Professional Documents
Culture Documents
MAPAMBAZUKO DONDOO Na Majibu
MAPAMBAZUKO DONDOO Na Majibu
NEW 2024
DONDOO NA
MAJIBU
M A PA M B A Z U K O
YA M A C H W E O
B Y M WA L I M U
SIFUNA
1
MWALIMU SIFUNA WHATSAPP 0791801250
0718055483
1. Mume wangu, ninapoandika waraka huu, naomba uelewe kuwa wanao wawili
wanazidi kuumia. Labda unadhani unayoyafanya ni siri ila usilolijua ni
kwamba kila ufanyalo nalifahamu.
a) Fafanua muktadha wa dondoo hili (alama 4)
Ni maneno ya Bi suluhu katika barua kwa mumewe,
Yaliyosomwa na Abigael
Alikuwa kwenye chumba walipopatana Abigael na Bw. Suluhu.
Barua ilikuwa ya kumjulisha Suluhu kuwa yote aliyoyafanya yalijulikana
b) Tambua umuhimu wa mandhari katika dondoo hili katika kujenga maudhui
(alama 4)
Yachimuza maudhui ya uzinifu- Suluhu anashiriki mapenzi nje ya ndoa na
wasichana wadogo.
Maudhui ya uozo- Bw. Suluhu ana wapenzi wengi na ambao ni wachanga.
Anashiriki mapenzi na Abigael bila kujali kuwa atamwambukiza ugonjwa.
Kuimbua maudhui ya Unafiki- Suluhu anafikiri anapendwa na Abigael na hata
kufikiri kumwoa ilhali Abigael anajifanya na hata kupanga kumuua.
Ukatili- Abigael anaisagasaga dawa kwa nia ya kumpa Suluhu ili apate nafasi ya
kumuua./ kuteguliwa kwa kitendawili cha kifo cha mamake
Mapenzi- Suluhu anampenda Abigael na alitamani hata waoane. Anajiona kama
mfalme wakiwa na Abigael.
Majuto- Abigael anajutia kuingilia ndoa ya Suluhu na mkewe baada ya kusoma
kisa cha Bi. Suluhu.
Uwajibikaji- Abigael anaamua kuwajibikia maisha yake baada ya kusoma barua.
Barua ile ilifichua kutowajibika kwa Suluhu kwa familia, wananchi waliomchagua
na kwa Abigael kwa kutomwambia ukweli kuhusu afya yake.
c) Bainisha hulka nne za mzungumzaji (alama 4)
Sifa za Bi. Suluhu
Mvumilivu- anavumilia kusalitiwa kimapenzi na Suluhu Msiri - hakumwambia
yeyote siri z amumewe alizojua Mwajibikaji - aliweza kujitahidi na kuwalea wanawe
peke yake.
Mwadilifu- ansema angeweza kumfanyia mumewe mengi hata kumpa sumu ila
hakuyafanya
Mpelelezi/mpekuzi- anafanya uchunguzi wake na kujua mahusiano ya mumewe
Mshauri mwema- anamshauri Suluhu kumwambia Abigael ukweli
Mwenye mapenzi- alimpenda mumewe
d) Onyesha toni inayojitokeza katika dondoo hili (alama 2)
Toni ya uchungu- anaumwa kuwa watoto wake wanaumia kwa matendo ya
mumewe.
2
MWALIMU SIFUNA WHATSAPP 0791801250
3
MWALIMU SIFUNA WHATSAPP 0791801250
“Sikupita kwingine. Nilishika tariki moja kwa moja hadi…Huko nilikuta t ayari
yamechacha…”
6. Tukaangaliana. Hapo nikaanza kuukagua mwili wake Naisoma hasa.
Akanishika mkono kunisaidia kusimama. Nikaitikia. Moyo ukamridhia huyu
mridhia wa muda. Mwendo wa aste aste mpaka alipokuwa ameegesha gari.
Tukapiga selfie. Takawa kama tumejuana kwa muda mrefu. Nyoyo zetu
zikakurubiana. Akanifungulia mlango wa gari . Tukatifua vumbi la beach na
kuondoka. Sijakutana na mwanamume kama huyu, pengine kuona kwenye
sinema! Alikuwa wa asili ya kiarabu. Mweupe, macho yake ya wastani meupe
kama theluji ila malegevu. Uso wenye umbo la embe dodo, kidevu kimenyolewa
vizuri utadhani kimechongwa na kuacha uso kung'aa Nwyele za singa zinanukia
udi hasa. Mwili wote unanukia riha ibura ya uturi Mikono imechongeka vizuri
kwa misuli ya wastani Kifua nacho ni cha ngao! Usiseme magu u manene
yaliyoketi vizuri kwenye kaptura lake la buluu Alikuwa hana tenge huyu
Nikajipata nimenasika hapo usoni, naye akaniangalia akitabasamu. Ndipo
nikaona meno yaliyojipanga vizuri, meupe ya kuacha mwanya wa kutia nakshi
tabasamu lake. Ngozi yake imetepweka kama jejeta.
a) i)Eleza aina za taswira katika utungo huu (alama 5)
ii) Fafanua mbinu zingine tano zinazobainika kwenye utungo huu.(Alama 5)
b) Thibitisha ukweli wa kauli iliyopigiwa mstari kwenye kifungu hiki ukirejelea
hadithi ya Nilitamani (alama 10)
8. “Yu wapi kirukanjia wako? Wajua yuko wapi? Uliacha mbachao kwa msala
upitao. Atakutunza nani, maana kwako fadhila za punda ni mashuzi!”
a. Yaweke maneno haya katika muktadha wake. (alama 4)
b. Taja mbinu mbili za lugha zilizotumika katika dondoo hili. (alama 2)
c. Bainisha toni ya dondoo. (alama 1)
d. Fafanu asifa zozote tatu za mzungumziwa. (alama 3)
e. Kwa kurejelea hadithi “Fadhila za Punda” onyesha ukweli wa kauli kuwa
fadhila za punda ni mashuzi kwa mifano mwafaka. (alama 10)
4
MWALIMU SIFUNA WHATSAPP 0791801250