Professional Documents
Culture Documents
Kiswahili March 2023
Kiswahili March 2023
KISWAHILI
MAELEKEZO
1. Karatasi hii ina sehemu A, B na C zenye jumla ya maswali kumi na moja (11)
2. Jibu maswali yote kutoka sehemu A na B na maswali mawili kutoka sehemu C, swali la
kumi ni la lazima
3. Sehemu A ina alama kumi na sita (16), sehemu B ina alama hamsini na nne (54) na
sehemu C ina alama thelathini (30).
4. Zingatia maelekezo ya kila sehemu na ya kila swali.
5. Simu za mkoni na vitu vyote visivyoruhusiwa haziruhusiwi katika chumba cha mtihani.
6. Andika JINA LAKO KAMILI katika kila karatasi ya kujibia.
1. Chagua herufi ya jibu sahihi katika vipengele (i) hadi (x), kisha andika herufi ya jibu hilo
katika kijitabu chako cha kujibia.
i. Baada ya kumaliza darasa la saba na kufanikiwa kufaulu kujiunga kidato cha kwanza,
mama alinunua zawadi ya kamusi yenye lugha ya Kiswahili, Kingereza na Kifaransa. Je
hii ni aina gani ya kamusi?
ii. Tulipowaona tulifurahi sana. Kiambishi kilichopigiwa mstari kwenye neno hilo kimefanya
kazi kama kirejeshi cha
A. Mahali D. Mtenda
B. Mtendwa E. Mtendewa
C. Wakati
iii. Kucheza kwake kunafurahisha. Neno lililokolezwa wino ni aina gani ya neno?
1
iv. Usanifishaji wa lahaja ya kiunguja ulifanywa na wageni ambao ni
vi. Ni hadithi zipi zinazoelezea chanzo au asili ya maumbile fulani, zinazotumia wahusika
mbalimbali?
vii. Katika mpangilio wa ngeli za nomino, ni ngeli ipi inahusisha viumbe vyenye uhai tu:
ix. Bainisha kipengele cha maudhui ambacho kinachunguza jinsi mtunzi wa kazi ya fasihi
anavyoyaona maisha
A. Mofu D. Mzizi
B. Mofu huru E. Mofu tegemezi
C. Mofimu
2
ORODHA A ORODHA B
3
(i) Kishazi hutu kimoja
(ii) Kishazi tegemezi kimoja na kishazi huru kimoja
(iii) Kishazi huru kimoja na kishazi tegemezi kimoja
(iv) Vishazi tegemezi viwili na vishazi huru viwili
MASWALI
4
SEHEMU C (Alama 30)