You are on page 1of 77

MATUMIZI YA LUGHA

1. 1989
(a) Akifisha
i. Tulipofika Mombasa tuhkutana na mzee mwenye mvi.
ii. Ukifika nyumbani msalimie mama lakini usimwambie chochote kuhusu ugojwa
wangu jikitisha bure salimu alimwambia kaka

(b) Kamilisha bila kubadilisha maana


i. Ng'ombe amefungiwa katika zizini lake ili akamuliwe maziwa
ii. Mbwa amenikulia chakula changu
iii. Rehema alikuwa na huzuni mwingi kuniliko
iv. Baada ya kuoza ndani ya gunia kakangu hakuweza kuuza hata kiazi kimoja.

(c) Eleza tofauti iliyoko kati ya (i) na (ii)


(i) Watu wasemao watakuja kesho
(ii) Watu wanasema watakuja kesho

(d) Unganisha sentinsi hizi mbili


Maria ni msichana mrembo. Maria ni msichana asiye na adabu

(e) Kila moja ya maneno yafuatayo lina maana mbili


Tofautisha maana hizo kwa kuandikia sentensi mbili
(i) Panga
(ii) Kucha

(f) Kwa kuzingatia sehemu zilizopigwa misitari, andika sentensi hizi tena kwa lugha ifaayo zaidi
(i) Babu yangu mpenzi alikufa mwaka iana
(ii) Shangazi yangu ambaye alitiwa mimba mwaka jana na atazaa mwaka huu.
(iii) Watu wengi wana tabia ya kuwasema wenzao vibaya wakati hawapo.

(g) Andika tena sentensi zifutazo ukifuata magizo unayopewa mwisho wa kila sentensi
(i). Watoto wanaovaa nguo fupi siku hizi wameathiliwa na tabia za kigeni.
(Anza: Nguo fupi…).
(ii) Kama wanafunzi hawamthamini mwalilmu hawezi kufaulu katika masomo
(Anza: ni vigumu…).
(iii) Ukora wake ulimfanya apigwe
(M…… kwa…………………………..ukora wake.)
2. 1990
(a) Andika upya sentensi ifuatayo hii kuiondolea matatizo: (alama 3)
Bwana Tumbo alifariki mjini akiwa na umri wa miaka hamsini Mombasa mwaka uliopita.

(a) Andika kwa kinyume ukizingatia maneno yaliyopigiwa mstari:


Nyanya aliomboleza kwa siku kadhaa wakati wa matanga ya biutiye. (alama 3)

(b) Kamilisha kwa neno lifaalo zaidi. (alama


3)
(i) Shoka ni kwa kuchanjia ambapo lugha ni kwa ...............................................
(ii) Chaki ni kwa mwalimu hali mbao ni kwa.....................................................
na mawe ni kwa..........................................................................................

(c) E leza maana mbili zinazopatikana katika sentensi ifuatayo: (alama 4)


Dadangu alipikiwa chakula.

(e) Andika upya sentensi hizi kulingana na maagizo:


(i) Mtu kama wewe hafai kutuletea matatizo ya kinyumbani. (alama 2)
Anza: Matatizo.................
(ii) Nimekuia kuonana nawe unipe msaada wa shilingi kumi. (alama 2)
Anza: Kusudi
(iii) Nakusihi uniletee maji ya kunywa. Andika kama amri. (alama 2)
(iv) Mwalimu: Utallii amri au la?
Mwanafunzi: Sitazikaidi tena mwalimu. Andika kama taarifa (alama 2)

(f) Andika kwa ukubwa


Nyumba iliingia nyoka ambaye alikatwa mkia (alama 4)
(g) Andika kwa udogo
Kitabu change kina mistari midogo (alama 3)

(h) Eleza maana mbili za sentensi ifuatayo:


Yeye ndiye mwalimu wa pekee wa Kiingereza.

(i) Eleza tofauti kimaana baina ya sentensi hizi mbili: (alama 4)


(i) Walikimbizana
(ii) Walikimbiliana

(j) Kuna tatizo gani katika sentensi hii? (alama 2)


Babake alikuwa amekasirika huku akimtukana kwa furaha.

(k) Eleza maana ipatikanayo katika msemo huu: (alama 2)


Kumvisha mtu kilemba cha ukoka.

3. 1991
. Jibu maswali yafuatayo ktilingana na maagizo.
(a) Eleza maana mbili zinazopatikana katika sentensi ifuatayo:
Baba alimwambia mama kuwa hataenda dukani. (alama 4)
(b) Jino linapongoka huacha pengo, hali jereha linapopona huacha.... (alama
1)
(c) Andika upya sentensi zifuatazo kulingana na maagizo:
(i) Kumeanzishwa hazina ya kusaidia wanafunzi werevu wanaotoka katika jamii
zisizojiweza kifedha. (alama 2)
Anza: Wanafunzi………………………
(ii) Andika sentensi ifuatayo katika kauli ya kutendeana:
Mimi nilikula chakula chake na yeye akala chakula changu (alama 2)

(d) Andika jawabu sahihi kati ya yale uliyopewa:


(i) Kusema 'Subira huvuta heri' ni sawa na kusema: (alama 2)
A. Ngoja ngoja yaumiza matumbo. C. Mtaka cha mvunguni sharti ainame.
B. Mvumilivu hula mbivu D. Mkono usioweza kuukata ubusu.

(ii) Kumvalia mtu miwani ni:


A. Kumtazama mtu vizuri. C. Kujidai kuwa humwoni
B. Kumtazama mtu kisiri D. Kujidai kuwa unamwona.

(e) (i) K anusha maneno yaliopigwa mstari katika sentensi hii: (alama 2)
Kengele imelia na masomo yataanza.
(ii) Andika tena sentensi hii ifuatayo ukitumia kinyume cha maneno yalipopigwa mstari.
Mary alifuma vitambaa na kuvianika (alama 2)

(f) Andika sentensi zitakazodhihirisha maana za maneno yafuatayo:


(alama 4)
(i)Suku …………………………………….
(ii)Chuku…………………………………..

(g) Andika sentensi mbili kwa kila neno kudhihirisha maana mbili tofauti za:
(alama 8)
(i) Ezeka
(ii) Mwiko

(h) Andika wingi wa sentensi hizi:


(alama 2)
(i) Ulimi wa moto ulichoma chumba
(ii) Wingi jeusi lilitanda again
(alama 2)

(i) JUMA: Mama! Ulinipata wapi mimi?


MAMA: Nilikuzaa juma
Andika katika usemi taarifa ambapo Mama Juma anaweleza Baba Juma
mazungumzo haya. (alama 4)

(j) Andika sentensi tatu tofauti zinazoweza kuwa sahihisho la sentensi hii; (alama 3)
Kule ndimo tunapoishi.

4. 1992
a) Neno lifuatalo lina maana zaidi ya moja. Tofautisha maana tatu kwa kulitumia
katika sentensi Paa
(b) Andika neno au maneno mengine yenye maana sawa na yale valiyopigwa mstari
katika Sentensi hizi Zifuatazo.
(i) Mtoto wake alikata kamba jana
(ii) Yeye ni mwenye moyo wa kuogopa

(c) Unganisha sentensi zifuatazo


(i) Kakangu ni mrefu kama mti. Dadangu ni mfupi karra nyundo.

(d) Sahihisha bila kubadilisha maana


Chura kilikuwa kinalia kikakaribia karibu yangu kisha kikakufa.

(e) Andika upya kulingana na maagizo


(i) Hakuja jana ndiposa hakuniona
(Anza kwa: Angekuja …………………………………………………………..

(ii) Kidole kimoja hakivunji chawa


(Anza kwa: Haiwezekani ………………………………………………………

(iii) (Nne kuondoka mbili hutoa jawabu la mbili)


(Maliza kwa ………………………………………………… kuondoa mbili)

(iv) Tulifanikiwa kwa sababu ya kufanya kazi kwa bidii


(Maliza kwa ……………………………………..………………………… tufanikiwe)

(f) Kanusha sentensi hii:


(i) Kuja kwake kulitunufaisha.
(ii) Andika kwa kinyume:
Siku ya kuzaliwa huwa ya furaha kubwa (alama 2)

(g) Katika kusisitiza tunasema; funga ndi ndi ndi


(i) Funika.............................................................................. (alama 2)
(ii) Giza..........................................................................….. (alama 2)
(h) Tumia tanakali ifaayo
Jiwe linapotupwa majini huanguka …………………………. (alama 2)

(i) Eleza maana ya misemo ifuatayo:


(i) Kujitolea kwa hali na mali (alama 2)
(ii) Kukubali shingo upande (alama 2)

(j) Kutokana nakitenzi kujua tunapata ujuzi. Tunapaia nini kutokana na (alama 3)
(i) Kulea ………………………………………………………………………
(ii) Kulala ………………………………………………………………………
(iii) Kufikiri …………………………………………………………………
(k) Jaza sehemu zenye mapengo:
(i) Mwizi alitolewa nyumbani ________________ kuwa amelala (alama 1)
(ii) Mototo alipasua gunia ____________________ kuwa na sukari (alama 2)

(l) Akifisha sentensi ifuatayo:


Babake alimwambia Asha utaenda shuleni utake usitake. (alama 2)

5. 1993
Jibu maswali yafuatayo kulingana na maagizo.
(a) Eleza maana ya sentensi hizi mbili kufuatana na jinsi ziliivyoakifishwa.
(i) Kwa kumwona tu; mwanawe alimnunulia viatu. (alama 1)
(ii) Mwa kumwona tu mwanawe, alimnunulia viatu. (alama 1)

(b) Yqpange upya maneno yafuatayo ili yalete maana ifaayo.


(i) Watoto upesi walikimbia mwizi walipomwona. (alama 2)
(ii) Kililia kioo kingora kilipovunjwa. (alama 2)

(c) Sentensi zifuatazo zina makosa ya kisarufi. Zisahihishe.


(i) Maziwa yalimoibwa na watoto yalimwagika. (alama 1)
(ii) Niliingia hotelini nikatumana mpishi aniletee chakula. (alama 1)

(d) Nini tofauti kati ya:


(i) Alipigwa makofi (alama 2)
(ii) Alipigiwa makofi (alama 2)

(e) Eleza maana mbili ya kila neno lifuatalo


(i) Funza (alama 2)
(ii) Oza (alama 2)

(f) Andika sentensi ifuatayo bila kutumia neno amba.


Jembe ambalo lilinunuliwa jana limevunjika mpini (alama 1)

(g) Andika sentensi ifuatayo katika kauli ya kufanyiza.


Mama anamfanya mtoto atembee (alama 1)
(h) Eleza maana ya semi zifuatazo: (alama 3)
(i) Kutia fora
(ii) Kuchanga bia
(iii) Kufa ganzi

(f) Andika wingi wa:


- Nyumba yangu ina
ufa ambao nitauziba (alama 2)

- Kucheza kuzuri
kulikufiirahisha (alama 2)

(j) Tunga senitensi kuonyeshu maana ya maneno haya:


(i) Jikwaa
(ii) Jukwaa
(iii) Hatima
(iv) Yatima (alama
4)

(k) Kanusha sentensi hizi:


(i) Kwenda kwake kazini kulimfanya apandishwe cheo. (alama
2)
(ii) Wanafunzi wamecheza sana na sasa wanakuja nyumbani. (alama
2)

6. 1994
(a) (i) Kanusha sentensi zifuatazo:
(I) Penye maoni mazuri mapatano huwapo (alama 2)
(II) Nilisoma nikaandika (alama 1)
(ii) Andika kwa kinyume (alama 2)
(I) Nje kulikuwa kweupe (alama 2)
(II) Shemeji yake ni tajiri sana (alama 2)

(b) Kuna viambishi vitatu vinavyosimamia maana ya mahali:


Undani, upande na mahali maalum. Vitungie sentensi moja moja
viambishi hivi. (alama 6)

(c) Unganisha sentensi zifuatazo ziwe sentensi moja moja.


(i) Miswada ilikuwa miwili. Miswada hiyo inasomwa sasa. Itakuwa vitabu
vya kusisimua. (alama 2)
(ii) Babake alikuwa mweupe. Yeye si mweusi (alama 2)
(iii) Mkono ni mrefu. Mguu ni mrefu zaidi (alama 2)

(d) Eleza maana ya:


(i) Jinamizi (alama 1)
(ii) Maabara (alama 1)
(iii) Kula mwande (alama 1)
(iv) Kujikuna kichwa (alama 1)
(v) Kaba koo (alama 1)

(e) Ziandike upya sentensi zifuatazo kulingana na maagizo.


(i) Mwawasi aliandika barua ndefu
Maliza kwa......................Mwawasi (alama 2)

(ii)
Mzigo umechukuliwa
Andika katika kauliya kutendeka (alama 2)
(f) Eleza kwa ufupi maanaya methali zifuatazo.
(i) Mtu hujikuna ajipatapo (alama 2)
(ii) Jungu kuu halikosi ukoko. (alama 2)
(iii) Eleza methali inayoweza kusimamia maelezo yafuatayo:
Hata ukitukanwa nyamaza. Matukano hayadhuru;
hayaumizi kimwili.Kutukanwa si sawa na kupigwa. (alama 2)
(g) Andika kwa wingi:
(i) Kuhubiri kwake kulinisaidia mimi na nyumba yangu. (alama 1)
(ii) Utundu wa mtoto wake ulimeletea balaa (alama 1)
(iii) Ufito huu ni mwembamba sana (alama 1)

(h) Akifisha sentensi ifuatayo Hi ilete maana mbili tofauti:


Mama atampa mtoto wake Chai akija. (alama 2)

7. 1995

(a) Akifisha kifungu kifuatacho


“Baba Wafua, ona Barua iliyotoka kwa mwanao. Hata hati haisomeki” “lo” baba
watoto akamaka. Hii barua kweli imetoka kwa mwanangu Wafua. “Waniuliza mimi?”
Mama akamjibu “Tazama maandishi na anwani basi. Shule ya Msingi ya Barungani
S.L.P 128 Vuga.” (alama 5)
(b) (i) Andika sentensi ifuatayo kwa wingi
Uwanja mwingineo umechimbuliwa kuongeza ule wa zamani (alama 1)
(ii) Unda jina kutokana na kivumishi hiki (alama 1)
Refu
(iii) Tunga sentensi moja ukitumia – ki – ya masharti (alama 1)

(c) (i)Zifuatazo ni sehemu gani za mwili


(i) Kisugudi
(ii) Nguyu (alama 2)
(ii) Andika maneno mengine yenye maana sawa na
(i) Damu (alama 2)
(ii) Jura
(d) Tumia kitenzi KAA inavyofaa kujazia nafasi zilizoachwa
Onyango alipofika mkutanoni alikosa mahali pa………………..

Watu walikuwa wamejaa na hapakuwa na kiti hata kimoja cha (alama 2)

(e) (i) Fafanua maana ya methali: Waso haya wana mji wao (alama 1)
(ii) Tunasema kifurushi cha kalamu

………………………….. ya ndizi (alama 1)

(f) (i) Tunga Sentensi tano kuonyesha matumizi matano tofauti ya neno KWA
(alama 1)

(ii) Tumia viunganishi vifuatavyo katika sentensi


(a) Minghairi ya
(b) Maadam (alama 2)
(iii) Ni mbinu gani za lugha zinazotumiwa katika sentensi hizi?

(a) Juma si simba wetu hapa kijijini


(b) Juma ni shujaa kama simba ( alama 2)

(g) Sentensi ifuatayo ina maana mbili totauti. Zieleze


Huyu amekuja kutuliza (alama 2)

(h) Andika sentensi tatu kuonyesha maana tatu tofauti za neno KINA ( alama 3)
(i) Eleza tofauti ya semi mbili zilizopigwa mstari
(a) Kevoga hana muhali; ikiwa hawezi kukufanyia jambo atakwambia
(b) Kevogo hana muhula; hivi sasa amekuambia hawezi kukufanyia jambo hili
(alama 2)
(j) Tofautisha maana
(a) Ningekuwa na uwezo ningesafiri kwenda ng’ambo
(b) Ningalikuwa na uwezo ningalisafiri kwenda ng’ambo (alama 2)

(i) Yaandike maneno yafuatayo katika ufupi wake


A. (i) Shangazi zako
(ii) Mama zako (alama 2)

B. Unda jina moja kutokana na majina yoyote mawili ya Kiswahili sanifu


(alama 1)

8. 1996
(a) Sahihisha makosa yaliyomo katika sentensi mbili zifuatazo
(i) Bei za vitu zimepanda juu sana siku hizi
(ii) Weka mizigo kwa gari (alama
2)

(b) Eleza maana ya sentensi hizi


(i) Mikono yao imeshikana
(ii) Mikono yao imeshikamana (alama 2)

(c) Andika sentensi zifuatazo ukitumia kinyume cha neno lililoandikwa kwa herufi za
mlazo
(i) Usijaribu kupaaza sauti unapoimba
(ii) Huyu ni mtu mwenye busara
(iii) Binadamu hawezi kumuumbua mwenzake

(d) Fafanua maana za misemo ifuatayo kwa kuitungia sentensi


(i) Kula uyundo (alama 2)
(ii) Kula uhondo (alama 2)
(iii) Kula mori (alama 2)

(e) Akifisha kifungu kifuatacho


Bwana mwenyekiti wetu wa leo wazazi wote na hata wanafunzi leo ni
siku muhimu je mngependa niwafahamishe msaada tuliopokea kutoka
kwa wizara ya elimu (alama 4)
(f) Eleza kazi ifanywayo na
(i) Mhariri
(ii) Jasusi (alama 4)

(g) Tunasema: Mtoto huyu mzuri anapendeza


Ukitumia majina yafuatayo kamilisha sentensi ukifuata mfano ulio hapo juu
(i) Ngome (alama 1)

(ii) Mitume (alama 1)


(iii) Heshima (alama 1)
(iv) Ng’ombe (alama 1)
(v) Vilema (alama 1)

(h) Kutokana na vitenzi tunaweza kuunda majina na pia kutokana na majina


tunaweza kuunda vitenzi. Mfano
Jina Kitendo
Mwuzaji Uza
Mauzo Uza
Wimbo Imba
Sasa kamilisha:
Jina Kitenzi
(i)Mnanda
(ii)Kikomo
(iii) Ruhusa
(iv) ashiki
(v) husudu (alama 5)

(i) Andika katika msemo halisi


Mvulana alimwambia baba yake kuwa alitaka kwenda sokoni (alama 2)
(ii) Andika katika msemo wa taarifa
“Nitakuwa nikija hapa kila siku kukuona”, Kamau alimwambia
shangazi yake

(j) Eleza matumizi ya ‘Po’ katika sentensi hii (alama 2)


Nilipofika nilimwona pale alipokuwa amesimama

(k) Mtu akicheza mchezo mahali Fulani tunaweza kusema alichezea hapo
Ukifuata mfano huu, tumia vitenzi vilivyoko katika mabao kukamilisha (alama 2)
(i) Ali hapo (la)
(ii) Ali hapo (fa)
(iii) Ali hapo (oa) (alama 3)

9. 1997
Jibu maswali yafuatayo kulingana na maagizo
(a) Andika katika msemo wa taarifa
Mzazi: Kesho nataka ufike nyumbani mapema, unasikia?
Mtoto: Nitajaribu, lakini mwalimu alisema tutafanya mtihani jioni (alama 4)

(b) Badilisha katika udogo kisha uukanushe udogo huo


(i) Guu lake limepona baada ya kuumwa na jibwa la jijini (alama 2)
(ii) Nyumba yenyewe ilijengwa bondeni karibu na mto (alama 2)

(c) Andika katika kauli ya kutendesha


(i) Nataka upike chakula hiki vizuri (alama 1)
(ii) Toa ushuru wa forodhani
(d) Sahihisha bila kubadilisha maana:
(i) Usikuje hapa kwetu kwani sitakuwamo (alama 1)
(ii) Basi la shule imeharibika moshi nyingi inatokea dirishani
na maji inatiririka ovyo (alama 2)

(e) Bila kubadilisha maana, andika sentensi zifuatazo ukitumia


kirejeleo cha ngeli kifaacho
(i) Nyumbu alishinda farasi kukimbia (alama 1)
(ii) Milango yote yajifunga ovyo, nenda uakafunge (alama 1)
(iii) Hamisi amekata nyasi vizuri (alama 1)
(iv) Jiwe lile liliangukia matunda (alama 1)

(f) (i) Eleza maana ya misemo ifuatayo kwa kuitungia sentensi moja moja
Kuramba kisogo (alama 2)
Kuzunguka mbuyu (alama 2)

(ii) Andika methali nyingine ambayo maana yake ni kinyume cha


Riziki kama ajali huitambui ijapo

(g) Eleza matumizi manne tofauti ya – na (alama 4)


(h) (I) Eleza maana mbili mbili zinazotokana na sentensi zifuatazo
(i) Mtoto alitimua mbio, kuona nyoka (alama 2)
(ii) Juma alifagia chakula (alama 2)
(iii) Sisikii vizuri (alama 2)
(II) Mahali palipohamwa panaitwa (alama 1)
(i) Tunga sentensi ya neno moja ambayo ina visehemu vifuatavyo
vya sarufi
- Kiima
- Wakati
- Kirejeleo
- Kiswahili kitendwa
- Kitenzi (alama 5)
(j) Bila kunyambua, andika maneno mawili ambayo yanatokana na
shina moja na neno: imani (alama 2)
10. 1998
(a) Akifisha kifungu hiki:
Nilopomwendea aliniangalia kisha akaniambia siamini kuwa ni wewe
uliyeandika insha hii. (alama 3)

(b) Onyesha kielezi, kivumishi, kitenzi na jina katika sentensi:


Watu wane walipeperushwa juu kwa juu na upepo mkali (alama
4)

(c) Taja madini mawili ambayo yametukuzwa zaidi, moja kwa thamani yake
ya kifedha na nyingine kwa kutengeneza vyuma vigumu kuliko madini
mengine
(alama 2)
(d) Tumia viunganishi vingine badala ya vile vilivyotumiwa katika
sentensi hizi:
(i) Anayetafuta hachoki hata akichoka keshapata (alama 1)
(ii) Ngonjeeni hadi washiriki wote wafike (alama 1)

(e) Watu wafuatao wanafanya kazi gani (alama 2)


(i) Mhasibu
(ii) Mhazili

(f) Tumia kiulizio – pi – kukamilisha


(i) Ni mitume ………………………. Aliowataja? (alama 1)
(ii) Ni kiziwi ………………………. . Aliyemwona akipita? (alama 1)

(g) Eleza tofauti mbili muhimu za kimaumbile kati ya wanyama (alama 4)


(i) Kifaru
(ii) Nyati

(h) Tunatumia viashiria vya kuthibitisha kwa mfano kitabu kiki hiki. Sasa
kamilisha
Ni mbwa …………………….. aliyekula chakula cha mtoto (alama 1)

(i) Tumia semi hizi katika sentensi kuonyesha maana:


(i) Kuchokoachokoa maneno (alama 2)
(ii) Kumeza shibiri (alama 2)

(j) Andika upya sentensi ifuatayo ukitumia kirejeshi ( kihusiano) cha ngeli
cha mwisho
Mwanafunzi anayefanikiwa maishani ni yule anayesoma kwa bidii na
pia anayetii wakuu wake (alama 2)

(k) Tunga sentensi mbili zinazobainisha tofauti kati ya:


(i) Goma
(ii) Koma (alama 2)

(l) Jaza viambishi vifaavyo katika sentensi zifuatazo:


(i) Ukuta ----------enyewe una nyufa nyingi lakini fundi …… ote
anaweza kuukarabati (alama
2)
(ii) Maji yalizoa changarawe …….. ote na vitu ……. Ingine……o
ufuoni mwa bahari. (alama
2)

(m) (a) Eleza matumizi ya


(i) Isije ikawa
(ii) Huenda ikawa (alama 2)
(b) Tunga sentensi za kuonyesha matumizi hayo (alama 2)

(n) Onyesha maana mbili tofauti za neno ‘hapa’ (alama 2)

(o) Andika maswali mawili ambayo hayahitaji majibu ya moja kwa moja (alama 2)

11. 1999
A:
a) Jaza kiambishi kifaacho:
Ume__________ ona kalamu nyekundu ziliz_______potea? (alama 2)
b) Andika kwa umoja
Tumewaondoleeni matatizo yenu, yafaa mtushukuru. (alama 2)
c) Nyambua vitenzi vifuatavyo ili kupata majina (nomino) mawili
mawili tofauti:
(i) Kumbuka
(ii) Shona
(iii) Cheka

d) Ondoa- amba-bila kubadilisha maana. (alama 6)


(i)Kuimba ambako kulisifika siku nyingi sasa kunatia shaka (alama 1)
(ii)Mibuni ambayo hupandwa wakati wa mvua hustawi (alama 1)

e) Sahihisha:
Siku hizi mahitaji imezidi na pesa haitoshi (alama 1)

f) Akifisha:
Sijaona kitabu kizuri kama hiki utaniazima siku ngapi bashiri
alimuliza sijaona. (alama
4)

g) Eleza maana mbili za sentensi:


Jua nisemalo ni muhimu kwetu. (alama 2)

h) Kiambishi- U-hutambulisha majina yote ya ngeli ya U (umoja).


Hata hivyo baadhi majina hay huchukua viambishi tofauti tofauti
katika wingi. Orodhesha majina ma kama hayo, kisha uonyeshe
viambilshi hivyo tofauti vya ngeli (Katika umoja na Wingi)

B:
(a) (i) andika methali nyingine yenye maana sawa na
Mwenya kelele hana neno. (alama 2)

(ii) Eleza maana ya misemo:


I Hana mwiko
II Ametia mbugi miguuni (alama 2)

b) Tunga sentensi mbili kuonyesha tofauti kati ya:


(i) Tega
(ii) Tenga (alama 2)
c) Eleza maana mbili kuonyesha tofauti kati ya;
(i) Rudi
(ii) Funza (alama 2)

d) Jumba la kuhifadhi vitu vya kale ili watu wavitazame huitwa (alama 2)

e) Andika kwa tarakimu;


Nusu kuongeza sudusi ni sawa na thuluthi mbili (alama 2)

f) Jaza kiungo cha mwili kifaacho:


i) ……………………ya jicho hurekebisha kiasi cha mwanga
uingiao kwenye jicho. (alama 1)
ii) Saa hufungiliwa kwenye………………..cha mkono (alama 1)

g) i) Mjukuu ni wa babu; mpwa ni wa…………………. (alama 1)


ii) Tunachunga unga, tunapeta…………………….. (alama 1)

12. 2000
A.
a) Eleza tofauti iliyopo katika jozi hii ya sentensi. (alama
2)
Alimpatia soda ya chupa
Alimpatia soda kwa chupa.

b) Kamilisha jedwali ukifuatia mfano uliopewa (alama


4)
Wimbo Mwimbaji Uimbaji
Jengo ……………. ……….
Pendo ……………. ……….

c) Taja vielezi vinavyopatikana katika sentensi hizi; kisha ueleze


ni vielezi vya aina gani (alama
4)
(i) Aliamka alfajiri
(ii) Mtu huyu ni hodari sana

d) Andika kwa msemo halisi


Yohana alisema kwamba njiani kuliwa kumenyesha sana ndio
sababu tulichekelewa (alama
2)
e) Tunga sentensi moja moja ukitumia alama zifuatazo za uakifishaji
(i) Ritifaa
(ii) Parandesi
(iii) Dukuduku
(iv) Mshangao.

f) Tunga sentensi ukionyesha matumizi ya vitenzi vya silabi moja


katika jinsi ya kutendesha ukitumia silabi hizi (alama
3)
(i) -la
(ii) nywa
(iii) fa

g) Taja na ubainishe aina za viwakilishi katika sentensi zifuatazo (alama 4)


(i) Ile minazi yangu niliyopalilia inakua vizuri
(ii) Mimi ninataka kumwona mwanariadha aliyepata nishani
ya dhahabu

h) Andika kwa wingi:


(i) Uta wake ni mrefu na mkubwa sana (alama 2)
(ii) Merikebu itayokayofika kesho itango’a nanga kesho kutwa. (alama 2)

i) Andika upya sentensi zifuatazo ukitumia neon amba


(i) Kijiti kilichovunjika kilimwumiza Amina guu (alama 2)
(ii) Barua zitakazoandikwa na baba kesho zitatumwa mwaka
ujao.

j) Sahihisha sentensi hizi:


(i) Bahasha ilionunuliwa jana ni kubwa na mzuri (alama 2)
(ii) Mananasi hizi zinauzwa ghali kwa sababu zimeiva
vizuri sana (alama
2)
B:
a) Tunawaitaje watu hawa? (alama
2)
(i) Mtu anayebeba mizigo kwa ujira
(ii) Mtu anayeshughulikia elemu ya nyota

b) Taja methali inayoafikiana na maelezo haya:


i) Wengine wanapoozana na kugombana, kunao wanaofurahia
kabisa hali hiyo.
ii) Afadhali kuhudhuria huo mkutano hata kama umechelewa
(alama 2)
c) Tunga sentensi tatu zikionyesha maana tatu za neon chungu (alama 12)

d) Kamilisha:
i) Bumba la ……………………..
ii) Genge la…………………….. (alama 2)

e) Eleza maana ya:


i) Juhudi zake hizo si chochote bali ni kutapatapa kwa mfa maji
ii) Leo kapasua yote, hata mtama kamwagia kuku.

13. 2001
a) Kwa kutumia kirejeshi kifaacho, rekebisha sentensi ifuatayo kwa njia
mbili tofauti.
Yule ndiye mkwasi ambaye aliyenusurika. (alama 2)

b) Andika umoja wa sentensi hizi:


(i) Kwato za wanyama hutufaidi
(ii) Mnataka vyeti vya kuwasaidia? (alama 2)

c) Andika ukubwa wa
Mwizi aliiba kikapu na ngo’mbe (alama 2)

d) Tunga sentensi sahihi ukidhihirisha wingi wa majina yafuatayo:


i) Ukanda
i) Uzee

e) Sahihisha sentensi zifuatazo bila kugeuza maana


i) Kikombe chenye kimevunjika ni kipya (alama 1)
ii) Nimepeana kitabu kwa mwalimu mkuu (alama 1)

f) Tunaweza kusema katika chumba au


i) …………………………………………………..ama
ii) ……………………………………………………..
g) Andika sentensi zifuatazo katika hali ya kutendewa
i) Yule Ngo’mbe alizaa ndama mkubwa jana
ii) Mavu hawa wamemsumbua Nyatogo kwa mda mrefu.

h) Kwa kurejea ngeli za mahali, andika sentensi tatu ukionyesha


matumizi ya kila moja
i) Andika sentensi za mseto kutokana na mbili fupi ulizopewa
a) Mwanafunzi amesoma kwa bidii. Mwanafunzi anataka kupita
mtihani (alama 1)
b) Leo nimerudi nyumbani. Sipendelei kuishi hapa (alama 1)
j) Geuza sentensi hizi kutoka msemo wa taarifa hadi msemo halisi
i) Mama alisema nichukue nafaka yetu nikauze sokoni (alama
2)
ii) Mwalimu aliomba aletewe vitabu vyake kutoka darasani
(alama
2)
k) Eleza maana mbili tofauti za sentensi hii:
Wenzake wamelipwa pesa zao, yeye bado amelala.

l) a) Eleza Katika sentensi maana ya misemo ifuatayo;


(i) Uso wa chuma (alama
1)
(ii) Kuramba kisogo (alama
1)

b) Andika visawe (maneno yenye maana sawa) vya maneno haya


i) Sarafu (alama 1)
ii) Kejeli (alama 1)
iii) Daktari (alama
1)
Kwa kila jozi ya maneno uliyopewa, tunga sentensi mbili
kutofautisha maana.

c) i) Ini
Hini (alama 2)

d) Andika kinyume cha


i) Shari (alama 1)
ii) Oa (alama 1)

e) i) Anayefundisha mwari mambo ya unyumba hutwa (alama 1)


ii) Samaki anayejirusha kutoka majiri huitwa (alama 1)
14. 2002
a) Eleza matumizi matatu ya KI na utunge sentensi moja kwa kila mojawapo.
(alama 6)
b) Tambulisha viwakilishi katika sentensi zifuatazo, halafu uzigeuze
sentensi hizo kwa wingi.
(i) Nilisoma kitabu chake
(ii) Umekuwa mwadilifu kupindukia
(iii) Alishinda nishani ya dhahabu (alama 6)

c) Akifisha sentensi hii:


Watu wengi wamezoea kusema ajali bwana basi yakaishia hapo lakini
kufanya hivyo ni sawa. (alama
3)
d) Andika sentensi hizi kwa umoja
i) Mafuta haya yanachuruzika sana (alama 2)
ii) Miinuko ile ndiyo mwanzo wa milimu ya Chungu. (alama 2)

e) Sahihisha sentensi zifuatazo (alama 2)


i) Kile kitabu kilipasuka ni changu
ii) Matofali haya yanatumiwa kwa ujenzi wa nyumba

g) Andika sentensi hizi upya ukitumia o-ote. (alama 3)


i) Chakula kikibaki hutupiliwa mbali
ii) Kila nyumba unayoingia unapata watoto wawili

h) Yapange majina yafuatayo katika ngeli zake (alama 3)


i) Neno
ii) Kiongozi
iii) Mate
i) Ukizingatia nenolililo katika mabano, andika sentensi hizi atika hali
ya kutendeka (alama 2)
i) Daraja hili (vuka) tu wakati wa kiangazi.
ii) Kitabu hicho (soma) ijapokuwa sura zingine sura zingine hazimo.

j) Tunga sentensi ukionyesha matumizi ya (alama 2)


i) –enye
ii)-enyewe

i) a) Tunga Sentensi zitakazobainisha maana ya jozi za maneno


zifuatazo: (alama 4)
i) Mbari
Mbali
ii) Kaakaa
Gaagaa

b) Tumia misemo ifuatayo katika sentensi; (alama 2)


i) Enda nguu
ii) Chemsha roho

c) Eleza maana mbili tofauti za (alama


2)
Rudi

d) Eleza maana ya methali


Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni (alama
2)
15. 2003
a) i) Tumia viashiria vya kutilia mkazo katika sentensi zifuatazo
i) Kibogoyo………. Ndiye anayehitaji meno ya dhahabu.
ii) Vyakula……………mvipikavyo nyinyi, nasi twavipika

(alama 2)
b) Geuza sentensi zifuatazo ziwe katika hali ya umoja
i) Huku kuimba kwenu kuzuri kutawapendez wageni (alama 1)
ii) Hii miche ni mizuri sana, itatufaa (alama 2)

c) Unganisha sentensi zifuatazo kwa kutumia viunganishi vifaavyo.


i) Chakula hiki hakina mchuzi. Hakina chumve (alama1)
ii) Romeo aliamka. Alitazama saa yake
Akala kiamsha kinywa mbio mbio (alama 2)

d) Ziandike upya sentensi zifuatazo kwa kufuata maagizo uliyopewa.


i) Nimemleta paka ili aue panya wote wanaotusumbua hapa kwetu
nyumbani. (Anza: Panya…) (alama
2)
ii) Mbwa ambaye aliripotiwa kuwa ameibwa amepatikana katika
bwawa la maji (Anza: katika bwawa…..) (alama
2)

e) Andika kwa msemo halisi sentensi. Tajiri alishangaa kuwa niliweza


kuubeba mzigo huo peke yangu. (alama 2)

f) Piga mstari vivumishi katika sentensi hizi


i) Sina nguo yoyote niwezayo kuvaa (alama 1)
ii) Mtoto mwenyeweataileta kalamu (alama 1)

g) Andika vitensi vinavyotokana na majina haya;


i) Mfuasi
ii) Kifaa
iii) Mharibifu (alama 3)

h) Kanusha
i) Ungemwuliza vizuri angekujibu bila wasiwasi (alama 2 )
ii) Andika kinyume;
Mjomba alicomeka upanga kwenye ala (alama 2)
i) Eleza maana nne-tofauti za sentensi hii;
Alinunua samaki na mtoto wake (alama 4)

j) Eleza tofauti baina ya sentensi hizi;


i) Ningekuwa na pesa ningenunua shamba.
ii) Ningelikuwa na pesa ningalinunua shamba (alama 2)

B a) Kamilisha tashbihi zifuatazo


i) Baidika kama
ii) Mzima kama

b) Tumia tanakali za sauti zifaazo kukamilisha sentensi hizi;


i) Sauti ya waimbaji haikusikika tena, ilikuwa imedidima…wageni
walipofika katika jukwaa.
ii) Simba ni mnyama hodari sana, akimkamata swara humrarua (alama 2)

c) Tunga sentensi mbili tofauti zinazobainisha maana tofauti kati ya:


i) Nduni
ii) Duni (alama 4)

d) i) Mdudu anayetengeneza atandu huitwa (alama 1)


ii) Mdudu mwenye mkia ulipinda nchani ambao una sumu ni (alama 1)

e) Andika methali moja inayotokana na maelezo yafuatayo:


Asiye na uwezo ataendelea kuwa bila uwezo hata akifanya bidii
namna gani. (alama 2)

16. 2004
(a) Andika udogo na ukubwa wa jina ngoma (alama 2)

(b) (i) Eleza namna mbili za matumizi ya alama ifuatayo ya uakifishi (;) (alama 2)
(ii) Tunga sentensi mbili tofauti zinazoonyesha matumizi hayo (alama 2)

(c) Tofautisha maana ya sentensi zifuatazo


(i) Kazi yote ni muhimu
(ii) Kazi yoyote ni muhimu (alama 2)

(d) Tunga sentensi mbilimbili kuonyesha matimizi mawili tofauti ya


a. Ka
b. Ndivyo (alama 4)
(e) Tunga sentensi kuonyesha matumizi sahihi ya viunganishi (alama 2)
(i) Ingawaje
(ii) Ilhali
(f) Tambulisha kielezi, kivumishi na mnyambuliko wa kitenzi katika
sentensi ifuatayo:
Msichana mrembo alikuja upesi akimkimbilia dadake (alama 2)

(g) Andika kifungu hiki kutoka usemi wa taarifa hadi usemi halisi
(alama 4)
Watoto waliambiwa na mama yao watakaporudi nyumbani waoge.
Wale, halafu waanse kusoma moja kwa moja badala ya kuharibu
wakati wao kwa kutazama vipindi vya runinga. Aliwakumbusha
kuwa wanaofanya maonyesho kwenye runinga tayari wamefuzu
shuleni na wameajiriwa kazi

(h) (i) Taja vihusishi vitatu vinavyorejelea mahali, wakati na kiwang (alama 3)
(ii) Tunga sentensi kuonyesha matumizi ya kila kihusishi (alama 3)
(i) Andika sentensi zifuatazo upya kwa kufuata maagizo
(i) Alicheza kwa bidii akawafurahisha wengi waliohudhuria
tamasha hizo Anza kwa: Kucheza (alama 2)
(ii) Karamu hiyo ilifanya sana, kila mtu alikula chakula akatosheka
Anza kwa: chakula (alama 2)
(j) Tunga sentensi mbili tofauti ukitumia vitenzi hivi vya silabi moja (alama 2)
(i) Pa
(ii) La
(k) Unda vitenzi kutokana na majina haya: (alama 2)
(i) Mtukufu
(ii) Mchumba
17. 2005

(a) Bainisha aina ya vivumishi katika sentensi hii (alama 2)


Nyumba yangu ni maridadi

(b) Kamilisha jedwali


Kufanya Kufanyia Kufanywa
Kula
Kuunga (alama 4)

(c) Eleza matumizi ya kwa katika sentensi hii


Aliimba kwa sauti tamu (alama 1)
(d) Andika kwa wingi (alama 1)
Pahala hapa ni pake

(e) Eleza matumizi ya na katika sentensi:


Halima na Asha wanasaidiana (alama 3)

(f) Huku ukitoa mifano, fafanua miundo mitatu ya majina katika ngeli ya
JI-MA (alama 6)

(g) Onyesha (i) Kielezi (ii) kitenzi katika sentensi (alama 2)


Mvua ilinyesha mfululizo

(h) Kanusha sentensi hii:


Tumechukua nguo chache kuuza (alama 2)

(i) Tumia – ndi pamoja na viashiria vya ngeli kujaza mapengo


(i) Wewe ___________ ninayekutafuta
(ii) Nyinyi ___________ mnaoongoza

(j) Andika sentensi hii upya kwa kufuata maagizo


(i) Nilikuwa nimejitayarisha vizuri kwa hivyo sikuona ugumu wo wote
katika safari yangu.
Anza: safari (alama 2)

(k) Geuza vitenzi hivi view majina


(i) Shukuru (alama 1)
(ii) Enda (alama 1)

(l) Eleza maana mbili tofauti za sentensi hii


Mamake Juma na Mariamu walitutembelea (alama 2)

II (a) Eleza maana ya:


(i) Sina pa kuuweka uso wangu (alama 1)
(ii) Ana mkono wa buli (alama 1)

(b) Jaza jedwali


Kiume Kike
Mjakazi
Jogoo
Fahali (alama 3)
(c) (i) Kati ya madini haya taja yale yanayopatikana baharini
Zinduna Zebaki
Lulu Ambari
Yakuti Marumaru (alama 3)

(ii) Haya ni magonjwa gani?


I Matubwitubwi
II Tetewanga (alama 2)

(iii) Mbuni huzaa matunda gani? (alama 1)

18. 2006
a) Tunga sentensi inayodhihirisha matumizi ya ngeli ya I – I (alama 1)

b) Changanua sentensi ifuatayo ukitumia mchoro wa matawi:


Mkulima mzembe amepata hasara (alama 4)

c) Onyesha viambishi awali na tamati katika kitenzi: Alimchezea (alama 3)


d) Taja sauti mbili zinazotamkiwa midomoni (alama 2)

e) Kanusha sentensi ifuatayo:


Ningalikuwa na pesa ningalinunua nyumba (alama 2)

f) Kitenzi fumbata kiko katika hali (kauli) ya (alama 1)


g) Tunga sentensi ukitumia kielezi cha
i) Wakati (alama 1)
ii) Mahali (alama 1)
h) Andika sentenzi zifuatazo kulingana na maagizo uliyopewa (alama 1)
i) Mhunzi mrefu alishinda tuzo (Anza kw: tuzo… (alama 1)
ii) Mwanafunzi huyu anasoma Kifaransa.
(Anza kwa kiashiria kisisitizi)

i) Sentensi hizi ni za aina gani?


i) Lonare anatembea kwa kasi. (alama 1)
ii) Halima anaandika hali Ekomwa anasoma (alama 1)

j) Tunga sentensi moja ukitumia neon “seuze” (alama 1)

k) Bainisha Kirai Nomino na Kirai Tenzi katika sentensi:


Jirani mwema alinipa chakula (alama 2)

l) Unda nomino kutokana na vitenzi:


i) Chelewa (alama 1)
ii) Andika (alama 1)

m) Onyesha hali katika sentensi zifuatazo:


i) Henda mvua ikanyesha leo. (alama 1)
ii) Miti hukatwa kila siku duniani. (alama 1)

n) Unganisha sentensi zifuatazo ukitumia neon “japo”


i) Selina alijitahidi sana .
(ii) Selina hakushinda mbio hizo (alama 1)
o) Andika kinyume cha:
Mwise alikunja nguo alizokuwa ameanika (alama
2)

p) Sahihisha sentensi:
Mtoto ambaye niliyemsomesha ameasi jamii (alama
1)

q) Andika katika msemo wa taarifa. “Sitathubutu kumpa pesa zangu”


Mkolwe alisema. (alama
2)
r) Tunga sentensi kuongyesha tofautu kati ya vitate vifuatavyo (alama
2)
Suku na zuka

s) Eleza matumizi ya ritifaa katika: ‘N” shamchukua (alama


2)
t) Andika udogo na ukubwa wa neno ‘kiti’ (alama
2)

u) Eleza matumizi ya “na” katika sentensi: (alama


2)
Sofia na Raeli wanaandaliwa chai na mpishi

19. 2007
a) Tunga sentensi moja ukitumia nomino dhahania. (alama
2)
b) Eleza maana mbili za sentensi ifuatayo:
Hawa ni watoto wa marehemu Bwana Nzovu na Bi Makambo. (alama
2)

c) Unda nomino moja kutokana na kitenzi “ghafilika”.


d) Andika kwa wingi: Nyundo hii imevunjika mpini wake. (alama
1)

e) Anisha sentensi ifuatayo ukitumia jedwali


Mvulana mrefu anavuka barabara (alama
3)

f) Tunga sentensi moja moja kuonyesha tofauti kati vitate vifuatavyo (alama
2)
i. Karama……………………………………………………
ii. Gharama ……………………………………………….

g) Tambua na ueleze aina za vivumishi katika sentensi zifuatazo:


i. Mtoto mwenyewe alienda shambani (alama
1)
ii. Kazi yetu haihitajiki shuleni (alama
1)
h) Koloni/nukta mbili(:) hutumiwa katika kuorodhesha.Onyesha
matumizi mengine matatu ya koloni(:) (alama
3)

i) Tunga sentensi itakayooshesha matumizi ya kihusishi cha a – unganifu (alama


2)

j) Bainisha kishanzi huru na kishazi tegemezi katika sentensi ifuatayo


‘Mkulima aliyepanda wakati ufaao amepata mavuno mazuri.’ (alama
2)

k) Ainisha viambishi katika neon: kujidhiki. (alama


2)
l) Tambua na ueleza aina za vitenzi katika sentensi ifuatayo
‘Kalamu aliyokuwa nayo mwalimu ni ya mwanafunzi.’ (alama
2)

m) Andika viwakilishi ngeli vya nomino zifuatazo


i. Chakula …………………………………………….. (alama
1)
ii. Kwetu ……………………………………………… (alama
1)

n) Badilisha sentensi ifuatayo ili iwe katika hali ya kuamuru


Baba ingia ndani (alama
2)

o) Eleza maana ya sentensi


‘Ningalikuwa na pesa ningalinunua nyumba na ningalistarehe’ (alama
2)

p) Fafanua aina za hali zinazotumika katika sentensi hizi.


i. Mwimbaji aliimba, akacheza na akachanganisha sana. (alama
1)
ii. Shangazi huja kila mara (alama
1)

q) Tunga sentensi MOJA itakayoonyesha maana mbili tofauti za neon pembe.


(alama
2)
r) Andika katika msemo wa taarifa “Nitakuarifu nikimwona,” Elma alisema.
(alama
3)
s) Nyambua kitenzi “ota” kama kinavyotokea katika kirai “ota ndoto”
ili tofauti tatu zijitokeze. (alama
3)

20. 2009
(a) Andika sentensi mbili zifuatazo kama sentensi moja kwa kutumia
kiwakilishi kirejeshi
1. Duka la Bahati lina bidhaa nyingi
2. Juma anafanya kazi katika dula la Bahati (alama
2)

(b) (i) Eleza matumizi mawili ya kiambishi -ji- (alama


2)
(ii) Tunga sentensi moja kuonyesha moja ya matumizi hayo (alama
2)
(c) Tumia visawe vya maneno yaliyopigwa mstari kuandika tena sentensi
ifuatayo:Ukuta umemwumiza mvulana alipokuwa akiupanguza (alama
2)

(d) Chora vielelezo matawi vya sentensi ifuatayo:


Bakari, Roda na Hirsi wamefurahi kupita mtihan (alama
4)
(e) Tambua sauti ambazo si za ufizi katika sauti hizi
M, t, n, z, gh (alama
1)
(f) Tunga sentensi sahihi ukitumia -fa- katika hali ya mazoea (alama
2)
(g) Onyesha kwa kupiga mstari iliko shadda katika maneno mawili
yafuatayo;
(i) Malaika
(ii) Nge (alama
2)
(h) Eleza maana mbili za sentensi :
Kiharusi chake kimewatia hofu (alama
2)

(i) Tunga sentensi ukitumia kielezi cha jinsi cha nomino ifuatayo:
Uganda (alama
2)
(j) Bainisha sentensi sahili ziliizo katika sentensi mseto ifuatayo:
Hamali ambaye ameugua alisema kuwa angekwenda hospitali jana (alama
3)
(k) Andika ukubwa wa sentensi:
Ndovu wa Kiafrika ameharibu kichaka. (alama
2)

(l) Iandike tena sentensi ifaatayo bila kutumia vitenzi visaidizi.


Wachezaji huenda wakawa wanaweza kushinda mchezo wa leo. (alama
2)

(m) Andika kwa msemo halisi:


Baba ulipotuuliza kama tungependa kwenda Mombasa wakati wa
likizo tulimjibu kwamba tulitaka kwenda Kisumu Kwa kuwa tulikuwa
hatujaliona Ziwa Victoria (alama
3)
(n)Huku ukitoa mifanao mwafaka onyesha matumizi mawili ya kinyota (*)
katika sarufi ya Kiswhaili (alama
4)

(o) Kanusha sentensi ifuatayo:


Hapo napo ndipo nitakapo. (alama
1)

(p)Andika kinyume cha;


Furaha amehamia mjini (alama
1)
(q)Andkia maneno yafuatayo katika kauli zilizoonyeshwa katika mabano
Neno Kauli Jibu
(i) imba (tendesha) ……………………………………………………
(ii) Choka (tendea) …………………………………………………………….
(alama 2)
21. 2010
(a) Toa mfano wa neno lenye muundo wa silabi ya irabu pekee (alama 1)
(b) Eleza maana mbili zaneno: Barabara. (alama 2)

(c) Sahihisha sentensi:


Abiria walisafiri na ndege. (alama 1)

(d) Tambua na ueleze aina za vivumishi katika sentensi:


Mwanafunzi mkongwe amepewa tuzo kwa kuwa hodari masomoni. (alama 4)

(e) Andika sentensi ifuatayo katika hali yakinishi.


Usingeacha masomo, usingetaabika vile. (alama 2)

(f) Tunga sentensi ukitumia kielezi cha:


(i) Jumla . (alama 1)
(ii) Namna linganisho . (alama 1)

g) Ainisha shaminsho na chagizo katika sentensi: Vibarua wamefanya


kazi haraka ipasavyo.Vibarua wamefanya kazi haraka ipasavyo. (alama 2)

(h) Eleza maana mbili zinazopatikana katika sentensi: Nenda ukaniletee mbuzi.
(alama 2)
(i) Tunga sentensi kudhihirisha matumizi ya ngeli ya U-U. (alama 2)

(J) Andika katika usemi wa taarifa.


"Mito yetu imechafuka sana; itabidi tuungane mikono wakubwa
kwa wadogo, wanaume kwa wanawake ili tuisafishe."
Mwanamazingira alituhimiza. (alama 3)

(k) Changanua sentensi ifuatayo ukitumia mistari au mishale.


Amina na Mustafa huimba taarabu. (alama 4)

(1) Eleza matumizi ya ku katika sentensi:


Sikumwelewa alivyoeleza namna ya kuwatunza mbwa wake. (alama 2)

(m) Tunga sentensi sahihi ukitumia kitenzi la katika kauli ya kutendwa. (alama 2)

(n) Eleza kazi ya kila kitenzi katika sentensi:


Mkulima angetaka kupalilia shamba lake mapema. (alama 4)

(o) Taja na utofautishe vipasuo vya ufizi.

(p) Onyesha jinsi moja moja ya matumizi ya viwakifishi vifuatavyo:- (alama 3)

(i) nusu koloni(;)


(ii) herufi kubwa
(iii) Kishangao(!)
22. 2011

(a) Tumia mzizi –enya katika sentensi kama:


(i) kivumishi (alama 2)
(ii) kiwakilishi

(b) Andika sentesi ifuatayo katika ukubwa :-


Pala mweupe amepaswa mguuni. (alama 2)

(c) Taja mfano mmoja mmoja wa sauti zifuatazo


(i) kiyeyusho
(ii) kimandende (alama 2)

(d) Onyesha shamirisho kitondo, kipozi na ala katika sentensi ifuatayo:-


Kipkemboi alimbebea mwalimu mzigo kwa gari (alama 3)

(e) changanua sentensi ifuatayo kwa kutumia jedwali


Maria alipika taratibu huku mama akimwelekeza vizuri (alama 4)

(f) Nomino ‘furaha’ iko katika ngeli gani? (alama 1)

(g) Andiko kinyume cha sentensi: Watoto wameombwa waanike nguo (alama 2)

(h) Andika sentensi ifuatayo upya kwa kufuata maagizo uliyopewa.


Mama ashangilia arusi ya mwana
Anza: Mwana……………………………………………………. (alama 2)

(i) Tumia kirejeshi ‘O’ katika sentensi ifuatayo:-


Mtu ambaye hutupa tope hujichafua mwenyewe (alama 2)

(j) Kanusha sentensi ifuatayo


Mgonjwa huyo alipona na kurejea nyumbani (alama 2)

(k) Ainisha vihusishi katika sentensi:


Ame aliwasili mapema kuliko wengine halafu akaondoka (alama 2)

(l) Tunga sentensi mbili kuonyesha maana tofauti za neon "chuma" (alama 4)

(m) Unda nomino kutokana na kitenzi 'tafakari'

(n) Eleza maana mbili za sentensi:


Tuliitwa na juma…………………………………. (alama
2)

(o) Ainisha viambishi katika kitenzi:-


Tutaonana…………………………………………….. (alama
2)

(p) Tunga sentensi moja ukitumia kiunganishi cha kinyume (alama


2)

(q) Huku ukitoa mifano eleza miundo miwili ya silabi za Kiswahili (alama
2)

(r) Akifisha kifungu kifuatacho:


Mzee alimwambia mwanawe njoo nikupeleke kwa babu yako angalau
umujue moto aliuliza nani babu? (alama 4)

23. 2012 Q3 P2

(a) Huku ukitoa mfano, fafanua dhana ya mzizi wa neno (alama 2)

(b) Onyesha matumizi ya kiambishi 'ku' katika sentensi ifuatayo:


Amani atakutengenezea mpini wa jembe kisha aelekee kule kwao. (alama 2)

(c) Andika vitamkwa vyenye sifa zifuatazo:


(alama 2)
(i) Irabu ya mbele, wastani
(ii) Kipasuo ghuna cha kaakaa laini .

(d) Tumia kivumishi kionyeshi kisisitizi cha karibu


pamoja na nomino
katika ngeli ya YA - YA kutunga sentensi.
(alama 2)

(e) Tunga sentensi moja katika wakati uliopita hali timilifu.

(alama 2)

(f) Tunga sentensi yenye muundo ufuatao:


(alama 2)
KN (N) + KT (T + E) + U + KN (N) + KT (T + E)

(g) Huku ukitoa mfano, eleza maana ya sentensi changamano.

(alama 2)

(h) Tunga sentensi moja kutofautisha maana ya: koga na konga.


(alama 2)
(i) Tunga sentensi moja yenye nomino dhahania na nomino
ya jamii. (alama 2)

(j) Nyambua vitenzi vifuatavyo katika kauli zilizo kwenye


mabano. (alama 3)
(i) nywa (tendesha)
(ii) la (tendeana)
(iii) vaa (tendwa)

(k) Akifisha sentensi ifuatayo kubainisha dhana tatu tofauti.


Julius Kiptoo mwanawe Kung'u na Justine walikiletea kijiji
chao sifa. (alama 3)

(l) Ainisha maneno yaliyopigiwa mstari.


Naam . ameleta machache . (alama 2)
(m) Tunga sentensi yenye kitenzi kishirikishi kikamilifu (alama 2)
(n) (i) Eleza maana ya shadda. (alama 1)
(ii) Onyesha panapotokea shadda katika neno: ' mteremko'. (alama
1)

(o) Andika visawe vya maneno yaliyopigiwa mstari. (alama 2)


Sahibu yake alishikwa na kisunzi
(p) Bainisha aina za virai vilivyopigiwa mistari.
Ubaguzi wa kijinsia umekashifiwa na viongozi wenye misimano thabiti mno. (alama 3)

(q) Andika sentensi ifuatayo katika usemi wa taarifa.


" Shughuli yetu itamalizika kesho, " mama alimwambia Juma. (alama 2)

(r) Bainisha kiima na chagizo katika sentensi ifuatayo:


Watahiniwa hao walisoma maswali yote kwa makini. (alama 2)

(s) Ainisha sentensi ifuatayo kwa kuzingatia jukumu/dhamira yake.


Funga majani matano matano kwa kila fungu. (alama 1)

24. 2013 P2 (Alama


40)
(a) (i) Eleza maana ya sauti mwambatano. (alama
2)
(ii) Andika sauti mwambatano inayotamkiwa kwenye ufizi. (alama
1)

(b) Andika sentensi ifuatayo upya ukibadilisha neno lililopigiwa mstari kuwa kielezi.
Komu ameshona nguo nzuri na kuiuza sokoni. (alama
1)

(c) Tunga sentensi mojamoja kubainisha: (alama


4)
(i) kihusishi cha wakati
(ii) kivumishi cha pekee chenye maana, “bila kubagua”.

(d) Andika sentensi ifuatayo katika hali yakinishi.


Askari wasipopiga doria wala kushirikiana na raia hawatakuwa wametuhakikishia
usalama. (alama
2)
(e) Bainisha mofimu katika neno:
atamnywea (alama
3)

(f) Andika sentensi ifuatayo katika hali ya udogo:


Madebe hayo yatasafirishwa pamoja na nyundo hizi. (alama
2)
(g) Ainisha vishazi katika sentensi ifuatayo:
Ingawa mshahara wake si mkubwa anaikimu familia yake. (alama
2)

(h) Tunga sentensi tatu kuonyesha matumizi matatu tofauti ya kiambishi ‘li’. (alama
3)
(i) Eleza maana ya sentensi ya masharti. (alama
1)
Tunga sentensi ya masharti. (alama
2)

(j) Tumia kiwakilishi cha ‘a’ unganifu katika sentensi kuonyesha:


(i) umilikaji (alama
2)
(ii) nafasi katika orodha au nafasi katika kundi (alama
2)

(k) Tunga sentensi yenye kikundi tenzi chenye muundo ufuatao:


Kitenzi kisaidizi, kitenzi kikuu, nomino (alama
2)

(l) Tunga sentensi mbili kuonyesha matumizi mawili tofauti ya kistari kirefu.
(alama
2)
(m) Unganisha sentensi zifuatazo kuwa sentensi moja bila kurudia kitenzi.
Osore amempigia Ngungui simu. Ngungui amempigia Osore simu. (alama
2)

(n) Andika upya sentensi ifuatayo ukibadilisha vitenzi vilivyomo kuwa nomino:
Mayaka anapotumbuiza huchekesha sana. (alama
2)

(o) Andika maana tatu za neno: kanda. (alama


3)

(p) Andika visawe viwili vya nahau: enda kombo. (alama


2)

25. 2014 P2
a) (i) Eleza maana ya silabi. (alama 2)
(ii) Andika neno lenye muundo ufuatao: (alama 1)

irabu + konsonanti + konsonanti + irabu

b) Ainisha vitenzi katika sentensi: (alama 3)


Ndege yu taabani, hata hivyo anajaribu kujinasua
c) Geuza sentensi ifuatayo kwa kufuata maagizo. (alama 2)
Wachezaji hawakucheza mpira kwa sababu ya mvua.
Anza kwa: Mpira

d) Andika sentensi ifuatayo katika wakati ujao hali timilifu.


Dobi huwapigia watu nguo pasi. (alama 2)

e) Andika sentensi ifuatayo upya ukizingatia kinyume cha maneno


yaliyopigiwa mstari. (alama 2)
Ubora wa kazi zao ulifichika baada ya kuanzishwa kwa mradi ule.

f) (i) Eleza maana ya kirai. (alama 2)

(ii) Ainisha virai vilivyopigiwa mstari.

Zana hizi zimeundwa na mafundi wenye ustadi mkubwa.

g) Kinga ni hali ya kuzuia madhara fulani. Andika maana


nyingine mbiliza 'kinga'. (alama 2)
h) Changanua sentensi ifuatayo kwa kielelezo cha matawi.

(alama 2)
Lililimwa vizuri sana.
i) Bainisha maana mbili zinazojitokeza katika sentensi ifuatayo:
(alama 2)
Wakimbizi walisema kuwa walitamani kurudi kwao mwaka
huo.
j) Eleza sifa mbiliza sauti ifuatayo: dh.
(alama 2)
k) Andikasentensiifuatayokatikaumoja.(alama 2)
Hao wenyewe hawakuzingatia mafunzo ya lishe bora.
l) Tunga sentensi mojakubainisha tofauti ya kimaana kati ya
gharamana karama. (alama 2)
m) Kanusha sentensi ifuatayo: (alama
2)
Wanafunzi waliingia darasani, wakatoa vitabu wakaanza kusoma.

n) Tunga sentensi mbili kuonyesha matumizi mawili tofauti ya nukta pacha.

o) Tumia nomino ya jamii kuwakilisha maneno yaliyopigiwa mstari (alama 1)

Nzige wengi sana walivamia na kuharibu mimea.

p) Onyesha visawe vya maneno yaliyopigiwa mstari (alama 2)

Washiriki wote walituzwa medali baada ya mchuano huo

q) Nomino zifuatazo zimo katika ngeli gani?

i) Furaha (alama 1)

ii) Nyasi (alama 1)

r) Unganisha sentensi hizi ukitumia kiunganishi cha kinyume (alama 2)

Wananchi walikabiliwa na hatari

Wananchi waliendelea kuwaokoa majeruhi

s) Andika upya sentensi ifuatayo ukianzia kwa yambwa tendwa (alama 2)

Wafugaji waliwakatia ng’ombe wote majani ya mti huo

26. 2015 P2

(a) Andika sauti zenye sifa zifuatazo: (alama 2)

(i) nazali ya kaakaa laini……………………………………………….

(ii) kikwamizo ghuna cha mdomo na meno…………………………………

(iii) irabu ya nyuma, wastani………………………………………………….

(iv) kiyeyusho cha kaakaa gumu……………………………………………

(b) Bainisha silabi katika neno: wanyweshavyo. (alama 1)


(c) Andika upya sentensi ifuatayo kwa kubadilisha nomino zilizopigiwa
mstari kuwa vitenzi.Wafanyakazi wote watafanyiwa tathmini ili kupata
suluhu ya matatizo hayo. (alama 2)
(d) Andika sentensi ifuatayo katika umoja.
Mkihifadhi nafaka hizo vizuri maeneo haya yatakuwa na vyakula vya kutosha.
(alama 2)
(e) Andika neno moja lenye mofimu zifuatazo: (alama 2)
nafsi ya kwanza wingi, wakati uliopita, yambwa, mzizi, kauli tendesha,
kauli tenda
(f) Tunga sentensi kuonyesha matumizi yafuatayo ya neno: kama (alama 2)

(i) kiunganishi

(ii) Kihusishi

(g) Tunga sentensi yenye kishazi kirejeshi ambacho ni kivumishi. (alama 2)

(h) Andika sentensi ifuatayo katika hali ya ukubwa.


Nyumba hizo zilijengwa mbali na mji ule. (alama 1)

(i) Tunga sentensi yenye muundo ufuatao: (alama 2)


nomino ya jamii, kirai kihusishi, kitenzi kishirikishi, kielezi cha mahali
(j) Andika sentensi ifuatayo kulingana na maagizo. (alama 1)
Chakula kinachozalishwa kwa njia za kiasili kina viinilishe vingi.
Anza kwa: Viinilishe vingi
(k) Tumia viwakilishi badala ya nomino zilizopigiwa mstari.
Mtalii atazuru mbuga. (alama 1)
(l) Akifisha sentensi ifuatayo:
basi mwanangu akasema daudi hivyo ndivyo tunavyoweza kufikia vision 2030
wewe waonaje (alama 3)
(m) Unganisha sentensi zifuatazo kwa kutumia kiunganishi cha wakati.
Beti alijishindia tuzo. Beti alishiriki katika utunzaji wa mazingira. (alama 1)
(n) Tumia 'kwa' katika sentensi kuonyesha: (alama 2)
(i) sababu
(ii) pamoja na

(o) Changanua sentensi ifuatayo kwa kielelezo cha matawi.


Mvua ilinyesha tulipokuwa tukilima. (alama 3)
(p) Andika sentensi ifuatayo katika kauli ya kutendewa.
Malik alipuliza siwa akiwa kwa Shaka. (alama 2)
(q) Onyesha matumizi ya ka katika sentensi ifuatayo:
Mumbi alitia embe kapuni likaiva. (alama 1)
(r) Andika sentensi ifuatayo katika hali ya mazoea.
Mmomonyoko wa udongo ulipozuiliwa mashamba yalinawiri.
(alama 2)
(s) Tunga sentensi moja kutofautisha maana ya vito na fito.

(alama 2)
(t) Methali: Mzigo wa mwenzio ni kanda la usufi, huambiwa
mtu anayezidharau
shida za wengine. Mtu asiyetambua kuwa kuna wengine
wanaoweza kulimudu
jambo kuliko yeye huambiwa methali gani?
(alama 1)
(u) Bainisha kiima na chagizo katika sentensi ifuatayo: Mwenyewe alikipenda kwa dhati.
(alama 1)
(v) Tunatumia kihisishi "makiwa" tunapotaka kumtuliza aliyefiwa, na……………….
tunapotaka mtu atupishe. (alama 1)
(w) Tunga sentensi ya masharti inayoonyesha kwamba tendo lilifanikiwa kwa sababu
ya kufanikiwa kwa tendo lingine. (alama 1)
(x) Andika nahau inayojumuisha ujumbe ufuatao: (alama 1)
kumzuia mtu kupata kitu japo huna haja nacho
(y) Shumbi ni kwa udongo,……..kwa chumvi, na.........................………kwa mtama. (alama 1)

27. 2016 P2

a) Tumia nomino yoyote katika ngeli ya 1-I Kutunga sentensi


b) Nini maana ya silabi
Irabu + konsonanti + konsonanti + irabu

c) Tunga sentensi hii upya kwa kufuataa maagizo


wasichana wanaingia darasani kwa harak. (andika kinyume chake) (alama 2)
d) Tambua kiambishi awali na tamati kati neno:
Alalaye (alama 2)
(c) Ainisha vivumishi katika sentensi hii.
Mzee mwenyewe ni mkongwe na amepewa zawadi kwa kuwa shamba lake
Iilitoa mazao mengi. (alama 4)
(f) Askari wasipopiga doria wala kushirikiana na raia hawatakuwa wametuhakikishia
usalama. (yakinisha sentensi hii) (alama 2)
(g) "Shughuli yetu itakamilika kesho", mama alimwambia mwanaye Juma
(Andika katika usemi wa taarifa). (alama 2)
(h) Changamua sentensi ifuatayo kwa kielelezo cha matawi.
Mpira ulichezwa tulipokuwa tukipika. (alama 3)
(i) Dhihirisha matumizi matatu tofauti ya kimaana yatakayotokea kitenzi "ona"
kikinyambuliwa katika kirai hiki "ona ndoto". (alama 3)
(j) Eleza matumizi ya hali za "ka" na "hu" katika sentensi zifuatazo:
(i) Balozi huja hapa kila mara. (alama 1)
(ii) Mpishi alipika, akapakuwa na akagawa chakula. (alama 1)
(k) Eleza maana mbili zinazojitokeza katika sentensi:
Tuliitwa na baba. (alama 2)
(1) Akifisha:
Shangazi alimwambia mwanawe njoo nikupeleke kwenu jioni motto
aliuiiza kwetu wapi? (alama 4)
(m) Eleza matumizi mawili ya kiambishi -ji-(alama 2)
Tunga sentensi hii upya kwa kutumia visawe vya maneno yaliyopigwa mstari. (alama. 1)
Kiambaza kilimuumiza ghulamu alipokuwa akipanda.

28. 2018
3. MATUMIZ1 YA LUGHA (Alama 40)
(a) Andika sauti zenye sifa zifuatazo:
(i) kipasuo ghuna cha midomoni
(ii) irabu ya kati, chini
(iii) kikwamizo sighuna cha kaakaa gumu
(iv) nazali ya ufizi

(b) Bainisha silabi zilizowekewa shadda katika maneno yafuatayo:(alama 1)


(i) miambakofi
(ii) yatazoleka
(c) Andika neno lenye muundo ufuatao: (alama 2)
(i) kiambishi ngeli, wakati uliopita, mzizi, kauli tendwa, kauli tenda (kiishio)
(ii) kiambishi cha wingi, mzizi

(d) Andika sentensi zifuatazo upya kulingana na maagizo.


(i') Uaminifuwa mtu humfanya aheshimiwe,
(Badilisha nomino iliyopigiwa mstari kuwa kivumishi.)

(ii) Shama, Tegea na koru ndio walioibuka washindi.


(Tumia kiwakilishi nafsi badala ya maneno yaliyopigiwa mstari.)

(iii) Mchuuzi alinunua mboga zilizofungwa pamoja.


(Tumia nomino ya jamii badala ya maneno yaliyopigiwa rnstari.)

(iv) Seluwa ni mtiifu. Maria ni mtiifu pia.


(Unganisha kuwa sentensi moja yenye kihusishi cha kulingamsha.)
(e) Nomino zifuatazo zimo katika ngeli gani? (alama 1)
(i) ugwe .........................................................................................................
(ii) limau .........................................................................................................

(f) Unganisha sentensi zifuatazo kuunda sentensi ya masharti. (alama 2)


Moto ulidhibitiwa. Kulikuwa na vifaa vya kutosha.

g) Andika sentensi ifuatayo katika wingi. - (alama 1)


Nahodha alilikwepa jabali hilo, chombo kikafika ufuoni salama.

h)Tunga sentensi yenye muundo ufuatao: (alama 2)


nomino, kishazi kitegemezi, kitenzi, nomino, kivumishi, kielezi
(i) Andika sentensi ifuatayo katika wakati ujao hali ya mazoea.
Barabara nymgi zimesakafiwa.

(j) Unganisha sentensi zifuatazo kwa kuanza kwa neno: Wanafunzi.


Wageni wamefika.Wanafunzi wamefurahi.

(k) Andika sentensi ifuatayo katika hali ya ukubwa.


Nguo ambazo zinauzwa kwenye duka hilo zinavutia. (alama 1

(1) Andika sentensi zifuatazo upya kulingana na maagizo. (alama 4)


(i) Muutu aliwalea watoto wa Maki.
(Anza kwa: Watoto wa Maki.)
(ii) Maji yalijaa. Maji yalimwagika,
(Unganisha kuunda sentensi changamano.)

(m) Tumia kielezi cha kiasi badala ya kile kilichopigiwa mstari. ( alama 1)
Sewe alituelezea jambo hilo kinaganaga.

n) Ainisha virai katika setnensi ifuatayo alama 2


viongozi wengi walikuwa waadilifu mno kabla ya Uchaguzi Mkuu

(o) Changanua sentensi zifuatazo kwa kielelezo cha mstari.

i) Hili lake lilikuwa limeiva lakini hatukujua alama 2

i)Mkufu wa Umu unapendezamno alama 1

(ii) Mkufu wa Umu unapendeza mno. (alama 1)

(p) Andika maana mbili zinazojitokeza katika sentensi ifuatayo.


Medi anasema atawarithisha nyumba yake. (alama 2)

(q) Akifisha sentensi ifuatayo.


jihadhari akasema kulei uamuzi wako unaweza kukuathiri vibaya. (alama 2)
(r) Kanusha sentensi ifuatayo.
Mkulima anahitaji magunia haya. (alama 1)
(s) (i) Karimu ni kwa choyo ............................ ni kwa kukashifu na ............................ ni
kwa tele. (alama 2)
(ii) Maarufuni kwa mashuhuri, ukoo ni kwa ............................ilhali faidani
kwa ............................ ( alama 2)
(f)Tunga sentensi moja kubainisha maana mbili za neno ; kata

MWONGOZO WA KUSAHIHISHA
MATUMIZI YA LUGHA
1. 1989

(a) (i) Tulipofika Mombasa tulikutana na mzee mwenye mvi.


(ii) “Ukifika nyumbani msalimie mama, lakini usimwambie chochote kuhusu ugonjwa
wangu utamsikitisha bure.” Salimu alimwambia kakake, Au, Salimu alimwambia
kakake “ukifika nyumbani msalimie mama, lakini usimwambie chochote kuhusu
ugonjwa wangu utamsikitisha bure.”

(b) (i) Ng'ombe amefungiwa zizini mwake ill akamwe maziwa/ng'ombe amefungiwa
katika zizi lake ili akamwe maziwa.
(ii) Mbwa amenilia chakula changu
(iii) Rehema alikuwa na huzuni nyingi kunishinda/zaidi yangu/kulikomi/kuliko
mimi.
(iv) Baada ya viazi vyote kuozea ndani ya gunia, kakangu hakuweza kuuza hata
kimoja.
(c) (i) Wenye uwenzo wa kusema/si bubu; wenye inamlaka/mazoea ya kusema ndio
watakuja
(ii) Watu fulani/watu wenyewe wametoa ahadi ya kuja

(d) Maria ni msichana mrembo ingawa (lakini/isipokuwa) hana adabu


(e) Sentensi zilenge maana zifuatazo
(i) Weka kwa utaratibu - Pananga nyumba
Baba wa kupanga - kukaa na mwanamke blla kuoana rasmi
Kifaa cha kukatia - Jwna alitumia panga Imkaiia mti.
(ii) Kuogopa k.m, kumcha Mungu si kilemba cheupe.
- Ncha za vidole
- Usiku wote (kupambazuka)

(f) (i) Aiituacha/alitutupa mkono/ alituacha mkono/aliutupa mkono wa buriani/ alifariki/aliaga


dunia
(ii) Alitunga/alishika/alichukua/alipata/althimili mitnba
- atapata/atajifungua
(iii) Kuamba wenzao/kuwasengenya/kuwateta
(g) (i) Nguo fupi zinavaliwa siku hizi na watoto walioathiriwa na tabia za kigeni / Nguo fupi siku
Hizi zinavaliwa na watoto walioathiriwa na tabia za kigeni.
(ii) Ni vigumu wanafunzi wasiomthamini mwalimu kufaulu katika
masomo

(iii) Alipigwa kwa (kwa sababu/kwa ajili) ukora wake


Kililichosabibisha apigwe ni ukora wake
Kilichosababisha kupigwa kwake ni ukora wake/alipigwa ukora
wake.

2. 1992
(a) Sentensi zilenge maana hizi
(i) Endajuu (angani)/ishiwa na usingizi/sauti
(ii) Mnyama wa jamii ya swara
(iii) Sehemu ya juu ya nyumba
(iv) Toa magamba ya samaki
(v) Chukua makaa ya moto kuwashia mwingine
(vi) Vichwa visivyo nywele (pala)

(b) (i) Alikufa/aliaga dunia/alitoroka/alishinda mashindanoni


(ii) Mwoga/mtu asiye shujaa
(c) Kakangu ni mrefu kama mti ilhali (lakini) dadangu ni mfiipi kama nyundo

(d) Chura alikuwa analia, akanikaribia kasha akafa.

(e) (i) Angekuja jana angeniona/hangekosa kuniona/hangenikosa.


(ii) Haiwezekani kwa kidole kimoja kuvunja chawa
(iii) Mbili ni jawabu la (hupatikana kwa/huwa ni) nne huondoa mbili
(iv) Tulifanya kazi kwa bidii iii tufanikiwe.

(f) (i) Kutokuja (kuja) kwakwe hakukutufurahisha


(ii) Siku ya kufa huwa ya huzuni kubwa
(iv) Gubigubi/kubi kubi
(v) Totoro

(h) Chumbwi/jubwi/chupwi

(i) (i) Kujitolea kwa vyovyote vile/kwa kila hali


(ii) Kwa kusitatisa/bila furaha/bila kuridhika
(j) (i) Ulezi/malezi/uleaji
(ii) Malazi/mlazo/ulalaji
(iii) Fikira/fikara/tafakari/mafikira

(k) (i) Alilpo/alimo/aliko


(ii) Liliko/ambalo/lili
(iii) Za (la); zi (lima/liko na)

(l) Babake alimwambia, “Asha, utakwenda shule utake usitake”

3. 1993
(a) (i) Mwana ndiye alimnunulia mzazi viatu.
(ii) Mzazi/mtu mwingine alienda kitendo hicho (unuiuzi)

(b) (i) Watoto walikimbia upesi walipomwona mwizi/watoto walipomwona mwizi


walikimbia upesi; walipomwona mwizi, watoto walikimbia upesi, n.k.

(ii) Kioo kipovunjwa, king'ora kililia/king'ora kililia kioo kilipovunjwa /


kilipovunjwa, king'ora kililia, n.k.

(c) (i) Maziwa yalimwagika yalimo (po/ko)ibwa na watoto/maziwa yalipoibwa


na watoto yalimwagika
(ii) Niliingia hotelini nikamtuma (nikmwangiza/nikamuomba) mpishi aniietee
chakula

(d) (i) Alitandikwa/aliezekwa/alizabwa/alichapwa/aliadhibiwa/alicharazwaruakofi


(ii) alishangiliwa/alipongezwa/alitendewa/kwa niaba yake.
(e) (i) 1. Elimisha/somesha/fundisha/lea/taalamisha
2. Aina ya mdudu/buu/tekenya
(ii) 1. Haribika/vunda/kuwa mbovu
2. Patia mke/sababisha kuolewa/fungisha ndoa

(f) Jembe lililonunuliwa jana limevunjika mpini

(g) Mama anamtembeza mtoto

(h) Chumbwi/jubwi/chupwi
(i) (i) Kujitolea kwa vyovyote vile /kwa kila hali
(ii) Kwa kusitatisa/bila furaha/bila kuridhika

(j) (i) Ulezi/malezi/uleaji


(ii) Malazi /mlazo/ulalaji
(ii) Fikira/fikara/tafakari/mafikira

(k) (i) Alipo/alimo/aliko


(ii) Liliko/ambalo/lili
(iii) Za (la); zi lina/liko na)

(l) Babake alimwambia, Asha, utakwenda shule utake usitake”

4. 1995
a) “Baba Wafula, ona barua iliyotoka kwa mwanao. Hata hati haisomeki” .
Lo! Baba watoto akamaka. Hii kweli imetoka kwa mwanangu wafua?” waniuliza
mimi?” Mama watoto akamjibu. “Tazama maandishi na anwani basi. Shule ya
msingi ya Burungani, S.L.P. 128 Vuga.”
Kituo 1 alama ½
Herufi ndogo 1 alama ½
Alama ya kuuliza 2 alama 1 ½
Kikomo 1 alama ½
Alama ya mshangao 1 alama ½
Alama za kufunga na kufungua alama ½

b) i) Nyanja nyinginezo (alama 1)


ii) Urefu (alama 1)
iii) Ukifika utamkuta nyumbani (alama 1)
c) i) Kisugudi nikifundo cha mkono—kia cha mkono
Nguyu ni kifundo cha mguu (alama 2)
ii) Ngeu
Juha/mpumbavu/ Mjinga/zuzu (alama 2)
d) Kukaa (alama 1)
Kukalia (alama 1)

e) i) Watu wenye mazoea mabaya husikizana wao hata ikiwa wanguana


husangazwa nao (alama 1)
ii) Chaana ya ndizi. (alama 1)

f) i) Amenunua kwa shillingi tau (bei)


ii) Ameenda moja kwa (kufululiza)
iii) Juma amekwenda kwa Hamisi (mahali)
iv) Walipata nyongeza ya mshahara ya ishirini kwa mia (sehemu ya kitu)
v) Walikuja mkutanoni wakw kwa waume (pamoja)
vi) Alitembea kwa maringo (namna)
vii) Kwa minajili kwa mintarafu (ya kurejelea) (alama 5)

ii) -Minghairi ya kwenda nyumbani kijana alikwenda sinema (alama 1)


-Maadam nina bidii nitapita mtibani huu (alama 1)
iii) - Istiara jazanda (alama 1)
- Tashbihi (alama 1)

g. i) Kutufanya tulie (alama 1)


ii) Kupoza (alama 1)

h. i) Shimo hili lina kirefu


Shairi lako halima kina cha mwisho
Kitabu changu kina picha nzuri
Amekwenda kwa akina Amina zozote 3 (alama 1x3= 3)
ii) Hana shida/ngumu (alama 1)
Hana muda/wakati (alama 1)

j. i) Kuna uwezekano (alama 1)


ii) Hakua uwezekano (alama 1)

i. Ni-na- ondoka (alama 1)


Nafsi wakati Shina (alama 1)

m I i) Shangazizo (alama 3)
ii) Mamazo (alama 3)
II Mwanahewa
Mwanamwali (alama 2)
Bata Mzinga
Mwana Seree
Mwanamaji
Mkaza mwana nk. (alama 1)

5. 1996
a) i) Bei ya viatu imepanda juu sana siku hizi. (anaweza kuacha juu)
ii) Weka mizigo katika gari/ ndani ya gari/garini/ juu ya gari /kwenye gari.
(alama 2)
b) i) Mikono yao imegusana au kukutana lakini inaweza kutengana kwa
urahisi/ushirika wa kaeaida/kusalimiana.
ii) Mikono yao imekwama na vigugu kutengana/imeganda. (alama 2)

c) 1) Usijaribu
Kupunguza/kushusha/kufifisha/kuteremsha/kuteremsha/dudidimiza sauti
unapoimba.
II) Huyu ni mtu mpumbavu/mjinga/jura/juha/nyonge/suzu bwege/pimbi. (alama 1)
III) Binadamu hawezi kumuumba mwenzake

d) i) Kula uvundo – kutofaidika, kupata hasara, kupata shida, kula mwata.

(alama 2)
ii) Kula uhondo-kupata starehe/neema/raha/ufanisi/manufaa/faida/utamu
(alama
2)
e) Kuakifisha
Bwana mwenyetiti, mgeni wetu wa leo wazazi, walimu wote na hata hat hata
wanafunzi.
Leo ni siku muhimu. Au; leo ni siku mujimu.
Je mngependa ua
Je! Mngependa niwafahamishe msaada tulipokea kutoka kwa Wizara ya Elimu?”
(alama 4 x½ kwa kilamoja)

f) Maana
Mhariri-anayesoma na kusahihisha au kurekebisha maandishi tayari kwa
uchapishaji/kusanifisha/kukosoa).
Jasusi-anayepeleleza habari Fulani (alama 4)

g. i) Ngome hii nzuri/hizi nzuri zinapo


ii) Mitume hawa wazuri wanapendeza
iii) Heshima hii nzuri inapendeza
iv) Ngo’mbe huyu mzuri anapendeza
v) Ngo’mbe hawa wazuri wanapendeza
vi) Vilema hawa wazuri wanapendeza
vii) Vilema hivi vizuri vimependea (alama 5)
h) Jina kitezi
i) Mnada Nadi
ii) Kikomo Koma
iii) ruhusa ruhusu
iv) Ashika/shauku Ashika
v) Hsidi/husada Husudu (alama 5)

i) i) Mseno halisi
“Ninataka kwenda sokoni” mvulana alimwambia babayeake. Au mvulana
alimwambia baba yake, “Ninataka kwenda sokoni.”
“Baba ninataka kwenda sokoni,” (alama 2)

ii) Mseno wa taarifa


Kamau alimwambia shangazi yake kuwa angekuwa akienda pale/hapo kila
siku kumwona. (alama 2)

j) Po ya kwanza inaonyesha wakati


po ya pili inaonyesha mahali (alama 2)

k) i) alilia Hapo
ii) alifia Hapo
iii) aliolea Hapo
Akiongeza ‘ku’ mkosoe kisarufi (alama 3) Jumla=40.

6. 1997
a) Mzazi alitaka motto afike nyumbani mapema siku iliyofuata, kisha
akamwuliza kama alikuwa ameyasikia hayo aliyoambiwa. Mtoto akajibu kuwa
angejaribu kufanya hivyo lakini mwalimu alikuwa amesema wao wangefanya
mtihani jioni ya siku hiyo.

b) i) Kiguu chake hakijapona baada ya kuumwa na kijibwa cha kijijini


ii) Kijumba chenyewe hakikujengwa kibondeni karibu na kijito (alama 2)

c) i) Nataka upikishe chakula hiki vizuri


ii) Toa ushuru wa forodhani.
d) i) Usije hapa kwani sitakuwapo
Usije huku kwetu kwani sitakuwapo
Usije humu mwetu kwani sitakuwapo (alama 1)
ii) Basi la shule limeharibika, moshi mwingi unatokea
dirisani na maji yanatirika ovyo (alama 1)

e) i) Nyumu alimshinda farasi kukimbia


Milango yote yajifunga ovyo, nenda ukaifunge
Hamisi amezikata nyasi vizuri
Jiwe lile liliyaangukia matunda (alama 4)

f) i) Kumwendea mtu kinyume


Kupewa hongo (alama 4)
Kutunga sentensi alama 1 kuelea alama 1
ii) Ukitaka cha mvunguni sharti uiname
Ukiona vyaelea vimeundwa (alama 4)

g) i) Kauli ya kufanyiana/kufanyana mf. Kupigana


ii) Wakati uliopo-anakuja
iii) ‘na’ ya kiunganisha – mama na motto
iv) Kiambatanishi naye
v) na ya kutendwa mf. Amepigwa na jiwe (alama 4)

h) I Alikimbia kwenda kuona nyoka (alama 2)


Alikimbia alipoona nyoka
Alikifagia kwa ufagio
Alikula chakula chote (alama 2)
Masikio yangu si mazuri ama sielewi unavyosema (alama 1)
Mimi ni mgonjwa.
II ago
Mahame, ganjo
i) Yaliyowafika
Aliyemfahamisha
Litakalompata (alama 5)
j) Amini
Amana (alama 2)

7. 1998
a) Nilipomwendea. Aliniangalia kisha akaniambaia, ‘Siamini kuwa ni wewe
uliyeandika barua hii’ ( ½ x 6=3)
b) Watu wane Walipeperushwa
Jina Kivumishi Kitenzi
Juu kwa juu na upeopo mkali
Kielezi Jina Kivumishi
- Chukua kimojawapo cha majina hayo mawili na vivumishi hivyo viwili.
Kila kisehemu=alama (1 x 4=4)
c) Pekee: Dhahabu
Almasi
d) i) Na
ii) Mpaka au hata
e) i) Mhasibu: uwekaji hesabu y apes/naye hesabu na kuweka hesabu hiyo
ii) Mhazili: Mpiga taipu, anayeshughulikia maandishi ofisini/sekretari/karani.

f) Kiulizo-Pi
i) Wapi/Wepi
ii) Yupi
g) -Kifaru hana manyonyo ilhali nyati anayo
-Kifaru ana masikio madogo kuliko ya nyati
- Kifaru ana pembe moja na nyati mbili
-Kifaru ana pembe mbili, moja ndefu kuliko nyingine ilhali zile za nyati ni mbili
-ziliztoshana urefu.
- Pembe za kifaru zinapatikana usoni karibu na pua lakini za nyati ziko kishawani
- Kifaru ana mkia mfupi kuliko wa nyati
- Kifaru ana miguu mifupi iliyo na matende lakini ya nyati ni mirefu na ina kwato
- Ngozi ni ngumu (Ya kifaru) ilhari ya nyati ni laini
- Kifaru ana kichwa kirefu chembamba lakini nyati an kifupi kinene.
- Pembe za kifaru zimenyooka ilhali za nyati zimejikunja
- Kifaru ni mkubwa kuliko nyati
- Kifaru ni mfupi na mpana ilhali nyati ni mrefu na mwembamba.
h YUYU HUYU
i) Kuchokoa chokoa maneno - Kudadisidadisi
- Peleleza
- Tafuta undani wa jambo
- Chunguza chunguza
- Udaku
- Dakuadakua
ii) Kumeza shubiri - Kuvumilia machungu
- Kufa kikondoo
- Meza mumtitu
Aliyetaja au kutumia maana apewe alama 1
j) Mwamafunzi afanikiwanye maishani ni ule asomaye kwa bidii na pia
atiiye/awatiiye wali wale. (Alama 2)
Sehemu3 = alama 2
2 = alama 11/2 1 = ½ alama

8. 1999
A. MATUMIZI YA LUGHA
(a) Umeziona kalamu nyekundu zilizopotea
(b) Nemekuondolea tatizo lako yafaa unishukuru

(c) (i) Makumbushano, makumbusho, kumbusho (ma), kumbkizi, ukimbukaji….ku…


Mshoneleaji, ushonoleaji, wasonaji shoni
(ii) Mcheko, mcheshi, uchekaji, kicheko, kichekesho (vi)
Vicheko, macheko, mchekeshaji ….. kucheka…… ( 1 x 6 = 6)
(d)(i) kujikosifika (1)
(ii) Ipandwayo/ inayopandwa (1)

(e) Yamezidi (1)


Hazitoshi (1)

(f) “Sijaona kitabu kizuri kama hiki, utaniazima siku ngapi?” Bashiri alimuuliza
sijaona au
Sijaona, Sijaona kitabu kizuri kama hiki, utaniazima siku ngapi? Bashiri
alimuuliza
Sijaona
Au
Bashiri alimwuliza Sijaona, “Sijaona kitabu kizuri kama hiki, utaniazima siku
ngapi? (½ x 6 = 3)

(g) Fahamu, elewa, tambua, maizi (1)


Gimba/ nyota itiayo mwanga/ mwangaza mkubwa (1)
Au Kwetu (nafsi)
Mahali (umilikaji) ( 1)

(h) u ny mf uzi-nyuzi uta-nyuta


u k mf ukuta – kuta ukope- kope
u m mf ugonjwa – magonjwa
u f mf ufagio- fagio
u mb mf ubao – mbao
u nd mf ulimi- ndimi
umoja mf waraka- nyakara / wayo- nyayo ( 1x 5)

9. 2000
(a) (i) Alipatiwa vitu mbili, soda na chupa kando kando
(ii) Alipatiwa vitu mbili, pamoja, soda ikiwa ndani ya chupa
(b) Jengo – mjengaji/ mjenzi- Ujengaji/ ujenzi
Pendo - Mpendaji/ mpenzi – upendo/ upendaji

(c) (i) Alfajiri – kielezi cha wakati


(ii) Sana- kielezi cha namna/ jinsi/ kiasi/ kiwango/ kadani
(d) Msemo halisi
Yohana alisema “Njiani kulikuwa kumenyesha sana ndio sababu
tumechelewa”

(e) (i) Ritifaa- kuonyesha maneno/ majina ya ving’ong’o mf Ng’ombe


Kufupisha maneno mf. Takwenda – (tutakwenda)
(ii) Parandesi
Kutoa maelezo zaidi/ kufafanua
Kuonyesha maneno yaliyo ya lazima
Kuonyesha maneno yaliyo na maneno sawa
Katika tamthilia kutoa maneno ya waigizaji
Kufungulia nambari za kourodhesha

(iii)
Kukatiza usemi- kutomaliza- kigugumizi
Unukuzi wa usemi wa mtu mwingine
(iv) Kuonyesha hisia ya moyoni/ furaha, huzuni, hasira

(f) Silabi Vitendo Matumizi


La lalisha alimlalisha mtoto
Nywa kunywa alimnywesha maziwa
Fa ficha alijificha kichakani

(g) ile- ngeli/ jina/ kionyeshi/ Kiwakilishi/ kiashiria


Yangu – kiwakilishi
Niliyo – kiwakilishi/ wakati / nafasi/ ‘O’ rejeshi
Ina- ngeli/ wakati/ jina / kiwakilishi

(ii) Mimi- nafsi


Nina- nafsi/wakati
Kumwona - nafsi
Aliyepata – nafsi/ ‘O’ rejeshi

(h) (i) Nyuta zao/ zake ni ndefu na kubwa sana


(ii) Merikebu zitakazofika kesho zitang’oa nanga kesho kutwa

(i) (i) Kijiti ambacho kilivunjika kilimuumiza Amiza mguu


(ii) Barua ambazo zitaandikwa na baba kesho zitatumwa mwaka ujao
(j) (i) Bahasha iliyonunuliwa jana ni kubwa na nzuri
(ii) Mananasi haya yanauzwa ghali kwa sababu yameiva vizuri sana

B
(a) (i) hamali/mchkuzi/ mpagazi
(ii) Mnajimu/ majusi
(b) (i) Vita vya panzi neema ya kunguru
(ii) Kawia ufike

(c) Chakula kimemwagika chungu nzima


Fundu la vitu/ idadi
Mdudu mdogo mweusi
Kali- kinyume cha tamu
Pele- uvimbe mwilini/ chunusi
(d) (i) Bumba la – nguo / nyuki/ karatasi/ noti
(ii) Genge la – wezi/ vibarua/ wakora

(e) (i) Hatafaulu/ hatafanikiwa/ hatafua dafu/ kula mwande


(ii) Kutoboa siri/ fichua siri/ fukua siri

10. 2001

(a) (i) Yule ndiye mkwasi aliyenusurika


(ii) Yule ndiye mkwasi ambaye alinusurika
(b)
(i) Ukwato wa mnyama hunifadi (alama 1)
(ii) Unataka cheti cha kukusaidia / kumsaidia (alama 1)
(c)
(i) Jizi liliiba kapu na ng’ombe/ jizi liliiba jikapu na jing’ombe (alama 2)

(d) Tunga sentensi sahihi ukidhihirisha wingi wa majina yafuatayo


(i) Ukanda
Uzi au mshipi/ eneo ama sehemu Fulani/ wingi wake ni kanda (alama 1)
(ii) Uzee
Hauna wingi wa uzee tu
(e) (i)
Kikombe kilochovunjika ni kipya/ kikombe chenye kuvunjika ni kipya/ kikombe
Kipya kemevunjika / kikombe kipya ndicho kilichovunjika (alama 1)
(ii)
Nimempa mwalimu mkuu kitabu/ Nimempatia kitabu mwalimu mkuu (alama 1)
(f) (i) Ndani ya chumba
(g) (i) Ndama mkubwa alizaliwa/ alizaliwa na ng’ombe yule jana
(ii) Nyatogo amesumbuliwa na mavu hawa kwa muda mrefu (alama 2)

(h) Kwa kurejelea ngeli za mahali. Andika sentensi tatu ukionyesha matumizi ya
kila moja (alama 3)
Hapo ndipo alipozaliwa (PO)
Huko ndiko alikozaliwa (KO)
Humo ndimo alimozaliwa (MO)
(i) (i)
Mwanafunzi anasoma kwa bidii ili apite mtihane. Pia kusudi / kwa kuwa
anataka/ kwa vile anataka/ ndiposa/ ndipo/ maadama/ mathali n.k (alama 1)
(ii)
Leo nimerudi nyumbabi ingawa sipendelei kuishi hapa. Pia ijapo/ ilipokuwa/ hata
kama/ ingawaje/ ijapokuwa/ lakini n.k (alama 2)
(j) (i)
(a) Mama alisema “ chukua nafaka yetu ukauze sokoni”
(b) “Chukua nafaka yetu ukauze sokoni” mama akasema
(ii)
(a) “Nileteeni vitabu vyangu kutoka darasani”. Mwalimu aliomba

11. 2002
(a) Kianzishi cha ngeli ya KI-VI k.m kisu kimevunjika – visu vimevunjika
Kuonyesha hali ya udogo k.m mtu- kijitu. Kijitu kimepotea
Kitendo kutendeka huku kingine kikiendelea
Ki- kuonyesha masharti - ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni
Ki- Kuonyesha nyakati zote- nilipofika alikuwa akiandika
(b) (i) Tulisoma vitabu vyao
(ii) Mmekuwa waadilifu kupindukia
(iii) Walishinda nishani za dhahabu

(c) Watu wengi wamezoea kusema, “ajali bwana!” Basi yakaisha hapo. Lakini
kufanya hivyo ni sawa?

(d) (i) Mafuta haya yaachuruzika sana


(ii) Mwinuko ule ndio mwanzo wa mlima wa chungu

(e) (i) Kitabu kilichopasuka ni changu/ kitabu kile kilichopasuka ni changu/ kile
kitabu kilichopasuka ni changu.
(ii) Mtoto aliyeanguka ni ndugu yangu/ Mtoto ambaye alianguka ni ndugu
yangu

(f) (i) Matawi ya mti ambayo hayakukauka hayakukatwa


(ii) Matofali haya hayatumiki/ hayatumiwi kwa ujenzi wa nyumba

(g) (i) Chakula ambacho kinabaki hutupiliwa mbali


(ii) Nyumba yoyote uingapo / unayoingia unapata watoto wawili
(h) (i) Neno Ji- ma (umoja) li- ya
(ii) Kiongozi (umoja) a-wa, m- wa, yu-u-a-wa
(iii) Mate Ji-wa ( wingi) li- ya; ya-ya; ma; ji
(i) (i) Daraja hili huvukika/ linavukika/ litavukika/ lilivukika tu wakati wa
Kiangazi
(ii) Kitabu hicho kinasomeka / chasomeka/ husomeka/ kitasomeka ijapokuwa
sura zingine hazimo.
(j) (i) Sanduku lenye fedha limeibwa.
(ii) Sanduku lenyewe limepatikana

II (a) (i) Mbari – Ukoo/ mlango


Watu wa kitovu kimoja, jamii, ukoo n.k. Kamau ni wa mbario yetu
Mbali – kisichokuwa karibu/ masafa marefu baina ya mahali na
mahali/sio sawa sawa, tofauti k.m shati hili lina rangi mbali na lile.

(ii) kaaka- ishi mahali kwa mda/ kinywani sehemu ya juu ya kinywa k.m
alijiuma Kaaka yake
Gaaga – geukaggeuka katika hali ya kujilaza, tuatua, pia garagara k.m
vile aigaagaa kitandani kwa maumivu.

(b) (i) Enda nguu- ( kata tamaa) Kukata tamaa kabisa


Alienda mguu hata kabla ya kujaribu
(ii) Chemsha roho - Kasirisha
Kuwa mkali, kasirika. Baada ya kutusiwa alichemka roho wakapigana

(c) (i) Reja


(ii) Toa athibu, kaaya
(iii) Toa malipo ya pesa kwa ajili ya kila alicjopokea
(iv) Kufupika kwa nguo

(d) Ukistaajabu mambo madogo utafanya nini ukipata makubwa


Si uzuri wa kustajabishwa na jambo kwani kuna uwezekano wa kupatwa
na makubwa
- Usishangazwe na madogo

12. 2003
A a) i) yuyu huyu/.huyu huyu
Huyu huyu/yuyu huyu
ii) Vivi hivi/vivyo hivyo/hivyo vivyo/vile vile/hivi hivi (alama 2)

b) i) Huku kuimba kwako kuzuri kutampendeza mgeni (alama 1)


ii) Huu mche ni mzuri sana utanifaa (alama 2)
c) i) Chakula hiki hakina mchuzi wala chumvi (alama 1)
ii) Romeo aliamka, akatazama saa yake kisha/halfu akala kiamsha
kinywa (alama 2)
d) i) Panya wote wanaotusumbua hapa nyumbani wameletewa paka ili
awauwe wote
ii) Katika bwawa la maji pamepatikana/mmepatikana mbwa ambaye
aliripotiwa kuwa ameibwa.
e) “Umeweza kuubeba mzigo huu peke yako!” Tajiri akashangaa
“lo!Umeweza kuubeba mzigo huu peke yako?” tajiri akashangaa (alama 2)
f)i) Yoyote (alama 1)
ii) Mwenyewe (alama 1)
g) Fuata
Faa
Haribu, haribiwa (alama 3)
h) i) Usingemuuliza vizuri asingekujibu bila wasiwasi (alama 1)
ii) Shangazi alichomoa upanga kwenye ala (alama 2)
i) i) Mtoto alinunua samaki kwa niaba ya mzazi
ii) Samaki pamoja na mtoto wake (wa samaki) walinunuliwa
Mtoto alinunua kwa ajili ya mzazi (ili amletee mzazi)
Mtu Fulani alinunuliwa samaki na mtoto wa mtu mwingine
Mtoto alinunuliwa kutoka kwa mzazi wake (alama 4)
j) i) Bado kuna uwezakano/wakati uliopo
ii) Hakuna uwezakano/wakati uliopita (alama 2)

B. a) i) Ardhi na mbingu/mbingu na ardhi (alama 2)


ii) Kigongo

b) i) di di di
raru raru (alama 2)

c) Muujiza/ ibura/ ajabu/ kioja/ shani/ jambo lisilo la kawaida


hafifu/isiyo na thamani kubwa/dhaifu/unyonge
d) i) buibui/bui
ii) nge/kisuse/sisuza

e) Dau la mnyonge haliendi joshi


- kuku wa mkata hatagi na akitaga haangui na akiangua halei na akilea
huchukuliwa na mwewe.
- Mtaka hendi mkele na angeenda mkele apakie jahazi mtele tele huruma na
upele

13. 2004
a) i) Kigoma/kijigoma/vigoma/vijigoma (alama 1)
ii) Goma/Jigoma/magoma/majigoma (alama 1)
b) i) 1) Kueleza zaidi/kifafanuzi. 2) kupumzika kwa muda mrefu.
3) kiunganishi/badala ya kiunganishi (alama 2)
c) i) Yote: Jumla/ ujumla/nzima/bila kupunguza/bila kubaki (alama 1)
ii) Yoyote: Bila kuchegua/bila kubogwa/bila kujali/zote/kila kazi
(alama 1)
d) I i) Nia/Kusudi nipe pesa nikanunue nguo (alama 1)
ii) Kitendo kufanyika-shamba imelimika (alama 1)
II 1) Ngeli ya kivi wingi 2) Kuonyesha/kuashira 3) Jinsi au namna- hivi
ndivyo unavyopika 4) kuhumizi/kuthibitish- hivi ndivyo tunavyofanya
e) i) Ijapo/ijapokuwa/ingawa/hata kama/hata ikiwa
ii) Dhama mbili/mambo mawili yanayoelekea kukinza kupingana wakati huo
huo
f) Msichana mrembo alikuja upesi akimkimbilia dadake
kivumishi/ kielezi/ mnyambulika wa kitenzi
Kimbilia ( ½ ) akikimbilia (1/2 ) /lia /jinsi ya kufanya/ (alama 1)
Kupiga mstari tu alama kamili
g) Mama aliwaambia watoto wake “ mtakaporudi nyumbani muoge, mle halafu
muanze kusoma moja kwa moja badala ya kuharibu wakati wenu kwa kutazama
vipindi vya runinga. Aliendelea kuwakumbusha wanaofanya maonyesho kwenye
runinga tayari wamefuzu shuleni na wameajiriwa kazi. (Ijisehemu 14 anaweaz
kuanzia mtakaporudi muoge, mle…..
h) i) Mahali: ndani ya. Mvunguni mwa/kando ya/chini ya/ ukumbini
mwa/ mkabala mwa/ pembeni mwa/ukingoni mwa/nyuma ya/mpaka karibu
na/ hadi/mpaka/kwa pembezoni mwa.
ii) Kiwango: Mpaka/hadi/kadiri ya /kati ya/zaidi ya chini ya/ juu ya/
kwa/ hata
i) i) Kucheza kwake kwa bidii kuliwafurahisha wengi waliohudhuria
tamsasha hizo
ii) Chakula kililiwa na kila mtu akatosheka na kufanya karamu hiyo
kufana
j) i) Kupa/peka peana/pana/kupana
ii) La Kula/ia/ika/lisha/liana/muyambuliko yoyote
k) i) Mtukufu: Tukua/tukuka/tukuzana/tukuzwa
ii) Cbhumbia/Chumbiana/Chumbiwa/Anyambue
II) a) Mambo yakiwa hatari/makali/yakudhuru yatafutiwe mbinu
mwafaka ya kutatua. (Apate au akose, hakuna alama)
b) i) Kuanza shughuli. Akitunga sentensi ya kudhihirisha
maana atapata
ii) Kubaki na njaa/kukisa riziki
c) 1. Kuandaa/kutayarisha/kupnga chakula mezani 2.
ajiri mtu kazi

Makosa ya sarufi 12 x ½ =06 (kika inapojikeza)


Hijali 06x ½ =03

14. 2005
a) Yangu- kimilikishi (alama 1)
Maridai- sifa (alama 1)

b) Kulia-Kuliwa (1x2=alama 2)
Kuungia-kuungwa (1x2=alama 2)
(Zozote 4=1x4 alama 4)
c) Jinsi/namna/vile (alama 1)
d) Pahala hap ni pao (alama 1)
e) 1. Kiunganishi
2. Wakati uliopo
3. Mnyambuliko/jinsi ya kufanyana/kufanyiana
(alama 1x3 =
alama 3)
f) 1. Majina yanayoanza kwa Ji-katika umoja na
MA- katika wingi (alama 1)
Mfano: jina- majina (alama 1)
2. Majina yasiyoanza kwa JI- katika umoja lakini huanza kwa
MA- katika wingi (alama 1)
Mfano:somo- masomo (alama 1)
3. Majina yanayoanza kw JI-katika umoja na ME-
Katika wing: (alama 1)
Mfano: Jino-meno (alama 1)
4. Majina yanayodumu katika wingi tu, huku yakianza kw
MA- (alama 1)
Mfano: maji (alama 1)

g) i) ilinyesha-kitenzi (alama 1)
ii) Mfululizo-kielezi (alama 1)

h) Hatujachukua nguo chanche kuuza (alama 2)

i) i) ndiwe (alama 1)
ii) Ndinyi/ndio. (alama 1)

(j) Safari yangu haikuwa na ugumu wowote ( kwani/ kwa vile/ kwa
Sababu/ kwa kuwa/ maadamu) nilikuwa nimejitayarisha vizuri
( alama 2)
(k)(i) Shukurani/ kushukuru/ mshukuriwa
(ii) Mwendo/ kuenda/ mwendewa/ mwendaji; mwendeshaji/ uendeshaji.
( alama 1)

TANBIHI: MINYAMBULIKO SAHIHI IKUBALIKE


(l) - Walikuja kutembea kwetu/ walituzuru ( alama 1)
- Walitembea badala / kwa niaba yetu ( alama 1)
(a) (i) - Naona aibu / soni/ haya/ izara/ fedheha/ tayayuri
- Nimetahayari/ nimesusuwaa
(ii) Ni mchoyo/ bahili/ mbafuni; ana mkono gamu/ wa birika
( alama
1)
(b) Kiweto/ koo/ tembe. Mtetea ( alama 1 ½ )
- Mtamba/ mori/ mfarika/ mbarika. Mbuguma/ dachia ( alama 1 ½ )

(c) (i) Zinduna, lulu, ambari ( alama 1 x 3 = alama 3)


(ii) (1) Machapwi; perema
Matumbwitumbwi/ machubwichbwi/ ugonjwa wa kuvimba
mashavu ( alama 1)
(2) Tetemaji/ tetekuwanga/ ndui ndogo/ galagala/ homa
inayoandamana na vipele mwili wote. ( alama 1)
(iii) buni/ kahawa/ mabuni ( alama 1)
13. 2006

(a) Chai, chumvi, sukari. Mvua, barafu, huzuni, teknolojia


(b)
S

Kundi nomino Kundi tenzi


Fungu nomino KN KT Fungu tenzi
(c) a-li-m - che-e-a
Awali Tamati
(d) b/p/m/w
b/p/m/w
b/p/m/w
(e) Nisingalikuwa na pesa nisangalinunua nyumba
Singalikuwa na pesa singalinunua nyumba
(f) Tendata, fanyata
(g) (i) Hii?
(ii) Wapi?
(h) (i) Tuzo ilishindwa na mhunzi mrefu
Tuzo zilishindwa na mhunzi mrefu
Tuzo zilishindwa na wahunzi warefu
(ii) Yuyu huyu ndiye mwanafunzi anayesoma kifaransa
Huyu huyu ndiye mwanafunzi anayesoma kifaransa
(i) (i) Sahili/ sentensi ya wazo moja/ kitenzi kimoja
(ii) Ambatani/ vitenzi viwili zaidi/ mawazo mawili zaidi/ kiunganishi
(j) Nilinunua gari seuze baiskeli?!
(k) Mwema – Kirai Nomino
Chakula- Kirai Tenzi
(l) (i) Uchelewaji , mchelewaji, wachelewaji, mchelewa, chelezo,
Machelezo
(ii) Maandishi, andiko, mwandiko, mwandishi, mwandiki, mwandikiwa

(m) (i) Uwezekano/ haliya kutenda


(ii) Mazoea/ hali ya kutendwa
(n) Japo hakushinda mbio hizo, Selina alijufahidi sana
Japo alijitahidi sana Selina hakushinda mbio hizo
Selina alijitahidi sana japo hakishinda mbio hizo
Japi Selina alijitahidi sana hakushinda mbio hizo

(o) Mwise alikunjua nguo alizokuwa ameanua

(p) Mtoto ambaye nilimsomesha ameasi jamii


Mtoto niliyemsomesha ameasi jamii

(q) Mkolwe alisema yakwamba hangethubutu kumpa pesa zake


Mkolwe alisema ya kwamba ya kwamba/ kuwa asingethubutu kumpa pesa

(r) Alisuku maziwa ya ngombe - kutikisa


Alisuka nywele vizuri - nywele mkeka
Ugonjwa hatari umezuka – kuibuka

(s) Kufupisha neno- kukala silabi/ Dondosha herufi

(t) (i) Kijiti


(ii) Jiti

(u) Kiunganisha - pamoja


Wakatiuliopo
Kihusishi

14. 2007
a) Mifano ya nomino dhahania: Ubaya,ujinga,uzembe,uvivu,chuki,wema,ushetani
n.k. K.m. – Ubaya wake ulimletea matatizo (Alama 2)
b) (i) Watoto hawa wote ni wa Bwana Nzovu na Bi. Makambo.
(ii) Baadhi ya watoto hawa ni wa marehemu Bi. Nzovu ilhali wengine ni wa
marehemu Bi. Makambo.
(iii) Marehemu ni Bw. Nzovu pekee.
(iv) Wote wawili, Bw. Nzovu na Bi. Makambo ni marehemu.
(v) Wakati wa kuwajulisha – yaani hawa ni watoto wa Bw. Nzovu ambaye ni
marehemu na wako pamoja na Bi. Makambo.
(vi) Watoto hawa ni mayatima (Zozote 2 x1 = Alama 2)

15. 2008
a) Kughafilika,
ghafiliko,kighafilishi,mghalishi,mghalikiwa,ughafili,mgafilikishi,mghafilikiwa,mghafilik
a,ughalishwaji,mghafilika,ughafilikaji,mgafilishwa,ghafili,mgafiliswaji.
(alama 1)
b) Nyundo hizi zimevunjika mipini yao. (alama 1)
c)
S

KN KT

N V T KN

Mvulana Mrefu Anavuka barabara

au

KN KT
N V T KN

N/E

Mvulana Mrefu Anavuka barabara

(alama 3)
d) (i) Karama – Kipawa au uwezo kutoka kwa Mungu /buruhani
Sentensi – Juma ana karama ya kuombea wagonjwa wakapona
(alama 1)
(ii) Gharama – Kinachotolewa ,hasa pesa,kulipia vitu; matumizi makubwa ya pesa.
Sentensi – Gharama ya maisha imepanda sana siku hizi
(alama 1)
e) (i) Mwenyewe – Kivumishi cha pekee
(ii) Yetu - Kivumishi kimilikishi
(alama 2)

f) (i) Kuonyeshea saa.


(ii) Kuonyeshea mafungu ya Bibilia au msahafu
(iii) Kuonyeshea tarehe
(iv) Kuandika mada
(v) Kuonyeshea maneno ya msemaji katika tamthilia/mahojiano/Dayolojia
(vi) Katika maandishi wakati wa kunukuu
(vii) Katika uiano K.M. 1:3
(viii) Kuandika barua rasmi K.M. Kuhusu : Maombi ya kazi
(ix) Kuandika wasifu kazi/tawasifu
(x) Kuandika ufafanuzi- K.M. Mkoa : Nairobi ,Wilaya ; Kamukunji
(xi) Kuandika mdahalishi K.M. Barua pepe au kipepesi.
(xii) Kuandika ratiba K.M. Ratiba ya arusi au mazishi (Zozote 3x1 = Alama 3)

g) Mifano ya vihusishi vya a – unganifu


La,wa,cha,vya,kwa,zan.k
K.M. Kitabu cha mwanafunzi kimepotea (Alama 2)

h) (i) Kishazi tegemezi – Mkulima aliyepanda wakati ufaao AU


- Aliyepanda wakati ufaao.
(ii) Kishazi huru - Mkulima amepata mavuno mazuri AU
- amepata mavuno mazuri (alama 2)
i) Ku – kiambishi cha ngeli/kitenzi jina
Ji – kiambishi cha kujirejelea /kirejeshi/mtenda/mtendaji/yambwa(shamirisho)
(alama 2)
j) (i) aliyokuwa – kitenzi kishirikishi kikamilifu
(ii) ni- kitenzi kishirikishi kipungufu (alama 2)

k) (i) Ki (ki-vi)
(ii) Ku (ku-ku)
l)
 Baba ingia ndani!
 Baba ingia ndani!
 Baba ingia ndani!
 Baba ndani baba! (1x2 = alama 2)

m) Hakuwa na pesa, hakununua nyumba na hakustarehe AU


Wakati uliopita. AU
Hakuna uwezekano AU
Hakuna matumaini (alama 2)
n) (i) mfululizo wa matukio (alama 1)
(ii) Mazoea. (alama 1)

o)
 Pembe
 Kiungo cha mnyama
 Ukingo/kingo za kitu au eneo K.M. pembe za nchi,pembe za dunia
 Ncha za vitu zinapokutania
 Faragha au mahali pa siri
 Baragumu k.m. mnyama mwenye pembe aligonga kwenye penye ya nyumba
(alama 2)

p) Elimu alisema (kuwa/kwamba) amgemwarifu (endapo/ikiwa/kama/iwapo)


angemwona. (alama 3)
q)
 Otesha ndoto
 Oteshwa ndoto
 Oteshana ndoto
 Otea ndoto
 Otewa ndoto
(zozote 3x1 = alama 3)

15. 2009
(a) (Mzizitizo ni duka la bahati. muyambuluko wa fanya haukubaliki
(i) duka la Bahati anamo/po/kofanya kazi juma linabidhaa nyingi
(ii) Juma anafanya kazi katika duka la Bahati lililo/mlimo/palipo/kuliko na bidhaa nyingi
(iii)duka la Bahati lenye bidhaa nyingi ndimo Juma anamofanya kazi
(iv) Juma anafanya kazi Katika duka la Bahati ambalo lina bidhaa nyingi

(b) (i) Ngeli


(ii) Kujilejelea
iii) Uzoevu
(iv) Ukubwa
(v) Udogo

(ii) sentensi ilingane na mfano uliotolewa katika sehemu (i) (akiorodhesha apate 1.5).
Ukuta umemwumiza mvulana aiipokuwa akiuparaga
kiambaza ghalamu kwea
sera shababu/shababi panda
mvuli sombera
parama

KN KT

N N {V} N T T N

Bakari,. Roda na Hirsi Wamefurahi Kupita mtihani

(e) M, gh

(f) Kiwe kitenzi cha silabi moja yeye hufamaji


(g) Mala’ika mala-ika
N'ge 'nge n-ge
(h) (i) Harusi ndogo
(ii) Aina va ugonjwa
(iii) Yeye pamoja na wengine wametiwa hofu
(iv) Wao peke yao ndio wametiwa hofu
(v) ugowa umewatia hofu
(vi) pamoja na-yeye.

(I)Kiganda amefalia. Kiganda


(j)(I)Hamali aliugua
(ii)Hamali alisema
(iii)Hamali angekwenda hospitali jana

(k)Jidovu la kiafrika limeharibu jichaka


Ndovu la kiafrika limeharibu chaka

(l) Wachezaji watashinda mchezo wa leo


m) "Mtapenda kwenda Mombasa wakati wa iikizo?' Baba alituuliza. "tunataka kwenda
Kisumu kwa kuwa hatujaona ziwa Victoria" tulijibu

Baba aiiuliza. "mtapenda kwenda Mombasa wakati wa likizo?" "tunataka kwenda


Kisumu kwa kuwa hatujaona ziwa Victoria" tulimjibu
"Je, rntapenda.
(n)
i. Kuonyesha maendelezo mabaya ya neno, kunalipiga bana
ii. Kuonyesha mpangilio mbaya na maneno katika sentensi km.baba *kile chakula
a. Alikula
(ii) Tahadhari *hakuna njia hapa Kuonyesha neno lisilofaa katika mkadha km
(iii) Kuandika neno geni km anakula matoke*
(iv) Kuashiriana maelezo yaliyotolewa chimau ufafanusi au maelezo saidi

(o) (i ) Hapo napo ndipo nisipotaka


(ii) Hapo napo sipo nitakapo
(iii) Hapo napo ndipo nisipopataka.

(p) (Furaha amehama mjini


(ii) Furaha amehama mashambani / kijijini

(q) (i) Imbisha


(ii) Chekoa

15. 2010

a) Toa mfano wa neno lenye muundo wa silabi ya irabu pekee. (alama 1)


Oa, ua, au, aa, aua, aoa, aoe, aue, ee, eua, iue, uue.
b) Eleza maana mbili za neno: Barabara (alama 2)
i) Njia, baraste, njia kuu
2) Sawasawa/shwari/laini/fanya kwa usahihi
3) Aina ya jamii ya ndege - hondohondo

c) Sahihisha sentensi:
Abiria walisafiri na ndege (alama 1)
- Abiria walisafiria ndegeni
- Abiria walisafiri kwa ndege
- Abiria walisafiria ndege
- Abiria walitumia ndege kusafiri
- Abiria walisafiria ndegeni.

d) Mkongwe - kivumishi cha nomino/sifa


Hodari - kivumishi cha sifa

e) Ungeacha masomo, ungetaabika vile (yakinisha sentensi vizuri)


Asipoandika neno ‘vile’ apate alama moja na nusu

f) Tunga sentensi ukitumia kielezi cha:


i) Jumla (alama 1)
Tumia - mara kwa marachache, mno, tena na tena, haba, nadra, mara nyingi, kiasi mara
kadha, sana
ii) Namna linganisho (alama 1)
Aliadhibiwa kijeshi, kitoto, kitausi, kufa kwa kiume/kikondoo, wanafanana kama shilingi
kwa ya pili kama vile, kama, ja, mithili ya, kama vile, sawa na, mfano wa

g) Shamirisha = kazi = kipezi = yaliyotendwa.


Chagizo = haraka ipasavyo - kielezi cha kingine

h) 1) Mbuzi - mnyama afugwaye nyumbani


2) Kifaa kinachotumika kukunia nazi.
3) Ukani – uniletee mimi
4) Ukani – umletee mwingine kwa niaba yangu

1) Tunga sentensi kudhihirisha matumizi ya ngeli ya U-U.


Umaskini, uji, unga = nomino katika ngeli ya U-U ugali, uhakika, uafrika (sentensi iwe
sahihi)
j) “Mito yetu imechafuka sana; itabidi tuungane mikono wakubwa kwa wadogo, wanaume kwa
wanawake ili tuisafishe.” Mwanamazingira alituhimiza. (alama 3)
Mwanamazingira alituhimiza ya kuwa ingebidi kuungana mikono wakubwa kwa wadogo,
wanaume kwa wanawake ili tuisafishe mito yetu iliyokuwa imechafuka sana,. Vitahiniwa =
ya kwamba, ingebidi, iliyochafuka, iliyokuwa imechafuka/ambayo ilikuwa imechafuka.

k) Amina na Mustafa huimba taarabu. (alama 4)


S - KN + KT 1/2 KT - T + N 1/2 / KT - T + KN
KN - N + U + N 1/2 T - humba 1/2 / T - huimba
N - Amina 1/2 N - taarabu 1/2 @ KN - N sehemu 1/2
U - na 1/2 Tanbihi = tumia mshale au mstrai
N - Mustafa 1/2 REF: Darubini ya Kisw

i) Eleza matumizi ya ku katika sentensi:


Sikumwelewa alivyoeleza namna ya kuwatunza mbwa wake. (alama 2)
KU - Kikanushi cha wakati uliopita/kikanushi
KU - kiambishi cha ngeli ya ku

m) Liwa - wali umeliwa na mbwa.


(Kuliwa = apate 0) kuliwa kwa panya

n) Mkulima angetaka kupalilia shamba lake mapema. (alama 4)


Angetaka - kitenzi kisaidizi (TS)
Kupalilia - Kitenzi kikuu/halisi (T)

o) t = si ghuna (hafifu) au aeleze


d = ghuna (mrindimo)
o) Onyesha jinsi moja moja ya matumizi ya viwakilishi vifuatavyo. (alama 3)
i) - Kipumuo katika sentensi ndefu.
1) Hutumiwa katika sentensi/kutenga maneno ambayo ni marefu, katika sentensi ndefu.
2) Hutumika katika kufafanua sentensi , kutenga na kuyawaza
3) Kama kiunganishi cha vishazi viwili

ii) 1) mwanzoni mwa sentensi


2 Nomino za pekee
3) Vifupisho vya maneno (baadhi)

iii) 1) Kutoa hisia / hisi za moyoni


2) Amrisha

16. 2012 Q3 P2

(a) Sehemu ya neno – inayobeba maana ya kimsingi / haibailiki hata ukiambisha


kunyambuliwa
- Huweza kuwa na maana kamili k.m sahau, amini
- Inayobeba wazo kuu
- Siyoweza kuleta maaana mpaka iambishwe
- Itumikayo kuunda maneno mengine
- Kiini cha neno k.m soma ganda leta

(b) 1. Nafasi ya pili umoja / mtendewa / yambua tendewa / kitondo


2. mahali kisikodhihirika / kiambishi cha ngeli ya mahali / kiashua au kionyeshi cha
mahali.

(c) (i) e /e/


(ii) g /g/

(d) Yaya haya / haya haya


Marashi yaya haya / haya haya ndiyo yaliyonunuliwa (asipopata nomino atuzwe 0)

(e) Maisha yalikuwa yamemwendea vyema


Li’ na me’ lazima vifuatane

(f) Njunguna√ huandika√ vyemalakini zuhura√ huandika√ vibaya


(g) Ni ile yenya kishazi huru kimoja au zaidi na kingine kitegemezi / inayotumia virejeshi /
yenye maneno tegemezi k.v ikiwa , iwapo, ijapokuwa, alikuwa
Maelezo
Mfano
(h) Koga
- Kutoa uchafu mwilini
- Kuringa / kufanya maringo
- Uchafu unaoshika kwenye nguo ilivyovaliwa.
Konga
- Kuzeeka
- Kumeza maji kidogo ili kuzima kiu
- Kukusanya vitu / watu mahali pamoja
*Atunge sentensi na maana zile zidhihuuke vizuri pamoja
Mfano : juma alikusanya vitu vyake pamoja baada ya kukoga kwa maji baridi
(i) Nomino dhahania – upendo/urembo/chungu/wema/wivu n.k
Nomino jamii – umati, askari, halaiki
Sentensi moja pekee – nomino dhahania + ya jamii
(j) (i) nywesha / nywisha
(ii) liana
(iii) Valiwa
(k)
1. Julius, Kiptoo mwanawe Kungu na Justine…....
2. Julius, Kiptoo, mwanawe Kungu na Justine…....
3. Julius Kiptoo: mwanawe Kungu na Justine…....
4. Julius Kiptoo (mwanawe Kungu) na Justine…....
5. Julius, Kiptoo mwanawe Kungu na Justine…....
6. Julius, Kiptoo mwanawe Kungu na Justine…....
7. Julius / Kipto, mwanawe Kungu na Justine…....
(l) Kihisishi / I W/ Kiwakilishi cha idadi jumla

(m)Mtoto alikua mgonjwa kina na kiambishi


Taka nafsi / cha ngeli / mkt hali
Weza
Pasa
Bidii

(n) Mkazo unaotiwa katika neno ili utokeze maana yake vizuri msisitizo unaonekana katika
neno
(i) Mtere’mko mteremko mterem’ko mteremko

(o) Rafiki , msui mwandama mwenzi swahibu, bui, laazizi, muhibu, mahabibu, mahabubu,
mbuya.

(p) Kirai kihusishi KH/ RH – wa kijinsia


kirai nomino [KN/RN] – viongozi wenye msimamo
kirai kivumishi – thabiti mno

(q) Mama alimwambia Juma kuwa / ya kuwa√ / ya kwamba shughuli yao√ ingemalizika√
siku ambayo ingefuata√

(r) Kiima – watahiniwa hao


Chagizo – kwa makini

(s) Funga majani – maagizo


Matano matano – maelekezo
Kwa kila – amri
Agizo – fungu

16. 2013 Q3 P2

(a) (i) Sauti mwambatano ni sauti mbili au zaidi zinazotamkwa kama sauti moja (k.v.
konsonanti na kiyeyusho. Kwa mfano /tw/
Au
Sauti moja ambayo ni muungano wa sauti mbili au zaidi. Kwa mfano konsonanti
mbili au tatu. Kwa mfano,/nd/ mb/ ngw/ 1 x 2 - (Alama 2)
Au
Sauti ambayo huundwa kwa konsonanti mbili au tatu zinazotamkwa
kama sauti moja, kwa mfano, /ndw/ katika ndwele,ngw/katika jangwa

(ii) mf: / nd/ - katika unda


/ nz/ - katika mwanzo
/ tw/ - katika twalika
/ nw/ - katika shonwa
/zw/ - katika tuzwa
/sw/ - katika naswa
/ndw/ - katika undwa 1x1 - (Alama 1)

Mtahiniwa atumie kielezi cha namna kama ifuatavyo.

(b) Komu ameshona nguo vizuri na kuiuza sokoni


Au Komu aliuza nguo sokoni baada ya kuishona vizuri (Alama 2)

(c) (i) Watumie kihusishi cha wakati kama vile, kisha, tangu, halafu, kabla ya, hadi,
mpaka, kwa, hata, kufikia, kuanzia. Mfano:
Amekuwa hapa tangu asubuhi.
Aliwasili halafu akaondoka. (Alama 1)

(ii) Watumie mzizi - o - ote pamoja na nomino / viwakilishi katika ngeli mbalimbali.
Kwa mfano: Mwalimu alitaka kumtuma mtoto yeyote.
Nzi hula kitu chochote.
Hakuweza kula tunda lolote. n.k
(d) Askari wakipiga doria na kushirikiana na raia watakuwa wametuhakikishia usalama.

(Alama 3)
(f) Videbe hivyo vitasafirishwa pamoja na vijundo hivi.
au
Vijidebe hivyo vitasafirishwa pamoja na vijijundo hivi.
2x1 - (Alama 2)
(g) (i) Ingawa mshahara wake si mkubwa - tegemezi
(ii) anaikimu familia yake - huru
2 x 1 (Alama 2)
(h) Matumizi ya ‘Kiambishi ‘li’
(i) Kiambishi cha wakati uliopita - Musa alitutembelea.
(ii) Kiambishi cha ngeli - Tunda liliiva
(iii) Kiambishi cha kauli tendea - Yule alikukimbilia au Mtoto amekalia kigoda.
3 x 1 (Alama 3)
(i) (i) Ni sentensi inayoonyesha kutegemeana kwa matendo au hali. (Alama 1)
(ii) Watumie viambishi na maneno yanayoonyesha kuwa kufanikiwa au
kutofanikiwa kwa tukio au tendo moja kunategemea kufanikiwa kwa tukio au
tendo lingine. kwa mfano: nge, ngali, ki, kama, iwapo n.k.
(a) Wanafunzi wangefika mapema wangempata mwalimu.
(b) Kotu angalisoma kwa bidii angalifaulu.
(c) Mvua ikinyesha mapema tutapata faida.
(d) Iwapo unataka ufanisi jibidiishe.
Tanbihi
Mtahiniwa anaweza kuandika katika hali kanushi kama ville:
(a) Mkulima asingalipanda mapema asingalipata mazao mengi.
(b) Huyu asipojihadhari ataharibikiwa.
(c) Iwapo hutaanza safari mapema utachelewa.
(d) Kama utaanza shughuli mapema hutatatizika.
(e) Lazima asome kwa bidii ili afanikiwe
(j) (i) La Katunda linapendeza.
Au
Tindi anataka cha mwenziwe.
(ii) Atumie viwakilishi vya idadi halisi vinavyotumia a - unganifu. Kwa mfano:
Wa tatu atatuzwa shaba.
Au: Mwalimu anamuita wa nne.
(k) Mifano ifuatayo au zaidi inaweza kujitokeza.
Kairu hajawahi kupalilia mtama.
TS T N
Au Huyu ataweza kukupa ufadhili.
TS T N
Au Wanafunzi hawa wangali wanafanya mtihani.
TS T N
Au
Musa alikuwa anawafundisha wanawe.
TS T N
(l) (i) Hutumiwa kutilia mkazo maelezo/kutoa maelezo zaidi/kufafanua au kuonyesha
kusisitiza. Kwa mfano:
Alinunua matunda — maembe, machungwa na matango.
(ii) Hutumiwa kuonyesha kubadilika kwa maoni. Kwa mfano:
Waite wale — hapana, hawa.
(iii) Kuonyesha msemaji/usemi halisi, kwa mfano
Utengano ni udhaifu
duma

(m) Sentensi ibainishe kauli au hali ya kutendeana. Osore na Ngungui wamepigiana


simu.
Au
Osore and Ngungui wamepigania simu

(n) Utumbuizaji wa Mayaka una ucheshi mwingi/sana.


Au
Kutumbuiza kwa Mayaka kuna ucheshi mwingi/sana.
Au
Kutumbuiza kwa Mayaka kuna kuchekesha kwingi/sana.
1 x 2 - (Alama 2)

(o) Kanda
(i) kutomasa
(ii) eneo
(iii) aina ya mfuko
(iv) mtu asiyeaminika/laghai/ayari
(v) wingi wa ukanda/mshipi
(vi) malipo kwa mganga
(vii) makasia ya kuogelea
(viii) utepe/mshipi unaotumiwa kunasia sauti/picha
(ix) mtu asiyesimika/hanithi 3x1 (Alama 3)
(p) (i) enda mvange
(ii) enda upogo
(iii) enda segemnege
(iv) enda arijojo
(v) enda mrama
(vi) enda benibeni
(vii) enda shoro
(viii) enda tenge 2 x 1 (Alama 2)

17. 2014 Q 3 P2
a)
i)silabi ni kipashio cha utamkaji ambacho hutamkwa kwa pamoja kama fungu moja la sauti
mf-nda - ma ; katika : mada
Au
Ni sauti moja au zaidi zinazotamkwa kwa fungu moja la sauti/kama sauti moja.
Mf.o – a katika oa
Afya enda upwa oshwa osha
Anza anga igwa itwa amua
Ibra uzwa achwa unda

b) yu – kitenzi kishirikishi/kishirikishi kipungufu


anajaribu – kitenzi kisaidizi
kujinasua – kitenzi kikuu
c) mpira haukuchezeka kwa sababu ya mvua nyingi
au
mpira haukuchezwa na wachezaji kwa sababu ya mvua nyingi

d) Dobi atakuwa amewapigia watu nguo pasi


watu watakuwa wamepigiwa watu nguo pasi na dobi

e) Udhaifu wa kazi zao ulifichuka kabla ya kusitishwa kwa mradi ule.

Ubaya ulidhihirika kukamilishwa


Ubovu ulionekana kuhitimishwa
Uduri ulibainika kukomeshwa
(1/2 x 4 = alama2)
F) i) kirai ni fungu la maneno ambalo hudokeza maana lakini maana hiyo si kamili
Au
Kirai ni fungu la maneno ambalo huainishwa kwa kuzingatia neno lake kuu
K.m, nomino ndilo neno kuu la kirai nomino

ii) a) na mafundi – kirai husishi/kira kihusishi


b) wenye ustadi mkubwa – kirai kivumishi / kirai vumishi

g) Kinga ni jambo au dawa ya kujiepusha na madhari


kinga ni kipande cha ukuni chenye moto
kukinga ni kutayarisha bindo, mkono au chombo ili kupokea kitu

h)

(8 x ¼ = alama 2)

i)

i) Wakimbizi ndio wanatamani


ii) Watu wengine wanatamani
iii) Wakimbizi watarudi nyumbani kwa wakimbizi
iv) Watu wengine watarudi kwao (hao wengine)
v) Watu wengine watarudi kwa wakimbizi
(alama 2x1=2)

j) dh +kikwamizwa / kikwaruzwo
+ghuna
+menoni
(alama 2x1 = 2)
k) huyo mwenyewe hakuzingatia funzo la lishe bora
(alama 2)
l) maana zifuatazo zijitokeze:
Gharama (i) jumla ya bei ya kufanya jambo/pesa zinazohitajika kufanya jambo
ii) unalopoteza kwa kutozingatia maagizo.

Karama – kipawa kutoka kwa Mung (2x1 alama 2)


m)
i. Wanafunzi hawakuingia darasani wala hawakutoa vitabu wakaanza kusoma.
ii. Wanafunzi hawakuingia darasani, wakatoa vitabu na kuanza kusoma.
iii. Wanafunzi hawakuingia darasani na hawakutoa vitabu wakaanza kusoma.

n) Nukta picha
i. Hutumiwa kutanguliza maneno halisi ya msemaji.
ii. Mwalimu: Nawashauri msome kwa bidii.
iii. Wanafunzi: Tunashukuru.
iv. Hutumiwa kutanguliza maneno yaliyo kwenye orodha.
v. Alienda sokoni kununua: mapera, machungwa na papai.
vi. Kutenga saa na dakika - saa 8: 30
vii. Kutenga shilingi na senti: Shilingi 10:50
viii. Kutenga sura na mstari, Yohana 8:30

p) Medali – nishani
mchuano – kinyang’anyiro/mchezo/mashindano/shindano/pigano

q)( i) Furaha - I –I / N-N


(ii)Nyasi –U-ZI / ZI / U-NY / U-N / N-N
Tanbihi

Kuna baadhi ya watahiniwa ambao huenda wakatumia uainishaji wa ngeli unaozingatia viambishi
awali vya nomino. Hawa pia watuzwe ipasavyo. Kwa mfano:
i. Furaha-N-N
ii. Nyasi-U-N/U-NY/N

r. Mf.
i) Wananchi waliendelea kuwaokoa majeruhi licha ya kukabiliwa na hatari.
ii) Pamoia na hatari ilivowakabili. wananchi waiiendeiea kuwaokoa majeruhi
iii) Minghairi ya kukabiliwa na hatari, wananchi waliendelea kuwaokoa majeruhi.

Mifano mingine: hata, baada ya, ilhali, lakini, minghari ya, ila
s) Majani ya mti huo yalikatiwa ng'ombe wote na wafugaji yambwa (tendwa)
17. 2018 Q3 P2
MATUMIZI YA LUGHA
a)
i) /b/, /m/
ii) /a/
iii) /sh/
iv) /n/ 4x ½ =2
b)
i) miambakofi
ii yatazoleka
c)
i) ki– li- nunu - liw-a
wa - Ii - tembe - lew - a
zi - Ii -jeng - w- a
a- Ii - arif-iw- a
a - Ii - nyew - a alama 1/0
ii) Mi - kate
Vi-ti
Tu - sahauTu-Sali
Wa - sameheWa-
zuri
(kadiria) alama 1/0

i) Mtumwaminifuhuheshimiwa.
Mtuaheshimiwayenimwaminifu.
Mtuhuheshimiwakwakuvvanimwaminifu.
Mtuambayenimwaminifuhuheshimiwa.
Mtualiyemwaminifuhuheshimiwa. Alama 1/0
ii) Waondiowalioibukawashindi. Alama 1/0
iii) Mchuuzialinunuakicha cha mboga/vichavyamboga.Alama 1/0
iv) Seluwanimtiifukama Maria/sawana/ Zaidiya/ja/mithiliya
Seluwanimtiifukulikomaria/vilevile/kumpiku/kumshinda/kumzidialama 1/0
e)
i) Ugwe- U - ZI alama½
ii) Limau-LI - YA alama ½
f)
i) Moto usingedhibitiwaiwapo/ikiwavifaavyakutoshahavingekuweko.
Iwapovifaavyakutoshahavingekuwekomotohaungedhibitiwa. Kama
hakungekuwanavifaavyakutoshamotohaungedhibitiwa.
VifaavyakutoshavisingalikuwapomotousingalidhibitiwaVifaavyakutoshavisingeku
wekomotousingedhibitiwa.Alama 1x2=2
g)
Manahodhawaliyakwepamajabalihayovyombovikafikafuonisalama.Alama 1/0
h) kwamfano: Wanafunziwaliotiabidiimasomoniwalipataalamanzurimno.
NkishazitegemeziT N V E
alama 2/0
i) Barabaranyingizitakuwazikisakafiwa.
Barabaranyingizitakuwazinasakafiwa.
Barabaranyingizitakuwazasakafiwa.Alama 1/0
j) Wanafunziwamefurahiakufikakwawageni.
Wanafunziwamefurahikwakuwa/kwasababuwageniwamefika
Wanafunziwalifurahiwageniwalipofika.
Wanafunziwamefurahimaadamu/kwani/kwamaana/ vilevilewageniwamefika.
Wanafunziwamefurahibaadayawagenikufika/wamefurahishwa/wakatiwageni
wamefika. Alama 2/0
k) Maguoambayoyanauzwakwenyejidukahiloyanavutia. Alama 1/0
I)
i) Watotowa Maki walilelewanaMuutu/walipewamalezinaMuutu.
Watotowa Maki walipatamalezikutokakwaMuutu. Alama2/0
ii) Majiyalipojaayalimwagika.
Majiyaliyojaayalimwagika.
Majiyalijaayakamwagika.
Majiambayoyalimwagikayalikuwayamejaa
Majiambayoyalikuwayamejaayalimwagika.
Baadayamajikujaayalimwagika.
Hatimayemajiyalipojaayalimwagika. Alama2/0
m)
Sewe alituelezea jambo hilo tena/ siku nyingi/ muda mrefu/siku zote/mara nyingi/ mara
chache/ mara kadhaa/daima/marambili/ mara kwa mara. Alama 1/0
n)
i) viongozi wengi - kirainomino
ii) walikuwawaadilifumno - kiraitenzi
iii) waadilifumno - kiraivumishi
iv) kablayauchaguzimkuu - kiraihusishi
v) uchaguzimkuu - kirainomino 4x ½ = 2
o) i) S - SI - KN (W + V) + KT (Ts + T) + U + S2 - KN (O) + KT (T)
S-S1 + U + S2
Sl-KN + KT
KN - W + V
W-Hili
V - lake
KT - Ts + T
Ts - lilikuwa
T- limeiva
U - lakini
S2 - KN + KT
KN-0
KT-T
T - hatukujua. Alama 2

ii) S - KN (N + H + N) + KT (T + E)
S - KN + KT KN - N +
H+N
N - Mkufu
H - wa
N-Umu

KT - T + E
T - unapendeza
E - mno alama 2

P)
i) Nyumbani ya Medi.
ii) Nyumbani ya mtu mwingine.
dii) Medi ndiye atarithisa nyumba.
iv) Mtu mwingine ndiye atarithisha nyumba.
v) Nyinyi (nafsiyapili) ndiomtakaorithishwa.
vi) Wao (nafsiyatatu) ndiowatakaorithishwa. 2x1 = 2

q)
"Jihadhari," akasemaKulei, "uamuziwakounawezakukuathirivibaya." 4 x ½ = 2
r) Mkulimahahitajimaguniahaya. Alama 1/0
s)
i) kusifu/kuhongera/kutukuza/kupongeza -
kukashifuchache/haba/kidogo/kiasi/shida/akali - tele
ii) Nasaba/akraba/mlango/mbari/familia/jamaa/uzao/nyumba/utungu/jamii - ukooNatija/
tija/nyongeza/tijara/mapato/manufaa/kivuno/ziada - faida
t) Maanazifuatazozijitokeze:
i) Kugawanya/kutenganishapenginekwakisu.
ii) Ondoasehemuyakitu/kupunguzakitu ,
iii) Chombo cha kuchoteamajimtungini
iv) Sehemuinayoongozwanakiongozi Fulani, k.vLokesheni.
v) Kitambaa au majaniyaliyoviringwakwaajiliyakuwekwakichwanikubebeamzigo.
vi) Katikamismo, mfano, kata kamba, kata kin.
vii) Bendeji/kitambaa cha kufungakidonda
Tanbihi; akitungasentensimbiliatuzwekwasentensimojaalama 1.

You might also like