
mtu? _________________________
______________________________
44. Unafikiri nini kifanyike ili
kuendeleza rasilimali hiyo
baada ya kufanya kitendo hicho
anachofanya huyo mtu?
______________________________
______________________________
45. Taja athari moja ya kimazingira
inayoweza kutokea kutokana na
kitendo hicho.
_______________________________
_______________________________

JARIBIO LA 5

Andika herufi ya jibu sahihi


1. Hali ya angahewa iliyorekodiwa katika kipindi cha muda mfupi hujulikana kama:
A. Jotoridi B. Unyevunyevu C. Hali ya hewa D. Tabia ya nchi
2. Hewa inayoenda kwa kasi huitwa: A. kimbunga B. mawimbi C. baridi D. upepo
3. _______ ni upepo unaoenda kwa kasi. A. mawingu B. kimbunga C. baridi D. elinino
4. Upepo hupimwa katika vipengele______________________ A. 4 B. 3 C. 2 D. 5
5. Nafasi ya wazi iliyo juu ya uso wa dunia huitwa: A. Uoto B. Mimea C.Anga D. Hali ya hewa
6. _________ ni mtambo unaotumia nguvu ya upepo kuzalisha umeme au kusukuma maji.
A. umeme B. higromita C. kinuupepo D. baromita
7. Kipi kati ya hivi vifuatavyo SIYO kipengele cha hali ya hewa?
A. Jotoridi B. Kipimajoto C. Mvua D. Unyevuanga
8. Hali ya kukosa mvua kwa muda mrefu katika eneo Fulani hujulikana kama_________
A. mafuriko B. masika C. ukame D. kipupwe
9. Mama Omari amebeba mwavuli wakati anaenda sokoni. Unafikiri hali ya hewa ya eneo
hilo ipoje? A. upepo sana B. baridi sana C. mvua D. mwanga mkali
10. Anga imeundwa na vitu vifuatavyo isipokuwa:
A. unyevu anga B. mimea C. hewa D. viumbe wadogowadogo
11. Mwanga wa jua hupimwa kwa: A. themomita B. haigromita C. baromita D. kampabeli stok.
12. Jotoridi hupimwa kwa kifaa kinachoitwa kipimajoto au themomita katika vipimo vya:
A. nyuzi za sentigredi B. Kilogramu C. mililita D. barometa
13. Ipi kati ya hizi zifuatazo siyo dalili ya joto kali? A. Kusinyaa kwa ngozi
B. Kuhisi kiu C. Kutokwa na jasho D. Kutetemeka mwili
14. ______________ ni wastani wa hali ya hewa iliyorekodiwa kwa kipindi kirefu kuanzia
miaka 30 au zaidi. A. hali ya hewa B. mvua C. angahewa D. tabianchi

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 12


15. Tabia nchi ya Tanzania ni ya_______________ lakini huathiriwa na milima na
miinuko. A. kisavana B. kitropiki C. kiikweta D. kijangwa
16. Tabianchi ya eneo lolote kwenye uso wa dunia huathiriwa na mambo yafuatayo
isipokuwa:- A. kupwa na kujaa kwa bahari B. Mwinuko kutoka usawa wa bahari
C. Sura ya nchi D. Latitudo ya eneo hilo
17. Mwinuko wa ardhi kila unapoongezeka kwa kila mita 100 joto hupungua kwa kiasi cha
nyuzi ngapi? A. 60C B. 40C C. 0.60C D. 150C
18. Tanzania iko katika mwinuko wa wastani wa mita 0 mpaka mita 5895 kutoka usawa wa:
A. Ikweta B. nyanda za juu C. bahari D. mlima
19. Mji wa Lindi unapatikana kuanzaia mwinuko wa Mita 0. Maana ya mita 0 ni nini?
A. Kilele cha mlima B. katikati ya mlima C. bondeni D. usawa wa bahari
20. Ikiwa katika mji wa Pangani uliopo usawa wa bahari kiwango cha joto ni 300C, tafuta
kiwango cha joto katika mji wa Korogwe uliopo katika mwinuko wa mita 1500 kutoka
usawa wa bahari. A. 210C B. 29.40C C. 0.60C D. 250C
21. Mlima Kilimanjaro umefikia mwinuko wa mita ngapi kutoka usawa wa bahari?
A. 6000 B. 5895 C. 9855 D.8955
0 0
22. Tanzania ipo kati ya latitudo 1 na latitudo 12 kusini mwa:
A. mlima Kilimanjaro B. bahari ya Hindi C. Ikweta D. nchi ya Msumbiji
23. Tanzania ni sehemu ya ukanda wa kitropiki ambapo imegawanyika katika kanda kuu__
za tabianchi. A. 6 B. 8 C. 2 D. 4
24. Katika kanda kuu nne za tabianchi ya Tanzania, ni ukanda upi unapatikana katika
mwinuko wa mita 0 mpaka mita 30 kutoka usawa wa bahari? A. Ukanda wa Pwani
B. Ukanda wa nyanda za juu C. Ukanda wa kati D.Ukanda wa ziwa
25. Ni mikoa ipi ambayo hupatikana katika ukanada wa Pwani? A. Singida, Dodoma
na Tabora B. Dar es Salaam, Pwani, Lindi, Mtwara na baadhi ya maeneo ya mkoa
wa Tanga na Morogoro C. Iringa, Mbeya na Rukwa D. Mwanza,
Mara, Kagera, Kigoma, Geita, Simiyu na Shinyanga
26. Ni ukanda upi wa tabianchi ya Tanzania ambao ni kukame na ni nusu jangwa?
A. Ukanda wa Pwani B. Ukanda wa nyanda za juu C. Ukanda wa kati
D.Ukanda wa ziwa
27. Ni ukanda upi wa tabianchi ya Tanzania ambao hupata mvua nyingi kuliko kanda zote
zilizobaki? A. Ukanda wa Pwani B. Ukanda wa nyanda za juu
C. Ukanda wa kati D.Ukanda wa ziwa
28. Ukanda wa ziwa ni maarufu kwa kilimo cha mazao gani?
A. mihogo B. nazi C. pamba na mihogo D. kahawa
29. Bwana Malingona alijaribu kulima zao la kahawa katika mkoa wa Pwani. Licha ya
mvua za kutosha zinazonyesha katikamkoa huo lakini zao hilo halikustawi. Unafikiri ni
kwanini? A. uwepo wa baridi kali B. uwepo wa joto kali C. uwepo wa rutuba
nyingi D. ukosefu wa mvua
30. Mamlaka ya hali ya hewa ya nchi fulani ilitoa takwimu za wastani wa baadhi ya
vipengele vya hali ya hewa ya nchi hiyo kwa kipindi cha miaka 30 kama ifuatavyo;
wastani wa jototidi ni 280C na mvua ni mililita za ujazo 1200. Wastani huo wa hali ya
hewa kwa kipindi kirefu kama hicho hujulikana kama:
A. hali ya hewa B. mabadiliko ya tabianchi C. ukame na mafuriko D. Tabianchi

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 13


Chunguza vifaa vifuatavyo ambavyo hupima vipengele mbalimbali vya hali ya hewa
kisha jaza aidha jina la kifaa au kazi yake.
PICHA YA KIFAA JINA LA KIFAA KAZI YAKE

Kupima kasi ya
31. upepo
______________________

Kupima kiasi cha


32. mvua
______________________

Kampbeli stok

_____________
33.

Kupima
mgandamizo wa
______________________ hewa
34.

Kipimaupepo

35. ______________

Kupima halijoto

36.

Haigromita

______________
37.
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 14
Jaza nafasi za wazi
38. Ni katika kipindi gani cha majira ya mwaka jotoridi huwa juu? ___________________
39. Kifaa kinachotumika kupima jotoridi huitwa __________________________________
40. Hali ya angahewa katika eneo fulani ambayo hurekodiwa kwa kipindi kifupi hujulikana
kama _________________________________________________________________
41. Mamlaka ya hali ya hewa ya nchi fulani ilitoa takwimu za wastani wa baadhi ya
vipengele vya hali ya hewa ya nchi hiyo kwa kipindi cha miaka 30 kama ifuatavyo;
wastani wa jototidi ni 280C na mvua ni mililita za ujazo 1200. Wastani huo wa hali ya
hewa kwa kipindi kirefu kama hicho hujulikana kama: ________________________
42. Wastani wa hali ya hewa ya eneo fulani iliyorekodiwa kwa kipindi cha muda mrefu
kuanzia miaka 30 au zaidi hujulikana kama: _______________________________
43. Maumbile ya eneo fulani kama vile milima na mabonde hujulikana kama. _______
44. Taja mambo mawili ambayo huathiri tabianchi ya Tanzania.
i. ___________________________ ii. ________________________________
45. Tanzania ni sehemu ya ukanda wa kitropiki ambapo imegawanyika katika kanda kuu
nne za tabianchi. Zitaje kanda hizo.
i. ______________ ii. ______________ iii. ______________ iv. ______________
46. Eleza kwa kifupi sababu za mikoa iliyopo katika ukanda wa ziwa kupata kiwango
kikubwa cha mvua kwa mwaka.
47. Orodhesha sababu mbili za zao la kahawa hustawi zaidi katika sehemu zenye miinuko
na milima.
48. Ainisha athari 2 za mabadiliko ya tabianchi ya Tanzania. ________________________
49. Eleza kwa kifupi tofauti iliyopo kati ya hali ya hewa na tabianchi._________________
50. Eleza kwa kifupi faida za kufahamu hali ya hewa ya eneo Fulani. _______________

JARIBIO LA 6
1. Fungu lipi kati ya yafuatayo SIYO vielelezo vya utamaduni? A. mila na desturi
B. utandawazi na utamaduni C. lugha na sanaa D. mila na sanaa
2. __________________ ni jumla ya mambo yanayofanywa na jamii husika kulingana na
asili, mazingira na mienendo ya jamii hiyo.
A. mila B. desturi C. utamaduni D. miiko
3. Mambo ya kawaida yanayofanywa mara kwa mara na wanajamii ambayo huweza
kubadilika kulingana na mahali na wakati hujulikana kama:
A. mila B. desturi C. tambiko D. miiko
4. Kipi kati ya vifuatavyo SI kielelezo cha utamaduni wa watanzania?
A. Kuongea lugha ya Kiswahili B. Kula ugali C. Kuvaa kanga D. kuongea Kingereza
5. Kitendo kipi kati ya vifuatavyo hakioneshi ushirikiano shuleni?
A. Kufanya mazoezi na majaribio yote yanayotolewa na walimu B. kuwa mtoro
C. kuwauliza maswali walimu D. Kushiriki kufanya kazi kwene shamba la shule
6. Diana ni dada wa baba yako. Je, Diana unamwitaje?
A. dada B. shangazi C. mjomba D. bibi
7. Tunapaswa kufanya nini pale mtu anapokukosea kwa mara ya kwanza na kwa bahati
mbaya? A. kusema asante B. kuomba msamaha C. kumsamehe D. kumpiga

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 15


8. Mahitaji ya msingi ya binadamu ni: A. Chakula, kucheza na shule
B. gari, nyumba na elimu C. gari, chakula na simu D. chakula, malazi na mavazi
9. Muungano wa familia nyingi zenye asili moja hutengeneza_____________________
A. Ukoo B. Jamii C. Kabila D. Taifa
10. Mwenendo wa kila siku wa maisha ya jamii husika ya watu hujulikana kama:
A. Desturi B. Familia C. Utamaduni D. Dini
11. Mambo ya mazoea yanayotendwa kila siku na jamii huitwa ____________________
A. ushirikiano B. utamaduni C. desturi D. ujima
12. Ufundi anaotumia mtu ili kuwasilisha fikra au mawazo yake katika namna
inayoburudisha na kufikirisha huitwa: A. mila B. desturi C. tambiko D. Sanaa
13. _________ ni mfumo mzima wa maisha ya watu Fulani.
A. mila B. desturi C. utamaduni D. miiko
14. Lipi kati ya mambo yafuatayo haliathiri utamaduni wetu? A. maendeleo ya sayansi na
teknolojia B. mabadiliko ya mazingira C. mwingiliano baina ya
nchi yetu na mataifa ya kigeni D. kukua kwa soko la biashara za mazao
15. Jambo la kawaida linalotendwa kila siku huitwa _______________________________
A. Mila B. Desturi C. Utamaduni D. Sana
16. Mwenendo wa maisha unaohusisha asili, mila, desturi, jadi, au itikadi inayotawala
katika jamii fulani hujulikana kama: A. Desturi B. Familia C. Utamaduni D. Dini
17. Katika jamii nyingi za kale hapa Tanzania, viongozi walipatikana kwa njia ya:
A. kuchaguliwa kwa kura B. kurithi C. kuteuliwa D. kupendekezwa.
18. Moja ya faida tunayoipata kwa kucheza ngoma za utamaduni ni:
A. kuendeleza utandawazi B. kuwaburudisha wazungu C. kukuza
mila na desturi D. kudumisha lugha za kigeni.
19. Baadhi ya matendo yanayoonyesha uhusiano mwema katika jamii ni _____________
A. Kucheza, kushirikiana katika kazi na kujadiliana kwa pamoja B. kutengana katika
kazi C. kutocheza sna watoto wa jirani D. kutegea kazi
20. Utamaduni wa watu unaweza kujengwa na kudumishwa na ______________________
A. ngoma za asili tu B. mila na desturi C. ustaarabu wa kigeni D. uganga wa jadi
21. Mama na baba wa mama yako utawaitaje? A. shangazi na mjomba B. shemeji na
dada C. bibi na babu D. kaka na dada
22. Utamaduni huundwa na mambo kadhaa isiokuwa:
A. mila B. umasikini C. lugha D. desturi
23. Yafuatayo ni mahitaji ya msingi kwa binadamu isipokuwa________________
A. chakula B. mavazi C. malazi D. kucheza
24. Lipi kati ya makundi yafuatayo ni familia? A. Babu na wajukuu B. mama na
bibi C. baba, mama na watoto D. Binamu na mjomba
25. Bwana Juma huishi na mkewe, watoto wawili na dada yake. Hii ni aina gani ya
familia? A.Familia ya awali. B. Familia ya mzazi mmoja. C. Familia
pana. D. Familia ya makubaliano.
26. Dada wa baba yangu namwita A. Mama. B. Bibi. C. Shangazi. D. Dada.
27. Zifuatazo ni hasara za uhusiano mbaya wa wanafunzi shuleni isipokuwa: A. kuchukia
masomo. B. kutoweka kwa amani shuleni C. kutengeneza maadui shuleni
D. kukuza mshikamano shuleni

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 16


28. Bibi na Bwana Yusufu wana mtoto aitwaye Neema ambaye ameolewa na kuzaa mtoto
aitwaze Omari. Bwana Yusufu ni nani kwa Omari?
A. Baba B. Babu C. Mjomba D. Mpwa
29. Ipi ni faida ya kiafya waipatayo wanafunzi kwa kucheza ngoma za kitamaduni?
A. Kuendeleza utamaduni B. Kupata hamasa ya kufanya kazi C. Kupata
zawadi mbalimbali D. Kufanya mwili uwe imara na afya
30. Bwana na Bibi James walioana mwaka 2014. Hawajafanikiwa kupata mtoto mpaka
sasa. Hii familia inaitwaje?
A. Ya awali B. Ya watoto yatima C. Ya mke na mme D. Ya makubaliano
31. Mojawapo kati ya yafuatayo SIYO jambo linaloathiri utamaduni wa mtanzania.
A. Maendeleo ya sayansi na teknolojia B. mabadiliko ya mazingira
C. mwingiliano baina ya nchi yetu na mataifa ya kigeni D. elimu ya vyuo vya juu
32. ____________ ni muunganiko wa familia zenye asili au chimbuko la aina moja.
A. Kabila B. undugu C. ukoo D. urafiki
33. Mtu ambaye mmezaliwa katika familia au ukoo mmoja ni _________________ yako.
A. jirani B. ndugu C. shangazi D. rafiki
34. Koo mbalimbali huunda _________ A. Kabila B. Taifa C. Kijiji D. undugu
35. ______________ ni mfumo mzima wa maisha ya watu Fulani.
A. mila B. desturi C. utamaduni D. miiko
36. Ufundi anaotumia mtu ili kuwasilisha fikra au mawazo yake katika namna
inayoburudisha na kufikirisha huitwa: A. mila B. desturi C. tambiko D. Sanaa
37. Ni kabila lipi hapa Tanzania husifika kwa kuchonga vinyago?
A. Wahehe B. wangoni C. wamakonde D. wapare
38. Sanaa zimegawanyika katika makundi matatu ambayo ni haya yafuatayo isipokuwa:
A. sanaa za maonesho B. sanaa za ghibu C. sanaa za muziki D. sanaa za vitendo
39. Mambo yanayofanywa na jamii Fulani kulingana na asili, mazingira na mienendo ya
jamii hiyo huitwa: A. mila B. desturi C. utamaduni D. sanaa
40. Sanaa ambazo hazionekani katika umbo maalumu au kushikika lakini hugusa hisia,
mfano ushairi, uimbaji na muziki zipo katika kundi gani? A. sanaa za maonesho
B. sanaa za ghibu C. sanaa za muziki D. sanaa za vitendo

Jaza nafasi za wazi


41. Mwenendo wa maisha unahusisha asili, Mila, desturi Jadi au Itikadi inayotawala katika
jamii fulani ni _________________________________________________________

________________________________________________________________________

42. Mtu anayeishi karibu na makazi yenu anajulikana kama _________________________


43. Familia inayoundwa na baba, mama, watoto pamoja na ndugu wengine
huitwaje?_____________________________________________________________
44. Ngoma ya asili ya kabila la wazaramo hujulikana kama_________________________
45. Chimbuko la ukoo ni ____________________________________________________

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 17


JARIBIO LA 7
1. Uchoraji, udarizi, uchongaji na ufinyanzi ni baadhi ya: A. sanaa za maonesho
B. sanaa za ghibu C. sanaa za muziki D. sanaa za vitendo
2. Mila, desturi, lugha, sanaa na ___________ ni vielelezo vya utamaduni wa mtanzania.
A. michezo B. muziki wa Rege C. ustarabu D. dini
3. Mfumo wa mawasiliano kati ya watu wa jamii au taifa Fulani huitwa: A. Utandawazi
B. Lugha C. mtandao wa intaneti D. elimu
4. ____________ni utaratibu wa jamii kumiliki pamoja njia kuu za uzalishaji mali
A.Ubugabile B. Ujima C. Ukabaila D.Umwinyi
5. Ujima ni mfumo wa ___________________ wa kiuchumi katika historia ya binadamu.
A. mwanzo B. mwisho C. kati D. chini
6. Jumla ya mambo yote yanayohusu na kufuatwa na jamii fulani ili kukidhi utashi wake
hujulikana kama: A. mila B. desturi C. utamaduni D. dini
7. Lugha, mavazi, chakula, chakula, mila, desturi, michezo, sanaa na imani huunda:
A. mila B. desturi C. dini D. utamaduni
8. _______ ni utaratibu wa maisha ambao jamiii mejiwekea na kila mwanajamii anapaswa
kuufwata. A. utamaduni B. desturi C. dini D. mila
9. ________ ni sherehe za mafunzo yanayotolewa kwa vijana wa kiume ili kuwa
wanajamii bora. A. Unyago B. Jando C. Tambiko D. Lizombe
10. Mafunzo ya jando na unyago yamejikita katika misingi ifuatayo isipokuwa: A. Elimu
na stadi mbalimbali za maisha B. Kupenda na kuthamini kazi C. Usafi
binafsi na usafi wa mazingira D. stadi za kusoma, kuandika na kuhesabu kwa kiasi
11. Zifuatazo ni mila na desturi zilizopitwa na wakati isipokuwa: A. Miiko katika vyakula
B. Kurithi wajane C. Ukeketaji wa watoto wa kike D. kucheza ngoma za asili
12. Baraza la sanaa Tanzania BASATA ni chombo muhimu sana katika kusimamia kazi za
sanaa hapa nchini. Kwa kumbukumbu zako baraza hili lilianzishwa mwaka gani?
A. 1984 B. 1990 C. 2000 D. 2020
13. “Hapa Kazi Tu”, “Uhuru na Kazi”, “Uhuru na Umoja”, “Kazi ni kipimo cha Utu”
Hizo ni kauli mbalimbali ambazo huhimiza _______________kama msingi wa
uzalendo. A. kuilinda nchi B. kujituma na kufanya kazi C. kuthamini
utamaduni wa kigeni D. elimu ya msingi, sekondari na vyuo
14. ______________ ni utaratibu wa maisha ambao jamii imejiwekea na kila mwanajamii
anapaswa kuufuata. A. Mila B. Desturi C. Maisha D. Miiko
15. Taratibu za kufanya misiba na kuzika kwa heshima, vijana wa kiume na wa kike
kuoana umri ukifika na elimu ya ________________ ni baadhi ya mila za watanzania.
A. Desturi B. Mila C. Maisha D. Miiko
16. Mwenendo au mfumo wa sheria za jamii Fulani uliozoeleka hujulikana kama:
A. Desturi B. Mila C. Miiko D. Maisha
17. Yafuatayo yalikuwa malengo mahususi ya mila na desturi za kitanzania kabla ya ukoloni,
ISIPOKUWA: A. Kudumisha matendo mema B. Kudumisha nidhamu katika jamii
C. Kujenga moyo wa uzalendo D. Kujenga uwezo wa kujitegemea
18. Baraka anatafuta msaada wako kumwezesha kujibu swali kuhusu dhana ya
“utamaduni”. Je, ni vielelezo vipi vya utamaduni utakavyompa Baraka ili aweze
kuielewa vizuri dhana hiyo? A. Lugha, mila na tohara B. Mila, desturi na lugha
C. Mila, desturi na miiko D. Tohara, mila na desturi

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 18


Andika KWELI kama sentensi hiyo ni sahihi na SIKWELI kana sentensi hiyo si sahihi.
19. Lugha ni kitambulisho kikubwa cha utamaduni ________________________________
20. Mambo yanayodumisha utamaduni ni pamoja na kusalimiana_____________________
21. Mila huweza kubadilika lakini desturi haziwezi kubadilika. ______________________
22. Kuzungumza lugha ya asili hukuza utamaduni wetu.____________________________
23. Uhusiano ni matokeo ya ushirikiano. _____________________________________________
24. Mashairi, ngonjera na uchongaji ni sehemu ya sanaa. ___________________________

Jaza nafasi za wazi


25. Kabila linaloenzi zaidi mavazi ya asili mpaka sasa hapa Tanzania ni _______________
26. Jamii zenye migogoro mingi hapa nchini ni wafugaji na _________________________
27. Kitendo cha kuchinja wanyama na kupika pombe makaburini huitwa ______________
28. _____________ ni mfumo wa kinyonyaji wa uchumi na utawala ambao ardhi ilikuwa
msingi mkuu wa uzalishaji mali.
29. Katika mfumo wa ukabaila, watu wasiokuwa na ardhi waliitwa ___________________
30. Ufundi wa kuwasilisha hisia na mawazo yaliyomo katika fikra huitwa: _____________
31. __________________ni utaratibu wa jamii kumiliki pamoja njia kuu za uzalishaji mali.
32. Taratibu mila na desturi kwa pamoja huitwa __________________________________
33. Taja mila mbili tu ambazo zimepitwa na wakati hapa Tanzania. ___________________
34. Katika mfumo wa UKABAILA, ____________________ ni watu waliomiliki ardhi na
kuwafanyisha kazi watwana.
35. ___________________ ni kielelezo cha utamaduni wa mtanzania kwani kimefanikiwa
kuunganisha makabila yote.
36. Taja desturi mbili zinazoenziwa na kabila lako. _____________________________________
37. Kiswahili kina umuhimu gani kwa utamaduni wa mtanzania?
38. Taja kabila moja ambalo hujitambulisha kupitia mavazi. ________________________
39. Tunaweza kutumia njia gani ili kudumisha mila na desturi zetu? __________________
Zifuatazo ni aina za ngoma ambazo huchezwa na makabila mbalimbali hapa Tanzania.
Oanisha aina ya ngoma kutoka fungu A na kabila linalocheza ngoma hiyo kutoka fungu B
FUNGU A JIBU FUNGU B
40. Sindimba A. Wangoni
41. Akasimbo B. Wazaramo
42. Mganda C. Wamakonde
43. Mdundiko D. Wahaya

44. Eleza jinsi vyombo vya habari vinavyoweza kuendeleza na kuharibu mila na desturi za
jamii.
______________________________________________________________________
______________________________________________________________________
______________________________________________________________________
45. Eleza njia 2 zilizotumiwa na wakoloni kuathiri mila na desturi za jamii zetu.
______________________________________________________________________
______________________________________________________________________
______________________________________________________________________
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 19
JARIBIO LA 8
1. Katika karne ya 9, Pwani ya Afrika Mashariki ilitembelewa na watu kutoka bara la:
A. Asia B. Amerika C. Australia D. Antaktika
2. Wafanyabiashara kutoka India, China na nchi za kiarabu kama Omani waliokuja
Tanganyika mnamo karne ya tisa walifuata nini: A. shanga, bilauri na bunduki B. nguo,
shanga na pete C. dhahabu na pembe za ndovu D. Almasi na Tanzanaiti
3. Mnamo karne ya 9, biashara ya dhahabu baina ya watanganyika na wafanyabiashara
kutoka India, China na nchi za kiarabu kama Omani ilifanyika katika mji wa:
A. Dar es Salaam B. Dodoma C. Tanga D. Kilwa
4. Watu wa kwanza kutoka Ulaya kuja kufanya biashara mbalimbali Pwani ya Afrika
Mashariki walikuwa ni: A. Wagiriki na Warumi B. waingereza na warumi
C. waingereza na wajerumani D. wajerumani na warusi
5. Baada ya Wagiriki na Warumi kuja kufanya biashara mbalimbali Pwani ya Afrika
Mashariki, walifuatia watu gani kuja Pwani ya Afrika Mashariki? A. Wajerumani
B. Waingereza C. Wareno D. Wafaransa
6. Bomba refu kabisa ambalo husafirisha mafuta kutoka Dar es Salaam Tanzania hadi
Ndola Zambia linaitwa: A. TAZAMA B. TAZARA C. BASATA D. TZZA
7. Wareno walifika Pwani ya Afrika Mashariki mwaka 1498 wakiongozwa na kiongozi
wao: A. Vasco Da Gama B. Daktari Livingstone C. Richard Burton D.Karl Petters
8. Wareno walifika katika mji wa Kilwa mnamo karne ya: A. 16 B. 19 C. 20 D. 18
9. Wareno walipokuja katika Pwani ya Afrika Mashariki, makao makuu yao yalikuwa
katika mji gani? A. Kilwa B. Lindi C. Dar es Salaam D. Mombasa
10. Ngome ya Yesu (Fort Jesus) ilijengwa katika nchi gani?
A. Tanzania B. Kenya C. Uganda D. Zanzibar
11. Ngome ya Yesu (Fort Jesus) ilijengwa katika mji gani?
A. Malindi B. Mombasa C. Kilwa D. Bagamoyo
12. Waarabu wa Omani wakishirikiana na waswahili wa Pwani ya Afrika Mashariki
walifanikiwa kuwafukuza Wareno mwanzoni mwa karne ya: A. 16 B. 17 C. 18 D. 19
13. Baada ya Wareno kufukuzwa katika Pwani ya Afrika Mashariki na Waarabu wa Omani
wakishirikiana na Waswahili wa Pwani ya Afrika Mashariki walikimbilia wapi? _____
A. Msumbiji Kusini mwa mto Ruvuma. B. Malawi C. Zambia D. Kongo
14. Mmoja kati ya wafuatao SIYO vitangulizi vya mwanzo vya wakoloni. A. wapelelezi
B. watalii C. wafanyabiashara D. wamisionari
15. Yafuatayo ni malengo ya wapelelezi kama vitangulizi vya wakoloni isipokuwa:
A. kutafuta ardhi kwaajili ya kilimo cha mazao ya biashara B. kutafuta maeneo yenye
hali ya hewa nzuri kwaajili ya makazi C. kutafiti na kujua sehemu zilizokuwa na idadi
kubwa ya watu D. kutafiti maeneo yaliyoinuka kwaajili ya kujenga minara ya simu
16. Richard Burton, John Hanning Speke, Dr. Livingstone na Henry Murton Stanley ni miongoni
mwa _____________ waliofika Tanganyika.
A. wapelelezi B. watalii C. wafanyabiashara D. wamisionari
17. Safari ya wapelelezi kuingia Tanganyika ilianzia Zanzibar ambapo _________ aliwapa
vibali na maelekezo muhimu kuhusu sehemu walizokusudia kutembelea.
A. rais wa kwanza wa Zanzibar B. rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
C. waziri kiongozi wa Zanzibar D. sultani Seyyid Said
18. Wamisionari walianza kuingia Tanganyika mwaka: A. 1844 B. 1860 C. 1880 D. 1920
19. Wamisionari walianza kuingia Tanganyika karne ya A. 18 B. 19 C. 20 D. 21
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 20
20. Wafuatao ni miongoni mwa wamisionari waliofika Tanganyika.
A. Vasco Da Gama na Dr. Livingstone B. Johann Ludwig Krapf na Johannes
Rebmann C. Karl Petters na Vasco Da Gama D. Karl petters na Dr. Livingstone
21. Johann Ludwig Krapf na Johannes Rebmann ni wamisionari ambao waligharamiwa na
chama chao cha: A. Church Missionary Society (CMS) B. Universities Mission to
Central Africa (UMCA) C. Kampuni ya wajerumani ya Afrika Mashariki D. BEACO
22. Moja kati ya yafuatayo SIYO matokeo ya uhusiano kati ya jamii za ulaya na Asia na
Tanganyika kabla ya ukoloni. A. kuanzishwa kwa biashara ya utumwa B. kukomeshwa
kwa biashara ya utumwa . kuenea dini ya Kikristo na kueneza shule kwaajili
ya kuwafundisha waafrika kusoma D. ujio wa ukoloni
23. Miongoni mwa wafanyabiashara maarufu waliofanya biashara na jamii za
kitanganyika ni muingereza aliyeitwa: A. Vasco Da Gama B. Karl petters
C. Dr. Livingstone D. William Mackinoon
24. William Mackinoon alikuwa ni mfanyabiashara kutoka uingereza. Mfanyabiashara
huyu hakufanikiwa sana katika maswala ya biashara kutokana na
A. kuuza bidhaa kwa bei kubwa B. biashara yake ilikuwa sehemu moja C. alikuwa
hajui kuongea Kiswahili D. alikosa ushirikiano kutoka kwa serikali yake ya uingereza
25. Mjumbe wa kwanza wa wafanyabiashara kutoka ujerumani aliyetumwa kuja kufanya
mikataba na machifu alikuwa ni: A. Karl Peters B. Vasco Da Gama C. William
Mackinoon D. Dr. Livingstone
26. Chifu Mangungo wa Msovero alisaini mikataba ya kilaghai na mfanyabiashara yupi
kati ya wafuatao? A. William Mackinoon B. Karl Peters C. Charles Stokes
D. Sultani Seyyid Said
27. Ni mfanyabiashara yupi aliyetumwa na kampuni iliyojulikana kama “Kampuni ya
wajerumani ya Afrika Mashariki” kuja hapa Tanganyika? A. William Mackinoon
B. Karl Peters C. Charles Stokes D. Vasco Da Gama
28. _____________ ni mtindo wa nchi kutawala nchi nyingine kisiasa, kiuchumi na
kiutamaduni. A. ukabaila B. ujima C. utumwa D. ukoloni
29. _______________ ni makubaliano yanayofikiwa kwa maandishi kati ya pande mbili au
zaidi ambayo yanatekelezwa na pande hisika kwa mujibu wa taratibu na sheria.
A. utamaduni B. mkakati C. utumwa D. mkataba
30. Kwanini Chifu Mangungo wa Msovero alisaini mikataba ya kilaghai na
mfanyabiashara Karl Peters? A. alipewa hongo B. hakujua kilichoandikwa katika
mkataba huo C. hakuwapenda watu aliokuwa akiwaongoza D. alikuwa analipiza kisasi
31. Bwana John anamiliki mashamba makubwa ambayo huyakodisha kwa watu. Hii ni aina
gani ya ukabaila? A. Ubugabire B. Ntemi C. Nyarubanja D. Ujima
32. Mfumo wa kwanza wa kiuchumi na kiutawala ambapo watu waliishi na kushirikiana
pamoja uliitwa____________ A. Ujima B. Ujamaa C. Ubepari D. Ukabaila
33. Ujima ni mfumo wa ___________________ Wa maisha ya maendeleo ya binadamu.
A. Mwisho B. kati C. sasa D. mwanzo
34. Ni kundi lipi la jamii za Kitanzania bado linaendeleza mfumo wa ujima?
A. Wandorobo, Wasandawe na Wamakonde B. Wamasai, Wasandawe na Wafipa.
C. Wehadzabe, Wandorobo na Wakurya. D. Wandorobo, Wasandawe na Wahadzabe
35. Umwinyi was the feudal system that existed in which part of Tanzania? A. Kigoma
C. maeneo ya pwani B. magharibi mwa ziwa Viktoria D. maeneo ya Kusini

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 21


36. Nyarubanja was a type of feudalism that was practiced in which region?
A. In Kigoma C. In Manyara B. Along the coast D. In Kagera
37. Mfumo wa maisha ambao watu wachache humiliki ardhi huitwa: _________________
A. ukabaila B. ubeberu C. ubepari D. unyonyaji

Jaza nafasi za wazi


38. Katika mfumo wa ujima zana zilitengenezwa kwa ____________ na _________ hivyo
uzalishaji ulikuwa mdogo.
39. Wamisionari walianza kuingia Tanganyika mwaka: ____________________________
40. Wareno walifika Pwani ya Afrika Mashariki mwaka gani? _______________________
41. Wareno walifika katika mji wa Kilwa mnamo karne ya ngapi? ____________________
42. Ngome ya Yesu (Fort Jesus) ilianza kujengwa mwaka ____ na kukamilika mwaka ____
43. Mkutano wa Berlin ulifanyika katika mji gani? ________________________________
44. Mreno wa kwanza kufika Pwani ya Afrika Mashariki alikuwa ni: _________________
45. ______________________ ni watu waliomiliki ardhi na kuwafanyisha kazi watwana
katika mfumo wa ukabaila.

JARIBIO LA 9
1. Mkutano wa Berlin ni mkutano uliojumuisha mataifa ya kibeberu kwa lengo la
kugawana makoloni barani Afrika. Mkutano huu uliitishwa na nani? A. Karl Peters
B. Vasco Da Gama C. Kansela Otto von Bismark D. umoja wa mataifa
2. Moja kati ya masharti yaliyowekwa kwenye mkutano wa Berlin ilikuwa ni:
A. Kukomesha biashara ya utumwa ndani ya makoloni B. kuimarisha biashara ya
utumwa ndani ya makoloni C. kueneza dini ya Kikristo Afrika nzima
D. elimu ya msingi kutolewa bure kwa waafrika wote
3. Mkutano wa Berlin ulifanyika katika nchi gani? A. Ufaransa B. Ujerumani
C. Uingereza D. Marekani
4. Ni mito mikuu ipi ambayo katika mkutano wa Berlin iliazimiwa itumike kwa usafiti na
iwe wazi kwa mataifa yote? A. mto Ruaha na mto Kagera B. mto Naili na mto Kagera
C. mto ruaha na mto Ruvu D. mto Kongo, mto Senegal na mto Zambezi
5. Mkutano wa Berlin ulianza ____________ na kumalizika mwezi Februari 1985.
A. Novema 1984 B. Januari 1984 C. Februari 1985 D. Januari 1985
6. Mkataba uliofanyika mwaka 1890 kati ya serikali ya Uingereza na Ujerumani wenye
madhumini ya kurekebisha mipaka ya mwaka 1886 ulijulikana kama: A. mkataba wa
Hamaton B. mkataba wa freire C. mkataba wa Berlin D. mkataba wa Heligoland
7. Moja kati ya zifuatazo SIYO sababu ya mataifa ya kibeberu kugawana na kulitawala
bara la Afrika. A. Kupata vibarua wa gharama nafuu B. kupata maeneo
ya kuwekeza vitega uchumi C. kupata malighafi na masoko ya bidhaa za
viwandani D. kuja kueneza dini ya Kikristo
8. Uvamizi wa wakoloni katika bara la Afrika ulianza miaka ya 1870. Hii ni karne ya
ngapi? A. karne ya 18 B. karne ya 19 C. karne ya 187 D. karne ya 1870
9. Kitendo cha nchi moja kuitawala nchi nyingine kiuchumi, kisiasa na kijamii hujulikana
kama: A. Utamaduni B. demokrasia C. ukoloni D. utumwa
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 22
10. Ni mataifa yapi kati ya yafuatayo yaliitawala Tanganyika katika vipindi tofauti? A. Marekani
na ujerumani B. Ujerumani na Uingereza C. ufaransa na Uingereza D. Ureno na marekani
11. Tanganyika ilianza kutawaliwa na wakoloni wa taifa gani?
A. Ujerumani B. Uingereza C. Ufaransa D. Ureno
12. ____________ ni gavana wa kwanza kuteuliwa na serikali ya Ujerumani kusimamia utawala
wa kikoloni Tanganyika. A. Julius Von Soden B. Vasco Da Gama
C. Karl Peters D. William Macknoon
13. Maakida, maliwali na machifu katika utawala wa Wajerumani walikuwa na majukumu
yafuatayo isipokuwa: A. kukusanya kodi B. kuandikisha manamba na
vibarua C. kutoa taarifa kuhusu jambo lolote lililohatarisha usalama wa serikali ya kikoloni.
D. kusimamia elimu ya msingi na vyuo vikuu
14. Ili kurahisisha usafirishaji wa mizigo na wafanyakazi, wakoloni walijenga miundombinu ya
usafirishaji hapa Tanganyika. Bandari za tanga na Dar es Salaam zilijengwa na wakoloni wa:
A. Kingereza B. Kireno C. Kijerumani D.Kifaransa
15. Reli ya Tanga hadi Moshi ilianza kujengwa mwaka 1893 na kumalizika mwaka:
A. 1899 B. 1897 C. 1900 D. 1911
16. Reli ya Dar es Salaam hadi Kigoma ilianza kujengwa mwaka _________________ na
kumalizika mwaka 1914. A. 1900 B. 1905 C. 1910 D. 1913
17. Vita vya Maji maji vilipiganwa mwaka 1905 hadi __ A. 1907 B. 1914 C. 1940 D. 1945
18. Mganga aliyewaaminisha watanganyika katika vita vya Maji maji kuwa risasi za
wajerumani zitabadilika kuwa maji aliitwa:
A. Kinjekitile Ngwale B. Chifu Mangungo C. Kibanga D. Karl Peters
19. Kinjekitile Ngwale alikuwa ni mganga wa jadi kutoka kabila la:
A. wahehe B. wabena C. wamatumbi D. wangoni
20. Vita vya Maji maji vilihusisha makabila yafuatayo isipokuwa:
A. wangoni B. wabena C. wamatumbi D. wahehe
21. Ipi kati ya zifuatazo SIYO sababu iliyopelekea kutokea kwa vita vya Maji maji?
A. Utawala wa mabavu wa wajerumani B. kodi kubwa zilizotozwa na watawala
C. wajerumani kudharau tamaduni za wenyeji D. Watanganyika kupewa nafasi za
juu katika utawala wa wajerumani
22. Zifuatazo ni sababu zilizopelekea watanganyika kushindwa katika vita vya Maji maji
isipokuwa: A. wajerumani walikuwa ni wachawi kuliko Kinjekitile Ngwale
B. silaha duni za wenyeji C. kukosekana kwa umoja imara baina ya
watanganyika D. tofauti baina ya niongozi wa vikosi vya wenyeji
23. Moja kati ya yafuatayo siyo matokeo ya vita vya Maji maji. A.vifo vya watu kati ya
75,000 na 120,000 B. Tanganyika kupata uhuru C. njaa kali
D. kusambaratika kwa tawala nyingi za jadi
24. Utawala wa Uingereza dhidi ya jamii za watanganyika ulianza mwaka:
A. 1910 B. 1915 C. 1918 D. 1945
25. Utawala wa Wangereza dhidi ya jamii za watanganyika ulianza mara baada ya
wajerumani kushindwa vibaya katika: A. Vita vya Maji maji B. Vita vya
pili vya dunia C. Vita vya Sangu Bena D. Vita vya kwanza vya dunia
26. Vita kuu vya kwanza vya dunia ilianza kupigana mwaka 1914 hadi _____________
A. 1918 B. 1945 C. 1910 D. 1950
27. Baada ya Ujerumani kushindwa katika vita kuu vya kwanza vya dunia, eneo la
Tanganyika liliwekwa chini ya utawala wa Waingereza kwa udhamini wa umoja wa

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 23


mataifa uliofahamika kwa jina la:
A. UN B. League of Nations C. UNO D. UNHCR
28. Sir Horace Byatt aliteuliwa kuwa gavana wa kwanza katika utawala wa Waingereza
mwaka: A. 1918 B. 1922 C. 1921 D. 1920
29. Sir Donald Kameroon aliteuliwa kuwa gavana wa Uingereza mwaka:
A. 1925 B. 1922 C. 1920 D. 1918
30. Wafuatao ni baadhi ya magavana wa Uingereza hapa Tanganyika isipokuwa: A. Sir
Donald Kameroon B. Sir Horace Byatt C. Sir Edward Twining D. Julius Von Soden
31. Sir Edward Twining aliteuliwa kuwa gavana wa Uingereza mwaka:
A. 1948 B. 1950 C. 1955 D. 1945
32. Sir Richard Turnbl aliteuliwa kuwa gavana wa Uingereza mwaka:
A. 1959 B. 1955 C. 1954 D. 2015
33. Elimu ya kikoloni chini ya utawala wa waingereza hapa Tanganyika ilitolewa kwa
lugha ya Kiswahili kutoka darasa la kwanza hadi darasa la ngapi?
A. darasa la saba B. darasa la nane C. darasa la sita D. darasa la tano
34. Zifuatazo ni miongoni mwa sekta za uchumi wa kikoloni chini ya utawala wa
waingereza isipokuwa:
A. Viwanda B. kilimo C. biashara D. ufugaji wa kuku wa mayai
35. Yafuatayo ni malengo ya elimu ya kiloloni hapa Tanganyika isipokuwa:
A. Kutoa ujuzi mdogo kwa waafrika ili kuwezesha uzalishaji mali mashambani
B. Kupata watumishi watakaofanya kazi ofisini kusaidia utawala wa kikoloni
C. kusomesha watoto wachache hususan watoto wa machifu
D. kuwasomesha Watanganyika ili waje wajitawale wenyewe
Wafuatao ni magavana wa kikoloni katika utawala wa Wajerumani na Uingereza hapa
Tanganyika. Oanisha gavana kutoka fungu A na mwaka alioteuliwa kutoka fungu B.
FUNGU A JIBU FUNGU B
36. Sir Horace Byatt – Muingereza A. 1925
37. Sir Donald Kameroon - Muingereza B. 1948
38. Sir Edward Twining – Muingereza C. 1920
39. Sir Richard Turnbl – Muingereza D. 1891 - 1893
40. Julius Von Soden – Mjerumani E. 1959

Jaza nafasi za wazi


41. Katika harakati za kugawana makoloni katika bara la Afrika kati ya mataifa ya
kibeberu, sehemu zenye maziwa na mito mikubwa ziligombaniwa zaidi na wakoloni.
Unafikiri ni kwanini? __________________________________________________
42. Madhumini ya mkataba wa Heligoland yalikuwa ni: __________________________
43. Kwanini mkutano wa kugawana makoloni uliofanywa na mataiofa ya kibeberu mwaka
1884 hadi 1885 uliitwa mkutano wa Berlin?
44. William Mackinoon na Charles Stokes walikuwa ni _____________ kutoka Uingereza.
45. Taja mashirika mawili ya kimisionari yaliyotuma wawakilishi wao kuja Tanganyika.
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 24
JARIBIO LA 10
1. Ni mashujaa wapi waliopinga uvamizi wa Wajerumani katika ukanda wa Pwani mwaka
1888 hadi 1889? A. Isike Mwana Kiyungi na Mirambo B. Mtwa Mkwawa na Mwene
Machemba C. Abushiri Bin Sultani na Bwana Heri D. Mangi Sina na Mangi Meli
2. Ni shujaa yupi aliyekamatwa na Wajerumani maeneo ya ukanda wa Pwani na kwenda
kunyongwa Bagamoyo? A. Hassan Bin Omari Makunganya B. Isike Mwana Kiyungi
C. Mtwa Mkwawa D. Abushiri Bin Sultani
3. Ni mashujaa wapi waliopinga uvamizi wa Wajerumani katika ukanda wa Kaskazini
kati ya hawa? A. Abushiri Bin Sultani na Bwana Heri B. Mangi Sina na Mangi Meli
C. Isike Mwana Kiyungi na Mirambo D. Mtwa Mkwawa na Mwene Machemba
4. Zifuatazo ni mbinu walizotumia mashujaa wa Afrika kupinga uvamizi wa Wakoloni.
A. Umoja na vita B. uchawi na siasa C. uganga na diplomasia D. sala na maombi
5. Ni mashujaa wapi waliopinga uvamizi wa Wajerumani katika ukanda Kusini?
A. Abushiri Bin Sultani na Bwana Heri B. Mangi Sina na Mangi Meli
C. Isike Mwana Kiyungi na Mirambo D. Mtwa Mkwawa na Mwene Machemba
6. Ni shujaa yupi ambaye alipinga uvamizi ukanda wa Magharibi na alivyoona anakaribia
kukamatwa na Wajerumani akajilipua yeye na familia yake kwa kutumia baruti?
A.Isike Mwana Kiyungi B. Hassan Bin Omari Makunganya
C. Mirambo D. Chifu Mangungo
7. Mtwa Mkwawa Mkwavinyika alijiua mwenyewe kwa kujipiga risasi baada ya kuona
anakaribia kukamatwa na Wajerumani mwaka gani?
A. 1898 B. 1905 C. 1907 D. 1888
8. Kinjekitile Ngwale alikuwa ni mganga wa jadi kutoka kabila la:
A. Wahehe B. Wabena C. Wamatumbi D. Wangoni
9. Chama cha Tanganyika African National Union (TANU) kilizaliwa tarehe:
A. 7/7/1954 B. 7/7/1977 C. 9/12/1962 D. 12/4/1982
10. Zifuatazo ni sababu zilizopelekea watanganyika kushindwa katika vita vya Maji maji
isipokuwa: A. wajerumani walikuwa ni wachawi kuliko Kinjekitile Ngwale
B. silaha duni za wenyeji C. kukosekana kwa umoja imara baina ya watanganyika
D. tofauti baina ya niongozi wa vikosi vya wenyeji
11. Ni nchi ipi kati ya zifuatazo ilipata uhuru wake mwaka 1994?
A. Tanzania B. Kenya C. Afrika Kusini D. Ethioopia
12. Kiongozi wa Ethiopia aliyeongoza mapambano ya kupinga uvamizi wa Waitaliano na
kuwashinda hatimaye kuifanya Ethiopia isitawaliwe alikuwa ni: A. Urabi Pasha
B. Mfalme Menelik wa II C. Muhammad Ahmad D. Mullah
13. Zifuatazo ni changamoto zilizowakumba watanganyika wakati wa kupinga uvamizi wa
Wajerumani isipokuwa: A. mvua B. Kuwa na silaha duni C. Ukosefu
wa mbinu sahihi za kivita D. uwepo wa imani potofu
14. Mkwawa alikuwa kiongozi wa kabila gani? ___________________________________
A. Wanyamwezi B. Wayao C. Wahehe D. Wazigua
15. Wafuatao ni mashujaa wa Tanganyika ISIPOKUWA: _________________________
A. Isike B. Mirambo C. Bwana Heri D. Carl Peters
16. Mtemi Isike Mwana Kiyungi aliongoza kabila gani kupigana na Wajerumani?
A. Wahehe B. Wazaramo C. Wanyamwezi D. Wasukuma

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 25


17. Uhusiano ni: ___________A. hali ya watu wawili au zaidi wenye malengo ya pamoja
B. hali ya kugombana baina ya mtu na mtu C. hali ya kufanya kazi peke yako
D. hali ya watu kupendana
18. Kwanini tunawakumbuka viongozi wetu wakuu wa nchi yaTanzania wa zamani?
A. Walituletea amani na umoja. B. Walituletea fedha za kutosha.
C. Walituletea utawala wa kigeni. D. Walituletea mifarakano.
19. Ni sera gani kati ya hizi iliasisiwa na Rais wa zamani Ali Hassan mwinyi?
A.Ujamaa na kujitegea B. Soko huria. C. Elimu bure kwa wote. D. Ubinafsishaji.
20. Kipi kati ya vifuatavyo ni kipaumbele cha Serikali ya awamu ya tano ya Tanzania?
A. Ubinafsishaji wa viwanda B. Ujenzi wa viwanda C. Elimu bure kwa
watanzania wote hadi chuo kikuu D. Uanzishwaji wa vyama vingi vya siasa
21. Ni mawaziri wakuu wangapi walifanya kazi katika serikali ya awamu ya kwanza ya
urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? A. Wanne B. Mmoja C. Watatu D. Wawili
22. Moja kati ya zifuatazo SIYO sababu ya mataifa ya kibeberu kugawana na kulitawala
bara la Afrika. A. Kupata vibarua wa gharama nafuu B. kupata maeneo
ya kuwekeza vitega uchumi C. kupata malighafi na masoko ya bidhaa za
viwandani D. kuja kueneza dini ya Kikristo
23. ____________ ni mfumo wa kimataifa wa siasa-uchumi wa uzalishaji mali wa kiwango
cha juu kabisa cha ubepari ambapo mataifa tajiri huvuka mipaka yake na kwenda
kunyonya uchumi wa nchi masikini. A. Ubepari B. Ukabaila C. Ubeberu D.Umwinyi
24. Kiongozi wa taifa Fulani anayetumiwa na mabeberu kwa manufaa nyao bila kujali
madhara yanayowapata wananchi wenzake hujulikana kama:
A. bepari B.kabaila C. beberu D. kibaraka
25. Wajerumani walivamia na kuitawala Tanganyika tangu mwaka ____ hadi mwaka 1918
A. 1916 B. 1909 C. 1886 D. 1961
26. Sababu ya wakoloni kuvamia ukanda wa Pwani ya Afrika Mashariki ni:
A. Urahisi wa kufanya biashara B. kulikuwa na watu wengi waliohitaji kusaidiwa
C. ardhi ya Pwani ya Afrika Mashariki ina rutuba D. kurahisisha uchimbaji wa madini
27. Mtwa Mkwavinyika Mkwawa alianza mapigano dhidi ya Wajerumani mwaka 1891
katika eneo la: A. Ipogoro B. Lugalo C. Mgololo D. Isimila
Wafuatao ni mashujaa wetu na maeneo waliyopinga uvamizi. Oanisha fungu A na
lile la B ili kuanisha shujaa na eneo alilosimamia.

JINA LA SHUJAA JIBU MAHALI


28. Hassan Bin Omari Makunganya A. Uyao – Mtwara/ Lindi
29. Bwana Heri B. Uzigua – Tanga
30. Abushiri Bin Sultani C. Umatumbi – Kilwa
31. Mangi Meli D. Kibosho – Kilimanjaro
32. Mkwawa E. Kilwa - Kivinje
33. Kinjekitile Ngwale F. Pangani – Tanga
34. Isike Mwana Kiyungi G. Unyanyembe – Tabora
35. Mangi Sina H. Moshi – Kilimanjaro
36. Mirambo I. Tabora
37. Machemba J. Iringa

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 26


Jaza nafasi za wazi
38. Baada ya uhuru wa Tanganyika mwaka 1961, nchi hii iliongozwa na Mwalimu Julius.
K. Nyerere kama ________________________ hadi mwaka 1962 ilipokuwa jamhuri.
39. Jina la Rais wa sasa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni____________________
40. Tanganyika na Zanzibar ziliungana tarehe ________mwezi _______ mwaka ________
41. Kumbukumbu ya Baba wa Taifa letu na aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania hufanyika kila mwaka tarehe _______________ mwezi _________________
42. Rais wa awamu ya pili wa Tanzania alikuwa nani?_____________________________
43. Mirambo na Mkwawa ni mashujaa waliopinga uvamizi wa watu gani?______________
44. Kiongozi wa vita vya majimaji alikuwa nani?__________________________________
45. Waingereza waliitawala Tanganyika kwa takriban miaka mingapi? ________________

JARIBIO LA 11
1. Viongozi wa mwanzo wa bara la Afrika waliopinga uvamizi wa wakoloni katika
Nyanja za kiuchumi, kisiasa na kijamii hujulikana kama: A. magavana wa Afrika
B. waafrika C.mashujaa wa Afrika D. maliwali
2. ______________________ ni mtu yeyote anayeweza kukabiliana na matatizo ya jamii
yake kwa nia, moyo na nguvu thabiti. A. mkoloni B. mtawala C. shujaa D. mvamizi
3. Watawala wa jadi ambao walikuwa machifu walitofautiana majina kama Mtemi,
Mangi, Mtwa, Nkosi au Mwene kulingana na tamaduni za _______ husika.
A.Taifa B. kabila C. koloni D. dini
4. Chama cha African Association kilianzishwa mwaka 1929 na baadaye mwaka 1948
kilibadilishwa jina na kuitwa: A. Chama Cha Mapinduzi B. TANU
C. Tanganyika African Association (TAA) D. UKAWA
5. Chama cha Tanganyika Africac National Union (TANU) kilizaliwa tarehe:
A. 7/7/1954 B. 7/7/1977 C. 9/12/1962 D. 12/4/19892
6. Tanganyika ilipata uhuru wake mwaka 1961 kutoka mikononi mwa utawala wa:
A. Wajerumani B. Waingereza C. Waarabu D. Wareno
7. Chama cha Afro Shiraz Party (ASP) kiliundwa tarehe:
A. 5/2/1957 B. 7/7/1977 C. 9/12/1962 D. 12/4/19892
8. Moja kati ya yafuatayo siyo sababu zilizopelekea mashujaa wetu kupinga uvamizi
katika bara la Afrika. A. kulinda uhuru B. kupinga unyonyaji C. kupinga wavamizi
waliopora na kumiliki rasilimali D. kupinga dini ya Kiislamu isienee nchini
9. Baada ya kupata uhuru wake mwaka 1961, Tanganyika ikawa jamhuri tarehe________
A. 26/4/1964 B. 12/1/11964 C. 9/12/1961 D. 9/12/1962
10. Waziri mkuu wa kwanza wa Tanzania alikuwa nani? A. Rashid Mfaume Kawawa
B. Kassim Majaliwa C. Mwalimu Julius K. Nyerere D. Edward Moringe Sokoine
11. Nchi ambayo ni jamhuri kama Tanzania huongozwa na: _________________________
A. raisi B. waziri mkuu C. Malkia D. Mfalme

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 27


12. Ipi kati ya zifuatazo ni sababu iliopelekea mashujaa wetu kupambana na wajerumani?
A. elimu kutolewa bila malipo B. ukarimu wa wajerumani C. ujenzi wa reli ya
TAZARA D. Watanganyika kufanyishwa kazi muda mrefu kwa malipo madogo
13. Sentensi ipi SIYO sahihi kuhusu rais John Magufuli?
A. Alifariki kabla ya kumaliza mhula wa pili B. Alipambana na rushwa na
ufisadi C. Alisisitiza sana kuhusu watanzania kufanya kazi kwa bidii na uadilifu
D. alitawala nchi hii kuanzia mwaka 2000 hadi 2021
14. Isike Mwana Kiyungi, Mtwa Mkwawa Mkwavinyika, Makunganya na Bwana Heri
wanajulikana kama ___________ wa Tanzania.
A. makatili B. wakoloni C. mashujaa D. baba wa taifa
15. Ni maraisi wangapi wameiongoza Jamhuri ya muungano wa Tanzania mpaka sasa?
A. 4 B. 8 C. 6 D. 5
16. Nani kati ya wafuatao siyo shujaa wa nchi yetu? A. Mtwa Mkwawa
B. Jomo Kenyatta C. Bibi Titi Mohamed D. Mwalimu J.K. Nyerere
17. Tangu uhuru wa nchi hii, viongozi wetu wamefanya yafuatayo isipokuwa:
A. Kuboresha huduma za kijamii B. kujenga umoja wa kitaifa C. kuimarisha
ulinzi ndani ya nchi na katika mipaka ya nchi yetu D. kuleta vita nchini
18. Zifuatazo ni sababu zilizopelekea mashujaa wetu kupambana na wajerumani
isipokuwa: A. mishahara midogo kwa wafanyakazi B.watanganyika walilazimishwa
kulipa kodi C. watanganyika waliondolewa kwenye maeneo yenye ardhi yenye rutuba
D. wajerumani waliwalazimisha watanganyika wote kuandikishwa shule
19. Alama ya kitaifa ambayo huonyesha uhuru wa nchi yetu ni: A. bendera ya taifa
B. nembo ya taifa C. mwenge wa uhuru D. wimbo wa taifa
20. Mtwa Mkwawa na Mtemi Isike ni baadhi ya_____________________ wa Tanganyika.
A. Wakimbizi B. Walowezi C. Mashujaa D. Watumwa
21. Rais wa awamu ya pili wa Tanzania alikuwa nani? A. Dr. John Pombe Magufuli
B. Ali Hassani Mwinyi C. Mwalimu Julius K. Nyerere D. Benjamin W. Mkapa
22. Kati ya mashujaa wafuatao yupi aliongoza mapambano dhidi ya wajerumani mkoani
Iringa? A. Shonza Mwarwinga B. Mtwa Mkwawa C.mtemi Mirambo
D. mtemi Machemba
23. Tanganyika na Zanzibar ziliungana mwaka _____ A.1961 B. 1964 C. 1965 D. 1962
24. Zifuatazo ni njia tunazozitumia kuwaenzi mashujaa wetu isipokuwa: A. picha zao
kuziweka kwenye fedha B. kuimba nyimbo za kuwasifu C. kusherehekea sikukuu
ya mashujaa kitaifa kila mwaka tarehe 25/7 D. kuandika habari zao na kuzitunza
25. Tanganyika ilipata uhuru wake kutoka kwa___________________________________
A. Wareno B.Waarabu C.waingereza D. wajerumani
26. Moja ya sababu zilizowafanya wajerumani kuvamia Tanganyika ilikuwa ___________
A. upendo wao kwa watanganyika B. kueneza dini C. kuimarisha uzalendo
D. kutafuta masoko ya bidhaa zao na maeneo ya kuwekeza
27. Mtu mwenye moyo thabiti anayeweza kukabiliana na mambo bila woga huitwa _____
A. mzalendo B. muhanga C. mwananchi D. shujaa
28. Wajerumani walivamia na kuitawala Tanganyika tangu mwaka 1886 hadi mwaka ___
A. 1916 B. 1909 C. 1918 D. 1961
29. _________________ ni lengo la waarabu kuja pwani ya Afrika Mashariki.
A. biashsra B. ufugaji C. uchimbaji w a madini D. kilimo

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 28


30. Hali ya kuwa na mfungamano wa kindugu au kirafiki katika mambo mbalimbali huitwa
A. ukoo B. uhusiano C. utengano D. Ubaguzi
Chunguza picha ifuatayo kisha jibu maswali yanayofuata.
MASWALI
31. Andika jina la Shujaa huyu wa Afrika. ____________________
32. Raisi huyu ameiongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa
muda wa miaka mingapi? ______________________________
33. Licha ya kuwa mwalimu, Raisi huyu kwa jina maarufu hapa
Tanzania anajulikana kama ____________________________
34. Kumbukizi ya kifo cha raisi huyu hufanyika kila tearehe ______
mwezi _____________________________________________
35. Raisi huyu ni wa awamu ya ngapi ya uraisi wa Jamhuri ya
muungano wa Tanzania? _______________________________

Jaza nafasi za wazi


36. Mkataba wa Heligoland ulifanyika kati ya serikali za: __________________________
37. ______ ni hali ambayo nchi moja huitawala nchi nyingine kiuchumi, kisiasa na kijamii.
38. Tanganyika ilipata uhuru wake mwaka 1961 kutoka mikononi mwa Wakoloni wa taifa
gani? _________________________________________________________________
39. Vita vya Maji maji vilijulikana kwa jina hilo kutokana na imani kwamba risasi za
wajerumani zingebadilika na kuwa:
40. Vita kuu vya kwanza vya dunia viliisha mwaha _______________________________
41. Kiongozi mkuu wa koloni katika utawala wa wajerumani na waingereza alijulikana
kwa cheo au jina la ______________________________________________________
42. Elimu ya kikoloni chini ya utawala wa waingereza hapa Tanganyika ilitolewa kwa
lugha ya ____________ kutoka darasa la sita hadi vyuo.
43. Ni kampuni ipi ilijihusisha na biashara ya tumbaku katika uchumi wa utawala wa
uingereza? _____________________________________________________________
44. Tanganyika ilipata uhuru wake mwaka 1961 chini ya chama cha _____ kilichoongozwa
na Mwalimu J. K. Nyerere.
45. Nani aliongoza vita vya Maji maji dhidi ya Wajerumani? _______________________

JARIBIO LA 12
1. Hali ya mtu na mtu au nchi na nchi kuamua kushirikiana kwenye mambo watakayo
kubaliana hujulikana kama: A. uhusiano B. utumwa C. ukoloni D. ujima
2. Umoja wa Afrika (Africa Union- AU) ni umoja wa nchi za Afrika ulioundwa mwaka
A. 1967 B. 1961 C. 2002 D. 2020
3. Ni umoja upi kati ya zifuatazo ulitangulia kuundwa? A. Umoja wa Afrika (African
Union- AU) B. Umoja wa nchi huru za Afrika (Organization of Africa unity - OAU)
C. Jumuiya ya Afrika Mashariki (East Africa Community - EAC) ya sasa
D. Ushirikiano wa kiuchumi wan chi za Afrika ya Magharibi ECOWAS
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 29
4. Zifuatazo ni jumuiya ambazo Tanzania ni mwanachama isipokuwa:
A Ushirikiano wa kiuchumi wan chi za Afrika ya Magharibi ECOWAS
B. Umoja wa nchi huru za Afrika (Organization of Africa unity- OAU)
C. Jumuiya ya Afrika Mashariki (East Africa Community - EAC) ya sasa
D. Umoja wa Afrika (African Union - AU)
5. Makao makuu ya umoja wa Afrika (Africa union - AU) yapo katika mji gani?
A. Mombasa – Kenya B. Arusha – Tanzania C. Addis Ababa Ethiopia
D. Dar es Salaam – Tanzania
6. Ipi kati ya zifuatazo ni nembo ya Umoja wa Afrika (Africa Union- AU)?

A B C D
7. Makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (East Africa Community - EAC) yapo
katika mji gani? A. Nairobi – Kenya B. Arusha – Tanzania C. Addis Ababa
Ethiopia D. Dar es Salaam – Tanzania
8. Yafuatayo ni malengo ya Umoja wa Afrika (Africa Union-AU) isipokuwa:
A. Kuunganisha na kuimarisha ushirikiano wa nchi zaAfrika B. Kuwa na Afrika
yenye amani na usalama C. Kuondoa aina zote za unyonyaji barani Afrika
D. kuleta ukoloni mamboleo unaosimamiwa na mataifa ya kibepari kutoka Alaya na Asia
9. Umoja wa mataifa umepata mafanikio mengi na yafuatayo ni baadhi ya mafanikio hayo
isipokuwa:- A. utatuzi wa migogoro ya kisiasa kwa kutumia mazungumzo
B. ujenzi wa miundombinu inayohimiza upatikanaji wa maendeleo kwa nchi
wanachama C. kupigana vita na mataifa ya Afrika yaliyopo katika hali ya
umasikini D. uwepo wa uhusiano mzuri wa kisiasa na kiuchumi kupitia mikopo yenye
riba nafuu ya Benki ya maendeleo ya Afrika.
10. Moja kati ya zifuatazo ni changamoto zinazoukabili Umoja wa Afrika (Africa Union-
AU) A. upungufu wa fedha za kuendeshea umojahuo B. kutokuwepo kwa
migogoro baina ya nchi za kiafrika C. Umoja wa mataifa kusaidia nchi maskini
barani Afrika D. Utulivu wa kisiasa uliopo katika mataifa mengi ya Afrika
11. Tanganyika ilijiunga na umoja wa Forodha mwaka: A. 1964 B. 1927 C. 2002 D. 2012
12. Kwa mara ya kwanza Jumuiya ya Afrika Mashariki iliundwa mwaka 1967 ikiwa na
nchi tatu wanachama ambao ni A. Kenya, Uganda na Rwanda B. Tanzania, Rwanda
na Burundi C. Tanzania, Kenya na Uganda D. Kenya, Uganda na Sudani Kusini,
13. Jumuiya ya Afrika Mashariki iliundwa mwaka 1967 na kuvunjika mwaka 1977. Baada
ya hapo ilifufuliwa na utekelezaji wake ulianza rasmi mwaka:
A. 2002 B. 2012 C. 2020 D.2000
14. Makao makuu ya Jumuiya mpya ya Afrika Mashariki yapo wapi? A. Arusha –Tanzania
B. Kampala – Uganda C. Addis Ababa Ethiopia D. Bujumbura – Burundi
15. Tarehe 30/11/1999 waliokuwa viongozi wakuu wa nchi za Afrika Masharki
(Rais wa Kenya, Emilio Mwai Kibaki, Rais wa Uganda Yoeri Kaguta Museveni na
Rais wa Tanzania ________________ walitia saini mkataba wa ushirikiano wa Afrika
Mashariki na hatimae Jumuiya ya Afrika Mashariki ikafufuliwa tena mwaka 2000.
A. John P. Magufuli B. Benjamini W. Mkapa C. Jakaya M. Kikwete D. Samia S. Hassan

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 30


16. Nchi za Burundi na Rwanda zilijiunga na Jumuiya ya Afrika Masharki mwaka 2007
Nchi ya Sudani Kusini ilijiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki mwaka:
A. 2002 B. 2012 C. 2016. D.2000
17. Juuiya ya Afrika Mashariki ina nchi ngapi wanachama kwa sasa? A. 6 B. 9 C. 3 D. 15
18. Jumuiya ya maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika (Southern Africa Development
community - SADC) inaundwa na mataifa mangapi? A. 6 B. 9 C. 3 D.16
19. Jumuiya ya maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika (Southern Africa Development
community - SADC) ilianzishwa mwaka gani? A. 1992. B. 2012 C. 2016. D.2000
20. Baadhi ya vyombo muhimu vinavyosaidia kuendesha Jumuiya ya Afrika Mashariki ni:
A. Bunge na mahakama B. Bunge na spika wa Bunge C. Mahakama na majaji
D. Soko la pamoja na ushuru wa forodha
21. Nchi za kwanza kuanzisha uhusiano na Tanganyika wakati wa ukoloni zilikuwa ni:
A. Rwanda na Burundi B. Kenya na Somalia C. Kenya na Uganda D. Kenya na Rwanda
22. Lengo kuu la mkutano wa Umajumui wa Afrika (Pan -African movement - PAC)
uliofanyika mwaka 1945 katika mji wa Manchester nchini Uingereza lilikuwa ni nini?
A. kuhamasisha watu wa nchi za Afrika kupinga unyonyaji wa mtu mweusi na kudai
uhuru wa nchi za Afrika B. kupinga biashara ya utumwa barani Afrika
C. Kupambana na wakoloni wa kingereza barani Afrika D. kuomba kusitishwa kwa
vita vya kwanza vya dunia
23. Wafuatao ni baadhi ya wasomi waliohudhuria mkutano wa Umajumui wa Afrika
(Pan -African Movement - PAC) uliofanyika mwaka 1945 katika mji wa Manchester
nchini Uingereza isipokuwa:- A. Kwame Nkuruma wa Ghana B. Jomo Kenyatta
wa Kenya C. Kamuzu Banda wa Malawi D. John Pombe Magufuli wa Tanzania
24. Zifuatazo ni sababau za nje za kuanzishwa kwa harakati za kupinga utawala wa
kikoloni isipokuwa:- A. Mkutano wa umajumui wa Afrika (Pan- African Movement-
PAC) B. vita vya Maji maji C. Kurejea kwa wanajeshi wa kiafrika walioshiriki
kwenye vita kuu ya pili ya dunia D. Kuibuka kwa vuguvugu la ushoslisti duniani
uliopinga ukoloni
25. Moja kati ya zifuatazo si sababu za ndani za kuanzishwa kwa harakati za kupinga
utawala wa kikoloni. A. kutaka kujitawala wenyewe na kuondoa utawala wa wakoloni
barani Afrika B. kupinga unyonyaji wa rasilimali za waafrika C. kupinga ubaguzi wa
huduma duni za jamii kwa waafrika D. usaliti baina ya tawala za jadi za kiaarika
26. Tarehe 9 Disemba mwaka 1961 Tanganyika ilipata uhuru wake na Mwalimu Julius
Kambarage Nyerere alichaguliwa kuwa A. rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
B. Waziri Mkuu wa Tanganyika C. Rais wa Tanganyika D. Gavana wa Tanganyika
27. Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa rais wa kwanza wa Jamuhuri ya
Tanganyika mwaka ____________ na raisi wa kwanza wa Jamuhuri ya muungano wa
Tanzania mwaka 1964. A. 1961 B. 1962 C. 1963 D. 1964
28. Moja kati ya zifuatazo si changamoto zilizojitokeza wakati wa kudai uhuru katika
makoloni barani Afrika. A. Umoja imara miongoni mwa jamii za waafrika
B. Uwepo wa idadi kubwa ya vyama vya siasa vya waafrika vilivyopingana wenyewe
kwa wenyewe C. Uwepo wa vibaraka miongoni mwa Waafrika D. uwepo
wa mikakati ya ukoloni mamboleo
29. Mashujaa wetu walifanya kazi kubwa sana ya kudai uhuru wa nchi za Afrika kwa
manufaa ya waafrika wenyewe lakini walikumbana na changamoto nyingi na zifuatazo
ni baadhi ya changamoto hizo isipokuwa:- A. Kukomeshwa na kufungwa kwa vyama
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 31
vya siasa vya waafrika B. Kukosekana kwa hamasa miongoni mwa waafrika C. wasomi
wa kiafrika walikuwa wengi mno D. uwepo wa mikataba ya ukoloni mamboleo
30. Kuna baadhi ya mataifa ambayo yalikuwa makoloni ambayo mazingira yake
hayakuruhusu uhuru kwa njia ya vyama vya siasa na mabadiliko ya katiba badala yake
yalipata uhuru kwa njia ya mtutu wa bunduk.Yapi Kati ya yafuatayo ni mataifa
yaliyopata uhuru wake kwa mtutu wa bunduki? A. Kenya, Afrika Kusini, Namibia,
Angola, Msumbiji na Algeria B. Tanzania, Angola, Uganda Msumbiji na Algeria
C. Ethiopia, Uganda, Rwanda na Algeria D. Tanganyika, Mali, Uganda, na Algeria
31. Licha ya kwamba nchi zote za Afrika ni uhuru, mataifa ya kigeni hutumia mbinu
mbalimbali ili kuendelea kutawala. Zifuatazo ni mbinu za uvamizi wa sasa
zinazotumiwa na mataifa ya kigeni katika kutawala nchi huru za Afrika isipokuwa:-
A. kuweka watawala vibaraka katika mataifa huru ya Afrika ili kuendelea kutawala
B. kushinikiza nchi za kiafrika kuacha kupigana vita C. Kuendelea kumiliki njia za
uchumi na uzalishaji mali katika nchi huru za Afrika D. Kuingiza majeahi ya kigeni
katika ardhi ya Afrika kwa kisingizio cha kulinda amani.

Yafuatayo ni baadhi ya mataifa ya Afrika yaliyopata uhuru wake chini ya vyama


vyao vya siasa na mwaka wa kupata uhuru. Oanisha mataifa na vyama hivyo na
mwaka wa kupata uhuru
FUNGU A JIBU FUNGU B
32. Tanganyika -Tanganyika African Union (TANU) A. 1957
33. Uganda - Uganda People's Congress (UPC) B. 1964
34. Ghana - Convention People's Party (CPP) C. 1961
35. Zambia - United National Independence party (UNIP) D. 1962

Wafuatao ni baadhi ya viongozi waliopigania uhuru katika nchi zao na vyama vyao
vya siasa. Angalia jinala kiongozi kutoka sehemu A kisha chagua chama
alichoongoza kutoka sehemu B
SEHEMU A MAJIBU SEHEMU B
36. Agustino Neto A. African National Congress (ANC)
37. Kwame Nkrumah B. Movement Nationale Congolais (MNC)
38. Samora Machel C. Kenya African National Union (KANU)
39. Nelson Mandela D. FRELIMO
40. Patrice Lumumba E. Tanganyika African National Union (TANU)
41. Jomo Kenyatta F. Convention People’s Party
42. Ahmed Ben Bella G. Movimento Popular de Libertacao de Angola (MPLA)
43. Julius Nyerere H. Front Pour la Liberation Nationale (FNL)

44. Ni rais yupi alichaguliwa katika uchaguzi wa kwanza kabisa ulioshirikisha vyama vingi
vya siasa hapa Tanzania? _________________________________________________
45. Elezea sababu ya makoloni yaliyotawaliwa na Wareno kupata uhuru wao kwa njia ya
vita. i. _________________________________ ii. ____________________________
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 32
JARIBIO LA 13
1. Tendo la kupeleka watu au bidhaa kutoka eneo moja kwenda eneo jingine kwa kutumia
chombo cha usafiri huitwa: A. mawasiliano B. ukoloni C. usafirishaji D. uhusiano
2. Kuna aina tatu za usafirishaji ambao ni usafiri wa: A. ndege, basin a lori B. basi, trini
na meli C. miguu, meli na magari D. nchi kavu, majini na anga
3. Usafiri wa nchi kavu umegawanyika katika sehemu tatu ambazo ni: A. barabara, reli
na mabomba B. miguu, magari na treni C. barabara, reli na majini D. anga,
majini na barabara
4. Ni vyombo vipi vha usafiri kati ya vifuatavyo husafiri kwenye mito, maziwa na
bahari? A. ndege na meli B. meli na jahazi C. treni na meli D. basin a lori
5. Shangazi anataka kusafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar. Unafikiri anaweza
kutumia chombo gani cha usafiri? A. basi au ndege B. teksi au treni C. meli au ndege
D. treni au bajaji
6. Wapioganaji wa chama cha FRELIMO walipata mafunzo ya kijeshi nchini Tanzania
na kufanikiwa kuleta uhuru wa kweli katika nchi ya:
A. Kenya B. Uganda C. Zanzibar D. Msumbiji
7. Katika harakati za kudai uhuru, baadhi ya nchi za Afrika zilipata uhuru kwa njia ya
mapinduzi. Baadhi ya nchi hizo ni: A. Zanzibar na Misri B. Zanzibar na Ethiopia
C. Tanganyika na Zanzibar D. Zanzibar na Uganda
8. Kuna baadhi ya mataifa ambayo yalikuwa makoloni ambayo mazingira yake
hayakuruhusu uhuru kwa njia ya vyama vya siasa na mabadiliko ya katiba badala yake
yalipata uhuru kwa njia ya mtutu wa bunduk.Yapi Kati ya yafuatayo ni mataifa
yaliyopata uhuru wake kwa mtutu wa bunduki? A. Kenya, Afrika Kusini, Namibia,
Angola, Msumbiji na Algeria B. Tanzania, Angola, Uganda Msumbiji na Algeria
C. Ethiopia, Uganda, Rwanda na Algeria D. Tanganyika, Mali, Uganda, na Algeria
9. Mwalimu Julius K. Nyerere aliongoza harakati za kudai uhuru wa Tanganyika akiwa
mwenyekiti wa chama cha: A. CCM B. ASP C. TANU D. TLP
10. _________________ ni hali ya kutoka hatua duni kwenda hatua bora.
A. utamaduni B. desturi C. maendeleo D. usafirishaji
11. Tanzania iliingia katika mfumo wa vyama vingi vya siasa mwaka gani?
A. 1995 B. 1985 C. 1992 D. 1982
12. Tanzania imefanya chaguzi kuu ngapi tangu mfumo wa vyama vingi vya siasa uanze?
A. 3 B. 4 C. 5 D. 6
13. Ni rais yupi alichaguliwa katika uchaguzi wa kwanza kabisa ulioshirikisha vyama
vingi vya siasa hapa Tanzania? A. Julius K. Nyerere B. Ali Hassan
Mwinyi C. Benjamin Williamu Mkapa D. Jakaya Mrisho Kikwete
14. Mchoro unaowakilisha taswira ya nchi au sehemu ya nchi unaochorwa kwenye
karatasi, kipande cha ubao au ardhini kwa vipimo maalumu hujulikana kama:
A. Picha B. fremu C. ramani D. ramani ya takwimu
15. Vitu vyote katika ramani hutafsiriwa katika sehemu ya ramani ijulikanayo kama:
A. ufunguo B. dira C. kipimio D. kichwa cha ramani
16. Ramani ya _____________ ni ramani inayoonesha sura ya asili ya nchi kama bahari,
mito, milima na mabonde pamoja na vitu vilivyojengwa na binadamu kama majengo,
barabara na mazao. A. ramani ya topografia B. ramani ya takwimu
C. ramani ya asili D. ramani ya kisayansi

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 33


17. Ramani ya _____________ ni ramani inayoonesha idadi ya watu au vitu katika eneo
Fulani. A. ramani ya topografia B. ramani ya takwimu C. ramani ya
asili D. ramani ya kisayansi
18. Maumbo ya kwenye ramani yanayowakilisha vitu mbalimbali vilivyomo kwenye
ramani hujulikana kama: A. dira B. ufunguo C. alama D. kipimio
19. Yafuatayo ni matumizi ya ramani isipokuwa: A. kuonesha mahali au sehemu vitu
vilipo B. hutumika kwa shughuli za kijeshi C. hutumiwa na wasafiri, manahodha
na marubani katika kuongoza vyombo vya usafiri D. hutumika kuelezea mila na
desturi za watu wa jamii fulani
20. Janeth alichora ramani ya kijiji chetu ambayo ina kichwa cha ramani, dira fremu na
kipimio. Wewe ukiwa mtaalamu wa ramani ungemshauri aongeze kitu gani ili ramani
hiyo isomeke na kueleweka vizuri? A. rangi B. ufunguo C. ukubwa
wa ramani D. akoleze wino
21. Sehemu ya ramani ambayo hutafsiri na kufafanua alama zote zilizotumoka katika
ramani inaitwa: A. ufunguo B. kipimio C. kichwa cha ramani D. dira
22. Uwiano kati ya umbali uliyopo katika ramani na umbali halisi kwenye ardhi
hujulikana kama: A. ufunguo B. kipimio C. kichwa cha ramani D. dira
23. Sentensi ipi kati ya zifuatazo ni sahihi kuhusu kichwa cha ramani? A. hutafsiri alama
zote zilizotumika kwenye ramani B. huonesha uelekeo C. huonesha mipaka
ya ramani D. hutambulisha eneo ni la mahali gani na inahusu nini
24. Mshale wa dira wakati wote huonesha upande wa:
A. Mashariki B. Magharibi C. Kusini D. Kaskazini
25. Ni aina ipi ya kipimio cha ramani hutumika kuwakilisha maeneo makubwa sana kama
nchi au bara? A. kipimio kikubwa cha ramani B. kipimio cha kati cha ramani
C. Kipimo kidogo cha ramani D. Kipimio cha kati na kikubwa
26. Wanafunzi wa darasa la sita walichora ramani kwa kutumia kipimio hiki cha ramani
1:1,000,000. Wewe kama mtaalamu wa ramani unafikiri tarakilu hizo zinawakilisha
aina gani ya kipimio cha ramani? A. Kipimo kidogo cha ramani B. kipimio cha kati
cha ramani C. kipimio kikubwa cha ramani D. Kipimio cha kati na kikubwa
27. Ni aina gani ya kipimio cha ramani huweza kutumika kuchorea ramani za maeneo ya
miji, mkoa na wilaya? A. kipimio kikubwa cha ramani B. kipimio cha kati cha
ramani C. Kipimo kidogo cha ramani D. Kipimio cha kati na kikubwa cha ramani
28. Ni tarakimu zipi kati ya zifuatazo zinawakilisha kipimio kikubwa cha ramani?
A. 1: 10,000 B. 1:50,000 C. 1: 500,000 D. 1: 1,000,000
29. Ni kipimio kipi cha ramani ambacho hutumika kuchorea ramani za maeneo madogo
kama ramani za majengo, viwanja vya michezo na mashamba?
A. kipimio kikubwa cha ramani B. kipimio cha kati cha ramani C. Kipimo kidogo
cha ramani D. Kipimio cha kati na kikubwa cha ramani
30. Kuna aina _____________ za kipimio cha ramani. A. 6 B. 3 C. 5 D. 4
31. Kuna njia _______ za uwasilishaji wa kipimio cha ramani. A. 2 B. 3 C. 4 D. 5
32. Ni kipimio kipi kimewakiliswa kwa njia ya uwiano? A. Sentimeta moja kwa
kilometa moja B. Sentimeta moja kwa kilomita tano C. 1: 500,000
D.
33. Moja kati ya zifuatazo si njia ya uwasilishaji wa kipimio cha ramani. A.njia ya uwiano
au sehemu B. njia ya sentensi C. njia ya mstari D. njia ya wima
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 34
34. Kama kipimio cha ramani kinasema 1: 50,000 maana yake ni nini?
A. sentimeta 1 kwenye ramani inawakilisha urefu wa sentimeta 50,000 au ½ km
kwenye ardhi B. Sentimeta 50,000 kwenye ramani zinawakilisha sentimeta 1
kwenye ardhi C. kilometa 1 kwenye ramani inawakilisha kilometa 5 kwenye ardhi
D. majibu yote ni sahihi
35. Kitendo cha kupitia ramani ya eneo fulani kwa malengo ya kupata taarifa kulingana na
mahitaji yaliyokusudiwa huitwa: A. kuchora ramani B. kusoma ramani C. kutunza
ramani D. kuandika ramani

Yafuatayo ni mashirika mbalimbali ya umoja wa mataifa ambayo hushukhulika na


kazi tofauti. Oanisha mashirika hayo kutoka fungu A na kazi zake kutoka fungu B

FUNGU A JIBU FUNGU B


36. UNHCR A. Shirika la chakula duniani
37. UNICEF B. Shirika la fedha duniani
38. FAO C. Shirika la umoja wa mataifa linaloshughulikia wakimbizi
39. ILO D. Benki ya dunia
40. WB E. Shirika la kazi duniani
41. IMF F. Shirika la umoja wa mataifa linaloshughulikia watoto

Soma ramani hii kisha jibu maswali yafuatayo.


RAMANI YA KIJIJI CHA MAKUMBUSHO
N

c
A

42. Katika ramani hii kuna vitu ambavyo tunashindwa kuvitambua kutokana na
kukosekana kipengele muhimi sana cha ramani. Kipengele hicho kinachokosekana ni
____________________________________________________________
43. Herufi C inawakilisha nini katioka ramani hii? _______________________
44. Herufi A inawakilisha nini katioka ramani hii? _______________________
45. Ukiwa Msikitini daraja lipo upande gani? ___________________________

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 35


JARIBIO LA 14
1. _________ ni mistari ya kufikirika ya ulalo ambayo huchorwa juu ya uso wa dunia
Kaskazini na Kusini mwa Ikweta.
A. Latitudo B. Longitudo C. Greenwhich D. Meridian
2. _____________ ni mstari ambao huigawa dunia katika vizio viwili vilivyo sawa kizio
cha Kaskazini na kizio vha Kusini. A. Latitudo B. Ikweta C. Longitudo D. Meridian
3. Latitud kuu huitwa: A. Meridian B. Mzingo wa aktiki C. Ikweta D. Greenwhich
4. Latitudo kuu ina nyuzi ngapi? A. 231/2 0 B. 661/20 C. 3600 D. 00
5. Thamani ya nyuzi za mistari ya Latitudo huanza kuhesabiwa kutoka Ikweta na
kuongezeka kadiri unavyoelekea: A. Kaskazini na Kusini B. Mashariki na Magharibi
C. Kaskazini na Magharibi D. Mashariki na Kusini
1 0
6. Latitudo yenye nyuzi 23 /2 Kusini mwa Ikweta hujulikana kama: A. Tropiki ya
Kansa B. Tropiki ya Kaprikoni C. Duara la Aktiki D. Duara la Antaktiki
7. Duara la Aktiki lina nyuzi _____________________________ Kaskazini mwa Ikweta.
A. 231/2 0 B. 1800 C. 661/20 D. 3600
8. _________ ni mistari ya kufikirika ya wima ambayo huchorwa katika uso wa dunia
kutoka ncha ya Kaskazini hadincha ya Kusin.
A. Latitudo B. Longitudo C. Greenwhich D. Meridian
9. Meridian kuu kwa jina lingine inajulikana kama meridian ya:
A. Greenwhich B. Ikweta C. mzingo wa Aktiki D. mzingo wa Antaktiki
10. Meridian kuu ni mstari wa Longitudo wenye nyuzi __________ ambao unachorwa
katikati ya dunia. A. 231/2 0 B. 1800 C. 661/20 D. 00
11. Kwanini meridian kuu pia huitwa Greenwhich? Kwa sababu:
A. umekatisha Ikweta B. ni mrefu kuliko meridian zote C. umepita katika mji maarufu
uitwao Greenwhich huko nchini Uingereza D. upo katika umbo la zigizaga
12. Baada ya longitudo kuu, longotudo nyingine huchorwa kila baada ya nyuzi 15 0
kuelekea _______________________ mwa longitudo kuu. A. Kaskazini na Kusini
B. Mashariki na Magharibi C. Kaskazini na Magharibi D. Mashariki na Kusini
13. Mstari wa kimataifa wa tarehe unaitwaje?
A. Ikweta B. Greenwhich C. Mstarihi D. Meridian
14. Mstari wa kimataifa wa tarehe unafuata longitudo ya ngapi?
0 0 0
A. 60 B. 120 C. 180 D. 3600
15. Dunia hujizungusha kwenye mhimili wake kutoka upande wa:
A. Mashariki B. Magharibi C. Kusini D. Kaskazini
16. Dunia huchukua muda gani kujizungusha nyuzi 3600?
A. masaa 12 B. masaa 24 C. siku 3651/4 D. siku 30
17. Dunia huchukua muda gani kujizungusha 150?
A. saa 1 B. masaa 24 C. masaa 48 D. siku 30
18. Kwa muda wa saa 1 dunia hujizungusha nyuzi ngapi? A. 15 B. 60 C. 90 D. 3600
0 0 0

19. Mtangazaji wa BBC alitangaza kuwa ni saa 11:00 jioni huko London Uingereza
ambako huchukulia majira yake 00. Itakuwa ni saa ngapi katika Mji wa Dar es Salaam
450 Mashariki? A. 9:00 alasiri B. 11:00 asubuhi C. 12:00 jioni D. 2:00 usiku
20. Ikiwa katika mji wa Dodoma unaochukulia majira yake 450 Mashariki ni saa 7:00
mchana itakuwa ni saa ngapi katika mji wa Kigali huko Rwanda 30 0 Mashariki?
A. 5:00 asubuhi B. 9:00 alasiri C. 6:00 mchana D. 8:00 mchana

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 36


21. Tafuta muda katika mji wa Lubumbashi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo nyuzi 30 0
Mashariki ikiwa ni saa 3:00 asubuhi hapa Tanzania 450 Mashariki.
A. 2: 00 asubuhi B. 3:00 asubuhi C. 4:00 asubuhi D. 5:00 asubuhi
0
22. Tafuta muda katika mji wa Moscow Urusi nyuzi 45 Mashariki ikiwa ni saa 10:00 jioni
katika mji wa Damascus Syria 300 Mashariki.
A. 11:00 jioni B. 12:00 jioni C. 1:00 usiku D. 9:00 alasiri
0
23. Tafuta muda katika mji wa Bujumbura Burundi 30 Mashariki ikiwa katika mji wa
Accra uliopitiwa na Meridian kuu ni saa 10:00 jioni.
A. 9:00 alasiri B. 11:00 jioni C. 12: 00 jioni D. 1:00 usiku
0
24. Tafuta muda katika mji wa Lisbon nchini Ureno 0 ikiwa katika mji wa Dar es Salaam
450 Mashariki ni saa 3:00 asubuhi.
A. 12:00 asubuhi B. 1:00 asubuhi C. 5: 00 asubuhi D. 1:00 usiku
0
25. Tafuta muda katika mji A unaochukua majira yake 15 Magharibi ikiwa katika mji wa
Johannesburg 300 Mashariki ni saa 5:00 asubuhi.
A. 1:00 asubuhi B. 2:00 asubuhi C. 3:00 asubuhi D. 4:00 asubuhi
0
26. Ikiwa katika mji X unaochukulia majira yake 30 Magharibi ni saa 2:30 asubuhi
itakuwa ni saa ngapi katika mji wa Addis Ababa 450 Mashariki?
A. 7:30 mchana B. 6:30 mchana C. 6:00 asubuhi D. 12:00 asubuhi
27. Ikiwa mtangazaji wa kituo cha utangazaji cha Sauti ya Amerika (VOA) anasema ni saa
2:00 asubuhi huko Washington – Marekani 750 Magharibi itakuwa ni saa ngapi hapa
Tanzania 450 Mashariki?
A. 5:00 asubuhi B. 10: 00 jioni C. 6:00 mchana D. 11: alfajiri
28. Tafuta muda katika mji wa Greenwhich ikiwa katika mji wa New York 75 0 Magharibi
ni saa 2:00 usiku siku ya Jumapili. A. saa 3:00 usiku siku ya Jumapili
B. saa 5:00 usiku siku ya Jumapili C. saa7:00 usiku siku ya Jumatatu
D. saa 7:00 usiku siku ya Jumapili
29. Tafuta muda katika mji wa Tehrani nchini Irani unaochukulia majira yake katika
longitudo ya 821/2 Mashariki ikiwa katika mji wa Dodoma 450 Mashariki ni saa 4:00
asubuhi. A. 6:00 mchana B. 6:30 mchana C. 1:00 asubuhi D. 2:30 asubuhi
0
30. Ikiwa ni saa 7:00 mchana katika mji wa Dodoma 45 Mashariki na ni saa 5:00 asubuhi
katika mji wa Kinshasa, mji huu wa Kinshasa unachukua majira yake kwenye
longotudo ya ngapi? A. 150 Magharibi B. 300 Mashariki C. 450 Magharibi
D. 150 Mashariki

Jaza nafasi za wazi


31. Mstari wa kimataifa wa tarehe unaitwa _____________________________________
_____________________________________________________________________
32. Mstari wa kimataifa wa tarehe unafuata Longitudo ya ngapi?____________________
_____________________________________________________________________
33. Kwanini mstari wa tarehe, Mstarihi upo katika umbo la zigizaga? _________________
_____________________________________________________________________
34. Ainisha matumizi 2 tu ya mistari ya Latitudo na Longitudo.
i. _________________________________________________________________
ii. _________________________________________________________________

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 37


Soma ramani ya kijiji cha Mtakuja uliyopewa kisha jibu maswali yanayofuata.

35. Kuna madaraja mangapi katika ramani? ________________________________


36. Kuna milima mingapi katika ramani? __________________________________
37. Mto B unamwaga wapi maji yake? ____________________________________

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 38


Soma ramani ifuatayo kisha jibu maswali yanayofuata

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 39


MASWALI
38. Wewe kama mtaalamu wa ramani hiyo ni aina gani ya ramani? __________________
_____________________________________________________________________
39. Toa sababu kutetea jibu lako la swali la 38 hapo juu.___________________________
_____________________________________________________________________
40. Ukiwa Igowole Idete ipo upande gani? ____________________________________
_____________________________________________________________________
41. Wilaya ya Mufindi ina jumla ya hospitali ngapi?______________________________
42. Eleza tofauti iliyopo kati ya Ramani hii na Ramani ya kijiji cha Mtakuja.___________
_____________________________________________________________________

Jaza nafasi za wazi


43. Kuna aina mbili za ramani ambazo ni: i_________________ii____________________
44. Sura ya nchi huoneshwa katika ramani ya aina ya_______________________________
45. Taja sehemu mbili zinazofaa kuchora ramani.
i. ______________________________ ii. _________________________________

JARIBIO LA 15
1. Sayari ya tatu kutoka jua inaitwa ______ A. Zebaki B. Satani C. Dunia D. Sumbula
2. Kama ukitaka kuona kimondo hapa Tanzania lazima utembelee ___________ Mbeya.
A. Mbozi B. Chunya C. Songwe D. Sabasaba
3. Nyota iliyo karibu zaidi duniani kuliko nyota nyingine ni:
A. Jua B. Mwezi C. Jupitan D. Zuhura
4. Robo tatu ya sayari ya dunia imefunikwa na: A. gesi B. mwanga C. maji D. barafu
5. Dunia hujizungusha kwenye mhimili wake kutoka upande wa ______ kuelekea _____
A. Mashariki – Magharibi B. Magharibi – Mashariki C. Kusini – Kaskazini
D. Kaskazini – Magharibi
6. Yafuatayo ni matokeo ya dunia kujizungusha kwenye mhimili wake isipokwa:
A. kutokea kwa usiku na mchana na mabadiliko ya muda kati ya longitudo moja na
nyingine B. kupwa na kujaa kwa maji C. mabadiliko ya uelekeo wa
upepo na mikondo ya bahari D. majira ya mwaka
7. Dunia hutumia muda gani kujizungusha nyuzi 1 ya longitudo?
A. Dakika 4 B. saa 1 C. siku 1 D. mwaka mmoja
8. Dunia hutumia muda gani kujizungusha nyuzi 15 za longitudo? A. Dakika 4
B. saa 1 au dakika 60 C. siku 1 au saa 24 D. mwaka mmoja au miezi 12
9. Kutokea kwa majira ya mwaka na tofauti ya urefu kati ya usiku na mchana ni matokeo ya:
A dunia kujizungusha kwenye mhimili wake B. dunia kulizunguka jua
C. kupatwa kwa jua D. kupatwa kwa mwezi
10. Ni sayari ipi katika mfumo wa Jua ambayo ipo karibu sana na Jua? ______________
A. Zebaki B. Sumbula C. Zuhura D. Kausi
11. Ni sayari ipi katika mfumo wa Jua ambayo ni kubwa kuliko zote? _______________
A. Zebaki B. Sumbula C. Zuhura D. Kausi
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 40
12. Baadhi ya mazao yanayopatikana baharini ni kauri, koa, kombe na:
A. Simbi B. choroko C. tanzanite D. maji ya kunywa
13. Sayari iliyo mbali zaidi kwenye mfumo wa Jua ni ____________________________
A. Dunia B. Kausi C. Sumbula D. Zebak
14. Mfumo wa jua unaundwa na sayari ngap? A. 3 B. 6 C. 8 D. 10
15. Katika mfumo wa Jua, sayari ya kwanza kutoka kwqenye kitovu cha mfumo huo ni ipi?
A. Zebaki B. Dunia C. Kausi D. zuhura
16. Katika mzunguko wa dunia kulizunguka jua tarehe 3 mwezi Januari ya kila mwaka dunia
huwa karibu zaidi na jua. Kipindi hiki hujulikana kama:
A. mzingo wa Aktiki B. kupatwa kwa jua C. Perihelioni D. Afelioni
17. Mabadiliko ya kupwa na kujaa kwa maji hutokea mara mbili _____________________
A. kila siku B. kila mwezi C. kila wiki D. kila mwaka
18. Katika mzunguko wa dunia kulizunguka jua, tarehe 6 mwezi Julai ya kila mwaka dunia
huwa mbali zaidi na jua. Kipindi hiki hujulikana kama:
A. mzingo wa Aktiki B. kupatwa kwa jua C. Perihelioni D. Afelioni
19. Sayari ambayo viumbe hai huishi inaitwa: A. Dunia B. Sumbula C. Zebaki D. Kausi
20. Dunia hujizungusha kwenye mhilili wake nyuzi 360 kwa muda gani?
A. siku 3651/2 au mwaka 1 B. saa 24 au siku 1 C. dakika 60 au saa 1 D. dakika 15
Andika KWELI kama sentensi hiyo ni ya kweli au SIKWELI kama sio sahihi
21. Jua ni nyota ambayo haitembei lakini hutoa mwanga na joto. ______________________
22. Mpangilio wa sayari pamoja na magimba mengine yanayolizunguka jua hujulikana kama
Mfumo wa Jua ___________________________________________________________
23. Jua hutembea kutoka Mashariki kuelekea Magharibi wakati Dunia haitembei. _________
24. Dunia hujizungusha katika mhimili wake kutoka Mashariki kuelekea Magharibi. _______
25. Afelioni ni kipindi ambacho dunia huwa mbali zaidi na jua na hutokea tarehe 6 mwezi
Julai ya kila mwaka. _______________________________________________________

Zifuatazo ni sayari nane zinazounda mfumo wa Jua na sifa zake. Oanisha sayari hizo
kutoka fungu A na sifa zake stshiki kutoka fungu B

FUNGU A JIBU FUNGU B


26. Zebaki A. Sayari iliyo karibu zaidi na jua/ndogo kuliko zote/ yenye obiti
27. Zuhura ndogo kuliko zote
28. Dunia B. Sayari ya pili
29. Mirihi C. Sayari ya tatu katika mfumo wa jua ambayo watu huishi
30. Sumbula D. Sayari ya nne
31. Sarateni E. Sayari kubwa kuliko zote
32. Zohali F. Sayari yenye pete
33. Kausi G. Sayari ya saba
H. Sayari ya nane/yenye obiti kubwa kuliko zote/iliyo mbali zaidi na
jua

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 41


Jaza nafasi za wazi
34. Kwanini nuru ya jua ni kali kuliko nuru ya nyota nyinine? Eleza. _________________
35. Taja mizunguko miwili ya dunia.
i. _______________________________ ii. _______________________________
36. Taja vipindi vinne vya majira ya mwaka. ____________________________________
37. Perihelioni hutokea tarehe ___________________________________ ya kila mwaka.
38. Kitendo cha maji ya bahari yanaposogea mbali na kingo za bahari huitwa:__________
39. Eleza sababu ya kupwa na kujaa kwa maji baharini. ___________________________
_____________________________________________________________________

40. Taja vitu viwili (2) vilivyopo angani ambavyo hutoa mwanga wakati wa usiku.
i. __________________________________ ii ________________________________
41. Zebaki, Dunia, Sumbula, mwezi, asteroid, kometi na jua, vinaitwa _____________
42. Kiini cha mfumo wa jua ni ________________________________________________
43. Sayari hulizunguka jua katika njia yake iitwayo _______________________________
44. Wakati wa kupatwa kwa mwezi, ni gimba lipi huwa katikati ya mengine? ___________
45. Mchoro huo hapo chini unawakilisha tukio gani? ______________________________

JARIBIO LA 16
1. Angani kuna magimba ya aina mbalimbali kama jua, sayari, kometi, asteroid na
mengineyo. Ni magimba yapi ambayo ni vitufe vidogo kuliko sayari vinavyoundwa kwa
miamba migumu ambayo huzunguka jua?
A. Vimondo B. meteori C. kometi D. Asteroidi
2. ________________ ni vitufe vidogo kuliko sayari ambavyo hulizunguka jua ambavyo
vimeundwa kwa barafu zilizogandamana na vumbi na vipande vidogo vidogo vya mawe.
A. Vimondo B. meteori C. kometi D. Asteroidi
3. Asteroidi hupatikana kwenye eneo lijulikanalo kama ukanda wa asteroidi lililopo katikati
ya obiti ya sayari ya Mirihi na obiti ya sayari ya
A. Dunia B. Kausi C. Sumbula D. Zebaki
4. Asteroidi na kometi wakati wa usiku huweza kuonekana zikijongea katika mwendo wa
kasi na kutoa mwanga mkali ambao huzifanya zionekane kama zina mikia. Zikiwa katika
hali hiyo huitwa: A. Vimondo B. meteori C. kometi D. Asteroidi
5. Utando wa blanket unaoifunika dunia ili kuikinga dhidi ya vimondo na magimba
mengine ya angani yasiigonge huitwa:
A. tabaka la Ozoni B. Mizazi ya dunia C. Obito D. mawingu
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 42
6. Jua la utosi hutokea mara mbili kwa mwaka katika eneo gani? A. kwenye Ikweta
B. kwenye tropiki ya Kansa C. kwenye tropiki ya Kaprikoni D. kwenye mzingo wa Aktiki
7. Yafuatayo ni matokeo ya dunia kulizunguka juia isipokuwa:- A. kutokea kwa majira ya
mwaka B. tofauti kati ya urefu wa usiku na urefu wa mchana C. kutokea kwa usiku
na mchana D. Kupatwa kwa jua na kupatwa kwa mwezi.
8. ____________________ ni vipindi au misimu maalumu ya hali ya hewa katika mwaka.
A. Hali ya hewa B. Majira ya mwaka C. Tabianchi D. Mfumo wa jua
9. __________ ni kipindi cha majira ya mwaka yenye baridi kali inayoweza kukausha mazao
kama vile mahindi na maharage. A. Kipupwe B. Vuli C. Kiangazi D. masika
10. Tabaka la gesi mbalimbali linaloizunguka dunia huitwa:
A. gesi B. ozoni C. angatropo D. angahewa
11. Angahewa limegawanyika katika matabaka makuu mangapi kutoka katika uso wa dunia
kuelekea angani? A. 2 B. 3 C. 4 D. 5
12. Ni tabaka lipi la angahewa ambalo binadamu na viumbe wengine wanaishi?
A. angatropo B. angastrato C. angameso D. angajoto
13. Angatropo ni tabaka la angahewa ambalo hupatikana katika kina cha kuanzia kilometa
ngapi? A. km 0 hadi km 10 B. km 10 hadi km 50 C. km 50 hadi km 85 D. kuanzia km 85
14. Ni tabaka lipi la angahewa ambalo lina joto kali zaidi?
A. angatropo B. angastrato C. angameso D. angajoto
15. Ni matabaka yapi ya angahewa ambayo jotoridi hupungua kadiri kina kinavyoongezeka
kutoka katika uso wa dunia? A. angameso na angajoto B. angajoto na angastrato
C. angatropo an gameso D. angastrato na angameso
16. Tabaka la ozoni hupatikana katika tabaka lipi la angahewa?
A. angatropo B. angastrato C. angameso D. angajoto
17. Ni matabaka yapi ya angahewa ambayo jotoridi huongezeka kadiri kina kinavyoongezeka
kutoka katika uso wa dunia? A. angameso na angajoto B. angastrato na
angajoto C. angatropo an gameso D. angastrato na angameso
18. Ndege ndogo na kubwa huruka katika tabaka lipi la angahewa?
A. angastrato B. angajoto C. angameso D. angatropo
19. Ni tabaka lipi la angahewa ambalo hupunguza kiwango cha nyuzijoto 0.6 0 C kwa kila
mita 100 za mwinuko? A. angatropo B. angastrato C. angameso D. angajoto
20. Ni tabaka lipi la angahewa ambalo lina baridi kali?
A. angatropo B. angastrato C. angameso D. angajoto
21. Ni tabaka lipi la angahewa ambalo jotoridi hufikia 2000 0C?
A. angatropo B. angastrato C. angameso D. angajoto
22. Tabaka la ozoni linapatikana katika umbali wa kilomita _______ juu ya uso wa dunia.
A. 20 hadi 30 B. 10 hadi 20 C. 50 hadi 80 D. 10 hadi 50

Jaza nafasi za wazi


23. _________________ unaundwa na Jua, sayari, vimondo, meteori, kometi, asteroidi,
satalaiti, vumbi vumbi la angani na gesi.
24. _____________________ni mpangilio wa sayari nane na magimba mengine yaliyoko
angani yanayolizunguka jua.
25. _______________________ni kitu chochote kinachoelea angani kikilizunguka jua kupitia
njia yake maalumu.
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 43
26. Licha ya sayari nane, yapo magimba mengi angani ambayo ni pamoja na
27. ______________________ni gimba kubwa lenye nuru na joto na lipo katikati ya sayari
zote kwenye mfumo wa jua.

28. Mchoro huo hapo juu unawakilisha nini? ____________________________________


29. Tofauti iliyopo kati ya nyota na sayari ni ipi? _________________________________
30. Kwanini sayari zinaelea tu angani na hazianguki?
31. Jua huwa la utosi kwenye tropiki ya Kansa tarehe ngapi ya mwezi gani kila mwaka?
32. Jua huwa la utosi kwenye tropiki ya Kaprikon tarehe ngapi ya mwezi gani kila mwaka?
______________________________________________________________________
33. Jua huwa la utosi kwenye Ikweta tarehe ngapi ya mwezi gani kila mwaka? __________

Taja faida moja ya matabaka ya angahewa yafuatayo:


34. Angatropo ____________________________________________________________
35. Angastrato ____________________________________________________________
36. Angajoto ____________________________________________________________
37. Tabaka la Ozoni _______________________________________________________
38. Gesi ya ozoni ni molekyuli zenye atomi za: __________________________________
39. Taja gesi 2 zinazoharibu taka la ozoni. ______________________________________
40. Taja vituo vitano vya redio vinavyopatikana nchini Tanzania.
i. _______________________________ ii. _______________________________
41. Toa maana ya TBC na ZBC. ______________________________________________
42. Ni sayari gani yenye pete? ________________________________________________
43. Utando wa blanket unaoifunika dunia ili kuikinga dhidi ya vimondo na magimba
mengine ya angani yasiigonge huitwa: _______________________________________
44. Dunia hujizungusha kwenye mhimili wake kutoka upande wa: ____________________
45. Anga tropo linapatikana kutoka kilometa 0 hadi kilometa ngapi kuelekea juu angani?
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 44
JARIBIO LA 17
1. _________ ni jumla ya watu wanaoishi katika eneo fulani kama kijiji, kata, tarafa, wilaya,
mkoa au nchi katika kipindi fulani.
A. sensa B. makazi C. idadi ya watu D. nyumba
2. Mahali ambapo binadamu huishi na kuanzisha jamii inayoingiliana huitwa:
A. soko B. makazi C. idadi ya watu D. nyumba
3. Kila baada ya kipindi cha miaka kumi serikali hupoteza fedha nyingi sana kwaajili ya
kuandaa mchakato mzima wa sense ya watu na makazi. Wewe kama mtakwimu unafikiri
ni nini umuhimu wa kufanya sense ya watu na makazi kwa nchi ya Tanzania?
A. kujua watu waliofariki kwa kipindi cha miaka kumi iliyopita B. Kujua idadi ya
watoto wanaotakiwa kuanza shule C. Kujua idadi ya wafanyabiashara ili kuwatoza kodi
D. Kujua idadi ya watu kwa umri wao ili kupanga mipango stahiki ya utoaji wa huduma
za kijamii katika nchi
4. Moja kati ya zifuatazo si njia zitumikazo kupata idadi ya watu katika eneo fulani.
A. sensa ya watu na makazi B. usajili wa vizazi na vifo na tafiti C. takwimu za
uhamiaji D. uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani
5. Mchakato wa kukusanya, kuchakata na kutangaza takwimu za idadi ya watu wa eneo
frulani kwa wakati maalumu hujulikana kama:
A. makazi B. sensa ya watu na makazi C. idadi ya watu D. idadi ya makazi
6. Hapa Tanzania sensa ya watu na makazi hufanyika kila baada ya muda gani?
A. miaka 10 B. miaka 5 C. miaka 12 D. miaka 50
7. Kwa mara ya mwisho sensa ya watu na makazi hapa Tanzania ilifanyika mwaka gani?
A. 1995 B. 2000 C. 2022 D. 2012
8. Kwa mujibu wa utaratibu wa sensa ya watu na makazi hapa Tanzania, mwaka gani
inatarajiwa kufanyika sensa ya watu na makazi?
A. 2015 B. 2000 C. 2022 D. 2012
9. Eneo ambalo binadamu wanaishi, kufanya shukhuli mbalimbali na kupata huduma
mbalimbali za kijamii hujulikana kama:
A. sensa B. makazi C. idadi ya watu D. nyumba
10. Moja kati ya ifuatayo si muundo wa makazi ya watu. A. makazi ya mstari B. makazi ya
mtawanyiko au muachano C. makazi ya mkusanyiko D. makazi ya watu na
wanyama
11. Kijiji cha Mlimba majengo yake yamejengwa kufuatisha reli. Wewe kama mtaalamu wa
takwimu ni muundo gani wa makazi huo? A. makazi ya mstari B. makazi ya
mtawanyiko au muachano C. makazi ya mkusanyiko D. makazi ya mjini
12. ______________ ni namna wakazi walivyoenea katika eneo fulani kutokana na sababu
mbalimbali za kijiografia, kisiasa, kihistoria,kiuchumi na kijamii.
A. sensa B. makazi C. mtawanyiko wa watu D. ongezeko la watu
13. Yafuatayo ni mambo yanayoweza kuathiri idadi ya watu katika eneo Fulani isipokuwa:
A. Sensa ya watu na makazi B. idadi ya watoto wanaozaliwa C. vifo D. uhamiaji
14. Hali ya idadi ya watu kuonngezeka kwa kasi huitwa: A. mtawanyiko wa watu
B. ongezeko la watu C. Sensa ya watu na makazi D. makazi ya watu
15. Katika kijiji cha Mahulunga kuna idadi ndogo ya watu. Tunaposema idadi ndogo ya watu
tunamaanisha nini? A. hali ya watu kuwa wengi hivyo kutumia rasilimali ipasavyo
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 45
B. hali ya idadi ya watu kuwa ya kutosha katika eneo Fulani C. hali ya idadi ya
watu kuwa wachache hivyo kushindwa kutumia rasilimali ipasavyo D. hali ya idadi ya
watu kuonekana kupungua katika eneo fulani
16. Miji na majiji mengi hapa nchini yanakua kwa kasi sana. Unafikiri ni sababu zipi
zinazosababisha majiji hayo kukua kwa kasi na kuwa na idadi kubwa ya watu?
A. vifo na uhamiaji B. kuzaliana na vifo C. Watu wengi kuhama mijini na
vifo D. Watu kuzaliana na kuhamia
17. Kijiji cha Tujiandae kimekumbwa na ukame wa muda mrefu kutokana na miti mingi
kukatwa kwaajili ya shughuli ya uvunaji mkaa na shughuli za kilimo. Wanakijijji wa kijiji
hicho huhamia katika kijiji cha Shamba la Mungu ambako kuna rrutuba ya kutosha na
mvua nyingi. Unafikiri ni sababu ya aina gani inayowafanya kuhama katika kijjijji chao?
A. Sababu ya kijiografia B. sababu ya kijjamii C. sababu ya kisiasa D. kiimani
18. Zifuatazo ni rasilimali za asili isipokuwa: A. barabara za lami B. uoto wa asili
C. maji madini na gesi D. mafuta ya petrol
19. Nani ana wajibu wa kulinda rasilimali za taifa hili? A. askari polisi B. walimu
C. watanzania wote D. viongozi wa nchi
20. Ni fursa ipi ya kiuchumi inayotokana na misitu? A. Uzalishaji wa nafaka B. Shughuli
za uvuvi C. Shughuli za uvunaji wa asali D. Uchimbaji wa madini
21. Rasilimali zipi kati ya hizi zifuatazo ni miongoni mwa vivutio vya watalii nchini
Tanzania? A. Madini, ardhi na watu B. Mimea, milima na utawala bora
C. Ardhi, mbuga na fukwe za bahari D. mbuga za wanyama, mlima
Kilimanjaro na fukwe za bahari ya hindi
22. Zipi kati ya zifuatazo ni rasilimali za asili? A. misitu, barabara na majengo ya ghorofa
B. madini, ardhi misitu ya asili na milima C. barabara za lami, nyumba na misitu
D. mito, mabwawa, majengo ya shule na viwanja vya michezo
23. Zifuatazo ni shughuli ambazo huweza kufanywa sehemu za karibu na vyanzo vikubwa
vya maji isipokuwa:- A. Kilimo B. Uvuvi C. urinaji asali D. Usafirishaji
24. Asilimia kubwa ya watanzania ni: A. Wakulima B. Wafanyakazi serikalini
C. wavuvi D. mafundi seremala
25. ______________ ni rasilimali ya asili ambayo huchimbwa ardhini. A. magimbi na
mihogo B. mvua C. asali D. madini
26. Kijiji cha mawenzi kipo kandokando ya bwawa kubwa liitwalo Malingona. Unafikiri ni
fursa zipi zinazoweza kupatikana katika kijiji hicho? A. Usafirishaji wa anga na kilimo
B. kilimo na uvuvi C. biashara ya kuuza maji D. biashara na uwindaji
27. Makundi mawili ya rasilimali ni: A. rasilimali za dukani na rasilimali za shambani
B. rasilimali za asili na rasilimali za kutengenezwa C. rasilimali za dukani na rasilimali za
nyumbani D. rasilimali za kisasa na rasilimali za kiafrika
28. Aina za asili za uoto zinazopatikana hapa Tanzania ni: A. vichaka, mbuga na nyasi
B. vichaka nyasi na misitu C. misitu, mbuga, vichaka na nyasi D. misitu na vichaka
29. Aina mbili za madini yanayopatikana karibu nchi zote za Jumuiya ya Afrika Mashariki ni:
A. Tanzanite na shaba B. Dhahabu na shaba C. Tanzanite na Almasi D. Tanzanite na ulanga
30. Katika kijiji cha Itulavanu kuna ongezeko kubwa sana la watu waliohamia mwaka huu
kutokana na kijiji hiki kuteuliwa kuwa makao makuu ya halmashauri ya wilaya ya
Mufindi. Yafuatayo ni madhara yanayoweza kutokea kutokana na ongezeko hilo la watu
isipokuwa: A. Uharibifu na uchafuzi wa mazingira B. Kukosekana kwa huduma
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 46
za kijamii/kutotosheleza C. Upungufu wa rasilimali na ukosefu wa ajira
D. ongezeko la rasilimali za asili katika kijiji hicho

Jaza nafasi za wazi.


31. Kitendo cha kuhesabu watu wa eneo fulani kama kijiji, kata, tarafa, wilaya, mkoa au nchi
hujulikana kama: _____________________________________________________
32. __________________________________________ ni eneo ambalo binadamu huishi.
33. Kuna aina mbili za makazi ambazo ni: _________________ na _________________

Chunguza picha zifuatazo kisha jibu maswali yahusuyo picha hizo

34. Ni aina gani ya makazi yanayoonekana katika picha hapo juu? __________________
35. Taja shughuli moja ya kiuchumi ambayo ni rafiki na mazingira hayo. ____________
36. Eleza uhusiano uliopo kati ya idadi ya watu na makazi.

Chunguza picha ifuatayo ambayo huonesha muundo wa makazi ya watu kisha jibu
maswali yanayofuata.
MASWALI
37. Ni muundo gani wa makazi
uliooneshwa na picha hiyo?
____________________________
38. Taja mambo mawili yanayoweza
kusababisha kutokea kwa muundo huo
wa makazi ya watu.
_______________________________
39. Kwa utafiti uliofanyika miaka miwili iliyopita inaonesha watanzania wamefikia zaidi ya
milioni hamsini na tano kutoka milioni thelathini na tano ya sense ya watu na makazi ya
mwaka 2002. Unafikiri ni sababu gani zilizopelekea ongezeko kubwa hili la watu?
______________________________________________________________________
40. Vijana wengi wakimaliza masomo yao wanahama kutoka vijijini kuelekea mijini. Ainisha
sababu mbili zinazopelekea vijana kutoka vijijini kuelekea mijini.
41. Vijana wengi wakimaliza masomo yao wanahama kutoka vijijini kuelekea mijini.
Unafikiri nini kifanyike ili vijana hawa wajenge taifa lao wakiwa vijijini kwao?

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 47


MASWALI
42. Taja jina la wanyama wanaoonekana kwenye
picha. __________________________________
43. Watu kutoka ndani ya nchi au mataifa mbalimbali
huja hapa nchini kuangalia wanyama hao
kwenye hifadhi. Watu hao huitwa: ___________
_______________________________________
44. Watu ambao huingia mbugani na kuwaua
wanyama hawa bila ya kibali huitwa: _________
45. Watu wanaowaua wanyama hawa wanachukua
nini kwenye mili wa wanyama hawa?
___________________________________________

JARIBIO LA 18
1. Moja kati ya zifuatazo SIYO maana za ujasiriaamali. A. uwekezaji wa mtaji katika
biashara kwa lengo la kujiajiri na kujipatia kipato B. uwezo binafsi wa mtu wa kubadili
mawazo na kuyaweka katika vitendo C. ni ufanyabiashara mdogomdogo ambao faida
ndogo tu hupatikana D. ujuzi na maarifa ya mtu katika kutumia fursa zilizopo
2. Zifuatazo ni sifa za mjasiriamali isipokuwa: A. ubunifu wa kutumia maarifa na mbinu
tofauti B. uthubutu, bidii, kutokata tama na kujiwekea malengo makubwa C. uaminifu,
kujitegemea, kujituma nauadilifu D. kutunza vizuri nyumbani fedha zote anazozipata
3. Zifuatazo ni aina za wajasiriamali isipokuwa: A. wajasiriamali wafanyabiashara
B. wajasiriamali watumishi C. wajasiriamali jamii D. wajasiriamali wa kati
4. Juma ni kijana mwenye umri wa miaka 25 ambaye ameajiriwa kuchunga ng’ombe wa
shule. Kijana huyu anaonesha tabia za kijasiriamali katika kazi yake. Wewe kama
mtaalamu unafikiri Juma ni mtu wa aina gani? A. Majasiriamali Mfanyabiashara
B. Mjasiriamali Mtumishi C. Mjasiriamali jamii D. Mjasiriamali mdogo
5. Kutokana na sera ya kuendeleza biashara ndogo na za kati Tanzania ya mwaka 2003
ujasiriamali umegawanyika katika makundi mangapi? A. mawili B. matatu C. manne
6. Mafanikio katika biashara hutegemea: A. Jinsi unavyofikiri na kutenda B. Kiasi cha
fedha ulichonacho C. Watu gani ulio na uhusiano nao D. kiwango cha elimu uliyonayo
7. Unapoanzisha mradi wa kufuga kuku lengo kuu ni: A. kupata kuku na mayai B. kupata
kipato kutokana na mradi wako C. kupata samadi kwaajili ya bustani ya mboga
D. kuvutia watalii katika mradi wako
8. Shughuli kuu za uzalishaji mali hapa nchini kabla ya uhuru zilikuwa: A. kilimo, ufugaji na
uvuvi B. viwanda, uchimbaji wa madini na huduma za kibenki C. ufugaji
wa kuku wa mayai, kilimo na utalii D. viwanda na biashara
9. Kazi azifanyazo binadamu ili kumuingizia kipato hujulikana kama:
A. kilimo B. rasilimali C. mali D. shughuli za uzalishaji mali
10. Mazao gani ya biashara yaliolimwa na wakoloni hapa nchini? A. mahindi, karanga
na viazi mbatata B. pareto, chai na maharage C. mkonge, pareto, pamba na chai
D. maharage, pareto, pamba na viazi vitamu
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 48
11. Mashirika ya umma yana mashamba makubwa ya kufugia mifugo. Mashamba haya
huitwa: A. isteti B. ranchi C. migodi D. Bustani
12. Mikoa ambayo ina ranchi za taifa ni: A. Dodoma, Tanga na Pwani B. Iringa, Njombe na
Rukwa C. Kilimanjaro, Morogoro na Iringa D. Lindi na Shinyanga
13. Aina za mazao yanayoendelea kulimwa na wawekezaji hapa nchini ni pamoja na:
A. pamba na mkonge B. chai na tumbaku C. kahawa na maharage D. tumbaku
14. Mzee Chihungi alikuwa ni mvuvi mashuhuri katika mkoa wa Tanga kabla ya ukoloni.
Unafikiri ni vifaa gani kati ya hivi alivitumia? A. mgono, jarife, ndoana na upindo
B. ndoana, meli na upindo C. upinde, bunduki na baruti D. nyavu, bunduki na ndoana
15. Yafuatayo ni maeneo hapa Tanzania ambayo yana ranchi za kitaifa isipokuwa:
A. Kongwa mkoani Dodoma B. Handeni mkoani Tnga C. Ruvu mkoani
Pwani D. Isimila mkoani Iringa
16. Kila mtu maishani anatamani kuwa na mafanikio makubwa. Ili mtu aweze kufanikiwa
inategemea: A. kuungwa mkono na ndugu zake B. yeye mwenyewe kujitambua na
kutumia fursa zinazomzunguka. C. kupata misaada kutoka serikalini D. kiwango cha elimu
17. Ili kupata fursa ya kibiashara, ni lazima kuwe na watu wenye __________wa kununua
bidhaa au huduma unayoitoa. A. wivu B. uwezo C. uhitaji na uwezo D. uangalizi
18. Ili kuongeza kipato na kufaidi matunda ya ujasiriamali ni vyema: A. kufanya kazi kwa
mazoea B. kufanya kazi kwa bidii C. kuomba msaada wa Mungu D. kuwa mkali
19. Katika kijiji cha Mahulunga kuna kampuni ya kutengeneza sabuni na dawa za kutoa
madoa kwenye nguo. Kiwanda hicho kimewekeza mtaji wa shilingi milioni mia moja
kununua mitambo na vifaa na kina wafanyakazi 35. Je, kampuni hiyo ipo katika kundi lipi
la ujasiriamali? A. Ujasiriamali biashara mdogo mdogo B. Ujasiriamali biashara mdogo
C. Ujasiriamali biashara wa kati D. Ujasiriamali biashara mkubwa
20. Zifuatazo ni faida za kuwa mjasiriamali isipokuwa: A. kupata mali yako wewe
mwenyewe, kulipa kodi kwa serikali na kupunguza umasikini B. kujiajiri mwenyewe
kuliko kuajiriwa C. kutatua changamoto katika jamii D. kukosa ajira serikalini
21. Kiasi cha fedha ulizotumia ili kuanzisha mradi hujulikana kama:
A. faida B. mradi C. mtaji D. hasara
22. Kijiji cha Tiamaji ni soko kuu la uuzaji na ununuzi wa mbao wilayani Mufindi. Soko hili
limeajiri vijana wengi kufanya kazi za kupanga na kupakia mbao kwenye malori. Vijana
hawa wanahitaji mahitaji mbalimbali ikiwemo chakula. Licha ya wakinamama wengi
kupika wali na pilau kwenye eneo hilo, vijana wengi huenda katika kijiji jirani cha
Ilengititu kula ugali. Wewe kama mtaalamu unafikiri ni kitu gani wanakosea wakinamama
hawa na kufanya vijana waende Ilengititu?
A. wanapima kipimo kidogo B. wanapika chakula kibichi C. wanauza chakula kwa
bei ya ghali D. hawatambui mahitaji ya wateja
23. Juma anatamani kufungua biashara ya kuuza nguo za wakina mama lakini hana mtaji wa
kutosha kuanzisha biashara hiyo. Zifuatazo ni njia za kutatua changamoto hiyo
isipokuwa: A. kushirikiana na watu wenye mytaji lakini hawana wazo la biashara hiyo
B. kuanzisha biashara zisizohitaji mtaji mkubwa kasha kukusanya fedha kukamilisha
lengo lake C. kuachana na wazo la biashara D. kupata mikopo kutoka taasisi za kifedha
24. _______________________ ni picha ya mambo au vitu inayomjia mtu akilini mwake.
A. maono B. taswira C. usingizi D. mali

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 49


25. _______________ ni ubunifu unaofanywa na mtu au watu katika kuzitambua fursa
zilizopo na kuzitumia kwa kuunda, kutangaza na kuendesha biashara mabazo mara nyingi
huwa ni biashara ndogo ili kujipatia kipato.
A. ufugaji B. ujasiriamali C. utalii D. ubunifu
26. ____________________ ni shughuli inayohusisha uuzaji n ununuaji wa bidhaa au
huduma hujulikana kama: A. ufugaji B. ujasiriamali C. biashara D. ubunifu

Yafuatayo ni makundi ya ujasiriamali na sifa zake. Oanisha makundi hayo ya


ujasiriamali kutoka fungu A na sifa zake kutoka fungu B

FUNGU A JIBU FUNGU B

27. Ujasiriamali biashara mdogo mdogo A. Wafanyakazi kati ya 50 hadi 99 na


mtaji wa kuanzia milioni 200 hadi 800
28. Ujasiriamali biashara mdogo B. Wafanyakazi 100 na zaidi na mtaji wa
zaidi ya milioni 800
29. Ujasiriamali biashara wa kati
C. Wafanyakazi wasiozidi 4 na mtaji
usizidi milioni tano
30. Ujasiriamali biashara mkubwa
D. Wafanyakazi 5 hadi 49 na mtaji wa
kuanzia milioni 5 hadi milioni 200

Jaza nafasi za wazi


31. Watu wengi katika mazingira tunayoishi hufanya biashara zinazofanana. Ukipewa nafasi
ya kuwashauri utawaeleza nini? Eleza. ________________________________________
32. Taja faida 2 za kutunza kumbukumbu sahihi za fedha kwa mjasiriamali biashara.
________________________________________________________________________
33. Taja hasara 2 anazoweza kuzipata mjasiriamali biashara kwa kutoyafahamu mahitaji ya
wateja wake. _____________________________________________________________
34. Kwa kutumia mifano, eleza maana ya vibali vya biashara. _________________________
35. Taja njia 2 zisizo halali katika ujasiriamali zinazotumiwa na baadhi ya wajasiriamali.
________________________________________________________________________

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 50


Chunguza picha ifuatayo kisha jibu swali yanayofuata
MASWALI
36. Picha hiyo inaonyesha rasilimali muhimu sana
katika taifa letu. Rasilimali hiyo inaitwaje?
_____________________________________
37. Rasilimali hiyo ipo katika mkoa gani?
_____________________________________
38. Watu wanaotoka ndani na nje ya nchi kuja
kuiona rasilimali hiyo hapo juu wanaitwaje?
_____________________________________
39. Taja faida moja tu ambayo nchi ya Tanzania
inaipata kutokana na rasilimali hiyo.
_____________________________________
40. Ni fursa gani ambayo watu wanaoishi karibu
na rasilimali hiyo wanaipata? _____________

41. Mali alizonazo mtu, jamii au taifa hujulikana kama ______________________________


42. Shughuli ya uzalishaji mali inayohusu kubadilishana bidhaa kwa bidhaa au bidhaa kwa
pesa hujulikana kama ____________________________________________________
43. Taja aina mbili za utalii. i. _________________________ ii. _____________________
44. _____________ ni uhusiano wa viumbe na mazingira yao pamoja na viumbe wengine.
45. Taja faida mbili za kilimo katika jamii yako. i. _______________ ii. ______________

JARIBIO LA 19
1. Jumuiya ya Afrika Mashariki ni jumuiya ya ukanda wa kiuchumi inayoundwa na nchi
ngapi? A. 3 B. 6 C. 9 D. 15
2. Jumuiya ya Afrika Mashariki ni jumuiya ya ukanda wa kiuchumi ambapo nchi
wanachama hujishughulisha na shughuli mbalimbali ikiwemo viwanda. Malighafi
zinazotumika katika viwanda zinatoka katika: A. nchi ya Uchina B. Marekani
C. Tanzania D. mazao ya kilimo, ufugaji na rasilimali za asilili
3. Ni nchi ipi mwanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki ambayo ina eneo kubwa zaidi
na idadi kubwa ya watu? A. Tanzania B. Kenya C. Uganda D. Rwanda
4. Yafuatayo ni madhara yanayoweza kusababishwa na shughuli za utalii hapa Tanzania
isipokuwa: A. Maambukizi ya magonjwa B. Mmomonyoko wa maadili ya kitanzania
C. ongezeko la fedha za kigeni hapa nchini D. kuharibiwa kwa utamaduni wetu
5. _____________________ ni aina ya nguo kama shuka ambayo hutumiwa na wavuvi
kuvulia dagaa au samaki wadogo. A. Ndoana B. jahazi C. Upindo D. jarife
6. Moja kati ya zifuatazo si faida ya kutumia pembejeo za kisasa katika kilimo. A. gharama
kubwa za uendeshaji wa kilimo B. Uwezo wa kulima shamba kubwa zaidi C. Mavuno
kuwa mengi D. Hurahisisha kazi na hutumia muda mfupi

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 51


7. Ili viwanda viweze kizalisha bidhaa nzuri na kwa wingi vinahitaji mambo ya msingi
yafuatayo isipokuwa: A. Malighafi B. nishati C. wataalamu D. eneo kubwa
8. ____________________ ni shughuli inayohusisha uuzaji n ununuaji wa bidhaa au
huduma hujulikana kama: A. ufugaji B. ujasiriamali C. biashara D. ubunifu

Yafuatayo ni baadhi ya madini na mahali yanakopatikana nchini Tanzania. Oanisha


madini kutoka kifungu A na mahali yanakopatikana kutoka kifungu B
FUNGU A MAJIBU FUNGU B
9. Dhahabu A. Mwadui Mkoani Shinyanga
10. Bati B. Songwe, Kiwira mkoani Mbeya na Mchuchuma mkoani Njombe
11. Almasi C. Mpanda mkoani Katavi
12. Tanzanite D. Geiata , Kahama mkoani shinyanga, Chunya mkoani Mbeya,
13. Makaa ya mawe Mpanda mkoani katavi, Amani mkoani Tanga, Sekenke na
14. Rubi Manyoni mkoani Singida
15. Chumvi E. Manyoni mkoani Singida, Bahi mkoani Dodoma na Namtumbo
16. Chuma mkoani Ruvuma
17. Chokaa F. Karagwe mkoani Kagera
18. Shaba G. Chunya mkoani Mbeya, Kilwa mkoani Lindi na Tanga
19. Ulanga H. Mererani mkoani Manyara
20. Urani I. Ulanga mkoani Morogoro
J. Mahenge na Kilosa mkoani Morogoro
K. Liganga mkoani njombe, Mbeya, Milima ya Uluguru mkoani
Morogoro na Mbabara karibu na ziwa Tanganyika
L. Uvinza mkoani Kigoma na Mwambao wa bahari ya Hindi

Chunguza picha ifuatayo kisha utajibu maswali yanayofuata


MASWALI
21. Taja shughuli ya kiuchumi inayofanyika
hapo juu _________________________
22. Taja mazao mawili yatokanayo na shughuli
hiyo hapo juu. _____________________
_________________________________
23. Huyo mtu anaayeonekana kwenye picha
kabila lake chakua chao kikuu ni: _______
__________________________________
24. Ni athari ipi ya kimazingira hutokea endapo
mifugo hiyo itakuwa mingi katika eneo dogo?
___________________________________
___________________________________
Jaza nafasi za wazi
25. Tofauti na matunizi ya nyumbani, maji hutumika kwa shughuli gani nyingine yakiwa
nje ya chanzo cha maji?
i. __________________________________ ii _________________________________
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 52
26. Taja njia mbili za kudhibiti athari za ufugaji usiofaa.
27. Taja shughuli kuu 2 za kiuchumi katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
28. Ni hatua zipi ambazo nchi ya Tanzania imechukua kuhakikisha rasilimali yake ya
madini ya Tanzanite hayatorishwi? ________________________________________
29. Orodhesha maeneo mawili ambayo watu wanaweza kutembelea nchini Tanzania ili
kujifunza kuhusu historia ya kale.
30. Orodhesha maeneo mawili ambayo watu wanaweza kutembelea nchini Tanzania ili
kujifunza mwonekano wa sura ya nchi.
31. Orodhesha maeneo mawili ambayo watu wanaweza kutembelea nchini Tanzania ili
kujifunza kuhusu wanyama pori.
32. Eleza kwa kifupi nini kifanyike ili kilimo kiwe bora zaidi. ______________________
33. Taja rasilimali 2 za asili zinazopatikana ardhini_______________________________
34. Taja njia unazoweza kuzitumia kutunza rasilimali ardhi.
35. Watu ni rasilimali muhimu sana katika eneo lolote. Taja faida mbili za rasilimali watu
katika eneo unaloishi. ___________________________________________________
36. Taja njia tatu za uchukuzi zinazotumiwa na wajasiriamali katika kusafurisha bidhaa
zao. __________________________________________________________________
37. Eleza maana ya neno TBS _______________________________________________
38. Eleza maana ya neno TRA _______________________________________________
39. Eleza maana ya neno TCRA ______________________________________________
40. Eleza maana ya neno TRL _______________________________________________
41. Eleza maana ya neno SUMATRA _________________________________________
42. Eleza maana ya kuchotara kwa bidhaa.______________________________________
43. Taja aina mbili za utalii. i. ________________________ ii. _____________________
44. _____________ ni uhusiano wa viumbe na mazingira yao pamoja na viumbe wengine.
45. Taja faida mbili za kilimo katika jamii yako. i. _______________ ii. ______________

JARIBIO LA 20
1. Wanafunzi wa darasa la sita walikuwa wakijadiliana kuhusu faida zitokanazo na upepo.
Majibu yao yalikuwa haya yafuatayo isipokuwa: A. upepo husababisha mvua
kunyesha B. upepo huendesha mitambo ya kufua umeme C. upepo husaidia kukausha
vitu kama mazao na nguo D. upepo huchavusha maua ya mimea
E. upepo huzuia takataka kuzagaa kwenye mazingira
2. Tanzania ni nchi iliyobarikiwa rasilimali nyingi sana ikiwemo gesi asilia, ardhi yenye
rutuba na madini mbalimbali kama dhahabu, shaba na tanzanite. Madini ya Tanzanite
hapa Tanzania hupatikana wapi? A. Mererani Mkoani Manyara B. Mwadui mkoani
Shinyanga C. Mbozi mkoani Songwe D. Handeni mkoani Tanga E. Kilolo mkoani Iringa
3. Mwalimu alituambia tutaje shughuli zinazofanywa na binadamu zinazoweza kuharibu
mazingira. Mimi nilitaja moja tu ambayo ni: A. uchimbaji wa madini B. ufugaji wa ndani
C. urejelezaji. D. upandani miti E. ukusanyaji takataka

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 53


4. Juma, Salumu, Paulo na Neema wana mtaji wa shilingi milioni nne na wamepanga
kuanzisha biashara. Unafikiri wapo katika kundi gani la ujasiriamali biashara?
A.ujasiriamali biashara mdogo mdogo B. ujasiriamali biashara mdogo C. ujasiriamali
biashara wa kati D. ujasiriamali biashara mkubwa E. ujasiriamali biashara wenye tija
5. Mdogo wako amekuomba umwambie umuhimu wa utamaduni katika jamii zetu za
kitanzania. Katika majibu yako lipi sio sahihi kati ya haya yafuatayo?
A. Kulinda rasilimali za taifa B. Kudumisha umoja wa kitaifa C. kudumisha ushirikiano
katika jamii D. Kulitambulisha taifa letu E. kufanya mchakato wa kupata viongozi
katika kila kabila
6. Utawala wa Waingereza dhidi ya jamii za Watanganyika ulianza mwaka 1918 baada ya
tukio gani? A. vita vya kwanza vya dunia B. vita vya pili vya dunia C. mkutano wa
Berlin D. mkataba wa Heligoland E. kukomeshwa kwa biashara ya watumwa
7. Ufugaji wa wanyama mbalimbali ni shughuli ambayo ina faida nyingi sana kwa jamii za
kitanzania. Zifuatazo ni baadhi ya faida hizo isipokuwa: A. kutupatia Malighafi ya bidhaa
mbalimbali B. kutupatia nyama C. hutupatia samadi D. kuongezeka kwa gesi ya
kaboni dayoksaidi E. kutupatia fedha
8. Mkataba wa Heligoland wa mwaka 1890 ulifanyika kati ya serikali za mataifa ya
Uingerteza na ___ A.Tanganyika B. Marekani C. Ufaransa D.Ujerumani E. Uarabuni
9. Mambo yanayofanyika mara kwa mara au kila siku katika jamii Fulani hujulikana kama
_______________________ A Mila B. Sanaa C. Utamaduni D. Miiko E. Desturi
10. Nchi za kwanza kuanzisha uhusiano na Tanganyika wakati wa ukoloni ni: A. Kenya na
Uganda B. Rwanda na Burundi C. Ujerumani na Kenya D. Uingereza na Msumbiji
E. Marekani na China
11. Vita vya Maji Maji vilivyopiganwa mwaka 1905 hadi 1907 vilihusisha makabila
yafuatayo isipokuwa: A. wahehe B. wabena C. wayao D. wangoni E. wangindo
12. Ni kiongozi yupi kati ya wafuatao aliitisha mkutano wa Berlin? A. Karl Petters
B. kansela Otto von Bismark C. dokta Leakey D. Kinjekitile Ngwale
E. Chifu Mkwawa
13. Umoja wa Afrika (African Union – AU) ni jumuiya iliyodhamiria kutekeleza malengo
yake katika misingi ya amani na usalama. Umoja huu uliundwa mwaka gani?
A. 1958 B. 2002 C. 1905 D. 1977 E. 2012
14. Katika jitihada za ukombozi wa nchi mbalimbali barani Afrika, vyama mbalimbali
vilianzishwa. Chama cha ukombozi Tanganyika ni kipi kati ya vifuatavyo? _________
A. ASP B. ZPPP C. UTP D. TANU E. CCM
15. Ardhi ni rasilimali ambayo isipotunzwa vizuri inaweza kusababisha hatari katika maisha
ya viumbe hai na rasilimali nyingine. Ipi ni njia bora itakayotumika kutunza rasilimali
hiyo kati ya zifuatazo? ______ A. Kuongeza idadi ya wakulima mashambani B.
Kuhimiza wafugaji kutumia eneo dogo kufuga mifugo mingi C. Kuhimiza wafugaji
kuongeza idadi ya mifugo D. Kuwahimiza wananchi kutumia mbolea za viwandani
E. Kuhimiza upandaji miti katika maeneo ya wazi
16. Mwalimu Nyerere alikuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kuanzia mwaka: A.
1961 B. 1964 C. 1962 D. 1985. E. 1992

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 54


17. Mwalimu wetu alitufundisha matukio mbalimbali ya kihistoria katika nchi yetu.
Mojawapo kati ya hayo ni kuvumbuliwa kwa fuvu la binadamu wa kale huko _ mkoani
Arusha. A. Kondoa B. Bagamoyo C. bonde la Olduvai D. Mererani E. Ruaha
18. Baadhi ya sehemu zinazotumika kutunza kumbukumbu za kihistoria hapa Tanzania ni
A. makumbusho na maktaba B. gulioni C. katika vitabu vya dini
D. mahakamani E. Baharini
19. Mwalimu Chihungi alifundisha kuhusu shughuli ya kilimo cha mazao ya biashara
kilichofanywa Tanganyika kabla ya uhuru. Je, wanafunzi walibaini mazao yapi ya
biashara? A. Korosho, maharage, mkonge na pareto B. Mahindi, kahawa, chai na
pareto C. Kahawa, pareto, mkonge na chai D. Zabibu, kahawa, chai na
maharage E. Pareto, korosho, chai na mahindi
20. Ni muhimu ________ takataka za viwandani ili kutunza mazingira A. Kutupa ovyo
B. Kuficha C. Kufukia D. Kurejeleza E. Kuhifadhi
21. Mtaalamu wa mazingira aliwaeleza wananchi wa kijiji cha Songambele kuacha kukata
miti na kuchoma mkaa kandokando ya mto Chiungutwa ili kuzuia madhara kwa jamii
inayouzunguka mto huo. Je, ni madhara gani yanasababishwa na shughuli za ukataji miti
ovyo pembeni mwa mto huo? _________ A. Ukosefu wa maji viwandani
B. Uchafuzi wa hewa C. Ardhi kupoteza rutuba D. Kukauka kwa
vyanzo vya maji E. Kupungua kwa uvuvi
22. Vifuatavyo ni baadhi ya vyombo muhimu vinavyosaidia kuendesha Jumuiya ya Afrika
Mashariki. A. bunge na spika wa Bunge B. bunge na mahakama C. mahakama na
majaji D. soko la pamoja na ushuru wa forodha E. maraisi na wafanyabiashara
23. Uvuvi haramu kama kutumia baruti ni hatari kwa vile huharibu: A. miundombinu
B. chakula C. mazalia ya samaki D. rutuba ya ardhi E. rasilimali ya misitu
24. Baada ya mkutano wa Berlin mwaka 1886, Tanganyika ilikuwa chini ya utawala wa:
A. Waingereza B. waarabu C. wafaransa D. wareno E. wajerumani
25. Historia ya ukombozi wa Tanganyika ilianza na vyama vya ustawi wa wafanyakazi kama
vile TTACSA mwaka 1922 kilichobadilishwa kuwa TAA mwaka 1929 na baadae kuwa
TANU mwaka 1954. Je, ni kwa nini TAA ilibadilishwa kuwa chama cha TANU mwaka
1954? A. Kuwaunganisha watu wote katika kudai uhuru B. Kuwa chama cha kisiasa kwa
ajili ya wafanyakazi tu C. Kuwaunganisha watu wote kupigana vita vya ukombozi
D. Kuunganisha vyama vyote vya siasa katika harakati za ukombozi
E. Kuwa chama cha kutetea ustawi wa wakulima
26. Umepewa jukumu la kutoa mafunzo kwa wanakijiji wa Kijiji cha Juhudi juu ya fursa
mbalimbali za kibiashara ambazo zinaweza kufanyika katika vipindi mbalimbali vya
mwaka. Je, ungewashauri kufanya biashara ya kuuza miavuli katika kipindi gani?
A. Wakati wa Kiangazi B. Wakatiwa Kipupwe C. Wakati wa Vuli
D. Wakati wa Masika E. Wakati wa Baridi
27. Rehema anataka msaada wako kumwezesha kujibu swali kuhusu dhana ya “utamaduni”.
Je, ni vielelezo vipi vya utamaduni utakavyompa Rehema ili aweze kuielewa vizuri dhana
hiyo? ________ A. Lugha, mila na tohara B. Mila, desturi na miiko
C. Mila, desturi na lugha D. Tohara, mila na desturi E. Lugha, mila na
makumbusho
28. Mnamo robo ya mwisho ya karne ya 19, Mataifa ya Ulaya yaligombea maeneo ya Afrika
kwasababu walitaka A. malighafi, masoko, wafanyakazi na sehemu ya kuweka vitega
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 55
uchumi B. kueneza dini ya Kikristo C. Kuchimba madini ya Tanzanaiti kule Mererani
D. kuja kuuona mlima Kilimanjaro E. kuja kufungua shule za kibiashara
29. Ngoma za asili, uchongaji, uchoraji na maigizo ya jadi ni miongoni mwa mambo ya
kitamaduni yanayovutia watalii. Ni neno gani lifaalo kwa vipengele hivi vya utamaduni?
A. Mila B. Sanaa C. Michezo D. Lugha E. Miiko
30. Mimi ni mbunifu, mwenye uthubutu na ninajituma katika kutimiza malengo yangu. Je,
mimi ni nani? _____________ A. Mjasiriamali B. Mtu mwenye ujuzi
C. Mfanyabiashara D. Mnunuzi E. Muuzaji
31. Watu wanaovaa viatu vyenye visigino virefu mara nyingi hupatwa na tatizo la _______
A. maumivu ya misuli B. kuumwa kichwa C. maumivu ya goti
D. maumivu ya tumbo E. maumivu ya vidole
32. ____________ni muhimu kuzingatia katika kufua sare za shule. A. kutenganisha nguo
za rangi na nyeupe B. kukamua sana C. kupiga pasi D. kutumia sabuni ya
unga E. kunyoosha
33. Sanaa za maonesho zinahusisha fani zote isipokuwa:
A. uimbaji B. ngonjera C. upishi D. maigizo E. uchongaji
34. Bitana ni kifaa kinachotumika; A. kuweka pasi B. kufungia viatu C. kuchomekwa
ndani ya viatu D. kuunganisha kitambaa E. kuchorea herufi
35. Maji yaliyochanganywa na chumvi yanafaa kuondoa madoa yenye: A. asili ya matope
B. asili ya wanyama C. asili ya vyakula D. asili ya kemikali E. asili ya uchache
36. Ni sayari ipi katika mfumo wa Jua ambayo ipo karibu sana na Jua?
A. Zebaki B. Sumbula C. Zuhura D. Kausi E. Mirihi
37. Ni njia gani inaweza kutumika ili kuwezesha shughuli za kilimo kufanyika wakati wote
bila kutegemea mvua? A. upepo B. umwagiliaji C. kilimo
cha matuta D. kilimo mseto E. kilimo cha kuhamahama
38. Moja ya sababu zilizowafanya Wajerumani kuvamia Tanganyika ilikuwa: __________
A. Kueneza Dini ya Kiislamu B. upendo wa wajerumani kwa watanzania C. kutafuta
masoko ya bidhaa zao D. kuimarisha misingi ya uzalendo E. kueneza Ukristo
39. Rasilimali ipi kati ya hizi zifuatazo ni miongoni mwa vivutio vya watalii nchini Tanzania?
A. Madini B. Mimea C. Ardhi D. mbuga za wanyama E. hali ya hewa
40. Mama Dorini alimuagiza Dorini kwenda kabatini kuchukua unga wangano kiasi, chumvi,
nyama na mafuta. Unafikiri alipika chakula kipi kati ya hivi vifuatavyo?
A. chapati B. pilau C. ugali D. sambusa E. maandazi

Jaza nafasi za wazi


41. Dunia inafanya mizunguko miwili kwa wakati mmoja. Taja mizunguko hiyo ya dunia.
i. ________________________________ ii _______________________________
42. Wafanya biashara wa jamii za Ulaya na Asia walitufanya jamii za watu wa Pwani ya
Afrika Mashariki kuwa ni wajinga sana kwani walituletea bangili, sahani, bilauri na
shanga ambavyo vina thamani ndogo sana na kubadilishana na sisi bidhaa zenye thamani
kubwa kabisa. Taja bidhaa mbili walizochukua kutoka kwetu.
i. __________________________________ ii. _________________________________
43. Kwa kutumia mchoro, eleza ni namna gani Mwezi unavyokuwa umepatwa. ___________
44. Zanzibar ilipata uhuru wake mwaka 1964 kutoka mikononi mwa ___________________
45. Taja vipengele viwili tu vya hali ya hewa. i. __________________ ii. ________________
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 56
JARIBIO LA 21
1. Kuna aina mbili za majanga. Majanga ya asili na majanga yanayosababishwa na
binadamu. Lipi kati ya majanga yafuatayo husababishwa na binadamu?
A. Kimbunga B. Tetemeko la ardhi C. Vita D. Milipuko ya volcano
2. Binadamu aligundua moto katika zama zipi za mawe? A. zama za Kati za mawe
B. zama za Mwisho C. zama za Mwanzo D. Zama za chuma za mawe
3. Josephine anataka kuchora ramani ya bara la Afrika kuonesha sura ya nchi. Wewe kama
mtaalamu wa ramani utamshauri atumie aina ipi ya kipimio cha ramani? A. kipimio
kidogo B. Kipimio kikubwa C. kipimio cha mstari D. kipimio cha kati
4. Eneo kubwa la ardhi lililojaa miti mikubwa na midogo hujulikana kama:
A. Jangwa B. msitu C. kichuguu D. kichaka
5. Ushirikiano ni kitu muhimu sana katika maisha yetu. Moja ya faida za kuwa na
ushirikiano katika jamii ni: A. kujenga uadui B. hujenga umoja na mshikamano
C. kuibua migogoro D. kuandaa kizazi kisicho na maadili
6. Dunia ipo kati ya sayari zipi katika mfumo wa jua A. Sarateni na Sumbula B. Zebaki na
Zohari C. Mihiri na Zebaki D. Zuhura na Mirihi
7. Kama mtaalamu wa mambo ya hali ya hewa unayeishi katika kijiji cha kunduchi.
Ni kifaa gani utawashauri wanafunzi wa shule ya msingi Mibata ambao walipewa kazi ya
kupima kiasi cha jotoridi katika shule yao?
A. Themometa B. kipima mwelekeo wa upepo C. Anomometer D. Haigrometa
8. Zifuatazo ni njia za kukabiliana na athari za shughuli za kilimo katika mazingira
isipokuwa: A. kilimo cha matuta ya kukingama B. kilimo mseto C. kilimo cha
kuhamahama D. kilimo cha kubadilisha mazao E. matumizi ya mbolea za samadi
9. Kijiji cha Twilumba kina ukame na mchanga ambapo hakuna mimea iliyoota eneo hilo.
Jina gani ni sahihi tukiite kijiji cha Twilumba? A. Mafichoni B. bustani C. kichaka D. jangwa
10. Wanakijiji wa kijiji cha Malengamelu wanafuga mifugo mingi katika eneo dogo. Nini
kinaweza kutokea katika kijiji hicho kati ya yafuatayo? A. Mifugo kunenepa B. Wafugaji
kuchoka C. Mmomonyoko wa udongo D. Kuongezeka kwa mvua
11. Joseph alitaka kupata taarifa kuhusu matukio ya kihistoria ya nchi yetu. Unafikiri ni
mahali gani angeweza kwenda ili lengo lake litimie? A. Maabara B. mbuga
za wanyama C. makumbusho D. ikulu
12. Tanganyika ilipata uhuru wake mwaka 1961 kutoka mikononi mwa:
A. Wajerumani B. Waingereza C. Waarabu D. Wareno
13. Reli ya kati inayoanzia Dar es Salaam hadi Kigoma nchini Tanzania ilijengwa mwaka
1905 kwa lengo la kusafirisha malighafi wakati wa ukoloni. Je ni wakoloni wa taifa gani
lilijenga reli hiyo ? A. Waingereza B. Wajerumani C. Wachina D. Wareno
14. Ni shujaa yupi ambaye alipinga uvamizi ukanda wa Magharibi na alivyoona anakaribia
kukamatwa na Wajerumani akajilipua yeye na familia yake kwa kutumia baruti? A. Isike
Mwana Kiyungi B. Hassan Bin Omari Makunganya C. Mirambo D. Mtwa Mkwawa
15. Wafuatao ni magavana wa Uingereza hapa Tanganyika isipokuwa: A. Donald
Kameroon B. Horace Byatt C. Julius Von Soden D. Richard Turnbul
16. Adela hutumwa na baba yake kununua vitu vya nyumbani kila jumapili. Baba yake mara
nyingine hamuamini Monalisa akimwambia kwamba hakuna kiasi chochote cha fedha
kinachobakia. Je utamshauri Monalisa ampe nini baba yake ili amuamini?
A. bajeti B. Risiti C.Mawasiliano D. Fedha taslimu
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 57
17. Moja kati ya zifuatazo si maana za ujasiriaamali. A. uwekezaji wa mtaji katika biashara
kwa lengo la kujiajiri na kujipatia kipato B. uwezo binafsi wa mtu wa kubadili mawazo
na kuyaweka katika vitendo C. ni ufanyabiashara mdogomdogo ambao faida ndogo tu
hupatikana D. ujuzi na maarifa ya mtu katika kutumia fursa zilizopo E. Uwezo na
maarifa ya mtu kutumia fursa zilizopo
18. Katika mzunguko wa dunia kulizunguka jua tarehe 3 mwezi Januari ya kila mwaka
dunia huwa karibu zaidi na jua. Kipindi hiki hujulikana kama:
A. mzingo wa Aktiki B. kupatwa kwa jua C. Perihelioni D. Afelioni
19. Tanzania ni mwanachama wa Jumuiya za ushirikiano wa kimataifa zifuatazo,
isipokuwa? A. EAC B. SADC C. AU D. COMESA
20. Kuna wataalamu wengi wa akiolojia duniani. Ni mwana akiolojia gani aligundua fuvu la
mtu wa kale kwenye bonde la Oldvai Gorge mwaka 1959?
A. Vasco Da Gama B. Dr. Lowis Leakey C. Emil Von Zelewisky D. Carl peters
21. Tanzania ni nchi yenye makabila zaidi ya 120 yenye aina mbalimbali za ngoma za asili.
Kundi lipi kati ya yafuatayo huonesha ngoma za asili za Tanzania? A. Mganda,
mdumange, taarabu na rege B. Akasimbo, lizombe, iringi na zeze C. Hiphop, regge,
taarabu na RMB D. Mdundiko, iringi kihoda na bugobogobo
22. Ikiwa katika mji wa Pangani uliopo usawa wa bahari kiwango cha joto ni 3 00C, tafuta
kiwango cha joto katika mji wa Korogwe uliopo katika mwinuko wa mita 1500 kutoka
usawa wa bahari. A. 21 0C B. 29 0C C. 0.60C D. 25 0C
23. Latitudo ni mistari inayochorwa kwenye ramani kuonesha mahali mbalimbali kwenye
ramani ambayo hupita kuanzia Magharibi kuelekea Mashariki. Latitudo pekee
inayotengeneza mduara mkubwa katika dunia ni:
A. Ikweta B. Tropiki ya kansa C. Tropic ya kaprikoni D. Greenwich
24. Chukulia mfano umekutana na watu kutoka Canada wanataka kutembelea eneo nchini
Tanzania ambalo kuna michoro ya binadamu wa kale mapangoni. Ni sehemu ipi
utawashauri watembelee? A. Isimila Iringa B. Olduvai gorge Arusha
C. Mombasa Kenya D. Kondoa irangi mkoani Dodoma
25. Tanzania ilitawaliwa na mataifa mbalimbali kutoka Ulaya kama vile Uingereza na
Ujerumani. Ipi kati ya Nyanja zifuatazo ilikuwa ni nyanja kuu ya uchumi wa kikoloni
nchini Tanganyika na Zanzibar? A. Viwanda B. Biashara C. Madini D. Kilimo
26. Dunia inapokuwa katikati ya Jua na mwezi, tukio hili hujulikana kama A. kupwa na
kujaa kwa maji baharini B. Kupatwa kwa jua C. kupatwa kwa
mwezi D. dunia kujizungusha kwenye mhimili wake
27. Inasadikika kuwa bindamu alianza shughuli za Ufugaji wa wanyama miaka mingi
iliyopita. Mnyama wa kwanza kufugwa na binadamu alikuwa ni:
A. Ng’ombe B. paka C. mbwa D. mbuzi
28. Tabia ya nchi ya Tanzania inaweza kuathiriwa na sababu mbalimbali kama sehemu
nyingine za dunia. Ipi kati ya zifuatazo si sababu ya kuathiri tabia ya nchi ya Tanzania?
A. Umbali kutoka baharini B. Sura ya nchi na uoto wa asili C. Latitudo D. Longitudo
29. Soko kuu la watumwa Afrika ya Mashariki lilikuwa wapi?
A. Bagamoyo B. Mombasa C. Kilwa D. Zanzibar
30. Ipi kati ya zifuatazo ni shughuli inayosababisha ongezeko la joto duniani?
A. Matumizi ya Fuel za kisukuku B. Kupanda miti C. Kutumia biogesi
(Gesi vunde) D. Kutumia nishati ya jua
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 58
31. Maigizo, nyimbo na filamu ni mifano ya aina gani ya sanaa? A. Sanaa ghibu B. Sanaa za
ufundi C. Sanaa zisizoonekana D. Sanaa za maonyesho
32. Ni kabila lipi hapa Tanzania husifika kwa kuchonga vinyago?
A. Wahehe B. wangoni C. wamakonde D. wapare
33. Moja ya mbinu iliyotumika kudhoofisha teknolojia ya Afrika wakati wa ukoloni ni:
A. Kufundisha masomo ya sayansi B. Kuanzisha viwanda vya kisasa katika Afrika
C. Kubinafsisha viwanda vya Afrika D. Kuleta bidhaa za viwandani kutoka ulaya
34. Kipindi kipi ni kirefu zaidi kati ya hivi? A. milenia B. mwaka C. muongo D. karne
35. Nani aligundua moto katika kipindi cha zama za mawe za kati?
A. Primate B. Homo erectus C. Homo habilis D. Homo sapiens
36. Karl Peters alikuwa ni wakala wa kikoloni aliyewashawishi viongozi wa kimila kusaini
mikataba ya kilaghai ili kuifanya Tanganyika kuwa koloni la:
A. Wareno B. Wajerumani C. Waingerez D. Wafaransa
37. Jua huonekana kuwa kubwa kuliko nyota zote kwa sababu: A. Lina joto kali zaidi ya
nyota zingine B. Linang’aa zaidi ya nyota zingine C. Lipo mbali sana na Dunia
D. Lipo karibu zaidi na Dunia
38. Mji mkongwe kuliko yote katika Pwani ya Afrika Mashariki ni:
A. Bagamoyo B. Mombasa C. Tanga D. Dar es Salaam
39. Ili kwaya ikamilike inahitaji sauti. Je kuna aina ngapi za sauti katika uimbaji wa kwaya?
A. Tano B. Mbili C. Nne D. Tatu
40. Mfanyabiashara maarufu wa Kijerumani aliyesaini mkataba wa kilaghai na Chifu
Mangungo wa Msovero aliitwa: A. William Maknnon B. Karl Peters
C. David Livingstone D.Vasco da Gama

JAZA NAFASI ZA WAZI


41. Yusufu, Isabela na Joshua ni watanzania wanaofanya kazi katika Halmashauri ya
manispaa ya Iringa ambao wamepanga kutembelea hifadhi ya taifa ya Serengeti mwezi
Disemba. Ni aina gani ya utalii watafanya? _____________________________________
42. Wakoloni walipokuja hapa Afrika walifikia moja kwa moja kwenye maeneo walioyahitaji
kwasababu kabla ya kuja wao kulikuwa na watangulizi wao ambao waliwapatia taarifa
kuhusu maeneo waliokuwa wanayahitaji. Taja makundi mawili tu ya watangulizi wa
wakoloni. i. ______________________________ ii. ___________________________
43. Taja matukio mawili ya kihistoria yaliyotokea nchini Tanzania mwaka 2021. i ____ ii ___
44. Upepo hupimwa kwa kutumia vifaa viwili ambavyo ni kipimaupepo na anemometa. Taja
matumizi ya vifaa hivyo. i. Anemometa _____________ii. kipimaupepo _____________
45. Andika njia sahihi inayotumika katika kuandaa vyakula vifuatavyo:
a. Mikate ____________________________ b. Uji ___________________________

JATIBIO LA 22
1. Wanakijiji wa kijiji cha Ilengititu wanafuga mifugo mingi katika eneo dogo. Nini
kinaweza kutokea katika kijiji hicho kati ya yafuatayo? A. Mifugo kunenepa B. Wafugaji
kuchoka C. Mmomonyoko wa udongo D. Kuongezeka kwa mvua
2. Watanzania huadhimisha sikukuu mbalimbali kila mwaka zikiwemo za kisiasa na za
kidini. Kati ya matukio yafuatayo ni lipi huanza kuadhimishwa kila mwaka? A. kifo cha
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 59
baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere B. muungano wa Tanganyika na
Zanzibar C. Uhuru wa Tanganyika D. sikukuu ya wafanyakazi
3. Binadamu alianza kutengeneza mavazi kutokana na magome ya miti na ngozi za
wanyama katika kipindi gani? A. Zama za mawe za mwanzo B. Zama za mawe za kati
C. Zama za chuma D. Zama za mawe za mwish
4. Ni kiumbe yupi ni msababishi na mharibifu mkubwa wa mazingira?
A. nyani B. tembo C. panya D. binadamu
Ardhi ni rasilimali muhimu sana ambayo inahifadhi viumbe haina rasilimali nyingine.
Zifuatazo ni njia za kutunza rasilimali ardhi isipokuwa: A. Kupanda miti B. Uvunaji
endelevu wa misitu C. Matuta na kilimo cha kubadilisha mazao D. Matumizi ya
mbolea za viwandani shambani
5. Janeth alichora ramani ya kijiji chetu ambayo ina kichwa cha ramani, dira fremu na
kipimio lakini tumeshindwa kuisoma ramani hiyo. Wewe ukiwa mtaalamu wa ramani
ungemshauri aongeze kitu gani ili ramani hiyo isomeke na kueleweka vizuri?
A. rangi B. ufunguo C. ukubwa wa ramani D. akoleze
6. Watanzania hupenda kucheza ngoma mbalimbali katika matukio tofauti. Ngoma ya
Akasimbo huchezwa na kabila gani ?
A. Wamakonde B. Wazaramo C. Wamasai D. Wahaya
7. Wafuatao ni raisi na makamu wa raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania waliofariki
katika awamu tofauti wakiwa bado wapo madarakani. A. Mwalimu Julius K. Nyerere
na Edward Moringe Sokoine B. John Magufuli na Benjamini W. mkapa
C. Mwalimu Julius K. Nyerere na John P. Magufuli
D. John P. Magufuli na Omari Ali Juma E. Magufuli na Omari Ali Juma
8. Mzee Chihungi alikuwa ni mvuvi mashuhuri katika mkoa wa Tanga kabla ya ukoloni.
Unafikiri ni vifaa gani kati ya hivi alivitumia? A. mgono, jarife, ndoana na upind
B. ndoana, meli na upindo C. upinde, bunduki na baruti D. nyavu, bunduki na ndoana
9. Vita vya Maji maji ni moja kati ya vita muhimu sana katika kumbukumbu za Tanganyika.
Vita hii ilianzishwa na watu wa makabila mbalimbali ya kusini mwa Tanganyika kupinga
uvamizi wa wajerumani. Je ni nani aliyekuwa kiongozi wa vita hiyo ? A. Mtemi Isike
B. Mtwa Mkwawa C. Mtemi Mirambo D. Kinjekitile Ngwale
10. Mfumo wa vyama vingi vya siasa nchini Tanzania ulianza mwaka 1992, Uchaguzi wa
vyama vingi vya siasa nchini Tanzania ulifanyika mwaka 1995. Ni Rais yupi alichaguliwa
mwaka huo miongoni mwa maraisi wafuatao? A. Mwalimu J. K. Nyerere B. Jakaya
Mrisho Kikwete C. Ali Hassan Mwinyi D. Benjamin William Mkapa
11. Joseph alitaka kupata taarifa kuhusu matukio ya kihistoria ya nchi yetu. Unafikiri ni
mahali gani angeweza kwenda ili lengo lake litimie?
A. Maabari B. mbuga za wanyama C. makumbusho D. ikulu
12. Kijiji cha Ulete kinakabiliwa na janga la maporomoko mara kwa mara. Unafikiri ni njia
ipi kati ya zifuatazo wanapaswa kuitumia wanakijiji ili kukabili janga hilo?
A. kupanda miti B. kukata miti mikubwa C. kuhama eneo hilo D. kutambikia mizimu
13. Mistari ya kubuni inayochorwa kwenye ramani kutoka Magharibi kuelekea mashariki
huitwa. A. Longitudo B. Latitudo C. Ikweta D. Meridian
14. Reli ya kati inayoanzia Dar es Salaam hadi Kigoma nchini Tanzania ilijengwa mwaka
1905 kwa lengo la kusafirisha malighafi wakati wa ukoloni. Je ni taifa gani lilijenga reli
hiyo ? A. Waingereza B. Wajerumani C. Wachina D. Wareno
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 60
15. Monalisa hutumwa na baba yake kununua vitu vya nyumbani kila jumapili. Baba yake
mara nyingine hamuamini Monalisa akimwambia kwamba hakuna kiasi chochote cha
fedha kinachobakia. Je utamshauri Monalisa ampe nini baba yake ili amuamini?
A. bajeti B. Risiti C.Mawasiliano D. Fedha taslimu
16. Moto umegunduliwa katika zama zipi? A. zama za mawe za kati B. zama za chuma
C. zama za mawe za mwisho D. zama za teknolojia ya kisasa na digitali
17. Lipi kati ya yafuatayo si maendeleo yaliyofikiwa na binadamu katika kipindi cha zama za
mawe za mwisho? A. kuanzisha makazi ya kudumu B. ufugaji wa wanyama na ndege
C. kuanza kilimo cha mazao ya chakula D. kutembea kwa miguu na mikono
18. Ni jumuiya ipi kati ya zifuatazo ilitangulia kuundwa? A. Umoja wa Afrika (African
Union- AU) B. Umoja wa nchi huru za Afrika (Organization of Africa unity-
OAU) C. Jumuiya ya Afrika Mashariki (East Africa Community- EAC) ya sasa
D. Ushirikiano wa kiuchumi wan chi za Afrika ya Magharibi ECOWAS
19. Bwana Maregesi alijaribu kulima zao la kahawa katika mkoa wa Pwani. Licha ya mvua za
kutosha zinazonyesha katika mkoa huo lakini zao hilo halikustawi. Unafikiri ni kwanini?
A. uwepo wa baridi kali B. uwepo wa joto kali C. uwepo wa rutuba nyingi
D. ukosefu wa mvua
20. Tabianchi ya eneo lolote kwenye uso wa dunia huathiriwa na mambo yafuatayo
isipokuwa:- A. Latitudo ya eneo hilo B. Mwinuko kutoka usawa wa bahari
C. Sura ya nchi D. kupwa na kujaa kwa bahari
21. Zifuatazo ni mbinu za kukabiliana na ukame isipokuwa: A. Kilimo cha umwagiliaji
B. Kupanda mazao yanayostahamili ukame C. kuhamasisha wakulima kuacha kilimo
ili kujishughulisha na shughuli nyingine D. Kupanda mazao yanayokomaa kwa muda mfupi
22. Bwana Rahatupu anaishi na mkewe, watoto wawili na ndugu wengine katika kijiji cha
Mabondeni. Hii ni familia ya aina gani? A. familia ya awali B. familia pana
C. familia ya mzazi mmoja D. familia ya mume na mke
23. Ni shujaa yupi ambaye alipinga uvamizi ukanda wa Magharibi na alivyoona anakaribia
kukamatwa na Wajerumani akajilipua yeye na familia yake kwa kutumia baruti?
A. Isike Mwana Kiyungi B. Mtwa Mkwawa C. Mirambo D. Chifu Mangungo
24. Wareno walifika Pwani ya Afrika Mashariki mwaka 1498 wakiongozwa na kiongozi wao:
A. Vasco Da Gama B. Daktari Livingstone C. William Macknoon D.Karl Petters
25. Mkutano wa Berlin ni mkutano uliojumuisha mataifa ya kibeberu kwa lengo la kugawana
makoloni barani Afrika. Mkutano huu uliitishwa na nani? A. Karl Peters
B. Vasco Da Gama C. Kansela Otto von Bismark D. umoja wa mataifa
26. Baada ya mkutano wa Berlin mwaka 1886, Tanganyika ilikuwa chini ya utawala wa:
A. Waingereza B. waarabu C. wafaransa D. wajerumani
27. Uvamizi wa wakoloni katika bara la Afrika ulianza miaka ya 1870. Hii ni karne ya ngapi?
A. karne ya 18 B. karne ya 19 C. karne ya 187 D. karne ya 1870
28. Mkataba uliofanyika mwaka 1890 kati ya serikali ya Uingereza na Ujerumani wenye
madhumini ya kurekebisha mipaka ya mwaka 1886 ulijulikana kama: A. mkataba wa
Hamaton B. mkataba wa freire C. mkataba wa Berlin D. mkataba wa Heligoland
29. Wafuatao ni magavana wa Uingereza hapa Tanganyika isipokuwa: A. Donald Kameroon
B. Horace Byatt C. Edward Twining D. Julius Von Soden
30. Juma anatamani kufungua biashara ya kuuza nguo za wakina mama lakini hana mtaji wa
kutosha kuanzisha biashara hiyo. Zifuatazo ni njia za kutatua changamoto hiyo
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 61
isipokuwa: A. kushirikiana na watu wenye mytaji lakini hawana wazo la biashara hiyo
B. kuanzisha biashara zisizohitaji mtaji mkubwa kasha kukusanya fedha kukamilisha
lengo lake C. kuachana na wazo la biashara D. kupata mikopo kutoka taasisi za kifedha
31. Utawala wa Waingereza dhidi ya jamii za Watanganyika ulianza mwaka 1918 baada ya
tukio gani? A. vita vya kwanza vya dunia B. vita vya pili vya dunia
C. mkutano wa Berlin D. mkataba wa Heligoland
32. Kuna njia mbalimbali za kupika chakula. Bainisha njia sahihi za kupika chakula kwa
kutumia joto kavu katika njia zifuatazo: A. kukaanga na kuoka B. kuoka na kubanika
C. kuchemsha na kukaanga D. kupika na kukaanga E. kuchemsha na kubanika
33. Moja kati ya zifuatazo SIYO maana za ujasiriaamali. A. uwekezaji wa mtaji katika
biashara kwa lengo la kujiajiri na kujipatia kipato B. uwezo binafsi wa mtu wa kubadili
mawazo na kuyaweka katika vitendo C. ni ufanyabiashara mdogomdogo ambao faida
ndogo tu hupatikana D. ujuzi na maarifa ya mtu katika kutumia fursa zilizopo
34. Katika mzunguko wa dunia kulizunguka jua, tarehe 6 mwezi Julai ya kila mwaka dunia
huwa mbali zaidi na jua. Kipindi hiki hujulikana kama: A. mzingo wa Aktiki
B. kupatwa kwa jua C. Perihelioni D. Afelioni
35. Baada ya uhuru wa Tanganyika mwaka 1961, nchi hii iliongozwa na Mwalimu Julius. K.
Nyerere kama____________ hadi mwaka 1962 ilipokuwa jamhuri.
A. Raisi B. liwali C. makamu wa raisi D. waziri mkuu
36. ___________ ni sehemu ya kumbukumbu za historia ambayo masalia ya zana za mawe za
kale ziligunduliwa. A. olduvai Gorge B. Engaruka C. Kondoa D. Isimila mkoani Iringa
37. Mwalimu aliwauliza wanafunzi wake Uvuvi haramu ni hatari kwa vile huharibu:
A. miundombinu B. mazalia ya samaki C. chakula D. maliasili
38. Utunzaji wa kumbukumbu za kihistoria husaidia __ A. kufahamu mambo yaliyopita,
yaliyopo na yajayo B. kufahamu mambo yaliyopo C. kuboresha mambo ya kale
D. kufahamu mambo yajayo
39. Ni chombo kipi hutumika kupima mwendo kasi wa upepo A. kipima upepo
B. haigrometa C. anemometa D. kipima mvua
40. Moja ya malengo ya Elimu ya Kikoloni ilikuwa ni A. kupambana dhidi ya ujinga na
umasikini B. kupunguza uzalishaji wa maeneo ya biashara C. kupata watumishi
wa ngazi ya chini D. kupanua ajira kwa vijana

JAZA NAFASI ZA WAZI


41. Tanganyika ilitawaliwa na wakoloni wa kijerumani na baadae waingereza hadi kupata
uhuru. Kiongozi mkuu wa koloni katika utawala wa Wajerumani na Waingereza
alijulikana kwa jina la ______________________________________________________
42. Ili viwanda viweze kizalisha bidhaa nzuri na kwa wingi vinahitaji nishati ya uhakika,
__________________________________ na ___________________________________
43. Kwanini nuru ya jua ni kali kuliko nuru ya nyota nyinine? Eleza. ___________________
________________________________________________________________________
44. Taja aina kuu mbili za taka: i _________________________ ii_____________________
45. Tafuta muda katika mji wa Dodoma 450 Mashariki, ikiwa ni saa 11:00 jioni huko London
Uingereza 00. _________________________________________________________

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 62


JARIBIO LA 23
1. Wanakijiji wa kijiji cha Malangali wanafuga wanyama wengi katika eneo dogo. Nini
kinaweza kutokea katika kijiji hicho kati ya yafuatayo? A. Mifugo kunenepa B. Wafugaji
kuchoka C. Mmomonyoko wa udongo D. Kuongezeka kwa
2. Eneo lipi kati ya maeneo yafuatayo gesi asilia inapatikana?
A. Kilwa B. Madaba C. Songo songo D. Mchinga
3. Binadamu alianza kutengeneza mavazi kutokana na magome ya miti na ngozi za
wanyama katika kipindi gani? A. Zama za mawe za mwanzo B. Zama za
mawe za kati C. Zama za chuma D. Zama za mawe za mwiso
4. Tsumani ni neno la Kijapani linalomaanisha wimbi kubwa la bahari lililosababishwa na
tetemeko la ardhi katika sakafu ya bahari, pia huwa na madhara makubwa kwa viumbe
hai. Je lipi kati ya yafuatayo sio athari ya Tsumani? A.Vifo vya binadamu B. Uharibifu
wa makazi ya watu C. Uchafuzi wa mazingira D. Kuharibu uoto wa asili
5. Kati ya vifaa vifuatavyo, kipi hutumika kupima tetemeko la ardhi?
A. Seismografi B. Barometa C. Anemometa D. Rikta skeli
6. Umoja wa mataifa una mashirika mbalimbali yanayoshughulikia masuala ya maendeleo.
Kati ya mashirika yafuatayo ni Shirika lipi linashughulika masuala ya fedha duniani?
A. UNHCR B. WHO C. UNICEF D. IMF
7. Hivi karibuni, Tanzania imechukua hatua zipi kuzuia uchafuzi na uharibifu wa
mazingira? A. Kuzuia utengenezwaji na utumiaji wa mifuko ya plastiki
B. Kuhamasisha utumiaji wa kuni C. Kutumia mashimo ya taka D. Ukataji wa misitu
8. Katika mji wa Maji mazuri ilinyesha mvua kubwa sana iliyosababisha mmomonyoko wa
udongo. Ukiwa kama mkazi wa mji wa Maji mazuri, utatumia njia gani kudhibiti
mmomonyoko wa udongo ? A. Kujenga nyumba imara kwenye mabonde
B. Kupanda miti na nyasi C. Kuchoma misitu D. Kufuga wanyama wengi
9. Tanganyika ilipata uhuru mwaka 1961 chini ya chama cha TANU, katika harakati za
kupigania uhuru wa Tanganyika TANU ilipata upinzani kutoka katika vyama
mbalimbali. Kipi kati ya vyama vifuatavyo kilipinga harakati za chama cha TANU ?
A. UDB B. NRA C.TAA D. UTP
10. Jumla ya mali alizonazo mtu, jamii au Taifa huitwa:
A. Ujasiriamali B. Mali Asili C. Rasilimali D. Ukata
11. Ipi kati ya njia zifuatazo ni njia sahihi ya kukabiliana na janga la moto?
A. Kutumia moto wakati wa kurina asali B. Kutumia vifaa vya kuzimia moto
vilivyothibitishwa kwa ubora C. Kwa kukimbia D. Kuwasha moto kwa kutumia petrol
12. Katika kipindi cha biashara ya utumwa Afrika Mashariki, moja kati ya mfanya
biashara maarufu wa utumwa mwenye jina la utani TIPPU TIPU jina lake halisi
alikuwa akiitwa:. A. Hamed Bin Muhammed E . M urjebi B. Mussa Nzuri
C . Rashid bin Mohamed D . Said bin Majid
13. Gavana wa Kiingereza aliyeanzisha Baraza la Kutunga Sheria Tanganyika mwaka 1926
aliitwa A. Donald Cameroon B. Harace Byatt C. Richard Turnbull D. Julius Von Soden
14. Mwalimu J.K. Nyerere alikuwa Rais wa kwanza wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania. Je ni mwaka gani Mwalimu J.K. Nyerere aling’atuka madarakani?
A. 1964 B. 1980 C. 1973 D.1985

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 63


15. Ujiuji wa moto unaotokana na kuyeyuka kwa miamba kwa sababu ya joto kali chini ya
ardhi kabla ya kutokea kwenye uso wa dunia na kupoa unaitwaje?
A. Lava B. mlipuko C. nyufa D. Magma
16. Vita vya Maji maji ni moja kati ya vita muhimu sana katika kumbukumbu za
Tanganyika. Vita hii ilianzishwa na watu wa makabila mbalimbali ya kusini mwa
Tanganyika kupinga uvamizi wa wajerumani. Je ni nani aliyekuwa kiongozi wa vita
hiyo ? A. Mtemi Isike B. Mtwa Mkwawa C. Mtemi Mirambo D. Kinjekitile Ngwale
17. Tanzania ni mwanachama wa Jumuiya za ushirikiano wa kimataifa zifuatazo,
isipokuwa? A. EAC B. SADC C. AU D. UN E. COMESA
18. Jua la utosi linaloonekana kwenye Tropiki ya Kaprikoni tarehe 22 Disemba kila mwaka
kusini mwa Dunia hujulikana kama kipindi gani?
A. Kipupwe B. Kiangazi C. Usiku na Mchana ni sawa D. Vuli
19. Mfumo wa vyama vingi vya siasa nchini Tanzania ulianza mwaka 1992, Uchaguzi wa
vyama vingi vya siasa nchini Tanzania ulifanyika mwaka 1995. Ni Rais yupi
alichaguliwa mwaka huo miongoni mwa marais wafuatao ? A. Mwalimu J.K. Nyerere
B. Jakaya Mrisho Kikwete C. Ali Hassan Mwinyi D. Benjamin William Mkapa
20. Ikiwa ni saa 3:00 asubuhi katika Mji “A” unaopatikana Longitudo 300 Mashariki, itakuwa
saa ngapi katika Mji “C” ulioko Longitudo 900 Mashariki? A. saa
12:00 jioni B. saa 6:00 mchana C. saa 7:00 mchana D. saa 1:00 usiku
21. Kipimio cha ramani kinaweza kuoneshwa kwa njia tatu, ambazo ni?
A. Kikubwa, cha kati na kidogo B. Kipimio, dira na ufungo C.Uwiano,
mstari na sentensi D. Uwiano, sentensi na mita
22. Kuna aina nyingi za madini yanayopatikana Tanzania. Ni madini yapi ambayo ni chanzo
cha nishati ya nyukilia?
A. Makaa ya mawe B. Uraniam C. Kopa D. Almasi
23. Mgawanyo wa bonde la ufa katika Afrika mashariki limegawanyika katika sehemu
mbili na kuunda tawi la mashariki na magharibi. Mgawanyo huu unaanzia ziwa:
A. Victoria B. Nyasa C. Natroni D. Kyoga
24. Tanzania ni nchi iliyopakana na bahari ya Hindi katika upande wa Mashariki. Pia
imebarikiwa kuwa na mito na maziwa. Je ni shughuli gani kuu ya kiuchumi inaweza
kufanywa na watu wanaoishi maeneo yenye rasilimali hizo?
A. Ufugaji B. Uchimbaji wa madini D. Uwindaji D. Uvuvi
25. Mistari ya kubuni inayochorwa kwenye ramani kutoka Magharibi kuelekea mashariki
huitwa. A. Longitudo B. Latitudo C. Ikweta D. Meridian
26. Nchi za Afrika zilitembelewa na watangulizi tofauti tofauti wa kikoloni. Watangulizi wa
kwanza wa kikoloni Zanzibar na Tanganyika walikuwa:
A. Wafanyabiashara B. Wamisionari C. Wapelelezi D. Walowezi
27. Kuna njia nyingi katika uanzishaji wa biashara. Ipi ni njia nzuri ya kuanzisha biashara
kati ya hizi zifuatazo A. Maandalizi na mipango mizuri ya biashara zako B. Kuiga
mikakati ya biashara kutoka kwa majirani C. Kuhusisha ndugu katika biashara
zako D. Kuhusisha marafiki zako kwa maamuzi ya biashara
28. Kuna aina mbalimbali za milima, Je milima ifuatayo Udzungwa, Usambara, Upare,
Ruwenzori na Uluguru ipo katika aina gani ya milima? A. Milima mikunjo
B. Milima volkano C.Milima residio D. Milima tofari

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 64


29. Kuna aina mbili za majanga. Majanga ya asili na majanga yanayosababishwa na
binadamu. Lipi kati ya majanga yafuatayo husababishwa na binadamu? A. Kimbunga
B. Tetemeko la ardhi C. Vita D. Milipuko ya volkano
30. Reli ya kati inayoanzia Dar es Salaam hadi Kigoma nchini Tanzania ilijengwa mwaka
1905 kwa lengo la kusafirisha malighafi wakati wa ukoloni. Je ni taifa gani lilijenga reli
hiyo ? A. Waingereza B. Wajerumani C. Wachina D. Wareno
31. Chombo mahususi kinachosimamia na kuendeleza sanaa na utamaduni hapa Tanzania ni:
A. BASATA B. BAKITA C. TUKI D. TAKUKURU
32. Ili Mjasiriamali akubalike na wateja wake anatakiwa kufanya jambo lipi kati ya mambo
yafuatayo:- A. atambue mahitaji yao na kuwapelekea bidhaa nyumbani kwao
B. atambue mahitaji yao na kipato chao C. atambue mahitaji yao na awakopeshe
mara kwa mara D. atambue mahitaji yao na awaridhishe
33. Ili kwaya ikamilike inahitaji sauti. Je kuna aina ngapi za sauti katika uimbaji wa kwaya?
A. Tano B. Mbili C. Nne D. Tatu
34. Zifuatazo ni njia za kupambana na kuangamiza kunguni, isipokuwa: A. Kuziba nyufa
katika kuta na sakafu B. Nyumba kuwa na mwanga wa kutosha C. Kutumia dawa
ya kuua wadudu D. Kufukia mashimo ya maji taka
35. Kuna njia mbalimbali za kupika chakula. Bainisha njia sahihi za kupika chakula kwa
kutumia joto kavu katika njia zifuatazo: A. kukaanga na kuoka B. kuoka na
kubanika C. kuchemsha na kukaanga D. kupika na kukaanga
36. Melisa hutumwa na baba yake kununua vitu vya nyumbani kila jumapili. Baba yake mara
nyingine hamuamini Melisa akimwambia kwamba hakuna kiasi chochote cha fedha
kinachobakia. Je utamshauri Melisa ampe nini baba yake ili amuamini?
A. bajeti B. Risiti C.Mawasilisno D. Fedha taslimu
37. Utamaduni katika Jamii unaweza kuonekana katika yote isipokuwa:-
A. Chakula B. Mavazi C. Ngoma D. Utalii
38. Historia ya Maisha ya binadamu inaweza kugawanywa katika zama kuu mbili nazo ni:
A. zama za mawe na Sayansi na Teknolojia B. zama za chuma na zama za mawe
C. zama za mawe za kale na zama za mawe za kati D. zama za chuma na zama za mwisho
39. Vita vilivyotokea Rwanda mwaka 1994 vilitokana na:
A. Ukabila B. Utajiri C. rushwa D. ukabaila
40. Mfanyabiashara maarufu wa Kijerumani aliyesaini mkataba wa kilaghai na Chifu
Mangungo wa Msovero aliitwa:
A. William Maknnon B. Karl Peters C. David Livingstone D.Vasco da Gama

Jaza nafasi za wazi


41. Aina gani ya pasi huonyesha kiasi cha joto katika makundi matatu. Joto dogo, joto la
wastani na joto kali_____________________________________________________
42. Idadi ya watu na makazi nchini Tanzania hupatikana kwa njia ya sensa. Je kwa mara ya
mwisho sensa ya watu na makazi hiyo ilifanyika mwaka gani? _________________
43. Wakoloni walifanya mikataba mbalimbali ya kugawa bara la Afrika. Je Mkataba wa
kwanza wa kuligawa Bara la Afrika ulifanyika mwaka gani? ___________________
44. Shirika la umoja wa mataifa linalojishughulisha na utamaduni huitwa____________
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 65
45. Kielelezo kifuatacho huonesha tukio gani? __________________________________

JARIBIO LA 24
1. Njia mbalimbali za uzalishaji mali zilitumika katika bara la Afrika kabla na baada ya
ukoloni. Mfumo wa ukabaila uliokuwa umeshamiri magharibi mwa ziwa Victoria katika
maeneo ya karagwe, Burundi na Rwanda ulijulikana kama:
A. umwinyi B. mtemi C. ubugabile D. nyarubanja
2. Tanganyika ni mojawapo ya nchi za kiafrika ambayo iliyovamiwa na wageni mbalimbali
wa mataifa ya nje. sababu kuu ya uvamizi wa wareno afrika mashariki ilikuwa ni
A. Kueneza uislamu B. Kupanua ujamaa C. Kuendesha biashara D. Kujifunza
tamaduni wetu
3. Kuna aina mbalimbali za uchafuzi wa mazingira. Ni ipi kati ya zifuatazo siyo aina ya
uchafuzi wa mazingira? A. Uchafuzi wa ardhi B. Uchafuzi wa hewa C. Uchafuzi wa
upepo D. Uchafuzi wa kelele
4. Kuna wataalamu wengi wa akiolojia duniani. Ni mwana akiolojia gani aligundua fuvu la
mtu wa kale kwenye bonde la Oldvai Gorge mwaka 1959? A. Vasco Da Gama
B. Dr. lowis Leakey C. Dr. Charles Darwin D. Carl peters
5. Kijiji cha Twilumba kina ukame na mchanga ambapo hakuna mimea iliyoota eneo hilo.
Jina gani ni sahihi tukiite kijiji cha Twilumba?
A. Mafichoni B. bustani C. shamba D. jangwa
6. Nchini Tanzania maazimio mbalimbali yalifikiwa ili kuchochea maendeleo ya kiuchumi
katika Nyanja mbalimbali. Ni mwaka gani azimio la Musoma lilitangazwa?
A. 1974 B. 1967 C. 1884 D. 1972
7. Tanzania ni nchi yenye makabila zaidi ya 120 yenye aina mbalimbali za ngoma za asili.
Kundi lipi kati ya yafuatayo huonesha ngoma za asili za Tanzania?
A. Mganda, mdumange, taarabu na rege B. Akasimbo, lizombe, iringi na zeze
C. Hiphop ,regge, taarabu na RMB D. Mdundiko, iringi kihoda na bugobogobo
8. Latitudo ni mistari inayochorwa kwenye ramani kuonesha mahali mbalimbali kwenye
ramani ambayo hupita kuanzia mashariki kwenda magharibi. Latitudo pekee
inayotengeneza mduara mkubwa katika dunia ni:
A. Ikweta B. Tropiki ya kansa C. Tropic ya kaprikoni D. Greenwich
0
9. Kama ni saa 4:30 asubuhi katika mji wa Mtwara 45 Mashariki, Je itakuwa ni saa ngapi
katika mji wa Kigali uliopo 300 Mashariki? A. Saa 1:30 asubuhi B. Saa 5:30 asubuhi
C. Saa 2:30 asubuhi D. Saa 3:30 asubuhi
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 66
10. Chukulia mfano umekutana na watu kutoka Canada wanataka kutembelea eneo nchini
Tanzania ambalo kuna michoro ya binadamu wa kale mapangoni. Ni sehemu ipi
utawashauri watembelee? A. Isimila Iringa B. Olduvai gorge Arusha C. Mombasa
Kenya D. Kondoa irangi Dodoma
11. Ni taasisi gani kati ya zifuatazo inashughulika na usimamizi na utunzaji wa mazingira
nchiniTanzania? A. TAWLA B. UNEP C. TAMWA D. NECTA E. NEMC
12. Kipimio cha ramani kilichoandikwa sentimita moja huwakikilisha kilometa mbili na nusu
kitawasilishwaje kwa njia ya uwiano kwenye ramani?
A. 1:250,000 B. 20:000 C. 1:500,000 D. 1:25
13. Tanzania ilitawaliwa na mataifa mbalimbali kutoka Ulaya kama vile Uingereza na
Ujerumani. Ipi kati ya Nyanja zifuatazo ilikuwa ni Nyanja kuu ya uchumi wa kikoloni
nchini Tanganyika na Zanzibar? A. Viwanda B. Biashara C. Madini D. Kilimo
14. Vyama mbalimbali vya siasa viliundwa kupigania uhuru wa Tanganyika, ni chama kipi
kati ya vyama hivi kilifanikisha Tanganyika kupata uhuru wake 9.12.1961?
A. AMNUT B. ANC C. TANU D. UTP
15. Kama mtaalamuwa kilimo uishiye mkoa wa Tabora. Ni zao gani la biashara utawashauri
wakazi wa Tabora kulima kulingana na tabia ya nchi pamoja na udongo katika mkoa huo?
A. Miwa B. Tumbaku C. Karafuu D. Kahawa
16. Tanganyika ilivamiwa na wageni wengi kabla na katika kipindi cha ukoloni. Julius Von
Suden alikuwani nani? A. Gavana wa kwanza wa kireno B. Gavana wa kwanza
wa uingereza nchini Tanganyika C. Mwanzilishi mfumo wa utawala wa mlango
nyuma D. Gavana wa kwanza wa ujerumani nchini Tanganyika
17. Kama mtaalamu wa mambo ya hali ya hewa unayeishi katika kijiji cha kunduchi. Ni kifaa
gani utawashauri wanafunzi wa shule ya msingi Mibata ambao walipewa kazi ya kupima
kiasi cha jotoridi katika shule yao?
A. Themometa B. kipima mwelekeo wa upepo C. Anomometer D. Haigrometa
18. Nchi nyingi barani Afrika sasa hubadili viongozi wake kwa njia ya uchaguzi huru na wa
haki.Wakati kipindi cha jamii za ukabaila na ujima viongozi waliingia madarakani kwa
njia ya: A. Uchaguzi wa kikabila B. Kurithi madaraka C. Kura ya maoni D. kujitolea
19. Ipi kati ya vielelezo vifuatavyo ni sahihi kuhusu utamaduni? A. watu wote duniani wana
utamaduni mmoja B. watu wa Ulaya hawana utamaduni C. Kiswahili ni lugha
ya dunia D. utamaduni hutambulisha na kuunganisha watu
20. Ili kuimarisha na kuthamini sanaa nchini mwetu serikali iliamua kuanzisha Baraza la
Sanaa Tanzania (BASATA). Ni lini taasisi hii ilianzishwa?
A. 1984 B. 1964 C. 1980 D.2006 E.1977
21. Mojawapo ya vitu vinavyounda mfumo wa jua ni sayari, mwezi, nyota,vimondo na
asteroid. Kuna jumla ya sayari ngapi katika mfumo wa jua?
A. sita B. nane C. kumi D. kumi na moja
22. Mifano ya mashujaa wa Afrika ni pamoja na Mwl. Julius K.Nyerere Kutoka Tanganyika,
Nelson Mandela wa Afrika Kusini na Robert Mugabe wa Zimbabwe. Shujaa aliyepelekea
kupatakana kwa uhuru wa Ghana mwaka 1957 alikuwa nani? A. Joyce Banda
B. Paul Kagame C. Ahmed Seku Toure D. Kwame Nkurumah
23. Dunia inapokuwa katikati ya Jua na mwezi, tukio hili hujulikana kama A. kupwa na
kujaa kwa maji baharini B. Kupatwa kwa jua C. kupatwa kwa mwezi
D. dunia kujizungusha kwenye mhimili wake
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 67
24. Tabaka la angahewa ambalo mawimbi ya redio hushika ni lipi?
A. Angatropo B. angastrato C. angameso D. Angajoto
25. Ninazunguka jua kwa siku 28, Mimi ni satelaiti ya asili ya dunia. Je mimi ni nani?
A. nyota B. Dunia C. kimondo D. mwezi
26. Ni zama zipi Binadamu aligundua moto kwa kufikicha vijiti viwili vya miti na vijiti
ambavyo ni ulindi na uwimbombo? A. zama za mawe za mwanzo B. zama za mawe za
kati C. zama za mawe za mwisho D. Zama za kidigitali na teknolojia
27. Kuna majanga mbalimbali yanayotokea kwenye mazingira. Lipi kati ya majanga
yafuatayo husababishwa na binadamu?
A. tetemeko la ardhi B. magonjwa C. mlipuko wa volkano D. mafuriko
28. Inasadikika kuwa bindamu alianza shughuli za Ufugaji wa wanyama miaka mingi
iliyopita. Mnyama wa kwanza kufugwa na binadamu alikuwa ni:
A. Ng’ombe B. paka C. mbwa D. mbuzi
29. Tabia ya nchi ya Tanzania inaweza kuathiriwa na sababu mbalimbali kama sehemu
nyingine za dunia. Ipi kati ya zifuatazo SI sababu ya kuathiri tabia ya nchi ya Tanzania?
A. Umbali kutoka baharini B. Sura ya nchi na uoto wa asili C. Latitudo D. Longitudo
30. Tanzania ina viwanda vya nguo kama vile MWATEX, MUTEX, KILITEX na A – Z
Arusha. Ni malighafi gani hutegemea katika uzalishaji wa bidhaa zao?
A. miwa B. tumbaku C. pareto D. pamba
31. Mimi ni mwanafunzi wa darasa la saba ambaye nimepewa kazi ya kuchora ramani ya
Tanzania kuonesha mito, maziwa milima na uwanda. Ni sehemu gani ya ramani
inatusaidia kutambua alama zilizooneshwa kwenye ramani?
A. ufunguo B. kipipio cha ramani C. kichwa cha ramani D. dira
32. Latitudo na longitudo ni mistari ya kubuni inayochorwa kwenye ramani. Kielelezo kipi ni
sahihi kuhusu mistari hii yote miwili? A. hutumika kutafuta muda wa mahali
B. hutumika kutaja mahali C. hutumika kutambua tabia ya nchi D. hupimwa
kwa kutumia sentimeta
33. Tunatumia vitu mbalimbali kusafisha viatu na kufua nguo. Vifaa vifuatavyo vinaweza
kutumia kusafisha viatu isipokuwa A. Kiwi B. Brashi C. Sponji D. pasi ya mkaa
34. Soko kuu la watumwa Afrika ya Mashariki lilikuwa wapi?
A. Bagamoyo B. Mombasa C. Kilwa D. Zanzibar
35. Mwana sayansi aliyeelezea nadharia ya mabadiliko ya binadamu ni:-
A.Vasco Da Gama B.Charles Darwn C.Louis Leakey D. Barthomeo Diaz
36. Mji uliojitengenezea sarafu yake yenyewe ulikuwa:
A.Bagamoyo B.Zanzibar C.Mombasa D.Kilwa
37. Zanzibar ilianza kutawaliwa rasmi na Waingereza mwaka:
A.1913 B. 1882 C.1892 D. 1885 E. 1890
38. Kifaa kinachotumika kupima ukubwa wa tetemeko la ardhi huitwa ______________
A. rikta B. Anemomita C. Sesimografu D. Kampbel stok
39. Ipi kati ya zifuatazo ni shughuli inayosababisha ongezeko la joto duniani? A. Matumizi
ya Fuel za kisukuku B. Kupanda miti C. Kutumia biogesi (Gesi vunde) D. Kutumia
nishati ya jua
40. Ipi kati ya milima ifuatayo ni mlima unaoonyesha dalili ya volcano kulipuka muda
wowote? A. Kilimanjaro B. Rungwe C. Udizungwa D. Oldonyo Lengai

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 68


Chunguza Ramani Ifuatayo kisha jibu maswali yanayofuata
41. Ziwa lililoonyeshwa kwa namba 1 ni _______

____________________________________

42. Kisiwa kilichoonyeshwa kwa namba 2 ni:

____________________________________

43. Hifadhi ya Taifa iliyooneshwa kwa namba 3

Inaitwa: ______________________________

44. Nchi inayoonyeshwa kwa namba 4 ni nchi ya:

____________________________________

45. Mto uliooneshwa kwa namba 5 ni: _________

_____________________________________

JARIBIO LA 25
1. Zifuatazo ni faida za kufahamu hali ya hewa ya eneo fulani, ISIPOKUWA:
A. Kuchagua aina ya mavazi ya kuvaa B. Kuchukua tahadhari dhidi ya majanga
ya hali ya hewa C. Huwasaidia marubani kuchukua tahadhari kabla ya kurusha
ndege au kutua D. Kujua matukio ya kihistoria yaliyotokea hapo zamani
2. Karne moja ni sawa na miaka mingapi? A. 10 B. 20 C. 100 D. 1000
3. Hali ya upungufu au ukosefu wa mvua kwa kipindi cha muda mrefu hujulikana kama:
A. Ukame B. Mafuriko C. Njaa D. Kipupwe
4. Njia ipi ya kuhifadhi kumbukumbu za matukio ya kihistoria hutumiwa zaidi na watu
wasiojua kusoma na kuandika?
A. Vitabu B. Maandishi C. Mazungumzo ya mdomo D. Maktaba
5. Fuvu la kichwa cha mtu wa kale zaidi liligunduliwa katika bonde la Olduvai na:
A. Dk. Louis Leakey B. Dk. Livingstone C. Dk. Charles Darwin D. Vasco Da Gama
6. Eneo la kihistoria ambalo ni maarufu kutokana na michoro ya mapangani nchini Tanzania
ni: A. Isimila B. Kilwa C. Engaruka D. Kondoa Irang
7. Binadamu wa kale alianza kilimo na ufugaji katika kipindi cha: A. Zama za Mawe za
Kale B. Zama za Chuma C. Zama za Mawe za Kati D. Zama za Mawe za Mwisho
8. Mkwawa anakumbukwa kama miongoni mwa mashujaa wa nchi yetu kwa sababu:
A. Aligundua fuvu la kichwa cha mtu wa kale zaidi katika bonde la Olduvai
B. Alisaini mikataba ya ulaghai na Waingereza C. Aliongoza vita vya Majimaji
dhidi ya Wajerumani D. Alipambana na Wajerumani kwa ujasiri mkubwa
9. Nchi ngapi zilikuwa wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuanzia mwaka 1967
hadi1977? A. Mbili B. Tano C. Tatu D. Sita

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 69


10. Utawala wa Wajerumani nchini Tanganyika ulifika kikomo baada ya tukio gani?
A. Baada ya mkutano wa Berlin B. Baada ya vita vya Kwanza vya dunia C. Baada ya vita
vya Maji Maji D. Baada ya vita kuu vya pili vya dunia
11. Mgawanyo wa Afrika Mashariki kati ya Wajerumani na Waingereza ulikamilika mara
baada ya kusainiwa kwa Mkataba wa Helgoland mwaka:
A. 1840 B. 1842 C. 1890 D. 1886
12. Kundi gani la vitangulizi vya ukoloni lilifika Afrika kwa lengo kuu la kueneza dini ya
Ukristo? A. Wafanyabiashara B. Wapelelezi C. Wamisionari D. Walowezi
13. Gavana wa kwanza wa Waingereza nchini Tanganyika alikuwa nani?
A. Edward Twinning B. Donald Cameron C. Horrace Byatt D. Richard Turnbull
14. Chama cha ANC wakati wa harakati za kudai uhuru nchini Tanganyika kiliongozwa na
nani? A. John Rupia B. Martin Kayamba C. Zuberi Mtemvu D. Oscar Kambona
15. Maigizo, nyimbo na filamu ni mifano ya aina gani ya sanaa?
A. Sanaa ghibu B. Sanaa za ufundi C. Sanaa zisizoonekana D. Sanaa za maonyesho
16. Ngoma za asili zina faida gani kwa jamii? A. Huchochea uvivu B. Husababisha
maambukizi ya magonjwa C. Huleta utengano D. Huimarisha utamaduni wa jamii husika
17. Mtemi Isike na Mirambo walikuwa ni viongozi wa kabila gani?
A. wangoni B. wayao C. wanyamwezi D. waehe
18. Bomba la mafuta linaloanzia Dar es salaam hadi Ndola nchini Zambia linaitwa:
A. TANAPA B. TAZARA C. TAZAMA D. SONGAS
0
19. Kuna tofauti gani ya muda kati ya mji wa Kigali uliopo nyuzi 30 Mashariki na mji wa
Mogadishu uliopo nyuzi 600 Mashariki?
A. Dakika 30 B. Dakika 15 C. Masaa 3 D. Masaa 2
20. Ni aina ipi ya kipimio cha ramani inaweza kutumika kuchora ramani ya darasa?
A. Kipimio cha uwiano B. Kipimio cha kati C. Kipimio kidogo D. Kipimio kikubwa
21. Ni gimba lipi kati ya magimba yafuatayo huwa katikati ya magimba mengine wakati wa
kupatwa kwa mwezi? A. Jua B. Mwezi C. Dunia D. Zebaki
22. Mstari wa latitudo wenye nyuzi 23½ Kaskazini mwa Ikweta hujulikana kama:
A. Tropiki ya Kansa B. Meridiani Kuu C. Mzingo wa Antaktiki D. Tropiki ya Kaprikoni
23. Urefu wa mchana na usiku huwa sawa wakati jua linapokuwa la utosi katika:
A. Ikweta B. Tropiki ya Kaprikoni C. Meridiani kuu D. Tropiki ya Kansa
24. Madini magumu zaidi ambayo hutumika katika mapambo na kukatia vioo hujulikana
kama: A. Almasi B. Shaba C. Tanzanaiti D. Chokaa
25. Zifuatazo ni faida za utalii, ISIPOKUWA: A. Hutupatia fedha za kigeni
B. Kuongezeka kwa pato la taifaa C. Hutupatia ajira D. Uchafuzi wa mazingira
26. Mtibwa, Kilombero, Kagera na Moshi ni maeneo maarufu kwa kilimo cha:
A. Chai B. Mkonge C. Kahawa D. Miwa
27. Shughuli inayohusisha kuuza na kununua bidhaa hujulikana kama:
A. Utalii B. Biashara C. Uchukuzi D. Uuzaji
28. Sanaa ya kutengeneza bidhaa mbalimbali kama vile mikeka, mazuria na vikapu kwa
kutumia majani au magome ya miti hujulikana kama:
A.Uchongaji B. Ufinyanzi C. Ufumaji D. Upakuaji
29. Miongoni mwa dalili za kubalehe kwa wanawake ni:
A. Kuwa na sauti nzito B. Kutoa harufu nzuri C. Kupanuka kwa kifua D. Hedhi

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 70


30. Kwanini inashauriwa kufunua jiko mara kwa mara wakati wa kuoka mikate?
A. Kuongeza ladha B. Kuongeza chumvi C. Kuondoa sukari D. Kuepuka kuunguza mikate
31. Kiasi cha fedha kinachobakia kwa mjasiriamali mara baada ya kulipa gharama za mtaji
wa biashara hujulikana kama: A. Matumizi B. Mtaji C. Akiba D. Faida
32. Kuwepo kwa majira ya mwaka kunatokana na: A. Dunia kulizunguka jua
B. Kuvuma kwa pepo za kusi C. Dunia kujizungusha kwenye mhimili wake
D. Kupatwa kwa mwezi
33. Gavana aliyekabidhi Tanganyika huru kwa wazalendo hapo Disemba 9, 1961 alikuwa ni:
A. Sir. Donald Cameroon B. Sir. Edward Twinning C. Sir Horace
Byatt D. Sir Richard Turnbull
34. Maeneo ya Ikweta hupata jua la utosi tarehe: A. 21 septemba na 22 Desemba
B. 21 Machi na 23 Septemba C.21 Juni na 22 Desemba D.23 Machi na 23 Juni
35. Mfereji wa Suez huunganisha bahari za: A. Pasifiki na Hindi B. Sham na
Atlantiki C. Mediteranian na Sham D. Pasifiki na Antlantiki
36. Nini maana ya biashara rejareja? A. biashara ya nje B. kuuzwa bidhaa kwa bei
zilizopangwa C. biashara ya soko huria D. kuuza bidhaa moja moja
37. Moja ya mbinu iliyotumika kudhoofisha teknolojia ya Afrika wakati wa ukoloni ni:
A. Kufundisha masomo ya sayansi B. Kuanzisha viwanda vya kisasa katika Afrika
C. Kubinafsisha viwanda vya Afrika D. Kuleta bidhaa za viwandani kutoka ulaya
38. Mfumo wa ukabaila katika jamii ya Waha uliitwa:
A. Umwinyi B. Ntemi C. Ubugabire D.Nyarubanja
39. Ugonjwa unaoenezwa na viroboto wa panya unaitwa:
A. Malaria B. Kuhara C. Tauni D.Kichocho
40. Joto ni kali zaidi katika Miji ya Dar es salaam naTanga kuliko Arusha na Iringa kwa
sababu: A. joto hupungua kwa kiwango cha 0.60C kwa kila meta 100 kwenda juu
B. Ongezeko la kiwango cha 0.60C kwa kila meta kwenda juu C. Hupungua kwa joto
0.60C kwa kila meta 1000 kwenda juu D. ongezeko la kiwango cha joto 0.6 0C kwa kila
meta 1000 kwenda chini

Jaza nafasi za wazi


41. Hifadhi pekee ya Taifa ambayo ni kivutio kwa watalii kwa kuwa na maua mazuri
inayopatikana katika Nyanda za juu Kusini mwa Tanzania inaitwa __________________
42. Mwenyekiti wa sasa wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ni nani? _______________
43. Eleza kwa kifupi ni kwa jinsi gani shughuli za uchukuzi huchangia katika maendelelo ya
taifa ____________________________________________________________________
44. Eleza athari mbili za majanga ya moto. i. ___________________ii. _________________
45. Ikiwa mji wa Mtwara ulioko kwenye usawa wa bahari una jotoridi la nyuzi 39 o sentigredi,
mji wa Dodoma ulioko meta 1000 kutoka usawa wa bahari utakuwa na jotoridi la nyuzi
ngapi? ______________________________________________________________

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 71


JARIBIO LA 26
1. Nchi nyingi za Afrika zilipata uhuru kuanzia mwaka A. 1957 B. 1972 C. 1960 D. 1954
2. Mfumo wa kiuchumi wa soko huru ambao msingi wake ni mkusanyiko wa mtaji unaitwa:
A. ujima B. ujamaa C. ukabaila D. utandawazi
3. Mtu ambaye anachukuliwa kama ishara ya upinzani dhidi ya utawala wa kijerumani kusini
mwa Tanganyika mwanzoni mwa karne ya 20 ni:
A. Machemba B. Kinjekitile C. Mkwawa D. Mirambo
4. Umoja wa mataifa ulianzishwa baada ya A. vita vya majimaji B. vita vya kwanza vya
dunia C. vita vya pili vya dunia D.vita vya chimurenga
5. Mkataba wa kuvunja biashara ya utumwa Afrika Mashariki uliosainiwa mwaka 1822
ulijulikana kama A. Harmerton B. Heligoland C. Moresby D. Frere
6. Kipindi kipi ni kirefu zaidi kati ya hivi? A. milenia B. mwaka C. muongo D. karne
7. Kazi kuu ya mkutano wa Berlin wa mwaka 1884-1885 ulioitishwa na Kansela Otto von
Bismark ilikuwa ni A. kukuza uchumi wa Afrika B. kukomesha biashara ya utumwa
C. kuligawa bara la Afrika D.kuanzisha mapinduzi ya viwanda
8. Taasisi ya Afrika inayofadhili ujenzi wa miundombinu kama reli na barabara ili kujenga
Afrika mpya ni A. Benki ya Dunia B. Benki ya Maendeleo ya Afrika C. Tanroads
D. SADC
9. Idara iliyosajiliwa na serikali ya kijerumani kwa lengo la kuandikisha wafanyakazi katika
mashamba ya wakoloni ilijulikana kama A. AGOA B. SILABU C. BEACO D. EAG
10. Yafuatayo yalikuwa malengo mahususi ya mila na desturi za kitanzania kabla ya ukoloni,
ISIPOKUWA: A. Kudumisha matendo mema B. Kudumisha nidhamu katika jamii
C. Kujenga moyo wa uzalendo D. Kujenga uwezo wa kujitegemea
11. Ni viongozi gani walioanzisha ushirikiano kati ya Tanzania na nchi nyingine za kiafrika
baada ya uhuru? A. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu Hassan B. Maalim Seif na
Kassim Majaliwa C. Benjamin Mkapa na Jakaya kikwete D. Mwalimu Nyerere na
Sheikh Abeid Karume
12. Kati ya athari zifuatazo za biashara ya utumwa, ipi ni athari chanya? A. vifo vya watu
B. kukua kwa lugha ya Kiswahili C. kukua kwa utamaduni wa kizungu D. njaa miongoni
mwa jamii za kiafrika
13. Patrice Lumumba alikuwa kiongozi mzalendo aliyeuawa na mabeberu mwaka 1961 katika
nchi ya: A. Kenya B. Zambia C. Afrika Kusini D. Kongo
14. Utawala wa Wajerumani ulikoma katika eneo la Tanzania bara baada ya Ujerumani
kushindwa katika A. vita vya kwanza vya dunia B. vita vya majimaji C. vita vya pili vya
dunia D. mkutano wa Berlin
15. Nani aligundua moto katika kipindi cha zama za mawe za kati? A. Primate
B. Homo erectus C. Australopithecus D. Homo habilis E. Homo sapiens
16. Serikali hutegemea kodi ili kujiendesha. Kulipa kodi ni wajibu wa nani? A. Mamlaka ya
Mapato Tanzania (TRA) B. wajasiliamali wote C. kila raia D. wafanya biashara
17. Kutunza kumbukumbu za matukio ya kihistoria kupitia vifaa vya kidijitali ni muhimu kuliko
kwenye makaratasi kwa kuwa: A. Vifaa vya kielektroniki huweza kuhifadhi taarifa nyingi
zaidi B. Taarifa za kielektroniki huweza kupotea kwa urahisi zaidi C.Vifaa vya kielektroniki
vinauzwa ghali mno D. Vifaa vya kielektroniki haviwezi kuhifadhi taarifa nyingi

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 72


18. Chama cha siasa kilichoongoza mapambano ya kupigania uhuru na kufanikiwa kuzikomboa
nchi za Guinea Bissau na Cape Verde kilikuwa:
A. SWAPO B. FNLA C. UNITA D. MPLA E. PAIGC
19. Soko kuu la biashara ya watumwa katika Pwani ya Africa Mashariki lilikuwa wapi?
A. Mombasa B. Kilwa C. Zanzibar D. Bagamoyo
20. Mfumo ulioibadili dunia na kuwa kama ni kijiji unajulikana kama:
A. Ubinafsishaji B. Ujima C.Uchumi huria D. Utandawazi
21. Hali ya hewa iliyorekodiwa kwa kipindi cha miaka 30 au zaidi hujulikana kama:
A. Hali ya hewa B. Tabia ya nchi C. Jotoridi D. Angahewa
22. Maeneo yapi kati ya haya yafuatayo yanaathiriwa zaidi na mafuriko?
A. Kwenye miinuko B. Milimani C. Mijini D. Maeneo tambarare
23. Lengo kuu la sanaa za maonesho ni: A. kujipatia mapato B. kufanya watu
wafurahie maisha C. kuburudisha watazamaji D. kuelimisha jamii
24. Zifuatazo ni changamoto za wafugaji wa Tanzania, isipokuwa: A. uhaba wa maji kutokana na
ukame B. uchache wa wafanyakazi wa kuchunga mifugo C. uhaba wa
maeneo ya kuchungia D. tatizo la magonjwa
25. Kiasi cha unyevunyevu katika angahewa hupimwa kwa kifaa kiitwacho:
A. Themomita B. Anemomita C. Kipima mvua D. Haigromita
26. Aina kuu tatu za uchukuzi ni: A. nchi kavu, maji na anga B. barabara, reli na maji
C. redio, runinga na mtandao D. simu, ndege na magazeti
27. Ni taasisi gani ambayo ni muhimu katika juhudi za kuondokana na umaskini Tanzania?
A. Benki B. Takukuru C. Maduka D. Mkukuta
28. Kwa nini wakulima wanashauriwa kupanda mazao kama mtama na uwele? A. yanahitaji maji
mengi B. yana protini ya kutosha C. yana-sababisha mvua kunyesha D. yanavumilia sana
ukame na magonjwa
29. Dunia hutumia muda gani kumaliza nusu mzunguko katika mhimili wake?
A. saa 24 B. saa 12 C. saa 6 D. saa 12
30. Vipindi vya kiangazi, masika, vuli na kipupwe huja kila mwaka kutokana na:
A. mabadiliko ya hali ya hewa B. kuharibika kwa utando wa ozoni C. dunia kujizungusha
kwenye mhimili wake D. dunia kulizunguka jua
31. Mazao ya michikichi na misitu minene yanapatikana kwa wingi katika maeneo yenye hali
gani? A. kitropiki B. kimonsuri C. kiikweta D. kimediterenia
32. Latitudo inayoigawa dunia katika vizio viwili sawa, kizio chha Kaskazini na Kusini inatwa:
A. Meridian kuu B.Tropiki ya Kaprikoni C. Ikweta D. Mstarihi
33. Ni kipengele gani cha ramani kinachotoa taarifa kuhusu ramani?
A. Kichwa cha ramani B. Ufunguo C. Skeli D. Dira
34. Thamani ya kifedha ya bidhaa au huduma hujulikana kama:
A. Mtaji B. Soko C. Manunuzi D. Bei
35. Mikoa yenye viwanda vya miwa hapa Tanzania ni ipi? A. Kilimanjaro, Morogoro na Kagera
B. Kilimanjaro, Mbeya na Mwanza C. Dar es salaam, Arusha na Tanga
D. Kagera, Dodoma na Singida
36. Kufunika udongo kwa nyasi katika bustani ya mboga kuna faida zifuatazo, isipokuwa:
A. kupunguza ukuaji wa magugu B. kuua wadudu waharibifu wa mimea C. kuongeza
rutuba ya udongo D. kupunguza upotevu wa maji kutokana na joto

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 73


37. Orodha ipi ya vyakula kati ya hizi zifuatazo huweza kupikwa kwa njia ya kuoka?
A. Viazi, magimbi na mahindi B. Mayai, nyama na keki C. Mkate,
nyama na mahindi D. Mkate, biskuti na keki
38. Nchi zifuatazo hazina bandari kwenye ziwa Tanganyika, isipokuwa:
A. Malawi B. Congo C. Burundi D.Tanzania
39. Zifuatazo ni baadhi ya mila na desturi za Watanzania, isipokuwa; A. kuongea Kiswahili
B.wanawake kuvaa kanga C. kusalimiana kwa kushikana mikono D. kula kwa kutumia uma
na kisu
40. Kupwa na kuja kwa bahari husababishwa na: A. dunia kulizunguka jua B. dunia
kujizungusha kwenye mhimili wake C. kupatwa kwa jua D. Nguvu ya
uvutano kati ya dunia na mwezi

Jaza nafasi zilizo wazi


41. Je, viwanda vinachangiaje uharibifu wa mazingira? ______________________________
42. Taja mila mbili zinaweza kusaidia kuenea kwa UKIMWI katika jamii yetu.
i. _________________________________________________________________
ii. _________________________________________________________________
43. Nini maana ya Utamaduni? ________________________________________________
44. Ni sehemu gani ya ramani hutumika kuonesha uhusiano kati ya umbali kwenye ramani na ule
wa kwenye Ardhi? ________________________________________________________
45. Katika mechi ya mpira iliyochezwa mjini London kati ya Arsenal na Chelsea, mchezaji Pepe
wa Arsenal alifunga goli mnamo saa 1.30 usiku kwa saa za Uingereza. Je watazamaji
waliokuwa Dodoma wao ilikuwa ni saa ngapi? __________________________________

JARIBIO LA 27
1. Ardhi ni rasilimali ambayo isipotunzwa vizuri inaweza kusababisha hatari katika maisha
ya viumbe hai na rasilimali nyingine. Ipi ni njia bora itakayotumika kutunza rasilimali
hiyo kati ya zifuatazo? A. Kuongeza idadi ya wakulima mashambani B. kuwagawia
watanzania kila mmoja awe na eneo lake C. Kuhimiza wafugaji kuongeza idadi ya
mifugo D. Kuhimiza upandaji miti katika maeneo ya wazi.
2. Katika sikukuu ya wakulima, kauli mbiu iliyotolewa na Waziri Mkuu ilikuwa ni,
“Kilimo ni uti wa mgongo katika uchumi wa Tanzania”. Kauli mbiu hiyo ina maana gani?
A. Ni shughuli inayofanywa na watu matajiri B. Hufanyika kwa kutumia matrekta na
majembe ya kukokotwa na ng’ombe C. Ndio shughuli kuu ya uzalishaji mali na
iliyoajiri watu wengi D. Hufanyika sehemu zenye vyanzo vya maji pekee
3. Mwalimu Kazimoto alifundisha kuhusu shughuli ya kilimo cha mazao ya biashara
kilichofanywa Tanganyika kabla ya uhuru. Je, wanafunzi walibaini mazao yapi ya
biashara? A. Korosho, maharage, mkonge na pareto B. Mahindi, kahawa, chai na pareto
C. Kahawa, pareto, mkonge na chai D. Zabibu, kahawa, chai na maharage
4. Wakulima wengi nchini Tanzania hupeleka mazao sokoni kuuza. Ni njia zipi kuu za
usafirishaji zinazotumika? A. Barabara na Reli B. Anga na Barabara
C. Reli na Anga D. Maji na Anga
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 74
5. Shughuli za kilimo huweza kuharibu ardhi ikiwa hazikufanyika kwa uangalifu. Ni kwa
namna gani kilimo kinaweza kuharibu ardhi? A. Kwa kutumia mbolea ya asili
B. Kwa kulima kwa kubadilisha mazao C. Kwa kulima matuta ya kukinga
mteremko D. Kwa kutumia mbolea za viwandani
6. Shamba la Bwana Tembo ambalo lipo pembeni ya mlima Pina limepungukiwa na rutuba
kutokana na momonyoko wa udongo. Kama mtaalam wa mazingira ni nini chanzo cha
momonyoko huo? A. Shamba kuwa katika mteremko mkali B. Shamba kuwa na miti
mingi C. Samadi kuwekwa shambani D.Shamba kupandwa mazao mengi ya mizizi na
nafaka
7. Shughuli za kibinadamu kando ya mto Matumaini huleta madhara kwa jamii
inayouzunguka. Ni madhara gani yanasababishwa na shughuli za ukataji miti ovyo
pembeni mwa mto huo? A. Ukosefu wa maji viwandani B. Uchafuzi wa hewa
C. Ardhi kupoteza rutuba D. Kukauka kwa vyanzo vya maji
8. Wazo ni mkulima ambaye anataka kuanzisha kilimo katika eneo ambalo ni nusu jangwa.
Kama Afisa kilimo ni ushauri gani utampa? A. Kulima mazao yanayovumilia ukame
B. Kuachana na shughuli za kilimo C. Kulima msimu wa mvua tu D. Kutumia samadi
peke yake wakati wa kilimo
9. Ukiwa ni kiongozi wa klabu ya kutunza mazingira, utampa ushauri gani mtu anaye kata
miti ovyo kwa ajili ya kupata nishati? A. Kutumia nishati mbadala rafiki kwa mazingira
B. Kujificha asikamatwe na Maafisa Misitu C. Kuhifadhi vyema mabaki ya
miti iliyokatwa D. Kuuza kuni na mkaa kujiongezea kipato
10. Ni tukio lipi la kihistoria lilitokea Tanganyika mwaka 1926? A. Kuanza kwa Vita Kuu
ya Pili ya Dunia B. Kuanzishwa kwa chama cha African Association C. Kuanzishwa
kwa Baraza la Bunge D. Uhuru wa Tanganyika
11. Wanafunzi wa Darasa la Saba katika Shule ya Msingi Mwenge wanapanga safari ya
kimasomo kwenda kuona mabaki ya mifumo ya kilimo cha umwagiliaji iliyotumiwa na
watu wa kale. Ni eneo lipi la kihistoria utawashauri kutembelea?
A. Engaruka B. Amboni C. Isimila D. Kondoa Irangi
12. Maeneo yafuatayo ya kihistoria yanapatikana Tanzania isipokuwa:
A. Rusinga B. Olduvai Gorge C. Kondoa Irangi E Kaole
13. Historia ya ukombozi wa Tanzania ilianza na vyama vya ustawi wa wafanyakazi kama
vile TTACSA mwaka 1922 kilichobadilishwa kuwa TAA mwaka 1929 na baadae kuwa
TANU mwaka 1954. Je, ni kwa nini TAA ilibadilishwa kuwa chama cha TANU mwaka
1954? A. Kuwaunganisha watu wote katika kudai uhuru B. Kuwa chama cha kisiasa
kwa ajili ya wafanyakazi tu C. Kuwaunganisha watu wote kupigana vita vya ukombozi
D. Kuunganisha vyama vyote vya siasa katika harakati za ukombozi
14. Wanafunzi wa Darasa la Sita walirekodi viwango vya jotoridi kuanzia Jumatatu hadi
Jumapili kama ifuatavyo: 200C, 320C, 300C, 240C, 270C, 270C na 220C mtawalia. Je, upi
ni wastani wa jotoridi kwa wiki? A. 200C B. 320C C. 270C D. 260C
15. Umepewa jukumu la kutoa mafunzo kwa wanakijiji wa Kijiji cha Juhudi juu ya fursa
mbalimbali za kibiashara ambazo zinaweza kufanyika katika vipindi mbalimbali vya
mwaka. Je, ungewashauri kufanya biashara ya kuuza miavuli katika kipindi gani?
A. Wakati wa Kiangazi B. Wakati wa Kipupwe C. Wakati wa Baridi D.Wakati wa Masika
16. Wanafunzi wa Darasa la Nne walifundishwa kuhusu vipengele mbalimbali vya hali ya
hewa. Ni kundi lipi linawakilisha vipengele vya hali ya hewa walivyojifunza?
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 75
A. Jotoridi, udongo, mvua na unyevuanga B. Anga, mwangajua, mgandamizohewa na
upepo C. Mvua, jotoridi mgandamizohewa na anga D. Mgandamizohewa, jotoridi,
mvua na mwanga jua
17. Baraka anatafuta msaada wako kumwezesha kujibu swali kuhusu dhana ya
“utamaduni”. Je, ni vielelezo vipi vya utamaduni utakavyompa Baraka ili aweze
kuielewa vizuri dhana hiyo? A. Lugha, mila na tohara B. Mila, desturi na lugha
C. Mila, desturi na miiko D. Tohara, mila na desturi
18. Ngoma za asili, uchongaji, uchoraji na maigizo ya jadi ni miongoni mwa mambo ya
kitamaduni yanayovutia watalii. Ni neno gani lifaalo kwa vipengele hivi vya utamaduni?
A. Mila B. Sanaa C. Michezo ` D. Lugha
19. Kiongozi kutoka Wizara inayosimamia Utamaduni aliwataka vijana kuacha kushabikia
tamaduni za kigeni na kudharau tamaduni za Kiafrika. Je, nini lengo la ushauri huo?
A Kulinda maslahi ya wageni B. Kulinda maslahi ya viongozi C. Kulinda mali za
wageni D. Kufurahia rasilimali za Taifa
20. Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Harambee husisitiza wanafunzi wake kushiriki
katika michezo ya jadi. Lipi kati ya yafuatayo ni lengo lake kuu? A. kukuza kufikiri na
kucheza B. kuwezesha maamuzi na kuwa mbinafsi C. kukuza kufikiri na kufanya
maamuzi D. kuongeza uzuri wa nyimbo na kufikiri
21. Fikiria umeteuliwa kuongea na mojawapo ya makundi rika katika jamii yako kuhusu
mahusioano mema miongoni mwao. Lipi kati ya yafuatayo ungelisisitiza?
A. Kuheshimiana na kusaidiana B. Kusaidiana na kugombana C. Kusalimiana na
kudharauliana D. Kuheshimiana na kubaguana
22. Kama kuna wazazi na watoto, hii ni familia ya awali. Je, familia hii itaitwaje baada ya
vifo vya wazazi wao? A. Familia pana B. Familia ya watoto yatima C. Familia ya
watoto D. Familia tegemezi
23. Ukoloni katika nchi nyingi za Kiafrika ulikuwa na hasara zaidi kuliko faida. Kama
mwanahistoria, ipi unadhani ni athari ya kijamii iliyotokana na ukoloni katika
Tanganyika? A. Kusaini mikataba na watawala wenyeji na kuleta mazao mapya
B. Kuanzishwa kwa elimu rasmi na kueneza Ukristo C. Kusaini mikataba na watawala
wenyeji na kujenga barabara D. Kuanzishwa kwa mazao mapya na kuteua machifu kama
watawala
24. Nchi nyingi za Afrika kuwa wanachama wa jumuiya mbalimbali inadhihirisha umuhimu
wa jumuiya hizo kwa nchi husika. Unadhani nini kitatokea endapo nchi itavunja uhusiano
huo? A. Kutakuwa na maendeleo makubwa katika nchi B. Kushuka kwa uchumi na
kudorora kwa amani C. Kutumia bidhaa za nchi nyingine na kukua kwa maendeleo
D. Kuongeza wajuzi katika nchi na dunia
25. Mnamo robo ya mwisho ya karne ya 19, Mataifa ya Ulaya yaligombea maeneo ya Afrika
kwasababu walitaka malighafi, masoko, wafanyakazi na sehemu ya kuweka vitega
uchumi. Maeneo yafuatayo yaligombaniwa isipokuwa: A. Maeneo ya kando kando ya
Bahari au Ukanda wa Pwani B. Maeneo yenye hali ya hewa nzuri na ardhi yenye rutuba
C. Maeneo yenye maziwa na mito mikuu D. Maeneo yenye utajiri wa madini na
rasilimali nyingine
26. Mwalimu Julius Kambarage Nyerere anatambulika kuwa ni shujaa hapa Tanzania na
Afrika kwa ujumla. Ni nini kinachomfanya atambulike hivyo? A. Alihudhuria vikao vya
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 76
UNO huko Ulaya B. Alipinga vikali aina zote za ubaguzi wa rangi na kidini
C Alipinga vikali urejeshwaji wa mfumo wa vyama vingi D. Alihamasisha mapinduzi
katika kupigania uhuru
27. Kuanzia mwaka 1985 hadi 2015 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliongozwa na
marais watatu. Ipi ni orodha sahihi ya Marais hao? A. Julius K. Nyerere, Ali H. Mwinyi
and Bejamin W. Mkapa B. Julius K. Nyerere, Ali H. Mwinyi na Jakaya M. Kikwete
C. Ali H. Mwinyi, Benjamin W. Mkapa na Jakaya M. Kikwete
D Julius K. Nyerere, Abeid A. Karume na John P. Magufuli
28. Mwalimu aliwaambia wanafunzi wake kuwa mistari ya latitudo huwa na mizingo tofauti
tofauti kutegemea na mahali ulipo. Ni mstari upi wenye mzingo mrefu kati ya hii
ifuatayo? A. Tropiki ya Kaprikoni B. Mzingo wa Aktiki C. Mstari wa Ikweta
D. Tropiki ya Kansa E Mzingo wa Antaktiki
29. Wakati wa kipindi cha somo la Maarifa ya Jamii mwalimu aliwapa wanafunzi ramani ya
Tanzania yenye vitu vya asili na vilivyotengenezwa na binadamu kwa lengo la kujifunza.
Je, hiyo ilikuwa ni ramani ya aina gani? A. Ramani za takwimu B. Ramani za
kisiasa C. Ramani za kontua D. Ramani za topografia
30. Mtalii aliwasili nchini Tanzania kupitia uwanja wa ndege wa Kilimanjaro na kuelekea
moja kwa moja katika hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro bila ya kupokelewa na mwenyeji
yeyote. Ni kifaa kipi kati ya vifuatavyo kilimwezesha kufika huko?
A. Skeli B. Hali ya hewa C. Ramani D. Picha
31. Bahati alichora ramani ya kijiji chao bila kuonesha kipimio cha ramani. Ni athari ipi
atakayoipata mtumiaji wa ramani hiyo? A. Kushindwa kufahamu mipaka ya kijiji
B. Kutofahamu ukubwa halisi wa kijiji C. Kutozitambua alama zilizotumika
D. Maudhui ya ramani kutoeleweka
32. Fikiria kuwa umealikwa kama mtaalamu wa mambo ya hali ya hewa kuelezea umuhimu
wa tabaka la Ozoni kwa jamii. Je, ungeeleza nini? A. Huzuia kansa ya ngozi B. Huzuia
mmomonyoko wa udongo C. Huongeza idadi ya watu D. Husababisha kutengenezeka
kwa mvua
33. Rafiki yangu alisafiri kwenda Ulaya kumtembelea shangazi yake kipindi cha likizo.
Kulikuwa na baridi kali iliyoambatana na mchana kuwa mfupi kuliko usiku. Je, hali hiyo
inawakilisha msimu upi wa mwaka?
A. Kiangazi B. Masika C. Kipupwe D. Vuli
34. Wanafunzi wa Darasa la Tatu walijifunza kuwa, kuna sayari nane zinazounda mfumo wa
jua ambazo baadhi zipo mbali na nyingine zipo karibu na jua. Je, ni Sayari ipi miongoni
mwa zifuatazo ipo karibu zaidi na jua?
A. Sumbula B. Dunia C. Zuhura D. Zebaki
35. Tanzania ni nchi iliyojaaliwa kuwa na madini ya aina mbalimbali. Ni kundi lipi kati ya
yafuatayo hujumuisha madini ya vito? A. dhahabu, chumvi na chuma B. Almasi, rubi na
chuma C. almasi, dhahabu na chuma D. Cobalt rubi na Tanzanaiti
36. Wanafunzi wa Darasa la Saba walipewa aina mpya ya vifungo kwa ajili ya mashati yao.
Ni kanuni ipi wanapaswa kuzingatia wakati wa kushona vifungo hivyo?
A. Kuchagua uzi wenye rangi tofauti na vifungo walivyopewa B. Kuchagua sindano

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 77


inayoendana na kitambaa cha shati C. Kuanza kushona mshono wa kushikiza
D. Kutumia sindano kubwa kuliko tundu la kifungo
37. Umemtembelea shangazi yako na kupewa chumba kichafu cha kulala. Ni magonjwa gani
unaweza kuyapata kwa kulala kwenye chumba hicho? A. Kuharisha na kutapika
B.Kukohoa na kutapika C. Mafua na kifua D. Kuharisha na mafua

38. Bwana Nzima amepanga kusafiri na amedhamiria kufungasha nyama kwa ajili ya
safari yake. Ungemshauri kutumia mojawapo ya njia zipi kuandaa nyama hiyo ili kuzuia
kuharibika? A. Kukaanga, kuchemsha na kuchoma B. Kuchemsha, kubanika na
kukaanga C. Kutokosa, kukaanga na kuchoma D. Kuchoma, kukaanga na kubanika
39. Mwalimu wa Stadi za Kazi aliwaongoza wanafunzi kufinyanga chungu na kuwapa mbinu
za kukikausha vizuri. Je, kuna umuhimu gani wa kukikausha chungu hicho?
A. Kukifanya kiwe imara B. Kukifanya kiwe na rangi nyeusi C. Ili kuweza
kukiweka nakshi D. Kukifanya kuwa na harufu ya kuungua
40. Mimi ni mbunifu, mwenye uthubutu na ninajituma katika kutimiza malengo yangu.
Je, mimi ni nani?
A. Mjasiriamali B. Mtu mwenye ujuzi C. Mfanyabiashara D. Mnunuzi

Jaza nafasi za wazi


41. Eleza kwa kifupi tofauti kati ya mjasiriamali mtumishi na mjasiriamali mfanyabiashara.
42. Mlipuko wa volkano katika kijiji cha Kikuu umeleta madhara kwa jamii. Bainisha
madhara chanya mawili ya mlipuko huo. ____________________________________
43. Bi atupele aliwataka wanafunzi waorodheshe tabia ya nchi ya maeneo waliyotoka. Mmoja
wa wanafunzi alitaja kuwepo kwa mvua nyingi, kiwango cha juu cha jotoridi na uwiano
mdogo wa joto kwa mwaka mzima. Je, eneo hilo lina tabia gani ya nchi? ___________
44. Tabu alitembelea kituo cha hali ya hewa kilichopo uwanja wa ndege wa Mwanza
kuchukua takwimu za hali ya hewa ya eneo hilo, na kuwasilisha takwimu hizo katika
Jedwali kama ifuatavyo:

Mwezi J F M A M J J A S O N D
Mvua (mm) 800 800 1000 1200 1000 800 700 900 600 800 900 900
0
Jotoridi ( C) 18 18 24 28 24 18 16 19 20 18 19 19
a. Ni mwezi upi ulikuwa na mvua na jotoridi kubwa? ____________________________
b. Ni aina ipi ya tabia ya nchi inawakilishwa na taarifa zilizopo kwenye jedwali? ______
45. Ni kwa nini Chifu Mkwawa alijulikana kama shujaa katika jamii yake? ______________

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 78


JARIBIO LA 28
1. Nyota iliyo karibu sana na dunia inaitwa: A. Sumbula B. Jua C. Zebaki D. Mwezi
2. Upi SIYO aina ya usafiri? A. Usafiri wa anga B. Usafiri wa majini C. Usafiri wa nchi
kavu D. Usafiri wa kasi
3. Kinjekitale Ngwale ni maarufu katika historia ya Tanzania kwa: A. Mfumo wake bora
wa kuitawala Kilwa B. Ushujaa wake wa kuendesha biashara Kilwa
C. Kuwahamasisha watu kupinga utawala wa Kijerumani D. Ufanisi wake wa
kukusanya kodi kwa niaba ya wajerumani
4. Karl Peters alikuwa ni wakala wa kikoloni aliyewashawishi viongozi wa kimila kusaini
mikataba ya kilaghai ili kuifanya Tanganyika kuwa koloni la:
A. Wareno B. Wajerumani C. Waingerez D. Wafaransa
5. Jua huonekana kuwa kubwa kuliko nyota zote kwa sababu: A. Lina joto kali zaidi ya
nyota zingine B. Linang’aa zaidi ya nyota zingine C. Lipo mbali sana
na Dunia D. Lipo karibu zaidi na Dunia
6. Moja ya malengo ya Elimu ya Kikoloni ilikuwa ni A. kupambana dhidi ya ujinga
na umasikini B. kupunguza uzalishaji wa maeneo ya biashara C. kupata watumishi
wa ngazi ya chini D. kupanua ajira kwa vijana
7. Jua likiwa katika kizio cha kusini, upepo huvuma kutokea wapi?
A. Kusini B. Mashariki C. Kaskazini-mashariki D. Kaskazini
8. Kitendo cha kugeuza takataka kuwa bidhaa zinazoweza kutumika huitwa:
A. Sanaa B. Uharibifu C. Umwagiliaji D. Urejelezaji
9. Njia rahisi zaidi ya upishi wa chapati ni: A. Kuunguza B. Kukaanga kwa mafuta
machache C. Kuunga D. Kufukiza
10. Sanaa ya kupangilia sauti katika namna inayovutia hujulikana kama:
A. Sanaa B. Ufinyanzi C. Besi D. Muziki
11. Tanzania ilipata Rais wake wa kwanza lini?
A. 9 Disemba 1961 B. 9 Disemba 1962 C. 12 Januari 1964 D. 26 Apri 1964
12. Miongoni mwa shughuli za mwanzo kufanywa na binadamu wa kale zilikuwa:
A.Utawala wa kijiji B. Ufugaji na Uvuvi C. Kilimo D. Uwindaji na Uvuvi
13. Sultani aliyetawala Zanzibar muda mfupi kabla ya Mapinduzi ni?
A. Seyyid Bin Said B.Sultan C.Majid Bin Said D.Jamshid Bin Abdulla
14. Miongoni mwa nchi zifuatazo za Afrika ni nchi gani ambayo haikutawaliwa na
wakoloni? A. Afrika Kusini B.Ghana C.Cameroon D.Liberia
15. Binadamu aligundua moto katika zama zipi za mawe? A. zama za Kati za mawe
B. zama za Mwisho C. zama za Mwanzo D. Zama za chuma za mawe
16. Sehemu ndogo za nchi kavu zilizochongoka na kuingia baharini huitwa:
A.Ghuba B.Rasi C. Paninsula D. Mlango bahari
17. Uoto unaopatikana Pwani ya Afrika Mashariki ni:-
A. Miarobaini B.Mikoko C.Michikichi D. Mikorosh
18. _________ni sehemu ya jangwa ambapo maji hupatikana.
A. Bonde B.Visima C. Chemchem D.Oasisi
19. Mojawapo ya madhara ya ongezeko kubwa Ia watu nchini Tanzania ni:
A.Uhaba wa huduma za kijamii B. Ongezeko La utegemezi
C. Kupungua kwa eneo la nchi D.Upungufu wa wasomi

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 79


20. Kipimo kilichoandikwa kama sentimeta moja kwa kilometa mbili na nusu humaanisha
nini: A.1:250,000 B. 1:20,000 C.1:500,000 D.1:21/2
21. Latitudo inayofanya duara kuu la dunia ni:
A. Tropiki ya kansa B. Greenwich C. Meridian D. Ikweta
22. Ili kudhibiti uharibifu wa mazingira ni bora kama: A. jamii itaelimishwa kujua athari
za uharibifu wa mazingira B. askari walinde maeneo yote C. watu wapate elimu hadi
chuo kikuu D. serikali ijenge kingo kuzunguka maeneo yote
23. Mji wa Morogoro umezungukwa na safu za milima ya:
A.Kipengele B.Usambara C.Pare D.Uluguru
24. Miji mitatu yenye bandari katika Pwani ya Tanzania ni: A. Arusha, Kigoma na
Mwanza B. Dar es alaam, Tanga na Mtwara C. Morogoro, Iringa na Zanzibar
D. Rukwa, Lindi na Pemba
25. Kubonyea kwa ardhi kulisababisha kutokea kwa maziwa gani katika Afrika ya Mashariki?
A.Tanganyika na Nyasa B.Natron na Victoria C.Kyoga na Victoria D.Nyasa na Eyasi
26. Matokeo makuu ya viwanda katika mazingira ni:
A.Uchafuzi wa maji na hewa B.Kumwaga kemikali na kutoa moshi C.Kutoa
moshi na matumizi makubwa ya nishati D.Uchafuzi wa hewa, maji na ardhi
27. Mkutano wa Berlin wa mwaka 1884 – 1885 uliitishwa na:
A. Carl Peters B. Johann Krapf C. Henry Stanley D. Otto Von Bismark
28. Ipi kati ya nchi zifuatazo ilipata uhuru kwa njia ya vita?
A. Ghana B. Tanganyika C. Msumbiji D. Zambia
29. Vita vya Majimaji vilipiganwa kati ya mwaka:
A. 1908 – 1909 B. 1907 – 1905 C. 1905 – 1907 D. 1807 – 1905
30. Harakati za kudai uhuru kamili barani Afrika zilianza baada ya mwaka:
A. 1945 B. 1961 C. 1884 D. 1960
31. Nchi zipi hazikutawaliwa na wakoloni barani Afrika? A. Ethiopia na Liberia
B. Liberia na Kenya C. Rwanda na Uganda D. Tanganyika na Liberia
32. Shirika la Umoja wa mataifa linaloshughulikia wakimbizi linaitwa:
A. UNICEF B. UNHCR C. FAO D. WHO
33. Jumuiya ya kwanza ya Afrika Mashariki ilivunjika mwaka:
A. 1977 B. 1967 C. 1948 D. 1917
34. Mojawapo ya shughuli zinazofanywa na binadamu zinaweza kuharibu mazingira ni
A. Uchimbaji wa madini B. ufugaji wa ndani C. Ukusanyaji takataka D. urejelezaji
35. Kipimio kidogo cha ramani hutumika kuchorea ramani za: A. maeneo makubwa
B. maeneo madogo C. maeneo ya kati D. maeneo madogo na ya kati
36. Latitudo, mwinuko na umbali kutoka baharini ni mambo muhimu yanayoathiri:
A. tabia ya nchi B. mfumo wa jua C. hali ya hewa D. mikondo ya bahari
37. Nishati gani kati ya zifuatazo ni chanzo cha kusababisha uharibifu wa mazingira?
A. mkaa B. jua C. maji D. upepo
38. Sherehe za mafunzo yanayotolewa kwa vijana wa kiume ili kuwa wanajamii bora ni
A. jando B. unyago C. semina D. skauti
39. Miongoni mwa mashujaa wa Afrika waliopinga uvamizi ni: A. Agostino Neto, Kwame
Nkurumah na Otto von Bismack B. Kwame Nkurumah, Isike, na Seyyid Said
C.Otto von Bismack, Isike na Agostino Neto D. mfalme Menelik wa II, Msisiri na
Mkwawa
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 80
40. Maji yaliyochanganywa na chumvi yanafaa kuondoa madoa yenye: A. Asili ya
wanyama mfano damu B. Asili ya matope C. Asili ya kemikali mfano wino
D. Asili ya vyakula

Jaza nafasi za wazi


41. Ni nchi gani ilikuwa ya kwanza kujipatia uhuru wake toka kwa wakoloni Barani Afrika
___________________________________________________________________
42. Shughuli ya uzalishaji mali ambayo imeajiri watu wengi kuliko shughuli nyingine
Tanzania ni _________________________________________________________
43. Shirika la kimataifa linaloshughulikia watoto linaitwa _______________________
44. Mwalimu Msabila alitembea umbali wa kilometa 32. Je kwenye ramani umbali huo
utawakilishwa na sentimita ngapi ikiwa kipimio cha ramani ni 1:50,000? ________
45. Mauaji ya kimbali yaliyosababishwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini
Rwanda yalitokea mwaka gani__________________________________________

JARIBIO LA 29
1. Mkataba wa Moresby wa kukomesha biashara ya utumwa Tanganyika na Zanzibar
ulisainiwa mwaka: A. 1922 B. 1822 C. 1884 D. 1890
2. Umoja wa hiari wa nchi huru zilizokuwa chini ya ukoloni wa Kiingereza unajulikana
kama:- A. Jumuiya ya Madola B. Umoja wa Mataifa C. Umoja wa Afrika
D. Jumuiya ya Mataifa
3. Wajerumani walianza kutawala Tanganyika baada ya tukio gani?
A. Mkutano wa Berlin B. Vita kuu ya pili ya dunia C. Vita kuu ya
kwanza ya dunia D. Mkataba wa Heligoland
4. Kipindi cha utawala wa Mwingireza Zimbabwe ilijulikana kama:
A. Rhodesia ya Kusini B. Rhodesia ya Kaskazini C. Nyasaland D. Zimbabwe
5. Mkataba uliofanyika kati ya Wajerumani na Waingereza mwaka 1890 ulikuwa:
A. Mkataba wa Heligoland B. Mkataba wa Hamerton C. Mkataba wa
Frere D. Mkataba wa Moresby
6. Zama za mawe zimegawanyika katika sehemu ngapi?
A. Saba B. Sita C. Tano D. Tatu
7. Shirika la nyumba la Taifa lilianzishwa baada ya: A. Azimio la Zanzibar B. Azimio la
Musoma C. Azimio la Arusha D. Azimio la Iringa
8. Kiongozi wa Kiafrika wa mwisho kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ni:
A. Kofi Annan B. Amri Mussa C. Salim Ahmed Salim D. Asha Rose Migiro
9. Picha inayoonesha misitu minene na mazao kama michikichi itakuwa imepigwa
kutoka kwenye eneo lenye hali ya:
A. Kiikweta B. Kitropiki C. Kimonsuni D. Kimediteraniani
10. Katika kila nyuzi moja ya longitudo kuna tofauti ya muda gani wakati dunia
inapojizungusha katika mhimili wake?
A. Dakika 14. B. Dakika 15. C. Saa 1. D. Dakika 4
11. Ni rahisi kuthibitisha kuwa dunia ni duara kwa kuangalia:
A. umbo la tufe B. kupatwa kwa jua C. jua la utosi D. kupatwa kwa mwezi
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 81
12. Tanzania na Msumbiji zinatenganishwa na mtogani?
A. Rufiji B. Malagarasi C. Ruvu D. Ruvuma
13. Usafirishaji wa bidhaa au watu kupeleka mahali pengine huitwa:
A. uchukuzi B. utalii C. biashara D. uhamaji
14. Vasco da Gama baharia na mpelelezi kutoka Ureno alifanikiwa kufika India kupitia
Rasi ya Tumaini Jema mnamo mwaka A. 1590 B. 1498 C. 1488 D. 1998
15. Mvua zitokanazo na makutano ya pepo za baridi na pepo zenye joto huitwa:
A. Mkabala B. Myuko C. Milimani D. Vuli
16. ___________ni uzi wa kumbi la nazi uliotengenezwa tayari kufanywa kamba.
A. Shupatu B. Chega C. Kitasiaji D. Utembo
17. _____ ni stadi inayomwezeshaa mtu kubuni na kuanzisha miradi mbalimbali ya
uzalishaji mali kulingana na fursa zilizopo katika mazingira yake.
A. Ubunifu B. Ujasiriamali C. Biashara D. Uuzaji
18. Sanaa ya ususi inazalisha vitu vifuatavyo:- A. mikeka, mazulia, nyungo na kata za
mezani B. vyungu, kawa, vikapu na nyungo C. kawa, nyungo, mazulia
na sufuria D. kamba, vyungo, mikeka, kata za mezani
19. _______ ni sanaa inayotumika katika kutengeneza maumbo mbalimbali kwa kutumia
udongo wa mfinyanzi, saruji, makaratasi na gundi.
A. Ususi B. Ukili C. Ufinyanzi D. Upishi
20. Chama kilichopigania uhuru wa Zanzibar ni:
A. TANU B. TAA C. ASP D. UNIP
21. Zifuatazo ni nchi wanachama wa Jumuiya ya kiuchumi ya Kusini mwa Afrika
isipokuwa: A. Afrika Kusini B. Uganda C. Zambia D. Lethoto E. Namibia
22. Wapelezi kutoka Ulaya walianza kuja Kusini mwa bara la Afrika katika karne ya
ngapi? A. 15 B. 19 C. 16 D. 20 E. 18
23. Kampuni ya kibiashara ya Kijerumani Afrika Mashariki iliongozwa na:
A. David Livingstone B. Vasca da Gama C. Bartholomew Diaz D. Karl Peters
24. Kiongozi wa Jumuiya ya Madola anatoka nchi gani?
A. Uingereza B. Italia C. Ufaransa D. Denmark
25. Mji mkongwe kuliko yote katika Pwani ya Afrika Mashariki ni:
A. Bagamoyo B. Mombasa C. Tanga D. Mtwara
26. Vita vya majimaji vilianza katika wilaya ya:
A. Nachingwea B. Liwale C. Kilwa D. Lindi E. Songea
27. Viongozi wa jadi wafuatao walipigana vita dhidi ya ukoloni isipokuwa:
A. Mkwawa B. Isike C. Songea D. Chifu Mangungo E. Abushiri
28. Nchi ya mwisho kabisa katika Afrika kutambuliwa kama nchi na Umoja wa Mataifa ni:
A. Eritrea B. Namibia C. Afrika Kusini D. Sudani Kusini
29. Mabaki ya zinjanthropus yaligunduliwa huko:
A. Kondoa Irangi B. Olduvai C. Kalenga D. Isimila
30. Dunia ipo kati ya sayari zipi katika mfumo wa juaA. Sarateni na Sumbula
B. Zebaki na Zohari C. Mihiri na Zebaki D. Zuhura na Mirihi
31. Ukanda wa vuguvugu una tabia gani?
A. Kimediterania B. Kisavana C. Kiikweta D. Kimonsoon E. Kijangwa
0
32. Longitudo yenye nyuzi 180 huitwaje?
A. Greenwich B. Meridian C. Mzingo D. Mstarihi
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 82
33. Upi ni mlima meza kati ya hii ifuatayo?
A. Udzungwa B. Sekenke C. Uluguru D. Kilimanjaro
34. Bahari ya Atlantiki na Mediterania zimetenganishwa na mlango bahari wa:
A. Gibraltar B. Suez C. Panama D. Park E. Kanari
35. Soko kuu la watumwa Afrika Mashariki lilikuwa:
A. Zanzibar B. Mombasa C. Kilwa D. Bagamoyo
36. Ufugaji wa kisasa wa wanyama huzingatia nini? A. Utamaduni wa jamii B. Ubora
wa wanyama na mazao yao C. Kuwapo kwa ardhi ya kutosha D. Mbuga za asili za
kulishia mifugo
37. ________ ni eneo la kumbukumbu za kihistoria lenye masalia ya zana za mawe za
mwanzo zilizotumiwa. A. Engaruka B. Amboni C. Kondoa-Irangi D. Isimila
38. Mageuzi ya viwanda huko Ulaya yalitokea kati ya karne za ______
A.16 na 17 B.15 na 16 C.17 na 18 D. 18 na 19
39. Chifu Machemba alikuwa mtawala wa jadi wa kabila la:
A. Wahehe B. Waha C. Wayao D. Wanyamwezi E. Wasangu
40. Ni bidhaa gani zilizoletwa Afrika Mashariki na wafanyabiashara toka China na
Indonesia? A. Shanga, tende na Sukari B. Shanga, pembe za ndovu na ngozi za chui
C. Bunduki, ngozi ya chui na dhahabu D. Nguo za pamba, shanga na vyombo vya ndani

Jaza nafasi za wazi


41. Taja aina kuu mbili za taka: _______________________ na ____________________
42. Miji maarufu kwa biashara ya dhahabu mnamo karne ya 14 ilikuwa Kilwa na ______
43. Hatua ya maendeleo ya binadamu iliyofuata baada ya zama za mawe inaitwa ______
44. Historia ya Afrika Mashariki iliandikwa mara ya kwanza kwenye kitabu kiitwacho
____________________________________________________________________
45. Iwapo ni saa 2:00 asubuhi hapa Tanzania 450 Mashariki, itakuwa saa ngapi katika mji
mtukufu wa Makka 980 Mashariki? _______________________________________

JARIBIO LA 30

1. Zao la majini ambalo hutumika kama kiungo cha chakula ni:


A. Mwani B. Magadi C. Magugu maji D. Makombe E. Samaki
2. Wafuatao walikuwa ni magavana wa utawala wa Kiingereza nchini Tanganyika
isipokuwa: A. Richard Turbull B. Donald Cameroon C. Julius von Soden D. Horace
Byatt
3. __________ ni mavazi ya aina mbalimbali ambayo mwigizaji huyavaa wakati wa
kuigiza. A. Mapambo B. Maleba C. Kibwebwe D. Sare
4. ______ ni fani ya hisia inayotegemea sauti zilizo kwenye mpangilio unaopendeza
kulingana na makubaliano ya jamii husika.
A. Uimbaji B. Filimbi C. Nyimbo D. Ala za muziki
5. Binadamu alianza kutembea kwa miguu yake akiwa wima katika zama za mawe za
A. kati B. kale C. chuma D. mwisho
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 83
6. Jua ni __________ A. sayari kubwa kuliko zote B. nyota yenye joto kali na
kubwa kuliko zote C. nyota inayozunguka dunia D. sayari kama
ilivyo dunia isipokuwa ina joto kali E.nyota iliyokaribu na dunia
7. Wageni wa kwanza kuvamia Pwani ya Afrika mashariki na kuingilia mila na desturi
zetu ni: A. Waingereza B. Wajerumani C. Wareno D. Waarabu
8. Mfereji wa Suez huunganisha bahari za ___________________ A. Pasifiki na Hindi
B. Sham na Atlantiki C. Mediteranian na Sham D. Pasifiki na Antlantiki
9. Makao makuu ya umoja wa mataifa (UN) yapo wapi?
A. New York B. San Fransisco C.Washgton D.Los Angeles
10. Utawala wa Waingereza katika Tanganyika ulimalizika katika karne ya ngapi?
A. 15 B. 19 C. 20 D. 18
11. Mataifa ya Ulaya yaliyogombea mto Naili yalikuwa ni: A. Ufaransa na Ubelgiji
B. Uingereza na Ujerumani C. Ufaransa na Ureno D. Ubelgiji na Ureno
12. Mbuga ya Wanyama iliyo kubwa kuliko zote Afrika Mashariki inaitwa: A. Hifadhi ya
Serengeti B. Mbuga ya Ngorongoro C. Mbuga ya Maasai Mara D. Mbuga ya Nyerere
13. Ipi kati yazifuatazo ni njia rahisi na ya haraka kwa kusafirisha mafuta ghafi kwa wingi?
A. Usafiri wa anga B. Ndoo kubwa C. Usafiri wa bomba D. Mashine
14. Tunapotazama machweo ya jua, mikono yetu ya kushoto huwa upande gani?
A. Upande wa kusini C. Upande wa mkono wa kushoto B. Upande wa magharibi
D. Upande wa kaskazini
15. Zao la kilimo linalotegemewa kuhudumia viwanda vya TPC, Kilombero na Mtibwa ni:
A. Tumbaku B. Pareto C. Majani ya chai D. Miwa
16. Sayari ya Dunia huonekana kuwa mbali na jua kila mwaka mnamo tarehe:
A. 21 Septemba B. 3 Januari C. 22 Disemba D. 6 Julai
17. Mataifa ya Ulaya yalianza kulitawala bara la Afrika rasmi baada ya:
A. Vita vya kwanza vya Dunia B. Vita vya pili vya Dunia C. Mkutano
wa Berlin D. Kuanguka kwa Shirikisho la Mataifa
18. Vitu kama majengo na barabara haviwezi kuonekana kama vilivyo. Je, utamshauri nini
mchora ramani?
A. kuviacha asivichore B. Kutumia picha C. Kuvipunguza urefu D. Kutumia alama
19. Orodha ipi inaonesha Wanyama waliokatika hatari ya kutoweka kutokana na ujangili?
A. Ng’ombe, mbweha na mamba B. Punda, fisi na sungura C. Tembo, twiga na
kifaru D. Mbwa, kuku na bata mzinga
20. Mkataba wa Vienna ulilenga: A. Kutunza tabaka la Ozoni B. Kupambana dhidi ya
ongezeko la joto C. Kupambana na virusi vya korona D. Kuimarisha utalii
21. Makao makuu ya ukoloni wa Ujerumani yalihamishwa kutoka Bagamoyo kwenda
Dar es salaam mnamo mwaka: A. 1919 B. 1885 C. 1891 D. 1896
22. Kabila la kwanza kuchukua silaha na kupigana wakati wa vita vya Maji Maji lilikuwa:
A. Wangoni B. Wanyamwezi C. Wayao D. Wamatumbi
23. Ujuzi wa ususi hutumika zaidi katika kutengeneza: A. Vigoda na meza B. Vikapu
na mikeka C. Makochi na nywele bandia D. Vinu na michi
24. Kituo cha kihistoria nchini Tanzania kinachoonesha maendeleo ya matumizi ya zana za
chuma kinaitwa: A. Magofu ya Bagamoyo B. Engaruka C. Kondoa-Irangi
D. Miamba ya Bismarck

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 84


25. Ubepari uliokomaahujulikana kama: A. Ubepari wa viwanda B. Ujima
C. Ubeberu D. Ujamaa
26. Pendekezo la kubadili jina la OAU kuwa AU lilitolewa na: A. Thabo Mbeki B. Paul
Kagame C. Cyril Ramaphosa D. Mwl. Julius K. Nyerere E. Muammar Gadaffi
27. Uchaguzi mkuu wa vyama vingi nchini Tanzania ulifanyika mwaka:
A. 1960 B. 1962 C. 1995 D. 1992
28. Tanganyika ilijipatia Uhuru wake kutoka mikononi mwa wakoloni wa waingereza
mwaka 1961. Hii ni karne ya ngapi? A. 18 B. 17 C. 20 D. 19
29. Mkoa maarufu kwa kilimo cha zabibu nchini ni:
A. Dodoma B. Morogoro C. Mtwara D. Iringa
30. Tafuta muda wa mji wa Dar es salaam, Tanzania ikiwa ni saa 2:00 asubuhi katika mji
wa Nairobi, Kenya uliopo nyuzi 45 Mashariki.
A. 2:00 usiku B. 3:00 asubuhi C. 2:00 asubuhi D. 1:00 asubuhi
31. Kituo cha kuzalisha umeme cha bwawa la Nyumba ya Mungu kipo katika mto gani?
A. Zambezi B. Pangani C. Wami D. Rufiji
32. Karl Peters alikuwa ni wakala wa kikoloni aliyewashawishi viongozi wa kimila kusaini
mikataba ya kilaghai ili kuifanya Tanganyika kuwa koloni la:
A. Wareno B. Wajerumani C. Waingerez D. Wafaransa
33. Ipi kati ya hizi zifuatazo ni faida ya kufua nguo? A. Kuonekana nadhifu
B. Kuzibadili rangi C. Kutopendeza D. Zionekane mpya
34. Miaka 1000 huitwa _____ A. karne B. muongo C. milenia D. miaka kenda
35. Vita vya Maji maji vilikua baina ya watanganyika na:
A. waingereza B. wajerumani C. wareno D. waganda
36. Azimio la Arusha lilitangazwa rasmi mwaka: A. 1968 B. 1960 C. 1967 D. 1964
37. Gavana wa kijerumani Tanganyika aliitwa nani? ___________ A. Herman Wisman B.
Horace Byatty C. Julius von Solden D. Carl Peters
38. Kiongozi wa chama cha watumishi wa serikalini Tanganyika Territory African Civil
Servant Association (TTACSA) aliitwa nani?
A. Martin Kayamba B. Julius Nyerere C. Rashid .M. Kawawa D. Kikwete
39. Fuvu la binadamu wa kale lilijulikana kama _________
A. fuvu la chuma B. zinjanthropus C. fuvu mtu D. anthropology
40. Ni eneo ambayo chumvi hupatikana kwa uwingi sana.
A. Isimila B. Amboni C. Engaruka D. uvinza

Jaza nafasi za wazi


41. Njia ya kupata habari na matukio ya kale kwa njia ya mdomo kupitia vitendawili,
hadithi, methali na tamathali za semi hujulikana kama __________________________
42. Taja aina mbili za makazi ya binadamu. i. _________________ii. ________________
43. Ni tabaka lipi la angahewa ambapo shughuli za kila siku za binadamu hufanyika?
44. Njia haramu inayotumiwa na wajasiriamali kukwepa kulipa kodi kwa kuficha sehemu
ambazo bidhaa zao huzalishwa inaitwa _____________________________________
45. Taja nchi mbili za Afrika zilizojitoa kutoka Jumuiya ya Madola. ________ii. _______
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 85
JARIBIO LA 31
1. Vipi kati ya hivi vifuatavyo ni vyanzo vya moto wa asili? A. Uvutaji wa sigara na
kulina asali B. Shoti ya umeme na matumizi mabaya ya majiko ya gesi
C. Mafuriko na milipuko ya volkeno D. Umeme wa radi na joto kali kutoka angani
2. Miongoni mwa maendeleo makubwa ya katika historia ya mwanadamu katika kipindi
cha zama za mawe za kati yalikuwa ni: A. Kutembea kwa miguu minne B. Ugunduzi
wa moto C. Kuanzisha makazi ya kudumu D. Kugunduliwa kwa chuma
3. Zama za maisha ya mwanadamu ambazo zimetawaliwa na utengezaji wa kompyuta
pamoja na mashine mbalimbali hujulikana kama: A. Homo habilisi B. Zama za
mawe za kati C. Zama za Teknojia ya Kidijitali D. Zama za mawe za
mwisho
4. Matendo au tabia ambazo haziruhisiwa katika jamii kutokana na utamaduni wa jamii
husika hujulikana kama: A. Taratibu B. Mila C. Miiko D. Desturi
5. Mwenyekiti wa kwanza wa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU) alikuwa nani?
A. Filipe Yucinto Nyusi B. Haile Selassie C. Kwame Nkurumah D. Thabo
Mbeki
6. Nchi zipi kati ya hizi zifuatazo hufanya usafirishaji wa majini kupitia ziwa Nyasa?
A.Tanzania, Zambia na Malawi B. Tanzania, Angola ana DRC C. Tanzania,
Kenya na Malawi D. Tanzania, Malawi na DRC
7. Shujaa wa Afrika aliyeongoza mapambano ya kudai uhuru na kufanikiwa kuikomboa
Algeria kutoka mikononi mwa ukoloni wa Wafaransa alikuwa nani?
A. Nnamdi Benjamin Azikiwe B. Ahmed Ben Bella C. Ahmed Sekou Toure
D. Abubakar Tafawa Balewa E. Augustino Neto
8. Ni tarehe ipi Dunia huwa katika umbali mrefu zaidi kutoka kwenye jua?
A. 21 Machi B. 21 Juni C. 22 Desemba D. 3 Januari E. 4 Julai
9. Ni gimba lipi kati ya haya yafuatayo halibadili uelekeo wake wakati wa kupatwa kwa
jua au kupatwa kwa mwezi? A. Jua B. Mwezi C. Dunia D. Zebaki
10. Ni maeneo gani ya Tanzania yana uoto wa asili wa mikoko? A. Katikati mwa
Tanzania B. Mwambao wa Bahari ya Hindi C. Kanda ya Ziwa D. Kusini
mwa Tanzania
11. Ni kwa namna gani shughuli za utamaduni huchangia kuinua kipato cha mtu mmoja
mmoja na taifa kwa ujumla? A. Kwa kutangaza utamaduni wa kigeni B. Kwa
kuhamasisha mila na desturi zisizofaa C. Kwa kuwafundisha watu wawe wavivu
D. Kwa kuuza bidhaa za utamaduni kama vile vinyago
12. Nini madhara ya kuruhusu uingizwaji wa bidhaa za nje katika masoko ya ndani nchini
Tanzania? A. Kukua kwa pato la taifa B. Kukosa mitaji C. Kuanguka
kwa viwanda vya ndani D. Kupungua kwa bidhaa za viwandani
13. “Mjasiriamali lazima awe mbunifu". Nini maana ya ubunifu katika ujasiriamali?
A. Uwezo wa kukubali hasara B. Uwezo wa kufikiria na kubuni mbinu mpya
C. Kufanya kazi kwa bidii D. Uwezo wa kushawishi wengine
14. Kwanini inashauriwa kuchemsha maji pamoja na majani ya chai wakati wa uandaaji wa
chai ya maziwa? A. Kupunguza gharama B. Kupunguza kiasi cha sukari
kinachohitajika C. Kuongeza ladha kwenye chai D. Kuifanya chai ichemke haraka
15. Ni chombo kipi cha muziki kati ya hivi vifuatavyo hutoa sauti kwa kupigwa?
A. Filimbi B. Marimba C. Gitaa D. ngoma
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 86
16. Mistari inayotumika kutafuta mahali kwa usahihi katika ramani ni ipi?
A. Latitudo na Ikweta B. Greenwich na Latitudo C. Kaprikoni
na Kansa D. Longitudo na Latitudo
17. Baadhi ya vyombo muhimu vinavyosaidia kuendesha Jumuiya ya Afrika Mashariki ni:
A. Bunge na spika wa bunge B. Bunge na mahakama C. Mahakama na
majaji D. Soko la pamoja na ushuru wa forodha
18. Uchapaji kwa njia ya kimia hutumia wavu, brashi na__________________________
A.stenseli B. wino C. rangi D. kimia
19. Sekta kuu ya uchumi wa kikoloni Tanganyika na Zanzibar ilikuwa:
A. Uchimbaji wa madini B. Biashara C. Kilimo D. Viwanda
20. Gavana wa kwanza wa Ujerumani nchini Tanganyika alikuwa nani?
A. Horrace Byatt B. Julius von Soden C. Donald Cameron D. Richard Turnbull
21. Binadamu alianza kuishi makazi ya kudumu katika zama za mawe zipi?
A. Zama za mawe za kati B. Zama za mawe za kale C. Zama za mawe za
mwisho D. Zama za mawe za mwanzo
22. Lipi kati ya makundi yafuatayo lilikuwa ni kundi la pili ka vitangulizi vya ukoloni
kuwasili Tanganyika na Zanzibar?
A. Walowezi B. Wamisionari C. Wapelelezi D. Wafanyabiashara
23. Zipi kati ya nchi zifuatazo hazikuwahi kutawaliwa?
A. Libya na Somalia B. Morocco na Misri C. Liberia na Eritrea D. Ethiopia na Liberia
24. Alama ifuatayo huwakilisha nini kwenye ramani?

A. Reli B. Kituo cha reli C. Daraja Makutano ya reli na barabara D. Kivuko


25. Tume iliyoundwa na serikali ili kukusanya maoni kuhusu mfumo wa vyama vingi
mwaka 1992 iliitwa: A. Tume ya Warioba B. Tume ya Lubuva C. Tume ya Nyalali
D. Tume ya Sitta E. Tume ya Nyerere
26. Wamasai, Wasukuma na Wamang’ati ni jamii ambazo shughuli yao kuu ya uchumi ni:
A. Kufua vyuma B. Uwindaji C. Ufugaji D. Uvuvi
27. Vita kati ya Tanzania na Uganda ilidumu kwa muda gani?
A. Miaka mitatu B. Miaka mitano C. Miaka miwili D. Miaka mine
28. Mipaka ya kudumu ya Afrika Mashariki iliwekwa mwaka:
A. 1940 B. 1880 C. 1896 D. 1886
29. Mchakato mzima wa kuhesabu, na kutunza kumbukumbu ya idadi kamili ya watu
katika eneo fulani huitwa: A. Idadi ya watu B. Makazi C. Sensa D. Takwimu
30. Kabla ya kuja kwa ukoloni, elimu ya Afrika ilitolewa kwa njia ya:
A. jando na Unyago B. Redio C. Magazeti D. Mashuleni
31. Afrika ya Kusini ilijipatia Uhuru wake mwaka 1994 chini ya uongozi wa:
A. Steve Bhiko B. Jacob Zuma C. Mobutu Seseseko D. Nelson Mandela
32. Sensa ya watu na makazi Tanzania iliyorekodi idadi ya watu milioni 45 ilifanyika
mwaka: A. 2000 B. 2020 C. 2010 D. 2012
33. Pesa ambayo huhifadhiwa sehemu kama vile benki kwa ajili ya matumizi ya
baadaye hujulikana kama: A. Matumizi B. Mtaji C. Mapato D. Akiba
34. Zifuatazo ni kazi za nyimbo katika jamii, ISIPOKUWA:
A. Kuburudisha B. Kukosoa jamii C. Kukuza utamaduni wa kigeni D. Kuelimisha
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 87
35. Makao makuu ya serikali ya kikoloni ya Wajerumani kwa mara ya kwanza
Tanganyika yalikuwa: A. Dar es salaam B. Kilwa C. Bagamoyo D. Zanzibar
36. Kiongozi na Amiri jeshi Mkuu wa Tanganyika wakati wa utawala wa kijerumani
aliitwa: A. Waziri wa Makoloni B. Gavana C. Afisa wa Wilaya D. Liwali
37. Sultani Seyyid Said alihamishia makao yake rasmi kutoka Muscut Oman kwenda
Zanzibar mwaka: A. 1840 B. 1940 C. 1886 D. 1891
38. Makamu wa kwanza wa Rais wa Tanzania kutoka mwaka 1964 mpaka 1972 alikuwa
anaitwa: A. Abeid Aman Karume B. Ali Hassan Mwinyi
C. Ali Mohamed Shein D. Wilbroad Slaa
39. Kiongozi mkuu wa kabila la Wayao aliyekuwa na jeshi imara lililopambana na
Wajerumani mwaka 1890 alikuwa:
A. Machemba B. Kabalega C. Isike D. Abushiri
40. Lipi kati ya mashirika ya umoja wa mataifa linahusika na mila na desturi?
A. UNEP B. UNCTAD C. UNESCO D. UN HABITAT

Soma picha ifuatayo kwa makini kisha jibu maswali yanayofuata

41. Taja zao lilioneshwa kwenye picha hapo juu.


________________________________________
________________________________________
42. Mikoa miwili ya Tanzania ambayo zao hilo
hulimwa ni: ______________ na ____________
43. Taja matumizi ya zao hilo.
_______________________________________
_______________________________________
_______________________________________

Jaza nafasi zilizoachwa wazi


44. Aina ya udongo unaotumika katika kutengeneza na kuumba vitu unaitwa __________
45. Taja viamba upishi viwili vinavyohitajika katika zoezi la kuandaa chai ___________

JARIBIO LA 32
1. Chama cha ushirikiano wa waafrika (A.A) kilianzishwa mnamo mwaka ____________
A. 1927 B. 1929 C.1948 D. 1954
2. Jina Tanganyika lilianza kutumika rasmi mnamo mwaka ________________________
A. 1961 B. 1962 C. 1964 D. 1920 E.1886
3. Dunia hujizungusha yenyewe kwenye mhimili wake kutoka _______ kwenda ______
A. Magharibi Kaskazini
B. Magharibi Kusini
C. Mashariki Magharibi
D. Magharibi Mashariki
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 88
4. Kisiwa kikubwa kuliko vyote barani Afrika ni kile cha _________________________
A. Comoro B. Ushelisheli C. Madagaska D. Unguja
5. Rasilimali inayovutia watalii na kuchangia katika ukuaji wa uchumi wa Taifa ni _____
A. Ardhi B. Mito C. Hifadhi za mbuga za wanyama D. Madini
6. Mtu anayewekeza mtaji wake katika mradi fulani ili kutengeneza faida huitwa _______
A. Mwanauchumi B. Mdhamini C. Mtanguzi D. Mjasiriamali
7. Inasadikiwa kuwa binadamu wa kwanza aliishi________________________________
A. Ulaya B. Amerika kusini C. Afrika D. Asia
8. Nchi ya mwisho kiupata uhurubarani Afrika ni ipi kati ya zifuatazo?
A. Afrika Kusini B.Sudani ya Kusini C. ghana D. Angola
9. Jasusi aliyetikisa nchi ya Uganda kwa vita dhidi ya Tanzania mwaka 1978 – 1979
aliitwa A. Kabaka Yeka B. Ibrahim Chande C. Iddi Amin Dada D.Machemba
10. Ardhi ilitumika kama zana ya kunyonyea watu wengine katika utaratibu upi wa
maisha?_____ A. ubepari B. ujamaa C. ujima D. ukabaila
11. Umoja wa mataifa (UNO) uliundwa lini? A. baada ya vita kuu ya kwanza B.
Kabla ya vita kuu ya kwanza C. baada ya vita kuu ya pili D. kabla ya vita kuu
ya pili
12. Elimu kwa wote (UPE) nchini Tanzania ilianzishwa mwaka__________________
A. 1974 B. 1970 C. 1972 D. 1980 E. 1977
13. Nchi ya Afrika iliyokuwa inafuaata mfumo wa vyama vingi vya siasa tangu mwaka
1980 ni: A. Zimbabwe B. Tanzania C. Botswana D. Ghana E. Ethiopia
14. Iwapo umbali wa kilomita 25 kwenye ardhi unawakrikishwa na urefu wa sentimita 5
kwenye ramani, kipimo cha ramani ni___________
A. 1:20000 B. 1: 100000 C. 1: 500000 D. 1:5000000 E. 1:10000
15. Jua la utosi katika mwezi Desemba huwa katika ____________ A. Kizio cha kusini
B. Tropiki ya kansa C. Ikweta D. Kizio cha kaskazini E. Tropiki ya kaprikoni.
16. Bainisha vyanzo vya umeme kati ya vifuatavyo:- A. Nguvu ya maji, madini na
nyaya B. Upepo, maji na transfoma C. maji, upepo na Jua D. Makaa ya mawe,
nyaya na transfoma
17. Kanuni ya Lapse inasema joto hupungua nyuzi 0.6 za sentigredi kila mita__________
kwenda juu kutoka usawa wa bahari. A. 100 B. 1000 C. 700 D. 500
18. Faida ya matumizi ya mrudio katika utunzaji wa mazingira ni______ A. Kupanga kazi
mradi B. uzalishaji wa bidhaa mbalimbali C. kupunguza taka D. kutengeneza taka
19. Mazao yaliyoletwa na Wareno hapa Tanganyika ni pamoja na: A. mihogo na kahawa
B. Kahawa na karafuu C. Katani na mihogo D. Korosho na nazi
20. Soko la watumwa Zanzibari lilifungwa mwaka: A.1984 B.1905 C. 1973 D.1873
21. Ugonjwa wa UVIKO – 19 uliingia nchini Tanzania lini?
A. Mach 2018 B. Machi 2019 C. Machi 2020 D. Machi 2021
22. Tendo la kutembea mahali kwa ajili ya kuona vitu mbalimbali na kujifurahisha huitwa:
A. Maonesho B. Utalii C. Michezo D. Utafiti
23. Kwa upande wa Mashariki nchi ya Tanzania imepakana na:
A. Nchi ya Kenye B.Nchi ya Uganda C. Bahari ya Hindi D. Ziwa Viktoria
24. Nishati isiyo na madhara katika mazingira ni:
A. Kuni B. Mkaa C. Makaa ya mawe D. Umeme wa Jua

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 89


25. Ziwa lenye kina kirefu zaidi katika Afrika Mashariki ni:
A. Tanganyika B. Nyasa C. Victoria D. Manyara E. Turkana
26. Nchi ya kwanza kupata uhuru Afrika mashariki ni: A. Zanzibar B. Tanzania C. Kenya
D. Uganda E. Uganda Na Tanzania
27. Waziri mkuu wa kwanza baada ya Tanganyika kupata uhuru mwaka 1961 kutoka kwa
waingereza ni ___________ A. Rashidi kawawa B. Moringe Edward Sokoine
C. Cleopa Msuya D. Julius K. Nyerere
28. Emil Von Zelewisky aliuawa katika vita ya Wajerumani na______________________
A. Wahehe B. Wanyamwezi C. Wamatumbi D. Wandengereko
29. Tabaka la ozoni linapatikana katika umbali wa kilomita _________ juu ya uso wa
dunia. A. 20 hadi 30 B. 10 hadi 20 C. 50 hadi 80 D. 10 hadi 50
30. Nchi za Afrika zilitembelewa na watangulizi tofauti tofauti wa kikoloni. Watangulizi
wa kwanza wa kikoloni Zanzibar na Tanganyika walikuwa:
A. Wafanyabiashara B. Wamisionari C. Wapelelezi D. Walowezi
31. Sultani wa kwanza kutawala Zanzibar aliitwa: A. Seyyaid Said Majid
B. Majid Seyyeid C. Seyyid Athuman D. Seyyid Barghash
32. Kampuni ya kibiashara ya kiingereza (IBEACO) Afrika mashariki iliongozwa na
A. John Rebman B. Harry John C. Karl Peters D. William Mackion
33. Umoja wa nchi huru za Afrika uliundwa mwaka ___
A. 1963 B. 1953 C. 1973 D. 1961 E. 1964
34. Katika zama za mwisho za mawe mgawanyo wa kazi katika jamii ulizingatia ________
A. busara na utajiri B. busara na umri C. uzoefu na busara D. umri
na jinsia E. utajiri na umri
35. Mwanasayansi aliyeeleza hatua za mabadiliko ya binadamu aliitwa ___ A. Marry
Leakey B. Charles Darwin C. Louis Leakey D. Richard Leakey E. John Speke

Jaza nafasi za wazi


36. Mchego ni mwanafunzi wa darasa la sita ambaye huvaa viatu vichafu na soksi mbichi,
ni madhara gani anaweza kupata kama asipokuwa mwangalifu katika usafi wa viatu?
37. Tanzania ni nchi ambayo ina Marais sita ambao wameongoza nchi hii kutoka uhuru
mpaka sasa. Taja jina la Rais aliyeongoza nchi hii kwa kipindi cha muda mrefu zaidi?
38. Tarehe 21.3. 2020 Mamlaka ya hali hewa jotoridi lilirekodiwa katika mikoa mitano
ambayo ni Singida 320C, Arusha 310C, Mwanza 340C, Dar es salaam 430C, na Mbeya 300C.
i. Mkoa gani ulikuwa na jotoridi la kiwa ngo cha juu zaidi? _____________________
ii. Nini tofauti ya kiasi cha joto la juu na kiasi cha joto cha chini katika mikoahiyo? __
39. Mtovagakye, Isabela na Joshua ni watanzania wanaofanya kazi katika Halmashauri ya
Manispaa ya Iringa ambao wamepanga kutembelea hifadhi ya taifa ya Serengeti mwezi
Disemba. Ni aina gani ya utalii watafanya? ___________________________________
40. Mimi ni sayari ya tano kutoka kwenye mfumo wa Jua na pia ni sayari kubwa kuliko
zote. Mimi ni sayari gani? _________________________________________________
41. Tabia nchi ya Kisavana hupatikana kati ya latitudo _____________ hadi ___________
Kaskazini na Kusini mwa Ikweta
42. Andika njia sahihi inayotumika katika kuandaa vyakula vifuatavyo:
a. Mikate____________________________ b. Uji ____________________________

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 90


43. Njia ya kupata habari na matukio ya kale kwa njia ya mdomo kupitia vitendawili,
hadithi, methali na tamathali za semi hujulikana kama __________________________
44. Kampuni la kibiashara la kiingereza afrika mashariki liliongozwa na _______________

Tumia ramani ya Afrika Mashariki ifuatayo kujibu maswali yanaayofuata


45. Ziwa linalooneshwa kwa herufi E linaitwaje?
____________________________________
46. Herufi A inawakilisha ziwagani?
____________________________________
F 47. Herufi G inawakilisha kisiwa kiitwacho:
____________________________________
48. Makao makuu ya nchi ya herufi D ni:
G
____________________________________
49. Herufi F. huwakilisha nchi ya:
___________________________________
50. Nchi yenye maziwa mengi maarufu Afrika
Mashariki ni _________________________

Kila la kheri katika


Mtihani wako wa
Taifa
*****************************************************************
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 91
MAJIBU
JARIBIO LA 1
Na. JIBU Na. JIBU
1 A 31 D
2 B 32 C
3 A 33 B
4 D 34 B
5 C 35 B
6 C 36 E
7 A 37 A
8 C 38 D
9 A 39 B
10 D 40 F
11 B 41 Kilimo n.k
12 C 42 Binamu
13 D 43 Familia (ya awali)
14 C 44 Mtwa Mkwawa
15 B 45 1961
16 A
17 C
18 B
19 C
20 C
21 D
22 B
23 A
24 B
25 D
26 B
27 B
28 D
29 B
30 D
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 92
JARIBIO LA 2
Na. JIBU Na. JIBU
1 C 31 C
2 A 32 D
3 D 33 A
4 B 34 D
5 A 35 B
6 D 36 Tetemeko la ardhi
7 A 37 Mlima Kilimanjaro/mlima Oldonyo Lengai/mlima Rungwe
8 B Majanga ya asili ni matukio makubwa ya ghafla
9 A 38 ambayo husababishwa na nguvu za asiliwakati majanga
10 yasiyo ya asili kutokea kwake husababishwa na
B
shughuli mbalimbali zinazofanywa na binadamu.
11 D
12 C 39 Uwindaji, uchimaji wa mizizi na kutengenezea nguo
13 D 40 Zama za mawe za kati
14 C 41 Zama za mawe za kati
15 A 42 Mlipuko wa volkano
16 B 43 Zama za mawe za mwisho
17 A 44 Zama za chuma
18 C 45 Kuongezeka kwa mazao/ kuongezeka kwa watu kwa
19 A wingi
20 C
21 A
22 A
23 C
24 D
25 B
26 A
27 C
28 A
29 B
30 D

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 93


JARIBIO LA 3
Na. JIBU Na. JIBU
1 C 31 T
2 A 32 K
3 D 33 R
4 C 34 P
5 B 35 O
6 D 36 Makumbusho
7 A 37 Kifo cha Dkt John Pombe Magufuli, Samia Suluhu
8 D Hassa kuongoza nchi kama rais
9 C 38 Olduvai Gorge mkoani Arusha
10 D 39 Engaruka mkoani Arusha wilaya ya Ngorongoro
11 D 40 Amboni mkoani Tanga
12 D 41 Isimila mkoani Iringa
13 A 42 Kilwa kisiwani mkoani Lindi
14 C 43 Kaole mkoani Pwani
15 D 44 Mji mkongwe wa Bagamoyo mkoani Pwani
16 C 45 Kondoa Irangi mkoani Dodoma
17 A
18 B
19 A
20 A
21 E
22 H
23 B
24 C
25 D
26 Q
27 J
28 G
29 L
30 U

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 94


JARIBIO LA 4
Na. JIBU Na. JIBU
1 B 31 F
2 A 32 D
3 A 33 A
4 C 34 G
5 C 35 H
6 B 36 J
7 A 37 I
8 D 38 C
9 B 39 B
10 D 40 E
11 C 41 Mazingira
12 B 42 Umwagiliaji
13 A 43 Kukata mti
14 A 44 Kupanda miti
15 B  Uhaba wa mvua
16 D  Mmomonyoko wa udongo
17 B 45  Uharibifu wa makazi ya wanyama
18 D  Upepo mkali
19 B
20 B
21 C
22 C
23 D
24 B
25 B
26 D
27 D
28 B
29 D
30 D

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 95


JARIBIO LA 5
Na. JIBU Na. JIBU
1 C 31 Anemometa
2 D 32 Kipima mvua
3 B 33 Kupima mwanga wa jua
4 C 34 Baromita
5 C 35 Kupima uelekeo wa upepo
6 C 36 Kipimajoto/themometa
7 B 37 Kupima mgandamizo wa hewa
8 C 38 Kiangazi
9 C 39 Kipimajoto/ themomita
10 B 40 Hali ya hewa
11 D 41 Tabianchi
12 A 42 Tabianchi
13 D 43 Sura ya nchi
14 D 44 Mwinuko kutoka usawa wa bahari/uoto wa saili/Latitudo
Upepo/Umbali kutoka baharini na maziwa
15 B
16 A 45 Ukanda wa Pwani/ Ukanda wa nyanda za juu/ Ukanda wa
kati/ Ukanda wa ziwa
17 C
18 C Uwapo wa ziwa Victoria ambalo husababisha kutokea kwa
mvua nyingi. Uwapo wa ziwa husababisha uvukishwaji
19 D 46 ambao ni muhimu katika kufanyika kwa mvua
20 A
21 B 47 Kuwepo kwa hali ya ubaridi/Uwepo wa rutuba ya kutosha/
Uwepo wa mvua ya kutosha
22 C
23 D Kubadilika kwa misimu ya mwaka/Kuyeyuka kwa theluji katika
mlima Kilimanjaro/Kuongezeka kwa kina cha maji ya bahari
24 A 48 (kufunikwa kwa fukwe za visiwa vya Pemba, Unguja na Mafya
25 B kutokana na kuyeyuka kwa theluji)/Kupotea kwa
bayoanuai/Kuongezeka kwa maradhi (malaria,kipindupindu na
26 C shinikizo la damu)/Kutokea kwa ukame
27 D 49 Hali ya hewa ni hali ya anga katika sehemu Fulani kwa kipindi
Fulani wakati tabianchi ni wastani wa hali ya hewa iliyorekodiwa
28 C kwa kipindi kirefu cha muda kuanzia miaka 30 au zaidi.
29 B Kuchagua aina ya mavazi ya kuvaa/Kuchukua tahadhari
dhidi ya majanga ya hali ya hewa/Huwasaidia marubani
30 D 50 kuchukua tahadhari kabla ya kurusha ndege au kutua

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 96


JARIBIO LA 6 JARIBIO LA 7
Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU
1 B 31 D 1 A 31 Ujima
2 A 32 C 2 A 32 Utamaduni
3 B 33 B 3 B Ukeketaji wa watoto wa
kike/ndoa za
4 D 34 A 4 B 33 utotoni/Kurithi wajane
5 B 35 C 5 A
6 B 36 D 6 C 34 Makabaila
7 C 37 C 7 D 35 Lugha ya Kiswahili
8 D 38 C 8 D 36 Taja
9 A 39 A 9 B Utambulisho wa jamii ya
kitanzania katika
10 C 40 B 10 D kuelimisha, mfano hadithi
11 C 41 Utamaduni 11 D 37 na vitendawili, kupashana
habari na kubadilishana
12 D 42 Jirani 12 A mawazo.
13 C 43 Familia pana 13 B
14 D 44 Mdundiko 14 A 38 Wamasai/wahadzabe
15 B 45 Familia 15 B 39 Masimulizi/maandishi/m
ichoro mbalimbali
16 C 16 A
17 B 17 C 40 C
18 C 18 B 41 D
19 A 19 Kweli 42 A
20 B 20 Kweli 43 B
Kuonesha mila na desturi
21 C 21 Sikweli zinazofaa na kuhimiza
22 B 22 Kweli ziendelezwe na jamii.
Luninga kuonesha michezo
23 D 23 Kweli 44 mbalimbali yenye maadili
mabaya kama matumizi ya
24 C 24 Kweli madawa ya kulevya.
 Kuhamasisha watu kufuata
25 C 25 Wamasai mila na desturi za
26 C 26 Wakulima wakoloni.
 Kulazimisha watu kutumia
27 D 27 Tambiko lugha za wakoloni kama
45 kingereza, kifaransa na
28 B 28 Ukabaila kireno.
29 D 29 Watwana  Kutoa elimu yenye lengo la
kuondoa mila na desturi za
30 C 30 Sanaa kale.
 Kupiga marufuku mila na
desturi za waafrika.

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 97


JARIBIO LA 8 JARIBIO LA 9
Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU
1 A 31 C 1 C 31 A
2 C 32 A 2 A 32 A
3 D 33 D 3 B 33 D
4 A 34 D 4 D 34 D
5 C 35 C 5 A 35 D
6 A 36 A 6 D 36 C
7 A 37 A 7 D 37 A
8 A 38 Mawe na miti 8 B 38 B
9 D 39 1844 9 C 39 E
10 B 40 1498 10 B 40 D
11 41 Karne ya 16 11 41 Rutuba na Usafirishaji
B A
12 C 42 1593 na 1596 12 A Kurekebisha
13 A 43 Berlin 13 D mipaka ya
14 B 44 Vasco Da Gama 14 C 42 mwaka 1886 na
kugawa upya
15 D 45 Makabaila 15 D sehemu
16 A 16 B zilizokuwa
17 D 17 A hazijagawiwa.
18 A 18 A Kwa sababu
19 B 19 C 43 ulifanyika katika
20 20 mji wa Berlin
B D
21 A 21 D 44 Wafanyabiashara
22 A 22 A  Church
23 D 23 B Missionary
24 24 Society
D C
(CMS)
25 A 25 D 45
26 B 26 A  Universities
27 B 27 B Mission to
28 D 28 D Central Africa
29 D 29 A (UMCA)
30 B 30 D

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 98


JARIBIO LA 10 JARIBIO LA 11
Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU
1 C 31 H 1 C Mwalimu Julius
2 D 32 J 2 C 31 Kambarage Nyerere
3 B 33 C 3 B
4 A 34 G 4 C 32 Miaka 21
5 D 35 D 5 A 33 Baba wa taifa
6 A 36 I 6 B 34 14/10 (Oktoba)
7 A 37 A 7 A 35 Ya kwanza
8 C 38 Waziri mkuu 8 D 36 Uingereza na
9 A 39 Samia Suluhu 9 D Ujerumani
10 A Hassan (2022) 10 A 37 Ukoloni
11 C 40 26/4/1964 11 A 38 Waingereza
12 B 41 14/10 12 D 39 Maji
13 A 42 Ali Hassan 13 D 40 1918
14 C Mwinyi 14 C 41 Gavana
15 D 43 Wajerumani 15 C 42 Kingereza
16 C 44 Kinjekitile Ngwale 16 B British and
17 A 45 Miaka 43 17 D 43 Amerca Tobacco
18 A 18 C (BAT)
19 B 19 A 44 TANU
20 B 20 C 45 Kinjekitile ngale
21 A 21 B
22 D 22 B
23 C 23 B
24 D 24 C
25 C 25 C
26 A 26 D
27 B 27 D
28 E 28 C
29 B 29 A
30 F 30 B

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 99


JARIBIO LA 12 JARIBIO LA 13
Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU
1 A 31 B 1 C 31 B
2 C 32 C 2 D 32 C
3 B 33 D 3 A 33 D
4 A 34 A 4 B 34 A
5 C 35 B 5 C 35 B
6 A 36 G 6 D 36 C
7 B 37 F 7 A 37 F
8 D 38 D 8 A 38 A
9 C 39 A 9 C 39 E
10 A 40 B 10 C 40 D
11 B 41 C 11 C 41 B
12 C 42 H 12 D 42 Ufunguo
13 D 43 E 13 B 43 Daraja
14 A 44 Ali Hassan14 C 44 Msikiti
15 B Mwinyi 15 A 45 Magharibi
16 C 45  Wareno 16 A
17 A hawakuwa 17 B
18 D tayari kuachia
18 C
19 A nchi 19 D
20 A walizotawala 20 B
21 C zijitawale. 21 A
22 A 22 B
23 D  Wareno 23 D
24 B walitegemea 24 D
25 D sana nchi za 25 C
26 B Afrika kwa 26 A
27 B maendeleo ya 27 B
28 A kiuchumi. 28 A
29 C 29 A
30 A 30 B

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 100
JARIBIO LA 14
Na. JIBU Na. JIBU
1 A 31 Mstarihi
2 B 32 1800
3 C Kuepusha kutofautiana kwa tarehe katika nchi moja
4 D 33
5 A
6 B  Kuonesha mahali katika ramani
7  Kupima umbali wa maeneo katika ramani
 Kubaini siku na tarehe za nchi mbalimbali duniani kwa
8 B 34 kuzingatia mstarihi
9 A  Kuonesha njia za vyombo vya usafiri wa majini na anga
10 D  Longitudo hutumika kukokotoa muda wa mahali Fulani duniani

11 C 35 Mawili
12 B 36 Mitatu
13 C 37 Bwawani
14 C 38 Ramani ya takwimu
15 B Inaonesha mtawanyiko wa vituo vinavyotoa
16 B 39 huduma za afya katika wilaya ya Mufindi/
17 A haikuonesha sura ya nchi kwenye eneo husika
18 A 40 Kusini
19 D 41 Moja
20 C  Ramani hii imeonesha vitu vilivyojengwa na binadamu tu
21 A wakati ramani ya kijiji cha Mtakuja imeonesha maumbo ya
asili ya sura ya nchi na miundombinu iliyojengwa na
22 A 42 binadamu.
23 C  Ramani hii imeonesha vitu vichache na maalumu tu wakati
24 A ramani ya kijiji cha mtakuja imeonesha vitu vingi
25 B vilivyopo kwenye eneo
26 A 43 i. Ramani za topografia
27 B ii. Ramani za takwimu
28 C 44 Topografia
29 B 45 Kipande cha karatasi/ardhini/ukutani/kwenye
30 D kipande cha mbao n.k
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 101
JARIBIO LA 15 JARIBIO LA 16
Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU
1 C 31 F 1 D 27 Jua
2 A 32 G 2 C 28 Mfumo wa jua
33 H Nyota humwekamweka
3 A 3 C na nuru yake haitulii
34 Jua ni nyota iliyo 29
4 C karibu zaidi na dunia.
4 A wakati, sayari nuru
yake inatulia na
5 B 5 B haimweki.
 Dunia kujizungusha
6 D kwenye mhimili
6 A
35 30 Kutokana na kani ya
7 A wake 7 C uvutano iliyopo kati ya
8 B  Dunia 8 B sayari hizo.
kulizunguka jua 31 21 Juni
9 B 9 A
10 A Vuli, Masika 10 D 32 22 Disemba
11 B 36 Kiangazi na 11 C 33 21 Mach na 23
12 A kipupwe 12 A Septemba
Huruhusu maisha ya viumbe
13 B 37 Tarehe 3. Januari 13 A hai/Shukhuli za kila siku za
binadamu hufanyika katika
14 C 38 Kupwa kwa 14 D tabaka hili/Hutupatia vipengele
vya hali ya hewa.
15 A maji. 15 C 34 Hupunguza kiwango cha
nyuzijoto 0.6 0 C kwa kila mita
16 C Nguvu za uvutano 16 B 100 za mwinuko

17 A kati ya dunia na 17 B 35 Ni muhimu sana kwani ndani


yake kuna tabaka la ozoni
mwezi. Maji ambalo huikinga dunia dhidi ya
18 D huvutwa kuelekea 18 D mionzi mikali ya jua
Huakisi mawimbi ya redio
19 A 39 mwezi ulipo 19 A 36 hivyo ni muhimu sana kwa
mawasiliano
20 B wakati mwezi 20 C
21 Kweli unapoizunguka 21 D 37
Ni chujio la mionzi mikali ya
jua/Husharabu mionzi yote mikali
dunia kwa muda kama utravaoleti na eksirei
22 Kweli 22 A inayotoka kwenye jua.
wa siku moja Mfumo
23 Sikweli 23 38 Oksijeni
wa jua
Sikweli Mwezi na nyota Kloroflorokaboni na
24 40 39 haidrokloro-florokaboni
kweli Mfumo
25 41 Magimba 24 wa jua
40 Taja
26 A 42 Jua 41 Eleza
Gimba
27 B 43 Obiti 25 42 Sarateni
Vimond,
28 C 44 Dinia meteor, 43 Mizazi ya dunia
29 D 45 Kupatwa kwa 26 kometi
na
44 Magharibi
30 E jua Asteroidi 45 Km 10

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 102
JARIBIO LA 17
Na. JIBU Na. JIBU
1 C 31 Sensa ya watu na makazi
2 B 32 Makazi
3 D 33 Makazi ya mjini na makazi ya kijijini
4 D 34 Makazi ya mjini/mkusanyiko
5 B 35 Biashara
6 A 36 Makazi ya watu hutegemea idadi ya watu. Idadi ya
7 D watu inapokuwa kubwa na makazi huongezeka.
8 C 37 Makazi ya mstari
9 B 38 Barabara, reli, mto, ziwa, au maumbile ya ardhi
10 D kama mabonde na milima
11 A 39 Idadi ya watoto wanaozaliwa
12 C  Upatikanaji wa huduma bora za kijamii mijini
13 A 40 (masoko/afya/intaneti/elimu n.k )
14  Fursa za ajira (biashara na shughuli nyinginezo)
B
15 C  Kuboresha huduma za kijamii vijijini
16 D 41  Kutoa elimu kwa vijana kuhusu matumizi ya fursa
17 A za ajira zilizopo vijijini
18 A 42 Tembo
19 C 43 Watalii
20 C 44 Majangili
21 D 45 Pembe
22 B
23 C
24 A
25 D
26 B
27 B
28 C
29 B
30 D

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 103
JARIBIO LA 18
Na. JIBU Na. JIBU
1 C
 Biashara zinazofanana ni kunyang’anyana wateja
2 D hivyo ubunifu ufanyike kufanya biashara tofauti na
3 D 31 wenginey
4 B  Kufanya biashara tofauti na wengine ni kuwa na
5 C wateja wengi zaiodi na hivyo kupata faida kubwa
6 A zaidi.
7 B
8 A 32  Kuelewa maendeleo ya biashara
 Kufanya maamuzi sahihi kwa biashara yako.
9 D
10 C
(i) Kutonunuliwa kwa bidhaa au huduma anazouza
11 B 33 (ii) Kukatishwa tamaa na hivyo kuacha kuwa
12 A mjasiriamali.
13 A (iii) Kupoteza wateja.
14 A Uthibitisho unaomruhusu mtu kufanya biashara ya iana
15 D 34 Fulani. Mfano, namba ya utambulisho wa mlipa kodi,
16 leseni ya biashara na vitambulisho vya wajasiriamali
B
wadogo.
17 C
18 B 35 Kukwepa kulipa kodi/kuendesha biashara bila kibali/kuuza
19 A bidhaa zisizo na ubora/kuuza bidhaa haramu.
20 D 36 Mlima Kilimanjaro
21 C 37 Arusha
22 D 38 Watalii
23 C 39 Kukuza pato la taifa/fedha za kigeni
24 A 40 Biashara
25 B 41 Rasilimali
26 C 42 Biashara
27 C 43 Utalii wa ndani na utalii wa nje
28 D 44 Ikolojia
29 A 45  Chakula
30 B  Kipato

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 104
JARIBIO LA 19
Na. JIBU Na. JIBU
1 B 27 Kilimo/viwanda na biashara/uchimbaji
wa madini/utalii/uvuvi/ufugaji
2 D
3 A Imeimarisha ulinzi katika maeneo
yanakopatikana madini ya Tanzanitekwa
4 C 28 kujenga ukuta kuzunguka eneo hilo.
5 C Imeanzisha masoko ya ununuzi na uuzaji
wa madini kwa kila mkoa.
6 A
7 D 29 Kondoa Irangi, Bonde la Olduvai,
8 C Bagamoyo
9 D 30 Mlima Kilimanjaro/ Mlima Meru/
Mlima Udizungwa/ Mlima Rungwe
10 F
11 A 31 Serengeti, Mikumi, Selous, Ngorongoro
12 H Wakulima watumie pembejeo
13 B 32 sahihi/watumie njia bora na za
14 J kisasa katika kilimo
15 L 33 Maji, madini, gesi asilia, mafuta
16 K Kupanda miti/Uvunaji endelevu wa
17 G 34 misitu/Njia bora za kilimo mfano kilimo
mseto, kilimo cha matuta na kilimo cha
18 C kubadilisha mazao.
19 I 35 Kufanya shughuli mbalimbali za kuzalisha
mali/Kutunza rasilimali nyingine
20 E
21 Ufugaji 36 Nchi kavu, majini na anga
Tanzania Bureau of Standards
22 Nyama/maziwa/ngozi/ 37 (Shirika la ubora wa viwango Tanzania)
samadi 38 Tanzania Revenue Authority (Mamlaka ya mapato
Tanzania.
23 Nyama na maziwa 39 Tanzania Communication Regulatory
Authority.
(Mamlaka ya mawasiliano Tanzania.)
Mmomonyoko wa udongo Tanzania Raylway limited (shirika la reli Tanzania)
24 40
Surface and Marine Transport Authority (Mamlaka ya
25 Umwagiliaji/viwandan 41 usafirishaji wa majini na nchi kavu).
Kutofaa kutumika kwa bidhaa kutokana na muda wa matumizi
26 Kuepuka kufuga mifugo 42 kuisha.
mingi katika eneo dogo
43 Utalii wa ndani na utalii wa nje
Ufugaji wa ndani
44 Ikolojia
45 Chakula na kipato
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 105
JARIBIO LA 20 JARIBIO LA 21
Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU
1 E 31 A 1 C 31 D
2 A 32 A 2 A 32 C
3 A 33 C 3 B 33 D
4 A 34 A 4 B 34 A
5 E 35 D 5 B 35 B
6 A 36 A 6 D 36 B
7 D 37 B 7 A 37 D
8 D 38 C 8 C 38 A
9 E 39 D 9 D 39 C
10 A 40 D 10 C 40 B
11 A  Dunia 11 C 41 Utalii wa ndani
kujizungusha  Wafanya
12 B 41 kwenye mhimili 12
B
biashara
13 B wake 13 B 42
 Wapelelezi
14 D  Dunia 14 A
kulizunguka jua  Wamisionari
15 E 15 C  Kifo cha rais
16 B 42 Dhahabu na 16 B  Samia Suluhu
17 C pembe za ndovu 17 C 43 Hassan kuanza
18 A 18 C kuongoza nchi
kama raisi
19 C 19 D
20 D 43 Mwezi unakuwa 20 B  Kupima
21 D umepatwa pale dunia 21 B mwendokasi
inapokuwa katikati ya wa upepo
22 B jua na mwezi hivyo 22 A 44
A  Kupima
23 C dunia huzuia mwanga 23
uelekeo wa
24 E kutoka kwenye jua 24 D
usiufikie mwezi. upepo
25 A (Mwezi hutegemea mwanga
kutoka kwenye Jua)
25 D  Kuoka
26 D 26 C 45  Kuchemsha/
27 C 44 Waarabu 27 C kutokosa
28 A 45 Jotoridi/Upepo/mvua/ 28 D
mgandamizo wa
29 B hewa/mwanga wa 29 A
30 A jua/unyevuanga 30 A
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 106
JARIBIO LA 22 JARIBIO LA 23
Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU
1 C 31 A 1 C 31 A
2 B 32 B 2 C 32 D
3 B 33 C 3 B 33 C
4 D 34 D 4 C 34 D
5 B 35 D 5 A 35 B
6 D 36 D 6 D 36 B
7 D 37 B 7 A 37 D
8 A 38 A 8 B 38 B
9 D 39 C 9 D 39 A
10 D 40 C 10 C 40 B
11 C 41 Gavana 11 B 41 Pasi ya umeme
12 A 42  Malighafi 12 A 42 Mwaka 2012
13 B  Wataalamu 13 A 43 1984 hadi 1985
14 B Jua ni nyota 14 D 44 UNESCO
15 B 43 iliyo karibu zaidi 15 D 45 Kupatwa kwa
16 A na dunia kuliko 16 D Mwezi
17 D nyota nyingine 17 E
18 B 44  Taka ngumu 18 B
19 B  Taka laini 19 C
20 D 45 Saa 2:00 usiku 20 C
21 C 21 C
22 B 22 B
23 A 23 B
24 A 24 D
25 C 25 B
26 D 26 C
27 B 27 A
28 D 28 B
29 D 29 C
30 C 30 B

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 107
JARIBIO LA 24 JARIBIO LA 25
Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU
1 D 31 A 1 D 31 D
2 C 32 B 2 C 32 A
3 D 33 D 3 A 33 D
4 B 34 D 4 C 34 B
5 D 35 B 5 A 35 C
6 A 36 D 6 D 36 D
7 B 37 A 7 D 37 D
8 A 38 C 8 D 38 C
9 D 39 A 9 C 39 C
10 D 40 D 10 B 40 A
11 E 41 Natron 11 C 41 Kitulo
12 A 42 Unguja 12 C 42 Uhuru Kenyatta
13 D 43 Saadani 13 C (Anastaafu 2022)
14 C 44 Zambia 14 C Vyombo vya
uchukuzi hulipa kodi
15 B 45 Mto Kagera 15 D ambayo hutumika
16 D 16 D 43 kutoa huduma
17 A 17 C mbalimbali kwa
jamii.
18 B 18 C
19 D 19 D  Vifo vya
binadamu na
20 A 20 D viumbe wengine
21 B 21 C  Upotevu wa mali
22 D 22 A  Ulemavu
44  Uharibifu wa
23 C 23 A mazingira
24 D 24 A  Uharibifu wa
25 D 25 D makazi na
26 B 26 D miundombinu ya
huduma za kijamii
27 D 27 B n.k
28 C 28 C
29 D 29 D 45 330C
30 D 30 D

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 108
JARIBIO LA 26 JARIBIO LA 27
Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU
1 C 31 C 1 D 31 B
2 D 32 C 2 C 32 A
3 B 33 A 3 C 33 C
4 C 34 D 4 A 34 D
5 C 35 A 5 D 35 D
6 A 36 B 6 A 36 C
7 C 37 C 7 D 37 C
8 B 38 D 8 A 38 D
9 B 39 D 9 A 39 A
10 C 40 D 10 C 40 A
11 D  Hutoa moshi 11 A
 Hutoa hewa chafu
12 B  Huzalisha maji
12 A
13 D taka kwa wingi 13 A
14 A 41  Hutoa kelele 14 D 41
15 B  Masalia ya bidhaa 15 D
uzagaa kwenye
16 C mazingira 16 D
17 A (mfano chupa 17 B
18 E na vifungashio) 18 B  Udongo
19 D  Kurithi 19 D 42 wenye rutuba
20 D wajane 20 A  Kutokea kwa
21 B 42  Ukeketaji wa 21 A mlima
22 D watoto wa 22 B 43 Kiikweta
23 C kike 23 B 44 a. Aprili
24 C 24 B b. Kimediterania
25 D Ni mfumo mzima 25 D  Alipambana
26 43 wa maisha ya watu 26 na
A B
fulani. Wajerumani
27 A 27 C 45 kwa ujasiri
28 D 28 C mkubwa
29 B 44 Kipimio 29 D  Hakupenda
30 D 45 Saa 4:30 usiku 30 C kutawaliwa na
Wajerumani

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 109
JARIBIO LA 28 JARIBIO LA 29
Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU
1 B 31 A 1 B 31 B
2 D 32 B 2 A 32 D
3 C 33 A 3 A 33 D
4 B 34 A 4 A 34 A
5 D 35 A 5 A 35 A
6 C 36 A 6 D 36 B
7 D 37 A 7 C 37 D
8 D 38 A 8 A 38 C
9 B 39 D 9 A 39 C
10 D 40 A 10 D 40 E
11 D 41 Ghana 11 B 41  Taka ngumu
12 D 42 Kilimo 12 D  Taka laini
13 D 43 UNICEF 13 A 42 Meroe
14 D 44 Sm 64 14 B 43 Zama za chuma
15 A 45 1994 15 B 44 Periplus
16 C 16 D 45 5:32 Asubuhi
17 B 17 B
18 D 18 A
19 A 19 C
20 A 20 C
21 D 21 B
22 A 22 B
23 D 23 D
24 B 24 A
25 A 25 A
26 D 26 B
27 D 27 D
28 C 28 D
29 C 29 B
30 A 30 D

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 110
JARIBIO LA 30 JARIBIO LA 31
Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU Na. JIBU
1 B 31 B 1 D 31 D
2 C 32 B 2 B 32 D
3 B 33 A 3 C 33 D
4 A 34 C 4 C 34 C
5 A 35 B 5 B 35 C
6 B 36 C 6 A 36 B
7 D 37 C 7 B 37 A
8 C 38 A 8 E 38 A
9 A 39 B 9 A 39 A
10 C 40 D 10 B 40 C
11 D 41 Masimulizi 11 D 41 Mkonge (katani)
12 D  Makazi ya mjini 12 C 42  Tanga
(mkusanyiko)
13 C 42 13 B  Morogoro
 Makazi ya vijijini  Kutengenezea
14 A 14 C
15 D 43 Angatropo 15 D 43 kamba
16 44 Magendo 16  Kutengenezea
D D
magunia
17 C 45  Afrika kusini 17 B
18 D  Zimbabwe 18 C 44 Udongo wa
19 C 19 C mfinyanzi
20 A 20 B  Sukari
21 C 21 C 45  Majani
22 D 22 B  Maji
23 B 23 D
24 A 24 B
25 C 25 C
26 C 26 C
27 C 27 C
28 C 28 D
29 A 29 C
30 C 30 A

Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 111
JARIBIO LA 32
Na. JIBU Na. JIBU
1 A 31 A
2 D 32 D
3 D 33 A
4 C 34 D
5 C 35 B
6 D 36 Fangasi
7 C Julius Kambarage Nyerere
8 A 37
9 C
10 D 38  Dar es Salaam
11 C  130C
12 A 39 Utalii wa ndani
13 D 40 Sumbula (Jupita)
14 C 41 100 hadi 130
15 E 42  Kuoka
16 C  Kutokosa/kuchemsha
17 A 43 Masimulizi
18 C 44 William Macknon
19 A 45 Tanganyika
20 D 46 Ziwa Kyoga
21 C 47 Unguja
22 B 48 Dodoma
23 C 49 Nchi ya Rwnda
24 D 50 Tanzania
25 A
26 B
27 D
28 A
29 A
30 C
Galaxy Stationery – 0764 968 345 Karibu kwetu Ukue Kitaaluma 112

You might also like