Professional Documents
Culture Documents
Grade7 Kiswahili PDF
Grade7 Kiswahili PDF
SOMO: KISWAHILI
MAELEKEZO
Mtihani huu una jumla ya maswali arobaini na tano (45).
Jibu maswali yote katika kila sehemu.
Soma maelekezo yote yaliyoko katika karatasi maalum kisha
jibu kwenye daftari.
SEHEMU A: SARUFI
Chagua jibu sahihi kutoka kwenye machaguo kisha siliba herufi ya jibu hilo katika
B. Alimwakilisha D. Alimkaimisha
B. Usingalikubali D. Usingelikubali
6. Ng’ombe wamo zizini. Neno zizini limetumika kama aina ipi ya maneno?
9. Mariamu alisukwa na dada yake. Neno alisukwa lipo katika kauli ipi?
1
10. ________________ kuyatunza mazingira yetu ili tuepukane na magonjwa ya
milipuko.
12. Neno lipi kati ya haya yafuatayo lina maana sawa na neno jazba?
13. Alisema ondokeni hapo upesi. Sentensi hii ipo katika kauli gani?
15. Tutakuwa na tafrija fupi ya kuwatakia kila la heri wanafunzi wa darasa la saba
katika mtihani wao. Neno tafrija lina maana sawa na neno lipi kati ya haya
yafuatayo?
16. Amekula upesi upesi ili awahi shule. Neno upesi upesi ni aina gani ya neno?
2
SEHEMU B: METHALI,NAHAU NA VITENDAWILI
21. Methali ipi kati ya hizi ina maana sawa na methali isemayo : Maji yakimwagika
hayazoleki?
24. Baada ya kumsubiri kwa muda mrefu bila kutokea, Mwasiti aliamua kuondoka.
Nahau ipi kati ya hizi zifuatazo ina maana ya “kuamua” ?
25. Mwombela ajifanya juu chini kuhakikisha anafaulu masomo yake. Nahau
kufanya juu chini ina maana gani?
3
29. Masikini huyu hata umchangie namna gani haridhiki . Jibu la kitendawili hiki
ni:
SEHEMU C: USHAIRI
MASWALI:
33. Mshororo wa mwisho katika kila ubeti wa shairi hili hujulikana kama:
34. Kisawe cha neno tochi kama lilivyotumika katika shairi hapo juu ni?
4
35. Shairi hili lina jumla ya mishororo mingapi?
A. 16 B. 2 C. 8 D. 12 E. 4 [ ]
36. Vina vya mwisho katika ubeti wa pili wa shairi hili ni:
A. Ni B. Za C. Ta D. Hi E. Chi [ ]
SEHEMU D: UTUNGAJI.
Panga sentensi zifuatazo kwa kuzipa herufi A, B, C,na D ili zilete mtiririko
mzuri.
SEHEMU E: UFAHAMU
Soma kwa makini kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali
yanayofuata
Basi hilo lilikuwa likitokea Morogoro kuelekea mikoa ya nyanda za juu Kusini. Mara
baada ya kufika eneo la Kitonga lilipinduka chini. Taarifa kutoka kwa baadhi watu
waliokuwa karibu na eneo la tukio hilo zinadai kuwa ajali hiyo ilisababishwa na kufeli
kwa breki za basi hilo huku likiwa katika mwendo mkali. Kulikuwa na abiria 67
ambapo abiria 33 walifariki papo hapo na wengine kujeruhiwa vibaya. Abiria
waliojeruhiwa walikimbizwa haraka katika hospitali ya taifa Muhimbili ambako
wanaendelea kupatiwa matibabu hadi hivi sasa. Hata hivyo, taarifa kutoka hospitalini
hapo zinadai kuwa tayari majeruhi 7 kati ya 34 waliopelekwa hospitalini hapo tayari
wameshaaga dunia na wengine wanaendelea kupatiwa matibabu katika vyumba vya
wagonjwa mahututi.
MASWALI:
5
44. Je, ni majeruhi wangapi wa ajali hiyo wanaendelea kupatiwa matibabu katika
hospitali ya taifa ya Muhimbili?
______________________________________________________
45. Neno majeruhi kama lilivyotumika katika kifungu cha habari hapo juu lina
maana gani?