Professional Documents
Culture Documents
Kiswahili Paper 3 Questions
Kiswahili Paper 3 Questions
KISWAHILI
KARATASI YA 3
FASIHI
MACHI/APRILI 2023
MUDA: SAA 2 ½
Maagizo
c) Chagua mengine matatu kutoka sehemu nne zilizobaki yaani: Riwaya, Tamthilia,
f) Hakikisha kuwa kurasa zote zimepigwa chapa sawasawa na kwamba maswali yote yamo.
Nikabaki kunyongonya
Jaala kitumainia,
Mtima kijiinamia
Hatima kungojea.
Nalidhani wanichezea,
Lijaribu kupulizia
Limekuangaza jamani?
Mauko kutuleteya.
a) (i) Ainisha utungo huu kwa kuzingatia kipengele cha maudhui. (alama 1)
d) Tungo za aina hii zinaendelea kufifia katika jamii yako. Fafanua hoja tano utakazotumia
e) Unanuia kutumia mbinu ya kushiriki kufanya utafiti kuhusu tungo za aina hii. Eleza sababu
SEHEMU YA B: RIWAYA
Jibu swali la 2 au la 3
2. … alijua kwamba msimamo wake huu ungempalia makaa. Lakini alihiari kupoteza riziki yake
ili kuyaokoa maisha ya wanyonge wasio na hatia.
(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)
(b) Fafanua sifa za anayerejelewa katika dondoo. (alama 4)
(c) Huku ukirejelea wahusika riwayani, thibitisha kuwa hiari ya wahusika inawafanya kujipalia
makaa. (alama
12)
SEHEMU YA C: TAMTHILIA
Jibu swali la 4 au la 5
4. “ Maradhi! Madhila yake hayasemeki. Yakimla mtu humthakilisha. Humwacha hoi hana
mbele wala nyuma.Yakitaka huzichezea dawa mwajificho. Dawa zikiingilia huku, maradhi
hutokezea pale hali pesa zinakwenda, shughuli zinasimama ... Dunia ina mitihani tosha lakini
panapo maradhi sugu, uzito wake haumithiliki.”
(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)
(b) Bainisha mbinu nne za kimtindo zilizotumiwa kwenye dondoo. (alama 4)
(c) Huku ukirejelea hadithi, eleza sifa sita za msemaji wa kauli hii. (alama 12)
5. Sara: Nilipopata harufu ya mahamri nilijua bila shaka kwamba baba yako ameingia jikoni.
Neema: Mama sijaona baba akipika hivi karibuni.
Kwa kurejelea nukuu zilizotolewa hapa juu, fafanua usasa na utamaduni vilivyosawiriwa
tamthiliani. Kila upande utawe na hoja kumi kumi. (alama 20)
SEHEMU YA E: HADITI FUPI
6. “Nisikuone tena ofisini mwangu, mwanamke wewe. Kuja kuniaibisha, wapinzani wangu
(alama 4)
d) Jadili namna mbinu zifuatazo zilivyotumiwa na mwandishi wa hadithi Msiba wa Kujitakia. (alama 10)
(i) Kinaya
d) Jadili visababishi vyovyote sita vya matatizo yanayowakumba wahusika katika hadithi ya
SEHEMU YA D: USHAIRI
Maswali
ii) Tama
-MWISHO-