You are on page 1of 1

HALMASHAURI YA WILAYA YA MERU

SHULE YA MSINGI NKOANSIYO


JARIBIO LA URAIA NA MAADILI
DRS LA IV MWEZI JULY 2020

JINA LA MWANAFUNZI……………………………………………………………………………………………………………

CHAGUA JIBU SAHIHI


1. Viongozi wa dini Tanzania hupatikana kwa njia ya _________ (a) uchaguzi (b) uteuzi (c) upendeleo.
2. Kiongozi wa serikali ya mtaa ni _____________ (a) katibu (b) mwenyekiti (c) mbunge.
3. Familia ni muungano wa __ (a) Baba, Mama na watoto (b) Dada, Kaka na mama (c) Bibi, Babu na
shangazi
4. Raisi jakaya mrisho kikwete Kikwete alikuwa raisi wa awamu ya _____ (a) Kwanza (b) Tatu (c) Nne.
5. Wimbo wa Taifa ni mmojawapo ya _____________ (a) Msingi wa uchumi (b) Nembo (c) Alama.
6. Mtoto anapougua ana haki ya kupata _____________ (a) Matibabu (b) Viboko (c) Kuangaliwa sana.
JAZA NAFASI WAZI KWA KUCHAGUA HERUFI YA JIBU SAHIHI
a) TAKUKURU 7. Mmoja wapo wa alama za Taifa __________
b) John P Magufuli
8. Sikukuu ya wafanyakazi ______________
c) Nembo ya Taifa
d) Mei mosi 9. Raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania__
e) Raisi 10. Taasisi ya kuzuia na kupambana na
f) Pembe za ndovu
rushwa______
g) Mkapa
JAZA NAFASI WAZI
11. Wimbo wa Taifa ni sala/dua ya kuombea _____________________
12. Sikukuu ambayo hufanyika tarehe 25 desemba ni _____________________
13. Rangi inayoelezea maziwa, mito na bahari ni ___________________________
14. Virusi vya ukimwi huharibu _____________________ ya mwili
15. Mwenyekiti wa serikali ya kijiji au mtaa huchaguliwa na wananchi baada ya miaka ____________
ANDIKA NDIYO AU HAPANA
16. Kiongozi ni mtu anayesimamia wengine _______________
17. Kiongozi hatakiwi kushirikiana na wengine _______________
18. Viranja wanachaguliwa hawana kazi ya kufanya ______________
19. Babu na bibi huunda ukoo wao _____________________
20. Moja kati ya haki za mtoto ni kutokulindwa _________________
OANISHA FUNGU A NA FUNGU B
FUNGU A FUNGU B
21. Bendera ya Raisi ina rangi a. Mpaka
22. Wimbo wa Taifa una beti b. 12.1.1964
23. Shughuli yeyote inayompatia mtu kipato cha kukudhi c. Kazi
mahitaji yake d. 2
24. Alama zinazoonesha mwanzo na mwisho wa kitu e. Kijani kibichi
huitwa
25. Mapinduzi ya Zanzibar yalitokea

You might also like