You are on page 1of 120

JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI

YALIYOMO
JARIBIO LA 1 ............................................................................................................ 1
JARIBIO LA 2 ............................................................................................................ 3
JARIBIO LA 3 ............................................................................................................ 4
JARIBIO LA 4 ............................................................................................................ 6
JARIBIO LA 5 ............................................................................................................ 8
JARIBIO LA 6 .......................................................................................................... 10
JARIBIO LA 7. ......................................................................................................... 12
JARIBIO LA 8 .......................................................................................................... 14
JARIBIO LA 9 .......................................................................................................... 16
JARIBIO LA 10 ........................................................................................................ 18
JARIBIO LA 11 ........................................................................................................ 20
JARIBIO LA 12 ........................................................................................................ 22
JARIBIO LA 13 ........................................................................................................ 24
JARIBIO LA 14 ........................................................................................................ 26
JARIBIO LA 15 ........................................................................................................ 28
JARIBIO LA 16 ........................................................................................................ 30
JARIBIO LA 17 ........................................................................................................ 32
JARIBIO LA 18 ........................................................................................................ 34
JARIBIO LA 19 ........................................................................................................ 36
JARIBIO LA 20 ........................................................................................................ 38
JARIBIO LA 21 ........................................................................................................ 40
JARIBIO LA 22 ........................................................................................................ 42
JARIBIO LA 23 ........................................................................................................ 44
JARIBIO LA 24 ........................................................................................................ 45
JARIBIO LA 25 ........................................................................................................ 47
JARIBIO LA 26 ........................................................................................................ 49
JARIBIO LA 27 ........................................................................................................ 51
JARIBIO LA 28 ........................................................................................................ 53
JARIBIO LA 29 ........................................................................................................ 56
JARIBIO LA 30 ........................................................................................................ 58
JARIBIO LA 31 ........................................................................................................ 60
MWISHO .................................................................................................................. 66
KANUNI MBALIMBALI ZA KIHISABATI ............................................................. 67
MAJIBU..................................................................................................................... 85

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) i
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
UTANGULIZI
Kitini hiki kimeandaliwa kwa mtindo wa maswali na majibu
mahususi kabisa kwaajili ya wanafunzi wa darasa la saba kwa
mada/mahiri zote kuanzia darasa la tatu hadi darasa la saba ili
kumuwezesha pia kufanya marudio ya mahiri alizojifunza
madarasa ya nyuma. Kitini hiki kina majaribio 32 yenye
maswali 45 kila jaribio. Jaribio la 1-28 ni maswali ya
kukokotoa ili kumfanya mwanafunzi apate maarifa ya
ukokotoaji dhahiri na jaribio la 29 – 32 ni maswali ya
kuchagua yaliyolenga kumuandaa mwanafunzi kwa mtihani
wake wa taifa na mitihani mingine.
Maswali yaliyomo humu yametungwa kutoka kwenye mahiri
zote za Muhtasari wa Elimu Msingi kwa mbinu mbalimbali za
kumfanya mwanafunzi awe na stadi za ung’amuzi wa
mambo mengi na mbinu nyingi za kihisabati. Pia kitini hiki
kinaweza kumsaidia Mwalimu kuwaongoza wanafunzi
kufanya marudio ya mahiri mbalimbali kwa kufundisha au
kwa kutoa majaribio hivyo ni rafiki kwa Mwanafunzi na
Mwalimu.
Katika somo la Hisabati ni muhimu kufanya mazoezi ya mara
kwa mara ili kujenga uwezo wa kudumu hivyo tumia maswali
yaliyomo humu kujipima mara kwa mara.

Ndugu mzazi/Mlezi, usibaki nyuma muandae Mwanao


Galaxy Stationery, Tumetimiza wajibu wetu bado wewe Mzazi

Galaxy Stationery,
Uwepo wenu ndio Uhai wetu

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) ii
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
SHUKRANI
Ninapenda kutoa shukrani zangu za Dhati kabisa kwa Mwalimu Merickion Mathew
Chotamasege kwa ushirikiano wake katika kuhariri kazi yangu hii kwani amekuwa na
mchango mkubwa kwangu hadi kufikia hapa nilipofika. Pia nawashukuru watu wote
mtakaotumia bidhaa yetu hii kwani uwepo wenu ndio uhai wetu.

Mwenyezi Mungu awabariki sana.

Said Bunduki Chihungi

0764 968 345/0784 678 250

Bunduki76said@gmail.com

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) iii
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
13. Kokotoa 24 =
JARIBIO LA 1 14. 10000 – 999 =
1. Mwalimu Semeika aliwaambia
15. Je, ni namba ipi ikizidishwa kwa
wanafunzi wake waorodhwshe
12 jibu linakuwa 60?
namba nzima tano za mwanzo.
Wewe ungekuwepo darasani 16. Kokotoa kipeuo cha pili cha 441.
ungeorodhesha zipi?
17. Ni ipi namba ndogo yenye sifa ya
2. Ukiambiwa ukokotoe tofauti kati
kuwa tasa na pia shufwa?
ya kigawo kikubwa kabisa cha 20
na kigawo kidogo kabisa cha 20 18. Tafuta namba mraba ya 25
utapata ngapi?
19. Tafuta K. D.S cha 12 na 14
3. Katika uandishi wa sehemu,
20. Tafuta K. K.S cha 12 na 20.
kuna asili na kiasi. Katika
21. Tafuta thamani ya “k” ikiwa:
sehemu ni namba ipi 2k + 8 = 20.
inawakilisha asili? 22. Orodhesha namba tasa zilizopo
4. Nini jumla ya thamani ya kati ya 30 na 40.
tarakim 7 na 9 katika namba 23. Jeni hunywa ya chupa moja
125 798?
ya maji kila siku. Je, atakunywa
5. Soma namba ifuatayo; 60.345
chupa ngapi kwa siku 12?
6. Kadiria namba ifuatayo katika
24. Saa 4 dk. 45 - saa 3 dk 15 =
viwango viwili vya desimali.
25. Ng’ombe 103 wana jumla ya
74901.3852 =
miguu mingapi?
7. Andika 724 kwa namba za
26. Baraka alitembea Km 2 kwa
kirumi.
miguu kisha akatembea km 5
8. Ikiwa ni mwaka mrefu, tafuta
kwa baiskeli. je, safari yake
jumla ya siku kwa mwezi
ilikuwa na umbali wa mita ngapi?
Februari, Julai na Agosti.
9. Wanafunzi watano walipewa 27. Tafuta thamani ya P. =
Tarakimu 1, 2, 8, 9, 2, 4, 5, ili 28. Amina alikula ya chungwa. Je,
waunde namba nzima kubwa alibakiza sehemu gani ya
kuliko zote kwa kutumia chungwa hilo?
tarakimu hizo. Je, ni namba ipi 29. Badili km 4 na mita 300 kuwa
iliyoundwa ambayo ni kubwa? mita.
10. Kijiji cha Mabondeni kina jumla 30. Siku 9 zina jumla ya masaa
ya miti 1546920. Andika thamani mangapi?
ya nafasi ya tarakimu iliyopigiwa 31. Namba ya Kirumi inayowakilisha
mstari. 990 ni ipi?
11. Wanafunzi waliuza mboga kutoka 32. Mchoro huu una pembetatu
bustani ya shule na kupata ngapi?
shilingi 39, 076. Katika fedha
hizo walizopata ni tarakim ipi
inawakilisha mamia?
12. Andika sehemu iliyo ndogo zaidi
kati ya hizi zifuatazo:
, , na
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 1
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
SEHEMU HIZI KWA MANENO 41. 5cm
33. = ……………………….

34. = ………………………
9cm

35. = ………………………. Soma grafu ifuatayo kasha jibu


maswali yanayofuata.

36. = ………………………. 42. UFUNGUO: = Siku 3


JANUARI
TAJA MAJINA YA MAUMBO HAYA:
FEBRUARI

MACHI
37.
APRILI

MEI

JUNI

41. Mwezi Mei ulikuwa na siku ngapi


za mvua?
38.

42. Mwezi upi ulikuwa na siku 6 za


mvua?

43. Miezi ipi ilikuwa na siku 12 za


A mvua kila mmoja?

44. Tafuta tofauti ya siku za mvua za


mwezi Machi na Juni.
39.
45. Ukitumwa uende dukani kununua
suruali mbili za shule @ sh. 12500,
C
B mashati 2 meupe @ sh. 8000, skosi
pea 3 @ sh. 1500, viatu pea 3 @ sh.
16000 na sweta 1 kwa sh. 4000
utamlipa shilingi ngapi muuza
A B
duka?
40.
Sm 18

C D
**********************************
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 2
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 2 22. Mfululizo wa nukta usiyo na
1. Lipi ni zao la 722 na 21? mwanzo wala mwisho hujulikana
2. Kokotoa hisa ya 12 na 0.24. kama _____ kijometri.
3. Andika namba ambayo ni 23. 15% ya Tsh. 62,000/= ni sawa na
kigawanye kati ya hizi? shilingi ngapi?
31 ÷ 15.5 = 24. Kuna aina kuu tano za pembe
4. 0.05 ikizidishwa kwa 3.5 zao lake katika elimu ya Jometri
ni lipi? (MAUMBO). Ipi ndiyo pembe
5. Ipi ni kubwa kati ya 16/25 na 35%? kubwa kuliko zote?
6. Mayai yaliyotagwa mwezi 25. Wanafunzi wa darasa la VII
septemba kwenye mradi wa shule waliambiwa waandike namba
ni 6,178, 293. Nini kiwango cha tano ndogo kuliko 3. Namba hizo
tarakimu kubwa zaidi katika ni zipi kwa mfululizo?
idadi hiyo? 26. Nancy alikuwa anadaiwa kalamu
7. Gawanya 64/9 kwa 2. 2 kwa Thomas. Ikiwa alinunua
8. Kokotoa ✓
kalamu 5, ni mtajo au mlinganyo
2116 =
unawakilisha kalamu hizo katika
9. Jumlisha 101/12 na 65/6
elimu ya namba kamili?
10. Tafuta tofauti iliyopo kati ya 34/7
27. Andika namba ndogo kabisa
na 23/5. inayoweza kuzigawa namba hizi
11. Hayati John P. Magufuli
5, 20 na 4.
alizaliwa mwaka 1959. Andika
28. Onesha namba witiri zilizopo kati
umri wake hadi sasa kwa
ya 90 na 100.
numeral za kirumi
29. Jumla ya mbuzi na ng’ombe
12. 0.003 huandikwaje kama sehemu
katika wilaya ya Mufindi ni
rahisi?
2,139,500. Kama ng’ombe pekee
13. Kipeo cha tatu cha 10 ni ngapi?
ni 1,104,563. Je, mbuzi ni
14. Kadi tano za namba ziliandikwa
wangapi?
hivi :- 2, 9, 16, 23, ____
30.
15. a+a+a+3a+94a=
16. Panya walikula 3/7 ya tunda.
Andika sehemu ya tunda
iliyobaki. Nini desimali ya sehemu isiyo na
17. Andika 14.7055. katika mamoja kivuli?
yaliyo karibu. 31. Andika vigawo vyote vya 12.
18. Zipi ni namba shufwa kuanzia 80 32. Badili ml 5600 kuwa lita
hadi 91? 33. Andika kwa kirefu namba hii
19. Jumlisha 476 na 7679 kisha 150,462.
bainisha tarakimu ya mamia. 34. Andika namba kubwa ya
20. Kokotoa namba ndogo kabisa tarakimu tisa.
inayoweza kugawanyika kwa 35. Mwaka mmoja una jumla ya
namba hizi; 5, 15, 20. majuma (wiki) mangapi?
21. Mitaa 12 ilipata jumla ya vitalu 36. Orodhesha namba tasa tatu za
420,000 vya ardhi. Je, kila mtaa mwanzo, ndogo kuliko zote.
ulipata vitalu vingapi? 37. Ifuatayo ni aina gani ya pembe?

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 3
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
38. Kuna tofauti gani kati ya saa 1 JARIBIO LA 3
dakika 34 na saa 3 dakika 10? 1. Ukiambiwa uandike 200505 kwa
39. Andika jina la pembe ifuatayo maneno utaiandikaje?
(yawe mawili). 2. Kijiji cha Mabondeni kina jumla ya
miti 156920. Andika thamani ya
U V W nafasi ya tarakimu iliyopigiwa
mstari.
40. Mauzo ya Mzee mpanzi yalikuwa 3. Mwalimu akikwambia uandike 624
kama ifuatavyo kwa namba za kirumi utaiandikaje?
Mchele; 4. Andika thamani ya 8 katika namba
786545.
Alizeti; 5. Kadiria 2.1065 katika viwango
vitatu vya desimali.
Ngano; 6. Wanafunzi wa darasa la saba
walipewa kazi ya kutafuta namba
Endapo picha moja nzima inayokosekana kwenye mfululizo
inawakilisha magunia 100,000. wa 1, 5, 10,.…..…, 23. Wewe
nini mauzo yake yote katika ukitafuta utapata namba gani?
magunia? 7. Mwalongo alipewa swali la
41. 551/2 ikibadilishwa kuwa desimali kukokotoa kama ifuatavyo: 93 + 195
itaandikwaje? + 21987= Je, jibu la Mwalongo
litakuwa lipi?
42. Wafugaji wa kijiji cha Ikwega 8. Msitu wa shule ulikuwa na miti
walikuwa na ng’ombe 32,686, 582019. Ikiwa miti 8854 ilivunwa
kondoo 3,789 na mbuzi 7,897. mwezi Januari mwaka huu na miti
Nini jumla ya mifugo hiyo? 211 iliungua na moto je, imebaki
43. 7x + 8 = 50 miti mingapi msituni?
Kokotoa thamani ya ‘x’ 9. Wanafunzi wa darasa la saba
walipewa kazi ya kukokotoa tofauti
44. Urefu wa upande mmoja wa iliyopo kati ya kigawo kikubwa
umbo la mraba ni sm 184. kabisa cha 12 na kile kidogo kabisa
Kokotoa mzunguko wake. cha 12. Wewe ungekuwepo
45. Mahudhurio ya wanafunzi wa ungepata jibu gani?
darasa la VII mwaka 2018 kwa 10. Ukizidisha namba 1565 kwa 725
wiki yalikuwa kama utapata jibu gani?
inavyooneshwa kwa grafu kwa 11. Wanakikundi 36 wa kikundi fulani
jedwali hapa. waligawana fedha kiasi cha shilingi
Mahudhurio 45 35 40 45 43 4500000. Iwapo waligawana sawa,
Je kila mmoja alipata shilingi
ALHAMISI

SIKU ngapi?
J.TANO
J.TATU

IJUMA
J.NNE

12. Ikiwa umepewa kazi ya swali la


kutoa kwa sehemu 12 – 4 =
utapata jibu gani?
Nini wastani wa mahudhurio 13. Ukijumlisha 5 na utapata jibu
kwa siku? gani?
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 4
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
14. Mdogo wako wa darasa la sita 34. Eneo la mstatili huu ni sm2 800.
amekuomba umsaidie kuzidisha Tafuta upana wake.
sehemu 1 x 5 . utampatia jibu
gani?
15. Gawanya kisha andika jibu
lako. Sm 40

16. Tafuta jibu kwa desimali katika 35. Andika kanuni ya kutafuta eneo la
swali lifuatalo. 259.01 – 48.289= umbo ABCD lifuatalo.
17. Subira hupenda kukokotoa kila
aina ya maswali analopewa. Ikiwa A
Sm 12
B
amepewa 2.199 + 567.82 jibu lake
litakuwa lipi? Sm 18
18. Kwa kutumia kanuni ya
MAGAZIJUTO, kokotoa swali D C
lifuatalo. 0.51 x 0.012 2= 36. Tafuta eneo lisilo na kivuli.
19. Zidisha desimali 2.5 kwa 2.5 Sm 11 S
P
20. zidisha kg 12 na gramu 62 kwa 8
(Andika jibu lako katika gramu). Sm 10
21. Rahisisha 2 x 2 x 2 x 2 x 2. Jibu liwe
katika vipeo. Q T R
22. Badili 0.56 kuwa asilimia. Sm 19
23. Andika 3.75% kuwa shemu rahisi 37. Endapo RST ni mstari mnyoofu,
24. Badili 72% kuwa desimali. tafuta thamani ya x
25. Andika namba mraba ya 36.
26. Orodhesha namba tasa zote zilizopo
kuanzia 20 hadi 30 90 - x
27. Orodhesha namba shufwa zote 3x – 200 4x - 160

zilizopo kati ya 20 na 30 R S T
28. Tafuta zao la namba witiri ndogo 38. Tafuta ukubwa wa pembe d
kabisa na ile kubwa kabiza zilizopo
kati ya 10 na 100.
29. Ikiwa R:B = 2:3, tafuta thamani ya
B ikiwa R=12
30. Zidisha lita 20 mililita 200 kwa 7
31. Tafuta kigawe kidogo cha shirika 800 d

(KDS) cha 12 na 16. 39. Tafuta mzunguko wa umbo hili.


32. Tafuta kigawo kikubwa cha shirika
(Tumia = )
(KKS) cha 16 na 20.
33. Tafuta mzingo wa umbo hili: ABCD
A B
S m140
Sm 25

D C
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 5
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
40. Andika saa 0001 kwa mtindo wa 6. Andika kwa tarakimu:
saa 12 Arobaini na tatu elfu mia nane
41. Amani alinunua kuku 10 kwa thelathini na nne.
sh.90,000 na kuwauza kwa
7. Andika kwa kirumi 666
hasara ya 10%, je, alipata hasara
shilingi ngapi? 8. Tafuta namba inayofuata
42. Kajiru aliweka sh. 200,000/= katika 7, 14, 21, …………………………….
benki inayotoa riba ya 5% kwa
mwaka. Tafuta riba yake mara 9. XXXIII + LVIII= (Andika jibu
baada ya mwaka mmoja. katika namba za kawaida.
43. Wastani wa namba tano ni 42.
Ikiwa namba nne kati ya hizo ni 10. Andika namba inayofuata;
48, 54, 18 na 60. Tafuta namba ya CLXV, CLXXV, CLXXXV, ………...
tano.
44. Hassan alinunua daftari dazani 8 11. 5/ 4 +½=
@ sh. 2,400, lita 1½ za mafuta ya
12. 3/ 4 – ¼=
taa @ sh. 2,400, miche ya sabuni 5
@ sh. 1,800, kalamu 6 @ sh. 250. 13. 6/5 × 5/ 3 =
Je, Hassan alitumia kiasi gani cha
14. =
fedha?
45. Kielelezo cha takwimu kwa duara
15. 1.48 + 0.923 =
huonesha matumizi ya shilingi
120,000/= ya mshahara wa 16. 10.3 – 8.59 =
mpishi wa shule. Je, anatumia
17. 2.18 X 12.6 =
shilingi ngapi kulipia usafiri?
18. 0.0858 ÷ 0.013 =

19. Badili 1 kuwa asilimia.


Benk chakula
1100
20. Badili 31 % kuwa sehemu rahisi.
Usafiri Food
Mavazi
1000 21. Badili 1.04 kuwa sehemu rahisi.

Clothes 22. Rahisisha mtajo huu:


********************************* 4a +5a +a =

23. Kokotoa 20 + =
JARIBIO LA 4
24. Tafuta namba Mraba ya 144.
1. 15424 + 125 =
25. Badili dakika 180 kuwa saa.
2. 815 × 17 =
26. Rehema alikuwa na shilingi
3. 8160 ÷ 12 =
5,000/= Akamgawia mdogo wake
4. 842862 - 9395 = shilingi 1,500/=. Je Rehema
alibakiwa na shilling ngapi?
5. Andika kwa maneno 2455
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 6
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
27. Antoni hutembea km 2 kutoka 35. Tafuta eneo la trapeza LKMN.
nyumbani kwake kuelekea shuleni. Sm 4
L K
Badili kilometa hizo kuwa mita.

28. Badili mita 200 kuwa sentimeta. Sm 20

29. Badili kg 14 kuwa gramu.


N M
Sm 60
30. m sm
36. Eneo la mstatili huu ni sm2
25 600
800. Tafuta upana wake.
+ 5 500

31. Saa dakika


4 25
- 2 40 Sm 40
37. Tafuta eneo la msambamba
ABCD.
32. Tafuta eneo la pembe tatu hii. Sm 12
A B

Sm 18

Sm 12 D C
38. Tafuta mzingo wa pembe tatu hii.

Sm 24 A

33. Tafuta mzingo wa uwanja wa m. 24 m. 24


mpira wa miguu ufuatao.

B C
m. 88
m.100
39. Kitabu cha hadithi kina
kurasa 450. Amina amesoma
m. 200 ¾ ya kurasa hizo. Je, kurasa
ngapi zilibaki ambazo hazija
34. Tafuta mzingo wa umbo hili: somwa?
ABCD
40. Tafuta wastani wa namba hizi;
A B
8, 12, 14 na 34
Sm 25 41. Kalinga alikuwa na sh.
2000/=. Akaenda dukani
kununua vitu vifuatavyo:-
D C sabuni vipande 2@sh 200/=,
vitunguu 4@sh. 100/=,
nyanya mafungu 2 @500/-.
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 7
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
Je baada ya kununua vitu 7. Badili 750 kuwa namba ya
vyote hivyo kalinga kirumi.
alibakiwa na shilingi ngapi? 8. Namba za msingi za Kirumi ni
42. Namba 3 ipo katika nafasi gani? I, V, X, L, C, D na ______________
9. Sensa ya watu na makazi
372056.
iliyofanyika mwaka 2012 kijjiji
43. Katika namba hii 2022, unda
cha Wikangalilage kilikuwa na
namba kubwa kabisa inayotokana
wanaume 1849, wanawake 2112
na tarakimu zinazounda namba
na watoto 515. Je, kijiji kilikuwa
hiyo.
na wakazi wangapi?
44. Andika kwa tarakimu
10. Idadi ya mifugo inayopatikana
“Mia sita elfu na mia tisa” = ……….
mkoa wa Katavi ni 258946 na
45. Asha alitoa noti ya shilingi 10,000
mkoa wa Iringa ni 215849. Mkoa
kulipa nauli ya shilingi 6,500. Je
wa Iringa unapitwa na mkoa wa
alirudishiwa kiasi gani baada ya
Katavi kwa mifugo mingapi?
kulipa nauli hiyo?
11. Anna alikwenda dukani kununua
madaftari ya wanafunzi 25. ikiwa
alipewa shilingi 25450 kila
**********************************
daftari liliuzwa kwa shilingi
ngapi?
12. Mwalimu wa somo la Hisabati
JARIBIO LA 5 aliwagawa wanafunzi katika
1. Kata ya Sadani ina jumla ya vikundi na kuwaambia
mifugo laki sita na mia tano na waorodheshe sehemu tatu za
tano. Andika idadi hiyo kwa mwanzo zilizo sawa na . Sehemu
tarakimu za kawaida. hizo ni zipi?
2. Mdogo wako amekuomba
umuandikie namba 185.755 kwa 13. 2 + 3 =
maneno. Kama utaiandika kwa
usahihi jibu lako ni nini? 14. - =
3. Mwalimu wa somo la Hisabati
aliwaambia wanafunzi wa darasa
15. 3 x 3 =
la saba waandike jumla ya
thamani ya tarakimu ya namba
iliyopigiwa mstari na wote 16. 5 ÷ 4 =
walipata jibu sahihi. Jibu hilo ni
17. Kijiji cha Ihowanza kina
lipi? 963568
4. Namba ya Kiarabu inayotokana wanaume 668, wanawake 17900
na namba ya Kirumi CMXCIX ni na watoto 56. Kijiji hicho kina
ipi? watu wangapi?
5. Namba gani inafuata baada ya 18. Orodhesha namba shufwa zote
999? ………...……………………….. zilizopo kati ya 17 na 23.
6. Panga namba hizi za Kirumi
19. Kokotoa kigawo kidogo cha
kuanzia kubwa hadi ndogo.
L, X, I, C, V na XX shirika (K.D.S) cha 6 na 18.

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 8
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
20. Kokotoa kigawe kikubwa cha
N M
shirika (K.K.S) cha 12 na 16.
21. Wafugaji 13 waligawana sawa
nyama kilo 1625. Je, kila mfugaji
Sm 12
alipata kilo ngapi za nyama?
22. Katika mbio za riadha Happy
alipewa kadi yenye namba XLV
P
na Linda kadi yenye namba LXV. O
Je, nani alipwea kadi yenye 32. Sakafu ya darasa yenye umbo la
thamani ndogo zaidi? mraba ina upande wenye meta 9.
Nini eneo la sakafu hiyo?
23. Upi ni mwaka mrefu zaidi kati ya
33. Kokotoa eneo la pembetatu hii.
ifuatayo
2016, 2017, 2018, 2021, 2015, …...
24. Badili mita 9000 kuwa kilometa. Sm 6
25. Andika namba mraba ya 25.
26. Kokotoa jumla ya 102 + 82 =
Sm 8
27. Andika namba inayokosekana
katika 1, 4, 9, 16, 25, ……………... 34. Fundi alinunua rangi kwa shilingi
28. Kokotoa mzingo wa umbo hili.
380,000/=. Baadaye akaiuza kwa
shilingi 510,000/=. Je alipata fedha
P kiasi gani zaidi ya fedha
aliyonunulia?

35. Sh. 625 st 45 + sh.364 st 20 =


Sm 6
Sm 10 36. Toa lita 80 mililita 370 na lita 45
mililita 160.

37. Miaka miezi


Q Sm 8 R 5 2
29. Kokotoa eneo la umbo hili. x 4
A B
38. Ikiwa m = -7 na n = -5, tafuta
Sm 8
thamani ya =
D C
Sm 20 39. Tafuta thamani ya ‘A’ ikiwa
30. Chumba cha darasa la saba kina
urefu wa mita 8 na upana wa mita 4:A =12:48
6. Kokotoa eneo la sakafu ya darasa 40. Dm sm mm
hilo.
31. Kokotoa mzingo wa umbo hili. 4 3 5
- 1 4 6

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 9
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
41. Umbo lenye pembe tano linaitwaje? madaftari mengine 2491708. Je
………………………………………….. bohari itakuwa na jumla ya
42. Makitaba ya shule ilikuwa na madaftari mangapi?
vitabu 4667 wanafunzi waliazima 4. Jumla ya ng’ombe na mbuzi katika
vitabu 3774, siku iliyofuata wilaya moja ni 2139500. Ikiwa
halmashauri iliongeza vitabu 1107 ng’ombe ni 1104563 je, wilaya hiyo
katika maktaba hiyo. ina mbuzi wangapi?
Je kuna vitabu vingapi kwenye 5. Kiwanja kimoja cha makazi huuzwa
maktaba hiyo? kwa shilingi 300000. Je viwanja
43. Katika somo la Hisabati swali la vinne kama hicho vitauzwa kwa
1hadi la 40 huwa na alama 1 na shilingi ngapi?
swali la 41 hadi 45 huwa na 6. Tenki lina ujazo wa lita 1200. Je ni
thamani ya alama mbili. Katika ndoo ngapi zenye ujazo wa lita 20
mtihani huo gidion alipata maswali zitatumika kujaza tenki hilo?
matatu katika swali la 41 hadi 45 7. Juma alinunua robo kilo ya sukari
na swali la 1 hadi 40 alifanikiwa siku ya kwanza na siku ya pili
kupata maswali ishilini na sita na alinunua robo tatu kilo ya mchele.
maswali kumi alikosa na maswali Je, jumla alikuwa na kilo ngapi za
nane hakufanya. Je gidioni alipata mchele na sukari?
alama ngapi katika somo lote. 8. Amina alikuwa na mkate mmoja.
44. Idadi ya wanafunzi waliohitimu Alikata moja ya tatu ya mkate
darasa la saba mwaka 2020 kata akampa rafiki yake. Je, alibakiwa
ya Kufikirika ni 600.kati ya hao na sehemu gani ya mkate huo?
15% hawakufaulu mtihani. Je,ni 9. Jonh ana n’gombe 20 wa maziwa.
sehemu gani wa wahitimu ikiwa kila n’gombe hutoa nusu lita
walifaulu mtihani? ya maziwa je Jonh hupata lita ngapi
45. Daudi alikuwa na shilingi 5,000/= za maziwa?
na akatumia kununua boksi 4 za 10. Wanafunzi 100 waligawana
biskuti @ shs. 70/=, daftari 6 @ machungwa 25 Je, kila mwanafunzi
alipata sehemu gani ya chungwa?
shs.250/=, kalamu 2 @ shs. 150/=,
11. Andika kwa numerali Mia mbili
mfuko 1 kwa shs.200/=. Iwapo nukta sifuri tisa nne.
alilipa nauli ya basi Tshs. 600/=, 12. Wasichana wa darasa la sita ni
je alibakiwa na shilingi ngapi? LII na wavulana ni LIX. Andika
jumla yao kwa namba za kawaida.
13. Mzee jumbe alikuwa na ng’ombe
770 aliwauza ng’ombe 543. Je
********************************** alibakiwa na ng’ombe wangapi?
(Jibu liandikwe kwa namba za kirumi )
JARIBIO LA 6 14. Tafuta K.K.S cha 8 na 12.
1. Andika kwa maneno 1,000,001. 15. Tafuta KDS cha 24 na 36.
2. Andika kwa tarakimu Milioni tano 16. Eneo la shamba ni ekari 45085 eneo
mia saba themanini na tatu elfu lililolimwa ni ekari 2.424 tafuta
mia moja hamsini na sita. eneo ambalo halijalimwa
3. Bohari ya elimu ina madaftari
17. Zidisha 50.101 kwa 5=
5256423 na inatarajia kupokea
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 10
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
18. Eneo la mstatili ni sm2 75. Urefu
wake ni sm 12.5. tafuta upana wa
Sm 7
mstatili huo.
19. Badili desimali 0.125 kuwa sehemu. Sm 12
20. Kadiria namba ifuatayo katika 36. Tafuta eneo la mraba huu:
makumi yalio karibu 5943.
21. Kadiria namba 0.0453 katika nafasi
mbili za desimali.
22. Andika kinyume cha -12 ni
23. Jumlisha saa 5 na dakika 10 na saa Sm 12
5 na dakika 20.
24. Toa saa 1 na dakika 350 kutoka 37. Tafuta eneo la nusu duara
kwenye saa 3 na dakika 20. lifuatalo.
25. M sm mm
15 68 8
x 4

38. Tafuta eneo lililotiwa kivuli


Sm 18
m dm sm
26. 9 3 65 22
Sm 12
27. Kizigeu katika 4ab ni:
28. Tafuta thamani ya t katika Sm 4
mlinganyo huu. t + 8 = 2
29. Tafuta thamani ya C katika Sm 4

mlinganyo huu. 2/3C = 16.


30. Mwaka mmoja una majuma 39. Tafuta eneo la mche duara
mangapi? uliofungwa upande mmoja. Tumia
31. Saa 10:45 usiku ni saa ngapi katika (π = 22/7)
mfumo wa saa 24? Sm 28
32. Eneo la pembetatu ni sm2 36. Iwapo
kimo chake ni sm 8, tafuta kitako
chake. Sm 14

33. Ikiwa c = -1 na d = -2. Tafuta


thamani ya fungu lifuatalo:
40. Ikiwa eneo la pembetatu ABC ni
3c2d + d2c
sm2 60. Tafuta urefu wa BC
cd – c2 A

34. Rahisisha fungu lifuatalo;


13a + 5a +12 Sm 15

2 + 3a
B C
35. Tafuta eneo la mstatili ufuatao:
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 11
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
41. Tafuta ukubwa wa pembe y0 JARIBIO LA 7.
1. Kata ya Malangali ina jumla ya
A D mifugo laki mbili na mia tano na
Y0
tano. Andika idadi hiyo kwa
tarakimu za kawaida.
2. Shamba la shule ya msingi
B C Malihai lina jumla ya miti
42. Tafuta thamani ya Pembe “q” 28476935. Andika thamani ya
katika umbo lifuatalo nafasi ya tarakimu iliyopigiwa
500 q mstari.
3. Mwalimu wako amekutaka
utamke namba 62800050. Wewe
utaitamkaje?
43. Amani hupata mshahara wa 4. Mdogo wako amekuomba
sh. 600,000 kwa mwezi na umuandikie namba 10.725 kwa
hutumia kama ifuatavyo. Je maneno. Jibu lake ni nini?
Amani hutumia kiasi gani
5. Mwalimu wa somo la Hisabati
kwa kununua mavazi?
aliwaambia wanafunzi wa darasa
la saba waandike thamani ya
1/20
tarakimu ya namba iliyopigiwa
Nauli
Mavazi mstari katika 963568 na wote
walipata jibu sahihi. Jibu ni:
Chakula
40%
Kodi ya nyumba
6. Namba ya siri ya kufungulia
tarakilishi ya Mwalimu Mkuu ni
241835. Tumia tarakimu
zilizounda namba hiyo kuunda
44. Monalisaalikwenda sokoni
namba iliyo ndogo zaidi.
kununua vitu vifuatavyo
sukari Kg 21/2@ 800, mchele 7. Namba ya Kiarabu inayotokana
kg 42 @ 750, Ngano kg 2 @ na namba ya Kirumi CMXCIX ni
350, Sabuni miche 3 @ 550. ipi?
Ikiwa alibakiwa na shilingi 8. Andika namba inayokosekana
500, Je alikuwa na shilingi katika mfululizo huu:
ngapi? 1, 5, 10, ……………., 23
45. Andika majira ya nukta C. 9. Panga namba zifuatazo ili ziwe
katika mpangilio sahihi kuanzia
kubwa hadi ndogo. 7/10, 0.5, 60%,
0.01, 1/4.
10. Mwalimu wa somo la Hisabati
aliwaambia wanafunzi wa darasa
la saba waorodheshe namba
C nzima tano za mwanzo. Wewe
utaorodhesha zipi?

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 12
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
11. Sensa ya watu na makazi 24. Ukipewa kazi ya kutafuta
iliyofanyika mwaka 2012 kijiji thamani ya 12 - 8 + 43. Jibu
+ -

cha Ilengititu kilikuwa na litakuwa ngapi?


wanaume 1849, wanawake 2112 25. Tafuta kipeuo cha pili cha 324.
na watoto 1039. Je, kijiji kilikuwa
na wakazi wangapi? 26. Ukibadili 0.75 kuwa sehemu jibu
litakuwaje?
12. Wilaya ya Mlandege
imeandikisha wanafunzi 2258946 27. Badili 1 kuwa desimali.
kwa kipindi cha miaka saba.
28. Badili 0.52 kuwa asilimia
Ikiwa wanafunzi 1712498
wamehitimu na waliobaki wote 29. Badili 32% kuwa desimali
wapo shuleni. Je, ni wanafunzi 30. Mwalimu amekupa kazi ya
wangapi wapo shuleni? kubadili kuwa asilimia.
13. Kitabu kimoja cha Hisabati kina sehemu hiyo itakuwa ni asilimia
kurasa 60. Je vitabu 16 vitakuwa ngapi?
na kurasa ngapi jumla? (Andika
31. Tafuta kigawe kidogo cha shirika
jibu kwa kirumi)
(K.D.S) cha 12, 16 na 20
14. Kilogramu 25010 za mchele
32. Tafuta kigawo kikubwa cha
ziligawiwa kwa wazee 305 kwa
idadi sawa. Je, kila mzee alipata shirika (K.K.S) 12, 24 na 36
kilogramu ngapi? 33. Tafuta zao la namba shufwa zote
15. Kikundi cha wanawake cha zilizopo kati ya 10 na 16.
Huruma kililima shamba la viazi 34. Kuna namba tasa ngapi zilizopo
lenye ukubwa wa ekari 3 na kuanzia 30 hadi 40?
kikundi cha wanaume 35. Basi la Mwendamseke lilitumia
Wikangalilage walilima ekari 1 muda wa saa 1:50 kutoka
Mafinga hadi Makambako.
Je, wote kwa pamoja walilima
Endapo basi hilo liliondoka
ekari ngapi?
Mafinga saa 2:40 asubuhi je
16. Toa 12 – 4 = lilifika makambako saa ngapi?
36. Rehema na Halima waligawana
17. Tafuta thamani ya 12 x4 .
kilo 250 za mchele katika uwiano
18. 9 ÷2 = wa 2:3 kwa mfuatano. Je Halima
alipata kilo ngapi?
19. 62.5 + 7.62 =
37. Rahisisha fungu lifuatalo:
20. 150.7 – 80.75 = 3k2 – 3k =
21. 42.6 x 2.7 = k–1
38. Tafuta eneo la umbo lifuatalo:
22. 7.5 ÷ 0.03 =
sm 10
23. Kadiria namba ifuatayo katika
viwango viwili vya desimali. sm 13
125.45623

sm 5

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 13
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
39. Tafuta eneo lililotiwa kivuli. 43. Tafuta ukubwa wa pembe ‘p’

(A) 350
(B) 75 0

Sm 8 Sm 14
(C)
(D) Sm 10
(E) P

Sm 16
44. Kielelezo cha takwimu kwa duara
huonesha matumizi ya shilingi
40. Tafuta eneo la umbo lifuatalo: 120,000/= ya mshahara wa
mpishi wa shule. Je, anatumia
shilingi ngapi kulipia usafiri?

Sm 25 Sm 25
Benk chakula
Sm 18 1100
Usafiri Food
Mavazi
20cm 1000

Clothes
45. Monalisa alinunua daftari dazani 8
@ sh. 2,400, lita 1½ za mafuta ya
41. Tafuta mzunguko wa umbo hili.
kula @ sh. 4,000, miche ya sabuni
(Tumia = )
2 @ sh. 2,000, kalamu 6 @ sh. 250.
Je, Monalisa alitumia kiasi gani
cha fedha kufanya manunuzi
hayo?
Sm 140

******************************

JARIBIO LA 8
42. Tafuta ukubwa wa pembe k 1. Andika 404,040 kwa maneno.
2. Kadiria katika mamoja
yaliyaliyo karibu 999.56
3. Andika nafasi ya tarakimu 4
katika namba 346.895.
4. Andika namba kubwa kutoka
kwenye tarakimu hizi 13942.
800 k

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 14
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
5. Emanuel alizaliwa mwaka 1998, 27. Tafuta tofauti kati ya 5 na 1
Andika kwa kirumi mwaka huo.
28. Watu 16 hutumia kilogramu 4 za
6. Mwalimu aliwapatia wasichana
mchele kwa siku 2, Je watu 8
vitabu CMXCVIII na wavulana wenye uwezo. Sawa wa kula
vitabu MCCVIII kwa pamoja watatumia kiasi hicho cha mchele
walikuwa na vitabu vingapi? = kwa siku ngapi?
7. Zamoyoni alikuwa na 29. Shule tatu ziligawana vitabu 2600
machungwa 8704 kati ya hayo kwa uwiano wa : : . Je shule
machungwa 7537 yalioza. Je,
machungwa mangapi mazima? = iliyopata ilipata vitabu vingapi?
8. Zao la 289 na 172 lipi= 30. Umbo lenye pembe 8 lina jumla
9. Nini hisa ya 30225 na 75 = ya nyuzi ngapi?
10. Tafuta zao la na 31. Damasi alitembea masaa 3 na dk
11. Asha ana 1 na Juma ana 2 je 45.Je hizo ni sawa na dk ngapi?
32. Tafuta wastani wa wanafunzi
wote kwa Pamoja wana shem
darasa la VII waliohudhurio
gani jumla? =
kambi kwa siku 5 za masomo
12. . Kuna
250, 260, 245, 215 an 280
13. Nini jumla ya 1.05 na 103.4 =
33. Joshua aliweka shilingi 600,000
14. Tofauti ya 7.13 na 1.993ni ipi =
katika benki inayotoariba ya
15. Gawa0.012 kwa 0.2 =
30% kwa mwaka. Ikiwa fedha
16. Badili 34 % kuwa desimali hizo zilikaa benki kwa muda wa
17. Badili 2 % kuwa sehemu miaka 2 atakuwa nafedha kiasi
18. Andika idadi ya namba shufwa
gani benki?
34. Maguga alisafiri umbali wa
kuanzia 24 hadi 31.
kilometa 240 kwa gari. Ikiwa
19. Orodhesha namba tasa kati ya alisafiri kwa mwendokasi wa
30 na 40. kilometa 80 kwa saa. Je alitumia
20. Tafuta kiwango kikubwa cha muda gani?
shirika (K.K.S) cha namba 35. Watu 9 hulima shamba la ekari 5
zifuatazo 48,60, na 72. kwa siku 8.Je watu 4 watalima
21. Tafuta kigawe kidogo cha shirika shamba hilo kwa siku ngapi?
36. Tafuta wastani wa namba hizi
KDS cha 12 na
38, 45, 60, 48, 50 na 29.
22. Tafuta kipeuo cha pili cha 11025.
37. Umri wa Hadija ni mara 4 ya
23. Andika namba mraba ya 5.6
umri wa Hidaya. Miaka mitano
iliyopita jumla ya umri wao
24. Tafuta thamani ya ‘M’ katika
ulikuwa miaka 40. Tafuta umri
wa Hadija miaka 5 iliyopita.
38. Pikipiki iliuzwa kwa sh. 340,000
25. Iwapo 25:4 = a²: 4 Tafuta “a”
kwa hasara ya 15%. Muuzaji
26. Rashisisha 6abc – 3ab
alinunua pikipiki hiyo kwa bei
3ac gani?
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 15
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
39. Tafuta mzunguko wa tenki la 44. Andika majira ya nukta H
maji lenye umbo la duara ikiwa
kipenyo chake ni sm 14.
(Tumia = 22/7)
40. Katika mchoro ufuatao, tafuta
tofauti ya eneo lenye kivuli na
lisilo na kivuli. H 0
0
45. Asha alikwenda sokoni kununua
vitu vifuatavyo Dagaa
kilo3@sh950, nyanya kilo 2 @
sh.350, vitunguu kilo 4 @ sh. 650,
sembe kilo 5 @ sh. 500, viazi kilo
1½ @sh.1000. Je jumla alitumia
41. Tafuta eneo lenye kivuli katika shilingi ngapi?
umbo hili.
*******************************
m.7

m.28
JARIBIO LA 9
1. 67 +846 + 72398 =
2. 100081 – 78991 =
42. Tafuta ukubwa wa umbo hili. 3. 17 x113 x 57 =
(tumia π 4. 2210 ÷ 13 =
5. 22/3 + 35/6 =
Sm 2.8
6. 52/3 – 21/4 =
Sm 4 7. (-24) – ( -12) =
8. 11/3 ÷ 2/3 =
Sm 5 9. 1.8÷ 0.18 =
10. -14 x (-19 + 16) =

Sm 7
11. 170.2 ÷ 74 =
12. 26.35 + 4.569 =
43. Tafuta thamani ya ‘x’ ikiwa AC ni
mstari mnyoofu. 13. Iwapo a= 4, b=3 na c = 2
tafuta thamani ya b2 + a2 – c2
a -c
14. Badili 10 /5 kuwa desimali.
1
2x
15. Kokotoa thamani ya
200+8x
15 -3 x 2 +3
A B C
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 16
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
16. Tafuta zao la namba tasa 29. Tafuta mzingo wa pembetatu
zilizopo kati ya 1 na 12. ifuatayo
17. Tafuta zao la kigawe cha shirika
(K.D.S) na (K.K.S) cha 24, 48 na Sm (8m - 2) Sm (40 – 6m)
72.
18. Badili 371/2% kuwa sehemu
rahisi. Sm 12

19. Rahisisha 3a2b – 9ab2. 30. Tafuta thamani ya “h” katika


umbo lifuatalo:
20. Tafuta thamani ya “y” katika
4y +4 = 3y - 5 300

21. Kuna 1/3 ngapi katika 41/3? h


400
22. Andika MCML kwa namba za
kawaida
23. Andika namba inayofuata 31. Tafuta eneo la kiwanja cha mpira
katika mfululizo huu 7,13,19, … wa miguu Tumia 22/
7

24. Tafuta kigawe kidogo cha


shirika K.D.S cha 6, 9 na 12 Sm 100

25. Gawanya kg 248 gramu 640


kwa 32. Sm 70

26. Tafuta eneo la mstatili huu ikiwa


mzingo wake ni sm 134
A B
32. Tafuta eneo la trapeze ifuatayo
Sm (3d - 8) Sm 20

D C Sm 5
Sm (2d + 15)

27. Tafuta ujazo wa umbo lifuatalo


katika lita (Tumia = 22/7) na Sm 3
mita ya ujazo 1 = lita 1000.
33. Tafuta ujazo wa mche mstatili
m.1.5 ufuatao.
m1.4
m.5
28. Tafuta eneo lililotiwa kivuli iwapo
duara lililochorwa ndani ya Sm 2
Sm 4
mraba lina nusu kipenyo cha
sm 7 (Tumia = 22/7) Sm 6

34. Duara ulilopewa linaonyesha


Sm 7 jinsi gani Kizibo alivyotumia
fedha zake. Ikiwa alikuwa na sh.
960,000. Tafuta kiasi alichoweka
Kizibo kama Akiba.
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 17
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
41. Umri wa mama ni mara tatu ya
Nauli
umri wa mwanawe. Iwapo jumla
Chakula
25% ya umri wao ni miaka 40. Tafuta
35% umri wa mama.
Akiba 42. Umbo la pembe sita lina pembe
30% zifuatazo (2y +20), 4y ,2y,
Zawadi
(5y + 15) (70 – y) na 3y. tafuta
thamani ya “y”
43. Hatua moja ya kobe ni sm 12. 5
Je, endapo kobe huyo atasafiri
35. Tafuata thamani ya X katika
umbali wa km 1 atakuwa
umbo lifuatalo
ametembea hatua ngapi?
44. Paulo alitumwa dukani kununua
1400 1500 vitu vifuatavyo kalamu 4 @ sh 250,
vibiriti 6@ sh 100 majani ya chai
4x 3x paketi 2 @ sh 400, mkasi sh 600,
Nyembe 9 @ 50, bahasha 10 @ 45 ,
36. Tafuata eneo la msambamba sabuni vipande 5@ sh 1800. Je jumla
alitumia shilingi ngapi?
ufuatao
45. Taja
majira ya nukta ‘M’ katika
mchoro ufuatao.
Sm 8 Y

Sm 5 N M

Sm 3 Q
P X
37. Wastaniwa namba nne ni 180.
Ikiwa namba mbili kati ya hizo ni ********************************
105 na 95. Tafuta namba ya nne.
Iwapo namba ya tatu na ya nne
ni sawa.
38. Jumla ya namba nne JARIBIO LA 10
zinazofuatana ni 130. Tafuta 1. 534 + 8466 =
namba kubwa katika hizo 2. 6407 + 5518=
39. Gharama ya kutumia simu ya
maandishi kwa njia ya posta ni 3. 239 x 31 =
630 kwa maneno 10 ya mwanzo n 4. 3933 ÷ 69 =
ash 54 kwa kila neno
5. 11.18 + 8.822 =
linaloongezeka. Tafuta gharama
ya kutuma maneno 24 6. 6.02 – 4.131 =
40. Bei halisi ya redio ni 120,000 7. 20.11 x 0.8 =
lakini huuzwa kwa sh 112,000
8. 0. 00527 ÷ 0.31 =
baada ya punguzo. Tafuta
punguzo katika asilimia. 9. 4.1317 + 1.9 =

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 18
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
10. 3/7 +8/11 = 34. Rahisisha 4y + 3n +7y - 2n - 8y
11. 22/8 + 72/3 = 35. Tafuta thamani ya “n” katika
12. 121/8 + 91/2 = mlinganyo huu 1/3n = 28 – 7
36. Tafuta kipeuo cha pili cha 5929
13. 131/3 x 41/18 =
37. Amina alinunua vitu vifuatavyo
14. 31/5 ÷ 2 2/15=
dukani sukari kg 2@ sh. 3000,
15. - 8 + - 3 = mafuta lita 4 kwa shilingi 12,500
16. +17 - -8 = mchele kg 21/2 @ sh 1500. Jumla
alilipa shilingi ngapi?
17. -21 ÷ +3 =
38. Tafuta mduara wa duara lenye
18. 8 X -19 =
kipenyo cha sm 21
19. Tafuta kigawe kidogo cha shirika
39. Jumlisha
(K.D.S) cha 36 na 48
sh. 1775 st 85 na sh. 70 st 95
20. Tafuta kigawo kikubwa cha 40. Zidisha tani 3 kilogramu 120 na
shirika (K.K.S) cha 39 na 78 gram 250 kwa 8
21. Andika zao la 87 na 50 41. Tafuta eneo la shamba lenye
umbo la mstatili wenye urefu wa
22. Andika namba mraba ya 117
meta 70 na upana wa meta 30.
23. Andika namba ifuatayo kwa 42. Pelesi ana miaka 8 zaidi ya ile ya
kirumi 1559 mdogo wake jumla ya umri wao
24. Badili 0.75 kwa asilimia ni miaka 40. Tafuta umri wa
Pelesi.
25. Geuza 121/2% kwa sehemu rahisi
43. Tafuta eneo la trapezia hii.
26. Badili 221/2% iwe desimali
Sm 12
27. Orodhesha namba witiri zote
zilizo kati ya 39 na 45 Sm 18

28. Andika namba tasa zote zilizo


Sm 4
kati ya 80 na 88
29. Andika zao la namba shufwa 44. Tafuta ukubwa wa pembe ‘M’
zilizo kati ya 49 na 53 ikiwa AC na ED ni mistari
30. Zidisha km 30 meta 250 kwa 4 sambamba na BF na GH ni
31. Tafuta wastani wa alama mikingamo.
zifuatazo alizopata John kwenye G B
A C
mtihani wake wa muhula wa 0
120
kwanza wa mwaka. Hisabati
alama 91, sayansi 85, Kiswahili M
89, kiingereza 72 uraia 69 na
jiografia alama 88.
32. Andika namba inayofuata katika E F H D
mfululizo huu 20, 12, 4 …………
33. Rahisisha 8p + 3q - 7q + 2p - 8p 45. Tafuta thamani ya ‘y’ katika
pentagoni (pembe tano) ifuatayo.
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 19
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
ndogo kabisa kwa kutumia
6y-300 400 - y tarakimu hizo. Wewe unafikiri
aliandika namba ipi?
730
13. Ipi ni orodha sahihi ya namba
2y -500 24+ 8y
shufwa zote zilizopo kuanzia 342
hadi 349?
14. Wanachama 24 wa chama cha
ushirika waligawana mananasi
******************************** 957. Iwapo waligawana mananasi
hayo kwa idadi sawa, Je, yalibaki
JARIBIO LA 11 mananasi mangapi?
1. Juma alielezwa na mwalimu 15. Bahati alinunua vitunguu kwa
wake aandike namba ifuatayo shilingi p – 3q, nyanya kwa
katika maelfu ya karibu. 352487. shilingi p – q, na pilipili hoho kwa
Je aliiandikaje? shilingi p + q. Tafuta jumla ya
2. Wanafunzi wa darasa la saba fedha aliyotumia.
waliandika kipeuo cha pili cha 16. Vipi ni vizigeu katika swali hili
421/25 . Je, jibu lao lilikuwa 12xy + 7xz2 – 33nm x zy3.
ngapi? 17. Panga namba zifuatazo ili ziwe
3. Ukigeuza 0.73% kuwa desimali katika mpangilio sahihi kuanzia
itasomekaje? kubwa hadi ndogo. 7/10, 0.5, 60%,
4. Namba gani inawakilisha namba 0.01,1/4.
ya kirumi 409? 18. Kigawe kidogo cha shirika cha 15,
5. Katika mkoa fulani wanafunzi wa 36, na 42 ni ngapi?
darasa la VII kutoka wilaya nne 19. Naima alitumia 8/25 ya fedha zake
za mkoa huo walikuwa kama kununulia sare ya shule, 0.1
ifuatavyo; 9032, 10993, 8701, na kununulia soksi na 22%
4334. Je mkoa huo ulikuwa na kununulia madaftari. Je
wanafunzi wangapi wa darasa la
alibakiwa na sehemu gani ya
saba?
6. Chihungi aliorodhesha namba fedha zake?
tasa zote zilizopo kati ya 86 na 20. Ukirahisisha fungu hili.
5/ t2q3 x 3/ b2t2 utapata jawabu
95. Je, namba hizo ni zipi? 9 5
7. Tafuta zao la 12 5 na 2 7.
3/ 4/
gani?
8. Tofauti ya 72/7 na 44/5 ni ipi? 21. Ukipewa kazi ya kutafuta
9. Kokotoa 13 + 24 ÷ 4 x 2 – 15.
thamani ya 12 - +8 + -43. Jibu
10. Uwiano kati ya idadi ya mbuzi na
litakuwa lipi?
kondoo ni 7:11. Tafuta idadi ya
kondoo kama mbuzi wapo 21. 22. Ni namba ipi inafuata katika
11. Familia hutumia lita 13/4 za mfuatano wa namba hizi;
maziwa kila siku. Je familia hiyo 22, 13, 6, 1, ………………………….
itatumia lita ngapi za maziwa 23. Wanafunzi wa darasa la saba
kwa mwezi Julai na Agosti? walikokotoa swali hili.
12. Fadhila alipewa tarakimu
992 – 772. Unafikiri jibu lao
zifuatazo. 7,0,9,1,3,8,6 na 4.
lilikuwa ngapi?
Kisha akaambiwa aandike namba
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 20
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
24. Kiwanda cha kubangua korosho 31. Umbo la mstatili lina mzingo wa
kilibangua korosho kama sm64. Iwapo urefu wake ni
ifuatavyo:- Mwaka 2017 sm(4x-5) na upana wake ni
kilogramu 689 409, mwaka 2018 sm(x+2) Tafuta eneo la mstatili
kilogramu 501 712, mwaka 2019 huo.
tani 447 na mwaka 2020 tani 702. 32. Halima aliweka shilingi 480 000
Tafuta tofauti ya kilogramu za katika benki inayotoa kiasi cha
korosho zilizovunwa mwaka 2017 riba ya 81/2% kwa mwaka. Ikiwa
na 2020. alipata faida ya shilingi 10200, je,
25. Wanariadha walikimbia umbali fedha hizo zilikaa benki kwa
wa kilometa 24 kutoka uwanja muda gani?
wa mpira hadi soko kuu ambalo 33. Ni kifaa kipi ndani ya mkebe wa
lipo Kaskazini mwa uwanja huo, Hisabati hutumika kuhamisha
kisha walielekea Kusini vipimo kutoka kwenye rula
mashariki umbali wa kilometa 30 kwenda kwenye mchoro.
na kufika posta. Tafuta umbali 34. Umbo la pembe tano lina ukubwa
wa mkato kati ya uwanja wa wa nyuzi kama ifuatavyo: x-140,
mpira na posta. x, 2x+240, x+60, na 3x+440. Nini
26. Gawanya miaka 127 na miezi 9 ukubwa wa pembe yenye nyuzi
kwa 21. 2x+240?
27. Jumla ya namba tano 35. Kamba ina urefu wa hektometa
zinazofuatana na kupishana kwa 12.03. je hizi ni sawa na
nne ni 315. Ipi ni namba ya sentimeta ngapi?
katikati kati ya hizo? 36. Kokotoa mzingo wa pembetatu
28. Niliondoka Makambako saa 10:50 ifuatayo:
jioni na niliwasili Ipogoro baada Sm 12
ya masaa 4:30. Je, nilifika
Ipogoro saa ngapi? (Andika jibu
lako katika mtindo wa saa 24).
29. Blanketi lilinunuliwa kwa Sm 6 Sm 10
shilingi 74 800, baada ya kupewa
punguzo la 15%. Je, bei yake 37. Wende alipewa swali la jometri
halisi ilikuwa ni shilingi ngapi? kama linavyoonekana hapa chini
30. Ukipewa tanki la maji lenye ili atafute thamani ya y. Wewe
umbo la duara ambalo lina ungeambiwa umsaidie jibu la
swali hili ungemtajia lipi?.
kipenyo cha meta 0.84 na kimo
cha meta 1.35 unaweza kujaza 3x y

maji lita ngapi? Lita 1 = sm3


1000. Pai = 22/7. 2x

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 21
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
38. Mche mstatili una kimo cha sm

JUMATANO
JUMATATU
17, urefu wa sm 33, na upana wa

JUMANNE

ALHAMISI
SIKU
sm 21. Tafuta ukubwa wa mche

IJUMAA
mstatili huo .Andika jibu lako
katika mamia ya karibu.
39. Wastani wa uzito wa magunia IDADI YA 110 102 124 82 92
matano ya chai ni kg 81. Ikiwa WANAFUNZI
uzito wa magunia matatu kati ya
hayo ni kg73, kg91 na kg85. JARIBIO LA 12
Tafuta uzito wa gunia mojawapo 1. 6.29 + 3.721 =
kati ya yaliyobakia ikiwa uzito 2. 8.34 × 1.9 =
wake unafanana. 3. 6 - 1 =
40. Nyumba ya kulala wageni ina 4. 8.01 – 5.632 =
vitanda 48, Iwapo 12 ya vitanda
5/
5. 472 × 8934 =
hivyo ni vya chuma . Kokotoa 6. 3 ÷ 2 =
0.25 ya vitanda ambavyo sio vya
7. -9 + (-4 + +2) =
chuma?
8. 95481 ÷ 309 =
41. Ukiunganisha majira ya nukta 9. 4 + 2 =
zifuatazo unapata umbo gani
10. -14 × (-19 + 16) =
A:(0,+3), B:(-2,0) C:(+2,-3) D:(+4,0).
11. 6 × 2 =
42. Abdallah alipewa fedha shilingi
12. 5 4 5 – 9 + 56 =
1500 kununua bidhaa zifuatazo:-
13. Andika thamani ya nafasi ya
vifutio 96 @ vifutio 12 kwa sh 12,
tarakimu iliyopigiwa mstari.
kitambaa cha suruali meta 31/2 @
71984530
sh 36, vitambaa vya mezani meta
14. Badili 62.5% kuwa sehemu
21/2 @ sh 150 na suruali 2 @ sh
rahisi.
375. Tafuta kiasi cha fedha
kilichokabakia. 15. Andika zao la namba 3 na 2
16. Andika thamani ya 8 katika
43. Kokotoa mlinganyo ufuatao na
4682421.
kisha andika thamani ya herufi
17. Badili 0.008 kuwa asilimia.
iliyopo kwenye mlinganyo huu.
18. Kokotoa kipeuo cha pili cha
73/5x - 17 = 4+2x.
1521.
44. Kiwanja cha mpira wa miguu 19. Andika namba inayofuata katika
kina mzingo wa mita 112. Ikiwa mfuatano huo: 1,
urefu wa kiwanja hicho ni 3, 7, 13, ………………………...
m (x – 2) na upana wake ni 20. Ikiwa a = -2, b = -1. Tafuta
m ( x – 5), thamani ya x itakuwa thamani ya fungu lifuatalo:
ngapi? a2b – b2 + 1
45. Jedwali lifuatalo linaonesha 3ab + 2b
Mahudhurio ya Wanafunzi katika 21. Rahisisha: =
shule fulani kwa wiki. Tafuta 22. Tafuta kigawe kidogo cha shirika
wastani wa mahudhurio ya (K.D.S) cha
wanafunzi kwa siku. 99, 66 na 108.

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 22
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
23. Andika namba ya kirumi 31. Theo alipata faida ya shilingi
MCLXVI kwa namba za 7,200 baada ya kuweka fedha
kawaida. benki ya Posta kwa muda wa
24. Zidisha m 6 sm 250 mm 5 kwa miaka 2. Ikiwa benki hutoa riba
4. Andika jibu lako katika ya asilimia 15% kwa mwaka. Je,
sentimita. aliweka kiasi gani cha fedha?
25. Faines anapatikana umbali wa 32. Chupa ya dawa ya mtoto ina
km 12 kaskazini mwa hospitali ujazo wa milimita 630 kabla ya
ya Lugoda na Sakina matumizi, kama mtoto atatumia
anapatikana umbali wa km 9 milimita 10 mara tatu kwa siku.
mashariki mwa hospitali hiyo. Baada ya wiki ngapi dawa hiyo
Tafuta umbali kati yao. itamalizika?
26. Amani alinunua vitu vifuatavyo:- 33. Duka la Mangi hufunguliwa saa
Mifuko 2 ya sukari @ 25,00/, Doti 0900 na kufungwa saa 1730 kila
3 za kanga @ 5,000/=, vikombe siku. Je, Mangi hutumia saa
dazani 2 @ 2800/=, na viazi kilo ngapi kuuza duka lake kwa siku
10. Ikiwa alilipa jumla y ash. 5?
54,000 bei ya kilo moja ya viazi 34. Tafuta ukubwa wa mcheduara
ni shilingi ngapi? ufuatao.
27. Gharama ya kutuma maneno 10
ya mwanzo kwa simu ya Sm 20
maandishi ni shilingi 100 kwa
kila neno na maneno yanayozidi
Sm 14

hapo ni shilingi 150 kila neno.


Tafuta idadi ya maneno
yatakayogharimu shilingi
1,750/=. 35. Eneo la trapeza ABCD ni sm2 45.
28. Watoto sita wa familia moja Tafuta urefu wa AE.
walivuna karanga zenye uzito wa
kilogramu 240 na gramu 600. A sm 6 B
Waligawana sawa karanga hizo
na mmoja kati yao alimpa rafiki
yake robo ya kiasi alichopata. Je,
yeye alibakiwa na kiasi gani cha
kilogramu na gramu za karanga? D E sm 12 C
29. Umri wa Pendo ni ya umri wa
36. Tafuta kipenyo cha mche duara
mjomba wake wa sasa. Miaka 12 ufuatao iwapo ujazo wake ni sm3
ijayo umri wake utakuwa ya 61.6 (Tumia )
umri wa mjomba wake. Tafuta
umri wa mjomba wake baada ya
miaka 12.
30. Nyaumwa na Kasanga
waligawana sh. 45,000 kwa
uwiano wa 2 : 4 . Je, Nyaumwa Sm 10
alipata kiasi gani cha fedha?
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 23
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
37. Eneo la pembetatu ifuatayo ni 43. Tafuta thamani ya x katika
sm2 66. Tafuta thamani ya “x” mchoro ufuatao:

sm 12

sm 3 sm x

38. Tafuta eneo la umbo lifuatalo:


44. Shule ya msingi Kazunzu iliuza
M 70 jumla ya magunia 720 ya
machungwa, mtama, mahindi
M 100 na mchele. Iwapo machungwa
ni 25%, mchele ni nyuzi 360,
39. Andika kanuni ya kutafuta mahindi ni nyuzi 1040. Tafuta
mzigo wa umbo hili. idadi ya magunia ya mtama.

45. Mshahara wa Chiku ni


sh. 456,500 kwa mwezi. Ikiwa
mshahara wake utaongezeka
kwa asilimia 26. Je, atakuwa na
40. Tafuta eneo la umbo hili mshahara kiasi gani baada ya
m.4 ongezeko?

m.4 m.4
**********************************
m.12
M.6
m.5 m.5
JARIBIO LA 13
1. 205 + 9999 + 38 =
41. Pembe (a + b) ni sawa na nyuzi 2. 8885 + 4669 =
ngapi? 3. 3666 ÷ 47 =
4. 458 ×56 =
5. 70005 - 3214 =
6. -17 + (+29) =
a
7. CCXII + CXLVIII =
b 8. Andika namba inayofuata katika
mfululizo huu:
42. Tafuta thamani ya pembe Q
2, 5, 11, 20, 32, ……………..
katika umbo lifuatalo:
9. 154 – (8+3)2 ÷ 11 × 13 =
10. 8 x 3 +(5+6) – 15 ÷3 =
11. Iwapo 4:12 = 9:X Tafuta thamani
ya ‘X’.
12. Watu 12 wenye uwezo sawa
hulima shamba kwa siku 4. Je,
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 24
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
watu 16 wenye uwezo sawa kuuzia iwapo kiliuzwa kwa faida
watalima shamba hilo kwa siku ya 20%.
ngapi? 31. Mfanya biashara alinunua tenga
13. Mwalimu aliwapatia Saidi, John la nyanya kwa gharama ya
na Omari maswali 300 ya shilingi 55,000 na aliliuza kwa
kufanya nyumbani. Ikiwa shilingi 48,950.Je alipata hasara
waligawana maswali hayo kwa ya asilimia ngapi?
uwiano wa 3:2:5. Je, Omari 32. Saidi alinunua mayai 200.Ikiwa
alifanya maswali mangapi? alinunua kila mayai 10 kwa
14. 2 4 + 3 5 =
1/ 1/ shilingi 4000 na kuuza kila mayai
8 shilingi 4000. Je alipata faida
15. 123/5 – 84/9 = ya kiasi gani?
33. Bei ya TV dukani imepunguzwa
16. 4.935 + 6.43 =
kutoka Sh. 250,000 hadi sh.
17. 23.62 – 7.35 = 180,000. Punguzo hilo ni sawa na
kiasi gani cha fedha?
18. 0.99 x 0.25 = 34. Zidisha kg 1418 g 530 kwa 12.
Andika jibu lako katika
19. Tafuta kilogramu.
35 Iwapo eneo la pembe tatu ni sm2
20. Badili 1/5 kuwa asilimia. 60. Tafuta kitako chake ikiwa
21. Andika zao la namba tasa zilizopo kimo ni sm 15.
kati ya 14 na 20. 36 Umbo lenye pembe 6 lina jumla
22. Tafuta kigawe kidogo cha shirika ya nyuzi za ndani ngapi?
(K.D.S) cha 9,15 na 18 37 Peo tatu za mraba ni
23. Rahisisha A (0, 0) B (-4, 0), C (-4, -4). Andika
majira ya peo ya nne.
24. Tafuta kigawo kikubwa cha
38 Fumbua milinganyo ifuatayo:
shirika (K.K.S) cha 46, 69 na 92. X / + x/ = 10
2 3
25. Badili 1.25 kuwa sehemu rahisi.
39 Umri wa Issa ni mara nne ya
26. Angel alitembea umbali wa meta
Umri wa mwanawe Hawa. Iwapo
162 1/2. Hatua yake moja ilikuwa
jumla ya umri wao ni miaka 35.
na urefu wa meta 0.65. Je
Tafuta umri wa Issa.
alitembea jumla ya hatua ngapi?
40 Tafuta eneo la umbo lifuatalo.
27. Tafuta tofauti kati ya meta 17 ½
na meta 9 1/3 za kamba.
28. Bei ya debe moja la mahindi ni Sm 7
shilingi 15,000 . iwapo bei hiyo
itapunguzwa kwa 5%, bei mpya
itakuwa kiasi gani 41. Tafuta eneo la nyuso za mche
29. Umbali kutoka Liwale hadi mstatili huu.
Nangurukuru ni km 231. Iwapo
basi lilitembea kwa mwendokasi
wa kilometa 21 kwa saa. Tafuta
Sm 4 Sm 5
muda lililotumia basi hilo.
30. Kitanda cha mbao kilinunuliwa Sm 7
kwa Sh. 180,000. Tafuta bei ya
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 25
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
42. Tafuta mzingo wa pembetatu hii. 6. 3232 ÷ 16 =

7. 1 x 5 =

Sm 0.6 8. 12 ÷4 =
9. 62.56 + 10.62 =

Sm 0.8 10. 150.7 – 80.75 =


11. 42.6 x 2.7 =
43. Katika umbo hili tafuta ukubwa
12. 7.2 ÷ 0.03 =
wa ‘n’
n 13. Badili 0.56 kuwa asilimia.

139
0 14. Andika 3.75% kuwa shemu rahisi.
15. Badili 72% kuwa desimali.
16. Andika MDCLXX katika namba za
kiarabu.
44. Endapo RST ni mstari mnyoofu,
17. Kokotoa kipeuo cha pili cha 6.25
tafuta ukubwa wa <PSQ
18. Andika namba mraba ya 121.
P Q
19. Kokotoa namba inayofuata katika
90 - x
3x – 200 4x - 160 5, 12, 23, 38, ………………………
R S T 20. Tafuta KKS cha 8, 18 na 32
21. Tafuta KDS cha 45, 50 na 75
45. Tafuta thamani ya K katika umbo
22. Namba ngapi shufwa zipo kati ya
hili.
15 na 25?
800 - x 23. Jumlisha namba witiri zote
K
zilizopo kati ya 140 na 132
3x + 400 4x - 200
24. Toa namba tasa ndogo kutoka
kwenye namba tasa kubwa zaidi
4x + 50 6x - 450 zilizopo kati ya 12 na 20.
25. Gawanya Kg 3 na gm 200 kwa 4

******************************** 26. Andika saa 7 kamili usiku kwa


mtindo wa masaa 24.
JARIBIO LA 14
27. Ikiwa 81:K = 3:4
1. 48009 + 1652991 =
2. 900900 – 90909 = 28. Rahisisha fungu lifuatalo.

3. 5 + 2 =

4. 4875 x 21 = 29. Pembe za pembetatu zina nyuzi 2x,


3x na 3x+36, tafuta thamani ya x.
5. 12 – 4 =

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 26
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
30. Kokotoa 4 – + ÷ = 37. Tafuta eneo la sehemu yenye
kivuli. (π=22/7)
31. Gurudumu la gari lenye kipenyo
cha sm 60 lilizunguka mara 10
kwenye barabara. Gurudumu hilo
lilikwenda umbali wa meta
ngapi? (tumia π = 3.14)
32. Tafuta eneo lililotiwa kivuli katika
umbo hili.
A
38. Kokotoa ukubwa wa pembe
(3x + 40) katika umbo lifuatalo

8cm 120°

5x+10
3x+40
D 3cm B 6cm C
7x–20

33. Tafuta mzunguko wa umbo hili.


39. Tafuta thamani ya ‘b’ katika umbo
lifuatalo.

35°

35°

34. Tafuta eneo la umbo lifuatalo


(Tumia = 3.14)
40. Tafuta thamani ya x katika umbo
lifuatalo.
Sm 16

4x + 40° x
Sm 16 3x+20°
19°
35. Tafuta ukubwa wa mche duara 3x+6°
ufuatao.
m7 41. ya wanafunzi wa darasa la
saba katika shule yetu ni
m. 100 wasichana na ikiwa darasa hilo
lina wavulana 56. Je darasa hilo
36. Eneo la trapeza DEFG ni lina wasichana wangapi?
sm2 32. Tafuta urefu wa FG
42. Basi la AG Safaris lilitembea
G F
umbali wa km 30 kwa muda
wa dakika 15. Tafuta
Sm 4
mwendokasi wa gari hilo.
D sm 8 E

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 27
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
43. Ukiunganisha majira ya 18. Kokotoa kipeuo cha pili cha
nukta A (–2, 2), B (2, 2),
106276
C (3, –3) na D (–4, –3) utapata
umbo gani? 19. Tafuta zao la namba tasa zilizopo

44. Wastani wa umri wa watu 6 kati ya 30 na 40


ni 52. Tafuta umri wa watu
20. Ni namba shufwa ngapi zilizopo
wote kama mtu mwenye umri
wa miaka 45 ataongezeka? kati ya 41 na 55 zinzogawanyika
45. Mwanakwetu alinunua sukari kg kwa 6?
5 @ sh.1,500/=, maziwa lita 10
kwa sh.4000/=, fanta chupa 10 @ 21. Tafuta Kigawe Kidogo cha shirika
400/=, mayai 30@ sh.250/=, na
majani ya chai pakiti 2 @ sh.200/= cha 48, 72 na 120
Iwapo alikuwa na shilingi 22. Tafuta Kigawo Kikubwa cha
25,000/= Je, alibakiwa na shilingi
ngapi? shirika cha 72, 108 na 144
23. Zidisha m 26 sm 36 kwa 5
******************************** 24. Andika 1205 katika namba za
kirumi.
JARIBIO LA 15 25. Tafuta namba inayofuata katika
1. 5 1/6 ÷ 2 7/12 = mfululizo huu 31, 15, 7, ………
26. Wastani wa umri wa watu 6 ni
2. 678 – (9678 + 273) = miaka 42. Ikiwa umri wa watu 5
3. 15.7 – 8.79 = ni 38, 47, 25, 49 na 50. Tafuta
umrin wa mtu wa sita.
4. 5 ¼ x 4 2/3 = 27. Iwapo ¾ : ½ = P : 8. Tafuta
5. 202020 – 72139 = thamani ya P
28. Ikiwa c = -1 na d = -2. Tafuta
6. 8.2 x 0.35 = thamani ya fungu lifuatalo;
7. 20 – 4.013 = 3c2d + d2c
cd – c2
8. 3½+6¾= 29. Rahisisha fungu lifuatalo;
9. 13.99 + 6.975 = 13a + 5a +12
2 + 3a
10. 5 7/12 – 2 5/6 = 30. Ikiwa urefu wa waya ni sm 220
11. 8193 x 86 = umekunjwa na kuunda umbo
duara. Tafuta eneo la duara.
12. 3.21 ÷ 0.003 = 31. Tafuta eneo la mraba huu.

13. 3672 ÷ 36 =
14. Badili 0.025 kuwa sehemu
m. (13x - 5)
15. Geuza 11/8 kuwa asilimia
16. Badili 281/4 kuwa desimali
m. (45 - 12x)
17. Tafuta namba mraba ya 3.092
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 28
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
32. Tafuta eneo lililotiwa kivuli.
P S A
D
0
Y
Sm 13
Sm (3x – 1) Sm (2x + 1)

Q R
B C

33. Tafuta
eneo lililotiwa kivuli.
(Tumia = ) 38. Tafuta ukubwa wa pembe ABE
katika umbo lifuatalo:-
D
E
SM 14

450
SM 20 50
A B C
34. Tafuta
eneo la nyuso za
39. Tafuta ukubwa wa pembe
mchemstatili ufuatao
iliyowakilishwa kwa herufi “a”

40. Mariam alikwenda dukani kununua


35. Tafuta thamani ya ‘a’ vitu vifuatavyo: magunia 3 ya viazi
@sh 25,000, viatu jozi 2 @ sh. 15,000,
mikoba dazani 101/2 @ sh. 9000,
Iwapo alikuwa na shilingi 200,000/=,
alipungukiwa kiasi gani cha fedha?
41. Mshahara wa mlinzi wa shule
yetu ni. Tsh.180,000/= kwa
mwezi. Tumia kielelezo kwa
36. Tafuta ukubwa wa pembe JKL duara kifuatacho kutafuta kiasi
anachoweka benki.

Benki
kodi nguo

50° 50°

110°
100° chakula
ada
37. Tafuta ukubwa wa pembe y0

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 29
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
42. Maria, mage na Mwajuma 10. 10.3 – 8.59 =
walipatiwa fedha. Maria alipata
11. 2.18 X 12.6 =
mara nne ya mage na mage
alipata mara mbili ya 12. 0.0858 ÷ 0.013 =
Mwajuma.Je Mwajuma alipata
kiasi gani cha fedha iwapo 13. Nini jumla ya thamani ya
fedha yote ilikuwa sh.9900? tarakimu 7 na 9 katika namba
125 798?
43. Umri wa Jane ni mara mbili ya 14. Soma namba ifuatayo; 60.345
umri wa Rhoda. Miaka 5 iliyopita 15. Andika 2022 kwa namba za
umri wa Jane ulikuwa ni mara kirumi.
tatu ya umri wa Rhoda. Tafuta 16. Kadiria namba ifuatayo katika
umri wa Jane wa sasa. makumi ya desimali; 74901.385
44. Taja jina la umbo 17. Badili 1 kuwa asilimia.
linalopatikana baada ya 18. Badili 31 % kuwa sehemu
kuunganisha nukta zifuatazo:
(2,-1), (2,3), (-2,-2) na (-1,2) rahisi.
19. Badili 1.04 kuwa sehemu rahisi
45. Anna alinunua pipi 10 @ sh.50
biskuti 6 @ sh.50, kalamu 4 @ 20. Tafuta kigawo kikubwa cha
shirika (KKS) cha 39, 78 na 117
sh 100 maputo 3 @ sh.200 na
21. Tafuta kigawe kidogo cha shirika
maandazi 2 @ sh.100. kama
alienda dukaqni na shilingi (KDS) cha 36, 48 na 96
10,000/=, alirudishiwa chenchi 22. Tafuta kipeuo cha pili cha 5929.
shilingi ngapi? 23. Andika namba tasa zote zilizopo
kati ya 22 na 30.
24. Ikiwa - = -3. Tafuta thamani
********************************** ya x.
25. Tafuta jumla ya namba ambazo si
tasa katika namba zifuatazo, 83,
JARIBIO LA 16 101, 89, 91, 97.
26. Tafuta kipeou cha pili cha namba
1. 898 + 5773 = 8464?
2. 29313 – 4119 = 27. Gharama ya kilogramu 6 za
sukari ni sh. 6600. Je kilogramu
3. 472 x 8934 = 24 zitagharimu shilingi ngapi?
4. 95481 309 = 28. Gawanya Sh. 7200 kwa
Mohamed, Abelinego na Zaituni
5. 6 + 2 = kwa uwiano wa 1:2:3 kisha tafuta
tofauti ya kipato atakachopata
6. 8 -3 = Zaituni na Mohamed.
29. 0.5 ya mifugo ya Molinge ni
7. 6 ÷3 = ng’ombe na ya mifugo ni
8. 1 x3 = ndama. Ikiwa ng’ombe ni 72.
Tafuta jumla ya ndama.
9. 1.48 + 0.923 =

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 30
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
30. Umri wa Amina ni mara tatu ya
umri wa Janeti. Miaka mine
ijayo, umri wa Amina utakuwa
mara mbili ya umri wa Janeti. Je
Amina ana umri wa sasa ni
miaka mingapi? 40. Tafuta eneo la umbo hili.
31. Badili saa 3:15 asubuhi kuwa
katika mtindo wa saa 24.
32. Badili m3 18 kuwa lita.
33. Uwiano wa umbo la mstatili lenye
urefu na upana ni 7:5. Ikiwa
mzingo wa mstatili huo ni m 84.
Tafuta eneo la mstatili huo.
34. Ng’ombe 12 wanakula
kilogramu120 za nyasi kila siku,
Je ng’ombe 20 watahitaji kula 41. Tafuta ukubwa wa pembe ‘p’
kilogramu ngapi za aina ile ile ya
nyasi?
720

35. Tafuta wastani wa matokeo ya P

wanafunzi 6, wenye alama


zifuatazo:
80, 40, 20, 30, 50 na 20. 680

36. Mzingo wa duara ni 88m. Tafuta 42. Tafuta thamani ya x katika


kipenyo cha duara hilo. mchoro ufuatao.

37. Eneo la duara ni m2 2464. Tafuta


nusu kipenyo cha duara hilo.

38. Ikiwa mzingo wa Mstatili ufuatao 3X - 100


210 + X 40 – X
ni sm80. Tafuta eneo lililotiwa
kivuli. 43. Mchoro ufuatao unaonyesha
mazao yaliyovunwa katika kata
Sm (2x+4) ya Mninga mwaka 2020. Ikiwa
walivuna jumla ya tani 96,000.
Sm (3x+6) sm Je, uwele ulikuwa ni tani ngapi?

1500
39. AB ni kipenyo, tafuta mduara wa 69 0
umbo hili (Tumia = 3.14) 390

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 31
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
44. Jonaeli aliendesha gari lake 16. =
kutoka kijiji cha Mazoela
17. Tafuta K.K.S. cha 16, 24 na 36
kuelekea Mashariki umbali wa
km 40 na kisha kuelekea kusini 18. Tafuta K.D.S. cha 28, 36 na 56

kijiji cha Matola km 30. Tafuta 19. MCMLIV – MCCCIX


umbali mfupi kutoka Mazoela (Jibu katika namba za kirumi)
hadi Matola.
20. Badili 2.5% kuwa desimali
45. Amina alilipa sh 4000/= ikiwa ni
gharama ya kutuma simu ya 21. Badili kuwa asilimia
maandishi yenye maneno 23.
22. Kadiria 539,499 katika maelfu ya
Ikiwa gharama ya kutuma
karibu
maneno 10 ya mwanzo ni sh
23. Zijumlishe namba witiri zilizopo
1400/= tafuata gharama ya kila
kati ya 66 na 105 zinazogawanyika
neno linaliongezeka.
kwa 13
24. Jumlisha 973 na kipeuo cha pili cha
********************************* 729.
25. Andika namba inayofuata katika
JARIBIO LA 17 mtiririko huu; -2, 4, 10, …………
1. 20849 + 79161 =
26. Iwapo A:B = 45:54, A = 20. Nini
2. 25202 – N = 15596. N = thamani ya B
3. 429 x 47 = 27. Tafuta thamani ya x katika
4. 5301 ÷ 57 =
mlinganyo ufuatao; 4 + 3(x -1) = 7
28. Rahisisha fungu hili
5. 967545 x 0 =
3(3p+2) – 2(3p+2)
6. + + =
2+3p
7. 3 – 2 = 29. Hatua moja ya mtoto ni meta 0.5.
Je atatembea hatua ngapi katika
8. 9 ÷ 2 = umbali wa km. 1.5?
9. 15.37 + 9.467 = 30. Eneo la pembetatu ABC ni
sm2 31.5. Tafuta urefu wa kitako
10. 6.009 – 0.994 =
BC A
11. (0.2)2 x 0.4 =

12. 0.00864 ÷ 0.27=


Sm 7
13. -7 – (13 – 14) =

14. Zao la 1 na 3 ni: B C

15. Badilisha 0.0375 kuwa 31. Tafuta eneo la trapeza hii.


sehemu rahisi
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 32
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
Sm 16 36. Tafuta ukubwa wa pembe ‘k’ katika
umbo lifuatalo;
k
Sm 5

Sm 12
620

32. Kokotoa eneo la umbo lifuatalo;


(Tumia = 22/7 ) 37. Tafuta ukubwa wa pembe ‘a’
katika mchoro ufuatao.

a
sm 6

sm 8 1400

33. Dayness alikuwa na waya,


alijaribu kuukunja ilikupata 38. James, Niko na Halima,
umbo. Ikiwa alipata umbo waligawana kiasi cha fedha
lifuatalo hapo chini; waya huu katika uwiano wa 2:3:4. Ikiwa
ulikuwa na urefu gani? James alipata Sh. 300,000
(Tumia = /7 )
22 waligawana fedha kiasi gani?
39. Agnes alitembea mita 500 kwa
dakika 15. Tafuta mwendokasi
wake katika km/saa.

40. Wanafunzi 8 hupalilia hekta 3za


34. Tafuta eneo la umbo lifuatalo.
shamba kwa siku 6. Wanafunzi 12
watapalilia shamba hilo kwa siku
ngapi?

41. Wanafunzi 4 wanaweza kusafisha


shule kwa muda wa siku 6. Je, ni
wanafunzi wangapi waongezwe ili
kazi hii ifanyike kwa siku 4?
42. Wastani wa alama za wanafunzi
35. Tafuta eneo lililotiwa kivuli katika 5 ni alama 72. Je, wanafunzi wote
mchoro ufuatao. hawa wana jumla ya alama
ngapi?

14cm 43. Umri wa Peter ni mara tatu ya


umri wa Anjela. Miaka mitano
ijayo umri wa Anjela utakuwa ni
14cm nusu ya ule wa Peter wa sasa.
Tafuta umri wa Anjela wa sasa.

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 33
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
44. Bei ya baiskeli ni sh. 120,000/=. 19. Tafuta jumla ya K.K.S. na K.D.S.
Bei hiyo ni pamoja na kodi ya cha 24, 45 na 50
ongezeko la thamani (VAT) ya 20. Wastani wa uzito wa wanafunzi 7
20%. Tafuta thamani ya baiskeli ni kg 21.6. Uzito wa mwanafunzi
hiyo bila ya VAT. wa 8 ni kg 11.6. Tafuta wastani
wa uzito wa wanafunzi wote 8.
45. Mwalimu alinunua vitu 21. Tafuta kipeuo cha pili cha 2916
vifuatavyo: 22. Iwapo 81 : x = 162 : 234, tafuta
Chaki maboksi 10 @ sh 62,000/=, thamni ya x
daftari maboksi 3 @ 124,000/= na
chupa 10 za gundi. Ikiwa alilipa 23. Iwapo s = -2, r = 3, tafuta
jumla ya sh. 1,000,000/=, Tafuta thamani ya fungu hili:
bei ya chupa moja ya gundi. 2rs + 4r + s2

s–r–1

24. John aliweka Tshs. 20,000/=


******************************** katika Benki ya Posta inayotoa
JARIBIO LA 18 riba kiasi cha 5% kwa mwaka.
1. 123 + 4083 + 18159 = Endapo aliweka hela hiyo kwa
miezi 9, alipata faida kiasi gani?
2. 3000 – 1879 =
25. Ukubwa wa pembe ya kwanza
3. 831 x 56 = kwenye pembetatu ni nusu ya
4. 44232 ÷ 97 = ukubwa wa pembe ya pili. Iwapo
ukubwa wa pembe ya tatu ni
5. 2 – 0.987 =
mara tatu ya pembe ya pili.
6. 2.8 + 1.29 + 0.973 = Tafuta ukubwa wa pembe iliyo
7. 19.03 x 0.7 ndogo.
26. Wanafunzi 300 walisajiliwa
8. 20.125 ÷ 3.5 =
kuingia darasa la kwanza. Kati
9. 61/6 + 31/5 = yao wavulana walikuwa 200. Je
10. 121/4 – 31/2 = wasichana walikuwa asilimia
ngapi ya wanafunzi
11. 47/9 x 41/2 = waliosajiliwa?
12. Badili 1.025 kuwa sehemu rahisi 27. Umri wa Yohana ni mara 3 ya
13. Andika 812/15 kama desimali umri wa Issa. Kama jumla ya
umri wao ni miaka 20, tafuta
14. Andika namba inayofuata katika umri wa Issa.
mfululizo huu: 1, 4, 8, 13, ............ 28. Salima alituma simu ya kuandika
15. Andika namba inayofuata katika yenye maneno 18. Maneno 10 ya
mfululizo huu: -¾, -½, -¼, 0, …… mwanzo alilipa sh 300/= na kila
16. Andika MDCCXIV kwa namba za neno lililoongezeka alilipa sh
kawaida 250/=. Tafuta gharama
17. Jumlisha nanba shufwa zote aliyotumia.
zilizopo kati ya 35 na 65 ambazo 29. Treni liliondoka Dodoma saa 2030
ni vigawe vya 12. na kufika Mwanza umbali wa km
18. Zidisha km 3 m 25 na sm 75 kwa 418 saa 0800 siku iliyofuata.
5.
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 34
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
Tafuta wastani wa mwendokasi 38. Mshahara wa Masatu ni sh.
wa treni hiyo. 456,500 kwa mwezi. Ikiwa
30. Umri wa Pendo ya umri wa mshahara wake utaongezeka
mjomba wake wa sasa. Miaka 12 kwa asilimia 26. Je, atakuwa na
mshahara kiasi gani baada ya
ijayo umri wake utakuwa ya
ongezeko?
umri wa mjomba wake. Tafuta
umri wa mjomba wake baada ya 39. Tafuta eneo lililotiwa kivuli,
miaka 12. ikiwa mdura umegusa pande
31. Nyaumwa na Kasanga mbili sambamba za trapeza.
waligawana sh. 45,000 kwa
uwiano wa 2 : 4 . Je, Nyaumwa Sm 12
alipata kiasi gani cha fedha?
32. Theo alipata faida ya shilingi Sm 10
7,200 baada ya kuweka fedha
benki ya Posta kwa muda wa
miaka 2. Ikiwa benki hutoa riba Sm 18
ya asilimia 15% kwa mwaka. Je, 40. Tafuta eneo la sehemu iliyotiwa
aliweka kiasi gani cha fedha? kivuli.
33. Chupa ya dawa ya mtoto ina
ujazo wa milimita 630 kabla ya
matumizi, kama mtoto atatumia Sm 10
milimita 10 mara tatu kwa siku.
Baada ya wiki ngapi dawa hiyo Sm 3
itamalizika?
34. Duka la Hamisi hufunguliwa saa
Sm 8
0900 na kufungwa saa 1730 kila
siku. Je, Hamisi hutumia saa ngapi 41. Eneo a trapeza hii ni sm2 32.
kuuza duka lake kwa siku 2?
Tafuta urefu wa BE.
35. Umri wa Yohana ni mara 3 ya
A B
umri wa Issa. Kama jumla ya
umri wao ni miaka 20, tafuta
umri wa Issa.
36. Asha, Tatu na Hadija waligawana
doti 1,020 za kanga. Iwapo Asha D Sm 2 F Sm 6 E Sm 2 C
alipata 0.3 na Tatu alipata 0.4
ya doti zote, je Hadija alipata doti 42. Tafuta ukubwa wa pembe CDE
ngapi? A B
37. Shule ya msingi Kazunzu iliuza
jumla ya magunia 720 ya
machungwa, mtama, mahindi na 600
mchele. Iwapo machungwa ni F
D C
25%, mchele ni nyuzi 360,
750
mahindi ni nyuzi 1040. Tafuta
idadi ya magunia ya mtama. E

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 35
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
43. Tafuta ukubwa wa pembe z 12. 26.35 + 4.569 =
z 13. Iwapo a= 4, b=3 na c=2 tafuta
thamani ya b2 +a2 –c2
430
a - c
14. Kokotoa thamani ya 15 -3 X2 +3
3350
15. Tafuta zao la namba tasa zilizopo
44. Tafuta thamani ya “h” katika kati ya 1 na 12
umbo lifuatalo 16. Tafuta zao la kigawe cha shirika
(K.D.S).na (K.K.S) cha 24,48 na
300 72
17. Rahisisha 3a2b – 9ab2
h 18. Tafuta thamani ya “y” katika
4y +4 = 3y -5
400 19. Kuna 1/3 ngapi katika 41/3?
20. Andika MCML kwa namba
45. Tafuta eneo la kiwanja cha mpira zakawaida.
wa miguu (Tumia = 22/7) 21. Andika namba inayofuata katika
mfululizo huu 7,13,19
Sm 100 22. Tafuta kigawe kidogo cha shirika
KDS cha 6, 9 na 12.
Sm 70
23. Kokotoa jumla ya 102 + ✓625 =

24. Gawanya kg 248 gramu 640 kwa


32
25. Tafuta eneo la mstatili huu ikiwa
mzingo wake ni sm 134.
******************************** A B

JARIBIO LA 19 sm (3d - 8)
1. 67 +846 + 72398 =
D C
sm (2d + 15)
2. 100081 – 78991 =
26. Tafuta ujazo wa umbo lifuatalo
3. 17 x113 x57 = katika lita (Tumia = 22/7) na
4. 2210 ÷ 13 = mita ya ujazo 1 = lita 1000)

5. 22/3 + 35/6 =
m. 1.4
6. 52/3 – 21/4 =

7. (-24) – ( -12) =
m. 5
8. 11/3 ÷ 2/3 =
27. Tafuta eneo lililotiwa kivuli iwapo
9. 1.8÷ 0.18 = duara lililochorwa ndani ya
10. -14 X(-19 + 16) = mraba lina nusu kipenyo cha sm
7 (Tumia = 22/7)
11. 170.2 ÷ 74 =

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 36
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
Sm 8
Sm 7
Sm 5

Sm 3
33. Wastani wa namba nne ni 180.
28. Tafuta eneo la trapeze ifuatayo
Ikiwa namba mbili kati ya hizo ni
Sm 20 105 na 95. Tafuta namba ya tatu.
Iwapo namba ya tatu nay a nne
Sm 5 ni sawa.
34. Jumla ya namba nne
zinazofuatana ni 130. Tafuta
namba kubwa katika hizo .
Sm 3 35. Gharama ya kutumia simu ya
maandishi kwa njia ya posta ni
29. Tafuta ujazo wa mche mstatili
630 kwa maneno 10 ya mwanzo n
ufuatao
ash 54 kwa kila neno
linaloongezeka. Tafuta gharama
ya kutuma maneno 24
36. Umbali kati ya Mawerewere na
sm 2 Mlasndege ni km 22. Ikiwa muda
sm 4 uliotumika ni saa 2:40. Tafuta
sm 6 mwendokasi.
37. Watu 11 hupalilia shamba la
30. Duara ulilopewa linaonyesha jinsi
hekta 344 kwa siku 21. Iwapo
gani kizibo alivyotumia fedha
watu 4 watapungua. Shamba hilo
zake. Ikiwa alikuwa n ash
litapaliliwa kwa siku ngapi?
960,000. Tafuta kiasi alichoweka
38. Benitio aliweka benki sh 70,000.
kizibo kama Akiba
Iwapo benki hiyo hutoa kiasi cha
riba 135 kwa mwaka na fedha
Nauli
Chakula hizo zilikaa benki kwa muda wa
35%
25% miezi 9. Je Benito alipata faida
Akiba kiasi gani?
30% 39. Juma, Hamis na Asha
Zawadi
waligawana tani 7800 za mahindi
kwa uwiano wa 3.5:4:21/4 , Je ash
31. Tafuata thamani ya X umbo alipata tani ngapi za mahindi?
lifuatalo. 40. Bei halisi ya redio 120,600 lakini
huuzwa kwa sh 112,00 baada ya
1400 1500 punguzo. Tafuta punguzo katika
asilimia.
4x 3x 41. Nukta tatu za majira ya nukta za
umbo la mstatili ni kama
32. Tafuata eneo la msambamba ifuatavyo (A) (5,-3) (B) (0,-3) (C)
(5,0) tafuta majira ya nukta D.
ufuatao.
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 37
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
42. Umbo la pembe sita lina pembe 14. Aandika jumla ya namba witiri
zifuatazo (2y +20), 4y, 2y,
zote kuanzia 91 hadi 100
(5y + 15) (70 – y) na 3y. tafuta
thamani ya “y” 15. Andika namba tasa zote zilizo
43. Hatua moja ya kobe n ism 12. 5
kati ya 61 na 73
Je endapo kobe huyo atasafiri
umbali wa km 1 atakuwa 16. Vigawo vitatu vya mwanzo vya 12
ametembea hatua ngapi?
ni ……………………………………..
44. Umri wa mama ni mara tatu ya
umri wa mwanae. Iwapo jumla ya 17. Kokotoa kipeo cha pili cha 201
umri wao ni miaka 40. Tafuta 18. Kokotoa kipeuo cha pili cha 47524
umri wa mama. 19. Kigawo kikubwa cha shirika cha
45. Kipeto alitumwa dukani kununua 38, 95 na 57 ni:-
vitu vifuatavyo kalamu 4 @ sh 20. Kigawe kidogo cha shirika cha 84,
250, vibiriti 6@ sh 100 majani ya 56, 14 na 28 ni:-
chai paketi 2 @ sh 400, mkasi sh 21. 25 x 25 = (jibu kwa namba za kirumi)
600, Nyembe 9 @ 50, bahasha 10 22. Onyesha namba inayofuata 50,
@ 45 , sabuni vipande 5@ sh 1800. 75, 125, 225, 425 …………………
Je jumla alitumia shilingi ngapi? 23. 1.2 + 19.445 =
24. Rahisisha fungu hili 18C6 ÷ 3C4
******************************** 25. Gawanya km 45 m248 kwa 8 (jibu
katika kizio cha meta)
JARIBIO LA 20 26. Jumla ya namba nne
zinazofuatana ni 30. Kokotoa
1. 2018 x 2018 =
namba ndogo kati ya hizo.
2. 62 + 25116 + 654 = 27. Rahisisha fungu lifuatalo;
13b + 5b +12
3. 589 - 4555 =
2 + 3b
4. 14406 ÷ 98 =
28. Gaharama ya kutumia simu ya
5. 100.7 ÷ 4 = maandishi yenye maneno 28 ni sh
6. -12-(+5 -+16) 50/= kwa kila neno kwa maneno
11 ya mwanzo endapo kila neno
7. Geuza 5.5% kuwa desimali linalozidi hutozwa sh 220/=.
8. Badili 62/3% kuwa sehemu rahisi. Tafuta gharama ya simu hiyo
yote.
9. Andika 47/8 kama desimali. 29. Umri wa Perpetua ni mara mbili
10. 51/5 + 61/6 = ya umri wa kakae Dandu. Ikiwa
tofauti yaumri wao ni miaka 48
11. 83/11 x 124/7 = sasa . kokotoa umri wa Perpetua
12. 93/4 ÷ 72 hivi sasa.
30. Wachezaji wanne Dommy,
13. Idadi ya namba shufwa kati ya 38 Summy,Emmy na Jimmy
na 48 ni ngapi? walipewa Tsh. 360,00/= kama
zawadi. Wao waligawana kwa

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 38
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
uwiano wa 4:3:2:1. Emmy alipata M 15
kiasi gani?
31. Kokotoa eneo la duarqa lenye
nusu kipenyo cha sm 20. 5 (tumia
M 25
= 3. 14) Jibu katika nafasi moja
yadesimali.
32. Justine ni fundi seremala. Peke
yake hutengeneza viti 6 kwa siku 39. Kokotoa eneo lililotiwa kivuli.
5. Endapo wataongezeka mafundi Sm 11 S
P
wengine 2 zaidi, itackhukua
Sm 10
muda gani kutengeneza viti 18?
33. Salome alikopa sh 480,000/=
Q R
katika benki inayotoa riba ya T
Sm 19
71/4% kwa mwaka. baada ya
miaka 2 na miezi 6, atakuwa
40. Mzingo wa mraba huu ni m 48.
anadaiwa kiasi gani jumla? Kokotoa eneo lake lote.
34. Kiota cha njiwa kimejengwa juu
ya mti umbali wa meta 20 kutoka
chini. Mtoto alikiona akiwa m. (k + 8)
umbali wa meta 15 kutoka shina
la mti . Je, umbali wa kutoka
kiota kilipo hadi kwa mtoto ni 41. AOB ni pembamraba. Kokotoa
meta ngapi? thamani ya X
B
35. Upepo huvuma umbali wa km 50
kwa kutumia muda wa saa 121/2. C
Nini mwendokasi wake? 50 – 2x
36. Wastani wa masomo 5 ni 63.
Wastani wa masomo mengine 4x - 700
manne ni 50.5. Kokotoa jumla ya A O
alama za masomo yote.
42. Tafuata ukubwa wa pembe ‘a’
37. Kokotoa thamani ya ‘y’ iwapo
eneo la pembetatu hii ni sm2 144. 400

a
Sm 4
43. Kokotoa ukubwa wa (K )
y Sm 18
1100

38. Ukizunguka umbo hili ni sawa


umetembea umbali wa mita
ngapi? k 480

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 39
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
44. Kudra hutumia sh 30,000/= 14. 33/4 ÷ 19/16 =
kuwalipa vibarua wake. Kwa
15. Badili 211/2% kuwa sehemu
kutumia grafu hii, Kudra hupata
shilingi ngapi kwa mwezi rahisi.
16. Andika 12/5 kama desimali.

17. Andika namba ya kirumi


Chakula MDCLXVI katika namba ya
Vibarua
600
kawaida.
1000
18. Badili 0.00125 kuwa sehemu
150 0
Usafiri rahisi.
Kodi 19. Paulo akiuza suruali kwa sh
5375. 25 atapata hasara y ash
45. Andika majira ya nukta “K” 2550. 75. Je auze kwa bei gani ili
y apate faida ya sh. 1000?
20. Duka la Juakali hufunguliwa saa
0900 na kufungwa saa 1730 kila
K
x siku, Je Juakali hutumia saa
ngapi kuuza duka lake kwa siku?
M 21. Chupa kubwa ya dawa ina ujazo
wa lita 425 mililita 600. Ikiwa
dawa itaingizwa katika chupa
ndogo 70 zilizosawa. Je kila
****************************** chupa itakuwa na mililita ngapi?
JARIBIO LA 21 22. Kalulu aliweka sh 760,000 katika
1. 4214 – 2316 = benki inayotoa faida ya 20% kwa
mwaka. Tafuta faida aliyopata
2. 97512 + 558 + 71930 =
baada ya miezi tisa
3. 2047 ÷ 23 = 23. Jengo la kutunza vyakula lina
4. 602 x 105 = vyumba tisa kila chumba kina
makabati tisa na kila kabati lina
5. 14.4 ÷ 1.44 = droo kumi na katika kila droo
6. 35.04 × 2.5 = kuna pakiti ishirini za biskuti na
kila pakiti ina vipande 12 vya
7. 10.6 – 4.76 = biskuti. Je kuna jumla ya vipande
8. 3.81 + 17.7 = vingapi vya biskuti katika jengo
hilio?
9. 22/3 + 35/6 =
24. Tafuta kipeuo cha pili cha 0.0625
10. 42/5 – 31/2 = 25. Gawanya saa 18 dakika 40 kwa
11. (-22) + (+35) = 20.
26. Tafuta namba inayofuata
12. +3 – (-9 + +4) =
80, 77, 71, 59,…………………….…
13. 85/6 X 33/4 =
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 40
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
27. Jumlisha K.K.S na K.D.S cha 12, Sm 14
18 na 24
28. Jumlisha namba tasa zote kati ya 0 Sm 10
na 15.
29. Tafuta thamani ya ‘t’ katika: Sm 20
4t – 20 = t + 1 Sm 28
30. Wastani wa namba tatu ni 48.
Wastani wastani wa namba mbili
kati ya hizo ni 45. Tafuta namba 36. Tafuta eneo la sehemu iliyotiwa
ya tatu. kivuli katika umbo ABCD
31. Bei ya gari imeongezeka kutoka sh.
Sm 4
5,000,000/= hadi sh. 7,500,000/=.
Ongezeko hilo ni asilimia ngapi?
32. Sara, Lulu na Emmy waligawana Sm 6
Sm 4
sh. 660,000/= kwa uwiano wa
7:11:4. Je Lulu alipata shilingi Sm 10
ngapi?
33. Tafuta eneo la nyuso za tofari 37. Tafuta thamani x katika umbo hili.
lifuatalo.

Sm 12

Sm 10

Sm 14

38. Andika majira ya nukta C ya


34. Umbo lifuatalo limeundwa na
pembetatu.
miraba miwili yenye urefu wa m
6 na m 9. Tafuta eneo lililotiwa
kivuli.

m.6 m.9

35. Mama alinituma nijaze mafuta ya


taa kwenye kibatari hicho hapo 39. Kielelezo kifuatacho
chini. Unafikiri ni mafuta kiasi kinawakilisha idadi ya magunia
gani yatajaa hadi juu? 7,200 ya mavuno ya kijiji fulani.

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 41
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
Je kijiji hicho kilipata magunia JARIBIO LA 22
mangapi ya mtama? 1. 9813 + 149 + 38 =
2. 2.702 + 29.34 =
3. 6125 – 5136 =
4. 534 x 63 =
5. 1944 ÷ 36 =
6. 653/57 - 45/19 =
7. 2/ + 5/6 + 2/4 =
3

8. 111/15 ÷ 74/5 =
40. Hassan alinunua daftari dazani 8 @ 9. 6.703 - 5.759 =
sh. 2,400, lita 1½ za mafuta ya taa
10. 7.5 x 2.03 =
@ sh. 2,400, miche ya sabuni 5 @
sh. 1,400, kalamu 6 @ sh. 250. 11. 0.6464 ÷ 8 =
Jumla Hassan alitumia kiasi gani 12. 0.075 x 21/2 = (Jibu katika desimali)
cha fedha?
13. -7 + (-5 - -3) x 4 =
41. Wastani wa alama sita ni 35,.
14. Badili 2.05 kuwa sehemu rahisi.
Endapo alama tani za awali ni
15, 24, 38, 41 na 42, kokotoa alama 15. Badili 101/5% kuwa desimali.
ya sita. 16. Kuna dakika ngapi kati ya saa
42. Gari lilisafiri kwa mwendokasi wa 2330 na saa 0110?
km. 80 kwa saa. Ikiwa liliondoka 17. Tafuta kipeuo cha pili cha
kijijini saa 2:45 asubuhi kuelekea 0.0625.
mjini, Je, lilifika mjini saa ngapi
ikiwa umbali wake ni km. 160? 18. Tafuta namba inayofuata:
1, 4, 9, 16, …………………..…………..
43. Iwapo sh. 2,000,000/= ziliwekwa 19. Jumlisha K.K.S na K.D.S cha
katika benki na kupata faida ya sh. 12, 18, 24 na 30
600,000/=. Je fedha hiyo iliwekwa 20. Ikiwa m = -2, n = 3. Tafuta
benki kwa muda gani iwapo benki thamani ya fungu hii:
hutoa faida ya 15% kwa mwaka? m2 + mn2 – 2 =
44. Umri wa Mavugo ni mdogo kuliko 2n - m
umri wa Kamsoko kwa miaka 6. 21. Rahisisha fungu hili: a2 - ab
Jumla ya umri wao ni miaka 54. ab - a2
Nini umri wa Mavugo?
22. Ikiwa P:35 = Q:15 na Q = 12,
45. Monalisa alikwenda sokoni tafuta thamani ya Q
kununua vitu vifuatavyo sukari
Kg 21/2@ 800, mchele kg 42 @ 23. Nini thamani ya t katika:
750, Ngano kg 2 @ 350, Sabuni 3t + 3 = 2t - 2
miche 3 @ 550. Ikiwa alibakiwa
24. Peo tatu za umbo la mraba zipo
na shilingi 500, Je alikuwa na
kwenye majira ya nukta (2, 4),
shilingi ngapi?
(8, 4) na (2, -2). Andika majira ya
******************************** pembe ya nne

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 42
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
25. Umri wa Jose wa sasa ni mara (x+30)0, (x+40)0 na (x-10)0. Tafuta
mbili ya umri wa Stela. Iwapo thamani ya x.
jumla ya umri wao wa sasa ni
miaka 42, Tafuta umri wa Jose 35. Tafuta eneo la sehemu iliyotiwa
baada ya miaka mitatu. kivuli endapo eneo la mraba
26. Kama hatua yangu ni sawa na ABCD ni sm2 784. (Tumia = 22/7)
meta 0.50, nitakuwa
nimekwenda hatua ngapi A B
katika umbali wa km. 1.5?
27. Baada ya kupoteza 2/5 ya fedha,
Ali alitumia 1/3 ya fedha
iliyobaki. Ikiwa mwishowe
alibakiwa na sh 12,000/=, Je
alikuwa na kiasi gani D C
mwanzoni?
28. Joji aliendesha gari kwa 36. Ukubwa wa mcheduara huu ni sm3
mwendokasi wa km 48 kwa saa 1617. Tafuta kipenyo P
kwa muda wa dakika 30.
Halafu akaendesha tena kwa
mwendo kasi wa km 52 kwa saa P
kwa muda wa saa 2. Tafuta
umbali aliosafiri. Sm 42
29. Jamvi linauzwa dukani kwa sh
6,500/= kwa meta. Kama
utakuwa na sh. 877,500/= 37. Tafutamzingo wa umbo hili.
unaweza kununua meta ngapi? (Tumia = 22/7)
30. Wastani wa namba nane ni 50.
Ikiwa wastani wa namba saba
kati ya hizo ni 51, tafuta namba
ya nane. Sm 1.4
31. Watu 5 hupalilia shamba la ekari
Sm 1.4
6 kwa siku 8. Je watu 4
watapalilia ekari 9 kwa siku
ngapi?
32. Rahabu alichanganya unga wa
38. Tafuta kimo cha pembetatu hii
ngano na unga wa mahindi kwa
ikiwa eneo lake ni sm2 54
uwiano wa 5:6. Iwapo mchanyiko
huo ulifikia kg 220, Unga wa A

ngano ulikuwa kg ngapi?


33. Sh. 200,000/= ziliwekwa benki.
Baada ya miezi 30 faida
h
iliyopatikana ilikuwa ni
sh.70,000/=. Benki hii hutoa kiasi
gani cha riba kwa mwaka? B C
Sm 4.5 D
34. Ukubwa wa pembe za ndani za
umbo la pembe tano ni x0, 2x0,
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 43
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
39. Tafuta eneo la sehemu yenye Mdabulo. Ikiwa kuna ng’ombe
kivuli. (π= /7)
22 360, tafuta jumla ya mifugo yote
katika kijiji hicho.
bata
10% kuku
mbuzi
12% 40%

ng’ombe 18%

sm 7 kondoo
sm 14

40. Tafuta eneo la nje la mche duara


huu ambao umefungwa upande
mmoja. (π=3.14)

JARIBIO LA 23
Sm 14 1. 8846 + 1234 =
2. 1940 – 958 =
Sm 20 3. 20079 ÷ 23 =
100
41. Andika vizigeu vya hesabu hii 4. 3.03 + 4.598 =
12xy + 7xz2 – 33nm x zy2 5. 2 – 1.94 =
6. 0.03 × 0.6 =
42. Tafuta eneo la msambamba 7. (-38) + (+38) =
ufuatao.
8. 7 -5 =
Sm 9
Sm 11 9. 6 ÷ 2 =

Sm 17 10. 3 ×2 =

11. 1 + +2 =
43. Tafuta ukubwa wa pembe ‘t’
12. 0.027 ÷ 0.3 =
13. 2a4 ÷ 2a2 =

t
14. 18 x 0.005 =

15. Geuza 3 kuwa desimali


16. Andika 0.1 kwa asilimia
44. Tafuta ukubwa wa pembe ‘a’
17. Badili 0.12% kuwa desimali
0
70
18. Badili MV kuwa namba ya
kawaida.
19. Jumlisha namba tasa zote kati ya
a 0 na 15.
20. Bainisha jumla ya namba witiri
45. Kielelezo kifuatacho kinaonesha zilizopo kati ya 30 na 50 ambazo
idadi ya mifugo katika kijiji cha ni kigawe cha 7.
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 44
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
21. Andika namba inayofuata katika ya mayai yote na mchana
mfululizo huu; -1, 2, 5, ………….… aliuza 2/3 ya mayai yaliyobaki.
22. Andika 110.9328 katika viwango Je alibakiwa na mayai
vitatu vya desimali. mangapi?
23. Jumlisha namba tasa zote zilizopo 41. Mwendesha pikipiki aliondoka
kati ya 0 na 20 Njombe siku ya Alhamisi saa
24. Tafuta namba fuasi katika 2030 na alifika Mafinga siku ya
4a, 2a, a na, …………………… Ijumaa saa 0105. Je, alitumia
muda gani kwa safari hiyo?
25. Andika idadi ya namba shufwa
zote kati ya 225 na 237. 42. Tafuta jumla ya akiba baada
26. Tafuta namba mraba ya 108. ya miaka 2 kwa kuweka sh.
180,000/= katika benki itoayo
27. Tafuta K.D.S cha , na kiasi cha riba cha 10% kwa
28. Tafuta K.K.S cha 28, 42, na 56 mwaka.
29. Andika 808 kwa namba za 43. Watu 3 hulima shamba la ekeri
kirumi. 5 kwa muda wa siku 12. Je
30. Badili 0.2 ya kilometa kuwa watu 6 wakiongezeka watalima
sentimeta. shamba hilo kwa siku ngapi?
31. + = 44. Treni iliondoka Moshi saa 2105
32. Tafuta thamani ya ‘y’ katika; siku ya Jumatano na ikafika
3y – 3 = 7 – 7y kesho yake Tanga. Saa 0105.
33. Andika namba mraba ya (-81) Kama umbali kati ya Moshi na
34. Iwapo a = -2, b = 4 na c = 3, tafuta
Tanga ni km 320, Tafuta
thamani ya: a2 mwendokasi wa treni.
abc 45. Tafuta ukubwa wa pembe ‘r’
35. Tafuta thamani ya “P” katika; katika umbo lifuatalo.
4:7 = 10:P
36. Rahisisha fungu hili: 6a3b4 950
3a2b3
37. Andika saa 2140 kwa Kiswahili r
38. Wastani wa uzito wa wanafunzi
watano ni kg 45. Ikiwa uzito wa
wanafunzi wane ni kg 50, kg 35, ********************************
kg 48 na kg 49, tafuta uzito wa
mwanafunzi wa tano.
39. Umri wa Asha ni nusu ya umri
wa Mariamu. Tafuta umri wa JARIBIO LA 24
Mariamu baada ya miaka 1. 82009 + 892 =
mitano ijayo ikiwa jumla ya 2. 5976 + 3897 =
umri wao ni miaka 30 kwa
sasa. 3. 28 x 376 =
40. Mchuuzi alikuwa na mayai 120 4. 12122 ÷ 59 =
ya kuuza. Asubuhi aliuza 60% 5. 2 2/3 + 3 5/6 =
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 45
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
6. 21/
3 –1 7/
8 = vinavyolingana, tafuta urefu
kila kipande.
7. 6 x 3/8 =
29. Iwapo p = 10, q = 5 tafuta
8. 28 ÷ 2 1/10 = thamani ya 8pq2 + 4p2q
2q + p
9. 3.490 = 16.083 =
10. 22.3 – 4.34 = 30. Gawanya kigawe kidogo cha
11. 0.068 x 1000= shirika (K.D.S) cha 5 na 7 lwa
12. 1.008 ÷ 3.6 = kigawo kikubwa (K.K.S) cha 35
13. 350550 – 150542 =(Andika jibu na 49
kwa maneno) 31. Emmanuel alisafiri kwa gari
14. Badili 1 17/20 kuwa desimali kwa muda wa saa 3 ½. Mwendo
15. Badili 0.058 kuwa asilimia ulikuwa km 120 kwa saa.Je
16. Badili 37 ½ % kuwa sehemu alisafiri umbalia gani?
rahisi.
32. Tafuta nusu kipenyo (r) cha
17. Tafuta namba maraba ya 97.
duara lenye mzingo wa sm 28.
18. Tafuta kipeuo cha pili cha
42.25. 33. Eneo la trapeze ni sm2 112.
19. Wastani wa vimo vya Tafuta urefu wa upande mmoja
wanafunzi 6 ni sm 126. mkabala iwapo kimo chake ni
Wanafunzi 3 kila mmoja ana sm. 8 na upande mmoja ni sm
sm 128. Wanafunzi 2 , kila 18.
mmoja ana sm 125.Je 34. Tafuta eneo la umbo lifuatalo:
mwanfunzi wa sita ana kimo sm 10

cha kiasi gani? sm 13


20. Andika namba shufwa zilizo
ndogo kuliko 70 na kubwa
sm 5
kuliko 50
35. Tafuta eneo la sehemu iliyotiwa
21. Andika namba mbili za mwanzo
ambazo ni witiri na si tasa. kivuli.
22. Andika namba tasa kati ya 80 A dm 5
D
na 100
23. Andika namba hii kwa kirumi dm 3
dm 2.5

1809.
24. Tafuta namba inayofuata B C
katika mfululizo huu: 50, 32,
36. Tafuta ukubwa wa pipa
18, 8, ………………………………
lifuatalo (tumia Π=22/7)
25. Toa:
15.21 x 10 kutoka 2.3 x 100 Sm 140

26. M’ inasimama badala ya namba


Sm 200
gani katika mfululizo huu?
81, -27, M, -3, 1.
27. Nini thamani ya; (-41) – (-25) =
28. Jora la kitambaa lina urefu wa
37. Tafutan eneo la umbo hili:
meta 38 . Iwapo jora hilo
litakatwa katika vipande 11
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 46
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
A
yaliyovunwa. Zao la kahawa
D
litawakilishwa na nyuzi ngapi

Sm 10
ikiwa jumla ya mavuno yote ni
B Sm 40
C tani 24,000.
45. Idadi ya wanafunzi shuleni
38. Tafuta thamani ya x katika kwetu ni 1500. Iwapo kila
mchoro ufuatao ikiwa ABC ni mwaka wataandikishwa
mstari mnyofu. wanafunzi wapya 150, je baada
ya miaka 5 shule itakuwa na
wanafunzi wangapi?
0
3x 4x0
½ x0
A B C
JARIBIO LA 25
39. Maria, Mage na Mwajuma
1. 16729 + 1287 =
Hospitali ya bombo ina chakula
cha kuwatosha wagonjwa 60 2. 6664 – 3839 =
kwa siku 10 tu. Iwapo
3. 5301 ÷ 57 =
wataongezeka wagonjwa 40
zaidi, chakula hicho 4. 873 x 325 =
kitamalizika baada ya siku
5. 2.056 + 0.975 =
ngapi?
40. Tafuta gharamaya kupeleka 6. 0.3333 – 0.1667 =
simu ya maneno 38 iwapo
7. 0.0275 ÷ 0.25 =
maneno 10 ya mwanzo hutozwa
sh. 320, na kila neno 8. 5 ½ + 1 =
linaloongezeka hutozwa sh. 25.
41. Maria, Mage na Mwajuma
9. 17 -4¼=
walipatiwa fedha. Maria alipata
mara nne ya mage na mage
alipata mara mbili ya 10. 3 ¼ x 8 =
Mwajuma. Je Mwajuma alipata
kiasi gani cha fedha iwapo
11. +12 –(-18+ +5)=
fedha yote ilikuwa sh. 9900?
42. Amadi alitumwa sokoni n ash 12. 1.44 X 0.9 =
2500 kununua vitu vifuatavyo
13. (6+8) + 6÷ 2 – (5 x 3)=
nyama kg 1 @ sh.1200,
vitunguu kg 1 ½ @ sh.250 14. Badili 3 ¼ % kuwa sehemu
nyanya kg 2 @sh. 350. Je rahisi.
alibakiwa na kiasi gani cha 15. Badili 0.015 kuwa asilimia.
fedha? 16. Zidisha km meta338 kwa 6
43. Kampuni fulani iligawa miche
17. Andika namba tasa zote zilizopo
6363 kwa vijiji saba vya kata
yetu. Je kila kijiji kilipata kati ya 80 na 89
miche mingapi? 18. Andika kwa kirumi 1687
44. Kielelezo kifuatacho 19. Tafuta namba inayofuata katika
kinaonesha tani za mazao mfululizo 24, 35, 46, 57, …………
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 47
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
20. + = kinachobaki anaweka akiba. Je
21. Orodhesha namba witiri zote ni sehemu gani ya posho yake
zilizopo kati ya 60 na 92 anaweka akiba?
34. Kampuni iliuza kwa mnada
zinazogawanyika kwa 7.
magari sita. Magari matatu
22. Tafuta kipeuo cha pili cha; yaliuzwa kwa shilingi 850,000 na
magari mawili yaliuzwa kwa
23. Esta na Hamza waligawana shilingi 750,000. Ikiwa thamani
machungwa 72 kwa uwiano wa ya magari hayo kwa jumla
3:5 Je Hamza alipa machungwa ilikuwa shilingi 2,000,000.Nini
mangapi? gharama ya gari la tano.
24. Tafuta thamani ya ‘m’, iwapo 35. Shimo la choo cha shule linaweza
(3m + 45) na (2m – 5) zinaunda kuchimbwa na watu 12 kwa
pembe nyoofu? muda wa siku 4. Ikiwa watu 4
25. Sehemu rahisi ya ni zaidi wataongezeka, Je kazi hiyo
itafanywa kwa siku ngapi?
ipi?
26. Ni namba gani ikijumlishwa na 36. Umri wa Hassani ni ya umri
150,542 jibu lake ni 200,008? wa baba yake. Ikiwa jumla ya
27. Andika thamani ya tarakimu ya umri wao ni miaka 60. Je,
kwanza katika namba hii; Hassani ana umri wa miaka
72,262,189 mingapi?
28. Jumlisha 125% ya sh. 16000/= na 37. Abdul aliweka 20% ya amana
1 ya sh. 10000/= yake ya sh. 500,000/= katika
benki inayotoa riba kiasi cha
29. Andika saa kumi na mbili
12% kwa mwaka. Ikiwa alipata
kasorobo jioni kwa mtindo wa
riba ya sh. 36,000/=. Je aliweka
saa 24.
pesa zake kwa muda gani?
30. Kitabu kimoja cha Hisabati kina 38. Joji alinunua kalamu kumi na
kurasa 80. Je vitabu 12 vitakuwa mbili elfu na mia nne na Sofia
na kurasa ngapi jumla? (Andika akanunua kalamu robo ya
jibu kwa kirumi) kalamu za Joji. Jumla walinunua
31. Deus hufanya mazoezi kila kalamu ngapi?
baada ya siku 7, Romana 39. Chande alikula ya muwa na
hufanya kila baada ya siku 4. Ni rafiki yake alikula muwa huo
baada ya siku ngapi Deus na mara tatu ya kipande alichokula
Romana watafanya mazoezi kwa
Chande. Je, ni sehemu gani ya
pamoja? muwa ilibaki baada ya wote
32. Bei ya redio ni shilingi 46,000/-.
wawili kula vipande vyao?
Ikiwa bei hii itaongezeka kwa 40. Tanki la maji lina urefu wa sm
5 %, Je, kiasi gani cha fedha 200, upana wa sm 150 na kimo
kitakuwa kimeongezeka? cha sm 100. Utachota maji mara
33. Daudi anapata posho ya sh. ngapi kujaza tanki hili kama
54,000/=. Anatumia sh. 25,000/= utatumia kopo lenye ukubwa wa
kwa chakula na sh. sm3 60?
11,000/= kwa mavazi na kiasi 41. Tafuta eneo la mraba huu;

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 48
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
kinaonesha namna Ali
alivyotumia mshahara wake wa
Sm (3k+4) sh. 420,000/=. Alitumia kiasi
gani kwa nauli?

*******************************
Sm (2k + 5)

42. Boazi alikimbia kuzunguka JARIBIO LA 26


uwanja huu mara mbili. Je, 1. (-873) - (+127)=
alikimbia kilometa ngapi?
2. 3.06 ÷0.6 =

3. 118 -171523 =
Sm 700
4. 770770 ÷110=

5. 17-8.956=
Sm 1100
6. 71/3 × 51/3=

7. andika elfu nane mia nane na


43. Tafuta
eneo la umbo hili.
nane kwa tarakimu.
(Tumia = )
8. Kijiji chetu kina wakazi
420,073,856. Andika thamani ya
tarakimu iliyopigiwa mstari
9. Andika 19.7962 katika nafasi 2
za desimali
Sm 14 10. Andika 269,643 katika maelfu
yaliyo karibu.
11. Andika 1969 katika namba za
kirumi.
12. 294286 + 896 + 68253 =
44. Tafuta thamani ya “k” 13. Nini thamani ya 6 katika 76854?
14. Tafuta namba mraba ya 715 =
15. Badili 134% kuwa sehemu rahisi.

3k
1100-k 16. Badili % kuwa sehemu.
3k-400 2k-300
17. Badili saa 8.20 usiku kwenda
mtindo wa saa 24
45. Kielelezo cha duara kifuatacho
18. = (Jibu kwa kirumi)
19. Tafuta wastani wa 3.5, 4, 7.25, 6
na 414.
20. Nini jumla ya namba zote tasa
kati ya 89 na 99?
21. Kokotoa √5.29 + √1.21 =
22. Tafuta tofauti kati ya kigawe cha
kwanza cha 20 na kigawe cha 5
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 49
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
23. Tafuta K.K.S cha 36 na 90. 39. Hisa iliyopatikana kwa
24. Tafuta kigawe kidogo cha shirika kugawanya 8 kwa ‘y’ ni . Tafuta
cha 99, 66 na 108. thamani ya ‘y’
25. Kuna katika 20 ?
40. Iwapo bei ya saa 3 ni sh.
26. Punguza 1 kutoka 2
16,500/=, nitanunua saa ngapi
27. Shule ya Gangilonga ina kwa sh. 66,000/=?
wanafunzi 405. Shule ya Ngome
ina wanafunzi 25 pungufu ya 41. Tafuta eneo la nje la nyuso za
wale wa Gangilonga. Tafuta mche mstatili huu ambao upo
jumla ya wanafunzi wa shule wazi sehemu ya juu
zote mbili.
28. Tafuta zao la 2 na 1 Sm 25

29. Watoto 90 walipewa dazeni 900


za daftari ili wagawane sawia. Je Sm 10
kila mtoto alipata daftari ngapi?
Sm 15
30. Kokotoa; x ÷ =
31. Orodhesha namba witiri zilizopo 42. Eneo la trapeza hii sm2 150.
kati ya 60 na 92 zinazogawanyika Tafuta thamani ya ‘h’
kwa 13. Sm 2h-5

32. Tafuta K.K.S cha 24, 156 na 180


Sm 30
33. Mfanyakazi alipokea mshahara
wa sh. 2,635,240. Pia alikopa
Sm 5h-13
benki sh. 864,760. Je, alikuwa na
kiasi gani cha fedha kwa pamoja? 43. Tafuta eneo lenye kivuli.
(Tumia π = /7)
22
34. Kiwanda kilitengeneza mashati
60,114 na kuuza mashati 42,987.
Je kilibakiza mashati mangapi?
35. Andika namba itakayofuata 28cm
katika 0mfululizo huu;
0, 3, 8, 15, 24, ……………………

36. Kaya fulani hutumia lita 1 za


44. Tafuta thamani ya ‘x’
maziwa kwa siku. Je kaya hiyo
itatumia lita ngapi kwa mwezi
4x+400 x
Novemba?
190 3x+200
37. Jumlisha lita 3 , lita 4.75, na lita 3x+60
1 za maziwa.

38. A:B = 9:7; Tafuta A ikiwa


45. Kichuya aliweka sh. 60,000/=
B = 175.
katika benki ya biashara
inayotoa riba ya 7.5% kwa
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 50
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
mwaka. Je, baada ya muda kiasi cha mafuta yaliyovuja
gani fedha hizo zilizaa sh. iwapo siku A-lita 0.4, siku B- lita
4,500/=? 334.21, na siku C- lita 13.8?
13. 8¼% ikiandikwa kama sehemu
rahisi itakuwaje?.
***************************** 14. Badilisha 16.85% kuwa desimali
15. Tafuta kigawanyo (yaani namba
JARIBIO LA 27
kubwa inayoweza kuzigawa 27,
1. Aisha, Gerome na Salma 54, 108 bila kubaki.
walikusanya kokoto kwa idadi 16. Ni namba ipi ndogo kabisa
ifuatayo; Aisha kokoto 245, inayoweza kugawanywa kwa 20/4
Geromr kokoto 30 na Salma na 30/3 bila kubaki?.
kokoto 5942. Andika idadi ya 17. Andika namba mraba ya √144
kokoto walizokusanya kwa 18. CMX+LXX+XX=________
pamoja. Andika jibu la swali hili kwa
2. Kama umepewa kigawanyo ni 95 numerali za kawaida
na kigawanye chake ni 9025. 19. Taja namba tasa zote zilizopo
Nini hisa ya swali hili? kati ya 0 na 10 kwa usahihi
3. Kwa kutumia dhana ya 20. Taja idadi ya namba witiri zote
kujumlisha kwa kujirudia rudia zilizopo kati ya 26 na 37
nini zao la 24 na 6345?. 21. Taja jumla ya namba shufwa zote
4. Ipi inatambulika kama tofauti ya zilizopo kati ya 46 na 52
1000,000 na 9,999 katika 22. Andika fungu hili katika hali
taaluma ya hisabati? rahisi: 6x+12b+6x
5. Mwalimu alitembea hatua 8¾ na 23. Ipi inategemewa kuwa thamani
mwanafunzi alitembea hatua 19. ya ‘y’ katika mlinganyo ufuatao:
Kokotoa tofauti ya hatua zao 12y-3=9?.
6. Kwakutumia dhana ya sehemu, 24. Andika jumla ya saa 3 dk 42
andika hisa ya 1½ na 6³∕5. sekunde 30 na saa 4 dk30
7. Endapo wewe ni mtaalamu wa sekunde 30. (jibu katika saa na
sehemu, tafuta zao la 14²∕3 na 9. dakika tu).
8. Badilisha jumla ya 12.5 na 4½ 25. Tafuta wastani wa namba
katika sehemu. zifuatazo; 24, 0, 36, 30 na 10
9. Kilogramu 266.56 ziligawanywa 26. Asha anamzidi Anna kwa miaka
katika uzani wa 4.78. je, 4. Kama jumla ya umri wao ni
yalipatikana mafungu mangapi miaka 18, kokotoa umri wa Asha.
yenye uzani sawa?. 27. Tafuta bei ya kusafirishia kg 200
10. 146.82 ikizidishwa kwa 0.0324 za samaki, iwapo bei ya
nitapata zao lipi?, kokotoa kwa kusafirishia kg 1 ni sh.1,200.
kuzingatia kanuni zake. 28. Umbo la pembe tatu pacha lina
11. Shangazi alinunua sukari kg mistari pacha mingapi?
100.038 kisha akatumia kg 99.27. 29. Pascal alifika shuleni saa 1:15
Ni kiasi gani cha sukari asubui baada ya kutumia dakika
iliyobakia?. 52 akitoka nyumbani. Je, alianza
12. Injini ya pikipiki ilivujisha safari yake muda gani?
mafuta kwa siku tofauti. Nini
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 51
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
30. Kuna maumbo mangapi ya
pembetatu katika umbo la
pentagoni? M 14
31. Eneo la umbo hili ABCD ni sm 2

96. Tafuta mzingo wake

37. Kielelezo kifuatacho


kinawakilisha matumizi ya
Up mshahara wa Roda wa
tsh.7,200/= kwa mwezi. Je,
hutumia kiasi gani cha akiba?
Sm 16

32. Tafuta ukubwa wa pembe ‘n’ Mavazi Chakula


1000 1400

Akiba
n
630 500

33. Tafuta eneo la pembetatu ikiwa 38. Tafuta eneo la trapeza


kitako n ism 12 na kimo cha sm ifuatayo.
20
34. Tafuta eneo la msambamba dm 8
ufuatao.
dm 5 dm 6 dm 5
A B

dm 17
Sm 13.6 Sm 18
Sm 12
39. Tafuta mzingo wa umbo
C Sm 10 D lifuatalo.

35. Eneo la trapeze ni sm 70, kokotoa


urefu wa kimo.
Sm 8
Sm 7

40. Kokotoa ukubwa wa mche


9cm mstatili ufuatao.
Sm 12

Sm 6
36. Kokotoa mzunguko
(mzingo/mduara) wa sehemu
iliyotiwa kivuli. Sm 14
Sm 12

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 52
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
41. (-648)- (-204)= 8. 6 ¼ ÷3 ½ =

42. 2/5 ya wanafunzi wa darasa la sita 9. 1 X 3 =


ni watoro. Iwapo jumla ya watoro 10. 10.3 – 8.59 =
ni 120, je, darasa hilo lina
wanafunzi wangapi? 11. 2.18 x 12.6 =

12. 4.08 + 0.931 =


43. Kwakutumia elimu ya uhusiano
wa pande za pembe tatu ABC, 13. Badili 0.12%kuwa desimali.
onesha namna ya kupata urefu 14. Tafuta kipeuo cha pili cha 1024.
wa AC
A 15. Kokotoa thamani ya
15 – (3 x 2) +3
16. : Tafuta 12% ya 5,000.
M 15 17. CL – XLVII = (andika jibu kwa
namba za kiarabu)
C 18. Badili namba ya desimali 0.05
B M 20 kuwa sehemu rahisi.
44. Kwakutumia taaluma ya sehemu 19. Tafuta zao la namba tasa zilizopo
eleza kwa kuonesha ni sehemu kati ya 1 na 16
gani ni ndogo kuliko zote kati ya 20. Tafuta zao la kigawekidogo cha
hizi zifuatazo 2/3, ⅛, ¾, 2/5 na 1/3. shirika (K.D.S) na (K.K.S) cha
45. Onesha dhahiri namna ya 24, 48 na 72.
kutafuta ukubwa wa pembe ‘m’
21. Kokotoa 
0
104
22. Andika MCML kwa namba
1000
m zakawaida
23. Andika namba inayofuata katika
1780 mfululizo huu 7, 13, 19 …………
760
24. Tafuta kigawe kidogo cha shirika
K.D.S cha 6, 9 na 32.
25. Gawanya kg 248 gramu 640 kwa
32.
JARIBIO LA 28 26. Tafuta eneo lililotiwa kivuli
iwapo duara lililochorwa ndani
1. 9 + 89 + 109 =
tafuta eneo lenye kivuli.
2. 4125 – 978= (Tumia π = 22/7)
3. 6464 ÷8 =

4. 12 x 170 = Sm 42

5. 109.2 ÷6 =

6. 1 3/8 + 2 1/8 =

7. 4 2/7 – 3 1/7 =
27. Tafyta eneo lililotiwa kivuli.
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 53
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
Sm 2h-5

Sm 30

8cm
Sm 5h-13

33. Kokotoa eneo la umbo hili:


6cm

28. Kokotoa eneo la umbo lifuatalo.


28cm
5cm
7cm

52cm

9cm
34. Tafuta eneo lenye kivuli katika
29. Tafuta kimo cha pembetatu hii mchoro huo hapo chini.
ikiwa eneo lake ni sm2 54
A

D C
h
14cm

B Sm 4.5 D C
A 14cm B
30. Kokotoa mzunguko wa umbo hili.
35. Nini eneo la sehemu iliyotiwa
10cm 10cm kivuli?

15cm

28cm
34cm 7cm

31. Tafyta eneo lisilo na kivuli.


7cm 21cm

36. Gawanya 162900 kwa 3620.

6cm
37. Ikiwa 0 ni kitovu cha duara.
Kokotoa eneo la sehemu iliyotiwa
10cm kivuli katika mchoro ufuatao.
Tumia π = 3.14
32. Eneo la trapeza hii sm2 150.
Tafuta thamani ya ‘h’

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 54
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI

4X

X
Sm21

Sm72

38. Kokotoa eneo lenye kivuli. 43. Tafuta thamani ya K katika


umbo hili.

8cm
800 - x
K

18cm 3x + 400 4x - 200

39. Ni sehemu gani ya umbo hili


haina kivuli? 4x + 50 6x - 450

44. Tafuta ukubwa wa pembe ‘y’


katika mchoro ufuatao.
14cm 14cm
O

y (x + 10)0
40. Endapo RST ni mstari mnyoofu,
tafuta ukubwa wa <PSQ

P Q (2x - 10)0

90 - x
3x – 200 4x - 160
45. Andika majira ya nukta ‘w’
R S T
katika grafu ifuatayo:
41. Tafuta ukubwa wa pembe BDC
katika mchoro huu.
A D
Y

200
1100 W
B C

X
42. Kokotoa thamani ya x katika
mchoro ufuatao.
************************************
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 55
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 29 11. Ipi kati ya desimali zifuatazo ni
1. Shule ya msingi Tuishime badiliko la 10% (A)0.01 (B) 0.1
iliingiza matofari 37891, siku ya (C) 0.001 (D) 0.32 (E) 0.20
alhamisi. Siku ya ijumaa 12. Tafuta tofauti ya 5 7/12 na 2 1/3 (A)
yaliagizwa matofari 16354, je 3 7/4 (B) 3 2/4 (C) 33/4 (D) 3
shule ilipata matofali mangapi (E) 12/4
kwa pamoja? (A) 17889 (B) 13. Kuna 2 1/3 ngapi katika 4 2/3
58128 (C)54245 (D) 16789 (A) 3 (B) 6 (C) 1 ½ (D) 2 (E) 5
(E) 618900 14. 1.05 ukiongeza 103.5 jumla yake
2. Mwalimu aliwataka wanafunzi ni ngapi (A) 1045.5
watafute tofauti ya namba hizi (B) 104.55 (C) 10.455 (D) 1.0455
5084 kutoka 918197. Nini tofauti? 15. Bainisha tofauti iliyopo kati ya
(A) 14400 (B)913113 (C)923281 72.6 na 23.9 (A) 4.87 (B) 487.0
(D) 16817 (E) 118917 (C) 48.7 (D) 0.487
3. Wanafunzi wa musoma 617 16. Gawanya 42.7 kwa 0.7 (A) 61
waliagizwa kuja na fagio 60 kila (B) 61.01 (C) 61.1 (D) 16.61
mmoja. Je zilikusanywa fagio 17. Badili 25% kuwa desimali
ngapi? (A) 28900 (B) 84986 (A) 0.225 (B) 0.52 (C) 2.5 (D) 0.25
(C) 968911(D) 37020 E)17814 18. Badili o.025 kuwa sehemu rahisi
4. Amina alipewa kazi ya nyumbani (A) 1/40 (B) ¼ (C) 25/100
kwa kutafuta thamani ya (D) 25/1000
97+(231÷77) nini thamani ya 19. Andika idadi ya namba shufwa
swali hilo (A)100 (B) 256 (C) 66 zilizopokati ta 24 na 34
(D) 11 (E) 90 (A) 3 (B) 2 (C) 4 (D) 5
5. Tafuta ongezeko la178917 na 20. Andika namba witiri ambazo pia
6286 (A) 44608 (B) 114068 ni namba mraba zilizopo kati ya 0
(C) 74891 (D) 185203 (E) 175203 na 50 (A) 1,9, 25 na 49 (B) 29 na
6. Nini hisa ya 6755 na 35 (A) 193 49 (C) 25 na 45 (D) 16 na 25
(B) 194 (C) 105 (D) 122 (E) 180 21. Tafuta jumla ya namba tasa
7. Nini punguzo la 199 kutoka 1000 zilizopo kati ya 10 na 20
(A) 280 (B) 129 (C) 1199 (A) 56 (B) 60 (C) 66 (D) 58
(D) 801 (E) 802 22. Tafuta KKS cha 12,24 na 36 (A) 4
8. Tafuta zao la 16 na 547 (B) 6 (C) 12 (D) 8
(A) 27892 (B) 1600 (C) 8752 23. Tafuta KDS cha 6,12 na 24
(D) 89982 (E) 4345 (A) 6 (B) 12 (C) 18 (D) 24
9. Juma aliambiwa awasomee 24. Tafuta kipeuo cha pili cha 625 (A)
wenzake namba ya kirumi 20 (B) 30 (C) 25 (D) 15
MCMVII. Badili hiyo namba ya 25. Jibu la 60+65+25+50 ni namba
kirumi kuwa namba za kawaida mraba ya namba gani (A)
(A) 2020 (B) 1907 (C) 1807 200 (B) 40000 (C) 625 (D) 22
(D) 2019 (E) 2002 26. Anastazia alimtembelea shangazi
10. Daibasi alinunua mkate mzima yake na kukaa naye kwa muda
akaukata 2/3, je kiasi gani wa saa 120, je saa hizo ni sawa na
kilibaki kwenye mkate mzima (A) siku ngapi (A) 6
½ (B) 1/3 (C) 5/6 (D) 11 ½ (E) ¼ (B) 8 (C) 10 (D) 5

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 56
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
27. Andika saa 3:45 mchana kwa 130000, je alipata faida shilingi
mtindo wa masaa 24 (A) 1545 ngapi (A) 300 (B) 5000 (C) 10000
(B) 0345 (C) 1645 (D) 15:45 (D) 2500 (E) 15000
28. Kesheni alifika shuleni saa 2:30
38. Omari ana ng’ombe saba wa
akiwa amechelewa kwa dakika 30
, je kesheni alitakiwa kufika maziwa iwapo kila ng’ombe hutoa
sangapi (A) 2:05 (B) 2:30 (C) 3:30 lita tano kila siku je hupata lita
(D) 2:00 (E) 1:30 ngapi kwa siku mbili (A) 150
29. Tafuta wastani wa 55,65,30,26 na (B) 120 (C) 80 (D) 70 (E) 65
24 na kisha ugawe kwa 2 39. Mwalimu aliwapatia saidi, John
(A) 20 (B) 26 (C) 40 (D) 30 (E) 35 na Omari maswali 300 ya
30. Badili 0.48 kuwa asilimia
kufanya nyumbani. Ikiwa
(A) 48 (B) 0.48% (C) 48%
(D) 480% (E) 36% waligawana maswali hayo kwa
31. Fikiria namba na uzidishe kwa 12 uwiano wa 3:2:5. Je, Omari
jibu liwe 144 (A) 13 (B) 11(C) 8 alifanya maswali mangapi? A:
(D) 12 (E) 24 40 B: 70 C: 80 D: 150 E: 100
32. Mwajuma alipewa kipande cha 40. Watu 12 wenye uwezo sawa
nguo chenye urefu wa dekameta hulima shamba kwa siku 4. Je,
71/4. Urefu huo ni sawa na meta
watu 16 wenye uwezo sawa
ngapi za kitambaa? (A)m 725
(B)m 7.25 (C)m 72,500 (D) m 72.5 watalima shamba hilo kwa siku
(E)m 7,250 [ ] ngapi? (A) siku 9 (B) siku 7
33. Tafuta eneo la duara lenye nusu C: Siku 3 (D) Siku 12 (E) siku 15
kipenyo cha sm 7
(A) SM 308
2 (B) SM 225
2

(C) SM 154 (D) SM 616


2 2
KOKOTOA KWA KUONESHA
34. Umbo la mstatili lina urefu wa sm NJIA
16 na upana wa sm 10 tafuta
41. Shule ya msingi Ikuo inawalimu
eneo lake (A) SM21016
(B) SM21610 (C) SM2160 40. kati yao walimu 15 ni wakike
(D) SM2610 je walimu wa kiume ni sehemu
35. Eneo la msambamba ni sm2 216. gani ya walimu wote?
Tafuta kimo chake ikiwa urefu 42. Gari la mponjoli husafiri umbali
wake ni sm 18 (A) SM 12 (B) SM wa km 20 kwa saa. Ikiwa
18 (C) SM 24 (D) SM 20 hutumia saa nne kukamilisha
36. Maganga hutembea umbali wa
safari yake, tafuta umbali wake
km 4 m 8 sm 12 kwa siku moja.
Je, atatembea umbali gani kwa 43. Mfanyabiashara alipata faida ya
siku 15? (A)km 61 m 21 sm 80 (+220) na kulipa deni lake la
(B)km 61 m 21 sm 180 (C)km 60 (-110) tafuta faida halisi ya
m 80 sm 20 (D)km 60 m 20 sm 80 mfanya biashara huyo.
(E)km 60 m 121 sm 80 44. Tafuta hisa ya (-86) na (-11) na
37. Wema alikuwa na redio yenye
kisha punguza -54.
thamani ya sh 125000 lakini
45. Tafuta eneo la umbo hili.
baada ya wiki moja aliuza
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 57
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
14. Je, kuna namba shufwa ngapi
kati ya 73 na 81? A.7 B.6 C.5
D.4 E.3
15. Zidisha kg8 gm50 kwa 5
A.kg40 gm25 B.kg40 gm250
M8
C.kg42 gm250 D.kg42 gm225
E.kg40 gm455
16. Andika namba inayokosekana
M6 M6
katika mfululizo wa namba
ufuatao 70, 85, 100, ___, 130.
********************************** A.101 V.105 C.108 D.110 E.115
17. Ikiwa 7m–1/3=2. Tafuta
JARIBIO LA 30 thamani ya ‘m’ A. /3 B. /3 C.2/7
2 2

D.1/3 E.1/7
1. 1.236÷0.004= A.39 B.309 C.63 18. tafuta kigawo kikubwa cha
D.306 E.49 shirika (k.k.s) cha 32, na 48 A.16
2. Andika ( /12+ /12) kaika sehemu
7 2 B.12 C.8 D.4 E.2
rahisi 19. 15.65x12= A.31.3 B.15.65
A.3/4 B.9/12 C.9/24 D.3/8 E.2/12 C.187.8 D.178.7 E.197.7
3. 269+1,731= A.1800 B.1900 20. 14/5x38/9= A.31/7 B.7 C.44/14
C.1990 D.1999 E.2000 D.8 E.412/14
4. 44/5÷11/5= A.2 B.3 C.4 D.5 E.6 21. Tafuta kipeuo cha pili cha
5. 1509–728= A.581 B.681 C.771 (64x4) A.4 B.8 C.16 D.32 E.64
D.781 E.881 22. Ikiwa M=-3 na N=-5, tafuta
6. 7 /5–2 /2=
3 1 A.3 B.3 /5
2 C.5 /10
1 thamani ya; (-9xMxN) A.-105
D.4 /10 E.5 /5
1 1 B.15 C.-125 D.-135 E.135
7. 78 x 952= A.74256 B.70756 23. Tafuta eneo la umbo lifuatalo
C.74246 D.74156 E.73856 A.sm280 B.sm240 C.sm221
8. Iwapo P=5 na Q=4. Tafuta D.sm220
thamani ya (P2)x(Q2) A.54 B.108 24. Andika majira ya nukta P na Q
C.400 D.200 E.800 A.P(2,-3) na Q(2,0) B.P(-3,2) na
9. Bwana Matata alizaliwa mwaka Q(0,-2) C.P(2,3) na Q(-2,0) D.P(2,-
1961. Andika mwaka huo kwa 3) na Q(0,-2) E.P(0,-2) na Q(2,-3)
namba za kirumi A.MMCLXI 25. Tafuta ukubwa wa pembe ABC
B.MCMCXI C.MCMLXI katika umbo lifuatalo
D.MCMCXI E. MXMLXI MCHORO A.500 B.600
10. 1.9-0.006= A.0.94 B.1.94 C.650 D.700 E.900
C.1.86 D.1.84 E.1.96 26. Mzingo wa wa duara lifuatalo
11. Badili 44% kuwa sehemu ni sm352. tafuta nusu kipenyo
rahisi A. /100
44 B. /55
22 C. /50
11 cha duara hilo (π = 22/7) A.r=sm28
D.22/50 E.11/25 B.r=sm44 C.r=sm56 D.r=sm88
12. Tafuta thamani ya 492 A.2401 E.r=sm176
B.2301 C.1301 D.98 E.492 27. Tafuta thamani ya ‘x’ katika
13. 3–(6–-8)= A.17 B-1 C.-11 D.1 mchoro ufuatao MCHORO
E.11 A.x=90 0 B.x=60 0 C.x=450
D.x=400 E.x=300
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 58
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
28. Tafuta eneo la umbo lifuatalo motto; je, motto anamiaka
A.sm 144 B.sm 124 C.sm 120
2 2 2 mingapi? A.miaka5 B.miaka10
D.sm 64 E.sm 36
2 2 C.miaka15 D.miaka20
29. Tafuta mzingo wa pembetatu E.miaka25
PACHA PQR A.sm10 B.sm38 38. Idadi ya wanafunzi wa darasa
C.sm18 D.sm24 E.sm14 la 5B katika shule ya msingi
30. Tafuta ukubwa wa umbo mwembeni waliofaulu katika
lifuatalo A.sm 192
3 B.sm 224
3 jaribio la kila wiki la somo la
C.sm3128 D.sm3256 E.sm364 Hisabati kwa wiki nne ni kama
31. Tafuta eneo la umbo lifuatalo inavyoonyeshwa katika jedwali
A.sm 30
2 B.sm 242 C.sm 40
2 lifuatalo
Dsm 48 E.sm 60
2 2 WIKI I II III IV
32. Joni alinunua maembe 225 IDADI 76 64 __ 72
kwa mkulima. Aliuza maembe YA
135 kwa siku moja. Je, maembe WANAF
aliyouza ni asilimia ngapi ya Ikiwa wastani wa idadi ya
maembe yote A.20% B.30% wanafunzi waliofaulu ni 70; je,
C.40% D.51% E.60% wiki la tatu walifaulu wanafunzi
33. Jumla ya urefu wa pande wangapi A.64 B.66 C.68 D.70
sambamba za trapeze n ism 24. E.72
Ikiwa kimo cha trapeze ni sm7, 39. Shule ya msingi Mapinduzi ina
tafuta eneo la trapeze hiyo? jumla ya wanafunzi 860. Ikiwa
A.sm272 B.sm274 C.sm282 wavulana ni 432; je, wasichana ni
D.sm 84 E.sm 158
2 2
wangapi? A.328 B.418 C.432
34. Martha hutembea kwa D.438 E.428
mwendo wa kilometa 2 kwa saa, 40. Dawatimoja katika chumba
kutoka nyumbani hadi dukjani. cha darasa la sita hukaliwa na
Ikiwa hutumia nusu saa, je, ni wanafunzi 3. Ikiwa chumba kina
umbali gani kutoka nyumbani wanafunzi 60, je kina madawati
hadi dukani? A.km1 B.km2 mangapi? A.20 B30 C.40 D.60
C.km3 D.km4 E.km5
35. Vijiji vine katika mkoa mmoja SEHEMU B; UKOKOTOZI
vilivuna korosho kilogramu 41. (-12–+3) X (+6–+3)=
60,000. Je, kwa wastani kila kijiji 42. Kadawa hutumia mshahara
kilivuna tani ngapi? kama ilivyoonyeshwa katika
(tani1=kilogramu1000) A.tani5 grafu kwa duara. iwapo
B.tani10 C.tani15 D.tani20 mshahara wake ni Tsh.720,000/=.
E.tani25 Je, hutenga kiasi gani kwa ajili
36. Mkulima aliuza pamba na ya mengineyo?
kupata shilingi 2,500,000/=, ikiwa 43. Umbo la ABCD ni mraba
mauzo kwa kilo moja ni shilingi wenye duara lenye kipenyo cha
2500/=, je aliuza kilo ngapi? A.25 sm42. Tafuta eneo la sehemu
B.50 C.500 D.1000 E.1500 iliyotiwa kivuli (π = 22/7)
37. Jumla ya umri wa Baba na 44. Kamota alinunua kg74.6 za
mtoti ni miaka 40. Ikiwa umri wa unga wa ngano siku ya kwanza.
baba ni mara tatu ya umri wa Siku ya pili alinunua kg9.53. je,
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 59
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
jumla alinunua kilogramu ngapi ni tarakimu ipi inawakilisha
kwa siku mbili? mamia? (a) 6 (b) 3 (c) 0 (d) 7 (e) 9
45. Mwanahawa alinunua vitu 7. Matokeo ya uchaguzi wa viongozi
vifuatavyo; Magodoro 6 @ uliofanyika shuleni yalikuwa
sh.80,000/=, viti 10 @ sh.20,000/=, kama ifuatavyo; Zawadi alipata
meza 5 @ sh. 40,000/=. Je, kura 876, Baraka kura 718 na
alibakiwa na kiasi gani cha fedha Waridi kura 561. Tofauti ya kura
ikiwa alikuwa na Tsh.1,000,000/= nyingi zaidi na ndogo zaidi ni ipi
mfukoni? kwa namba za Kirumi? (a) DLXI
(b) CLVII (c) CLVIII
********************************** (d) DCCXVIII (e) CCCXV
8. Wanafunzi watano walishindana
JARIBIO LA 31 kukimbia mbio awamu 3 kwa
1. Ipi kati ya sehemu zifuatazo ni kupunguza hatua 6 kwa kila
sehemu rahisi ya 45%? awamu. Iwapo walianzia hatua
(a) /2 (b) /9 (c) /20 (d) /9 (e) /10
9 2 9 20 45 ya 59, yupi alimaliza awamu zote
2. Namba ya Kirumi inayowakilisha kwa mpangilio sahihi? (a) 59, 53,
49 ni (a) LXIX (b) XVIX (c) XLIX 47, 41 (b) 59, 65, 71, 78 (c) 59, 53,
(d)LVXI (e) XLXI 41, 35 (d) 59, 65, 78, 84 (e) 59, 53,
3. Chausiku ana shilingi 9,000. 47, 31
Amepungukiwa na asilimia ngapi 9. Upi ni mpangilio sahihi wa
ya fedha ili kununua katoni moja kupungua wa namba witiri
yenye chupa 24 za juisi, iwapo zilizopo kati ya 50 na 60? (a) 61,
chupa moja ya juisi huuzwa kwa 59, 57, 55, 53 (b) 59, 57, 55, 53,
bei ya shilingi 500? (a) 75% 51 (c)58, 56, 54, 52, 50 (d)59, 53
(b) 33.3% (c) 25% (d) 50% (e)59, 58, 57, 56, 55, 54, 53, 52, 51
(e) 66.7% 10. Shule tatu R, S na T ziligawana
4. Kazimoto alichagua wanafunzi dazeni 120 za vitabu kama
watano ili waandike kipeuo cha ifuatavyo; R alipata 1/3 ya vitabu
pili cha jumla ya namba witiri vyote na S alipata 60% ya vitabu
zilizopo kuanzia 1 hadi 11. Je, lipi vilivyobaki. Ikiwa vitabu
ni sahihi kati ya majibu vilivyobaki vilikuwa vya Shule T.
yafuatayo? (a) 2 (b) 3 (c) 4 (d) 5 Je, shule T ilipata vitabu vingapi?
(e) 6 (a) 480 (b) 576 (c) 120 (d) 384 (e)
5. Wanafunzi watano walipewa 11. Mwalimu alichagua wanafunzi
tarakimu 1, 3, 8, 9, 2, 4, 5 ili watano ili kupanga namba
waunde namba nzima kubwa zifuatazo 0.04, 2%, 1/4, 1 na –2.
kuliko zote kwa kutumia Upi ni mpangilio sahihi kati ya
tarakimu hizo. Je, ni namba ipi ifuatayo? (a) 1, 1/4, – 2, 0.04, 2%
iliyoundwa ambayo ni kubwa (b) –2, 1, 0.04, 2%, 1/4 (c) –2,
kuliko nyingine? (a) 9,834,521 2%, 0.04, 1/4, 1 (d)1, 2%, 0.04, 1/4,
(b) 9,843,521 (c) 9,853,421 –2 (e) 0.04, –2, 2%, 1, 1/
4
(d) 9,854,321 (e) 9,845,321 12. Ni namba ipi inayofuata katika
6. Shule ilikusanya ada shillingi mpangilio wa namba
39,076. Katika makusanyo haya zifuatazo? 17, 21, 25, 29, ____
(a) 37 (b) 33 (c) 28 (d) 30 (e) 43
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 60
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
13. Ipi ni namba ndogo kuliko zote mangapi ya mazao yote?
katika seti ya namba zifuatazo? (a)Magunia 42 (b)Magunia 32
{ 0.75, – 1, 0.5, 0, – 3 /4, } (c)Magunia 22 (d)Magunia 12
(a) 0 (b) 0.5 (c) 0.75 (d) –1 (e) –3/4 (e)Magunia 28
14. Nini thamani ya 15 x ( 14 + 8 )?
– – 22. Shamba la ng’ombe wa maziwa
(a) 90 (b) 37 (c) 90 (d) 330 (e)
+ – – + – huzalisha lita 254,567 za maziwa
330 kwa siku. Ni kiasi gani cha
15. Je, kuna 0.36 ngapi katika 1 /5? 4 maziwa kitazalishwa kwa siku
(a)50 (b)2 (c)5 (d)20 43? (a)Lita 10,646,381 (b)Lita
(e)500 10,945,381 (c)Lita 10,946,381
16. Nini zao la 0.9 na 3.21? (a) 2.889 (d)Lita 10,846,381 (e)Lita
(b) 2.789 (c) 28.89 (d) 2.31 (e) 4.11 10,746,381
17. Josephine huuza kuku 60 kila 23. Garimoshi liliondoka Arusha saa
mwezi kwa faida ya Shilingi 3,000 5 na dakika 10 asubuhi na
kwa kila kuku. Je, kwa mwaka kutumia muda wa saa 15 na
mmoja Josephine hupata faida ya dakika 15 kufika jijini Dar es
kiasi gani kutokana na biashara Salaam. Je, garimoshi hilo lilifika
hiyo? (a) 21,600,000 (b) Dar es Salaam saa ngapi? (Jibu
2,160,000 (c) 720,000 (d) 36,000 liwe katika utaratibu wa saa 12).
(e) 180,000 (a)8:25 usiku (b)8:25 adhuhuri
18. Tafuta thamani ya 4 /5 ÷ 48 =4 (c)2:25 usiku (d)2:25 asubuhi
(a) /5 (b) /10 (c) /2 (d) /1 (e) /100
1 1 1 10 1 (e)3:15 usiku
19. Mwalimu aliwapa wanafunzi kazi 24. Viwanja vinne vya makazi
ya kutafuta thamani ya mtajo 8 – viliuzwa kwa jumla ya shilingi
( 3 + 8). Je, ni lipi jibu sahihi
– + 5,500,000. Ikiwa viwanja vitatu
walilopata? (a) 3 (b) 19 (c) 13
– + + viliuzwa kwa shilingi 1,257,000
(d) 3 (e) 13
+ kila kimoja, je, kiwanja cha nne
20. Wazazi wa watoto watatu Asha, kiliuzwa kwa shilingi ngapi? (a)sh
Juma na Jamila walikuwa na 1,375,000 (b)sh 2,632,000 (c)sh
kiasi cha fedha kama ifuatavyo: 2,989,000 (d)sh 3,771,000 (e)sh
Mzazi wa Asha Sh. 1,039,000, 1,729,000
mzazi wa Juma Sh. 929, 000 na 25. Gawanya miaka 95 na miezi 8
mzazi wa Jamila Sh. 820,000. kwa 28.
Kama wazazi wa Juma na Jamila (a)Miaka 3 na miezi 0 (b)Miaka 3
wangeunganisha fedha zao, na miezi 5 (c)Miaka 5 na miezi 3
wangemzidi mzazi wa Asha kwa (d)Miaka 3 na miezi 4 (e)Miaka 5
kiasi gani cha fedha? (a)Sh na miezi 4
710,000 (b)Sh 601,000 (c)Sh 26. Jumla ya saa 6 na dakika 30 na
611,000 (d)Sh 619,000 (e)Sh saa 3 na dakika 45 ni ipi? (a)Saa
219,000 9 na dakika 75 (b)Saa 9 na dakika
21. Bwana Ngasa alivuna mazao 15 (c)Saa 10 na dakika 05 (d)Saa
yafuatayo; maharage magunia 20, 10 na dakika 25 (e)Saa 10 na
mahindi magunia 60, mpunga dakika 15
magunia 50 na karanga magunia 27. Ni nini tofauti ya saa 8 dakika 20
30. Ikiwa aliuza /5 ya magunia ya
1 na saa 5 dakika 45
kila zao, je, aliuza magunia (a)Saa 14 na dakika 05 (b)Saa 2
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 61
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
na dakika 75 (c)Saa 2 na dakika (a) Sm 8 (b) Sm 10 (c) Sm 5
35 (d)Saa 3 na dakika 25 (e)Saa (d) Sm 20 (e) Sm 13
13 na dakika 65 33. Mwajuma alipewa kipande cha
28. Miaka 2015, 2016, 2017, 2018 na nguo chenye urefu wa dekameta
2019 ni muda waliozaliwa watoto 71/4. Urefu huo ni sawa na meta
katika familia tano tofauti. Upi ni ngapi za kitambaa? (a)m 725 (b)m
mwaka mrefu? (a) 2015 7.25 (c)m 72,500 (d)m 72.5
(b) 2016 (c) 2017 (d) 2018 (e) 2019 (e)m 7,250
29. Jamali alipewa picha ya umbo la 34. Mzazi wa Kinje na Mzazi wa Kelo
pembe tano lenye ukubwa wa kwa pamoja walinunua kg 189 g
pembe kama ilivyooneshwa 600 za sukari. Ikiwa waligawana
kwenye Kielelezo Na. 1. Kama sukari hiyo kwa kiwango
mtaalamu wa Hisabati, ipi kati kinacholingana, je, ni kiasi gani
ya zifuatazo ni thamani ya ‘y’? cha sukari kila mzazi alipata?
(a) 2 (b) 20 (c) 4 (d) 38 (e) 88 (a) kg 90 g 375 (b) kg 94.5 g
1200 – y 300 (c) kg 94 g 350 (d) kg 94 g
YYYy 800 (e) kg 94 g 300
3y + 1000
2y – 800 35. Chupa ya maji ina ujazo wa ml
350. Je, katoni 2 za chupa za maji
5y + 1400 y + 600 zina jumla ya lita ngapi ikiwa
kila katoni ina chupa 24? (a)lita
30. Juma alipewa kazi ya kujenga 1.68 (b)lita 168 (c)lita 1,680 (d)lita
banda la kuku na akalijenga 16.8 (e)lita 0.168
kama linavyoonekana katika 36. Maganga hutembea umbali wa
umbo lifuatalo: Kama mtaalamu km 4 m 8 sm 12 kwa siku moja.
wa maumbo ya kihisabati, umbo Je, atatembea umbali gani kwa
hili linaitwaje? (a)Pembetatu siku 15? (a)km 61 m 21 sm 80
pacha (b)km 61 m 21 sm 180 (c)km 60 m
(b)Pembetatu mraba 80 sm 20 (d)km 60 m 20 sm 80
(c)Pembetatu sawa (e)km 60 m 121 sm 80
(d)Pembetatu gun 37. Ikiwa nyuzi za umbo lenye pembe
(e)Pembetatu sambamba nne ni 3t – 100, 2t + 250, 45o – t na
31. Mandalu alipanga kutumia siku 3 4t + 600. Thamani ya herufi t
kujaza tenki la maji lenye katika umbo hilo ni ipi? (a)15o
kipenyo cha m 14 na kimo cha m (b)30o (c)60o (d)90o (e)120o
5. Ikiwa hujaza m 154 za maji 3
38. Kiwanja cha mpira wa miguu
katika tenki hilo kwa siku. Je, kina mzingo wa mita 112. Ikiwa
siku ngapi zaidi zitahitajika urefu wa kiwanja hicho ni Meta
kujaza tenki zima? (Tumia π = (x – 2) na upana wake ni Meta (
22/ ). (a) 2 (b) 5 (c) 4 (d) 6 (e) 7
7 21/2 x – 5), thamani ya x itakuwa
32. Ikiwa eneo la trapeza ABCD ni ngapi?
sm2 160, upi ni urefu wa BE? (a) 56 (b) 98 (c) 18 (d) 14 (e) 42
Sm 12
B C 39. Darasa lina jumla ya wanafunzi
9. Wastani wa uzito wa
A
E D wanafunzi 5 ni kilogramu 20.
Sm 20
Tafuta jumla ya uzito wa
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 62
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
wanafunzi wote ikiwa wastani wa 44. Katika shule ya msingi Railway,
uzito wa wanafunzi waliobaki ni mwanafunzi akipata daraja A
kilogramu 30. (a) Kilogramu 50 katika somo lolote, mmiliki wa
(b) Kilogramu 450 (c)Kilogramu shule humlipa mwalimu shilingi
100 (d)Kilogramu 220 10,000 kwa kila A kama motisha
(e)Kilogramu 130 kwenye somo lake. Ikiwa
40. Ikiwa wastani wa sh 100, sh 250, mwalimu wa Hisabati alipata
sh 350 na sh 3p ni sh 205, shilingi 1,250,000, je ni
thamani ya herufi ‘p’ itakuwa wanafunzi wangapi walipata
ngapi? (a) 40 (b) 120 (c) 85 daraja A katika somo hilo?
(d) 165 (e) 161 45. Bahati alikuwa na kalamu 8 na
penseli 12. Aliamua kuwagawia
rafiki zake kalamu 3 na penseli 5.
SEHEMU B: Iwapo aliuza idadi ya kalamu
MATENDO YA KIHISABATI, zilizobaki kwa shilingi 200 kila
MAUMBO NA MAFUMBO moja, penseli zilizobaki kwa
41. Idadi ya wanafunzi waliohitimu shilingi 100 kila moja, je, alipata
Darasa la Saba mwaka 2018 jumla ya kiasi gani cha fedha?
katika Kata yetu ilikuwa 600. ***************************
Kati ya hao, 71/2% hawakufaulu
mtihani. Je, ni sehemu gani ya
wahitimu walifaulu mtihani?
42. Peo tatu za shamba lenye umbo la
JARIBIO LA 32
1. 0.799+4.21 A.9.005 B.5.009
mstatili ni A ( – 4, 1 ), B ( – 4,
– 2 ), na C ( 3, –2 ). Tumia grafu ya C.5.09 D.7.009 E.3.005
2. 5.13–2.883= A.2.227 B.2.427
majira ya nukta kutafuta peo ya
C.7.224 D.2.247 E.2.472
nne.
3. 16.64x121= A.203.4 B.2013.44
43. Kijiji cha Mtakuja kilitaka
C.2013.4 D.201.34 E.20.134
kujenga Zahanati katika kiwanja
4. 1.275÷5.1= A.0.o5 B.0.07 C.0.35
kinachowakilishwa na umbo
D.0.25 E.0.75
lifuatalo:
5. Badili 1121/2% kuwa sehemu
rahisi A.11/8 B.3/8 C.7/8 D.5/8
E.9/8
6. geuza 3.75% kuwa desimali
A.37.5 B.0.375 C.0.0375
Meta 7

D.37.55 E.3.75
Meta 10 7. andika 374/5 kama asilimia
A.3780% B.378% C.37.8%
Meta 8

D.3.78% E.37 /2%


1

8. 1078+5793= A.7861 B.6871


C.8671 D.5871 E.8871
Meta 19
9. 100022–37589= A.6733 B.69433
C.62344 D.61433 E.62433
Je, kiwanja hicho kina eneo kiasi
10. 457x52= A.2376 B.23764
gani katika meta za mraba?
C.24764 D.23674 E.23664

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 63
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
11. 2992÷34= A.98 B.68 C.88 26. Ikiwa N:M=P:21. Nini thamani
D.888 E.78 ya N kama M=84 na P=15? A.30
12. Andika mwaka utakaohitimu B.60 C.45 D.75 E.15
kwa numeral za kirumi
A.MMXX B.MMXXI C.MMXIX 27. Zidisha km1 meta34 sm70 mara
D.MMXVIII E.MMXXII 5(andika jawabu katika meta)
13. Kokotoa namba mraba ya (80– A.5173.5 B.m5173 C.m5173.5
67.5) A.146.25 B.125.5 C.145.25 D.m5713.5 E5175
D.12.5 E.156.25
14. 121/3+31/2= A.121/6 B.155/6 28. Kokotoa eneo la umbo tenge
C.16 /6 D.15 /6 E.15 /3
1 1 2 lifuatalo.
Sm 10
15. 8 /8–5 /4= A.2 /8 B.3 /8 C.3 /8
7 3 1 5 3

D.23/8 E.31/8 Sm 25
16. 91/2x22/5= A.81/5 B.184/5 C.304/5
D.224/5 E.282/5
17. 55/6÷31/2 A.12/3 B.32/3 C.21/3 Sm 34
D.51/2 E.15/6
18. Kokotoa kigawe kidogo cha A.sm2 616 B.sm2 154 C.sm2 254
shirika cha 24, 30, 36 na 72 D.sm2 324 E.sm2 464
A.180 B.240 C.360 D.270 E.420
19. Kokotoa kigawo kikubwa cha 29. Basi liliondoka Iringa saa 1500
shirika cha 18, 27, 45 na 135 siku ya Jumamosi na kufika
A.42 B.9 C.270 D.36 E.6 Tunduma umbali wa km418 saa
20. Kokotoa wastani wa namba 0030 siku ya Jumapili lilitembea
shufwa zote zilizopo kati ya 65 na kwa mwendo kasi kiasi gani?
71 A.70 B.68 C.66 D.77 E.67 A.km66k.s B.km44k.s
21. Kokotoa zao la namba tasa zote C.km34k.s D.km89k.s
zilizopo kati ya80 na 95. A.7389 E.km64k.s
B.8783 C.8377 D.7387 E.7783
22. Kuna namba witiri ngapi kati ya 30. Kokotoa ukubwa wa pembe ‘w’
92 na 100? A.tano B.tatu C.sita katika umbo hili.
D. mbili E. nne
580
23. Onyesha namba inayofuata
kwenye mwandamani wa namba 2300
huu 1, 16, 81, 256, _____ A.64
B.144 C.69 D.576 E.625 w
2x 3x
24. Rahisisha fungu lifuatalo
A.w = 400 B. 310 C. w = 610
D.w = 4 E.w = 6
31. Bei ya nyama ya sasa ni
A.4 B.2 C.-2mn D.6 E.-4 sh.6000/= kwa kilo, bei hiyo
25. Kokotoa wastani wa; 5.5, 63/4, 31/2 inaongezeka wa 20% katika bei
2.25, 3.75 na 21/4 A.5 B.8 C.12 ya zamani. Kokotoa bei ya
D.4 E.6 zamani kabla ya ongezeko.
A.Tsh.5000/= B.Tsh.3000/=
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 64
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
C.Tsh.4000/= D.Tsh.4500/= A.sm2 85 B. sm2 29 C. sm2 49
E.Tsh.3500/= D.sm2 58 E.sm2 109
32. Kokotoa ukubwa wa pembe
(<)AFE ikiwa AB na CD ni 37. Kokotoa ukubwawa <K
mstari mnyoofu
1500
A E 3K
C 0
120
3x x
F
D
920 A. K= 900 B. k = 1800 C. k = 2700
B D.k = 450 E. k = 300
A. 140 B.330 C.690 D.300 E.400
33. Aidani ameweka Tsh.50,000/= 38. Tafuta mzingo wa robo doara ifuatayo:
katika benki ya CRDB inayotoa (tumia π = 22/7)
riba ya 71/2% kwa mwaka mmoja.
Sm 7
Je, baada ya mwaka mmoja na
miez sita atakuwa na fedha kiasi
gani benki? A.Tsh.4650/= Sm 7
B.Tsh.6525/= C.Tsh.2565/=
D.Tsh.6250/= E.Tsh.5626/=
34. Kokotoa eneo la mraba PQRS
A. sm 25 B. sm 74 C. sm 44 D. sm
20 E. sm 22
Sm (2x+7)
39. Kokotoa mduara wa umbo hili
lifuatalo.
Sm (5x- 5)
A. sm 2250
B. sm2 300 C. sm2 225
D.sm2 325 E. sm2 125 Sm 30

35. Kokotoa eneo la msambamba Sm 18

ABCD.
A B

Sm 60 Sm 18 Sm 30
A. sm163 B.sm84 C.sm42 D.sm64
E.sm144
D Sm 40
C E 40. Lifuatalo ni pipa. Je, linaweza
kubeba maji lita ngapi?
A. sm2 3000 B. sm2 3900
C. sm2 65 D. sm2 1950 E.sm2
3250 Sm 42

36. Nini litakuwa eneo la mstatili


huu? M 21/2
Sm (6K-13)

Sm (K+12)
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 65
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
A. lita 347 B. lita 246.5 C. lita 346
D. lita 546.5 E. lita 346.5
41. Nini kipeuo cha pilo cha
(61/2+53/4)?
42. Kokotoa thamani ya ‘b’ katika
mlinganyo huu 2b–4=1/3b+160
43. Kokotoa ukubwa wa <ABC
kwenye umbo la pembesita
(heksagoni)

A
1300-x B
2x + 150

C 2400
F 4x-400
x + 750
D
E
44. Ikiwa k=-24 na h=12, kokotoa
thamani ya fungu h(12)
h2 –k2
45. Bomba la maji hutumia saa 4
kujaza pipa la maji, pipa hilo
likiwa limejaa maji bomba
linguine huumika kutoa maji
katika muda wa saa6. Je,
yakifunguliwa mabomba yote
mawili wakati pipa likiwa tupu,
pipa hilo litajaa katika muda
gani?

*****************************
MWISHO

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 66
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI

KANUNI MBALIMBALI ZA KIHISABATI


A. MIZINGO YA MAUMBO BAPA Mzingo =
Upande ‘a’ + Upande ‘a’ + Upande ‘b’
1. PEMBETATU MRABA.
Mzingo = a + a + b = 2a + b

Kiegama
Kimo Mfano:
Kokotoa mzingo wa pembetatu
Kitako ifuatayo:
MZINGO
M 9 M9
Mzingo = kimo + kitako + kiegama
Mzingo = h + b + c

M 17

Mfano: Mzingo = a + a + b
Kokotoa mzingo wa pembetatu Mzingo = m 9 + m 9 + m 17
ifuatayo:
Mzingo = m 18 + m 17
Mzingo = m 35
Sm 10
Sm 8

3. PEMBETATU SAWA

Sm 13

a a
Mzingo = h + b + c
Mzingo = sm 8 + sm 10 + sm 13
Mzingo = sm 31.
a

2. PEMBETATU PACHA
Mzingo =
upande a + upande a + upande a
a a
Mzingo = a + a + a
Mzingo = 3a

b
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 67
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
Mfano:
Kokotoa mzingo wa umbo hili. 5. MRABA
Upande

Sm 8 Sm 8
Upande Upande

Sm 8 Upande
KANUNI
Mzingo = a + a + a
Upande + Upande + Upande + Upande
Mzingo = sm 8 + sm 8 + sm 8
Mzingo = upande x 4.
Mzingo = sm 24
Mfano:
Au
Kokotoa mzingo wa umbo lifuatalo.
Mzingo = 3a
Mzingo = 3(Sm 8)
Mzingo = 3 x Sm 8
m7
Mzingo = sm 24.

4. PEMPETATU GUNI/MSHATO
c Kwa kuwa mraba ni umbo lenye
pembe nne zilizo na urefu sawa,
Mzingo =
a
b Upande + Upande + Upande + Upande
Mzingo = m 7 + m 7 + m 7 + m 7
Mzingo =
Mzingo = m 28.
upande ‘a’ + upande ‘b’ + upande ‘c’
Au
Mzingo = a + b + c Mzingo = upande x 4
Mfano: Mzingo = m 7 x 4
Kokotoa mzingo wa umbo hili. Mzingo = m 28.
Sm 12
6. MSTATILI

Sm 6 Sm 10 Upana

Mzingo = a + b + c Upana

Mzingo = sm 6 + sm 8 + sm 12
Mzingo = sm 28
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 68
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
KANUNI
Sm 15
Mzingo = urefu x 2 + upana x 2
Mzingo = (urefu + upana) x 2 SmSm
18 6 Sm 9

Mfano:
KANUNI:
Kokotoa mzimgo wa chumba hiki
cha darasa. Mzingo = urefu x 2 + kiegama x 2
Mzingo = sm 15 x 2 + sm 9 x 2
m 12
Mzingo = sm 30 + sm 18

m8
Mzingo = sm 48.

8. TRAPEZA

a
KANUNI L K
Kiegama (c) Kiegama (c)
Mzingp = (urefu x 2) + (upana x 2)
h
Mzingo = m (12 x 2) + m(8 x 2)
Mzingo = (m 24) + ( m 16) N
b
M

Mzingo = m 40.
Mzingo = a + kiegama b + kiegama c
Mzingo = a + c + b + c
7. MSAMBAMBA

A B
Mfano:
Urefu
Kokotoa mzingo wa trapeze ifuatayo:
Kiegama Sm 8
SmKimo
18

C D Sm 6 Sm 5

KANUNI
Mzingo = Urefu x 2 + kiegama x 2 Sm 17
Mzingo = (Urefu + kiegama)2 Mzingo = a + c + b + h
Mzingo = sm 8 + sm 5 + sm 17 sm 6
Mfano:
Mzingo = sm 36.
Kokotoa mzingo wa msambamba
ufuatao.

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 69
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
9. DUARA KANUNI
Mzingo = 2 r
Mzingo = 2 x 22/7 x 7
r
d Mzingo = 2 x 22/71 x 71
Mzingo = 2 x 22 x sm 1
Mzingo = sm 44.

KANUNI
10. NUSU DUARA
Mzingo = Pai x kipenyo
Mzingo = d
Au Mzingo = 2 r
d
Mafano 1.
Tafuta mzingo wa duara lifuatalo. KANUNI
(Tumia = 22/7)
Mzingo = + kipenyo

Mzingo = +d
Sm 14

Mfano1.
Tafuta mzingo wa nusu duara
ifuatayo. (Tumia = 22/7)
KANUNI.
Mzingo = d
Sm 14
Mzingo = 22/7 x sm 14
Mzingo = 22/7 x 142
Mzingo = 22 x sm 2 Mzingo = + kipenyo

Mzingo = sm 44
Mzingo = +d
Mfano wa 2.
Tafuta mzingo wa duara lifuatalo.
(Tumia = 22/7) Mzingo = + sm 14

Sm 7 Mzingo = 22 x sm + sm 14

Mzingo = sm 36.

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 70
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
11. NUSU DUARA ISIYOPITIKA Hii ni usu duara isiyotiwa kipenyo.
Mfano 2. KANUNI.
Tafuta mzingo wa nusu duara Mzingo =
ifuatayo. (Tumia = 22/7)
Mzingo =

Sm 7

Hii ni nusu duara yenye nusu Mzingo =


kipenyo/isiyopitika.
Mzingo = 11 x sm 2
Mzingo = sm 22.

Sm 7
Sm 14 13. ROBO DUARA KAMILIFU

KANUNI:
Mzingo = + nusu kipenyo (r) r

Mzingo = +r
r
KANUNI

Mzingo = + kipenyo
Mzingo = + sm 7
Mzingo = +d
Mzingo = 11 x sm 2 + sm 7
Mzingo = sm 29
Mfano:
12. NUSU DUARA ISIYOPITIKA Tafuta mzingo wa robo doara ifuatayo:
KIPENYO
Sm 7

d Sm 7

Mfano.
Tafuta mzingo wa nusu duara KANUNI
lifuatalo. (Tumia = 22/7)
Mzingo = +d

Sm 14

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 71
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
15. ROBO DUARA ISIYOPITIKA
Mzingo = + sm 14
KIPENYO
Mzingo = sm 25.

14. ROBO DUARA ISIYOPITIKA


r
NUSU KIPENYO

KANUNI
r
Mzingo =

Mzingo = + nusu kipenyo Mzingo =


Mzingo = +r
Mfano:

Mfano: Kokotoa mzingo wa robo duara


ifuatayo:
Kokotoa mzingo wa robo doara
ifuatayo.

Sm 42

KANUNI
KANUNI
Mzingo =
Mzingo = +r

Mzingo =
Mzingo = + sm 14

Mzingo = sm 22 x sm 1 + sm 14 Mzingo = 11 x sm 3

Mzingo = sm 22 + sm 14 Mzingo = sm 36

Mzingo = sm 36

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 72
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
16. ROBO TATU DUARA
KAMILIFU
17. ROBO TATU DUARA
ISIYOPITIKA NUSU
r
KIPENYO
r

KANUNI
Mzingo = Pai x kipenyo x + nusu kipenyo

Mzingo = +r KANUNI

Mzingo = +r

Mfano: kokotoa mzunguko wa Mfano:


umbo lifuatalo. Kokotoa mzingo wa robotatu
duara ifuatalo.

Sm 14 Sm 14

Sm 14
Sm 14

KANUNI KANUNI
Mzingo = + d Mzingo = +r

Mzingo = + sm 14 Mzingo = + sm 14
Mzingo = 3 x 22 x sm 1 + sm 14 Mnzingo = 3 x 22 x sm 1 + sm 14
Mzingo = Mzingo = sm 66 + sm 14

Mzingo = Mzingo = sm 80

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 73
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
18. ROBOTATUDUARA A. MAENEO YA MAUMBO BAPA
ISIYOPITIKA KIPENYO 1. PEMBE TATU
A

r
Kiegama Kiegama
r Kimo

B C
Kitako

KANUNI Eneo = x kimo x kitako

Mzingo = Eneo = xhxb

Mfano:
Mfano:
Kokotoa mzingo wa robotatu
Tafuta eneo la umbo lifuatalo.
duara ifuatalo.

Sm 15
Sm 15

Sm 15

KANUNI
Eneo = xhxb

Eneo = x sm 10 x sm 15
KANUNI
Eneo = sm2 75.
Mzingo =
2. MRABA
Mzingo =

Mzingo = 3 x 11 x sm 5
Mzingo = sm 165. Upande

Upande

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 74
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
KANUNI Eneo = sm 8 x sm 3
Eneo = Upande x upande Eneo = sm2 24

Mfano: 4. MSAMBAMBA
Kokotoa eneo la umbo lifuatalo.
Urefu

Kiegama SmKimo
18
mm 42

KANUNI
KANUNI Eneo = Urefu x kimo
Eneo = upande x upande
Eneo = mm 42 x mm 42 Mfano.
Eneo = mm2 1762 Kokotoa eneo la msambamba ABCD

A B
3. MSTATILI Sm 16

Urefu Sm 5
Sm 4 Sm 18

C D
Upana

KANUNI
Eneo = Urefu x kimo
KANUNI Eneo = sm 16 x sm 4
Eneo = urefu x upana Eneo = sm2 64

Mfano. 5. TRAPEZA
Kokotoa eneo la umbo lifuatalo. a
Sm 8

Sm 3
b

KANUNI
KANUNI
Eneo =
Eneo = Urefu x upana
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 75
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
Mfano.
Tafuta eneo la trapeza ifuatayo.
Sm8
dm 8

dm 5 dm 6 dm 5

dm 17
KANUNI
KANUNI Eneo = r2

Eneo = = Eneo = 3.14 x sm 8 x sm 8


Eneo = 3.14 x sm2 64
Eneo = Eneo = sm2 200.96
Eneo = dm 25 x dm 3
Eneo = dm2 75 7. NUSU DUARA

6. DUARA d

Eneo = x
Eneo = d 2 au r2
d r 8 2
Mfano.
Tafuta eneola nusu duara ifuatayo.
(Tumia = 22/7)

KANUNI Sm 14

Eneo =
Eneo = d2 KANUNI
4 Eneo = d2
8
Au Eneo = r2

Mfano. Eneo =
Tafuta eneola duara lifuatalo. Ene0 = 11 x sm2 7
(Tumia = 3.14)
Eneo = sm2 77

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 76
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
8. ROBO DUARA 9. ROBOTATU DUARA

r
r
r

r
KANUNI

Eneo = x
KANUNI
Eneo = = d 2 au r2 Eneo = x
16 4
Mfano.
Eneo = 3 d2
Tafuta eneo la umbo lifuatalo. 16

Mfano.
Sm 7 Tafuta eneola mcgoro huu.
(Tumia =

KANUNI Sm 10

r2

Eneo = 4

Eneo =

KANUNI
Eneo =
Eneo = 3 d2
Eneo = 11 x sm2 7
2 16

Eneo =
Eneo = sm2 77
2
Eneo = 9.42 x sm2 25

2
Eneo = sm2 235.5
Eneo = sm 38

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 77
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
MAENEO YA MAUNBO YA UKUMBI Mfano.

1. MCHE MRABA Kokotoa eneo la mche mstatili ufuatao.

Sm 2

Sm 12

Sm 9

KANUNI
Eneo = upande x upande x 6 Eneo = (eneo A)2 + (eneo B)2 + (eneo A)2
Eneo = m 40 x m 40 x 6 Eneo = (sm 12 x sm 9+ sm 12 x sm 2 + sm 9 x sm 2)2
Eneo = (sm2 108 + sm2 24 sm2 18)2
Mfano.
Eneo = sm2 150 x 2
Kokotoa eneo la mche mraba huu.
Eneo = sm2 300

M 40

3. MCHE DUARA ULIOFUNGWA


PANDE ZOTE

Eneo = Eneo = upande x upande x 6 d2 dh d2


4 4
Eneo = m 40 x m 40 x 6
Eneo = m2 1600 x 6 h
Eneo = m2 9600. KANUNI
Eneo = d 2 + dh + d2
4 4
2. MCHE MSTATILI
Mfano.
B Lipi litakuwa eneo la mche duara ufuatao
uliofungwa pande zote?
A
Kimo
C Sm 7
Urefu
Upana
Sm 14
KANUNI
Eneo = (eneo A)2 + (eneo B)2 + (eneo A)2 KANUNI
AU Eneo = d 2 + dh + d2
(Ur x up + ur x h + h x up)2 4 4

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 78
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
Eneo = Eneo = sm2 308 + sm2 77
1 2

Eneo = sm2 616 + sm2 77


2
Eneo = 11 x sm2 7 + 22 x sm2 14 + 11 x sm2 7 2
Eneo = sm 693
2 2 2
Eneo = sm2 77 + sm2 308 + sm2 77 Eneo = sm2 3461/2
2 1 2

Eneo = Sm2 77 + sm2 616 + sm2 77


2 5. MCHE DUARA ULIO WAZI
2
Eneo = sm 770 PANDE ZOTE
2
Eneo = sm2 385
h

d
4. MCHEDUARA ULIOFUNGWA
UPANDE MMOJA

d2 dh d KANUNI
4
h Eneo = dh
KANUNI
Eneo = dh + d 2
4
Mfano Mfano.

Kokotoa eneo la umbo hilo hapo Tafuta eneo la mche duara ufuatao.
chini. Sm 10

Sm 14
Sm 14

Sm 10

KANUNI

KANUNI Eneo = dh
Eneo = dh + d 2
4 Eneo = Eneo = 22
/7 x sm 14 x sm 10

Eneo = Eneo = sm2 440

Eneo = 22 x sm2 14 + 11 x sm2 7


2

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 79
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
UHAKIKI WA KANUNI YA Mfano wa 2.
PAITHAGORASI
Tafuta thamani ya b katika umbo
Uhakiki wa kanuni ya Paithagorasi linalofuata.
hufanyika kwa kuhusianisha pande za
pembetatu mraba.
Sm 25
Sm 20
KIEGAMA
(c)
KIMO
b
a
( )

KANUNI
KITAKO
b
( ) a2 + b2 = c2
 a = sm 20
Uhusiano wake.
 b= ?
(KIMO)2 + (KITAKO)2 = (KIEGAMA)2  c = sm 25
2 2 2
a + b = c NJIA
Kokotoa thamani ya m katika umbo (sm 20)2 + (b)2 = (sm 25)2
lifuatalo.
Sm 20 x sm 20 + b2 = sm 25 x sm 25

m sm2 400 + b2 = sm2 625


Sm 3
b2 = sm2 625 - sm2 400

✓b2 = ✓m2 225


Sm 4
Kitako ‘(b)’ = sm 15
KANUNI
**********************************
a2 + b2 = c2
 a = sm 3
 b= sm 4
 c=?
NJIA
(sm 3)2 + (sm 4)2 = m2
Sm 3 x sm 3 + sm 4 x sm 4 = m2
sm2 9 sm2 16 = m2
✓sm 225 = ✓m2
Kiegama (m) = sm 5

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 80
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
MWENDOKASI, UMBALI NA MUDA a + b + c = 1800
*************************************

UMBALI

c. Pembe za ndani za mistari


MWENDOKASI MUDA sambamba.

KANUNI ZAKE c a

 UMHALI = MWENDOKASI x MUDA d b

 MWENDOKASI =

 MUDA =
a + b = 1800
c + d = 1800
**************************************
TABIA ZA PEMBE
d. Pembe za nje za mistari
a. Vikamilishi vya pembe mraba.
sambamba.
Pembe mraba ni pembe ya ndani
yenye ukubwa wa 900 a c

a b d

b
a + d = 1800
a + b = 900 c + d = 1800
********************** **************************************

b. Vikamilishi vya pembe nyoofu au e. Pembe mkabala


mstari mnyoofu.
Pembe nyoofu/mstari mnyoofu ni c
a b
pembe ya ndani inayounda nusu d
duara yenye ukubwa wa 1800

a = b
b c = d
a c
*******************************
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 81
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
f. Pembe mshabaha. Namna ya kuitumia kanuni ya
(n-2)1800
a e Mfano.
c g
Umbo lenye pembe tano za ndani
b f lina jumla ya nyuzi ngapi?
d h
Mfano wa umbo kama hilo ni

a = b, c = d, e = f na g = h
************************
g. Pembe mbadala.

e f KANUNI
a b
(n-2)1800
g h Ufunguo 1.
c d
n = idadi ya pembe za ndani.
Hivyo, kutafuta jumla ya nyuzi
a = h, b = g, c = f na e = d katika umbo lenye pembe tano za
ndani utasema,
*********************************
(n-2)1800
IDADI YA NYUZI ZA NDANI
KATIKA MAUMBO YENYE (5-2)1800
PANDE NYINGI (3)1800
3 x 1800
IDADI IDADI YA 1 8 00
AINA YA NAME YA MAUMBO x 3
UMBO NYUZI YA PEMBE 5 4 00
TATU

Pembetatu Triangle 1800 1 Mfano wa 2.


Pembenne Quadrilateral 3600 2
Tafuta thamani ya m katika umbo
Pembetano Pentagon 5400 3
lifuatalo.
Pembesita Hexagon 7200 4
pembesaba Heptagon 9000 5 2m

Pembenane Octagon 10800 6 2m + 450


2m
Pembetisa Nandgon 12600 7
Pembekumi Decagon 14400 8
3m
2m
Pembe N-gon (n-2)1800 (n-2)
nyingi

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 82
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
i. Unatakiwa utambue idadi ya
m = 495
pembe kwenye umbo husika. 11
 Hapa tunaona umbo letu M= 450
lina pembe za ndani 5
**********************************
ii. Kumbuka kanuni.
Kanuni ya kutafuta nyuzi za UKUBWA NA UJAZO WA
ndani kwenye umbo lenye pembe MAUMBO YA UKUMBI
4 za ndani na kuendelea. 1. MICHE DUARA
 (n-2)180 0 KIMO

iii. Tambua idadi ya nyuzi za ndani

KIPENYO
kwenye umbno husika kwa
kutumia kanuni.
NJIA
KANUNI
(n-2)1800
n = idadi ya pembe za ndani ya Ukubwa =
umbo. Ukubwa = d 2h
 Umbo letu lina pembe za 4
ndani 5. Mfano.
Hivyo, Tafuta ukubwa wa mcheduara
(n-2)1800 ufuatao.
Sm 20

(5-2)1800
Sm 14

(3)1800
3 x 1800
1 8 00 KANUNI
x 3 Ukubwa = d 2h
5 4 00 4

iv. Tafuta thamani ya m sasa kwa Ukubwa =


kutengeneza mlinganyo wa
Ukubwa = 22 x sm 14 x sm 2 sm 5
thamani zilizowekwa kwenye
pembe za ndani na idadi ya Ukubwa = 22 x sm3 140
nyuzi ndani ya umbo hilo. Ukubwa = sm3 3080.
3m + 2m + 2m + 2m + 2m + 450 = 5400 **********************************
11m + 450 = 5400 2. MCHE MSTATILI
11m = 5400 - 450
11m = 4950
11m = 495 Kimo
11 11 Upana

Urefu

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 83
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
KANUNI KANUNI
UKUBWA = UREFU x UPANA x KIMO UKUBWA = UPANDE x UPANDE x KIMO
Ukubwa = sm 23 x sm 23 x sm 23
Mfano. Ukubwa = sm3 12167.
Kokotoa ukubwa wa mche mstatili **********************************
ufuatao. 4. HESABU ZA BENKI
KANUNI
Sm 6
i. FAIDA/RIBA (I)
Sm 14 FAIDA/RIBA (I) =
Sm 12

UKUBWA = UREFU x UPANA x KIMO


I=
 Urefu = sm 14
 Upana = sm 12
 Kimo = sm 6 ii. MTAJI/KIANZIO (P)
Ukubwa = sm 14 x sm 12 x sm 6 MTAJI/KIANZIO =
Ukubwa = sm3 1008

P =
3. MCHE MRABA
iii. KIASI CHA RIBA (R)
Upande

Upande
KIASI CHA RIBA =

Upande

R =

KANUNI
iv. MUDA (I)
UKUBWA = UPANDE x UPANDE x KIMO
MUDA =
Mfano.
Nini ukubwa wa mche mraba huo
T=
hapo chini?

5cm v. JUMLA YA AKIBA (A)


A = MTAJI (P) + FAIDA (I)
10cm
20cm A=P+I
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 84
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI

MAJIBU

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 85
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 1
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N
0, 1, 2, 3, na 4 15 5 29 Meta 4300
1
Tofauti ni 19 16 Hisa = 21 30 Masaa 216
2
Asili = 4 17 2 31 CMXC
3
Jumla = 790 18 Zao = 625 32 Pembetatu 5
4
Sitini nukta tatu 19 K. D. S = 84 33 Nusu
5
nne tano.
74,901.39 20 K. K. S = 4 34 Robo
6
DCCXXIV 21 k=6 35 Theluthi moja
7
Siku 91 22 31 na 37 36 Sudusi
8
9,854,221 23 Chupa 3 37 Pembe tatu mraba
9
10 1,000,000 24 Saa 1 na dk. 30 38 Pembe tatu pacha

11 Mamia = 0 25 Miguu 412 39 Pembe tatu sawa

12 Ndogo /8 26 Umbali = m 7000 40 Msambamba


1

13 Zao = 16 27 P=4

14 Tofauti = 9001 28 Baki = 2/3

41
= siku 3

Mei =
Mwezi Mei = 3 x siku 3.
Mwezi Mei ulikuwa na siku siku 9 za mvua.
Mwezi Juni
42
43 Januari na Februari
44 Tofauti = kutoa
Tofauti = siku 9 – siku 6
Tofauti = siku 3.

45 2 x sh. 12,500 = sh.25,000 25,000


2 x sh. 8000 = sh. 16,000 16,000
3 x sh. 1500 = sh. 3000 3,000
3 x sh. 16000 = sh. 48000 48,000
1 x sh. 4000 = sh. 4000 + 4,000
96,000

Matumizi = Tsh. 96,000/=

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 86
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 2
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N
1 15162 15 100a 29 1034937
2 50 16 4/7 30 0.5
3 2 17 15 31 1, 2, 3, 4, 4, na 12
4 0.175 18 80,82,84,84,88,90 32 Lita 5.6
16
5 /25 19 1 33 100000+50000+ 0+400+60+2

6 Mamilioni 20 60 34 10
7 32/9 21 35,000 35 52
8 46 22 Mstari 36 2, 3 na 5
9 1611/12 23 Sh. 9300 37 Pembe mraba
1
10 1 /5 24 Pembe kuu 38 Saa 1 dk 36
-
11 LXIII 25 2, -1, 0, 1 na 2 39 UVW na WVU
3 -
12 /1000 26 2 + -5 40 900,000
13 1000 27 1
14 30 28 91, 93, 95, 97 na
99

41 55.5

42 Ng’ombe 32686
Kondoo 3789
Mbuzi 7897
Jumla 4437 2 Jumla ya mifugo = 44372
43 7x + 8 = 50
7x + 8-8 = 50-8
7x = 42
7x = 42
7 7
x=6 x=6
44 Upande x 4 = Mzingo
Sm 84 x 4 = sm 336
Mzingo = sm 336
45 Wastani = =

= Wastani = 41.6 au Wastani = 413/5

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 87
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 3
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N

1 Mia mbili elfu 15


mia tano na tano 33/4 29 18
au laki mbili na
mia tano na tano
2 Mamia elfu 16 210.721 30 Lita 141
mililita 400
3 DCXXIV 17 570.019 31 K.D.S 48
4 80000 18 0.00306 32 K.K.S 4
5 2.17 19 6.25 33 SM 100
6 16 20 Gramu 96544 34 SM 20
7 22275 21 25 35 Kimo x kitako
8 MITI 572954 22 56% 36 Sm2 24
9 11 23 23/4 37 SM2 24
10 1134625 24 0.72 38 D = 1300
11 Sh 125000 25 1292 39 Sm 440
12 8 /5 26 23 na 22 40 6 : 01 usiku
2

13 6 /3 27 22,24,26 na 28
1

14 9 /7 28 1089
5

41
Sh. 9000

42 Sh. 1000

43
30

44 Sh. 33300

45 Sh. 20000

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 88
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 4
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N

1 15,549 15 2.403 29 Gramu 14,000

2 13,855 16 1.71 30 m 31 na sm 100

3 680 17 27.468 31 Saa1 dk45

4 833,467 18 6.6 32 Eneo = sm2 144

5 Elfu mbili mia nne 19 160% 33 Mzingo = sm 600


hamsini na tano
6 43,834 20 5/
16 34 Mzingo = sm100

7 DCLXVI 21 11/25 35 Eneo =sm2 640

8 Inafuata 28 22 10a 36 Upana = sm 20

9 Jumla = 91 23 Jumla 33 37 Eneo sm2 216

10 Inafuata CXCV 24 Zao 20,736 38 Mzingo = m 136

11 13/4 25 Saa 3 39 Hazijasomwa


kurasa 1121/2
1/ 26 Baki = Tsh. 3,500/= 40 Wastani = 17
2
12
13 2 27 Meta 2,000

14 33/4 28 Sentimeta 20,000

41 2 x sh. 200 = sh. 400


4 x sh. 100 = sh. 400
2 x sh. 500= sh.1000 Baki = akiba - matumizi
Matumizi = sh.1800 Baki = sh 2000 – sh1800
Baki = sh. 200

42 3 7 2, 0 5 6
Mamoja
Makumi
Mamia
Maelfu
Makumi elfu
Mamia elfu/malaki
3 ni mamia elfu/Malaki
43 Tarakimu kubwa kabisa inayotokana na tarakimu za namba 2022 ni
2220.
44 Mia sita elfu = 600,000 600,000
Mia tisa = 900 + 900
600,900 600,900.

45 Baki = akiba – nauli


Baki = sh.10,000 – sh.6500 = sh 35,000. Alibakiwa n ash. 3,500/=

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 89
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 5
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N
1
1 600,505 15 13 /2 29 Eneo = sm2 160

2 Mia moja themanini na 16 11/5 30 Eneo = m2 48


tano nukta saba tano tano.
3 3,000 17 Watu 18,624 31 Mzingo sm 48

4 999 18 18, 20 na 22 32 Eneo = sm2 81

5 Inafuata 1,000 19 K. D. S. 18 33 Eneo = sm2 24

6 C, L, XX, X, V na I 20 K. K. S. 4 34 Faida = sh. 130,000

7 DCCL 21 Hisa kg 125 35 Sh.989 st.65

8 M 22 Happy 36 Lita 35 Mililita 210

9 Wakazi 4,476 23 Mwaka 2016 37 Miaka 20 miezi 8


-
10 Mifugo 43,0976 24 Kilometa 9 38 6

11 @ daftari = Tsh. 1,018 25 Zao = 625 39 A = 16


6
12 /8, 9/12, na 12/16 26 Jumla = 164 40 Dm 2 sm 8 mm 9

13 61/2 27 Inakosekana 36
11
14 /77 28 Mzingo = sm 2

41 Penta = 5
Gon = pembe. Pentagoni = pembetano. Umbo la pembetano linaitwa Pentagon
42 Vitabu vyote 4667 vilivyobaki 893
Azimwa - 3774 vilivyoongezwa +1107
Vilivyobaki 893 vitabu 2000
Vipo vitabu 2000

43 1 – 40 = maswali 26 x 1= 26
41 – 45 = maswali 3 x 2 = 6
Jumla ya alama 26 + 6 = 32

Gidion alipata alama 32

44
Wanafunzi waliofaulu =

45 MATUMIZI
4 x sh. 70 = sh 280 Akiba 5,000
6 x sh. 250 = sh 1500 Matumizi - 2880
2 x sh. 150 = sh. 300 Baki 2120
1 x sh. 200 = sh. 200
Nauli = sh. 600
Jumla 2880 Alibakiwa na Tsh. 2120.

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 90
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 6
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N
1 Milioni moja na 15 K. D. S = 72 29 C = 24
moja.
2 5,783,156 16 Ekari 45,082.576 30 Majuma (wiki) 52

3 Madaftari7,748, 131 17 Zao = 250.505 31 Saa 0445

4 Mbuzi 1,034,937 18 Upana = sm 6 32 Kitako (b) = sm 9

5 Tsh. 1,200,000 19 1/
8 33 -10

6 Ndogo 60 20 5940 34 6

7 Kilogramu 1 21 0.05 35 Eneo = sm2 84

8 Baki = 2/3 22 -12 36 Eneo = sm2 144

9 Lita 10 23 Saa 10 dk 30 37 Eneo = sm2 77

10 @ mwanafunzi = 1/4 24 Saa10 dk45 38 Eneo = sm2 176

11 200.094 25 M 62 sm 75 mm 2 39 Eneo = sm2 1386

12 111 26 Dm10 sm 8 40 Kitako (BC)= sm8

13 Ng’ombe CCVII 27 4

14 K. K. S. 4 28 t = -6

41
Pembe mbadala. y = 600

42
q = 800

43
Mavazi = Tsh. 180,000/=

44 21/2 x sh. 800 = 2000


42 x sh. 750 = 31500
2 x sh. 350 = 700
3 x sh. 550 = 1650
Baki = + 500
Fedha yote =? 36350

Alikuwa na shilini 36, 350/=

45
C(x,y) = C(+3,-3)

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 91
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 7
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N
1 200,505 15 Ekari 512/40 29 0.32

2 20,000,000 16 81/10 30 60%

3 Milioni sitini na 17 31
mbili mia nane elfu 601/6 K. D. S=240
na hamsini.
4 Kuminukta saba 18 33/4 32 K. K. S =12
mbili tano.
5 3,000 19 70.12 33 Zao = 168

6 123,458 20 69.95 34 Zipo mbili (2) tu

7 999 21 115.02 35 Saa 4:30 asubuhi

8 Inakosekana 16 22 250 36 Halima = kg 150


7/ 60%, 0.5, ¼, na 23 125.46 37 3k
10,
9
0.01
10 0, 1, 2, 3, na 4. 24 -39 38 Eneo = sm2 180

11 Wakazi 5000 25 Hisa =18 39 Eneo = sm2 144

12 Wanafunzi 546, 448 26 3/4 40 Eneo = sm2 180

Kurasa CMLX 27 1.75


13
Kilogramu (kg) 82 28 52%
14
41
Mzingo/mzunguko = sm 880

42
K = 1300

43
P = 700

44
Gharama za usafiri = 20,000/=

45
Monalisa alitumia kiasi cha Tsh. 30,700

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 92
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 8
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N
1 Mia nne na nne 15 0.06 29 1/
6 = VITABU 400
elfu na arobaini.
2 1,000 16 0.345 30 OKTAGONI= 10800

3 Makumi 17 9/
400 31 DAKIKA 225

4 94,321 18 ZIPO NNE (4) 32 WANAFUNZI 250

5 MCMXCVIII 19 31 NA 37 33 Tsh. 960,000/=

6 MMCCVI 20 K. K. S = 12 34 Muda = saa3:00

7 MACHUNGWA 21 K.D. S = 48 35 Muda= siku 18


1,167
8 ZAO = 49,708 22 HISA = 105 36 Wastani = 45

9 HISA = 403 23 ZAO = 31.36 37 Hadija = miaka 35

10 ZAO = 25/28 24 M = 4/5 38 Tsh. 400,000

11 JUMLA = 41/3 25 A=5 39 Mzingo = sm2 44

12 26 2bc – b 40 Tofauti= sm2 224


ZIPO 41 c
13 JUMLA = 104.45 27 TOFAUTI = 33/5

14 TOFAUTI = 5. 137 28 MUDA= SIKU 4

41
Eneo = sm2 462.

42
X = 70

43 2x + 900 + 2 00 + 8x = 1800 (Mstari mnyoofu)


10x +1100 =1800
10x = 700
10 10
X = 70
44
H(x,y) = H(-4,0)

45 3 x sh. 950 = sh 2850


2 x sh. 350 = sh 700
4 x sh. 650 = sh 2600
5 x sh. 500 = sh 2500
1 /2 x sh.1000 = sh
1 1500
Jumla kuu sh. 10,150 Matumizi = Tsh.10150
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 93
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 9
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N
1 73,311 15 12 29 Mzingo = sm 56

2 21,090 16 ZAO = 2310 30 B = 700

3 109,497 17 ZAO = 3,456 31 Eneo = sm2 10,850

4 170 18 13/
40 32 Eneo= sm2 92

5 61/2 19 3a2b – 9ab2 33 Ujazo= sm3 48

6 35/12 20 Y = -9 34 Akiba= Tsh. 96,000

7 -12 21 Zipo 41 35 X = 100

8 2 22 1950 36 Eneo = sm2 32

9 10 23 Inafuata 25 37 4th = 80
+42 AU 42 24 K. D. S. 36 38 KUBWA = 34
10
11 2.3 25 Kg7 g 770 39 GHARAMA = TSH
1,386
12 30.919 26 Eneo = sm2 1092 40 PUNGUZO = 62/3%

13 101/2 27 Ujazo = lita.


8839.29
14 10.2 28 Eneo = sm2 42

41 Mama miaka 30

42 2y + 200 + 4y + 2y + 5y + 150 + 700 – y +3y =7200


15y + 1050 = 7200
15y = 7200 - 1050
15y = 6150
15y = 6150 41
15 1 15 1
y = 410

43 Km1 ÷ sm 12.5 sm100,000 x 10 = 100,000 = 8000


m 1000 ÷ sm 12.5 sm12.5 x 10 125
Sm100,000 ÷ sm 12.5

Hatua 8000
44 4 x 250 = 1000 9 x 50 = 450
6 x 100 = 600 10 x 45 = 450
2 x 400 = 800 5 x 1800 = 9000
1 x 600= 600
Jumla kuu Sh.12900

45 M(x,y) = M(-1,2)

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 94
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 10
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N
1 9,000 15 -11 29 Zao = 2600

2 11,925 16 +25 30 Km.121 na 00

3 7409 17 -7 31 Wastani = 821/3%

4 57 18 -152 32 Inafuata -4

5 20.002 19 K. D. S. =144 33 2p – 4q

6 1.889 20 K. K. S. = 39 34 3y + n

7 16.088 21 ZAO = 4350 35 n = 63

8 0.017 22 ZAO = 13,689 36 Hisa 77

9 6.0317 23 MDLIX 37 Matumizi = Tsh


22,250
10 1 12/77 24 75% 38 Mzingo sm 66
11/ 25 1/ 39 Sh.1846. st80
9 12 8
11
12 21 5/8 26 0.225 40 Tani 24 kg 962

13 54 2/27 27 41 na 43

14 11/2 28 83 tu.

41 Eneo = urefu x upana


= m70 x m 30
= m2 2100 Eneo = m2 2100

42
Pelesi miaka 24

43 Eneo= (a+b)h. eneo = sm 32 x sm9


2 2
= (sm12+20) x sm18.
2 ENEO = sm2 288
44 Pelesi miaka 24

45 6y - 300 + 400 – y + 2y - 500 +240 + 8y + 2870 = 5400


15y +2710 = 5400
15y = 5400 - 2710
15y = 2690

15y = 2690 1714/15


15 15

y = 1714/15
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 95
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 11
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N
1 352,000 15 SH 3p – 3q 29 B. awali = 88,000

2 HISA =21/5 16 zy3 30 Ujazo lt. 748.44

3 0.0073 17 7/
10, 60%, 0.5,1/4, na 31 Eneo sm2 207
0.01
4 CDIX 18 K. D. S =1260 32 Muda miezi 3

5 Wanafunzi 33,060 19 Baki = 9/25 33 Kiguni

6 89 tu 20 1/ b2 4q3
3 + 34 2x + 240 =1440

7 Zao =322/5 21 +47 au 47 35 Sm 120 ,300

8 Tofauti =25/7 22 Inafuata -2 36 Sm 28

9 10 23 Tofauti = 3,872 37 y = 720

10 Kondoo 33 24 Tofauti kg 12,591 38 Ukubwa sm3 11800

11 Lita 1081/2 25 Umbali = km 18 39 Kg 78

12 10,346,789 26 Miaka 6 40 Vitanda 7


mwezi 1
13 342, 344, 346, na 27 Ya katikati = 63
348.
14 Baki mananasi 21 28 Saa 2120

41
Msambamba

42 12 x sh.12 = sh. 144 Baki = akiba – matumizi


31/2 x sh. 36 = sh. 126 1500-1395 =105
21/2 x sh.150 = sh 375
2 x sh. 375 = sh. 750 baki = 105

43
x = 321/28 au x = 3.75

44 Mzingo = (Urefu + upana)2 m112=m4x-m14


m 112 = m(x - 2) + m(x - 5) x 2 m112-m14=m4x
m 112 = (m x -m2 + m x- m5)*2 m 98 = m4x
m 112 = (m2 x - m7) x 2 m4 m4
x = 241/2 AU x = 24.5

45 Wastani= jumla =110+102+124+82+92 =507 = 102


Idadi 5 5

Wastani = wanafunzi 102

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 96
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 12
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N
1 10.011 15 ZAO 75/6 29 Mjomba miaka 60

2 15.846 16 80,000 30 Nyaumwa sh.


15000
3 49/10 17 0.8% 31 Kianzio(P) sh24000

4 2.378 18 Hisa 39 32 Muda wiki 3

5 4,216,848 19 Inafuata 21 33 Muda saa42 dk30

6 11/3 20 -1 34 Ukubwa = sm3


3080.
-11 21 -Z 35 Kimo (AE) sm 5
7
8 309 22 K. D. S. 1,188 36 Kipenyo (d) =sm
2.8
9 71/10 23 1166 37 x =8
+42 au 42 24 Zao sm 3402 38 Eneo sm2 10,850
10
11 155/8 25 Umbali(kiegama) 39 Mzingo=urefu x 2 +
km 15 upana x 2 Au
(Urefu+upana) x 2
12 51 26 Kilo 1 sh 2840 40 Eneo m2 90

13 1,000,000 27 Maneno 15
5/ 28 Kg 30 g 75
8
14
41 a + b = 900

42
q = 600

43 680+540+2X+160+3X+120=3600 5X = 2100 = 42
5X+1500=3600 5 5
5x = 3600 - 1500 = 2100
x = 42

44 Mtama + 25% + 1040 + 360 = 3600 mtama = 1300


Mtama +900 + 1040 +360 = 3600
Mtama = 3600 - 2300
Mtama = 1300 x magunia720 = 260
3600
Mtama = magunia 260
45 Mshahara mpya = 100%+26% x mshahara wa zamani 126 x 456,500
100% 100%
Mshahara mpya = 575,190/=
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 97
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 13
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N
1 10,242 15 47/45 29 Muda saa 11

2 13,554 16 11.365 30 Bei ya kuuzia =


Tsh. 216,000
3 78 17 16.27 31 Hasara 11%

4 25648 18 0.2475 32 Faida sh.20,000

5 66,791 19 Hisa 11/5 33 Punguzo Tsh.70,000

6 +12 au 12 20 20% 34 Kilogramu17022.36

7 CCCLX 21 Zao 323 35 Kitako (b) = sm 8

8 Inafuaa 47 22 K. D. S 90 36 Heksagoni = 7200

9 11 23 -3 37 D(X,Y) = D(0,-4)

10 30 24 K. K. S 23 38 x =12

11 x = 27 25 11/4 39 Issa miaka 28

12 Muda siku 3 26 Umbali = hatua 40 Eneo = sm2 381/2


250
13 Omari = maswali 27 Tofaui = m 81/6
150
14 55/20 28 Bei mpya
Tsh. 14,250
41 Eneo = ur x up x 2 + ur x h x 2 + up x h x 2
=(sm7 x sm5 x 2)+(sm 7 x sm4 x 2)+(sm 5 x sm4 x 2)
= sm2 70 + sm2 56 + sm2 40 = sm2 166
Eneo =sm2 166

42 a2 + b2 = c2 ✓12 = ✓c2 mzingo = a + b + c


0.62 + 0.82 = c2 c = 1 =(0.6 + 0.8 + 1)sm
0.36 + 0.64 = c2 = sm 2.4 Mzingo sm 2.4

43
n = 930

3X+4X-X+900-1600-200=1800 6x =1260 PSQ = 900-X


44
6X+540=1800 6 6 PSQ = 900-210
6X=1800-540 PSQ = 690
X = 210 PSQ = 690
4x+6x+4x-x=3x+50-450-200+800+400=540 16x=4800 x = 300
45
17x+600=540 17x=5400-600=4800 16 16

Hivyo, 1000 + k = 1800

K = 800

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 98
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 14
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N
1 1,701,000 15 0.72 29 x = 180

2 809991 16 1670 30 45/6

3 81/3 17 HISA 2.5 31 Umbali=mea 18.84

4 102,375 18 ZAO 14,641 32 Eneo sm2 24

5 82/5 19 INAFUATA 57 33 Mzingo SM 43.2

6 202 20 K. K. S 2 34 Eneo sm2 200.96

7 75/9 21 K. D. S. 450 35 Ukubwa m3 15400

8 21/3 22 ZIPO 5 36 Urefu FG (a) = sm8

9 73.18 23 JUMLA 407 37 ENEO=SM2 121.43

10 9.95 24 TOFAUTI 6 38 (3x + 400) = 1000

11 115.02 25 GRAMU 800 39 b=270

12 240 26 SAA 01 00 40 x=250

13 56% 27 K 108
3/ 28 3 – 2C
80
14
41
Wasichana (x) = 42.

42
MWENDOKASI = Km 120/Saa

43
Trapeza.

44
Wastani = jumla = 52 = jumla = 52 x 6 jumla = 312
Idadi 1 6
Pia mtu mmoja anaongezeka 312 + 45 = miaka 357. Umri miaka 357

45 5 x 1500 = sh. 7500 Baki = akiba - matumizi


10 x 1000 = sh. 4000 =Tsh. 25000 – Tsh. 23400 = Tsh. 1600
10 x 1000 = sh. 4000
30 x 250 = sh. 7500
2 x 200 = sh. 400
Jumla = 23,400

Baki = Tsh 1600/=

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 99
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 15
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N
1 2 15 1121/2% 29 6

2 -9273 16 28.25 30 ENE0 SM2 380

3 6.91 17 ZAO= 9.560464 31 ENEO M2 441

4 241/2 18 HISA 326 32 ENEO SM2 30

5 129,881 19 ZAO = 1147 33 ENEO SM2 126

6 2.87 20 ZIP0 3 34 ENEO SM2 62

7 15.987 21 K. D. S. 720 35 A 400

8 101/4 22 K. K. S. 36 36 <JKL 600

9 20.965 23 M131 SM80 37 Y 600

10 23/4 24 MCCV 38 <ABE =850

11 704598 25 INAFUATA 3 39 A = 1040

12 1070 26 6th miakz43 40 Baki Tsh 500

13 102 27 P = 12
1/ 28 -10
4
14
41
Benki Tsh. 30,000/=

42
Mwajuma Tsh. 900/=

43
Jane miaka 20

44
Trapeza

45 10 x 50 = 500
6 x 50 = 300
4 x100 = 400
3 x 200 = 600
2 x 100 = 200
JUMLA = 2000

Baki = akiba - matumizi = 10,000 – 2000 = 8000

BAKI = 8000/=

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 100
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 16
S/N JIBU S/N JIBU SN JIBU

1 6671 15 MMXX 29 NDAMA 24

2 25,194 16 74901.39 30 Amina = miaka


12
3 4,216,848 17 160% 31 SAA 0915

4 309 18 5/
16 32 LITA 3

5 91/2 19 11/25 33 ENEO m2 1715

6 417/24 20 K. K. S 39 34 KILOGRAMU 200

7 113/14 21 K. D. S. 288 35 WASTANI 40

8 4 22 HISA 77 36 KIPENYO (d) M


28
9 2.403 23 23 na 29 37 Nusu kipenyo(r)
sm 28
10 1.71 24 x = -4 38 ENEO SM2 192

11 27.648 25 Jumla 287 39 Mduara(mzingo)


= sm 30.84
12 6.6 26 HISA 92 40 ENEO = SM2 87

13 790 27 Gharama =
Tsh. 26400
14 Sitini nukta tatu 28 Tofauti
nne tano. Tsh. 2400
41
P = 400

42
X = 550

43
Uwele = tani 27,200

44
Umbali (c) = km 50

45
Gharama (Z) = Tsh. 200/=

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 101
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 17
S/N JIBU S/N JIBU SN JIBU

1 100,010 15 3/
80 29 UMBALI =HATUA
300
2 N = 9,606 16 Hisa = 0.12 30 KITAKO (b) = Sm
9
3 20163 17 K. K. S = 4 31 ENEO Sm2 42

4 93 18 K. D. S = 504 32 ENEO Sm2 63.29

5 0 19 DCLXLV 33 Urefu (mzingo)


= sm 48
6 21/2 20 0.025 34 ENEO =Sm2 124
15/ 21 871/5% 35 ENEO = Sm2 77
16
7
8 33/4 22 539000 36 K = 590

9 24.837 23 JUMLA 91 37 a = 1000

10 5.015 24 JUMLA 1000 38 Fedha yote Tsh


1,350,000
11 0.016 25 INAFUATA 18 39 MWENDOKASI
Km2/saa
12 0.032 26 B = 24 40 MUDA SIKU 4

13 -6 27 X=2

14 ZAO 6 28 1

41 Ziongezwe siku 2

42 WASTANI= jumla
Idadi

72 = jumla = jumla = 72 x5 = 360 JUMLA = 360


1 5

43
Anjela = miaka 5

44
Bei Tsh. 100,000/=

45 10 x 62,000 = 620,000 10x+992000=1000,000


3 x 124,000 = 372,000 10x= 1000000-992,000
10 x x = 10x 10x=8000 =X = 800
10 10
Kila chupa= Tsh. 800/=

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 102
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 18
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N
1 22,365 15 Inafuata 1/4 29 Mwendokasi
= km368/23 kwa saa
2 1121 16 1714 30 Mjomba
(y+12)= miaka 60
3 46536 17 Jumla 144 31 Nyaumwa= Tsh 15,000

4 456 18 Km15 m162 sm5 32 Kianzio (P)= tsh 24,000

5 1.013 19 Jumla 1801 33 Muda= wiki 3

6 5.063 20 Wastani=kg20.35 34 Muda = saa 17

7 13.321 21 Hisa 54 35 Issa miaka 5

8 5.75 22 X =117 36 Hadija = doti 306

9 911/20 23 -2/3 37 Mtama= magunia 2660

10 83/4 24 Faida(I) tsh 750 38 Mshahara mpya tsh


575190
11 211/2 25 1/ y
2 = 30 39 Eneo= sm2 71.5

12 11/40 26 Wasichana= 331/2% 40 Eneo= sm2 12


au 33.5%
13 8.8 27 Issa miaka 5

14 Inafuata 19 28 Gharama Tsh 2300

41
Kimo ( BE) = sm 4

42
CDE = 1500

43 Z + 250 + 1350 = 1800 (Pembetatu)


Z + 1620 = 1800
Z = 18

44
H= 300 + 400
H =700

45 Eneo = r 2 + urefu + upana

Eneo =
Eneo = 3850 + sm2 7000

Eneo = sm2 10, 850

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 103
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 19
S/N JIBU S/N JIBU SN JIBU

1 73,311 15 ZAO=2310 29 UJAZO SM33 48

2 21090 16 ZAO=3456 30 AKIBA tsh 96,000

3 109497 17 3a2b-9ab2 31 X =10

4 170 18 Y= -9 32 ENEO SM2 32

5 61/2 19 ZIPO 41 33 3RD = 20

6 35/12 20 1950 34

7 -12 21 INAFUATA 25 35 Gharama= sh 1386

8 2 22 K. D. S 36 36 Mwendokasi
km161/2/saa
9 10 23 125 37 Muda siku 33

10 +42 au 42 24 KG 7 G 770 38 Faida(I) sh


7087.50
11 2.3 25 ENEO SM2 1092 39 ASHA=Tani 1800

12 30.919 26 UJAZO LITA 40 PUNGUZO = 31/3


7700
13 101/2 27 ENEO SM2 42

14 12 28 ENEO SM2 92

41
D(X, Y) = D(0,0)

42
y = 410

43
Hatua 8000

44
Muda = miaka 30

45 4 x 250 = 1000
6 x 100 = 600
2 x 400 = 800
9 x 50 = 450
10 x 45 = 450
5 x 1800 = 9000
12900
Jumla 12900/=
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 104
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 20
S/N JIBU SN JIBU
S/N
JIBU
1 4,072,324 15 67 na 71 29 Perpetua =miaka 96

2 25832 16 1, 2, na 3 30 Emmy = tsh 72000

3 3,966 17 ZAO 40,401 31 Eneo sm2 1319.

4 147 18 HISA 47,524 32 Muda siku 5

5 25.175 19 K. K. S 19 33 Akiba(deni) tsh 567000

6 -1 20 K. D. S = 168 34 Umbali(kiegama) sm2 25

7 0.055 21 DCVXXV 35 Mwendokasi km4/saa


1/15 22 INAFUATA 36 Jumla 517
8
82520.645
9 4.875 23 20.645 37 =SM54

10 1111/30 24 6c2 38 Zingo m 60

11 104 25 MEA 5656 39 Eneo sm2 24


13/ 26 NDOGO 6 40 Eneo m2 144
96
12
13 Zipo 4 27 6

14 Jumla 475 28 Gharama


Tsh = 4290
41 4x - 700 + 500 -2x = 900 (pembetatu) 2x=1100
4x - 2x + 500 - 700 = 900 2 2
2x -20 = 90
0 0 X=55 0

2 x= 90 + 20 = 110
0 0 0

x = 550
42 400 + 400 + a = 1800 (pembetatu)
800 + a = 1800
a =1000

43 K+480 +700 = 1800 (pembetatu)


K+1180 =1800
K= 620

K = 620
44
Mshahara = 180,000/=

45
K(x,y) =K(-2,0)

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 105
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 21
S/N JIBU S/N JIBU SN JIBU

1 1,898 15 43/
200 29 T = 7

2 170,000 16 1.4 30 3rd = 54

3 89 17 1666 31 Ongezeko 50%

4 63210 18 1/
800 32 Lulu Tsh 330,000

5 10 19 Bei ya kuuzia 33 Eneo sm2 856


Tsh8926
6 87.6 20 Muda saa 8:30 34 Eneo m2 45

7 5.84 21 Ujazo mililita 35 Ujazo sm3 13,860


6080
8 21.51 22 Faida (I) tsh 36 Eneo sm2 28
114,000
9 61/2 23 Vipande 37 X = 800
629,856,000,000
9/ 24 Hisa 0.25 38 C(x,y) =c(-2,3)
10
10
+13 au 13 25 Saa 0 dk 56 39 Mtama = magunia
11
2400
12 8 26 Inafuata 35 40 Matumizi Tsh
31,300
13 331/8 27 Jumla 78

14 22/5 28 Jumla 41

41
6th = 50

42
Muda wa kufika ni saa 4:45 asubuhi

43
Muda = miaka 2

44
Mavugo miaka 24

45
Akiba Tsh. 36,350/=

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 106
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 22
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N
1 10,000 15 0.102 29 Meta 135
2 32.042 16 Muda dk100 30 8th = 43

3 989 17 Hisa 0.25 31 Muda siku 15

4 33,642 18 Inafuaa 25 32 Ngano kg 100

5 54 19 Jumla 126 33 Riba(%) = 35%

6 22/3 20 -11/4 34 x = 800

7 2 21 -1 35 Eneo sm2 168


2/ 22 P = 28 36 Kipeno (p) sm 3.5
9
8
9 0.944 23 t = -5 37 Mzingo sm 7.2

10 15.225 24 D(X,Y) =D(8,-2) 38 Kimo(h) sm 12


101/ 25 JOSE MIAKA 31 39 Eneo sm2 462
1225
11
12 0.1875 26 UMBALI HATUA 40 Eneo sm2 1042.06
3000
13 -15 27 Akiba Tsh 30,000

14 21/20 28 Umbali km 122

41 Zy2

42 Eneo = uref x kimo


= Sm17 x sm 9
= Sm2 153

ENEO = Sm2 153

43 t + t + 1200 = 1800 (Pembetatu)


2t +1200 =1800
2t =1800 - 1200 2t = 600 30
21 21

t = 300
44
a=700( pembe - Mbadala)

45
MIFUGO YOTE = 1800

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 107
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 23
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N
1 10,080 15 3.125 29 DCCCVIII

2 982 16 10% 30 Sentimeta 20,000

3 873 17 0.0012 31 Jumla 36

4 7.628 18 100g 32 y=1

5 0.06 19 Jumla 41 33 Zao = +6261

6 0.018 20 Jumla 84 34 -1/6

7 0 21 Inafuata 8 35 P=171/6

8 114/15 22 110.933 36 2ab

9 25/11 23 Jumla 77 37 Saa3:40 usiku

10 8 24 Fuasi – a/b 38 5th = 43

11 31/4 25 Zipo 6 39 Mariamu


miaka 25
12 0.09 26 Zao 11664 40 Baki maai 16

13 a2 27 K.D.S = 30

14 0.09 28 K. K. S = 14

41
Saa 2430-0105=4:45 muda saa 4:45

42
Akiba yote Tsh 216000

43
Muda siku 4

44
Mwendokasi km80/saa

45 r+600+950=1800 (pembetatu)
r+1550=1800
r = 250

r = 250

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 108
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 24
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N
1 82,901 15 5.8% 29 200

2 9,873 16 3/
8 30 Hisa 5

3 10,528 17 Zao = 9409 31 Umbali km 420

4 205 baki,27 18 Hisa 9.5 32 Nusu kipenyo


(r) sm 45/11
5 61/2 19 6th =sm122 33 Upande (a) sm
10
6 11/24 20 52,54,56,58,60,62,64,64,66, 34 Eneo sm2 180
na 68
7 21/4 21 1 na 9 35 Eneo sm2 11.25

8 131/3 22 83, 89,na 97 36 Ukubwa sm3


30,80,000
9 19.573 23 MDCCCIX 37 Eneo sm2 40

10 1796 24 Inafuata 2 38 X = 240

11 68 25 Tofauti 77.9 39 Muda siku 6

12 0.28 26 M 9 40 Gharama sh
1020
13 Mia mbili elfu 27 -16
na nane au laki
mbili na nane.
14 1.85 28 Urefu =m31/2

41 Maria mage mwajuma


8y 2y y
8y+2y+y=sh 19900 11y = sh.9900 = 900
11 11
y = 900

42 Matumizi Tsh 2275


Baki = akiba – matumizi = 2500 - 2275
= 225

Baki Tsh 225.

43 Miche 6363/vijiji 7 = idadi kwa kila kijiji miche 909


Miche 909

44 Kahawa = 1080

45 1500+150 x 5 = 1500 + 750 = 12500


Wanafunzi 12500

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 109
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 25
S/N JIBU SN JIBU
S/N
JIBU
1 18,016 15 1.5% 29 Saa 1745
2 282,593 16 Km20 m28 30 Kurasa CMLX
3 93 17 83 tu 31 Muda siku 28
4 283,725 18 MDCXLVII 32 Ongezeko=tsh 2530
5 3.031 19 INAFUATA 68 33 Akiba 1/3
6 0.1666 20 JUMLA 55 34 6th = Tsh. 400,000
7 0.11 21 63,77, na 91 35 Muda siku 3
8 62/3 22 Hisa 14 36 Hasan = miaka 15
1313/36 23 Hamza = machungwa 45 37 Muda (T) miaka 3
9
10 26 /32 24 M= 28% 38 Jumla ya kalamu =
15

15500
11 25 25 4/8 39 Baki 1/9
12 1.296 26 49466 40 Awamu 50,000
13 2 27 70,000,000
13/400 28 Jumla = Tsh 34,000
14
41 Eneo = sm 49
2

42 Mzingo = ( d + urefu x 2)2


Mzingo = 22/71 x sm 700100 + sm 1100 x 2)2
Mzingo = sm (220 + sm 2200)2
Mzingo = sm 2420 x 2
Mzingo = sm 4840. Mzingo = sm 4840.
Eneo = 3 r 2
43 4

Eneo = = Eneo = 3 x 11 x sm 2 x sm 7.
Eneo = sm2 462.

44 K = 200

45 Nauli = Tsh. 8,400

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 110
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 26
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N
-1000 15 117/50 29 KILA MTOTO
1
DAFTARI 10
2 5.1 16 21/
2500 30 11/8

3 -171,405 17 SAA 2020 31 65 na 91

4 7007 18 HISA=XIII 32 K. K. S = 12
8.044 19 WASTANI = 86.95 33 Akiba= Tsh. 3,500,000
5
6 391/9 20 JUMLA 97 34 Mashati =17,127

7 8,808 21 JUMLA = 3.4 35 Inafuata 35

8 400,000,000 22 TOFAUTI 15 36 Lita 50

9 19.80 au 19.8 23 K. K. S =18 37 Jumla= lita 10

10 270,000 24 K. D. S 1782 38 b = 225

11 MCMLXIX 25 ZIPO 8 39 y = 91/3

12 363,435 26 TOFAUTI 11/4 40 Saa 3

13 6000 27 Jumla wanafunzi 785

14 ZAO = 511225 28 41/3

41 Eneo = sm21550

42
Eneo =

Sm2 150 = (sm(2h-5) + sm (5h-13))

h=4
43
Eneo = sm2 672

44
x = 250

45
Muda (T) = mwaka 1

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 111
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 27
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N
KOKOTO 6217 15 K.K.S = 27 29 SAA 12:23 ASUBUHI
1
2 HISA 95 16 K.D.S 10 30 NATATU 3

3 ZA0 = 152280 17 ZAO = 144 31 MZINGO = SM44

4 TOFAUTI= 99000 18 1000 32 N = 670

5 HATUA 101/4 19 2,3,5 NA 7 33 ENEO= SM2 120

6 HISA 5/22 20 ZIPO 5 34 ENEO = SM2 136

7 ZAO = 132 21 JUMLA 98 35 KIMO (h) = sm 7

8 JUMLA 17 22 12X+12B 36 Mzingo = m 36

9 MAFUNGU 56 23 Y=1 37 Akiba = Tsh 2400

10 ZAO = 4.756968 24 SAA8 DK13 38 R(x,y) = R(4,1)

11 KG 0.768 25 WASTANI 20 39 TANI 2850

12 LITA = 348.41 26 A = MIAKA 11 40 TANI 600


33
13 /400 27 Tsh. 240,000

14 0.168 28 MMOJA 1

41
- 444

42
WANAFUNZI 300

43
AC = M25

44
NDOGO NI 1/8

45
M = 820

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 112
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 28
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N

1 207 15 12 29 Kimo(h)= sm 12
2 3,147 16 600 30 mzingo = sm 106
3 808 17 103 31 ENEO= SM2 9
4 2,040 18 1/20 32 h = 4
5 18.2 19 ZAO = 30,030 33 Eneo= sm2 1764
6 31/2 20 ZAO 3456 34 Eneo = sm2 175
7 11/7 21 JUMLA 0.8 35 Eneo = sm2 140
8 21/2 22 1950 36 HISA 45
9 41/6 23 Inafuata 25 37 Eneo
= sm2 3659.625
10 1.71 24 K. D. S= 288 38 Eneo= sm2 108
11 27.468 25 Kg 7 G 770 39 Isiyo na kivuli 1/4
12 5.011 26 ENEO SM2 1512 40 <PSQ= 690
13 0.0012 27 ENEO SM2 32
14 Hisa 32 28 ENEO SM2 49
41 BDC +20 + 110 =180 (Pembetatu)
0 0 0

BDC + 1300 = 1800


BDC = 500
500
42 4x + x = 180 (Pembe nyoofu)
0

5x =1800
5 5
x = 360

x = 360
43
K = 800

44
y = 1500

45 W(X,Y) = W(-3,3)

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 113
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 29
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N

1 C 15 C 29 A
2 B 16 A 30 C
3 D 17 D 31 D
4 A 18 A 32 D
5 D 19 C 33 C
6 A 20 A 34 C
7 D 21 B 35 A
8 C 22 C 36 E
9 B 23 D 37 B
10 B 24 C 38 D
11 B 25 B 39 D
12 D 26 D 40 C
13 D 27 A
14 B 28 D
41
25
ME = /40 WAKIUME = 5/8

42
UMBALI= KM 80

43
FAIDA = +110

44
619/11

45
8 X 6 X 2 = SM2 96
8 X 20 = SM2 160 ENEO= SM2 256

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 114
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 30
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N

1 B 15 B 29 B
2 A 16 E 30 D
3 E 17 D 31 B
4 C 18 A 32 E
5 D 19 C 33 D
6 C 20 B 34 A
7 A 21 C 35 C
8 C 22 D 36 D
9 E 23 B 37 B
10 D 24 D 38 C
11 E 25 A 39 E
12 A 26 C 40 A
13 C 27 E
14 C 28 A
41
-
45

42
MENGINEYO = Tsh. 180,000/=

43
ENEO = SM2 378

44
JUMLA = KG 84.13

45
BAKI Tsh= 120,000

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 115
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 31
Na Jibu Na Jibu Na Jibu
111/120
1 C 21 B 41
(Wanafunzi 555)
2 C 22 C
3 C 23 A
4 D 24 E
5 D 25 B
6 C 26 E
42 D(+3, +1)
7 E 27 C
8 A 28 B
9 B 29 B
10 D 30 C
43 Meta2 215
11 A 31 C
12 B 32 B
13 E 33 D
14 A 34 D
44 Wanafunzi 125
15 C 35 D
16 A 36 E
17 B 37 B
18 B 38 C
45 Sh. 1700/=
19 A 39 D
20 A 40 B

Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 116
JIANDAE VEMA KATIKA SOMO LA HISABATI
JARIBIO LA 32
JIBU S/N JIBU SN JIBU
S/N

1 15 29 B
2 16 30
3 17 31
4 18 32
5 19 33
6 20 34
7 21 35
8 22 36
9 23 37
10 24 38
11 25 39
12 26 40
13 27
14 28
41

42

43

44

45

Kila la kheri katika mitihani yako na safari


yako ya elimu kwa Ujumla.
***********************************************************************
Galaxy Stationery 0764 968 345 – Karibu kwetu ukue kitaaluma. (bunduki76said@gmail.com) 117

You might also like