TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA EDUCATIONAL CONSULTATIONAL CONSULTATION AND MATERIALS FOR PRIMARY AND SECONDARYSCHOOLS (ECOMAPS) CONTACT: 0759820072 CONTACT: 0757826309
MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA WA PILI- DARASA LA VI
SOMO:STADI ZA KAZI JINA LWA MWANAFUNZI ______________TAREHE __DISEMBA; 2020 SEHEMU A: CHAGUA JIBU SAHIHI 1. Kwanini inashauriwa kutenganisha nguo kulingana na rangi kabla ya kufua? ____ a) Ili zifuliwe vizuri b) ili kuepuka kuchujiana c) ili zifuliwe haraka d) ili ziwekwe alama 2. Kuna aina ngapi za pasi? ___________a) Nne b) tano c) tatu d) mbili 3. Zifuatazo ni sababu za kunyoosha nguo isipokuwa______a) Kuua wadudu b) kuondoa mikunjo c) kuzikausha vizuri nguo d) kuwa pendezesha watu wengine 4. Kwanini inashauriwa nguo za rangi zipigwe pasi ndani tu? _______a) Ili zitoe mikunjo kisawasawa b) ili kuepuka kupauka c) ili zisichanike d) ili zisichujianae 5. Tunaweza kusafisha pasi kwa kutumia vitu vifuatavyo isipokuwa __________ a) Makaratasi b) majiyalimau c) magadi soda d) mafutayataa 6. Ni mdhara gani unaweza pata ikiwa utavaa nguo ambazo hazijakauka vizuri?___ a) Utanenepa kupita kiasi b) unaweza pata magonjwa c) unaweza kuonekana vizuri d) unaweza kupendeza 7. Maji yaliyochanganywa na chumvi husaidia kuondoa madoa yenye __a) Asili ya matope b) vyakula c) kemikali kama wino d) asili ya wanyama kama damu 8. Ni nguo zipi huhitaji joto kali wakati wa kupigwa pasi? _________a) Polista na kitani b) nailoni na pamba c) kitani na nailoni d) pamba na kitani 9. Viatu vyenye kisigino kirefu huweza kusababisha _______a) Maumivu ya misuli b) maumivu ya magoti c) maumivu ya kichwa d) maumivu ya tumbo 10. Uvaaji wa soksi za pamba husaidia _______a) Kunyonya jasho la miguu b) kutembea vizuri c) kupunguza joto la miguu d) kuzuia kuteleza 11. Ni aina gani ya pasi huweza kuonesha kiasi cha joto? ______________ a) Pasi ya mkaa b) pasi ya umeme c)pasi ya mafuta ya taa d) pasi yoyote 12. Kwanini hairuhusiwi kuweka viatu vya ngozi ndani ya maji? ____________ a) Vinaweza kupauka b) vitaharibika mwonekano wake c) vitayeyuka kwa urahisi d) vitatoa harufu mbaya 13. Kuna umuhimu gani wa kuzima pasi baada ya kutumia? _______________
Prepared by ECOMAPS Contact us via 0759820072
a) Kuepuka kuunguza nguo b) kuzuia kutu kwenye uso wa pasi c) kuiwezesha kudumu kwa muda mrefu d) kuepuka madhara na gharama. 14. Ipi kati ya taka zifuatazo haiwezi kudhibitiwa kwa njia ya urejelezaji?_________ a) Chuma chakavu b) karatasi c) bati chakavu d) mabaki ya vyakula 15. Taka zifuatazo zinafaa kwa mbolea isipokuwa______a) Vinyesi vya wanyama b) maganda ya matunda c) majani ya miti d) vifuu vya nazi 16. Zifuatazo ni taka zinazofaa kutumika tena isipokuwa _____________ a) Matairi na vifuu vya nazi b) mifuko ya salfeti na vyuma chakavu c) chupa za vipodozi na makopo ya viuatilifu d) majani makavu na karatasi zilizotumika 17. Lipi kati ya matunda yafuatayo haliwezi kutumika kutengenezea juisi? _____ a) Embe b) nanasi c) chungwa d) nyanya 18. Yafuatayo ni mahitaji ya kuandaa kababu isipokuwa________ a) Nyama b) mafuta c) mayai d) hamira 19. Kipi kati ya vyakula vifuatavyo kinafaa kufungasha kwaajili ya safari? _______ a) Ugali na mchuzi wa samaki b) wali na maharage ya nazi c) viazi na samaki wa kukaangwa d) kande zilizoungwa kwa nazi 20. ___huupatia mwili virutubisho vinavyo saidia mwili kujikinga dhidi ya magonjwa. a) Matunda b) mayai c) nyama d) ugali 21. Uchongaji wa motifu unahitaji kuzingatia sifa zifuatazo isipokuwa _______ a) Usafi wa uchongaji b) usahihi wa umbo c) ukali wa vichongeo d) umbo liwe na vijisehemu vidogovidogo SEHEMU B: OANISHA KUNDI A NA KUNDI B KUNDI A KUNDI B 22. Jumla ya mambo yote yanayo mzunguka A. Mategemezo binadamu B. Baragumu na tarumbeta 23. Husaidia mboga zinazokwea zisianguke C. Mboji kwenye udongo D. Mazingira 24. Kuondoa matawi na majani yasiyohitajika E. Pogolea 25. Vitamini C F. MATUNDA 26. Sehemu ya kusia mbegu kabla ya kuzipanda G. Marimba na vijiti 27. Ala zakupuliza H. Kitalu 28. Mchanganyiko wa vitu hai vilivyooza ambao I. Samadi hutumika kama mbolea J. Nishati SEHEMU C: JAZA NAFASI WAZI 29. Unawezaje kuondoa madoa yatokanayo na vyakula kwenye nguo zako? _____ 30. Taja aina mbili za matuta ____________na ______________ 31. Nini faida ya maua mazingira ya nyumbani? Taja faida moja _____________ 32. __________ni ala ya nyuzi inayotoa sauti ya kuimbika. 33. Nini maana ya ala zamuziki? _________________________________ 34. Nini maana ya ngonjera? ______________________________ 35. Ngonjera hughaniwa na watu wangapi? _________________________ 36. Ufundi wa kisanaa wakunakili picha, maumbo,alama au michoro katika wingi na mfanano huitwa ________________ 37. _____Ni kurekebisha maeneo mbalimbali ya picha kwa kusawazisha na kuhifadhi.
Prepared by ECOMAPS Contact us via 0759820072
38. Kuna hatua _____________wakati wa kusuka mkeka. 39. Taja aina mbili za wateja____________na _____________ 40. Taja kifungashio kinachoweza kufungashia matunda _______________ 41. Nini maana ya ujasiriamali? ____________________ 42. Taja sifa mbili za mjasiriamali _____________na _______________ 43. Chanzo kikuu cha mapato ya serikali ni___________________