Professional Documents
Culture Documents
Kitini Iv Sayansi - 062044
Kitini Iv Sayansi - 062044
JARIBIO LA 1 .......................................................................................................................... 1
JARIBIO LA 2 ............................................................................ Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 3 ............................................................................ Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 4 ............................................................................ Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 5 ............................................................................ Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 6 ............................................................................ Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 7 ............................................................................ Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 8 ............................................................................ Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 9 ............................................................................ Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 10 .......................................................................... Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 11 ........................................................................................................................ 2
JARIBIO LA 12 .......................................................................... Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 13 .......................................................................... Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 14 .......................................................................... Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 15 .......................................................................... Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 16 .......................................................................... Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 17 .......................................................................... Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 18 .......................................................................... Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 19 ........................................................................................................................ 4
JARIBIO LA 20 .......................................................................... Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 21 .......................................................................... Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 22 .......................................................................... Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 23 .......................................................................... Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 24 .......................................................................... Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 25 .......................................................................... Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 26 .......................................................................... Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 27 .......................................................................... Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 28 .......................................................................... Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 29 ........................................................................................................................ 5
JARIBIO LA 31 .......................................................................... Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 32 .......................................................................... Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 33 .......................................................................... Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 34 SFNA 2018 .................................................... Error! Bookmark not defined.
JARIBIO LA 35 SFNA 2019 ................................................................................................... 6
JARIBIO LA 36 SFNA 2020 ................................................................................................... 7
JARIBIO LA 37 SFNA 2021 ..................................................... Error! Bookmark not defined.
MAJIBU ...................................................................................................................................... 8
Jiandae Vema katika Somo la Sayansi na Teknolojia Galaxy Stationery - 0764 968 345 Ukurasa wa i
UTANGULIZI
Kitini hiki kimeandaliwa kwa mtindo wa Maswali na majibu mahususi kabisa
kwaajili ya wanafunzi wa darasa la nne kwa Mahiri zote kuanzia darasa la tatu
hadi darasa la nne ili kumwezesha pia kufanya marudio ya mahiri alizojifunza
madarasa ya nyuma. Kitini hiki kina majaribio 37 yenye maswali 25 kila jaribio na
ndani yake upo upimaji wa kitaifa (SFNA) 2018 hadi 2021. Maswali yaliyomo
humu yametungwa kutoka kwenye mahiri zote zilizopo kwenye Muhtasari wa
Elimu Msingi wa somo la Sayansi na Teknolojia kwa darasa la tatu na darasa la
nne. Kitini hiki kinaweza kumsaidia Mwalimu kuwaongoza wanafunzi kufanya
marudio ya mahiri mbalimbali kwa kufundisha au kwa kutoa majaribio hivyo ni
rafiki kwa Mwanafunzi na Mwalimu. Kila jaribio limeenezwa kwenye ukurasa
mmoja ili kupunguza gharama za urudufishaji.
Jiandae Vema katika Somo la Sayansi na Teknolojia Galaxy Stationery - 0764 968 345 Ukurasa wa ii
SHUKRANI
Ninapenda kutoa shukrani zangu za dhati kabisa kwa wote mtakaotumia bidhaa yetu hii
kwani Uwepo wenu ndio Uhai wetu.
bunduki76said@gmail.com
Jiandae Vema katika Somo la Sayansi na Teknolojia Galaxy Stationery - 0764 968 345 Ukurasa wa iii
JARIBIO LA 1
1. Chagua jibu sahihi katika machaguo uliyopewa kisha uandike herufi ya jibu sahihi kwenye mabano
i. Ni kitu gani kitatokea kwa panzi iwapo atafungiwa kwenye chupa?
A. Atashindwa kuruka B. Atataga mayai C. Atakosa hewa D. Atakosa mwanga ( )
ii. Vifuatavyo ni vitu ambavyo husabahisha uchangiaji mkubwa wa uharibifu wa mazingira ISIPOKUWA:
A. Moshi wa viwandani B. Mifugo mingi katika eneo dogo C. Miti na nyasi D. Ukosefu wa mvua ( )
iii. …………….. ni njia kamili ya umeme. A. sakiti B. betri C. waya D. taa ( )
iv. Vifuatavyo ni vifaa vya mawasiliano kwa njia ya kisasa isipokuwa:
A. runinga B. ngoma C. redio D. simu ( )
v. Yafuatayo ni magonjwa yanayoambukiza isipokuwa: A. pumu B. surua C. kifua kikuu ( )
2. Linganisha orodha kwenye orodha A na B kisha andika herufi ya jibu sahihi
ORODHA A JIBU ORODHA B
(i) Puru ( ) A. Hufyonza maji na madini
(ii) Utumbo mwembamba ( ) B. Hutoa asidi inayoua vijidudu kwenye chakula
C. Huhifadhi kinyesi kwa muda
(iii) Utumbo mpana ( )
D. Hufyonza chakula baada ya mmeng’enyo
(iv) Tumbo ( ) E. Huondoa sumu ndani ya chakula
(v) Umio ( ) F. Hupitisha chakula kwa njia ya mawimbi hadi tumboni
3. Jibu kipengele (i) - (v) kwa kuchagua neno sahihi kutoka kwenye kisanduku na kuliandika
hutawanyika pande zote, Sauti, Nishati ya umeme, husafiri katika mstari mnyoofu,
Midia angavu tofauti, Kivuli,
i. Umbo lenye kiza baada ya mwanga kuzuiwa na kitu hujulikana kama ……………………………………
ii. ………………………………………………………………………….… husababisha mwanga kupinda.
iii. Huweza kubadilika katika aina mbalimbali za nishati kama mwanga, joto na sauti. ………….…………..
iv. Sifa ya mwale wa mawanga ……………………………………………………………………………….
v. ……………………………………………………………………………. husafiri kwa njia ya mawimbi.
4.Umepewa hatua A-F ambazo ni hatua za kufanya jaribio la kisayansi. Zipange hatua hizo katika mtiririko
mzuri. Andika sentensi hizo katika nafasi iliyoachwa wazi. Hatua ya sita imetolewa kama mfano.
A. Kuandaa vifaa HATUA SENTENSI
B. Kuchambua data i. Hatua ya 1
C. Kutafsiri matokeo ii. Hatua ya 2
D. Kufanya jaribio na kukusanya data iii. Hatua ya 3
E. Kubuni dhanio iv. Hatua ya 4
F. Kubainisha tatizo v. Hatua ya 5
vi. Hatua ya 6
Kutafsiri matokeo
5. Chunguza kwa makini michoro ifuatayo kasha jibu kipengele (i) - (v)
MASWALI
i. jiko lililopewa herufi A ni aina gani ya jiko? ……………………..
ii. Nishati gani inahitajika kwaajili ya jiko A? ……………………….
B iii. Ni jiko lipi kati ya hayo husababisha uharibifu wa mazingira kwa
kiasi kikubwa? ……………………………………………………..
iv. Kufungua koki ya mtungi wa gesi ili kuruhusu gesi ifike kwenye
jiko ni hatua ya kwanza ya kufuata wakati wa kutumia jiko
lililoonyeshwa kwa herufi ipi? …………………………………….
v. Taja athari moja ya kimazingira ambayo husababishwa na
D matumizi ya jiko B na C ………………………………...…………
JARIBIO LA 10
1. Chagua jibu sahihi katika machaguo uliyopewa kisha uandike herufi ya jibu sahihi kwenye mabano
i. Wataalamu wanaelekeza kuwa vitendo vya ukataji wa miti ovyo husababisha kuongezeka kwa hewa ya
…. katika anga. A. oksijeni B. kabonidayoksidi C. haidrojeni D. moshi ( )
ii. Moshi wenye sumu huathiri mapafu na kusababisha magonjwa kama vile:
A. ugonjwa wa moyo B. malaria C. saratani ya mapafu D. kuwasha ( )
iii. Udongo ni makazi ya: A. mazingira B. miti C. mawe D. wadudu mbalimbali ( )
iv. Maji yaliyochafuliwa kwa kemikali kutoka viwandani na migodini yanaweza kuwa na …….
A. virutubisho B. kemikali za sumu C. rangi ya kuvutia D. harufu ( )
v. Kifaa maalumu cha kukusanyia miale ya jua na kuzalisha nishati ya umeme kinaitwa:
A. betri B. Jua C. Mwanga D. Paneli ya sola ( )
2. Oanisha maneno ya kifungu A na kifungu B kwa kuandika herufi ya jibu sahihi katika sehemu ya kujibia
3. Chagua jibu sahihi kutoka katika kisanduku ulichopewa kisha jaza kwenye sehemu iliyoachwa wazi.
C A A
B
i. Herufi A inawakilisha nini? ………………………………………………………….……………………
ii. Herufi B inawakilisha nini? ………………………………………………………………………….……
iii. Sehemu inayoruhusu taa kuwaka au kuzima imeoneshwa kwa herufi gani? ……….………………………
iv. Taja kazi ya sehemu iliyooneshwa kwa herufi C. ………………………………………………..…..…
v. Chanzo cha umemwe katika sakiti hii kimeoneshwa kwa herufi ipi? …………………………...…….…
JARIBIO LA 20
1. Chagua jibu sahihi katika machaguo uliyopewa kisha uandike herufi ya jibu sahihi kwenye mabano
i. Hali tatu za maada ni ……………. A. yabisi, mango, kimiminika B. gesi, yabisi, kimiminika
C. maji, kimiminika na Gesi D. yabisi, hewa na gesi. ( )
ii. Data ni ………… A. makisio au utabiri wa awali juu ya sababu za tatizo B. taarifa zinazotokana na
utafiti zinazotumika kuelezea au kuthibitisha jambo Fulani C. njia zinazotumika
katika kufanya jaribio D. uchunguzi wa kina wa kisayansi wa jambo maalumu ( )
iii. Ili mbegu iweze kuota inahitaji vitu muhimu vitatu ambavyo ni………………A. maji, hewa na joto
B. maji, udongo na hewa C. joto, hewa na udongo D. maji, joto na udongo ( )
iv. Kutafuna vitu vigumu kunaweza kumegua: A. sikio B. vidole C.meno D. misuli ( )
v. Nywele zikiwa chafu zinaweza kuficha: A. rangi B. chawa C. funza D. viroboto ( )
2. Oanisha maneno ya kifungu A na kifungu B kwa kuandika herufi ya jibu sahihi katika sehemu ya kujibia
3. Chagua jibu sahihi kutoka katika kisanduku ulichopewa kisha jaza kwenye sehemu iliyoachwa wazi
i. Ni vifaa gani viwili vinawakilisha njia za kisasa za mawasiiano? (a) ________________ (b) _________________
ii. Ni vifaa gani viwili vinatumika kama njia za asili za mawasiliano? (a) _______________ (b) ________________
iii. Ni kifaa kipi ambacho hakitumiki katika mawasiliano? _______________________________________________
iv. Ni kwa vipi kifaa chenye antenna ni muhimu katika maisha ya kila siku? _________________________________
v. Ni kifaa kipi kinatoa mawasiliano bila sauti? ________________________________________________________
MAJIBU
JARIBIO LA 1 JARIBIO LA 2
i. C i. B
1 ii.
iii.
D
A 1 ii.
iii.
C
A
iv. B iv. B
v. A v. B
i. C i. D
2 ii.
iii.
iv.
v.
D
A
B
F
ii.
iii.
iv.
v.
B
C
A
A
i. Kivuli i. D
3 ii.
iii.
Midia andavu tofauti
Nishati ya umeme 2 ii.
iii.
B
G
iv. Sauti iv. F
HATUA SENTENSI v. E
5 ii. Umeme
iii. B
iv. D
v. Ukatwaji wa miti ovyo
iv.
v.
E
D
JARIBIO LA 3 JARIBIO LA 4
JIBU JIBU
1. C i. A v. C
2. D
3. B
4. B
5. A
1 ii.
iii.
iv.
i.
B
A
B
F
6. C
7. D
8. C
9. C
2 ii.
iii.
iv.
v.
G
C
A
E
10. B i. Mazingira
11. D
12. D
13. A
14. A
3 ii.
iii.
iv.
v.
Malaria
Maada
Mwangwi
Maji
15. B i. Taswira
16. C
17. A
18. D
19. E
4 ii.
iii.
iv.
v.
Kikinza nuru
Hupinda
Kuakisiwa kwa mwanga
Huruhusu mwanga kupenya
20. B i. 3
21. Kujongea
22. Darasani
23. C
5 ii.
iii.
iv.
1
5
2
24. Spika v. 4
25. Simu ( ya mkononi)
JARIBIO LA 5 JARIBIO LA 6
Na. JIBU Na. JIBU
i. D ii. B i. B
1 iii. C iv. B 1 ii. D
v. A vi. B iii. B
vii. C viii. D iv. A
ix. A x. C v. C
i. Taswira i. C
2 ii. Hewa 2 ii. D
iii. Huainisha vifaa iii. F
iv. Ngoma iv. E
v. Karanga na ufuta v. B
i. Ndiyo i. Sekunde , dakika na saa
3 ii. Ndiyo 3 ii. Sentigredi
iii. Ndiyo iii. ujazo
iv. Hapana iv. Urefu
v. ndiyo v. uzani
i. mashine i. Jumla ya vitu vyote
ii. Kuambukiza
4 ii.
vinavyomzunguka mwanadamu
Kutoa taka mwili
iii. Maada iii. Viumbe hai na viumbe visivyo hai
v. Kuzaliana v. Kujongea
i. E i. Taswira
4 ii. B 4 ii. Kikinza nuru
v. 5 v. Kupinda
v. C v. Data
i. Si ya mkononi
5 ii. A
iii. Kuchajia simu
iv. D
v. C
JARIBIO LA 27 JARIBIO LA 28
Na JIBU Na JIBU
i. A vi.B 1 i. C vi.
1 ii. C vii.C ii. C vii. C
iii. viii. iii. viii.D
C
iv. ix.B iv. ix.DA
v. C x. D v. C x. B
i. B 2 i. C
2 ii. C ii. E
iii. E iii. D
iv. D iv. B
v. A v. A
i. C i. Ogani za fahamu
3 ii. A 3 ii. Kichocho
iii. B iii. Kipindupindu
iv. E iv. Fueli
v. D v. Kupoteza fahamu
i. Simu ya mezani i. B
4 ii. Baragumu 4 ii. Hewa ya oksijeni
iii. Jiko la gasi iii. Maji
iv. Ngoma iv. Joto
v. Ndoo ya taka v. Mahitaji muhimu ya kuota kwa mbegu
JARIBIO LA 29 JARIBIO LA 30
Na JIBU Na JIBU
i. C i. A
1 ii. B 1 ii. A
iii. C iii. C
iv. B iv. A
v. C v. D
i. E i. D
2 ii. D 2 ii. B
iii. B iii. E
iv. A iv. F
v. C v. A
i. Ugandishaji i. Kivuli
3 ii. Uyeyushaji 3 ii. Mwangwi
iii. Uvukizaji iii. Radi
iv. Utonishaji wa haraka iv. Saratani
v. Utoneshaji v. Majini
i. D i. Kuelea
4 ii. E 4 ii. Kuzama
iii. Density ya meli ni ndogo kulio
iii. B ile ya maji umbo la meli
imechongoka mbele na nyuma
iv. A iv. Kiwembe kina dansiti kubwa
kuliko ile ya maji
v. C v. Puto/bakuli/chupa ya plastiki
i. Kuthibitisha umuhimu wa hewa i. Sakiti ya umeme
5 ya oksijeni kwa wanyama
ii. Anapata chakula na hewa
5 ii. Betri
iii. Amekosa hewa iii. Swichi
iv. Hewa ni muhimu kwa viumbehai iv. Mfuatano
v. Atakufa v. Kuwasha na kuzima/ kuruhusu
na kuzuka
JARIBIO LA 31 JARIBIO LA 32
Na JIBU Na JIBU
i. D i. B
1 ii. D 1 ii. C
iii. A iii. D
iv. C iv. B
v. B v. D
i. C i. C
2 ii. A 2 ii. E
iii. F iii. B
iv. E iv. A
v. B v. D
i. Redio i. Vitamin
3 ii. Baragumu na ngoma
iii. Runinga
3 ii. Majini
iii. Protini
iv. Burudani iv. Mafuta
v. Magazeti v. Wanga
i. Jumla ya vitu vyote vinavyotunzunguka i. 2
4 ii. Magonjwa
iii. Wanyama na mimea
4 ii. 5
iii. 1
iv. Viumbe hai na viumbe visivyo hai iv. 4
v. Ameweza v. 3
i. Oksijeni i. Jokofu
5 ii. KORONA 5 ii. Kuhifadhi vyakula
katika hali ya ubaridi
iii. Sakiti iii. Friza
iv. Taswira iv. Friji
v. Kuzaliana/kukua/kula/kujongea/kuitikia v. Mlangoni
vichocheo
JARIBIO LA 33
Na JIBU
i. C
ii. B
1 iii. B
iv. B
v. A
vi. B
vii. D
i. 8
ii. 7
2 iii.
iv.
v.
vi.
vii.
6
5
4
3
2
viii. 1
i. Zitakwepana
3
ii. Ncha za sumaku zinavutana
iii. Pasi ya umeme
iv. Joto
v. Kubebea mizigo mbalimbali
I. Zitakwepana
4
II. Ncha mbili za sumaku zinavutana
III. Pasi ya umeme
IV. Joto
V. Kubebea mizigo
JARIBIO LA SFNA 2018 JARIBIO LA SFNA 2019
bunduki76said@gmail.com