You are on page 1of 14

3. Mvua siwe sababu, mito inakazi gani?

Kwa hiyo si sababu, maziwa tele porini, JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA


Kazi ni wetu wajibu, bega weka mpini,
Iwe kufa na kupona, kilimo nchini humu.
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MASWALI
31. Mtunzi wa shairi hili nahimiza kilimo cha _________________
(A) Majira yote ya mwaka (B) Umwagiliaji wa mashaba MTIHANI WA KWANZA MOCK MKOA DARASA LA VII - 2019
(C) Mashamba madogo madogo (D) Kutumia jembe na panga MKOA WA MTWARA
(E) Kulima ardhi yote.
32. Shairi hili linatulazimisha tujihadhari na kitu gani?
(A) Upungufu wa ardhi (B) Ukosefu wa mvua (C) Ukosefu wa chakula
(D) Mafuriko (E) matumizi ya mbolea.
33. Katika shairi hili kila mstari una mizani ngapi? 01 KISWAHILI
(A) 4 (B) 12 (c) 14 (D) 16 (E) 15 MUDA: SAA 1:30
34. Kichwa cha shairi hili kinafaa kiwe?
JUMATANO: TAREHE 16/05/2019
(A) Kilimo nchini mwetu (B) Njaa si kitu kingine (C) Iwe kufa na kupona
(D) Kilimo cha kufa na kupona (E) Kilimo cha kiangazi KUANZIA SAA: 2:00 - 3:30 ASUBUHI
35. Mstari wa mwisho wa kila ubeti wa shairi huitwa.
(A) Urari (B) Kibwagizo (C) Mtiririko (D) Mshororo (E) Mizani
MAELEKEZO:
SEHEMU C: UTUNGAJI 1. Karatasi hii ina sehemu A, B, C, D na E
Sentensi zifuatazo zimechanganywa, kwa hiyo zipange kwa mtiririko mzuri kwa
kuzipa herufi A, B, C, D na E.
2. Jibu maswali yote katika kila sehemu.
36. Chuma alikuwa hajalala fofofo. 3. Fuata maelekezo kwa kila sehemu.
37. Alitoka taratibu kitandanai akasogea taratibu dirishani kweli ni wezi. 4. Swali la 1 - 40 kila swali lina alama moja
38. Alipiga yowe watu waliamka na kuelekea kwa Chuma, waliwakuta hawajakimbia
na kufika mbali. 5. Weka kivuli katika herufi ya jibu sahihi kwa swali la 1 - 40 katika karatasi yako
39. Ilikuwa saa nne usiku, wezi waligonga dirisha la Chuma. ya kujibia uliyopewa, kwa mfano kama jibu sahihi ni A
40. Waliwapiga sana kisha waliwapeleka kitu cha polisi.
Weka kivuli kama ifuatavyo: -
SEHEMU E: UFAHAMU [A] [B] [C] [D] [E]
Soma kwa makini habari ifuatayo kisha jibu swali la 41 - 45
Mapokea ya Sayansi na Teknolojia miongoni mwetu yamekuwa kinyume cha
matarajio ya kimsingi yaliyokusudiwa kuleta chachu ya maendeleo katika Taifa letu. 6. Tumia penseli ya HB tu kwa swali la 1 - 40
haya Baadhi ya wanafunzi hasa tunaosoma katika shule za mijini tunakuwa tukitumia 7. Ukigundua kuwa herufi uliyowekea kivuli si jibu sahihi futa kivuli hicho kwa
vibaya fursa ya teknolojia tunayoipata; kutwa nzima tunashinda kwenye vibanda vya
michezo ya kompyuta na runinga badala ya kwenda shule. umakini kwa kutumia KIFUTIO SAFI kabla ya kuweka kivuli katika
Hali hii inasababisha tuwe wavivu, hivyo kushindwa kujituma na kujifunza kwa herufi mpya
bidii masomo yetu, tunajitajihidi kutafuta njia za mkato ili tuweze kufaulu mitihani
mbalimbali tunayotahiniwa, jambo ambalo ni hatari kwetu na Taifa kwa ujumla.
Tunasahau kwamba huu ndio wakati sahihi wa kuandaa maisha yetu ya baadaye 8. Tumia peni ya BLUU au NYEUSI kujibu swali la 41 - 45 kila swali lina alama
kwani wahenga walisema mtaka cha uvunguni sharti ainame.
mbili
MASWALI.
41. Wanafunzi gani wanatajwa kutumia vibaya fursa ya tekanoloji?__________________ 9. Andika Namba yako ya mtihani kwenye karatasi yako ya kujibia.
42. Badala ya kutumia neno runinga mwandishi angeweza kutumia _________________
43. Msemo wa “Wahenga” uliotumiwa kwenye habari hii ni __________________________
44. Kwa mujibu wa habari hii “elimu” inapatikana wapi? ____________________________ 10. Simu za mkononi haziruhusiwi ndani ya chumba cha mtihani.
45. Kichwa cha habari uliyosoma kinafaa kuwa _____________________________________

3
SEHEMU A:SARUFI 18. Katika neno “hatutakamilisha” kiambishi kinachoonesha nafsi ni kipi?
(A) - ka - (B) -ha- (C) - mi - (D) ta (E) - tu -
1. Mkali kuliko wote amekufa. Neno lililopigiwa mstari ni:- 19. “Serikali imetoa ilani juu ya unywaji wa pombe za kienyeji vilabuni”
(A) Kivumishi (B) Kiwakilishi (C) Kielezi (D) Kitenzi (E) Kitenzi kisaidizi Neno ilani lina maana ipi?
2. “Ningejua ukweli wa mambo kabla ________hapa saa hizi” neno gani linakamisha (A) Onyo (B) Cheti (C) Maelekezo (D) Leseni (E) Ruhusa
sentensi hiyo? 20. Kilimo cha mseto ni kilimo kinachohusisha.
(A) nisingalikuja (B) ningalikuja (C) singelikuja (D) msingelikuja (A) Zao la aina moja (B) Mazo mchanganyiko (C) Mazo ya biashara
(E) nisingelikuja (D) Mazao ya chakula (E) Mazao ya mbegu
3. “KIFADURO kinaua, mwalimu alisema. Ipi ni kauli taarifa ya sentensi hiyo kati
ya hizi zifuatazo? SEHEMU B: LUGHA YA KIFASIHI
(A) Mwalimu aliwaambia KIFADURO kinaua Chagua herufi ya jibu sahihi katika swali la 21 - 30
(B) Mwalimu alisema KIFADURO kinaua 21. Ni jibu la kitendawili “ Mazishi yake ni furaha kwa watu”
(C) KIFADURO kinaua mwalimu alisema (A) Mbegu (B) Majani (C) Mbolea (D) Maiti (E) Mzoga
(D) Mwalimu alisema kwamba KIFADURO kinaua 22. Walikaa kivulini wakipiga domo tu.
(E) Mwalimu alieleza KIFADURO kinaua (A) Kusengenya (B) Kubarizi (C) Kucheka (D) Kusifia (E) Kufurahia
4. “Anna anatembea polepole ______ twiga” 23. Somoe rafiki yangu; hebu nikuuume sikio. Nini maana ya nahau “uma sikio”
(A) mithili ya (B) mathalani ya (C) mahadhi ya (D) maridhawa ya (A) Shika sikio (B) Ng’ata sikio (C) Nong’oneza siri (D) Busu (E) Tafuna sikio
(E) midhali ya 24. Kamilsha methali ifutayo ________ ungali maji
5. Looh! Mzee ali amemwaga unga. Neno lililopigiwa mstari ni:- (A) Ugali uwahi (B) Uji uwahi (C) Udongo uwahi (D) Nyama uwahi
(A) kiungo mshangao (B) Kiunganishi (C) mshangao (D) kihisishi (E) Mchanga uwahi
(E) Nomino 25. Maria na Asha hawapikiki chungu kimoja. Maana yake ni
6. Neno lipi halilandani na mengine? (A) Chungu ni kidogo (B) Hawatembeleani (C) Moto hautoshi
(A) Msonge (B) Tembe (C) Daraja (D) Kibanda (E) Ghorofa (D) Wanapendana sana (E) Hawaelewani
7. Sehemu ambayo ng’ombe huogeshwa ili kuwaepusha na magonjwa huitwaje? 26. Babu yetu bado anaonekana madhubuti lakini “ameshakula chumvi nyingi”
(A) Mto (B) Bwawa (C) ziwani (D) Josho (E) Joshi maana yake ni ipi?
8. “Mboga haina chumvi ya kutosha” Wingi wa sentinsi hiyo ni upi? (A) Ameshamaliza chumvi yote (B) Amefanya mazoezi mengi
(A) Mboga hazina chumvi ya kutosha (C) Ameishi miaka mingi (D) Amechoka sana
(B) Mboga haina machumvi ya kutosha (E) ana umri wa juu sana
(C) Mboga hayana chumvi ya kutosha 27. Kisawe cha nahau kufa moyo ni kipi?
(D) Mamboga hayana chumvi za kutosha (A) Ona fahari (B) Tia moyo (C) Pole za tumaini (D) Kata tamaa (E) Aga dunia
(E) Mboga haina chumvi za kutosha 28. “Anajihami bila silaha” Nini jibu la kitendawili hiki?
9. Nywele zinazoota kuanzia karibu na masikio mpaka kwenye mashavu huitwaje? (A) Nyoka (B) Mbwa (C) Kinyonga (D) Paka (E) Chui
(A) Mvi (B) Sharafa (C) Ndevu (D) Masharubu (E) Kope 29. “Kidagaa kimemwozea” Msemo huu una maana gani?
10. Neno “Anazungusha” mzizi wa kitenzi ni upi? (A) Kukwepa kulipa deni (B) Kutowajibika kulipa (C) Kuelemewa na jambo
(A) - angusha (B) anazung- (C) -zung- (D) zungush- (E) anaz- (D) Kupoteza matumaini (E) Kulipa deni maradufu
11. Kinyume cha neno “Nadra”ni _________________ 30. “Bwana mkubwa amelala ndani lakini ndevu zipo nje zapepea”
(A) Aghalabu (B) Mara chache (C) Mara nyingi (D) Bora (E) hafifu (A) Ulezi (B) Mpunga (C) Ngano (D) Mahindi (E) Mtama
12. Neno “CHUPA” lipo katika ngeli ipi?
(A) U-ZI (B) U-I (C) I-ZI (D) Ki-vi (E) I-Ya SEHEMU C: USHAIRI
13. Neno “Maruperupe” lina irabu ngapi? Soma kwa makini shairi lifuatalo kisha jibu swali la 31 - 36
(A) Sita (B) Tisa (C) Tano (D) Kumi na moja (E) kumi
14. Kisawe cha neno “Shaibu” ni 1. Hili letu jukumu, uzalendo sisi sote
(A) Ajuza (B) Mkongwe (C) Buda (D) Rais (E) Mwanaume mzee sana Kwani limetulazimu, kulima ardhi yote,
15. Amina anafanya kazi zake kwa umakini. Badala ya neno makini ungeweza Wala hapana msimu, kilimo ni siku zote
kutumia neno lipi kati ya haya? Iwe kufa na kupona, Kilimo nchini humu.
(A) Busara (B) Hekima (C) Ujasiri (D) Upole (E) Uangalifu
16. Kipi ni kinyume cha neno shuruti? 2. Njaa si kutu kingine, nani asiyetambuwa
(A) Haraka (B) Sharti (C) Hiari (D) Lazima (E) Makubaliano Watu huvila vingine, ambavyo havijaliwa
17. Fundi atengenezaye meza, viti, kabati, (samani) huitwa? Basi hamna jingine, kilimo jaribu sawa.
(A) Sonara (B) Mtengenezaji (C) Mwashi (D) Muajimu (E) Seremala Iwe kufa na kupona, kilimo nchini humu.
1 2
SEHEMU C: JIOGRAFIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

31. Latitude yenye 231/2 kusini huitwa __________________ OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
(A) Ikweta (B) Tropiki ya kaprikon (C) Greenwhich (D) Tropiki ya kansa
(E) Atlantiki MTIHANI WA KWANZA MOCK MKOA DARASA LA VII - 2019
32. Visiwa vya Japani ni maarufu kwa ___________________ MKOA WA MTWARA
(A) Utengenezaji wa karatasi (B) Uzalishaji wa mbao (C) Ujenzi wa meli
(D) Ujenzi wa ndege (E) Kilimo cha ngano
33. Madini gani yanapatikana Arusha na huliingizia taifa fedha nyingi za kigeni?
(A) Dhahabu (B) Shaba (C) Chuma (D) Makaa ya mawe (E) Tanzanite. 03 MAARIFA YA JAMII
34. Kitendo cha Dunia kujizungusha katika muhimili wake husababisha. MUDA: SAA 1:30
(A) Kupatwa kwa jua (B) Madini ya shba (C) Usiku na mchana JUMATANO: TAREHE 16/05/2019
(D) Kupatwa kwa mwezi (E) Pepo za kusi
KUANZIA SAA: 8:00 - 9:30 Alasiri
35. Uvinza imepata umaarufu kwa sababu ya
(A) Mafuta ya chikichi (B) Majira ya mwaka (C) Madini ya chuma
MAELEKEZO:
(D) Madini ya chumvi (E) Tumbaku
1. Karatasi hii ina sehemu A,na B
36. Mto mrefu kuliko yote barani Afrika ni _________________
2. Jibu maswali yote katika kila sehemu.
(A) Mto Rufiji (B) Mto Zambezi (C) Mto Nile (D) Mto Ruvuma (E) Mto kongo
3. Fuata maelekezo kwa kila sehemu.
37. Mambo muhimu kuzingatia katika uchoraji wa ramani ni ________________ 4. Swali la 1 - 40 kila swali lina alama moja
(A) Kontua, Latitudo na Tropiki (B) Ufunguo, Kipimo na dira 5. Weka kivuli katika herufi ya jibu sahihi kwa swali la 1 - 40 katika
(C) Kalamu, karatasi na rula (D) Grid, Latitudo na longtide karatasi yako ya kujibia uliyopewa, kwa mfano kama jibu sahihi ni A
(E) Kamera, Darubini na usafiri Weka kivuli kama ifuatavyo: -
38. _____________ ni chemchem inayopatikana jangwani. [A] [B] [C] [D] [E]
(A) Kisiwani (B) Mto (C) Bonde (D) Chemchem (E) Oasisi.
39. Katika nchi za Afrika Mashariki na kati ni nchi ipi ni maarufu kwa zao la 6. Tumia penseli ya HB tu kwa swali la 1 - 40
pareto? 7. Ukigundua kuwa herufi uliyowekea kivuli si jibu sahihi futa kivuli
(A) Uganda (B) Tanzania (C) Zambia (D) Kenya (E) Rwanda hicho kwa umakini kwa kutumia KIFUTIO SAFI kabla ya kuweka
40. Jua ni ________________ kivuli katika herufi mpya
(A) Sayari kubwa kuliko zote (B) Nyota inayozunguka Dunia
(C) Nyota yenye joto kali na kubwa kuliko zote 8. Tumia peni ya BLUU au NYEUSI kujibu swali la 41 - 45 kila swali
(D) Nyota iliyokaribu sana na dunia
lina alama mbili
(E) Nyota yenye mwanga mkali
9. Andika Namba yako ya mtihani kwenye karatasi yako ya kujibia.
SEHEMU D:
10. Simu za mkononi haziruhusiwi ndani ya chumba cha mtihani.
41. Maana ya utamaduni ni nini?
42. Eleza maana ya neno utalii.
43. Ukoloni maana yake ni?
44. Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alifariki mwaka ____________
45. Kwa nini mito mingi ya Afrika haitumiki kwa usafirishaji. _________
3
SEHEMU A: URAIA (A) Angola (B) Guinea Bisau (C) Zimbabwe (D) South Afrika (E) Namibia
15. Mkusanyiko wa kanuni ambazo huwezesha taasisi kutawala au kuendesha
Chagua herufi ya jibu sahihi kisha jaza kwenye sehemu iliyoachwa wazi shughuli zake ni ______________
(A) Sheria (B) Fursa (C) Katiba (D) Uongozi (E) Maandiko
1. Mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania ulianza mwaka _____________
(A) 1973 (B) 1990 (C) 2005 (D) 1995 (E) 1992 SEHEMU B: HISTORIA
2. Ni alama ipi ya Taifa inaoesha Amani na Upendo miongoni mwa watanzania? Chagua jibu sahihi na kisha weka kuvuli katika herufi inayohusika mbele ya nam-
(A) Bendera ya Taifa (B) Nembo ya Taifa (C) Mwenge ba ya kila swali katika karatasi yako ya kujibia.
(D) Picha ya Twiga na Punda (E) Bendera ya umoja 16. Baraza la mawaziri Tanzania limetokana na baraza kiongozi lililoanzishwa
3. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilizaliwa ______________ mwaka 1920 na _______________
(A) 26.4.1964 (B) 9.12.1961 (C) 26.1.1964 (D) 12.1.1964 (E) 9.12.1962 (A) Sir Donald Cameroon (B) Sir Richard Tumbull (C) Horace Byatt
4. Wakimbizi wengi waliopo Tanzania wanasababishwa na tatizo la ______ kutoka (D) Sir Edward Twinning (E) Willium Macknon
kwenye nchi jirani. 17. Serikali ya kidemokrasia huendeshwa na __________________
(A) Njaa (B) Mafuriko (C) Vita vya wenyewe kwa wenyewe (A) Watu wachache (B) Wananchi wote (C) Wanajeshi
(D) Majanga ya asili ikiwemo kuripuka kwa volkano (E) Ukoloni mamboleo. (D) wawakilishi wa wananchi (E) Madiawani
5. Katibu Tawala wa Mkoa huteuliwa na ____________________ 18. Mfumo wa uzalishaji mali uliofuata baada ya mfumo wa ujima uliitwa.
(A) Mkuu wa mkoa (B) Rais (C) Kamati ya usalama (D) Jeshi (E) Waziri Mkuu (A) Ubeberu (B) Ubepari (C) Utumwa (D) Nyarubanja (E) Umwinyi
6. Waziri Mkuu wa Tanganyika baada ya uhuru aliitwa __________________ 19. Mtawala wa kwanza wa kiarabu katika visiwa vya Unguja aliitwa ____________
(A) Edward M. Sokoine (B) Julius K. Nyerere (C) Rashid M. Kawawa (A) Tipp Tipp (B) Seyyid Said (C) Sayyid Barghash (D) Sultan Majid
(D) Kasim M. Majaliwa (E) John P. Magufuli (E) Amani Karume
7. Ulinzi na Usalama wa watanzania na mali zao ni jukumu la 20. Wafanyabiashara wa mwanzo wa kigeni kuingia Tanganyika walitoka?
(A) Jeshi la Wananchi (B) Jeshi la Polisi (C) Wabunge (D) Raia wote (A) Marekani (B) Amerika kaskazini (C) Asia (D) Ulaya (E) Amerika ya kusini
(E) Madiwani. 21. Mkutano wa Berlin uliitishwa na kiongozi wa Ujerumani aliyeitwa?
8. Moja ya sababu ya kuanguka kwa umoja wa nchi za Afrika Mashariki mnamo (A) Vasco da Gama (B) Henry Stanley (C)Olto von Bismark
1977 ilikuwa _______________ (D) Johan Rubman (E) Carl Peters
(A) Vita kati ya Tanzania na Idd Amin wa Uganda. 22. Moto uliogundulika katika zama zipi za mawe?
(B) Utofauti wa kibiashara kati ya mataifa shiriki. (A) Zama za mwanzo za mawe (B) Zama za mwisho za mawe.
(C) Kuongezeka kwa mapigano dhidi ya ukoloni. (C) Zama za chuma (D) Zama za kati za mawe (E) Zama za zinja.
(D) Kuanzishwa kwa jamii nyingine ndani ya Afrika ya kusini 23. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliundwa mwaka
(E) Mapigano ya wenyewe kwa wenyewe ndani ya Uganda. (A) 1962 (B) 1964 (C) 1967 (D) 19677 (E) 1864
9. Mzalendo ni nani? 24. Ni kwenye mfumo upi wa uzalishaji mali ambapo njia kuu ya uzalishaji
(A) Anayefanya kazi sana (B) Mzawa wa nchi yake ilitegemea ardhi?
(C) Anayesaidia wakati wa matatizo (A) Ubepari (B) Umwinyi (C) Utumwa (D) Jamii (E) Ukabaila.
(D) Ambaye yuko tayari kufa kwa ajili ya nchi yake. 25. Nchi zipi zilipata uhuru wao kutoka kwa wakoloni bila vita?
(E) Ambaye anajihusisha wakati wa uchaguzi kuchagua na kuchaliwa kuwa (A) Namibia, Rwanda na Angola (B) Tanganyika, Malawi na Ghana
kiongozi. (C) Burundi, Mozambique na Zambia (D) Guinea Biscaau, Kongo na Malawi
10. Ukoo ni kundi la watu? (E) Nigeria, Angola na liberia.
(A) Wenye uhusiano wa damu (B) Wanaoishi pamoja kama familia 26. Gavana wa mwisho wa kiingereza Tanganyika aliitwa?
(C) Wanaofuata mila na desturi zenye kufanana (D) Wanaotoka jamii moja (A) Richard Turbull (B) William Macknon (C) Horace Byatt
(E) Wenye asili moja (D) Edward Twinning (E) Carl Peters.
11. Ipi sio sahihi kwa vyama vya siasa vilivyoshika mtutu kupigania ukombozi wa 27. Mfumo wa unyonyaji ulioshamiri sehemu za pwani ya Tanzania ni ___________
nchi zao? (A) Nyarubanja (B) Ubusore (C) Amukama (D) Umwinyi (E) Ubugabire.
(A) ZANU, PF - Zimbabwe (B) FRELIMO - Mozambique (C) UNIP - Zambia 28. __________ ni shirika la umoja wa mataifa linaloshughlikia wakimbizi
(D) MPLA - Angola (E) SWAPO - Namibia (A) UNESCO (B) WHO (C) UNHCR (D) GATT (E) ILO
12. Ipi kati ya haya mashirika ya UNO inahusika na chakula? 29. Mau mau walipigana na ukoloni ndani ya __________________
(A) UNICEF (B) UNESCO (C) FAO (D) ILO (E) UNHCR (A) Angola (B) Msumbiji (C) Malawi (D) Kenya (E) Unguja
13. Mahakama ipi inahusika na kesi za mauaji kwa Tanzania? 30. Baada ya mkutano wa Berlini, uliopelekea kugawanywa kwa Bara la Afrika
(A) Mahakama ambayo mauaji yalitokea (B) Mahakama Kuu miongoni mwa Mataifa ya Ulaya Tanganyika ilikuwa chini ya ?
(C) Mahakama yoyote (D) Mahakama ya Rufaa (E) Mahakama ya Mwanzo (A) Wajerumani (B) Waingereza (C) Wareno (D) Wafaransa (E) Waitalia.
14. Nchi ya mwisho kujipatia uhuru kwa bara la Afrika ni ____________________
2
33. The evening meal is called _________________ THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
(A) breakfast (B) dinner (C) lunch (D) tea (E) meal
34. My uncle’s wife is known as _________________ PRESIDENT’S OFFICE
(A) Niece (B) Mother-in-laws (C) Nephew (D) Aunt (E) Cousin REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
35. The citizen of Sudan is a ___________________ AUTHORITIES
(A) Sudans (B) Sudan (C) Sudanist (D) Sudanian (E) Sudanese
FIRST REGIONAL MOCK EXAMINATION FOR STANDARD VII -
36. A person who sells thing in a shop is called _______________
2019
(A) A shopkeeper (B) A teacher (C) A tailor (D) carpenter (E) A driver.
MTWARA REGION

SECTION C: COMPOSITION
In question 37 - 40, you have been given incorrectly arranged sentences, there- 02 ENGLISH LANGUAGE
fore, arranged these sentences in a good order by giving them letter A, B, C, and TIME: 1:30 HRS
D in order to provide a clear meaning. THURSDAY: : 17/05/2019

37. When her mother came from work, she did not find the meat. Starting time 8:00 - 9:30 Moning
38. Jane opened the cupboard and took the meat.
39. One day Jane’s mother bought same roosted meat and put in the cupboard INSTRUCTIONS:
before she left to work. 1. This paper consists of 45 question in section A, B, and D
40. The girl was punished as she was a thief. 2. Answer all questions in each section.
3. Read all the given instructions in each section.
SECTION D: COMPREHENSION 4. Question number 1 - 40 carries 01 mark each. Shade the letter of the
Read the passage carefully, and then answer the question 41 - 45 by writing the correct answer for each question in the answer sheet provided; for
correct answer in the answer sheet provided. example, if the correct answer is A shade as follows:-

Malingumu lives with his parents. On a school day , Malingumu wakes up eary in the [A] [B] [C] [D] [E]
morning. He brushes his teeth. He puts on his school uniform. He eats brakfast and
goes to school. After school he returns home. He does his homework in the evening. He 5. Use HB pencil only.
eats dinner and goes to bed. 6. If you have to change your aswer, you must rub out the shading very
neatly before shading the new one. Use a clean rubber.
QUESTIONS 7. In Questions 41 - 45 use BLUE of BLACK pen and question carries
41. What does Malingumu eat before he goes to school? 02 marks each.
42. Where does Malingumu go after school? 8. All answers should be written in the answer sheet provided.
43. When does Malingumu do his homework? 9. Write your Examination Number in every page of the answer sheet
44. Whom does Malingumu live with ? provided.
45. What else does Malingumu do when he wakes up early in the morning? 10. Cellular phones are not allowed in the Examination room.

3
SECTION A: GRAMMAR (A) Writing (B) written (C) writes (D) wrote (E) write
Choose the words(s) that complete the sentence by shading the letter of the cor- 18. The head prefect ___________ more about school baraza next Monday.
rect answer in the answer sheet provided. (A) is explaining (B) has explain (C) will explain (D) explains (E) explaining
1. They are going to ________________ football. 19. __________of being intelligent, Juma didn’t pass his examinations.
(A) Plays (B) Playing (C) Play (D) Played (E) Player (A) because (B) although (C) inspite (D) even (E) despite
2. ________ Erastus and Ashura are in class three. 20. This is a pupil ___________ bag was stolen.
(A) All (B) Also (C) So (D) Either (E) Both (A) which (B) whom (C) because (D) which (E) whose
3. This is her pencil. It is ______________ 21. While the Doctor was prescribing the medicinal, said and Abdallh ______________
(A) hers (B) his (C) mine (D) he (E) her watching.
4. Is there ____________ orange in the bucket? (A) was (B) were (C)are (D) has (E) is
(A) An (B) any (C) a (D) some (E) the 22. My mother is suffering ______________ malaria
5. No body can pass the examination __________he/she worked hard. (A) from (B) at (C) are (D) has (E) is
(A) if (B) both (C) just (D) unless (E) those 23. _________________ teachers ________________ pupils arrived to schoo early.
6. Six years a go, our class monitor __________ four years old. (A) As ---- as (B) So ----- that (C) Neither ---------nor
(A) were (B) is (C) are (D) was (E) have (D) Either ----or (E) Too ------ to
7. How __________ cups of tea do you drink a day? 24. We usually go to school _________________ foot
(A) many (B) much (C) some (D) any (E) soft (A) by (B) at (C) With (D) on (E) in
8. She was a school girl. _________________________ 25. A cat gets out of the room ____________ the windows
(A) Was she? (B) Isn’t she? (C) Wasn’t she? (D) Didn’t she? (E) Won’t she? (A) on (B) through (C) out (D) in (E) by
9. My mother is a tailor, she makes __________________ 26. They _______ letters every weekend
(A) Chairs and table (B) Chairs and mates (C) Ports and cups (A) wrote (B) written (C) writing (D)writes (E) write
(D) Mates and chairs (E) Dresses and shirts 27. ________ she goes to school; she will not perform better in the examinations
10. Magreth is the ________ girl in class seven. (A) Unless (B) When (C) But (D) Although (E) If
(A) strong (B) strongest (C) stronger (D) more stronger (E) strongs 28. They are ________ than others.
11. They walk as slowly ___________tortoise. (A) Most clever (B) Cleverest (C) More clever (D) Clevers (E) Most cleverest
(A) not only (B) to (C) but also (D) as (E) like 29. Not only Anna is tall ____________ strong
12. The President Magufuli ____________ Mikumi National Park next week. (A) enough (B) for (C) either (D) but also (E) because
(A) Visit (B) Visits (C) Will visit (D) Visiting (E) Visited 30. The snake entered in my bedroom ___________ the opened window.
13. Our head teacher will be _____________ at this time tomorrow. (A) Between (B) through (C) from (D) at (E) on
(A) flew (B) fly (C) to fly (D) flies (E) flying
14. The football players have _______ to Arusha. SECTION B: VOCABULARY
(A) Gone (B) going (C) goes (D) go (E) went Choose the best answer and write its letter in the answer sheet provided to
15. I bought _______________ umbrella for seven thousand question 31 - 36
(A) An (B) some (C) a lot (D) much (E) a 31. Oranges, mangoes, pineapples and watermelon can generally be called _____
16. After I had ___________ my work, I went out (A) fruits (B) food (C) flowers (D) beverages (E) gardeners.
(A) finish (B) finished (C) finishing (D) finishes (E) was finish 32. A word “purchase” can also be known as ________________
17. A girl who __________ this story died three years a go. (A) exchange (B) import (C) buy (D) export (E) sell
1 2
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

MTIHANI WA KWANZA MOCK MKOA DARASA LA VII - 2019

MKOA WA MTWARA

05 SAYANSI
MUDA: SAA 1:30
JUMATANO: TAREHE 17/05/2019

KUANZIA SAA: 4:00 - 5:30 Asubuhi

MAELEKEZO:
1. Karatasi hii ina sehemu A,na B
2. Jibu maswali yote katika kila sehemu.
3. Fuata maelekezo kwa kila sehemu.
4. Swali la 1 - 40 kila swali lina alama moja
5. Weka kivuli katika herufi ya jibu sahihi kwa swali la 1 - 40 katika
karatasi yako ya kujibia uliyopewa, kwa mfano kama jibu sahihi ni A
Weka kivuli kama ifuatavyo: -
[A] [B] [C] [D] [E]

6. Tumia penseli ya HB tu kwa swali la 1 - 40


7. Ukigundua kuwa herufi uliyowekea kivuli si jibu sahihi futa kivuli
hicho kwa umakini kwa kutumia KIFUTIO SAFI kabla ya kuweka
kivuli katika herufi mpya

8. Tumia peni ya BLUU au NYEUSI kujibu swali la 41 - 45 kila swali


lina alama mbili

9. Andika Namba yako ya mtihani kwenye karatasi yako ya kujibia.

10. Simu za mkononi haziruhusiwi ndani ya chumba cha mtihani.


SEHEMU A:
Chagua herufi ya jibu sahihi.
1. Ipi katika yafuatayo yenye mpangilio sahihi.
(A) Seli, ogani, tishu, mfumo (B) Seli, tishu, ogani mfumo
(C) Ogani, seli, tishu, mfumo (D) Seli, tishu, mfumo, ogani
(E) Mfumo, ogani, seli, tishu

2. Viungo vya mwili wa binadamu huishi kwa pamoja na _________


(A) Ukano (B) Misuli (C) Gegedu (D) Kano (E) Kimiminika

3. Maumbile kama ya vidole yaliyoko kwenye utumbo mwembamba yahusikayo na


kusharabu chakula kilichomeng’enywa huitwa __________
(A) Kimeng’enya (B) Vilasi (C) Umio (D) Kidoletumbo (E) Silia

4. Ipi kati ya vifuatavyo husaidia kuganda kwa damu? ______________


(A) Haemoglobini (B) Homoni (C) Haemofilia (D) Fibrinojeni (E) Sukari

5. Konokono wa majini husambaza ungojwa unaoitwa ____________


(A) Kichocho (B) Pepopunda (C) Kipindupindu (D) Surua (E) Matende

6. Sehemu ya ndani kabisa ya jicho ambapo picha ya kitu hufanyika anaitwa ____
(A) Lenzi (B) Retina (C) Mboni (D) Mboni ya jicho (E) Nyusi

7. Vitu vipi huitajika wakati wa kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyevunjika
mfupa?
(A) Mkasi, bandeji, vibanio vya bandaji, pini, pamba na spiriti
(B) Tatulo, sabuni, machela, pamba na spriti.
(C) Taulo, maji, mafuta na sabuni
(D) Blanketi, kiti, sabuni, kamba na makasi
(E) Blanketi, bandeji, mkasi na kamba.

8. Ni kundi lipi linawakilisha mashine rahisi?


(A) Nyundo, shoka, kisu , mkasi (B) Mkasi, gari, toroli na msumari
(C) Shoka, scrubu, mkasi na cherehani (D) Kitasa, toroli, baiskeli na msumeno
(E) Baiskeli, gari , cherahani na nyundo.

9. Kuyeyuka kwa barafu ni badiliko lipo la maada?


(A) Kikemikali (B) Kiumbo (C) Kimazingira (D) Kibiolojia (E) Kisaikolojia

10. Mchanganyiko upi unaweza kutenganishwa kwa kutumia sumaku?


(A) Vipande vya chuma na mchanga (B) Unga wa vipande vya karatasi
(C) Pina za plastiki na mchanga (D) Vipande vya kioo na mchanga
(E) Mchanga na vitu yabisi.

11. Mapambano ya kikemikali kati ya Asidi na besi huzalisha.


(A) Mafuta (B) Chumvi na maji (C) Chumvi na oksijeni (D) Maji na oksijeni
(E) Chumvi na kutu.
12. Kikohozi kikavu, homa, kutoka jasho wakati wa usiku na kukohoa damu ni dalili
za _______________
1
39. Uzito wa mzigo “x” katika mchoro ufuato ni kilo? (A) Kifua kikuu (B) Tetekuwanga (C) Pepopunda (D) Homa ya matumbo
g (E) Kifaduro

Sm 2 Sm 4 13. Ukiweka sarafu katika beseni lenye maji, sarafu hiyo itaonekana imepanda juu.
Hali hiyo hutokea kwa sababu _____________
(A) Sarafu hiyo ni nyepesi (B) Macho yana matatizo
(C) Mwanga umenyooka (D) Maji ni kidogo (E) Kuakisiwa kwa mwanga

Kg 50 X 14. Ili tuweze kulinda afya zetu yatupasa _____________________


(A) Kufanya mazoezi, kula chakula chenye virutubisho na kupumzika
(A) Kg 100 (B) Kg 2.5 (C) Kg 25 (D) Kg 250 (E) Kg 36.5 (B) Kula sana, kula chakula bora na kucheza.
(C) Kuepuka kazi ngumu, mazoezi na kula
40. Abiria katika daladala hujongea kwenda mbele pale tu gari linaposimama ghafla, (D) Kufanya mazoezi na kushiriki katika michezo
hii ni kwa sababu ya _________ (E) Kula vizuri na kufanya mazoezi nyakati zote.
(A) Nguvu (B) Mshituko (C) Msuguano (D) Inashia (E) Mwendokasi
15. Nini matokeo ya muunganiko wa gameti x - ya kiume na gameti x ya kike?
SEHEMU B: (A) Mapacha wasiofanana (B) Mtoto wa kike
Jaza nafasi zilizoachwa wazi katika maswali yafuatayo (C) Mapacha walioungana (D) Mtoto wa kiume (E) Mapacha wanaofanana.

41. Maji yaliyochemka kwa nyuzi 100 za sentigredi (C). Je hiyo ni nyuzi ngapi za 16. Mshipa wa ARTERI hujigawa katika mishipa midogomidogo iitwayo ___________
Farenhaiti? __________________ (A) Vena kava (B) Bronchiole (C) Valvu (D) Kapilari (E) Veini

42. Ni aina ipi ya Asidi ambayo husaidia kuua bakteria tumboni ________________ 17. Kipi kati ya hivi vifuatavyo hutumika katika kubuni tatizo katika utafiti wa
kisayansi?
43. Muungano wa kikemikali kati ya gesi ya haidrojeni na oksijeni huundwa (A) Mkusanyiko wa data (B) Mabunio (C) Uchambuzi wa data
kompaundi iitwayo _________________________ (D) Hitimisho (E) Utoaji wa maoni

44. Sehemu ya ubongo inayoratibu matendo yasiyo ya hiari hujulikana kama 18. Kutu ni matokeo ya mmenyuko wa kikemikali kati ya chuma + y + maji”
______________________ katika mlinganyo hu, “y” imewakilisha.
(A) Oksijeni (B) Tindikali (C) Naitrojen (D) Unyevunyevu (E) Kabonidayoksaidi
45. Chunguza mchoro ufuatao wa seli na andika sehemu iliooneshwa kwa herufi
M. ________________________ 19. Mchoro ufuatao unaonesha jaribio la mwale wa mwanga katika kioo bapa.

y° 35°
Mwale mtuo Kioo bapa

M Kawaida Mwale akisi


(A) 1800 (B) 350 (C) 700 (D) 900 (E) 1050

20. Sehemu ya mmea ambao husaidia kusafirisha maji na madini ya chumvi ni


(A) Maua (B) Majani (C) Zailemu (D) Stigma (E) Mbegu

21. Mimea aina ya kakatas huhifadhi maji yake katika _________________


(A) Miba (B) Maua (C) Mashina (D) Mizizi (E) Majani

5 2
22. Chunguza kwa makini mchoro ufuataokisha jibu swali. Iwapo balbu ya pili ikiungua, balbu ya ________________
(A) 3 tu itaendelea kuwaka (B) 1 na 3 zitaendelea kuwaka
Kamba (C) 1 tu itaendelea kuwaka (D) 1 na 3 nazo ziitaungua (E) 3 itaungua.

Keni ya yureka 30. Mtu mwenye tezi ya shingo (goita) iliyovimba huwa na upungufu wa madini ya
____________________
(A) Kasiamu (B) Potasimu (C) Madini joto (D) Fosforasi (E) Mawe ya chokaa

Jiwe 31. Mboga za majani na matunda, husaidia kutengeneza __________ mwilini


(A) Seli nyekundu (B) Seli nyeupe (C) Visahani vya damu
(D) Plasma ya damu (E) Uloto wa mifupa

32. Njia zifuatazo zinaweza kutumika kuhifadhi vyakula isipokuwa ____________


Dhumuni la jaribio katika mchoro huu ni kutafuta (A) Kutumia maji (B) Kupaka asali (C) Kukausha
(A) Ujazo wa keni ya yureka (D) Kutia chumvi (E) Kuoka
(B) Kiasi cha hewa kilicho katika keni ya yureki
(C) Eneo la jiwe 33. Mnyororo sahihi wa chakula kikolojia ni _____________________
(D) Mzingo wa jiwe (A) Tai Majani Chui Mbuzi
(E) Ujazo wa jiwe. (B) Majani Tai Chui Mbuzi
(C) Chui Tai Majani Mbuzi
23. Moja kati ya haya yafutayo si mlango wa fahamu (D) Majani Mbuzi Chui Tai
(A) Macho (B) Ngozi (C) Mdomo (D) Pua (E) Sikio (E) Tai Chui Mbuzi Majani

24. Tezi inayopatikana eneo la shingo uzalisha homoni iitwayo __________________ 34. Vitundu vidogo vidogo kwenye majani ya mimea huitwa. ______________
ambayo hudhibiti mmeng’enyo wa kalisiamu (chokaa) mwalini. (A) Spirako (B) Vinyweleo (C) Milija hewa (D) Matumvua (E) Stomata
(A) Pathormon (B) Thaimosis (C) Adrenalini
(D) Chakula katika kongosho (E) Testosterone 35. Lipi kati ya yafutayo linaonesha hatua sahihi za ukuaji wa inzi?
(A) Yai, Pupa, Lava, mdudu kamili (B) Yai, Lava, Pupa , Mdudu kamili
25. Mvutaji wa sigara huwa katika hatari kubwa ya kupata ______________ (C) Lava, Yai, Pupa, Mdudu kamili (D) Pupa, Mayai, Lava, Mdudu kamili
(A) Vidonda vya tumbo (B) Pumu (C) Tezi ya shino (E) Mdudu kamili, Lava na Yai
(D) Saratani ya mapafu (E) Mtoto wa jicho
36. Ili mbegu iweze kuota huitaji vitu vifuatavyo:
26. Kitu chochote chenye uzito na huchukua nafasi huitwa _______________ (A) Maji, Hewa na Jotoridi (B) Kabonidayoksaidi, maji na mwanga
(A) Atomu (B) Molekuli (C) Ombwe (D) Maada (E) Masi (C) Mwanga na Oksijeni (D) Maji, Oksijeni na Udongo
(E) Oksijeni, Maji na jotoridi
27. Kitu gani kati ya hivi vifuatavyo hakitumii sumaku?
(A) Hadubini (B) Luninga (C) Saa (D) Genereta (E) Miwani 37. Kitendo cha mmea kukua kufuta mwanga ujulikana kisayansi kama
(A) Haidrotropismu (B) Jiotropsmu (C) Movement
28. Kizio cha kazi (work) ni _________________ (D) Phototropismu (E) Osmosi
(A) Kilo (B) Newton (C) Tani (D) Juli (E) Gramu
38. Kemikali inayotumika kubaini uwepo wa chakula aina ya wanga inaitwa ______
29. Chunguza mchoro hapa chini kisha jibu swali linalofuata. (A) Besi (B) Asidi (C) Ayodini (D) Spiriti (E) Chumvi

Balbu
Balbu Balbu

3 2 1

3 4
Kokotoa swali 41 – 45 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA


NA. SWALI SEHEMU YA KAZI JIBU

41. Gari lilisafi


lilisafiri
ri umbali wa km 581 MTIHANI WA KWANZA MOCK MKOA DARASA LA VII - 2019
kwa muda wa wassaa
aa 7. Tafuta
wastani wa mwendokasi wake kwa MKOA WA MTWARA
saa. saa
kwa

42. Watu 8 hulima shamba kwa siku 04 HISABATI


16. Je, waongezeke watu wangapi
ili shamba limalizike kwa siku 4? MUDA: SAA 2:00
JUMATANO: TAREHE 16/05/2019

KUANZIA SAA: 4:00 - 6:00 MCHANA


43. Umri wa Esta ni miaka 12
pungufu ya umri wa Amina. Iwapo
jumla ya umri wao ni miaka 70. MAELEKEZO:
Tafuta umri wa Esta. 1. Karatasi hii ina sehemu A,na B
2. Jibu maswali yote katika kila sehemu.
3. Fuata maelekezo kwa kila sehemu.
44. Joel alikwenda dukani na 4. Swali la 1 - 40 kila swali lina alama moja
kununua vifaa vituatavyo:- 5. Weka kivuli katika herufi ya jibu sahihi kwa swali la 1 - 40 katika
x Mifuko 20 ya sukari @ sh.17,500/=
karatasi yako ya kujibia uliyopewa, kwa mfano kama jibu sahihi ni A
x Mabati 40 @ sh. 14,000/=
x Misumari kg 40 @ 1,800/=
Weka kivuli kama ifuatavyo: -
x Mbao 5 @ 18,000/= [A] [B] [C] [D] [E]

Tafuta kiasi cha fedha alichotumia. 6. Tumia penseli ya HB tu kwa swali la 1 - 40

7. Ukigundua kuwa herufi uliyowekea kivuli si jibu sahihi futa kivuli


45. Bakari aliweka fedha zake benki hicho kwa umakini kwa kutumia KIFUTIO SAFI kabla ya kuweka
kiasi cha sh. 120,000/= na kupata kivuli katika herufi mpya
faida ya shilingi 18,000/= baada
ya fedha hizo kukaa kwa muda wa
miezi 9. Je, benki hiyo hutoa riba 8. Sehemu B ina maswali 05 yenye alama 02 kwa kila swali, unatakiwa
ya kiasi gani kwa mwaka? kukokotoa kwa kuonesha njia au kuchora na kuandika jibu kwenye
eneo lililotengwa kwa kutumia peni ya BLUU au NYEUSI

9. Andika Namba yako ya mtihani kwenye karatasi yako ya kujibia.

10. Simu za mkononi haziruhusiwi ndani ya chumba cha mtihani.

7
Na SWALI SEHEMU YA KAZI JIBU Na SWALI SEHEMU YA KAZI JIBU

1. 5,473,523 - 4,132,501 = 39. Tafuta eneo la sehemu iliyotiwa


(A) 2,874,925 (B) 1,341,022 kivuli
(C) 945,387 (D) 945,389
(E) 1,331,022
Sm 2
2. 4,132,501 + 1,341,022 Sm 2.5
(A) 5,473,523 (B) 4,376,53
(C)1,736,520 (D) 4,376,563
Sm 5
(E) 27,061,985

3. 4,187 53 = (A) Sm2 25 (B) Sm2 10 (C) Sm2 12


(A) 97 (B) 89 (C) 79 (D) 709 (E) 69 (D) Sm2 3 (E) Sm2 14

4. 816 x 555 = 40. Tafuta mzingo wa nusu duara


(A) 452,880 (B) 404,880 lifuatalo
(C)422,880 (D) 442,880 Sm
m 3535
(E) 102,880

5. 65/11 - 22/15 =
(A) 43/15 (B) 475/165 (C)415/33
(D) 4 /165 (E) 453/165
22

6. 2.04 - 1.947 =
(A) 0.093 (B) 9.8 (C) 9.3 (D) 0.93 (A) m 99 (B) m 90 (C) 35 m
(E) 0.98 (D) m 89 (E) m 92

7. 31/5 + 91/2 =
(A) 13 (B) 137/10 (C) 122/10
(D) 122/7 (E) 127/10

8. 0.0024 0.08 =
(A) 3 (B) 0.3 (C) 0.003 (D) 0.03
(E) 0.042

9. 4.673 + 46.92 + 0.5


(A) 5292 (B) 510.9 (C) 54.093
(D) 52.093 (E) 51.093

10. -
9 + (-4 + +3) =
(A) (+10) (B) (-10) (C) (-9) (D) (-7)
(E) (-2)

11. (-3) - (-18) =


(A) (-19) (B) (+9) (C) (+15) (D) (+19)
(E) 16

12. Tafuta thamani ya x katika mlingayo


ufuatao.
x - 3(12 + 10) = 5
(A) 46 (B) 24 (C) 25 (D) 71 (E) 70
2 7
Na SWALI SEHEMU YA KAZI JIBU Na SWALI SEHEMU YA KAZI JIBU
35. Tafuta mzingo wa uwanja wa mpira 13. Kuna 1/4 ngapi katika 36?
ufuatao. (A) 9 (B) 40 (C) 32 (D) 124 (E) 144

14. Ikiwa x:y = 2.5:6.4


M 70 Tafuta thamani ya “y” iwapo x = 1.5
(A) 3.3 (B) 3.9 (C) 4.90 (D) 9.75
M 100 (E) 10.00

(A) M 700 (B) M 34 (C) M 420 15. Tafuta namba mraba ya 22/5
(D) M 480 (E) M 280 (A) 24/10 (B) 12/5 (C) 144/25 (D) 400/25
(E) 16/5
36 Tafuta thamani ya pembe “m”
16. Rahisisha 3(m - n) + 5n - 7m
(A) 4m - 2n (B) -4m - 2n
m° (C) 2n - 4m (D) 3m - 3n
A B (E) -4m - 8n

C
17. Badili 2.28 kuwa asilimia
D
145° (A) 228% (B) 0.228% (C) 2.28%
(D) 0.0228% (E) 22.8%

18. Andika MCLXVI kwa namba ya


(A) 1800 (B) 350 (C) 450 (D) 1450 kawaida
(E) 900 (A) 1116 (B) 1146 (C) 1166 (D) 1164
(E) 1516
37. Shule ya Mwongo ina wanafunzi
690. Ikiwa 2/3 ya wanafunzi 19. Tafuta KKS cha namba 12, 24 na
walifanya vizuri kwenye jaribio. 36
Je, ni wanafunzi wangapi hawakufanya (A) 6 (B) 12 (C) 24 (D) 36 (E) 72
vizuri? 20. Tafuta KDS cha namba 9,15 na
(A) 230 (B) 360 (C) 440 (D) 260 18
(E) 168 (A) 3 (B) 12 (C) 24 (D) 36 (E) 72

38. Ukubwa wa mche mstatili ni 21. Andika namba inayofuatia katika


sm3 6,783. Tafuta thamani ya “h” mfululizo huu 1, 8, 27 _________
(A) 34 (B) 41 (C) 35 (D) 54
(E) 64

22. Kuna namba witiri ngapi kati ya


73 na 92?
Sm h (A) 5 (B) 7 (C) 9 (D) 4 (E) 3
Sm 17
Sm 19 23. Kadiria 93,485 katika maelfu
yaliyo karibu.
(A) Sm 38 (B)Sm 21 (C) Sm 12 (A) 93,480 (B) 90,485
(D) Sm 35 (E) Sm 28 (C) 90,480 (D) 93,400
(E) 93,000

24. Wastani wa uzani wa watoto


watano ni kg 64. Uzani wa watoto
wanne ni kg 70, kg 85, kg 55 na
6 3
Na SWALI SEHEMU YA KAZI JIBU Na SWALI SEHEMU YA KAZI JIBU
kg 60. Tafuta uzani wa mtoto wa 31. Mchoro ufuatao unaonesha
tano. matumizi ya jumla ya sh 720,000/=.
(A) kg 40 (B) kg 45 (C) kg 50 Je, Shilingi ngapi zilitumika
(D) kg 60 (E) kg 65 kununua nguo?
g

25. Tafuta tofauni ya


225 na 144 Shule
(A) 3 (B) 47 (C) 81 (D) 18 Nguo
2
(E) 369 5/
20%
26. Zidisha kama 6 m 350 kwa 25 Chakula
(A) Km 1 m 5887
(B) km 158 n 750
(C) km 158750 (A) Sh. 238,000/= (B) Sh 882,000/-
(D) km 1587 m 50 (C) Sh 828,000/= (D) Sh 720,000/=
(E) km 15 na 8750 (E) Sh 270,000/=

27. Iwapo a = 4, b = 3, c = -2 32. Tafuta mzingo wa pembetatu pacha


Tafuta thamani ya ifuatayo
b2 + a2 = c3
a-c
(A) 81/2 (B) 51/2 (C) 9 (D) 9 9/20 Sm (3x + 2) Sm (x + 6)

(E) 4/2000

28 Badili 0.0625 kuwa sehemu rahisi.


(A) 1/16 (B) 1/6 (C) 1/26 (D) 2/8 (E) 5/15 Sm 48

29. Tafuta thamani ya “a” katika (A) Sm 46 (B) Sm 56 (C) Sm65


umbo lifuatalo
y . (D) Sm 64 (E) Sm 72

33. Tafuta thamani ya “x” katika umbo


lifuatalo
(x – 10) (3x - 20)
(5x + 30)

3a
(A) 900 (B) 200 (C) 250 (D) 300
(E) 350
(A) 240 (B) 260 (C)480 (D) 120 (E)210
34. Tafuta eneo la mstatili ABCD wenye
30. Tafuta mzingo wa umbo lifuatalo mzingo wa sm 50.
Sm (4a – 10) A B

m (x + 2)
Sm (2a -15)
C m (2x + 5) D
Sm (2a + 40)
(A) m2 126 (B) m2 1360 (C) m2 14.6
(A) Sm 150 (B) Sm 250 (C) Sm 520 (D) m2 156 (E) m2 225
(D) Sm 1500 (E) Sm 534
4 5

You might also like