You are on page 1of 4

SHULE YA MSINGI KASESA

MTIHANI WA SAYANSI DARASA LA TANO NOV 2023

JINA LA MWANAFUNZI:________________________ TAREHE:__________


SEHEMU ‘A’ CHAGUA JIBU SAHIHI
1. Seli nyekundu za damu zilizokufa hutolewa mwilini kupitia__________ ( )
(a)mkojo (b)jasho (c)kinyesi.
2. Mtu anapoota moto anapata joto kwa njia ya ___________ ( )
(a)msafara (b)mpitisho (c)munururisho.
3. Lenzi mbonyeo hutumika hutumika kutengenezea miwani kwa ajili ya watu
wasioona ___________ (a)mbali (b)karibu (c)pembeni. (
)
4. Ni sehemu gani hupitisha gamete uke kutoka kwenye ovari hadi uterasi_________
(a)korodani (b)mirija ya falopia (c)ovari. ( )
5. ___________ hutaga mayai majini hata kama yeye huishi nchi kavu. ( )
(a)kobe (b)kasa (c)chura.
6. ___________ huishi majini lakini hutaga mayai yake nchi kavu. ( )
(a)papa (b)kobe (c)mjusi (d)kasa.
7. Ni elimu ya uhusiano wa viumbe hai na mazingira inajulikana kama_____ (
) (a)biolojia (b)ikolojia (c)msawazo asilia.
8. Sumaku imeundwa kwa ___________ (a)chuma (b)mbao (c)kioo. ( )
9. Ebola ni ugonjwa unaosababishwa na ________ (
) (a)bakteria (b)virusi (c)viroboto wa nyani.
10. Yafuatayo ni magonjwa nyemelezi isipokuwa __________ ( )
(a)malaria (b)pumu (c)fangasi.
11. __________ ni sehemu ya kiume ya ua. (a)stameni (b)pistil (c)ovari. ( )
12. Kirefu cha neno ARV ni __________ (
) (a)anti-virus retro (b)anti-retro virus (c)anti-virus.
13. Kitu kipi kati ya hivi vifuatavyo kina umbo maalumu ___________ ( )
(a)soda (b)karatasi (c)gesi.
15. ____________ ni mashinbe ya kielekroniki yenye uwezo wa kupokea, kuchakata,
kuhifadhi taarifa na kutoa matokeo ya kazi kwa haraka kulingana maelekezo.
(a)tarakishi (b)simu (c)kibodi. (
)
16. Tunafanya mazoezi na kucheza ili ___________ (a)tuwafurahishe walimu
(b)tuendelee kusoma (c)tuimarishe afya ya mwili. ( )
17. ____________ ni msaada utolewao kwa majeruhi wa ajali mbalimbali kabla ya
kupelekwa hospitalini (a)huduma ya kwanza (b)ajali ya moto (c)kuzirai. ( )
18. ______ ni kifaa kilichotengenezwa kwa kutumia vioo bapa viwili hutumika
kuangalia kwenye vizuizi. (a)lenzi mbonyeo (b)periskopu (c)lenzi mbinuko.
( )
19. Sehemu yam mea inayotumika kusanisi chakula ni __________ ( )
(a)mizizi (b)matawi (c)majani.
20. Ni mnyama yupi kati ya wafuatao hana uti wa mgongo __________ ( )
(a)nyoka (b)samaki (c)konokono.
21. Samaki huvuta hewa kwa kutumia ____________ ( )
(a)mdomo (b)mapezi (c)matamvua.
22. Mmea hupata mahitaji yake ya hewa kwa njia ya vitundu vidogovidogo vinavyoitwa
____________ (a)vakuoli (b)stomata (c)kloroplasti. ( )
23. ___________ ni kufyonza maji, madini na virutubisho kutoka kwenye udongo.
(a)shina (b)majani (c)mizizi. ( )
24. Hali ya joto mwili wa amfibia hubadilika kulingana na halijoto ya mazingira. Tabia
hii huitwa ________ (a)poikilothemia (b)homeothemia (c)haemoglobini. ( )
25. ____________ ni kitendo cha kurudishwa kwa miale ya mwanga inapotua kwenye
sura nyororo ya kung’aa. (a)kuakisiwa kwa mwanga (b)kupinda kwa mwanga
(c)kutokea kwa kivuli. (
)
26. _____ huanzia mdomoni kulekea tumboni na kuishia kwenye utumbo mwembamba.
(a)kongosho (b)utumbo mpana (c)mmeng’enyo wa chakula. ( )
27. Ipi ni njia mojawapo ya kuzuia vidonda vya tumbo. (a)kuwa na mawazo mengi
(b)kula kwa wakati (c)kula vyakula vingi vyenye aside. ( )
28. Ni ugonjwa gani kati ya magonjwa yafuatayo huathiri mfumo wa
upumuaji_________ (a)pumu (b)malaria (c) pepopunda.
( )
29. Ni njia ya usafirishaji wa nishati ya joto katika vimiminika kwa mfano katika maji
_______ (a)mpitisho (b)mnururisho (c)msafara. ( )
30. ___________ ni kitu chochote chenye uzito na ambacho huchukua nafasi.
(a)mawasiliano (b)maada (c)nishati. ( )
31. Toroli ni nyenzo daraja la ngapi ___________ (a)kwanza (b)pili (c)tatu. ( )
32. Ni mfuko ulio katika mwili wa kiumbe ambao husaga chakula __________ ( )
(a)tumbo (b)kongosho (c)umio.
33. ___________ ni ugonjwa ambao hutokea kwenye chembe hai za mwili. ( )
(a)kisukari (b)saratani (c)kipindupindu.
34. Hali joto ya mwili wa mammalia haibadiliki kulingana na mabadiliko ya hali joto ya
mazingira huitwa ____ (a)homeothemia (b)poikolothemia (c)themomita. ( )
35. ___________ unaota mbegu lakini hautoi maua. ( )
(a)mchungwa (b)mvinje (c)mhindi.
36. Ni ute wenye neva za fahamu ulio ndani ya pingili za uti wa mgongo_____ ( )
(a)uti wa mgongo (b)ugwe mgongo (c)kongosho.
37. Ni sehemu zipi za ua zinazodondoka baada ya utungisho kukamilika ___________
(a)ovuli, chavua, ovary (b)sepali, ovary, stigma ( )
(c)sepali, petali, stigima, staili na stameni.
38. Zipi ni hatua za kuzaliana na kukua kwa mende___________ ( )
(a)yai buu mende (b)yai lava buu mende (c)yai tunutu mende.
39. Kazi kubwa ya bakteria na fangasi waishio kwenye udongo ni _________ ( )
(a)huzalisha mboji (b)huongeza hewa (c)usanisha chakula.
40. Ni sehemu ipi ya ua hubadilika kuwa tunda ___________ ( )
(a)ovari (b)ovuli (c)stigima.
41. Kitendo cha mmea kupoteza maji kupitia kwenye majani huitwa________ ( )
(a)osmosis (b)transpiresheni (c)fotosinthesisi.

JAZA NAFASI ZILIZO WAZI.


42. Maji + Mwanga + Umbijani + N = Fotosinthesisi. N inamaanisha nini
______________________
43. Wanyama huvuta hewa ya oksijeni kutoka wapi _____________________________
44. Aina za mabadiliko katika maada ni A__________________ B_________________
45. UKIMWI ni
___________________________________________________________
45. Alama hii ya kifaa cha umeme huitwa ______________________

You might also like