Professional Documents
Culture Documents
Sayansi Drs La IV
Sayansi Drs La IV
A.wanyama
B.Visivyo hai / /
C.Mmea
D.Mawe
A.mafuta
B.fuel
C.umeme / /
D.yote sawa
A.Pua
B.ulimi
C.macho / /
D.ngozi
A.Nyota
B.Jua
C.Radi / /
D.Kibiriti
v/Gesi ipi hutumiwa na wanyama ili kuishi?
A.Oksijeni
B.Kaboni
C.Haidrojeni / /
D.Nitrojeni
F. Panzi
Maji yako katika hali tatu ambazo ni yabisi, kiminiminika na gesi.Katika hali yabisi maji huitwa
barafu ,vilevile joto linapoongezeka barafu huyeyuka na kuwa maji,hali hiyo ya maji huitwa
kimiminika. Pia joto linapoongezeka hadi nyuzijoto sentigredi 100, maji hayo huchemka na kutoa
matone madogomadogo ya maji ambayo ni mvuke hivyo maji katika hali ya mvuke huitwa gesi
MASWALI
v.Maji yaliyo katika nyuzijoto za farenaiti 212 yapo katika aina gani ya kizingiti cha
maji________