Professional Documents
Culture Documents
102 3 QNS
102 3 QNS
102/3 - Karatasi Ya 3
KISWAHILI - (Fasihi)
JARIBIO LA 4 2023 – MUDA 1 ¾
Sahihi ………………….…...…………………..............Tarehe……………………………………......
JARIBIO LA
Maagizo
a) Andika Jina lako na nambari yako ya mtihani katika nafasi ulizoachiwa hapo juu
b) Tia sahihi yako kisha uandike tarehe ya mtihani katika nafasi ulizoachiwa hapo juu
c) Jibu maswali manne pekee
d) Swali la kwanza ni la lazima
e) Maswali hayo mengine matatu yachaguliwa kutoka sehemu nne zilizobaki, yaani: Riwaya,
2023
Tamthilia, Fasihi simulizi na Hadithi Fupi
f) Usijibu maswali mawili kutoka sehemu moja
g) Majibu yote lazima yaandikwe kwa lugha ya Kiswahili
Watahiniwa ni lazima wahakikishe kwamba kurasa zote za karatasi hii zimepigwa chapa sawasawa na
kuwa maswali yote yamo.
FUNGUA UKURASA
©2023 KENYA HIGH SCHOOL EXAMINATIONS
JLK42023 1
SEHEMU A: USHAIRI
Swali la lazima.
1.Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali. (alama 20)
Mbio hizino twendazo, twendapi mbio hizino?
Mbio zisizo viuzo, ni mbio za mashindano!
Mbio za mfululizo, mbele zina mgongano
Mbio hazina vigezo, twaendapi mwendo huno?
au
5. (a) Fafanua umuhimu wa mazungumzo kati ya Luka, Beni na Yona katika kujenga tamthilia ya “Bembea
ya Maisha” (alama 10)
(b) "Bembea inapolika na kukatika haiwi mwisho wa michezo.Huungwa na mchezo kuanza tena."
Thibitisha ukweli wa kauli hii kwa kutolea mifano mwafaka tamthiliani. (alama. 10)
1. “Yu wapi kirukanjia wako? Wajua yuko wapi? Uliacha mbachao kwa msala upitao. Atakutunza nani,
maana kwako fadhila za punda ni mashuzi!”
a. Yaweke maneno haya katika muktadha wake. (alama 4)
b. Taja mbinu mbili za lugha zilizotumika katika dondoo hili. (alama 2)
c. Bainisha toni ya dondoo. (alama 1)
d. Fafanua sifa zozote tatu za mzungumziwa. (alama 3)
©2023 KENYA HIGH SCHOOL EXAMINATIONS
4
e. Kwa kurejelea hadithi “Fadhila za punda” onyesha ukweli wa kauli kuwa fadhila za punda ni mashuzi
kwa mifano mwafaka. (alama 10)
Au
2. Huku ukirejelea hadithi zifuatazo tano jadili maudhui ya migogoro kwa kutoa mifano maridhawa.
(alama 20)
a. Fadhila za punda
b. Msiba wa kujitakia
c. Mapambazuko ya machweo
d. Harubu ya maisha