You are on page 1of 11

MAZOEZI YA KISWAHILI

( Mwalimu: SUGIRA )
DARASA LA 2

SURA YA 1:

1. MSAMIATI:
Eleza maana ya maneno yafuatayo:
a) Mama f) Kifaranga
b) Siku g) Kilimo
c) Dada h) Ufugaji
d) Samadi
e) Wanyama howa
e. Karo
f. Usiku
a. Mbolea g. Kupanda
b. Mifugo h. majira
c. Wanyamapori i. mazao
d. Mkulima

2. Andika vinyume vya maneno hapo chini:


a) Kuvuna (mazao)
b) Kupanda (ngazi)
c) Furaha
d) Kesho
e) Usiku.

3. SARUFI:

1. Andika wingi wa sentensi zifuatazo:

a) Nyanya anatazama runinga.


b) Kitabu change kimeraruka.
c) Kiranja anapanga wenzake mbele ya darasa.
d) Mlango wa bwalo hufunguliwa saa moja jioni kila siku.
e) Yeye ni ni mkulima nadhifui.

2. Andika aina za vivumishi vinavyopigiwa mstari katika sentensi zifuatazo:

a) Kuna wanafunzi wengi kiwanjani.


b) Mwalimu mwenyewe anafuta ubao.
c) Mifugo mikubwa barani Afrika ni ng’ombe, farasi na ngamia.
d) Mkulima mvumilivu hufanikiwa.
e) Wazazi wake hupanda aina tofauti za matunda
3. Andika wingi wa sentensi zifuatazo:

1. Nyanya anatazama runinga.


2. Kitabu change kimeraruka.
3. Kiranja anapanga wenzake mbele ya darasa.
4. Mlango wa bwalo hufunguliwa saa moja jioni kila siku.
5. Yeye ni ni mkulima nadhifui.

4. Andika aina za vivumishi vinavyopigiwa mstari katika sentensi zifuatazo:

1. Kuna wanafunzi wengi kiwanjani.


2. Mwalimu mwenyewe anafuta ubao.
3. Mifugo mikubwa barani Afrika ni ng’ombe, farasi na ngamia.
4. Mkulima mvumilivu hufanikiwa.
5. Wazazi wake hupanda aina tofauti za matunda.

5. Jaza jedwari ifuatayo kwa kutumia maamkizi

Maamkizi: Jibu:
a. Wambaje ………………
b. hongera ……………..
c. …………. Tunayo
d. Pongezi ……………..
e. ………….. Buriani dawa
f. Tuonane kesho ……………..

g. ………… binuru
h. asante …………….
i. salama ……………..
j. ………… sijambo
a. Taja majina ya pekee ya viongozi shuleni mwenu.
b. Andika aina za majina yanayochorewa mstari katika sentensi zifuatazo:
 Uasherati unaeneza ukimwi.
 Tulikuwa na furaha baada ya kuwaona wanyamapori.
 Ni wajibu wetu kuheshimu utajiri utokeapo nchini Rwanda.

SURA YA 2:

A. MSAMIATI:

1. Jibu maswali hapo chini:

a) Ni mwezi upi ulio katikati ya Mei na Julai?


b) Siku ya wafanyakazi husherekerewa duniani mwezi gani?
c) Taja mwezi wa
d) katika kalenda ya mwaka ni upi?
e) Andika jina la mwezi wa mwisho.
f) Taja majina ya majira ya mwaka. saba katika kalenda ya mwaka?
g) Mwezi ya kwanza
h) Kipindi kirefu cha jua kali kinaitwa vipi?

2. Andika Majina ya watu wanaofuata:

a. Mtu ambaye anaongoza shule.


b. Mtu ambaye anapokea karo ya shule.
c. Mtu ambaye anatunza vitabu maktabani.
d. Mwanafunzi ambaye anasimamia wengine shuleni.
e. Mtu ambaye anafua nguo na kuzipiga pasi.
3. Eleza maana:

a. Sare
b. Rubani
c. Bwalo
d. Bweni.
e. Waraka

4. Andika majina ya siku za wiki

.................. ………….. Jumatano ………….. Ijumaa ……….. …………

1 2 3 4 5 6 7

MATUMIZI YA LUGHA:

1. Jaza jedwali hapo chini kwa kujibu maamkizi:

a. Wambaje? …………
b. Pongezi. ………...
c. …………….. Salmini
d. Tuonane kesho. ………...
e. …………….. Buriani dawa

2. Tumia jedwali ifuatayo:

Umoja: Wingi:
1. Mimi …………..
2. ……… Nyie/ Nyinyi
3. Yeye ………….

3. Andika majina yafuatayo katika wingi:


a. Kijana
b. Mvulana
c. Mama
d. N’gombe.
4. Sahihisha sentensi zifuatazo:
a. Watoto wanaogelea ngambo ile ya moto
b. baba anafuga mbuzi ngombe na kondoo wengi
c. jINO ambalo linaniuma litaongelewa kesho
d. nyani nyingi zinaninginia katika miti hii
e. mimi sipendi watu ambao wananungunika kila siku.

II. UTUNGAJI

1. Andika baruwa kwa mzazi wako ukimweleza tarehe ya kufunga shule yenu.
2. Andika mwaliko kwa wanafunzi wa zamani wa shule yetu wahudhurie sherehe za kutoa
zawadi shuleni mwenu.
3. Kuna tofauti gani kati ya baruwa rasmi na baruwa ya kirafiki?

SURA YA 3

A. Andika katika wingi sentensi zifuatazo:


a) Ufunguo huu ni wangu.
b) Mama anafua sare yangu.
c) Mkono wangu wa kushoto unaniumiza.
d) Ng’ombe anakula majani.
e) Kijana yule ni ndugu yangu.
f) Uzi huu umekatika
g) Ukucha ule umeumia
h) Ukuta wa kushoto umebomoka
i) Waraka wa kualika timu yetu umeandikwa.
j) Kile kiti kitatumika namna gani?
k) Kuna chanda kinachoniumiza
l) Kiwete yule hawezi kusimama vizuri.
m) Kitenzi ni neno muhimu.

B. Jaza sentensi zifuatazo kwa kueleza maana.


a) Karne moja = miaka……………..
b) Saa moja = dakika………………...
c) Kikwi kimoja = miongo…………..
d) Siku moja = masaa……………….
e) Kikwi kimoja = miaka….…………

C. Andika vinyume vya maneno yafuatayo:


a) Mwanafunzi
b) Kuuza.
c) Karibu na
d) Wanyama howa
e) Kushoto.

D. Andika sentensi zifuatazo katika wakati unaopewa katika mabano:


a) Ulifanya nini kesho? (Ujao)
b) Sikuelewa kazi waliyofanya. (uliopo)
c) Baba hakupanda aina nyingi za matunda. (uliotimilika)
d) Ulikuwa wapi jana? (ujao)
e) Wazazi wa Yule kijana watafika kesho kutwa. (uliopita)

E. eleza maana:
1. mshambuliaji
2. golikipa
3. timu
4. chandarua
5. maabara
6. kipimajoto

SURA YA 4:

A. MSAMIATI:
a. Jibu maswali hapo chini

1) Andika majina mawili ya watu wa shuleni.


2) Andika majina mawili ya vifaa vya darasani.
3) Andika mifano miwili ya ndege wafugwao.
4) Andika aina 2 za wadudu.
5) Andika aina 2 za samaki.
6) Andika majina ya pande za Dunia.
7) Andika majira ya mwaka.
8) Eleza majina tano ya magonjwa
9) Andika majina tano ya zana za muziki.

b. Eleza maana ya maneno yafuatayo:


1) Siku
2) Jumamosi
3) Ikulu
4) Chumba
5) Kiamsha kinywa
6) Mtume
7) Mtakatifu
8) Mwokozi
9) Mwenyezi
10) Agano jipya
11) Injili
12) Biblia
13) Chandarua
14) Mfugo
15) Masika
16) Kuamkia.
c. Husisha maneno na vifungu vya maneno katika sehemu A na maelezo yake katika
sehemu B

Sehemu A Sehemu B

1. kifo a. mwili wa mmtu aliekufa

2. kaburi b. mtu aliekufa

3. jeneza c. mahali pa kupumzika kwa roho za watu


baada ya kufa

4. wakati mgumu d. mahali pa kuzika watu

5. maiti e. hali ya kukosa uhai

6. marehemu f. sanduku ya kuzika maiti

7. peponi g. shimo kwa ajili ya kuzika maiti

8. makaburini h. wakati wa msiba


B. MATUMIZI YA LUGHA:

a. Andika aina za maneno yanayochorewa mstari:


a) Matokeo ya mtihani yanatangazwa.
b) Mwalimu wetu wa Kiswahili alitupa zawadi.
c) Jumamosi asubuhi tuliondoka kuelekea mjini Kigali.

b. Andika aina za nomino (majina )zinazochorewa mstari:


a. Ulinzi ulioko huko ni wa hali ya juu.
b. Msongamano wa magari ulituvutia sana.
c. Tuliondoka asubuhi mapema kuelekea huko Kigali.

c. Tumia vitenzi katika mabano kwa usahihi:


a. Jana Mugisha (kupata) gari kuelekea mjini Kigali.
b. Kesho kutwa Maria (kuondoka) kwa basi.

d. Sahihisha sentensi zifuatazo kwa kutumia ngeli za majina:


a. Dada wangu anavuka mpaka wa Gatuna kuenda nchi ya Uganda.
b. Ng’ombe yangu inahitaji matibabu.
c. Kijana kile kinaandika vizuri mno.

e. Andika nyakati za vitenzi vinavyochorewa mstari:

a. Kiranja hutuwakilisha katika mikutano mingi ya shule.


b. Mkutubi anayesimamia ambapo vitabu huhifadhiwa hataki kurudi.
c. Mwalimu wa nidhamu anaadhibu waliofanya makosa.
d. Mwalimu mshauri wa wasichana hakuchunguza nidhamu ya wasichana.

f. Andika sentensi hizi katika hali kanushi au yakinishi:


1) Baba anakula mahindi.
2) Ng’ombe hakunywa maji.
3) Kuku wao hawakufa.
4) Mimi na wewe tunalima vizuri.
5) Kalisa hakulima shamba lake.
g. Andika aina za maneno yanayochorewa mstari hapo chini:

1) Wao wanalima na kupanda mibuni.


2) Ala! Wewe unapiga kelele?
3) Yule kijana ni mjukuu wa jirani yetu.

h. Andika wingi wa nomino zifuatazo:

a. Mto
b. Jiwe
c. Jembe
d. dada

i. Sahihisha sentensi zifuatazo kwa kutumia ngeli za majina:

1. Dada wangu anavuka mpaka wa Gatuna kuenda nchi ya Uganda.


2. Ng’ombe yangu inahitaji matibabu.
3. Kijana kile kinaandika vizuri mno.

j. Andika nyakati za vitenzi vinavyochorewa mstari:

1. Kiranja hutuwakilisha katika mikutano mingi ya shule.


2. Mkutubi anayesimamia ambapo vitabu huhifadhiwa hataki kurudi.
3. Mwalimu wa nidhamu anaadhibu waliofanya makosa.
4. Mwalimu mshauri wa wasichana hakuchunguza nidhamu ya wasichana.
k. Andika sentensi zifuatazo kwa kutumia kitenzi katika wakati uliopo:

1) Wewe (kuimba) vizuri. (tungo kanushi)


2) Mimi (kufanya) mtihani. (Tungo yakinishi)
3) Wewe na Aisha (kukimbia) haraka sana. (tungo kanushi)
4) Sisi (kuingia) darasani. (tungo yakinishi)
5) Yeye (kupenda) nchi yake. (tungo yakinishi)
l. Andika sentensi zifuatazo katika wingi:

1) Mama anafua sare.


2) Ng’ombe anakamuliwa maziwa.
3) Wewe unafanya nini?
4) Mwalimu anaandika ubaoni.

MAFANIKIO MEMA !!!

You might also like