Professional Documents
Culture Documents
KISWAHILIF3
KISWAHILIF3
MUDA:MASAA 3:00
MAELEKEZO
01. Mtihani huu una sehemu A, B na C.
02. Jibu maswali yote toka sehemu A, B na maswali mawili (2 ) kutoka sehemu C.
03. Fuata maelekezo ya kila sehemu.
04. Andika jina katika kila karatasi ya kujibia.
Page 3 of 4
SEHEMU C: ( ALAMA 30)
Chagua maswali mawili (2) kutoka sehemu hii
ORODHA YA VITABU:. WAANDISHI :
TAMTHILIYA:
Ngoswe Penzi kitovu Cha uzembe. E. Semzaba
Kilio chetu. Medical Aid Foundation
Orodha Steve Reymond ( MA)
RIWAYA:
Takadini. Ben J. Harrison ( MBS )
Watoto wa mama ntilie E. Mbogo (HP)
Joka la mdimu. A. J. Safari
USHAIRI:
Malenga wapya TAKILUKI
Wasakatonge. M. S Khatibu
Mashairi ya Chekacheka
10. Kwa kuzingatia kanuni za uandishi wa mashairi ya kimapokeo Tunga shairi lenye
beti nne kuhusu ukatili wa kijinsia
11. Wasanii wa kazi za fasihi hutumia mandhari mbalimbali kuiwakilisha kazi ya kifasihi.
Kwa kutumia tamthiliya mbili ulizosoma onesha mandhari tatu (3) katika Kila kitabu
zilizotumiwa na watunzi kufikisha maudhui katika jamii.
Page 4 of 4