Professional Documents
Culture Documents
Maarifa Jamii Makumira New
Maarifa Jamii Makumira New
SEHEMU B
JAZA NAFASI WAZI
2. i) ni muunganiko wa familia zenye asili au chimbuko la aina moja.
ii) ni mfumo wa kwanza wa kiuchumi na kitawala ambapo watu waliishi na
kushirikiana kwa pamoja
iii) ni mfumo wa uchumi na utawala ambapo ardhi ilikuwa msingi mkuu wa
uzalishaji mali.
iv) walikuwa watu wasio na ardhi waliofanya kazi kwaajili ya chakula tu.
v) ni sayari iliyo karibu sana na jua
SEHEMU C
ANDIKA NDIYO AU HAPANA
i) Katika maisha yetu ya kila siku hatutakiwi kuwa na uhusiano mwema
ii) Kukaa vikao vya usuluhisho, kuunda kamati za ulinzi na kutumia wazee wa kimila ni njia za
kutatua mgogoro
iii) Mifugo na ardhi ni raslimali
iv) Nyota na mwezi huonekana wakati wa mchana
v) Kodi ni malipo yanayotozwa baada ya kupanga na kutumia kitu kwa muda
SEHEMU D
OANISHA SEHEMU (A) NA (B) ILI KUPATA JIBU SAHIHI
SAFU A SAFU B
i) Wakati wa ujima ( ) A. Hujenga ukakamavu
kufanya kazi
G. Makabila ya watwana