Professional Documents
Culture Documents
Elimu Plus Exams - Kiswahili Vii
Elimu Plus Exams - Kiswahili Vii
KISWAHILI
3. Weka kivuli katika kila tarakimu ya namba yako ya mtihani kwenye nafasi
husika fomu ya OMR
4. Weka kivuli kwenye herufi ya jibu lililosahihi kwa swali 1-40. Kwa mfano jibu
ni C weka kivuli kama ifuatavyo.
_______________________
ElimuplusExams Volume…1
SEHEMU A: (ALAMA 35)
Sikiliza kwa makini kifungu cha habari utakachosomewa kisha jibu maswali 1-5
kwa kuchagua jibu sahihi.
8. Mwanaume Yule amenyeshewa na mvua. Sentensi hii ipo katika aina gani
ya kauli katika kauli za utendaji.
(A) Kutenda (B) Kutendeka (C) Kutendewa (D) Kutendwa (E) Kutendea
10. Wingi wa neno jipya ni mapya. Je umoja wa neno ‘’Madhumuni’’ ni lipi kati
ya maneno yafuatayo? (A) Dhumuni (B) Madhumuni (C) Thumini
(D) Mathumuni (E) Mazumuni
_______________________
ElimuplusExams Volume…1
11. Mahali wanapo wekwa watuhumiwa ilikusubiria kesi zao kusikilizwa
huitwa?_______________
(A) Kizimbani (B) Kanisani (C) Mahakamani (D) Mahabusu (E) Gerezani
16. Katika maneno yafuatayo neno lipi lina maana sawa na neno “Posho”
(A) Kifungua kinywa (B) Ajira (C) Mshahara (D) Motisha (E) Tija.
18. Mimi sitahudhuria kabisa katika sherehe ile.Andika katika kauli taarifa ya
sentensi hii. (A) Alisema kwamba mimi sitahudhuria sherehe ile (B) Alisema
kwamaba yeye atahudhuria sherehe ile (C) Alisema” sitahudhuria
sherehe ile” (D) Alisema mimi sitahudhuria sherehe ile (E) Yote ni sawa.
19. Nomino tembo iko katika ngeli ya A-WA. Je,nomino ugonjwa ipo katika
ngeli gani?
(A) KI-VI (B) A-WA (C) U-YA (D) LI-YA (E) U-ZI
20. Kijana aliyegongwa na gari amefariki dunia. Hii ni sentensi gani kati ya aina
za sentensi?
(A) Ambatano (B) Tegemezi (C) Sahili (D) Changamano (E) Shurutia.
_______________________
ElimuplusExams Volume…1
22. Nyumba hii ina ________________ nyingi sana ndani. Lipi ni neno sahihi
linalokamilisha sentensi hii kwa usahihi.
(A) Thamani (B) Samani (C) Thamani (D) Dhamani (E) Zamani
24. Paa la shule limeezuliwa na upepo. Sentensi hii ipo katika kauli gani?
(A) Kutendwa (B) Kutendewa (C) Kutendea (D) Kutendeka (E) Taarifa
27. Kifungu kipi cha maneno kinakamilisha methali ifuatayo kwa usahihi?
Mambo ni kingaja (A)Vitendo si kingaja (B) Mazoea huleta dharau
(C) Huenda yasije (D) Huenda yakaja (E) Tusiyasubirie sana
28. Chego ana shingo ngumu. Maana sahihi ya sentensi hii “kuwa na shingo
ngumu’’ ni__________________ (A)Kutokugeuka kwa shingo (B) Kuwa
mvumilivu (C) Kuwa mkaidi (D) Kuwa kigeugeu (E) Kuwa na shingo ndefu
29. Kiangazi chote na lala usingizi yakija masika nakesha,Tegua kitendawili hiki
(A) Mvua (B) Siku (C) Samaki (D) Jua (E) Chura
31. Ana hupenda sana kuchagua vitu na mara nyingi huambulia vitu vibovu.
Je ni methali ipi kati ya zifuatazo inasadifu maelezo hayo?
(A) Ukitaka kuruka agana na nyongo (B) Mchagua nazi huibukia koroma
(C) Lisilokuwa na budi hutendwa (D) Mtaka cha uvunguni sharti uiname
(E) Mgaa na upwa hali wali mkavu.
32. Tegua kitendawili, Kwa mfalme hawa wanatoka hawa wanaingia. Jibu
lake ni________________________
(A) Nywele (B) Miguu (C) Nyuki mzingani (D) Moyo (E) Zipu
_______________________
ElimuplusExams Volume…1
33. Vitendawili vifuatavyo jibu lake ni kinyonga, Isipo kuwa kimoja, nacho ni kipi
?
(A) Huuwawa na uzazi wake (B) Humshindi Rosa kwa mavazi
(C) Tajiri wa rangi (D)Bibi kafa kaniachia pete
(E) Akitembea huringa hata akiwa hatarini.
_______________________
ElimuplusExams Volume…1
SEHEMU C (ALAMA 10) USHAIRI
Soma shairi hili kwa makini kisha jibu maswali yafuatayo.
MASWALI
41. Badala ya kutumia neno Rabana mwandishi angeweza kutumia neno
gani?___________________________________________________________________
_________________________________________________________________________
_______________________
ElimuplusExams Volume…1
UFAHAMU WA KUSIKILIZA
Soma ufahamu kwa makini; Soma
mara tatu. (3)
Serikali ya Brazili imeisamehe Tanzania
deni la Dola za Marekani milioni 203 sawa
na shilingi bilioni 445 lililo tokana na
mkopo uliotolewa kwa ajili ya ujenzi wa
Barabara ya Morogoro-Dodoma mwaka
1979.
Balozi wa Tanzania nchini Brazili, Dk.
Emmanuel Nchimbi alisaini mkataba huo
kwa niaba ya Tanzania huku Wakili wa
Hazina ya Taifa, Dk. Sonia Portella Nunes
akisaini kwa niaba ya Serikali ya Brazili.
Balozi Nchimbi aliishukuru serikali ya Brazili
kwa msamaha huo ambao alisema
umeunga mkono jitihada za Rais Samia
Suluhu za kujenga uchumi imara kwa
Tanzania.
Aliihakikishia Brazili utayari wa Tanzania
katika kuimarisha ushirikiano wa kibiashara
na kiuchumi na Taifa hilo la Brazili.
_______________________
ElimuplusExams Volume…1