You are on page 1of 16

WIAZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA

DARASA LA VI-2020
MTIHANI WA MAARIFA YA JAMII
JINA ---------------------------------------------------- MKONDO ---------------
--

SEHEMU: A
CHAGUA JIBU SAHIHI
1. Tanganyika ilipata uhuru mwaka gani? ____ (a) 1961 (b) 1956 (c) 1960
2. Madhara ya kufuga mifugo mingi katika seshemu ndogo ni_______
(a)uharibifu wa mazingira (b) kuendeleza mazingira (c)kuharibu majengo
3. Majanga ya asili yanayoyoweza kutokea katika mazingira ni (a) tetemeko la ardhi (b) ajali (c) elimu
4. Emil Von Zelewisky aliuawa wakati wa vita baina ya__ (a) waingereza na wahehe (b) wajerumani na wahehe
(c) Wajerumani na wanyamwezi
5. Chifu mangungo wa msovero alisaini maktaba wa ulaghai na (a) Willium macknon (b) Julius von sodden
(c) Karl peters
6. Mkuu wa familia kwenye jamii zetu za Tanzania ni___ (a)baba (b) watoto (c) babu na baba
7. Rais wa pili nchini Tanzania alikuwa ni (a) Ali Hassan Mwinyi (b) William Mkapa (c) J.K.Nyerere
8. kinjekitile ngwale ni maarufu katika historian chi yetu ya Tanzania kutokana na ___(a) mfumo mzuri wa
utawala wake huko kilwa (b) msukumo alioutoa kwa wananchi na hatimaye kupambana na wajerumani vita
vya majimaji (c) ubingwa wake katika kutumia na kutengeneza dawa a kienyeji
9. _____________ni kitu chochote kinachotuzunguka. (a)mazingira (b) maendeleo (c) utamaduni
10. Mfumo wa uzalishaji mali uliotegemea ardhi hujulikana kama (a) ujima (b)ukabaila (c) ubeberu
11. Ukataji wa miti ovyo husababisha_______ (a) mmonyoko wa udongo (b) uoto wa asili (c) maji mengi
12. Vitangulizi vya wakoloni walikuwa (a) wamisionari madaktari na wafanyabiashra
(b) wachuuzi na wafanya biashara (c) wapelelezi wafanya biiashara na wamisionari
13. Upepo mkal iunasababisha madhara makubwa kwenye mazingira____(a) kimbunga (b)majanga (b) upe
14. Makao makuu ya wareno katika Afrika mashariki yalikuwa ___(a) msumbiji (b) mombasa
(c) bagamoyo
15. Kifaa kinachotumika kupima mvua huitwaje?_____ (a) kipima maji (b) kipima mvua (c) kipima hewa
16. Jamii kutoka barala la ulaya zilizokuwa na uhusiano wa kibiashara na Tanzania ni ___(a) waingereza na
wareno (b) wareno na wahispania (c) waarabu na wareno
17. Kati ya mazao yafuatayo ni lipi zao la chakula_____ (a) pamba (b) katani (c) mahindi
18. Vipengele muhimu vya ramani ni_______ (a) ufungua (b) maneno (c) urefu
19. Mfumo wa ukabaila ulioenea zaidi katika pwani ya Afrika mashariki ulijulikana kama______ (a) ukabaila
(b) Umwinyi (c) ubugabire
20. Chimbuko la ukoo ni__________ (a) babu na bibi (b) baba (c) bibi
21. Watu wa zamani waliishi______ (a) majini (b) kandokando barabara za lami
(c) kwenye nyumba nzuri (d) kiukoo
22. Vyakula tunavyokula vinatokana na mimea na____ (a) kuku (b) wanyama (c) ndege (d) ng’ombe
23. Kila familia huhitaji______ (a) vitu vya anasa (b) fedha nyingi (c) mahitaji muhimu ya binadamu
24. Familia ambayo ina watoto peke yao huitwa (a) familia ya watoto peke yao (b) familia bora
(c) Familia ya ndugu moja (d) familia ya asali
25. Inasadikiwa kuwa fuvu la mtu wa kale lilivumbuliwa sehemu iitwayo (a) bondo la ngorongoro
(b) Kondoa irangi (c) olduva (c) mlima Kilimanjaro
26. Fuvu la mtu wa kale lilivumbuliwa mwaka 1945 (b) 1959 (c) 1955 (d) 1935
27. Kutengeneza mkaa husababisha ________ (a) hewa nzito (b) hewa nyepesi (c)utapiamlo
28. Kipindi cha mvua nyingi huitwaje(a) mafuriko (b) maafa (c) kiangazi (d)tetemeko la mvua
29. Zanzibar ilipata uhuru mwaka gani?______ (a) 1963 (b) 1964 (c) 1965

OANISHA KIFUNGU A NA B ILI KULETA MAANA KAMILI


SEHEMU A JIBU SEHEMU B
30 Nchi yetu ilipewa jina la Tanganyika A Mwl Julius K nyerere
31 Kilimo B Ufugaji na mazao
32 Kipima joto C 1 february mwka 1922
33 Katibu mkuu wa mwanzo tanganyika D 1498 ni mwaka ambao alifika India kupitia rasi ya
wa feration of labour jema
34 Kondoa irangi E Michoro ya mapangoni hapa Tanzania
35 Vasco da gama F themomita
36 Ukoo G Uhusiano wa ndugu

SEHEMU: B
JAZA NAFASI ZILIZOACHWA WAZI
37. kiongozi wa mapinduzi ya unguja ya mwaka 1964 alikuwa __________________________________
38. Rais wa tatu nchini Tanzania ni_________________________________
39. Kulima karibu na vyanzo vya maji husababisha______________________________________
40. Tanganyika na Zanzibar ziliungana mwaka _________________________________________
41. Ndugu J.K.Nyerere kabla ya kuwa Rais alikuwa anafanya kazi gani? ___________________
42. Taja vitangulizi vya ukoloni________________________________________
43. Makao makuu ya nchi ya Tanzania yako mkoa gani? _______________________________
44. Utamaduni nini?________________________________________________________
45. Nini maana ya mazingira_____________________________________________
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA
DARASA LA VI-2020
MTIHANI WA KISWAHILI
JINA ---------------------------------------------------- MKONDO ---------------
--

SEHEMU A: Chagua jibu sahihi kisha andika herufi ya jibu kwenye nafasi uliyopewa
1. Ilimbidi ___________ sana hadi afikie uamuzi wa busara
a) Atafahari b) Atakari c) Akatathari d) Atakathari
2. Neno gani lenye maasa sawa na baba mmoja mama mmoja? _____
a) Mpwa b) Shemeji c) Binadamu d) Ndugu
3. Sote _________ tuliposikia habari za kuzama kwa MV Bukoba
a) Tulifazaika b) Tulifadhilika c) Tulihifadhika d) Tulifadhaika
4. Mtu anayetengeneza vitu vya dhahabu na fedha ni _______________
5. Upi ni wingi wa sentensi “Panya mdogo alikula kiazi kichanga”?
a) Mapanya wadogo walikula kiazi kichanga b) Vijipanya vidogo walikula viazi vichanga
c) Panya wadogo walikula viazi vichanga d) Majibu yote si sahihi
6. Andika neno ambalo halilandani na mengine
a) Adhuhuri b) Alfajiri c) Mchana d) Jioni d) Wiki
7. Mama hakupata _________ hadi mwanawe alipopata ahueni
a) Balaa b) Huzuni c) Faraja d) Dukuduku
8. Nini kinyume cha neno “Ukwasi” _____
a) Umaskini b) Utajiri c) Uzembe d) Kufuja mali
9. Ni ____________ kuwa mtoto lazima atunzwe vizuri ili awe na afya bora
a) Shahiri b) Hasha c) Dhahiri d) Shime
10. Mtu anayelea watoto ambao si wake kwa malipo maalumu huitwaje?_______
a) Suruiama b) Yatima c) Shangazi d) Yaya
11. Majira ya jua kali ni __________
a) Masika b) Vuli c) Kipupwe d) Kiangazi
12. Mimi ninasimulia hadithi. Sentensi hii iko katika wakati ________
a) Uliopita b) Ujao c) Uliopo d) Mtimilifu
13. Kama Juma angalisoma kwa bidii _______ mtihani
a) Angefaulu b) Angalifauli c) Angefaulu
14. Neno lipi kati ya haya lina maana karibu sawa na neno “Kito”
a) Thamani b) Samani c) Fahari d) Sanamu
15. kinyume cha neno “potosha” ni_________
a) Adhimisha b) Zimua c) Ongoa d) Ongoza

SEHEMU B: Methali, nahau na vitendawili

16. Asia alivishwa kilemba cha ukoko na watazamaji waliokuwepo. Maana yake ni kuwa ___
a) Watu walimtengenezea Asia kilemba cha ukoko b) Asia alisifiwa kupita kiasi
c) Asia alisifiwa kwa sifa alizokuwa hastahili
d) Vilemba vya ukoko ni rahisi ili kubana matumizi
17. Maskini huyu hata umchangie namna gani haridhiki. Nini maana ya kitendawili hiki? ____
a) Bahili b) Tumbo c) Mlafi d) Paka
18. Simba mwenda pole ndiye mla nyama. Maana nzuri zaidi ya methali hii ni _____
a) Husaka Kimya kimya bila ya kupiga mbio
b) Mbio za sakafuni huishia ukingoni
c) Subura yavuta heri d) Kipenda roho hula nyama mbichi
19. “Hemed alikiona cha mtema kuni leo” Maana ya alikiona cha mtema kuni ni ipi? ___
a) Aliliona jambo analolifanya mtema kuni b) Aliona mambo ya kustaajabisha sana
c) Alipata adhabu kali d) Alikaripiwa sana
20. Kamilisha methali hii __________________________ ni kama sheria
21. Nini maana ya kitendawili: Kila ukiwakuta wanajitayarisha kupigana ni ____________________
22. Wanamuziki wetu walitia fora katika tamasha la sanaa. Kutia for a ina maana gani? ____
a) Kutia aibu b) Kutia madoido c) Kutumbuiza vizuri kuliko wengine
d) Kuimba nyimbo mpya
23. Kamilisha nahau hii: fanya mzaha, ddihaka _______________________________
24. Kifungu kipi cha maneno kinakamilisha methali ifuatayo ____________ hadi siku ya idi
a) Hawali kuku b) Hatufaidi pilau c) Mkaidi hafaidi d) Mtoto umleavyo
25. Baada ya kuona kwamba tumeonewa tulikata shauri kufungua kesi mahakamani. “Kukata shauri”
ina maana ipi? ___ a) Kuamua b) Kukataa c) Kubisha d) Kuamuliwa
26. Wengi wao walikuwepo walikubali kwa ulimi tu wazo la kuchanga fedha za kujenga choo cha pale mtaani “
Kukubali kwa ulimi tu” maana yake ni ipi? _____
a) Kukubali kwa dhati b) Kukubali kwa moyo mmoja
c) Kukubali kwa maneno siyo kwa moyo d) Kukubali kimoyomoyo
27. Kombe langu li wazi. Jibu sahihi la kitendawili hiki ni ________
a) Wino b) Kisima c) Chungu d) B na C ni sawa
28. Siku njema huonekana asubuhi. Methali hii inafanana na ipi katika hizi zifuatazo?___
a) Akumulikaye mchana usiku hukuchoma b) Dalili ya mvua ni mawingu
c) Huna pesa ukaokota asubuhi d) Mchumia juani hulia kivulini
29. Maana ya kitendawili watoto wa binadamu wakiondoka hawaduri ni _________
a) Wasafiri b) Mabaharia c) Nazi d) Majani
30. Toa jibu sahihi la nahau hii. Tumia mali ovyo ____________________________

SEHEMU C: UTUNGAJI
Umepewa sentensi 5 zilizoandikwa bila kufuata mpangilio maalum. Zipange sentensi hizi ili zilete mfululizo
wa mawazo kwa kuzipa herufi A, B, C, D na E
31. Mizizi ya mmea hunyonya viini hivyo na kuvifikisha katika majani ambako chakula cha mmea hutengenezwa
________
32. Pia husaidia katika usafirishaji wa chakula kutoka majini mpaka sehemu zingine za mmea_______
33. Maji ni muhimu kwa maisha ya viumbe vyenye uhai _______
34. Katika utengenezaji wa chakula maji huhitajika ______
35. Huhitajika kuyeyusha viini vya madini vilivyomo ardhini _______
Changua jibu sahihi kwa kuunganisha fungu A na B

NO FUNGU A JIBU FUNGU B


36 Ada ya shule inayotolewa na mwanafunzi A. Desturi
37 Jambo la kawaida, utamaduni B. Dhihaka
38 Fanya mzaha, utani C. Karo
39 Nafuu, hujambo hasa katika ugonjwa D. Ahueni
40 Mafanikio, maisha mazuri, hali bora E. Fanaka
F. Fasaha
SEHEMU D: UFAHAMU
Soma kwa makini shairi lifuatalo kisha jibu swali la 41 –45.
Mtu kujitegemea, binadamu ni lazima,
Usipende kungojea, kusaidiwa daima,
Huwezi kuendelea, pindi ukujitazama,
Mtu hupati heshima, usipojitegemea.

Lazima ufanye kazi, nguvu zako kuzitumia,


Ili na chako kizazi, kuepukana na dhamaha,
Ikiwa hivyo huwezi, kamwe hupati heshima.
Mtu hupata heshima, usipojitegemea.

MASWALI
41. Shairi hili lina sema heshima ya mtu huletwa na jambo gani?_______________
42. Neno “dhamaha” kama ilivyotumika katika ubeti wa pili lian maana gani:-___________________________
43. Vina katika ubeti wa mwisho vimeishia na silabi:- ___________________
44. Katika ubeti wa kwanza mstari wa kwanza kuna mizani mingapi :-____________
45. Katika shairi hili kuna beti ngapi:-_______________________________
WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA
DARASA LA VI-2020
MTIHANI WA URAIA NA MAADILI
JINA ---------------------------------------------------- MKONDO ---------------
--
CHAGUA JIBU SAHIHI
1. ____ ni mtu mwenye haki za kisheria kutokana na kuzaliwa au kuandikishwa katika taifa Fulani (a) raia
(b) mwananchi (c) mtu
2. uchaguzi wa madiwani hufanyika kila baada ya miaka ___(a) 5 (b) 3 (c) 10
3. lugha ya Kiswahili ilipitishwa rasmi kuwa lugha ya taifa mwaka ___(a) 1964 (b) 1962 (c) 1963
4. Katika Tanzania kuna makabila zaidi ya ____(a) 120 (b) 50 (c) 90
5. Muungano wa mitaa au vijiji huitwa ___(a) kata (b) wilaya (c) mikoa
6. Tanganyika na Zanzibar ziliungana mwaka __(a) 1964 (b) 1961 (c) 1962
7. Lugha inayounganisha watanzania wote ni __(a) kiingereza (b) kichaga (c) Kiswahili
8. Msaidizi w mkuu wa wilaya ni ___(a) wananchi (b) raia (c) wabunge
9. ____hushiriki kutunga sheria ndogo ndogo za wilaya (a) madiwani (b) kamati (c) wanachi
10. ____ ni namna ya kujilinda au kujikinga na maadui (a) ulinzi (b) usalama (c) mgambo
(d) demokrasia
11. Wanyama kama samba chui na fisi __(a) ni hatari kwa maisha ya watu (b) wanapendwa na watu
(c) wana rangi ya kuvutia (d) hupendwa na watalii
12. Kazi ya mahakama ni ___(a) kutunga sheria za nchi (b) kutetea haki za binadamu
(c) kutoa haki kwa kuzingatia sheria
13. Jukumu la kuwashirikisha wananchi katika suala la ulinzi na usalama wa mitaa yao ni la ___
(a) bunge (b) serikali kuu (c) TAKUKURU (d) serikali za mitaa
14. Haki za binadamu hutolewa bila kujali __(a) rangi, dini, jinsia, na ukabila (b) uwepo wa mkataba ya
kimataifa (c) uwepo wa katiba ya nchi (d) mambo yanayostahili mtu yeyote
15. Umri wa mtu kuruhusiwa kupiga kura ni kuanzia miaka ___(a) 10 (b) 15 (c) 20 (d) 18
16. Haki ya kumilki mali ipo kwenye kundi la (a) haki za kisiasa (b) haki za makundi maalumu
(c) haki za kijamii (d) haki za kijamii na kiuchumi
17. Kiongozi mkuu wa wilaya anaitwa ___(a) mkuu wa wilaya (b) mkurugenzi (c) mbunge
(d) Rais
18. Rais wa awamu ya tatu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania alikuwa ni ___(a) A.H Mwinyi
(b) J.M Kikwete (c) B.W Mkapa (d) J.K Nyerere
19. Tanganyika ilipata uhuru mwaka ___(a) 1957 (b) 1964 (c) 1961 (d) 1962
20. Baadhi ya maliasili ni _____(a) uhuru (b) mashamba (c) ardhi na madini
21. Ulinzi ni kuhakikisha ____(a) usafi (b) dawa (c) usalama
22. Serikali yenye utawala bora inazingatia ___zote binadamu (a) haki (b) sheria (c) mila
23. ____ ni mjumbe wa mkutano mkuu (a) mwenyekiti (b) diwani (c) ofisa mtendaji
24. Bendera ya Rais ina rangi ____(a) mbili (b) tatu (c) moja
25. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulikuwa tarehe ____(a) 1 mei (b) 26 April
(c) 24 April
26. Sikukuu ya wanyafakazi huadhimishwa kila mwaka tarehe ___(a) 3 Machi (b) 9 Mei
(c) 1 Mei
27. Mwenge unawakilisha _____katika nembo ya taifa (a) nuru (b) jua (c) joto
28. Fedha za Tanzania ni ___(a) noti (b) sarafu (c) sarafu na noti
29. Alama inayoonyesha mwanzo na mwisho (a) ramani (b) jirani (c) mpaka
30. Ushindani w vyama vingi vya siasa ___(a) huongeza vurugu (b) huwapa mikopo
(c) huongeza kasi ya maendeleo
31. mfumo wa vyama vingi hapa Tanzania ulianza mwaka ___(a) 1971 (b) 1992 (c) 1991
32. Utawala bora unalenga __yaliyopo katika jamii inayotawala (a) mafanikio (b) matatizo
(c) ulinzi
33. Watu wenye umri kuanzia miaka 18 wanaweza ___(a) kupika chakula (b) kupiga kura
(c) kupiga porojo
34. Wimbo wa taifa la Tanzania una beti ___(a) kumi na tatu (b) tatu (c) mbili

OANISHA FUNGU A NA B ILI KUPATA MAANA KAMILI

FUNGU A JIBU FUNGU B


35 Wizi wa kutumia nguvu pamoja na A Lugha
silaha
36 Uwindaji haramu katika mbuga za B Madiwani
wnyama
37 Hali za wanyama C Ukiukaji
38 Hali ya kwenda au kutenda kinyume na D Ubadhirifu
makubaliano ya wilaya
39 Namna ya kujikinga na kujilinda na E Kinyume cha sheria
maadui
40 Wajibu wa raia F Ulinzi
G Walemavu
H Kufanya kazi
I Ujangili
J Ujambazi
K Ukame
L Tanganyika na Zanzibar
M Huchaguliwa kila baada ya miaka 5

SEHEMU:B
JAZA NAFASI ZILIZOACHWA WAZI
41. Rangi nyeusi kwenye bendera ya Taifa huakilisha nini?__________________________
42. Chombo kinachohusika na kupambana na rushwa ni ____________________________
43. Chombo kinachohusika na kutunga sheria ni ____________________________
44. __________________ni hali ya mtu kupenda nchi yake
45. Ulinzi ni jukumu la __________________________________________
MINISTRY OF EDUCATION, SCIENCE AND TECHNOLOGY
STD VI-2020
ENGLISH- EXAMINATION
NAME ___________________________STREAM ______

SECTION A: Choose the most correct answer letter and write in the brackets
1. Did you ___________ the mangoes yesterday?
a) Bought b) Brought c) Buy d) Buying
2. Mary was ______________ to school when I met her last week
a) Going b) Went c) Gone d) Goes
3. The elephants haven’t _________ the fence
a) Break b) Breaks c) Broke d) Broken
4. When ___________ we close school?
a) Are b) Is c) Will d) Shall
5. Martha did not ___________ to school last year
a) Come b) Came c) Comes d) Coming
6. Abdul ________ to Dubai every weekend
a) Is go b) Has gone c) Go d) Goes
7. ____________ Craig know where his shoes are ?
a) Did b) Do c) Does d) Didn’t
8. His dog usually ____________ all night
a) Bark b) Barks c) Barking d) Howl
9. Winnie ___________ the window pane
a) Broke b) Break c) Broken d) Breaking
10. The thief was not _________ up by the villagers
a) Beat b) Bitten c) Beated d) Beaten
11. Tom _________ come to school tomorrow a) Will b) Shall c) Is d) Are
12. The thieves were ___________ this morning to death
a) Hang b) Hung c) Hanged d) Hang
13. An axe ___________firewood better than a Panga
a) Is split b) Splits c) Spitted d) Splitting
14. What were you ___________ in December?
a) Study b) Studied c) Studying d) Studding
15. Cats __________ mice a) Catch b) Catches c) Are catch d) Is catch
16. Your mother never visits you _____________?
a) Doesn’t she b) Do she c) Don’t she d) Does she
17. Yolanda fought with you? ______________
a) Didn’t you b) Didn’t she c) Did you d) Did she
18. These are ________ books
a) Douglas’ b) Douglas’s c) Douglasis d) Douglas
19. The thieves ran away ________ they saw the police coming
a) Before b) So c) When d) And
20. Agnes is tall _______slim a) But b) Or c) And d) The
21. My mother was cooking lunch __________ I went home
a) As b) When c) While d) Then
22. A jackal is in the dog family __________ the leopard is in the cat family
a) As b) When c) While d) And
23. Only Asha comes to school ___________ a bicycle
a) Through b) On c) By d) With
24. The tree was cut down _____________ an axe
a) By b) Through c) With d) For
25. I fell asleep while ____________ a plane to Cairo
a) On b) In c) With d) Inside
26. Please, climb ___________ the tree and get us some fruits
a) On b) In c) Along d) At
27. You will find many shops _____ the roads in towns
a) On b) In c) Along d) At
28. Mary is angry _________ her brother’s drunkardness
a) With b) At c) To d) For
29. Excuse me. Can I give this book _____________ Joel?
a) To b) From c) With d) For
30. The dogs barked ________us when we approached their master
a) For b) To c) At d) Against

SECTION B: COMPOSITION - Use the words to fill in the blank spaces sensibly

Climate Breakfast Plantations World Coffee Ethiopia


Common Beverages Export Imported Arabica

There are many (31) _____________________ all over the (32) ________________________. However, the most
(33) ____________________ ones are tea, cocoa and (34) ______________________. They are commonly cooked
and taken as (35) ____________________ or during morning tea – breaks.
Just like the other two, coffee is grown on large farms called (36) ____________________.Brazil is the largest
producer in the world while (37) ___________________is the largest coffee of coffee in Africa. Her coffee is grown
for (38) __________________ to America and Europe. The two main varieties of coffee are called (39)
___________________ and Robusta. The best places for growing it are the highlands because they have mostly cool
and wet (40) ____________________________

SECTION C:
Comprehension: Read the following story then answer the question that follow:
My grandfather’s names were Adam and I am called by his name. Before he died I used to live with him. One
day we took our cows, goats and sheep to the field. While we were resting under a tree, he started telling me stories.
This forest is very dangerous. One woman got lost for a week. She was later found dead with her neck cut and the
people who did this had not been found.
You know there are people who kill people, take their blood sell it. These killers are called “Chinja chinja”
sometimes appear in the forest carrying sharp knives and buckets. But with my bow and poisoned arrows nobody can
trouble us.
Questions:-
41. My grandfather’s name is Adamu and my name is:-_____________________
42. Grand father says that nobody can trouble us because:-___________________
43. Grandfather say that the forest is dangerous because:- ________________
44. People who kill people and take their blood, these killers are called_______________
45. Suggest the suitable heading of this passage ________________

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA


DARASA LA VI-2020
SEHEMU: A
CHAGUA JIBU SAHIHI
1. Kiwavi ni lava wa ----------A: mbu B: mende C: kipepeo
2. Mmea upi ni monokotiledoni kati ya ifuatayo------
A: choroko B: karanga C: ngano D: kunde
3. Udongo wenye asili ya volcano ni sumu kwa zao la ----------
A: viazi B: mihogo C: ngano D: mkunde.
4. Katika mchoro wa sakiti ya umeme alama + -
inawakilisha ------A: selikavu B: seli C: adapta D: glopu
5. Sehemu ya ua inayowavutia ndege na wadudu huitwa ----------
A: petali B: stigma C: staili D: ovari
6. Sakiti ni-------------
A: umeme geu B: umeme mfuatano C: mzunguko kamili wa umeme D: seli
7. Tezi kuu katika mwili wa binadamu huitwa -----------
A: adrenali B: figo C: pituitary D: thairoidi
8. Tunaposema kilenge tunamaanisha --------------
A: embriyo B: seli C:uteyai D: malengelenge
9. Mwani ni mmea unaoishi majini. Mmea mwingine ni-------------
A: kakati B: lilimaji C: uyoga D: kokoa
10. Mnyama anapua kama mimea ilivyo na ---------------
A: stomata B: spirako C: viribahewa D: urea
11. Kipepeo huharibu mimea aiwa katika hatua ya ------------
A: kiwavi B: lava C: kiluwiluwi D: yai
12. Joto la jua hutufikia kwa njia ya ------------
A: mnunurisho B: msafiri C: mpitisho D: mwako
13. Viumbe hai wamegawanyika katika makundi mawili ................( A ) Viumbe hai na visivyo hai
( B ) Wanyama na mimea ( C ) Wanyama, ndege wadudu ( D )Wanyama wafugwao na wasiofugwa

14. Ovari ( A )hutengeneza gamenti za kiume ( B ) hutunza chembekike ( C )sehemu ya kiume


( D )sehemu ya ua yenye rangi
15. Kuchangia mavazi hueneza ...................... ( A )Ukimwi ( B )minyoo ( C ) ukurutu, mapunye
( D )kikohozi, kipindupindu
16. ..................... ni kiini cha msingi wa kiumbe hai.( A )Vakuoli ( B )Saitoplazimu ( C ) Seli
( D )Bakteria
17. Mmeng’enyo huanzia katika .......( A ) Kinywa ( B ) tumbo ( C ) Puru( D )utumbo mwembamba
18. Koo la chakula pia huitwa ........ ( A )Shingo ( B )Korosho ( C )Tumbo ( D )Umio
19. .............. huipa damu rangi nyekundu.( A )Hemoglobin ( B )Plazma ( C )Chembele ( D )Maji
20. Vyumba vya juu viwili vya moyo huitwa auriko na vya chini viwili huitwa ...............
( A )Ventriko ( B )Tishu ( C )Aota ( D )Vena
21. Mtu anapotumia vyakula vyenye mafuta mengi sana mara kwa mara anaweza kupatwa na ..............
( A ) Shinikizo la damu ( B ) Malaria ( C )Njaa ( D )Homa ya matumbo
22. Unaweza kupata virusi vya Ukimwi iwapo ..........( A )Utafanya ngono zembe ( B )Utakuwa na mpenzi
mmoja ( C )Utashiriki katika shughuli za kimaisha ( D )Utawanyanyapaa waathirika
23. Mapumziko ya kutosha kwa miili yetu ......................( A )Dalili ya uzembe ( B )Kunaifanya iwe imara na
afya bora ( C )Tunapunguza muda wa kufanya kazi ( D )Kutopenda kufanya kazi

24. Nyama ya kuku isipoiva inaweza kueneza ...................... ( A )Kupata minyoo ( B )Myai ya tegu
( C ) Mafua ya ndege ( D )Malale
25. Hatua ya mwisho katika kufanya uchunguzi wa kisayansi ni .......( A )Hitimisho ( B )Kuchambua data
( C )Kutafsiri matokeo ( D )Kukusanya data
26. Maji yanachemka katika kizingiti cha joto la .................( A )100ºC ( B ) 0ºC ( C ) 52ºC
( D ) 10ºC
27. Mimea inapukutisha majani yake ili .........( A )Kuhifadhi maji yanayoweza kupotea kupitia kwenye majani
( B )Kuleta tofauti kati ya kiangazi na masika ( C ) Kuuwezesha mmea uweze kupoteza maji mengi

28. Nyuso zinazong’ara ............... mwanga.( A )Hupindisha ( B )Huakisi ( C ) Husharabu


( D ) Huakisi kisha husharabu
29. Mwanga husafiri katika mistari ..........( A )Mnyoofu ( B )Myoofu na mkunjifu ( C )Mnyoofu au
mkunjifu ( D )Uliopinda kutegemeana na maada
30. Kiasi cha umeme kwenye sakiti huweza kupimwa kwa kutumia ............( A )Amita ( B ) Voltimita
( C )Galvanomita ( D )Mfatano
31. Nguvu za sumaku huweza kupenya katika .........( A )Vitu vyote yabisi na vimiminika ( B ) Vitu yabisi
vyenye asili ya chuma ( C ) Maji na hewa tu ( D )Maada za aina zote
32. Ili kazi iweze kufanyika ni lazima kani isababishe ( A ) Umeme ( B ) Msuguano ( C ) Joto
( D )Mjongeo

SEHEMU B – JAZA NAFASI ZILIZO WAZI.


33. Kiumbe ni -------------------------------------
34. Kazi kubwa ya chakula mwilini ni -----------------------------------------------------
35. Ogani inayohisi kiamshi cha mwanga huitwa ------------------------------------
36. Wanyama wanaocheua hujulikana kama -------------------------------------------
37. Kuna aina --------------------------------- za sakiti
38. Komputa nini? -----------------------------------------------
39. Nini maana ya mmengenyo wa chakula-----------------------------------
40. Njia rahsi ya kuzalisha umeme ni ------------------------------------------------------
41. Binadamu kwa asili ni --------------------------------------------------------------------
42. Kazi kuu ya macho ni ---------------------------------------------------
43. Taja sehemu kuu za mme -------------------------------------------
44. Kazi ya vinyweleo vya pua ni kuchuja --------------------------------------------------
45. Wanyama huvuta okisjeni na kutoa -------------------------------------------------------

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA


DARASA LA VI-2020
SOMO: HISABATI
JINA ---------------------------MKONDO ---------------MUDA -------

1. 682 + 3327 =
2. 4701 – 702 =
3. 361 x 28 =
4. 3857 ÷ 19 =
5. 2 ¾ + 3 5/8 =
6. 3 1/3 – 1 5/9 =
7. 4 1/5 x 3 1/3 =
8. 3 ¼ ÷ 2 3/5 =
9. 0.29 + 0.718 =
10. 4.11 – 3.99 =

11. 6.17 x 5.8 =


12. 6.084 ÷ 0.26 =
13. Andika 1 1/5 katika asilimia
14. Badili 3 1/8% kuwa sehemu
15. Badili 0.125 kuwa sehemu rahisi
16. Zidisha m.5 sm 78 kwa 5
17. Andika 1339 katika namba za kirumi
18. Tafuta namba mraba ya 101 =
19. Tafuta kipeuo cha pili cha 3481 =
20. Tafuta kigawe kidogo cha shirika KDS cha 14, 20, 28 =
21. Tafuta kigawo kidogo cha shirika KKS cha 9, 18, 27 =
22. Andika namba tasa zote zilizo kati ya 50 na 62 =
23. Andika namba witiri zote zilizo kti ay 46 na 52 =
24. Andika namba shufwa zote kati ya 47 na 53 =
25. Tafuta namb ainayofuata 1, 3, 7, 13 ---------------
26. Kijiji Fulani kilikuwa na magunia ya mahindi 25645 kiliuza
magunia 18795, Je kilibakiwa na magunia mangapi?
27. Pili alipewa sh. 1200 na baba yake. Alitumia 3/5 ya fedha hiyo.
Je alibakiwa na shilingi ngapi?
28. Kiti “n” huuzwa kwa shilingi 12,000 Ikiwa bei ya kiti kimoja
ni 2,000 tafuta thamani ya “n”
29. Andika kanuni ya kutfuta eneo la msambamba.
30. Andika MCML kwa numerali za kawaida.

31. Tafuta mzingo


Sm 50

32. Tafuta eneo

Sm 50

33. Tafuta mzingo

Sm 120 Sm 20

34. Tafuta eneo

Sm 120 Sm 20

35. Tafuta mzingo wa duara

Sm 7

36. Tafuta eneo

Sm 5

Sm 15

37. Tafuta eneo


Sm 10

Sm 8

Sm 15

38. Tafuta eneo


Sm 5
Sm 2

Sm 9

Sm 3

39. saa dk
2 30
X 4
__
40. siku saa
4 18
-1 19
___________

SEHEMU B:
41. Tina alipewa sh. 15,000 na babayake akanunua vitu vifuatavyo:
Mikate 3 @sh. 600, siagi kopo 4 @ sh. 800, sukari kg 5 @ sh.
450, mafuta ya kula lita 3 @ sh. 780 na mchele kg 7 @ sh. 550.
Je alibakiwa na shilingi ngapi?

42. Chumba kina urefu wa m.10 na upana m.8 Tafuta eneo lake ________

43. Andika kinyume cha -10 _______________

44. Andika kanuni ya kutafuta Eneo la pembetatu _____________

45. m + 8 = 0 Tafuta thamani ya m __________

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA


DARASA LA VI-2020
SOMO: STADI ZA KAZI
JINA --------------------------MKONDO ---------------MUDA -------

SEHEMU A: CHAGUA JIBU SAHIHI


1. ______ni vifaa ambavyo vinatumika kutengenezea vifaa vya aina nyingine (a) makunzi
(b) picha (c) majani
2. Tunaezeka nyumba kwa kutumia _____(a) bati (b) udongo (c) mchanga
3. Viatu ni vazi linalovaliwa ______(a) miguuni (b) sikioni (c)mkononi
4. __________________ ni kitu kilichochongwa na kufananishwa na kitu kingine
5. Mtu mwenye ujuzi wa kazi ya kiufundi ni____(a) msanii (b) fundi (c) mwimbaji
6. Wahusika _____huanza kuonekana mwanzo wa igizo mpaka mwisho (a) wakuu (b) wadogo
(c) bapa
7. Kuku wa kisasa wamegawanyika katika makundi_____(a) manne (b) matatu (c) mawili
8. ______ni ngoma ya kabila la Wakunja (a) usongolile (b) litungi (c) tinde
9. Mfano wa mboga za majani ni_____(a) karoti (b) kabichi (c) nyanya
10. Wadudu aina ya nondo hutumika kutengeneza nguo za _____(a) pamba (b) hariri
(c) nailoni
11. Rangi msigishano hupatikana kwa kuchanganya rangi msingi na______(a) nyekundu
(b) upili (c) msigishano
12. Faida za michezo ni kutoa burudani na kupata ______(a) nguvu (b) mbio (c) ajira
13. Timu moja ya mpira wa pete ina wachezaji______(a) 5 (b) 4 (c) 7
14. Katika mpira wa pete kirefu cha G.K ni _____(a) gololi (b) gundi (c) golikipa
15. Mchezo wa drafti huchezwa kwa jumla ya kete _____(a) 10 (b) 15 (c)24
SEHEMU C: ANDIKA NDIYO AU HAPANA
16. Upambaji wa nguo ni kazi ya kisanii_______________________________________
17. Vifani vya kuchonga hutumika katika kupamba_________________________________
38. Watalii ni watu wanaofanya ziara ya kutembelea____________________________
19. Viatu ni vazi maalum la miguu__________________________________________
20. Fundi bora ni yule anayefanya tathimini ya mahitaji____________________________
21. Kuchapa ni kutoa nakala_________________________________________________
22. Ala ni chombo cha kutengeneza ngoma_______________________________________

OANISHA SEHEMU A NA B
SEHEMU JIBU SEHEMU B
A
23 Kifani A Kitambaa kinachovaliwa juu ya nguo sehemu ya mbele
24 Magome B Wavu wa kuvulia samaki
25 Malighafi C Kitu kinachofanana na kitu kingine
26 Solfa D Maganda ya miti
27 Taswira E Mazao yanayotumika kutengeneza kitu kingine
28 Ala F Picha ya kitu inayomjia mtu akilini
29 Aproni G Zana za kufanyia kazi hasa kupiga muziki
30 Jarife H Noti katika wimbo hasa ulioandikwa kama do re mi fa
so la ti do

SEHEMU B: JAZA NAFASI WAZI


31. Kuna njia ______________________za kutia urembo kwenye nguo
32. Mashairi ambayo hayazingatii idadi ya beti au urari wa vina hujulikana kama mashairi ya _____________
33. Noti ya msingi kwenye uimbaji huandikwa_____________________________________
34. _______________ni alama za muziki zinazotumika katika uimbaji , uandishi na usomaji wa muziki
35. Kuna aina_________________za kwaya
36. Kuku wa ______________________wana uwezo wa kustahimili mazingira yoyote
37. Mlimao hukatwa herufi __________________wakati wa kubebesha vichomozo
38. Duara la rangi lina jumla ya rangi___________________________________
39. Tunaweza kukoleza rangi kwa kuongeza rangi________________________________
40. ______________ni ustawishaji mimea pamoja na ufugaji bila kuharibu mazingira
41. Kitu chochote kinachowekwa kwenye udongo ili kurutubisha wakati wa kilimo huitwa_________________
42. Kuna makundi _________________-ya mboga
43. ____________________ ni kazi ya kufua na kupiga pasi nguo
44. Uchongaji ni kazi ya________________________________________
45. Jamii zinazosifika katika uchongaji wa vifani katika nchi yetu ni________________________

You might also like