Professional Documents
Culture Documents
Sayansi 1
Sayansi 1
NAMBA YA MPIMWA________________________________
JINA LA SHULE______________________________________
OFISI YA RAIS
0KTOBA – 2023
05 SAYANSI NA TEKNOLOJIA
MAELEKEZO:
Karatasi hii ina sehemu A na B zenye jumla ya maswali matano (5)
1.
Jibu maswali yote katika kila sehemu
2.
3.
Andika majibu katika nafasi zilizotolewa.
Majibu yote yaandikwe kwa kutumia kalamu ya wino wa bluu au mweusi.
4.
Simu za mkononi na vitu vyote visivyoruhusiwa havitakiwi katika chumba cha
5.
upimaji.
6. Andika jina lako, namba ya upimaji na shule yako katika sehemu ya juu kulia
katika kila ukurasa.
7.
SEHEMU A:
1. Chagua herufi ya jibu sahihi na kuandika katika kisanduku.
I. Ifuatayo ni orodha ya vifaa vya kisasa vya mawasiliano isipokuwa _________________
Ukurasa 1 Kati 4
JINA LA MWANAFUNZI_______________________________
NAMBA YA MPIMWA________________________________
JINA LA SHULE______________________________________
2. Jibu maswali yafuatayo kwa kuoanisha sehemu A na B ili yalete maana na kisha
andika herufi ya jibu sahihi katika mabano
3. Jibu kipengele (i) – (v) kwa kuchagua neno sahihi kutoka kwenye kisanduku na
kisha kuandika kwenye nafasi zilizoachwa wazi.
Ukurasa 2 Kati 4
JINA LA MWANAFUNZI_______________________________
NAMBA YA MPIMWA________________________________
JINA LA SHULE______________________________________
ii) Jiko linalotumia mafuta ya taa hujulikana kama __________________ iii) Jiko la mkaa
v) Sehemu iliyopo kwenye jiko la umeme au gesi yenye mlango ambayo hutumika
SEHEMU B
4. Umepewa hatua A – E za mchakato wa mmeng’enyo wa chakula katika mfumo wa
mmeng’enyo wa chakula. Panga hatua hizo kwa kuandika sentensi husika katika
mtiririko mzuri. Andika sentensi hizo katika nafasi iliyoachwa wazi. A. Chakula
kusafiri kupitia umio kuelekea kwenye tumbo.
B. Maji na madini husharabiwa katika utumbo mpana na kuacha mabaki ya chakula
C. Chakula kuingia kinywani.
D. Vyakula humeng’enywa na kusharabiwa katika utumbo mwembamba.
E. Kinyesi hutoka nje ya mwili kupitia njia ya haja kubwa.
i) ________________________________________________________________________________
ii) ________________________________________________________________________________
iii) ________________________________________________________________________________
iv) ________________________________________________________________________________
v) ________________________________________________________________________________
Ukurasa 3 Kati 4
JINA LA MWANAFUNZI_______________________________
NAMBA YA MPIMWA________________________________
JINA LA SHULE______________________________________
Ukurasa 4 Kati 4