You are on page 1of 35

Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.

edu 1
FASIHI SIMULIZI a) Fasihi simulizi huwasilishwa kwa njia ya
mdomo ilhali fasihi andishi huwasilishwa
Fasihi ni sanaa inayotumia lugha kuwasilisha kwa njia ya maandishi.
ujumbe unaomhusu binadamu. b) Fasihi simulizi huhifadhiwa akilini ilhali
Sanaa ni ufundi wa kuwasilisha fikra na hisia fasihi aandishi huhifadhiwa kwa
za binadamu kama vile maneno, maandishi, maandishi.
uchoraji, uchongaji, ufinyanzi n.k. c) Fasihi simulizi ni mali ya jamii ilhali fasihi
Fasihi simulizi ni sanaa kwa vile: andishi ni mali ya mtu binafsi/mwandishi.
a) Huwasilisha ujumbe kuhusu binadamu d) Fasihi simulizi ina wahusika wa kila aina
kuhusu utamaduni na uchumi. k.v binadamu, wanyama na ndege,
b) Huwa na umbo mahsusi k.m. hadithi huwa mazimwi na majitu, miungu, mizimu,
na mwanzo, kati na mwisho na mashairi mashetani na vitu visivyo na uhai k.v.
huwa na beti, mishororo, n.k. mawe na miti ilhali fasihi andishi ina
c) Hutumia lugha kwa ufundi k.v. ya wahusika binadamu kwa kiasi kikubwa.
kitamathali. e) Fasihi simulizi ina tanzu nyingi kuliko
d) Husawiri mandhari/mazingira mahsusi fasihi andishi.
kwa ufundi mkubwa. f) Uwasilishaji wa fasihi simulizi huweza
e) Hujenga wahusika kwa ustadi mkuu ili kuandamana na utendaji k.v matumizi ya
kusawiri tabia za watu katika jamii. ishara, nyimbo, makofi, kuimba, kubeba
Tofauti Kati ya Fasihi na Sanaa Nyingine zana katika majigambo n.k ilhali ule wa
fasihi sanaa nyingine fasihi andishi hauandamani na utendaji
 Kutumia  Kutotumia isipokuwa inapowasilishwa mbele ya
lugha lugha hadhira.
 Sanaa tendi  Si tendi g) Fasihi simulizi huwasilishwa mbele ya
 Kutumia  Hutumia hadhira ilhali fasihi andishi si lazima
wahusika maumbo iwasilishwe mbele ya hadhira.
kuwasilisha kumithilisha h) Fasihi simulizi huwasilishwa mahali
maudhui watu maalum k.v jandoni, matangani, arusini,
 Kutumia  Kutumia n.k ilhali fasihi andishi haina mahali
maudhui na maumbo na maalum.
fani sura za vitu i) Fasihi simulizi huandamana na shughuli
kuwasilisha fulani ya kitamaduni ilhali fasihi andishi
ujumbe haiandamani na shughuli ya kitamaduni.
 Kujikita  Hazijikiti j) Fasihi andishi huhitaji muda kutunga ilhali
katika katika baadhi ya fasihi simulizi huzuka papo
mazingira na muktadha na hapo k.m. semi, maigambo.
wakati wakati k) Fasihi simulizi ina uwezo mkubwa wa
maalum maalum. kubadilishwa na fanani anapowasilisha
Aina/makundi ya fasihi ufaraguzi) bali fasihi andishi haibadiliki
a) Fasihi simulizi isipokuwa mwandishi aiandike upya.
 Fasihi inayowasiolishwa kwa njia ya l) Fasihi simulizi ina historia ndefu kuliko
mdomo. fasihi andishi kwa kuwepo tangu mwanzo
b) Fasihi andishi wa maisha ya binadamu
 Fasihi inayowasilishwa kwa njia ya m) Fasihi simulizi huwasilishwa wakati
maandishi. maalum k.v. usiku, kipindi fulani cha
Tofauti kati ya fasihi simulizi na mwaka ilhali andishi haina wakati
fasihi andishi/sifa za fasihi maalum.
 Tofauti kati ya hadhira
simulizi/zinazofanya utanzu uwe n) Hadhira ya fasihi simulizi huweza
wa fasihi simulizi kuwasiliana moja kwa moja na
mwasilishaji ilhali ile ya fasihi simulizi sio
lazima iwasiliane na mwandishi.
1
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 2
o) Hadhira huchangia katika uwasilishaji wa a) Kuburudisha-kustarehesha, kufurahisha,
fasihi simulizi k.v kwa kuimba, kupiga kuchangamsha, kutuliza, kusisimua na
makofi n.k (hadhira tendi/hai) ilhali kupumbaza akili na kiwiliwili - nyimbo,
hadhira ya fasihi andishi haichangii katika hadithi, vitendawili
uandishi. b) Kufunza maadili kwa wanajamii kwa
p) Hadhira ya fasihi simulizi huonana na kuwahimiza kuiga sifa chanya na kukataa
mwasilishaji ilhali ile ya fasihi andishi si sifa hasi za wahusika.
lazima ionane na mwandishi. c) Kukuza uwezo wa kufikiri/kudadisi k.m
q) Hadhira ya fasihi simulizi ni kubwa kuliko vitendawili na chemshabongo.
ile ya fasihi andishi kwani huhusisha hata d) Kufariji k.m mbolezi na methali k.m.
wasiojua kusoma na kuandika. ‘Baada ya dhiki faraja’.
r) Hadhira ya fasihi simulizi ni hai yaani e) Vipengele vya fasihi simulizi k.v mashairi,
inajulikana na fanani ilhali ile ya fasihi nyimbo, nahau, hutumiwa katika uandishi
simulizi si hai yaani haijulikani na wa fasihi andishi.
mwandishi. f) Kuhifadhi historia ya jamii k.m. mighani,
s) Hadhira ya fasihi simulizi hainunui kazi visaviini, mapisi, tarihi n.k.
ilhali ile ya fasihi andishi hununua kazi. g) Kukejeli tabia zinazokiuka matarajio ya
t) Hadhira ya fasihi simulizi yaweza kumiliki jamii k.v soga, methali, n.k.
kazi ya fanani lakini ile ya fasihi andishi h) Kuendeleza tamaduni za jamii kwani
haiwezi kumiliki kazi ya mwandishi. husawiri imani na desturi za jamii. k.v
u) Hadhira ya fasihi simulizi huchagua kwa kitendawili ‘Nyumbani mwetu mna papai
kulenga watu wa rika fulani lakini ile ya lililoiva lakini siwezi kulichuma.’ - Mtu
fasihi andishi hailengi watu wa rika hawezi kumwoa dadake.
yoyote. i) Kuunganisha watu pamoja kwa
Jinsi Fasihi Simulizi na Andishi kuwajumuisha pamoja wakati wa ngoma,
Zinavyofanana kuimba, utambaji, n.k.
j) Kukuza lugha k.v. misimu inapokita
a) Zote mbili hushughulikia masuala
kimatumizi na kujumuishwa katika lugha
yanayohusu maisha maisha ya binadamu.
sanifu.
b) Zote mbili Huhumia lugha kwa ubunifu
k) Kukuza uwezo wa kutumia lugha kadiri
kuwasilisha maudhui.
mtu anapoendelea kuwasilisha k.v. hotuba,
c) Zote mbili huwa na vipengele viwili
vitanza ndimi husaidia kuboresha
vikuu, maudhui na fani (jumla ya mbinu
matamshi na kutofautisha maana za
msanii alizotumia kuwasilisha maudhui).
maneno.
d) Zote mbili majukumu sawa k.v.
l) Kuza uwezo wa kubuni k.v. malumano ya
kuburudisha, kuadilisha, kuhifadhi na
utani, vitanza, ndimi ngonjera, n.k.
kuendeleza utamaduni, n.k.
m) Kukuza uzalendo kwa kufanya wanajamii
e) Zote mbili zina utendaji-pale tamthilia na
kuonea fahari jamii zao na kuiga mashujaa
riwaya zinapoigizwa.
au watu waliotendea jamii makuu.
f) Zote mbili huzaliwa, hukua na hufa
n) Kuonya na kutahadharisha wanajamii
kutegemea mabadiliko ya wakati.
dhidi ya tabia hasi k.v. ulafi, uchoyo, n.k.
g) Zote mbili huwa na wawasilishaji-fanani
k.m. mtambaji/mganaji au manju/yeli Sababu za Ufaraguzi/Kubadilika
katika fasihi simulizi na mwandishi kwa Fasihi Simulizi
upande wa fasihi andishi . a) Kuwasilishwa vibaya.
h) Fasihi simulizi imekopa tanzu za fasihi b) Fanani kusahau na kubadilisha yaliyomo
simulizi k.v. methali, mashairi, n.k. na mtiririko.
Majukumu ya Fasihi c) Kubadilisha ili kukidhi mahitaji ya hadhira
Simulizi/Umuhimu wa Kufunza k.m. umri na uelewa wao- kutumia lugha
nyepesi kwa watoto na pevu kwa watu
Fasihi Simulizi Katika Shule wazima.
za Upili d) Mabadiliko ya mandhari/mazingira-vitu
vilivyo katika mazingira halisi kukosekana
2
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 3
katika mazingira ya usimulizi na a) Kuchunza/utazamaji
msimulizi kutumia vitu katika mazingira  Kutazama kwa makini yanayotokea na
yake vinavyokaribiana navyo. kuandika.
e) Kutoeleweka na hivyo kuhifadhiwa Umuhimu/ubora/uzuri
vibaya. a) Kupata habari za kutegemewa na
f) Mabadiliko ya wakati k.m kitendawili cha kuaminika.
wakati wa mkoloni kutumia mzungu na b) Ni rahisi kurekodi k.v. kwa vinasa sauti,
cha wakati wa mwarabu kutumia mwarabu video, n.k.
na maana ni ile ile-Mzungu/mwarabu c) Ni njia bora kwa wasiojua kusoma na
amesimama kwa mguu mmoja-mwavuli. kuandika
g) Mabadiliko ya falsafa ya vizazi na d) Kuweza kupata sifa za uwasilishaji k.v.
maingiliano katika jamii kusababisha toni/kiimbo, ishara n.k.
kurithisha tu yale ambayo ni muhimu na e) Kuweza kupata hisia halisi za uwasilishaji
kuacha mengine. Udhaifu
h) Kila fanani huwa na mtindo wake wa a) Shida ya mawasiliano.
kuwasilisha/kisanii. b) Ugeni wa mtafiti kusababisha washiriki
i) Ubunifu wa fanani ili uwasilishaji uweze kumshuku na kusitisha uwasilishaji
kuvutia saidi na uwezo wake wa lugha. c) Ghali kwa kumbidi mtafiti kusafiri
j) Teknolojia kusababisha kuhifadhiwa na d) huhitaji muda mrefu
hivyo kuiua.
b) Kusikiliza wasanii
Wahusika katika Fasihi Simulizi
wakiwasilisha tungo zao.
 Wahusika ni viumbe wa sanaa ambao
hutumiwa katika kazi ya fasihi kuwasilisha Umuhimu
maswala mbalimbali. a) Kuweza kupata sifa za uwasilishaji k.v.
a) Fanani-anayetunga na kuwasilisha fasihi toni/kiimbo, ishara n.k.
simulizi. b) Kupata habari za kutegemewa na
b) Hadhira-kusikiliza, kutazama, kushiriki wa kuaminika.
kuimba, kuuliza maswali, kutegua c) Ni rahisi kurekodi k.v. kwa vinasa sauti,
vitendawili, kupiga makofi, n.k. kuna aina video, n.k.
mbili za hadhira: (i) hadhira tendi/hai na d) Kikwazo cha mawasiliano-Si njia bora
(ii) hadhira tuli. kwa wasiojua kusoma na kuandika.
c) Wanyama-wanaofanya kama binadamu na e) Kuweza kupata hisia halisi za uwasilishaji.
kuwakilisha sifa kama vile ujanja, ulaghai, Udhaifu
tamaa na ujinga na wanaobakia wanyama a) Shida ya mawasiliano-Si njia bora kwa
tu. wasiojua kusoma na kuandika.
d) Binadamu b) Huhitaji muda mrefu-kusafiri na
e) Mazimwi na majitu-viumbe vyenye kusikiliza.
matendo na maumbile ya kutisha kama c) Ugeni wa mtafiti kusababisha washiriki
vile jicho moja, vichwa viwili au zaidi, kutowasilisha ipasavyo.
nusu mtu na nusu myama, wenye tamaa d) Ghali kwa gharama ya usafiri.
iliyokithiri ya kuweza kumeza kila kitu, c) Mahojiano
kuhifadhi na kutunza binadamu  Kuhoji wanaofahamu mengi kuhusu fasihi
ananyoyapendeza. simulizi.
f) Wahusika vitu (visivyo na uhai) mawe, Umuhimu
miti, vijaluba, vibuyu-hutumiwa kuibua a) Kuweza kung’amua wakati mhojiwa
imani za kidini. anatoa habari zisizo za kweli.
g) Mizimu-roho za waliokufa-hutembea, hula b) Kuweza kufafanulia mhojiwa maswali ili
na huathiri binadamu. kuweza kupata habari sahihi zaidi.
h) Miungu-viumbe vyenye uwezo mkubwa c) Kuweza kupata sifa za uwasilishaji k.v.
dhidi ya binadamu k.m. katika mighani na toni/kiimbo, ishara n.k.
visasili. d) Ni rahisi kurekodi k.v. kwa vinasa sauti,
Njia za Kukusanya Fasihi Simulizi video, n.k.
3
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 4
e) Kupata habari za kutegewa na kuaminika f) Kupiga picha kwa kamera
Udhaifu  Hunasa picha zisizo na miondoko na sauti
a) Huhitaji muda mrefu. Umuhimu
b) Mhojiwa kutotoa habari kwa a) Huonyesha uhalisi wa mandhari.
kutomwamini mtafiti kwa ugeni wake. b) Huweza kuhifadhi ishara.
c) Kikwazo cha mawasiliano-si njia bora kwa c) Mkusunyanyaji aweza kurudia
wasiojua kusoma na kuandika. uwasilishaji ikiwa hakuelewa.
d) Ghali kwa gharama ya usafiri. d) Kupata habari za kuaminiwa na
d) Kurekodi katika kanda za kutegemeka.
sauti/tepurekoda Udhaifu
Umuhimu a) Ghali kwa gharama ya ya usafiri na
a) Kuweza kudumu na kufikia vizazi vingi. kununua kamera.
b) Sifa za uwasilishaji/uhai kama vile toni na b) Sifa za uhai kama vile kiimbo haziwezi
kiimbo kuhifadhiwa. kuhifadhiwa.
c) Mkusunyanyaji aweza kurudia c) Yaweza kukosa nguvu za umeme na utafiti
uwasilishaji ikiwa hakuelewa. kuathirika.
d) Kupata habari za kutegewa na kuaminika d) Data yaweza kufisidiwa na hivyo
e) Kuweza kupata hisia halisi za uwasilishaji kutowafikia walengwa
Udhaifu f) Kushiriki katika kazi ya fasihi
a) Chaweza kukosa nguvu za umeme na simulizi k.v. ngoma, soga, n.k.
utafiti kuathirika. Umuhimu
b) Hakiwezi kunasa uigizaji. a) Kuweza kupata hisia halisi za uwasilishaji.
c) Fanani huenda asiwasilishe vyema akijua b) Kupata habari za kutegewa na kuaminika.
anarekodiwa. c) Njia bora kwa wasiojua kusoma na
d) Ghali kwa kuhitaji kununua kifaa na kuandika.
kumbidi mtafiti kusafiri. d) Kukuza utangamano wa mtafiti na
e) Kurekodi kwa filamu na video wanajamii.
 Hunasa picha zenye miondoko na sauti. e) Kuweza kunasa na kuhifadhi sifa za
Umuhimu kiimbo, toni na ishara.
a) Video huhifadhi uigizaji, ishara na Udhaifu
kiimbo/toni. a) Kuchukua muda mrefu.
b) Kuonyesha uhalisi wa mandhari b) Ugeni wa msanii kusababisha washiriki
c) Mkusunyanyaji aweza kurudia kuwa na wasiwasi na kutotenda kama
uwasilishaji ikiwa hakuelewa kawaida.
d) Kazi iliyokusanywa hivi hudumu kwa c) Njia ghali kwa kuhitaji mtafiti kusafiri
muda mrefu. mbali.
e) Njia bora kwa wasiojua kusoma na d) Mtafiti aweza kusahau kwa kuhifadhi
kuandika akilini.
f) Kupata habari za kutegewa na kuaminika g) Kutumia hojaji
Udhaifu  Fomu yenye maswali funge au wazi.
a) Chombo chaweza kukosa nguvu za Umuhimu
umeme na utafiti kuathirika. a) Gharama ya chini.
b) Fanani huenda asiwasilishe vyema akijua b) Yaweza kutumika katika mahojiano.
anarekodiwa. c) Huokoa muda kwani mtafiti aweza
c) Njia ghali. kuituma na kuachia mhojiwa kujaza.
d) Fanani huenda asiwasilishe vyema akijua d) Hupatia habari za kuaminika na
anarekodiwa. kutegemeka.
e) Ghali kwa gharama ya ya usafiri na Udhaifu
kununua filamu na kamera ya video. a) Utata wa maswali kusababisha majibu
f) Data yaweza kufisidiwa na hivyo yasiyo sahihi.
kutowafikia walengwa.
4
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 5
b) Si nzuri kwa wasiojua kusoma na f) Ili kuziba mapengo ya utafiti yaliyomo
kuandika. kwa vile kuna tungo ambazo hazijatafitiwa
c) Kutopata sifa za uwasilishaji kama vile kwa kina.
kiimbo, toni na ishara. g) Kuendeleza elimu ya jadi ya jamii.
d) Wahojiwa kukataa kuijaza kutokana na h) Kuingiliana na jamii iliyo chanzo cha
mwelekeo hasi dhidhi ya hojaji na hivyo fasihi humwezesha kuelewa na utamaduni
kukwamiza utafiti. na fasihi yake kwa ujumla
Vifaa vya Kukusanya Fasihi i) Humwezesha mwanafunzi kuona
Simulizi na Udhaifu Wake vipengele hai vya fasihi k.v. uigizaji, toni
na kiimbo ambavyo husaidia kuielewa
a) Vinasa sauti/tepu rekoda
kwa kina.
b) Kamera
j) Husaidia kuhifadhi tamaduni za jamii kwa
c) Filamu na video
nia ya kuzipitisha kwa vizazi vijavyo.
d) Diski za kompyuta
k) Husaidia kuelewa utamaduni wa jamii
e) Kalamu na karatasi
nyingine.
Umuhimu
l) Humwezesha mwanafunzi kupata maarifa
a) Kuweza kudumu na kufikia vizazi vingi.
ya kufanya utafiti katika taaluma nyingine
b) Si rahisi kusahaulika-hubakia vile vile.
k.v. sosholojia.
c) Si njia ghali kama vile video
m) Kujua fasihi simulizi za jamii nyingine
Udhaifu
humfanya mtafiti kuzielewa na kuzikubali
a) Sifa za uwasilishaji kama vile toni,
jamii hizo na hivyo kuendeleza amani
kiimbo/toni na ishara haziwezi
katika nchi.
kuhifadhika hivyo kupotea.
n) Ili kusahihisha mawazo mapotovu kuhusu
b) Hupunguza hadhira kwa kulenga tu
baadhi ya tanzu na vipera vya fasihi
wanaojua kusoma na kuandika na hivyo
simulizi.
kuathiri usambazaji wake.
Matatizo Yanayomkabili
Mbinu za Kuhifadhi Fasihi Simulizi
a) Huhifadhiwa na binadamu akilini k.m. Mkusanyaji wa Fasihi Simulizi
ngano hupokewa kutoka kizazi kimoja a) Gharama ya utafiti kuwa kubwa kiasi cha
hadi kingine. mtafiti kutoimudu k.v. kusafiria, kununulia
b) Katika maumbile au mazingira k.m. fisi vifaa.
daima huchechemea , kinyonga naye b) Kutojaziwa hojaji kutokana na mtazamo
hutembea pole pole. hasi wa jamii dhidi ya ujazaji wake.
c) Katika vifaa meme k.m. nyimbo, hadithi, c) Wanajamii kukataa kutoa habari
maigizo n.k. huweza kuhifadhiwa katika wakishuku mtafiti anawapeleleza au kwa
kanda za sauti, video, sidi na diski za kuona haya.
kompyuta. d) Wanajamii wengine kudai walipwe kabla
d) Katika michoro k.m. picha huhifadhi ya kutoa habari na hivyo kukwamiza
matukio maalum k.v. za kabila fulani utafiti.
likiwinda au likisherehekea. e) Mbinu nyingine k.v. hojaji huhitaji watu
wanaojua kusoma na kuandika na ikiwa
Umuhimu wa
mhojiwa hajui utafiti utakwamizwa.
Kukusanya/Kuhifadhi Fasihi f) Uchache wa wazee na wataalamu wa
Simulizi fasihi simulizi kusababisha kukosekana au
a) Ili isipotee k.m. kwa kusahaulika. kupatikana kwa data isiyo ya kutegemewa.
b) Kuirekodi ili kuiendeleza kwa kuirithisha g) Utawala kukataa kutoa idhini ya kufanya
kwa vizazi vijavyo. utafiti.
c) Ili kulinganisha fasihi simulizi za jamii h) Kukosa ufadhili na utafiti kutofanywa kwa
mbalimbali na kuonyesha tofauti zake. kutomudu gharama.
d) Ili kuhakikisha mtiririko katika i) Muda wa utafiti kutotosha na hivyo
uwasilishaji. kutopata habari za kutosha kuhusiana na
e) Kutunza historia ya jamii ili vizazi vijavyo mada yake.
viijue.
5
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 6
j) Kikwazo cha mawasiliano ikiwa mtafiti na  Kipera ni utungo wa fasihi simulizi
mhojiwa hawatumii lugha moja na unaowasilishwa mbele ya watu.
mhojiwa hajui lugha nyingine na kumbidi HADITHI
mtafiti kukodi mkalimani na gharama  Masimulizi yanayotumia lugha ya
kuongezeka. mtiririko au nathari.
k) Ukosefu wa vyombo vya usafiri Sifa
kunakochelewesha utafiti na kutomalizika a) Hutumia ya lugha ya mtiririko au nathari-
katika muda uliopangwa. kueleza matukio moja kwa moja.
l) Ukosefu wa usalama k.v. kuvamiwa kwa b) Hurithishwa jamii kutoka kizazi kimoja
kushukiwa anapeleleza na kuibiwa vifaa. hadi kingine.
Changamoto Zinazokabili c) Huwasilishwa mbele ya hadhira
Ukusanyaji wa Fasihi Simulizi d) Hutambwa mahali maalum k.v. ndani ya
a) Ukosefu wa utafiti wa kutosha kwani kuna nyumba, chini ya mti, uwanjani, n.k.
vipera ambavyo bado havijaandikwa. e) Huweza kutokana na matukio halisi
b) Uchache wa wataalamu wa kutafitia na (kihistoria) au ya kubuni.
kuendeleza utafiti. f) Huwa na mafunzo fulani kwa
c) Watu kuhamia mijini na kuingiliana na wa jamii/hadhira.
jamii nyingine na kufanya uhifadhi na g) Hutumia wahusika wa aina tofauti k.v.
urithishaji wa fasihi kutowezekana. nyumbani, wanyama, ndege, mazimwi,
d) Mtaala wa elimu kupuuza lugha ya kiasili n.k.
inayotumiwa kuhifadhia na kurithisha h) Hutumia aina nyingine za sanaa k.v
fasihi simulizi na hivyo kukatiza ukuaji nyimbo, methali, ushairi, n.k.
wake. i) Huwa na utendaji k.v. mtambaji kuiga fisi
e) Fasihi simulizi kuhusishwa na ukale na anavyokula.
hivyo kutoona haja ya kuirithisha na j) Aghalabu hutambwa jioni.
kuihifadhi. Sababu za Ngano Kutambwa Jioni/Usiku
f) Kuhifadhiwa kwa fasihi simulizi akilini a) Ndio wakati watu walikuwa wamejumuika
kusababisha kusahaulika, kubadilika hata nyumbani baada ya kazi.
kufa kwake. b) Utambaji ulikuwa njia ya kupitisha wakati
Jinsi Jamii ya Sasa Inavyojaribu chakula kikingojewa.
Kuhifadhi Fasihi Simulizi c) Wakati huu ulihakikisha mwanajamii
hapotezi wakati wa kazi.
a) Tamasha za muziziki kunakokaririwa na
kuimbwa mashairi. Majukumu ya Hadithi
b) Sherehe za arusi, jando, mazishi mawaida. a) Kufunza maadili yaliyo nguzo kuu kwa
wanajamii.
c) Utegaji na uteguaji wa vitendawili kupitia
redio na runinga. b) Kukuza ujasiri wa kuzungumza hadharani.
c) Kuburudisha baada ya kazi ya kutwa.
d) Sarakasi za wasanii huhifadhi kipera cha
vichekesho. d) Kukuza uwezo wa watoto wa kukumbuka
ili kutamba baadaye.
e) Ngoma za kienyeji kama isukuti katika
hafla za kisiasa na harusi. e) Kueleza asili ya mambo k.m visaviini,
visasili na ngano za usuli.
f) Utambaji wa hadithi hasa katika sehemu
za mashambani. f) Kutahadharisha wanajamii dhidi ya
kufanya mambo yasitofaa.
Tanzu za Fasihi Simulizi g) Kuunganisha watu katika jamii
 Tanzu ni aina za tungo zenye muundo wanapojumuika pamoja kusikiliza
uliokaribia kufanana. utambaji.
e) hadithi h) Ngano za mtanziko hukuza uwezo wa
f) semi kutathmini na kutoa uamuzi ufaao.
g) ushairi i) Kukuza lugha hasa kwa hadhira ya watoto.
h) mazungumzo j) Kuhifadhi na kuendeleza historia ya jamii
i) maigizo k.v. mighani, tarihi, n.k.

6
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 7
k) Kuelimisha hadhira kuhusu utamaduni 17. Awe na uwezo wa ufaraguzi/ kubadilisha
wao. utambaji wake papo hapo kutegemea
l) Njia ya kupokeza kizazi historia na hadhira yake na kutoa mifano
utamaduni wa jamii. inayofahamika kutoka katika mazingira ya
Sifa za Mtambaji/Mganaji Bora hadhira.
1. Asiwe mwoga ili kuweza kuzungumza 18. Awe na uwezo wa kutumia mtuo wa
hadharani. kidrama ili kuongeza taharuki, kusisitiza
2. Asiwe na haya ili kuweza kuzungumzia ujumbe na kuteka makini ya hadhira.
mambo ya aibu inapobidi. Aina za Hadithi
3. Awe na uelewa wa mazingira na masuala a) Hadithi za Kubuni
ibuka katika jamii ili kuweza kuwasilisha  Hazisimulii matukio ya kweli bali ya
dhana zisizopatikana katika mazingira kutungwa
yake k.m. kutumia rais kuelezea dhana ya b) Hadithi za Kisalua/Kihistoria
mfalme.  Zinazosimulia matukio yaliyowahi
4. Awe na ufahamu mpana wa lugha ili kutendwa na wahusika waliowahi kuishi.
aweze kuitumia kwa uhodari na
 Huongezewa ubunifu ili kuvutia zaidi.
kuwasilisha kwa wepesi.
5. Awe mchanganfu na mcheshi ili kunasa 1. Hadithi za Kubuni
makini ya hadhira na kuzuia isikinai. Ngano
6. Awe na ufahamu mpana wa utamaduni  Hadithi zinazosimulia kisa chenye funzo
husika ili kuzuia kutumia maneno na na zenye wahusika aina ya binadamu,
ishara zinazoweza kuwaudhi au kupingana viumbe na vitu visivyo na uhai.
na imani za hadhira. Sifa za Ngano
7. Awe na uwezo wa kushirikisha hadhira j) Zina fomyula ya kuanzia/mwanzo
k.v. kuimba, maswali ya balagha ili maalum.
isikinai, n.k. k) Zina fomyula ya kumalizia/mwisho
8. Aweze kujua, matarajio, kiwango cha maalum.
elimu na tajriba ya hadhira ili kuweza l) Zina wahusika aina mbalimbali.
kubadilisha kwa kiwango kinachofaa. m) Zina matumizi ya nyimbo.
9. Awe na uwezo wa kuingiliana vizuri na n) Hutumia takriri (usambamba) ili kusisitiza
hadhira ili aivutie. k.m. zimwi likakimbia, likakimbia.
10. Awe na kumbukumbu nzuri ili usimulizi o) Huwa na na maadili/mafunzo
wake utiririke vizuri. p) Hutumia maswali ya balagha kuongeza
11. Awe na uwezo wa kudramatisha ili taharuki.
kuonyesha picha fulani k.v. kuiga toni, q) Hutumia tanakali za sauti.
sauti, na kiimbo kulingana na swala r) Zina matumizi ya fantasia au matukio
analowasilisha. yanayokiuka uhalisi/mambo ya ajabu k.v.
12. Kubadilisha toni au kiimbo ili hadhira binadamu kuruka kama ndege, zimwi
isikinai. kumeza watu na baadaye kutapika wote,
13. Awe na ujuzi wa kutumia ishara za uso, n.k.
mwili na miondoko kulingana na hali  Kutambua mbinu zilizotumiwa katika
anayoigiza. hadithi/ngano
14. Awe na ujuzi na ufasaha wa lugha ili  Kutambua wahusika
kuwasilisha mawazo kwa njia mwafaka na Aina za Fomyula za Kuanzia/Mianzo Maalum
inayovutia. i) Paukwa, Pakawa. Sahani. Ya mchele.
15. Aweze kubadilisha toni na kiimbo Giza. La mwizi. Na kiboko je? Cha mtoto
kulingana na hali tofauti anazoigiza k.v. mrorofi…
huzuni ii) Hapo zamani za kale/za kongamawe…
16. Awe na uwezo wa kushirikisha hadhira iii) Ilitokea…
kwa nyimbo na maswali ya balagha ili iv) Hadithi! Hadithi! Hadithi njoo…
kuondoa uchovu wa kutazama na v) Kaondokea chenjangaa, kajenga nyumba
kusikiliza. kakaa, mwanangu mwanasiti, kijino kama
7
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 8
chikichi, cha kujengea kikuta, na vilango d) Hutoa mafunzo kwa njia ya kuchekesha na
vya kupita… isiyoumiza.
vi) Hapo jadi na jadudi… e) Huwa na ucheshi mwingi.
Umuhimu wa Fomyula ya Kuanzia/Mwanzo maalum f) Hutumia mbinu ya uhuishi.
i) Kuvuta makini ya hadhira. g) Huwa na sifa zinazohimizwa na
ii) Kumtambulisha mtambaji kwa hadhira. zinazoshutumiwa.
iii) Kuashiria mwanzo wa hadithi. h) Ujanja au uongo hujitokeza katika hurafa
iv) Kutoa hadhira kutoka ulimwengu halisi za kijanja.
hadi ule wa hadithi. i) Ushindi hujitokeza katika hurafa za
Aina za Fomyula za Kumalizia/Miishio Maalum kijanja.
ii) Hadithi inaishia hapo. Umuhimu
iii) Tangu siku hiyo… a) Kutahadharisha watu dhidi ya kuwa wa
iv) Wakaishi raha mustarehe. danganyifu/kudanganyika kwa urahisi.
v) Maadili b) Kuonyesha jinsi tabia ya udanganyifu
Umuhimu wa Fomyula ya Kumalizia/Mwisho Maalum inavyoweza kujitokeza na kuathiri watu.
i) Kuashiria mwisho wa hadithi. c) Hurafa za kijanja hufunza jinsi ya
ii) Kutoa hadhira katika ulimwengu wa kupampana na hali ngumu.
hadithi hadi ule halisi. ii) Hekaya/Ngano za Kiayari
iii) Kumpisha/kumpa fursa mtambaji  Hadithi zinazomsawiri mhusika
anayefuata. anayetumia ulaghai kupata matilaba yake
iv) Kupisha shughuli inayofuata. kutoka kwa wengine (Abunuwasi).
v) Kutoa funzo la hadithi kwa muhtasari. Sifa
vi) Kupa hadhira nafasi ya kupumzika baada a) Wahusika wakuu ni binadamu.
ya kuwa makini kwa muda. b) Huwa na ubunifu mkubwa.
Umuhimu wa Nyimbo katika Ngano c) Hustaajabisha na kuchekesha.
i) Kushirikisha hadhira. d) Ujanja na uongo hujitokeza.
ii) Kusisimua hadhira na kuondoa ukinaifu e) Ushindi hujitokeza.
iii) Kuteka makini yao. f) Ni za kubuni.
iv) Kuwasilisha mafunzo/maadili. Umuhimu
v) Kutenganisha matukio katika hadithi. a) Hutahadharisha watu dhidi ya kuhadaika
vi) Kuburudisha hadhira. kwa wepesi.
vii) Kupunguzia hadhira mwemeo. b) Huonya dhidi ya matokeo yanayoweza
Umuhimu wa Tanakali za Sauti/Onomatopeya katika kuwapata wanaojinyakulia mali kwa
Ngano udanganyifu.
i) Kuongeza utamu. c) Kuonya dhidi ya usaliti.
ii) Kusaidia msomaji kupata picha kamili. d) Kukashifu viongozi dhalimu na matendo
iii) Kusaidia kupata hisia halisi maovu.
Aina za Ngano e) Kukejeli wanaotumia nguvu badala ya
i) Hurafa akili/hekima.
 Hadithi zenye wahusika wanyama na iii) Visasili
ndege.  Hadithi zinazoeleza asili ya matukio fulani
 Hurafa za kijanja ni hadithi ambapo katika jamii k.m. kifo, jua, lugha, zilizala
wanyama wadogo hutumia ujanja wa hali n.k.
ya juu ili kujinasua na hali ngumu au Sifa
mitego wanayotegewa. a) Husimulia mambo ya kiimani na kidini.
Sifa b) Huwa na misingi ya kihistoria.
a) Wahusika ni wanyama au na au ndege. c) Hueleza asili ya matukio katika jamii.
b) Wanyama na ndege hupewa sifa za d) Wahusika ni wanyama na binadamu.
binadamu e) Huwa na maadili.
c) Ni kazi ya ubunifu. f) Hurithishwa kizazi hadi kingine.
Umuhimu

8
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 9
a) Kueleza asili ya mambo kama vile kifo,  Ambazo zinazohusu watu waliotenda
utamaduni n.k. matendo ya kishujaa katika jamii zao
b) Kueleza utaratibu wa kutekeleza desturi kama vile kuokoa jamii.
k.v. mahari. Sifa
c) Kuhalalisha baadhi ya mila na desturi za a) Kipengele cha motifu au kusafiri nchi za
jamii k.v. ulipaji mahari, uabudu miti, n.k. mbali, kupigana na mazimwi kuokoa
d) Kukitisha mizizi imani fulani ya watu. jamii.
e) Kupunguza athari za majanga kama vile b) Husawiri mapigano kati ya wema (lila) na
kuhalalisha kifo. ubaya (fira).
f) Kutambulisha jamii kwani kila jamii ina c) Uovu huwakilishwa na mazimwi au
aina yake ya visasili. viongozi dhalimu
g) Kuhifadhi historia na utamaduni wa jamii d) Hatimaye wema hushinda uovu kwa
iv) Ngano za usuli juhudi za mashujaa
 Hadithi zinazoeleza asili ya hali, tabia,  Ngano za mashujaa ni za kubuni ilhali
mahusiano au wasifu. k.v. asili ya kuku katika mighani, mashujaa wanaaminiwa
kuchakura, asili ya kinyonga kwenda kwa waliishi.
tahadhari, n.k. Umuhimu
Sifa a) Kuhimiza uzalendo na ujasiri miongoni
a) Wahusika ni wanyama na binadamu mwa vijana.
b) Ni kazi ya kubuni. b) Kuhimiza ujasiri miongoni mwa vijana.
c) Hueleza kuhusu asili ya sifa, tabia au hali. c) Kusifu mashujaa katika jamii
d) Hutumia mbinu ya uhuishi. d) Kuelimisha jamii kwa kuwapa maarifa ya
e) Huwa na maadili. kukabiliana na changamoto, inda na ila.
Umuhimu e) Kuhimiza uzalendo kwa kuhimiza watu
a) Kueleza sababu ya tabia, hali au sifa kuiga mashujaa na kupigania jamii.
Fulani. f) Kuonya dhidi ya matendo hasi k.v. ukatili.
b) Kuonya dhidi ya tabia hasi kama vile ulafi. g) Kuhimiza watu kutokata tamaa
v) Ngano za mazimwi vii) Ngano za mtanziko
 Hadithi ambazo wahusika ni mazimwi.  Hadithi ambapo mhusika hukabiliwa hali
Sifa ngumu ya kuamua baina ya mambo wawili
a) Wahusika ni mazimwi au zaidi yanayomkabili.
b) Mazimwi huwakilisha sifa hasi za Sifa
binadamu k.m ulafi, ukatili, uovu n.k. a) Wahusika ni wanyama au binadamu.
c) Hujaa uharibifu. b) Ni kazi ya kubuni.
d) Huwa na matumizi mengi ya fantasia. c) Mhusika hulazimika kufanya uteuzi
e) Kipengele cha safari hujitokeza k.v. mgumu.
kwenda nchi za mbali kutafuta suluhisho. d) Hali mbili au zaidi zinazotatanisha
f) Ushindi hujitokeza (mazimwi hushindwa). huwepo.
g) Ni kazi ya kubuni. Umuhimu
h) Huwa na maadili. a) Hutuerevusha jinsi ya kupambana na hali
i) Mazimwi huwa na sifa zinazokiuka ngumu.
mipaka ya binadamu k.m. kinywa b) Kuonya/kutahadharisha dhidi ya
kisogoni, jicho moja kubwa, n.k. kujiponza.
Umuhimu c) Kukuza uwezo wa kupima mambo na
a) Kukashifu tabia ya uovu, ulafi, na ukatili. kuteua lililo muhimu.
b) Kutahadharisha dhidi ya kuwa na ulafi, d) Kuonya dhidi ya kutenda bila kuwaza kwa
ukatili n.k. kina.
c) Kutia moyo waliodhulumiwa kuwa viii) Ngano za Kimafumbo
waliowanyanyasa wataadhibiwa siku  Ambazo huwa na maana ya
moja. ndani/iliyofichika.
vi) Ngano za Mashujaa a) Istiara
9
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 10
 Hadithi ambayo maana yake huwakilisha f) Kukuza uzalendo kwa kuhimiza watu
maana nyingine iliyofichika k.v. hurafa kuiga mashujaa na kupigania jamii.
ambapo wanyama huwakilisha binadamu. g) Kuonya dhidi ya matendo hasi kama vile
b) Mbazi usaliti.
 Hadithi fupi inayotolewa inayotolewa h) Kuhimiza watu kutokata tama.
kama mfano kumkanya au kumwelekeza Tofauti Kati ya Mighani na Visasili
mtu k.v. katika biblia. mighani visasili
2. Hadithi za Kisalua/Kihistoria  Husimulia  Husimulia asili
kuhusu ya vitu.
i) Mighani mashujaa.
 Hadithi za mashujaa/majagina wa jamii  Husimulia  Husimulia
fulani k.m. Rwanda Magere wa Waluo, historia ya mianzo ya vitu
Fumo Liyongo wa Wapate, Koome Njue jamii. au mambo.
wa Wameru, Wangu wa Makeri wa  Wahusika  Wahusika ni
Wakikuyu na Syokimau wa Wsakamba. wakuu ni k.v. binadamu,
Sifa majagina. miungu,
a) Huhusu mashujaa wa jamii fulani. wanyama, n.k.
b) Wahusika hupambana na hali ngumu
 Hueleza sifa  Hueleza
inayosababishwa na maadui.
za majagina. mianzo ya
c) Wahusika hupewa sifa na uwezo usiokuwa
desturi.
wa kawaida k.v. ukubwa wa ajabu, nguvu
katika kivuli, nguvu katika nywele,
kutoulika n.k. ii) Visakale
d) Wahusika hupigania haki za wanyonge.  Masimulizi ya matukio yaliyotendeka
e) Mhusika hukomboa jamii yake dhidi ya zamani k.v. vita, majanga kama njaa na
maadui. magonjwa na hamahama za jamii k.v.
f) Mhusika hufa kifo cha huzuni (tanzia) kwa waisraeli kutoka misri.
kusalitiwa na mtu wa karibu k.v. iii) Visaviini
mwanamke au jamaa zao.  Hadithi zinazoeleza chimbuko la jamii
g) Mashujaa huuliwa kwa njia ya ajabu kama Fulani
vile kunyolewa nywele, kivuli kuchomwa iv)Mapisi
mkuki, kuchomwa shindano ya shaba  Maelezo ya kihistoria yasiyo na ubunifu
kitovuni wowote k.v. chimbuko la kundi la
h) Mighani huzungumzia matukio ya wabantu kutoka Afrika ya Kati na kuenea
kihistoria. sehemu mbalimbali za Afrika.
i) Kuna tabia ya kupiga chuku matukio
v) Tarihi
yaliyo hadithini.
j) Mighani hurithishwa jamii kutoka kizazi  Maelezo kuhusu matukio ya kihistoria
kimoja hadi kingine. kulingana na yalivyofuatana ki wakati
k) Huchukuliwa na jamii kama hadithi zenye vi)Kumbukumbu
ukweli na jamii hujinasibisha na mighani  Maelezo ya kitawasifu kuhusu mtu au
hiyo. jamii inayotambulika kwa kutoa mchango
g) Husimulia mambo ya kiimani na kidini. fulani mkubwa.
Umuhimu 3. Vipera Vingine vya Hadithi
a) Kutambulisha jamii kwani kila jamii ina i) Soga
aina yake ya mighani.
 Hadithi fupi za kuchekesha zinazolenga
b) Kuhifadhi na kumbusha historia yajamii.
kutania au kudhihaki.
c) Kusifu mashujaa katika jamii.
Sifa
d) Kuhimiza ujasiri miongoni mwa vijana.
a) Wahusika ni wa kubuni.
e) Kuelimisha jamii kwa kuwapa maarifa ya
b) Hutaja ukweli unaoumiza.
kukabiliana na adui au changamoto.
c) Hutumia vichekesho kupunguza ukali wa
dhihaka.
10
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 11
d) Hutumia chuku kupita kiasi. l) Kufafanua maswala ibuka/maudhui
e) Huhusu tukio moja. yaliyoshughulikiwa k.m. usaliti, ujinga,
f) Ni fupi. ulaghai, n.k.
Umuhimu m) Kuchanganua utungo kifani-ploti,
a) Kukashifu matendo hasi kwa njia ya wahusika, mbinu za lugha, fantasia,
ucheshi nyimbo, n.k.
b) Kuonya na kutahadharisha dhidi ya n) Kueleza majukumu ya hadithi.
matendo hasi k.v. ulaghai. SEMI
c) Kufunza maadili.  Tungo fupi zinazowasilisha ujumbe kwa
d) Kuburudisha kwa kuchekesha. kufumba au kuchora picha.
ii) Vigano Sifa
 Hadithi fupi zinazosimulia kuhusu a) Huwa fupi kwa kuwasilisha ujumbe mrefu
matendo mabaya katika jamii na wakati uo kwa maneno machache.
huo kuonya na kuelekeza dhidi yayo. b) Ni tanzu tegemezi kwa hutegemea tanzu
 Aghalabu huandamana na methali kwa nyingine kama vile hadithi, mazungumzo,
lengo la kufafanua linalokusudiwa au n.k.
kudhibitisha funzo la methali fulani. c) Hazibadiliki vivi hivi.
Sifa d) Baadhi ni kielelezo cha maadili k.v.
a) Huwa vifupi. methali.
b) Husimulia kisa kimoja tu. e) Hutumia lugha ya kimafumbo.
c) Wahusika ni binadamu na wanyama. f) Huibua taswira.
d) Hufunza maadili kutokana na methali. g) Huwa na mchezo wa maneno.
iii) Kisa h) Baadhi huwa na muundo maalum k.v.
 Masimulizi mafupi yenye tukio moja lenye methali na vitendawili.
funzo kwa njia ya kufurahisha. i) Nyingine ikikosa kutumika hutoweka k.v.
misimu.
Mambo ya Kuzingatia katika Uchambuzi wa
Umuhimu
Hadithi/Ngano
a) Kuonya k.m methali, ‘Asiyesikia la mkuu
a) Kueleza aina ya ngano kwa kuzingatia
huvunjika guu.’
wahusika na maudhui
b) Kukuza uwezo wa kufikiri k.m.
 Ngano yaweza kuwa ya mazimwi na ya
vitendawili na chemsha bongo.
mashujaa kwa wakati mmoja.
c) Kutafsidi lugha au kupunguza ukali wa
 Ngano yaweza kuwa hurafa, ya usuli na ya
maneno k.m. nahau ‘jifungua’ badala ya
kiayari.
‘zaa’.
b) Kutaja wahusika
d) Kuburudisha k.m. vitendawili, chemsha
c) Kufafanua sifa za wahusika wakuu
bongo na vitanza ndimi.
d) Maadili/mafunzo yanayojitokeza katika
e) Kuhifadhi siri k.m. nahau, misemo,
hadithi
misimu.
e) Kubainisha sifa za ngano/hurafa/hekaya,
f) Kuelimisha k.m. kutofanya mambo kwa
n.k. zinazojitokeza katika hadithi.
pupa-mla kwa pupa hadiriki kula tamu.
f) Kueleza umuhimu wa fomyula ya
g) Kuongeza utamu katika lugha.
kuanzia/wimbo uliotumiwa katika hadithi.
h) Kuboresha matamshi k.m. vitanza ndimi.
g) Kubainisha tamathali za usemi
i) Kukuza lugha k.m misimu.
zilizotumiwa katika hadithi fulani
j) Kukuza utangamano katika jamii kwa
h) Kuonyesha jinsi ngano inavyoshughulikia
kuleta watu pamoja wakati
maudhui fulani.
zinawasilishwa.
i) Kufafanua ufaafu wa methali fulani
zilizotumiwa katika hadithi. Vipera vya Semi
j) Katika ngano ya mtanziko, ungekuwa i) Methali
mhusika mkuu ungefanya nini?  Semi fupi ambazo hueleza kwa muhtasari
k) Kubainisha matumizi ya mbinu ya fantasia au mafumbo ukweli fulani wa kimaisha.
Sifa
11
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 12
a) Huwa fupi k.m. ‘Msafiri kafiri.’ m) Kuonyesha umuhimu wa kuthamini jamaa
b) Hutumia tamathali za usemi. zako kuliko marafiki k.m. ‘Damu ni nzito
c) Hutumkia lugha ya kimafumbo. kuliko maji’ ‘Mla nawe hafi nawe ila
d) Huwa na maana ya ndani na nje. mzaliwa nawe.’
e) Kunazo hufanana kimaana k.m. ‘Haraka n) Kuonyesha umuhimu wa kuthamini vitu
haraka haina baraka’ na ‘Polepole ndio vyako-‘Usiache mbachao kwa msala
mwendo.’ upitao’ ‘Afadhali dooteni kama ambari
f) Hupingana zenyewe k.m ‘Polepole ndio kutanda,’
mwendo’ na ‘Chelewa chelewa utamkuta o) Kukashifu ubinafsi k.m. ‘Mwamba ngoma
mwana si wako.’ huvutia kwake’ ‘Kila mchukuzi husifu
g) Huwa na sifa za kishairi k.v. ukwapi, utao mzigo wake.’
na vina -Haba na haba, hujaza kibaba. p) Kukashifu kiburi k.m. ‘Maskini akipata
h) Sifa za utegemezi kwa kuingiliana na matako hulia mbwata’ ‘Zingwi zingwi lipe
tanzu nyingine za fasihi. nguo utaona mashauo.’
i) Huwa na muundo maalum wa sehemu Mbinu za Lugha/Fani /Tamathali
mbili: za Usemi katika Fasihi
i) Wazok.m ‘Haba na haba…’
 Maneno au vifungu vya maneno
ii) Kukamilisha wazo ‘…hujaza kibaba.’
vinavyotumiwa kutia fasihi urembo ili
Umuhimu
kufanya ujumbe ueleweke vyema zaidi.
a) Kukuza uwezo wa kufikiri kwani mpokezi
Aina
hufikiri ili kupata maana ya ndani.
1. Tashbihi
b) Kuonya dhidi ya matendo yasiyofaa k.m.
‘Mchimba kisima huingia mwenyewe’na  Ulinganishi kwa kutumia viunganishi
kama, mithili, mfano na sawa.
‘Ukiambiwa jiambie usijeishia kumbe.’
c) Kufariji walio katika hali ngumu, Baada 2. Sitiari/ Istiara
ya dhiki faraja, Hakuna marefu yasiyo na  Ulinganishi usio wa moja kwa moja.
ncha, Liandikwalo ndilo liwalo, Ajaliwalo 3. Tashhisi/Uhaishaji
ndilo apatalo.  Kukipa kitu sifa ya uhai.
d) Kuhimiza watu kujitahidi 4. Taashira/ Ishara
maishani/kuonyesha jambo jema huja kwa  Kitu kuwakilisha kingine.
kufanyiwa kazi k.m. ‘Mtaka cha mvunguni 5. Chuku/udamisi
sharti ainame,’ ‘Chumia juani ulie  Kutia chumvi au kufanya kitu kionekane
kivulini.’ kikubwa sana au kidogo sana.
e) Kupamba lugha iwe na mvuto kwani huwa 6. Takriri
na usanii mkubwa.  Urudiaji wa neno au mafungu ya maneno.
f) Kuhimiza ushirikiano, ‘Umoja ni nguvu 7. Tanakuzi
utengano ni udhaifu, ‘Jifya moja haliijiki  Maneno yaliyo kinyume
chungu.’ 8. Tabaini
g) Kuelimisha mtu ajue jambo muhimu k.m.  Msisitizo kwa njia ya kinyume kwa
‘Usione kwenda mbele kurudi nyuma si kutumia kikanushio si.
kazi’, ‘Pema usijapo pema ukipema si 9. Ritifaa
pema tena.’  Kusemesha asiyekuwapo kama yupo.
h) Kushauri k.m. ‘Enga kabla ya kujenga’ na 10. Taharuki
‘Mchama ago hanyeli.’  Kuacha msomaji akiwa na hamu ya kutaka
i) Kufupisha maadili katika ngano. kujua kipi kitakachojiri halafu.
j) Kubuni lakabu k.m. ‘kikulacho.’ 11. Majazi
k) Kufunza maadili k.m. kuwa na subira-  Majina yanayooana na sifa za wahusika,
‘Subira huvuta heri.’ vitu au mahali.
l) Kuhimiza kutokata tama k.m. ‘Bandu 12. Mbinu rejeshi
bandu huisha gogo’ ‘Papo kwa papo  Kukumbusha mambo yaliyopita.
kamba hukata njiwe.’ 13. Methali

12
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 13
 Semi fupi ambazo hueleza kwa muhtasari b) Ahadi ni deni.
au mafumbo ukweli fulani wa kimaisha. c) Upweke ni uvundo.
14. Nahau d) Mgeni ni kuku mweupe.
 Fungu la maneno lenye maana tofauti na e) Ujana ni moshi.
maana ya kawaida ya maneno hayo. f) Mapenzi ni kikohozi.
15. Misemo g) Kukopa arusi kulipa matanga.
 Semi zinazobeba ukweli wa kujumla Tashbihi
Mifano: a) Kawaida ni kama sheria.
16. Mdokezo b) Riziki kama ajali ijapo huitambui.
 Mambo kuachwa bila kumalizwa. c) Usilolijua ni kama usiku wa giza.
17. Balagha d) Ufalme kama mvua hupiga na kupita.
 Maswali yasiyohitaji majibu. Tashhisi
18. Taswira a) Siri ya mtungi muulize kata.
 Ujenzi wa picha akilini. b) Paka akiondoka panya hutawala.
19. Kinaya c) Jembe halimtupi mkulima.
 Mhusika kutumia maneno au matendo d) Ukupigao ndio ukufunzao.
yaliyo kinyume cha inavyotarajiwa. e) Adhabu ya kaburi aijuaye maiti.
20. Koja Takriri
 Kuorodhesha maneno na vitenzi kwa a) Haba na haba hujaza kibaba.
kutumia koma. b) Chovya chovya humaliza buyu la asali.
21. Kejeli c) Hauchi hauchi unakucha.
d) Hayawi hayawi huwa.
 Kudharau au kubeza.
e) Mtoto wa nyoka ni nyoka.
22. Jazanda
f) Bandu bandu huisha gogo.
 Kufananisha vitu kwa mafumbo k.m.
Balagha
katika biblia.
a) Pilipili usiyoila yakuwashiani?
23. Nidaha/ Siyahi
b) Angurumapo samba mcheza ni nani?
 Maneno ya kuonyesha hisia za moyoni.
c) Wameshindwa wenye pembe seuze wewe
24. Tanakali/onomatopeya
kipara?
 Miigo ya sauti zinazotokea baada ya d) Simba mla watu akiliwa huwani?
kitendo. e) Mzigo uko kichwani, kwapa lakutokeani
25. Uzungumzi nafsia jasho?
 Kujisemesha mwenyewe. f) Mavi usiyoyala wayawingiani kuku?
26. Dayalojia g) Mla ni mla leo mla jana kalani?
27. Utohozi/ Uswahilishaji Taswira
28. Kuchanganya ndimi a) Mpanda farasi wawili hupasuka msamba.
 Kutumia lugha ngeni. b) Mti mkuu ukigwa wana wa ndege
29. Tafsida/usafidi huyumba.
 Kutumia lugha ya adabu au kupunguza c) Mtupa jongoo hutupa na ung`ong`o wake.
ukali wa maneno. d) Angeenda juu kipungu hafikii mbingu.
30. Mkengeuko Chuku
 Kwenda kinyume na matakwa ya jamii a) Mzigo wa mwenzio ni kanda la sufi.
k.v. usenge, ndoa ya watu wasio wa rika b) Maji ya kifuu bahari ya chungu.
rika moja, mapenzi nje ya ndoa. c) Usipoziba ufa utajenga ukuta.
31. ulinganuzi Tanakali za sauti
 Kuweka pamoja mambo yanayopingana ili a) Chururu si ndondondo!
kulinganisha b) Ndo! Ndo! Hujaza ndoo.
32. Kweli kinzani c) Kiliacho pa kijutie.
 Hoja mbili zinazopingana/kutowezekana. Kinaya
Matumizi ya Lugha Katika Methali a) Bara Hindi ndiko kwenye nguo na
Sitiari waendao uchi wapo.
a) Mgeni ni kuku mweupe. b) Kwenye miti hakuna wajenzi.
13
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 14
c) Asante ya punda ni mateke. f) Maana k.m. sawa
d) Kigumba kwa nguruwe kwa binadamu ki  Haraka haraka haina baraka.
uchungu.  Polepole ndio mwendo.
e) Kikiharibika cha fundi kikiongoka cha Vigezo zaidi vya kuchambua methali
bwana Sudi. g) Inarejelea vitu gani? K.m. Hindi ndiko
Kejeli/dhihaka/stihizai kwenye nguo na waendao uchi wapo.
a) Umekuwa mung`unye waharibikia  Nchi-Hindi
ukubwani.  Vitu-nguo
b) Hawi Musa kwa kubeba fimbo.  Watu-waendao uchi
c) Ucha Mungu si kilemba cheupe. h) Inakupa wazo gani kuhusu jamii husika?
d) Kichwa cha kuku hakistahili kilemba.  Utamaduni na njia za kiuchumi.
e) Kichwa cha nyoka hakibandikwi mtungi.
ii) Vitendawili
Jazanda
a) Joka la mdimu hulinda watundao  Semi ambazo hutolewa kwa mtu kwa
mfano wa swali ili azifumbue.
 Mtu mwovu huwanyima wengine vitu
asivyovihitaji. Sifa
b) Kupanda mchongoma kushuka ndio a) Huwa vifupi kimaelezo.
ngoma b) Hutumia lugha ya kimafumbo.
c) Hutolewa mbele ya hadhira.
 Ni rahisi kujitia katika matata kuliko
d) Hutumia ufananisho wa kijazanda.
kujitoa.
e) Kunazo huhusiana na methali k.m. mzee
Taashira
amekufa vyombo vimevunjikavunjika.
a) Kimya kingi kina mshindo mkubwa.
f) Huwa na wakati maalum wa kutolewa
b) Kuku mgeni hakosi kamba mguuni.
yaani jioni.
Kweli kinzani g) Huwa na mchezo wa maneno k.m. Ukiona
a) Wagombanao ndio wapatanao.
njigi utadhani njege.
b) Ukupigao ndio ukufunzao.
 Maziwa na tui
c) Kuinamako ndiko kuinukako.
h) Hujisimamia vyenyewe.
d) Mwenye kelele hana neno.
i) Kunavyo huwa na jibu zaidi ya moja k.v.
e) Kimya kingi kina mshindo mkubwa.
Gari la kila mtu
Tanakuzi
 miguu, kifo au jeneza
e) Tamaa mbele mauti nyuma.
j) Hutumia tamathali za lugha kwa ufanifu
f) Mpanda ngazi hushuka.
mkubwa
g) Usione kwenda mbele kurudi nyuma si
k) Huweza kuwa na fomyula/muundo
kazi.
maalum
 Kuainisha methali kutokana na matumizi
i. Mteguaji: Kitendawili
ya lugha ni kusema mbinu ambazo
ii. Mteguaji: Tega
imetumia.
iii. Mteguaji: Kitendawili chenyewe-
Vigezo vya Kuainishia Methali/Kuziweka Pamoja na Popoo mbili zavuka mto
kuzichambua iv. Mteguaji : Mlango
a) Mandhari/mazingira k.m. kilimo. v. Mtegaji: Umenoa. Nipe mji.
 Ukipanda pantosha utavuna pankwisha. vi. Mteguaji: Ninakupa Nairobi.
 Jembe halimtupi mkulima. vii. Mteguaji: Nilienda Nairobi watu wa
b) Maudhui k.m. ulezi Nairobi wakaniambia nije
 Samaki mkunje angali mbichi. niwasalimu. Jibu ni macho.
 Mcha mwana kulia hulia yeye Umuhimu
c) fani/tamathali k.m. takriri a) Kuburudisha jioni baada ya kazi.
 Haba na haba hujaza kibaba b) Kukuza ubunifu wa kuvitunga kwa
 Mtoto wa nyoka ni nyoka. kulinganisha vitu katika mazingira ili
d) Jukumu k.m. kuonye kuviunda.
 Asiyesikia la mkuu huvunjika guu. c) Kuimarisha uwezo wa kukumbuka.
 Ukiambiwa jiambie usijeishia kumbe.
14
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 15
d) Kukuza uwezo wa kufikiri kwani b) Bibi hatui mzigo-konokono.
mfumbiwa huhitaji kufikiri sana ili kupata c) Mamangu hachoki kunibeba-kitanda.
jibu. d) Fatuma mchafu-ufagio.
e) Kuleta umoja na ushirikiano katika jamii e) Saa yetu kadiri inavyotembea ndivyo
kwa kuleta watu pamoja wakati inavyopunguza nguvu-moyo.
vinategwa. f) Mzungu kujishika kiuno- kikombe.
f) Kuimarisha ujuzi wa kujieleza kwa lugha. g) Nina mapapai yangu mawili ambayo
g) Kupanua ujuzi wa mazingira wa mtoto. siwezi kuyala- matiti ya mwanamke.
h) Kuendeleza utamaduni wa jamii k.m. h) Ng`ombe wangu nisipomshika mkia hali
Nyumbani mwetu mna papai lililoiva nyasi-jembe.
lakini. siwezi kulichuma i) Kitu changu kitumiwacho na wengine
 Ndugu wa kiume asimuoe nduguye wa kuliko mimi-jina.
kike. j) Popoo mbili zavuka mto-macho.
i) Kukejeli au kudharau tabia mbaya k.m. k) Gari la kila mtu-miguu.
Wazungu wawili wanachungulia dirishani l) Dada ni mrembo lakini akiguzwa analia-
 makamasi papai.
Aina za vitendawili Takriri
a) Sahili a) Huku ng`o na kule ng`o-giza.
 Vina muundo rahisi/maneno machache b) Amezaliwa Ali, amekufa Ali, amerudi Ali-
k.m Akiona mwangaza wa jua hufa- nywele.
samaki. c) Huku fungu katikati bahari-naz.i
b) Tata Tanakali
 Vyenye majibu tofauti a) Parrr! Mpaka Makka-utelezi.
c) Kisimulizi b) Huku pi kule pi-mkia wa kondoo
 Masimulizi k.m. Kulikuwa na baba atembeapo.
ng’ambo moja ya mto na binti zake wawili c) Ba funika ba funua (Bak bandika, bak
ng’ambo ya pili. Alikuwa na maembe bandua)-nyayo.
mawili aliyopaswa kuyavukisha pamoja d) Tang! Yaanguka-sarafu.
apelekee binti zake. Angefanya nini? Kweli kinzani
d) Vya tanakali k.m. Parrrr! Mpaka Makka- a) Ana meno lakini hayaumi-kitana.
utelezi. b) Ajenga ingawa hana mikono-ndege.
e) Mkufu c) Hukopa lakini halipi-kifo.
 Vyenye sehemu zinazochangizana d) Nina shamba langu kubwa lakini nikivuna
kimaana k.m. Nikitembea yuko lakini halijai hata kofi-nywele.
nikiingia nyumbani hupotea-kivuli. e) Hufa akifufuka-bahari kupwa.
f) Nameza lakini sishibi-mate.
Matumizi ya Lugha Katika
Taswira
Vitendawili a) Adui tumemzingira lakini hatumwezi-
Tashhisi moto.
a) Amefunika kote kwa blanketi lake jeusi- b) Nyama nje, ngozi ndani, mchanga ndani-
giza. firgisi ya kuku.
b) Akivaa nguo hapendezi, akiwa uchi c) Wanatazamana tu lakini hawaamkiani-
hupendeza mno-ndizi. ardhi na bingu.
c) Anakula lakini hashibi-kifo/mauti. d) Askari wangu wote wamevaa kofia
d) Amchukuapo hamrudishi-kaburi. upande-mahindi shambani.
e) Akizungumza kila mtu hubabaika-radi. e) Samaki wangu aelea kimgongomgongo-
f) Daima nasababisha mafarakano-uke merikebu.
wenza. f) Babu amebeba machicha meupe kichwani-
 Tashbihi mvi.
a) Boi wangu kazama kaibuka kama Stihizai/dhihaka/kejeli
mzungu-mwiko wa ugali. a) Akivaa miwani hafanyi kazi vizuri-mlevi.
Sitiari
15
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 16
b) Mzungu anachungulia dirishani- Mifano
makamasi. a) Kilo moja ya chuma na kilo moja ya
c) Uzi mwembamba umefunga dume- nyama ipi nzito?
usingizi. b) Amada ana wafanyikazi saba, wanne
d) Mtani wangu hata akiishi majini hatakati- hufanya kazi vizuri, wawili ni kama
chura. wamekufa, mmoja ni kama mwenda
e) Kisiki chetu hakikui-mbilikimo. wazimu- miguu, pembe na mkia wa
f) Nimemuona bi kizee amejitwika ng’ombe.
machicha-mvi. c) Kipungu alipita juu, mama na ndege
Jazanda wawili wakamwangalia. Je macho
a) Mungu alinipa shilingi mbili, moja mangapi yalimuona kipungu?- manne.
nitumie nyingine niweke-ardhi na mbingu. d) Nina watu wangu watatu, wawili ni watoto
 Kuchambua kitendawili kwa kueleza na wawili ni baba- mtoto, baba na babu.
mbinu za lugha zilizokiunda. e) Chura alitumbukia katika shimo la futi 30
Kulinganisha vitendawili na na anaruka futi 10. Aruke mara ngapi ili
atoke?- Hawezi.
methali
f) Watu watatu wanavuka mto. Mmoja
Kufanana aliyaona maji na kuyakanyaga. Wapili
 Zote mbili ni tungo fupi.
aliyaona lakini hakuyakanyaga. Watatu
 Zote mbili huwa na maana fiche.
hakuyaona wala kuyakanyaga. Watu hao
 Zote mbili hutumia lugha inayojenga ni kina nani?
taswira.
Sifa
 Zote mbili hupata maana kulingana na
a) Ni kauli fupi au ndefu.
jamii.
b) Hutuia lugha ya kimafumbo.
 Zote mbili Huwa na muundo maalum.
c) Hutumia ufananisho wa kijazanda.
 Zote mbili hufumbata ukweli fulani wa
d) Huhitaji mtu kuwaza ili kupata jibu.
kijamii.
e) Hujengwa na vitu vinavyotokana na
Tofauti mazingira.
Vitendawili Methali f) Hazina muundo maalum kama methali,
 Vina fomyula  Hazina fomyula. nahau na vitendawili
maalum ya g) Hupima uwezo wa msikilizaji wa
uwasilishaji. kutambua jambo lililofichwa.
 Fumbo lazima  Fumbo Umuhimu
lifumbuliwe halifumbuliwi a) Kuimarisha stadi ya kusikiliza.
papo hapo. papo hapo. b) Kunoa uwezo wa kufahamu.
 Maarufu zaidi  Kuonyesha c) Kutoa mawaidha.
miongoni mwa hekima hasa d) Kufunza kuhusu maumbile.
watoto/vijana. miongoni mwa e) Kuimarisha uwezo wa kukumbuka.
watu wazima na f) Kufunza mambo kuhusu mazingira na
wazee. maumbile.
 Hutolewa katika  Si lazima g) Kukuza uwezo wa kutumia lugha.
vikao maalum. zitengewe vikao. h) Kukuza uwezo wa kufikiri.
 Hadhira tendi  Hadhira si tendi. i) Kuburudisha na kuchekesha.
inayotoa maana j) Kukuza uwezo wa kubuni.
 Hutumia lugha  Kauli moja ya
iv)Vitanza Ndimi
ya majibizano. msemaji
 Sentensi zenye mfuatano wa sauti
iii) Chemsha Bongo zinazotatanisha kimatamshi zinapotamkwa
 Maswali ambayo huhitaji mtu kutumia kwa haraka.
akili na ujuzi kuyajibu. Mifano
 Mafumbo ni kauli zenye maana c) Wataita wataita Wataita wa Taita.
iliyofichika na hujumuisha vitendawili na d) Waite wale wana wa liwali wale wali wa
chemshabongo. liwalii
16
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 17
e) Kupa mpe akupao kumpa asokupa si kupa d) Nyundo/Tingatinga
ni kutupa.  Raila
f) Shirika la Reli la Rwanda limefungwa. e) Baba wa taifa
g) Hilo lililoliwa ndilo nililolitaka.  Rais
h) Mchuuzi wa mchuzi hana ujuzi wa mjusi f) Mama wa Taifa
wa juzi.  Mke wa Rais
i) Cha mkufuu mwanafuu ha akila hu cha Sifa
mwanafuu mkufuu hu akila ha a) Huwa neno au fungu la maneno kadha.
j) Pema usijapo pema ukipema si pema tena b) Huwa na maana iliyofumbwa.
k) Nguo zisizotakikana zitachomwa zote. c) Huoana na sifa hasi au chanya za
Sifa aliyepewa.
a) Ni kauli fupi. d) Huwa za kusifu au kudhihaki.
b) Huwa na mchezo wa maneno. e) Huweza kudumu hata kusahaulisha jina
c) Huundwa kwa sauti zinazokaribiana halisi la mtu.
kimatamshi. f) Hutumia sitiari k.m. chui kumaanisha
d) Hutumia maneno yenye maana zaidi ya mkali.
moja au yenye sauti sawa. g) Hutumia taswira.
e) Hutanza/hutatiza ndimi za wengi h) Hushika sana kimatumizi miongoni mwa
wakalemewa kutamka. watu.
f) Hukanganya kimatamshi. Umuhimu
Umuhimu a) Kufahamisha sifa za mtu kwa kifupi.
a) Kukuza matamshi bora mtu anapoendelea b) Huwa njia ya washairi ya kujitangaza bila
kutamka. kujisifu moja kwa moja.
b) Kukuza uwezo wa kufikiri haraka ili kujua c) Hutumiwa kama ishara ya heshima kwa
maana za maneno ili kutamka ipasavyo. anayestahili heshima k.m. kiongozi.
c) Kupanua ujuzi wa msamiati. d) Kuficha utambulisho au jina halisi la mtu.
d) Kuburudisha kwa kufurahisha na e) Hutumiwa katika majigambo na mhusika
kuchangamsha. kuonyesha ubingwa wake.
e) Husaidia kutofautisha maana za maneno. f) Kuficha siri ili anayemrejelewa asijulikane
f) Kujenga stadi ya kusikiliza. k.m. kikulacho.
g) Kukuza ubunifu kwa kuteua maneno g) Kukuza uhusiano bora miongoni mwa
yanayotatanisha kisauti na kimaana. watani wanaporejeleana kwa lakabu.
h) Kujenga uhusiano bora kwa ucheshi. h) Kusifu tabia njema kwa kumpa mtu lakabu
v) Lakabu nzuri.
 Jina la msimbo/kupanga/ambalo mtu i) Kudhihaki au kukashifu tabia mbaya kwa
hupewa au hujipa kutokana na sifa zake. kumpa mtu lakabu mbaya
Asili ya Lakabu j) Kutambulisha asili ya mtu.
a) Tabia vi)Misemo
b) Sifa za kimaumbile  Semi zinazobeba ukweli wa kijumla.
c) Matendo Mifano
d) Nasaba atokayo mtu. a) Binadamu ni udongo.
e) Tabaka b) Mwili haujengwi kwa mbao.
f) Jinsi mtu anavyotamka maneno k.m. c) Umaskini si kilema.
ung’eng’e. d) Lila na fira havitangamani.
Mifano e) Ndio kwanza mkoko ualike maua.
a) Nyayo  Mambo kuzidi kushika kasi.
 Moi f) Mgomba haupandwi changaraweni
b) Simba wa Yuda ukamea
 Haille Selassie  Jambo halifanywi mahali pasipofaa
c) Mkuki uwakao likapendeza.
 Kenyatta Sifa

17
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 18
a) Hutumia lugha ya muhtasari. d) Kufunza maadili au kuhimiza.
b) Hutoa ukweli kwa jumla. e) Kuchochea hisi fulani.
c) Hazina muundo maalum. vii) Nahau
Umuhimu Fungu la maneno lenye maana tofauti na
a) Kusisitiza ujumbe. maana ya kawaida ya maneno hayo.
b) Kuongeza utamu katika lugha. Mifano
c) Kusisitiza jambo fulani.
a) Kuasi ukapera  Danganya au hadaa mtu
 kuoa f) Visha kilemba cha ukoka
b) Kupiga vijembe  Mpa mtu sifa za uongo ili umpumbaze
 sema kwa mafumbo g) Kubali shingo upande
c) Ndege mbaya h) Kuyavulia maji ngu
 bahati mbaya  kumaliza jambo fulani ulilolianzia
d) Kidudu mtu i) Arusi ya ndovu kumla mwanawe
 mfitini  kubwa
e) Paka mafuta kwa mgongo wa chupa
Sifa d) Huundwa kwa neno moja, mawili au zaidi.
a) Hutumia lugha ya kimkato. e) Huibua taswira.
b) Maneno huwa na maana tofauti na ya f) Zina muundo maalum/huundwa kwa aina
kawaida. mbalimbali za maneno.
c) Kunazo huwa na maana zaidi ya moja k.v.
kuja jamvi-kumaliza shughuli au
kuondoka.
i. T+T iv. N+N
 kufa kupona  donda dugu
 kufumba na kufumbua  domo kaya
ii. T+N v. N+V
 kupiga domo  nyota njema
 kata kamba  dege mbaya
iii. T+E vi. N+T
 Kujikaza kisabuni  damu kumkauka
 kufa kiofisa  akili kumruka
Umuhimu  Semi ambazo huzuka katika mazingira na
a) Kukuza na kuendeleza msamiati wa kipindi fulani.
maneno. Aina za Mizimu
b) Kupunguza ukali wa maneno (tafsida). 1. Inayotumika na kutoweka
c) Kuongeza utamu/ladha katika lugha. 2. Inayokita kimatumizi kuingizwa katika
d) Kuhifadhi siri kwani sio wote wanajua Kiswahili sanifu k.m. toa chai, chokora,
maana. n.k.
e) Kujaribu uwezo wa msikilizaji kufichua Asili
maana iliyofichika.
viii) Misimu/simo
a) Ufupishaji maneno  ndala- malapulapu
 komp e) Uundaji maneno mapya
b) Utohozi  hanya
 Fathee f) Kupa maneno maana mpya
 hepi  chuma-gari
c) Sitiari/jazanda  toboa- faulu
 nyani-mlinda lango g) Kugeuza maneno
 fisi- mlafi  risto-stori
d) Tanakali h) Kuboronga lugha
 mtutu- bunduki  ashu-ashara/kumi
18
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 19
Mifano  gombezwa
Jisikia sukari j) Kusota
 kuringa  kuishiwa na pesa
b) Kaa ngumu k) Ingia mitini
 kutotishika/kuvumilia  toweka/toroka
c) Chongoa mtu l) Kung`ara
 mfanyia mzaha  kuvaa vizuri
d) Kula njaro m) Marehemu George
 kupuuza kazi  nguo za mitumba
e) Piga nduthe n) Vaa chupa
 kimbia/toroka  vaa suruari nyembamba
f) Piga ngeta o) Kujisikia poa
 kukaba koo  kuwa na furaha
g) Leta diambo p) Kula hepi
 zozana/lalamika  kuburudika
h) Ingia baridi q) Lala kibahasha
 kuogopa  tulia tuli baada ya kushindwa katika
i) Pewa msomo jambo
Sifa g) Kupamba lugha na kuifanya ivutie
a) Ni kauli fupi. h) Kufanya wanakikundi wajihisi kuwa
b) Hutumiwa na kundi dogo la watu. pamoja.
c) Huzuka katika mazingira na kipindi i) Kujitambulisha na watu wa kikundi fulani.
maalum. ix) Shirikina
d) Ni lugha ya kimafumbo.  Semi ambazo huonyesha imani fulani ya
e) Hutumiwa na kundi dogo la watu katika kundi ya watu
jamii. Mifano
f) Huzuka na kutoweka baada ya muda. a) Ukijikuna kiganja cha mikono utapata
g) Kunazo hudumu na kukubaliwa kama pesa.
lugha sanifu k.v. matatu, bodaboda, chai, b) Ukila chakula gizani utakula na shetani.
chokora, daladala, n.k. c) Kuzaliwa ukiwa na vidole sita ni kuwa na
h) Huwa na maana nyingi k.m. ‘mahewa’ bahati.
humaanisha mziki, uongo au ulevi wa d) Bundi akilia karibu na nyumba mtu mmoja
dawa za kulevya. wa nyumba ile atafariki.
i) Maneno yana maana tofauti na ya Umuhimu
kawaida. a) Kukataza maovu.
j) Si lugha sanifu na hivyo haipaswi b) Kuhifadhi utamaduni.
kutumiwa katika mazungumzo rasmi. c) Kuchangia umoja wa kitaifa kwa aina
k) Hupendeza miongoni mwa watumizi. moja ya itikadi kupatikana katika jamii
l) Hutoweka baada ya matumizi kwa muda. nyingi.
m) Hubadilika k.m. mbuyu na buda d) Kutujulisha kuhusu itikadi za watu.
humaanisha baba.
x) Tanakali za Sauti
Umuhimu
a) Kuficha siri ya wanaoitumia. (Onomatopeya)
b) Kupanua lugha kimsamiati ikikubalika.  Maneno ambayo huiga sauti ya jambo,
c) Kurahisisha mawasiliano kwa kuondoa tendo au tukio fulani
uchovu wa urasmi. Mifano
d) Kuonyesha ubingwa wa lugha kwa kuhisi a) Boboka bobobo!
huonyesha umaarufu wa lugha  payuka ovyo ovyo
e) Kutenga wasio wana kikundi. b) Bwakia bwaku
f) Kutafsidi/kupunguza ukali wa maneno  akia upesi upesi
k.m. Amepata bol-mimba. c) Bwatika bwata
 enda chini kwa mshindo
19
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 20
d) Bweka bwebwebwe!  tawi
 lia kama mbwa b) Pu, pu, pu
e) Chaga ngungundu  mfululizo
 shikilia jambo c) Pukupuku!
f) Ng’o!  mvua
 kutoambulia chochote d) Pwa!
g) Legalega lege  kwa matope
 kosa kuwa imara e) Pwata!
h) Chakua nyakunyaku  kitu kinene
 tafuna kwa kutoa sauti ya kuudhi f) Tang’!
i) Bingirika bingiribingiri!  sarafu pagumu
 pinduka g) Tapwi
j) Birua biru!  matopeni
 angusha na kupindua h) Tifu
k) Shindilia ndi!  mchangani
Mianguko i) Tubwi/ chubwi
a) Pu/kacha  majini
Sifa  Misemo ya ulinganisho
a) Ni kauli fupi. Sifa
b) Ni miigo ya sauti zinazotokea baada ya a) Ni fupi.
tendo fulani. b) Hutumia viungio kama, mithili ya, n.k.
c) Hazina muundo maalum. c) Hulinganisha.
d) Hujumuishwa katika fani nyingine. d) Huwa na ujumbe wa kina.
e) Hutumia takriri. e) Hutoa taswira ambayo husaidia keleza
Umuhimu hulka kikamilifu.
a) Kuwezesha kuunda taswira ya jinsi Umuhimu
mambo yanavyotokea. a) Kueleza sifa za kinazozungumziwa
b) Kuonyesha hisia fulani. b) Kuongeza lugha utamu
c) Kuongeza uzito kwa maneno. c) Kuonyesha umilisi wa lugha wa mtumizi
d) Kuongeza utamu katika mazungumzo. USHAIRI
e) Kusisitiza jambo.  Utanzu wa fasihi unaotumia lugha ya
f) Kuipa lugha ladha na mvuto. mkato inayoeleza maudhui yake kwa
g) Kujenga tabia ya kusikiliza kwa makini ili ufupi.
kutambua mlio. Sifa
h) Kukuza ustadi wa kuiga na kuigiza. a) Hutumia lugha ya kimkato.
i) Ni mbinu mojawapo ya mawasiliano. b) Huwasilishwa mbele ya hadhira.
xi) Takriri za maana c) Huwasilishwa na mtu mmoja au kundi la
 Mafungu ya maneno yanayosisitiza na watu.
kueleza maana zaidi ya kitendo. d) Huwa na muundo maalum k.v. beti,
Mifano vipande na vina.
a) Haambiliki hasemezeki e) Hutegemea sauti iliyo kipengele muhimu.
b) Siku nenda siku rudi f) Huandamana na ishara za mikono, uso n.k.
c) Tilia huku ukitolea kule g) Una mpangilio maalum wa maneno.
d) Hasikii la mwadhini wala la mteka maji h) Una uteuzi maalum wa maneno.
msikitini i) Uwasilishaji wake huandamana na
Umuhimu vitendo/uigizaji.
a) Kutia ladha katika lugha na kuifanya iwe j) Hurithishwa kutoka kizazi kimoja hadi
na mnato. kingine kwa mdomo.
b) Kusisitiza jambo. k) Huandamana na shughuli maalum k.v.
c) Kuonyesha ukwasi wa lugha ya mnenaji. matanga, kazi, n.k.
xii) Tashbihi l) Huwa na mapigo ya kimziki au huweza
kuimbika.
20
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 21
m) Huweza kuambatana na ala za mziki. d) Hadhira yaweza kuwepo au isiwepo.
n) Hadhira hushiriki katika uwasilishaji wa e) Huwa na mwimbaji au waimbaji
ushairi simulizi. wanaoimba.
Majukumu f) Waimbaji wanaweza kujivika maleba.
a) Kuburudisha watu katika sherehe au g) Huweza kuambatana na ala k.v. ngoma,
shughuli fulani ya kijamii. zeze, kayamba n.k.
b) Kutakasa hisia au kutoa hisia h) Huwa na urudiaji wa mstari au kifungu.
zinazomsumbua mtu. i) Aghalabu huimbwa na kupokezanwa baina
c) Kufunza maadili au tabia zinazokubalika ya kiongozi na waimbaji
na jamii. j) Huimbwa tu au huambatana na kucheza.
d) Kufariji watu kutokana na maafa, kifo au k) Huweza kuandamana na shughuli fulani
kushindwa. k.v. arusi, kazi, matanga, n.k.
e) Kukuza uzalendo kwa kuhimiza watu l) Huwa na muundo maalum wa beti,
kuiga waliotendea jamii mambo makuu mistari, vina, n.k.
k.v. mashujaa. Majukumu
f) Kuhifadhi historia ya jamii k.m. maghani a) Kuburudisha k.m. tumbuizo.
simulizi na tenzi. b) Nyenzo ya kiuchumi kwa baadhi ya watu.
g) Kuhifadhi na kudumisha utamaduni wa c) Kuliwaza k.m. mbolezi.
jamii. d) Kuhimiza watu wakiwa kazini k.m.
h) Kuelimisha kuhusu suala fulani. hodiya.
i) Kukashifu/kukejeli sifa mbaya za wabaya. e) Kuelimisha kuhusu suala fulani k.m.
j) Kukuza umoja na ushirikiano katika jamii ukimwi, ufisadi, n.k.
kwa kujumuisha watu pamoja. f) Kuhimiza uzalendo k.m. za siasa na taifa.
k) Kusifu na kutukuza mashujaa katika jamii g) Kumbembeleza mtoto aache kulia au alale
(tenzi). k.m. bembelezi.
l) Kukanya/kutahadharisha dhidi ya matendo h) Kukashifu/kukejeli mwenendo mbaya k.v.
maovu. uchoyo, vivu, n.k.
m) Kukuza urembo au usanii wa lugha kwa i) Kufunza maadili au tabia inayokubaliwa
kuwa una ufundi mkubwa wa matumizi ya na jamii k.v. ukarimu, uaminifu, n.k.
lugha. Ubaya wa nyimbo
n) Kuhamasisha jamii k.v. kisiasa. a) Kutumiwa kueneza hisia za kikabila.
o) Kukuza ubunifu kwa mtunzi na b) Kutia watu kasumba.
mwasilishaji c) Hutumiwa kueneza propaganda ili
p) Kukuza ubunifu kwa kutunga kwa kushawishi watu.
kuzingatia beti, mizani, vina na uteuzi d) Kupotosha kimaadili k.v. kuhimiza zinaa.
maalum wa maneno. e) Mtu akizizoea humlevya.
Vipera vya Ushairi Aina za nyimbo
a) wimbo i) Bembelezi/bembea
b) maghani  Nyimbo zilizoimbwa
c) mashairi mepesi (utungo unaokaririwa) kumbembeleza/kumwongoa mtoto aache
d) ngojera (kwa majibizano) kulia au alale.
e) tendi au rara (husimuliwa kwa mapigo ya Sifa
kishairi) a) Huimbwa na mama au walezi.
1. Wimbo b) Aghalabu huwa fupi.
 Uungo wenye mahadhi ya kupanda na c) Huimbwa kwa sauti ya chini.
kushuka d) Huimbwa kwa sauti nyororo.
Sifa e) Zina mapigo ya polepolena taratibu.
a) Huwasilishwa kwa njia ya mdomo. f) Huwa na mahadhi mazuri.
b) Hutolewa kwa mahadhi ya kupanda na g) Huimbwa aghalabu mtoto akiwa
kushuka kwa sauti. amebebwa kwa mbeleko na mwimbaji
c) Hutumia lugha ya mkato. akimpapasapapasa.

21
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 22
h) Zina urudiaji wa maneno ya kibwagizo.  Zilizoimbwa wakati wa kazi.
i) Huwa na lugha ya kushawishi k.v. kutoa Sifa
ahadi ya kununulia mtoto zawadi. a) Huimwa watu wakifanya kazi k.v.
Majukumu uwindaji, ukulima, uvuvi, ubaharia, n.k.
a) Kumnyamazisha mtoto anapolia. b) Huimbwa na mfanyakazi mmoja au kundi
b) Kuwaongoa watoto walale. lao.
c) Kutumbuiza watoto. c) Zina maneno ya kuhimiza.
d) Kusuta wasiowapa watoto malezi mema. d) Urefu wake hutegemea kazi.
e) Kuonya mtoto dhidi ya tabia hasi k.v. e) Mdundo hutegemea kasi ya kazi ikama
kulia ovyo. inafanywa kwa kasi mdundo ni wa kasi,
f) Kusifu mtoto. kama polepole mdundo ni wa polepole.
g) Kuonyesha msimamo wa jamii kuhusu Majukumu
mtoto. a) Kuburudisha watu wakifanya kazi.
h) Kumfariji mtoto k.m. kutokana na kuumia b) Kurahisisha kazi kwa kupunguza fikra za
akicheza. uchovu.
ii) Nyimbo za watoto/chekechea c) Kuhimiza bidii kazini.
 Zilizoimbwa na watoto wakati wa d) Kuhimiza watu wapende kazi zao.
kucheza/shughuli zao e) Kuondoa uchovu na ukinaifu wakati wa
Majukumu kazi.
a) Kuburudisha watoto. f) Kuwatia moyo wafanyakazi wasikate
b) Kuwaelimisha watoto kuhusu jamii. tamaa.
c) Kukuza umoja na ushirikiano baina ya g) Kutambulisha jamii kwa kuonyesha
watoto kwa kuwajumuisha pamoja na shughuli zake za kazi.
kucheza bila kujali kabila, tabaka, n.k. h) Kusifu kazi.
d) Kukashifu tabia hasi miongoni mwa i) Kukashifu uvivu.
watoto k.v. uchoyo. j) Kuonyesha matatizo na changamoto za
e) Kukuza ubunifu miongoni mwa watoto wafanyikazi.
wanapobuni nyimbo zinazooana na k) Kujenga umoja na ushirikiano baina ya
michezo yao. wafanyakazi wanapoziimba pamoja. Aina
f) Kuifanya michezo ya watoto ipendeze. za hodiya
iii) Nyimbo za sifa/sifo a) Wawe/vave
 Za kujisifu au kusifu mtu kwa mchango  Zinazoimbwa wakati wa kulima.
wake katika jamii. b) Nyimbo za uwindaji
Sifa  Zilizoimbwa watu wakienda au kutoka
a) Zaweza kuwa nyiso, za arusi za katika uwindaji.
kutawazwa n.k. Majukumu
b) Huimbwa katika muktadha maalum k.v. a) Kumburudisha mwindaji.
arusini, jandoni, n.k. b) Kumtoa mwindaji upweke.
c) Hutumia sitiari au kufananisha na c) Kusifu mnyama.
mnyama, mkuki, n.k. d) Kujasirisha wawindaji.
d) Hupiga chuku sifa za anayesifiwa. c) Kimai
Majukumu  Zinazoimbwa katika shughuli za majini
a) Kusifu mtu kutokana na matendo yake k.v. uvuvi na ubaharia.
mazuri. Majukumu
b) Kutangaza mchango na mafanikio ya a) Kuburudisha wavuvi na mabaharia.
anayesifiwa. b) Kuwajasirisha ili kukabili adha za
c) Kukuza uzalendo kwa kuhimiza watu baharini.
kuiga matendo mazuri ya anayesifiwa. c) Kuwatoa upweke.
d) Kuburudisha watu katika sherehe fulani.
v) Nyimbo za mapenzi
e) Kuangazia matendo ya wahusika.
 Zilizoimbwa kutoa hisia za mapenzi.
iv)Hodiya/yimbo za Kazi
Sifa
22
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 23
a) Huwa na ujumbe wa kimapenzi. Mfano
b) Maneno matamu yenye hisia nzito. Ewe kilizi
c) Matumizi ya chuku k.m. sili wala silali. Ulozowea kujificha
d) Huwa zina sifa au kashfa. Nyuma ya mama kujikinga, dhidi ya milio
Mjukumu ya radi ilo juu mbinguni
e) Kuburudisha anayezisikiliza. Jua kesho ni siku ya siku
f) Kuomba uchumba au mapenzi. Siku ya kujua mbichi na mbivu
g) Kusifu tabia au urembo/umbo la mpenzi. Kutofautisha jogoo na vipora,
h) Kusifu wapenzi. Ngariba taposhika, chake kijembe
i) Kukashifu mpenzi asiye na sifa nzuri. Ndipo utakapojua bayani
j) Kusuta waliodhani penzi lisingefaulu. Ukoo wetu si wa kunguru
k) Kupunguza uzito wa hisia k.v. huzuni au Ikiwa hu tayari
udhia baada ya kusalitiwa na mpenzi. Kisu kukidhihaki
vi)Nyimbo za arusi Sithubutu kamwe, wanjani kuingia
 Zinazoimbwa wakati wa kufunga ndoa. sije kuniaibisha miye, amiyo na akraba nzima!
Sifa Sifa
a) Huimbwa kuonyesha hisia za wazazi, a) Huambatana na shughuli za jando
jamaa na marafiki (wavulana) na unyago (wasichana).
b) Hushauri maharusi na waliohudhuria b) Huimbwa faraghani katika mazingira ya
kuhusu majukumu ya ndoa tohara pekee.
c) Wakati mwingine husifia maharusi. c) Huimbwa usiku wa kuamkia siku ya
Majukumu tohara.
a) Kutumbuiza maharusu na waliohudhuria. d) Zilitoa sifa kwa waliotahiriwa, wazazi na
b) Kusifu maharusi. wasimamizi wao.
c) Kutoa pongezi kwa Bw. na Bi. arusi kwa e) Ziliimbwa kuwapa wavulana ujasiri wa
kujihifadhi vyema. kukabili kisu cha ngariba.
d) Kufunza majukumu ya ndoa. f) Zilitoa mafunzo kuhusu majukumu mapya
e) Kutoa mwongozo wa kupambana na baada ya kutahiriwa.
vikwazo ndoani g) Hujumuisha watu maalum walioteuliwa
f) Kusuta mahasidi waliodhani ndoa kushiriki katika sherehe.
isingefaulu. h) Huhusisha watu wa jinsia na umri fulani.
g) Kukanya na kutahadharisha watu i) Maudhui yake hutegemea jinsia.
wanaoingilia ndoa za watu kuziharibu.  Majukumu
a) Kuonyesha vijana wamevuka kutoka
vii) Nyimbo za Dini
utotoni hadi utu uzima.
 Zilizoandamana na shughuli za kidini. b) Kuwaandaa vijana kwa uchungu
Majukumu watakaouhisi kupitia kijembe.
a) Kuabudu Mungu ama miungu. c) Kuhimiza ujasiri na ukejeli uoga.
b) Kusifu mungu/miungu. d) Kusifu wahusika kwa ujasiri wa kukabili
c) Kutoa shukrani kwa mungu. kisu na kuingia katika utu uzima.
d) Kuomba mema kutoka kwa Mungu au e) Kuburudisha waliohudhuria shughuli ya
miungu. jando au unyago.
e) Kutoa mafunzo ya kidini. f) Kuelekeza vijana kwenye matarajio mapya
viii) Tumbuizo ya jamii.
 Nyimbo za kujipa burudani g) Kufunza majukumu katika utu uzima.
 Huimbwa wakati wa mapumziko h) Kukuza umoja na ushirikiano katika jamii
Majukumu kwa kuwaleta wanajamii pamoja.
a) Kutumbuiza watu k.v. ngomani, arusini, x) Mbolezo/Mbolezi
n.k.  Nyimbo za kuomboleza.
b) Kuwapa vijana mwongozo/kuadilisha. Mfano
ix) Nyiso/Nyimbo za Tohara Nalitazama jua likichwa,
 Zinazohusiana na tohara. Matumaini yangu yakizama pamoja
23
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 24
na miale miekundu Ewe mainga wa Ndumi
Nalidhani lilikuwa jinamizi tu Siwe uloambia akina mama
Kwamba ulikuwa kesha n‟acha Siku tulopiga foleni
Walikuwa wameisha n‟ambia Chakula cha msaada kupata
Walimwengu Turudishe vifaranga kwenye miji
Ela nilikataa katakata walosema Wageuke vijusi tena
Nikajitia kuamini waloamba yalikuwa Njaa isiwaangamize?
Uzushi
Hadi siku hii nilopokea waraka, Siwe ulopita
Waraka ambao ulikuwajeneza ka kuzikia Matusi ukitema
Pendo letu la miongo miwili. Chumvi na sukari kuturushia ja samadi?
Sifa Ukatununua vihela uloturushia
a) Huimbwa wakati wa maafa, kifo, Ukatununua kura ukapata?
makumbusho ya mtu au kushindwa katika Sasa miaka mitano imetimia
jambo k.v. vita. Waja tulaghai tena
b) Huimbwa kwa sauti ya chini. Huna lolote safari hii
c) Hutofautiana kutoka jamii moja hadi Ubunge umekudondoka ukitazama
nyingine. Wanyonge tumea/mua
d) Huwa na mapigo ya polepole au taratibu. Kwingine kujaribu
e) Huimbwa kwa toni ya huzuni/uchungu Majukumu
kuibua hisia za ndani za mwombolezaji. a) Kuburudisha watu katika shughuli za
f) Aghalabu haziandamani na ala. kisiasa.
Majukumu b) Kupinga dhuluma za viongozi.
a) Kuwafariji au kuwasaidia waliofiwa c) Kusifu viongozi na sera zao.
kukabiliana na uchungu wa kupoteza d) Kukashifu/kukejeli wanasiasa wabaya.
mpendwa wao. e) Kuonyesha matarajio ya watawaliwa kwa
b) Kusifu aliyekufa kwa kutoa sifa zake viongozi.
chanya au michango yao. f) Kusambaza elimu ya kisiasa.
c) Kubembeleza roho za wafu(mizimu) ili g) Kuwatia wananchi kasumba.
kusitokee maafa mengine. h) Kueneza propaganda za kisiasa.
d) Kuonyesha msimamo wa jamii kuhusu i) Kuzindua au kuhamasisha jamii kisiasa.
matokeo ya kifo k.v. husababishwa na j) Kuliwaza wahasiriwa wa migogoro ya
pepo, maovu, njia ya kuingia mbinguni. kisiasa.
e) Kutakaswa hisia za huzuni za aliyefiwa k) Kutia watu ari ya kufanya jambo fulani
kumpunguzia uzito wa kumpotezea k.v. kupigania haki zao.
mpendwa wake. xiii) Nyimbo za Vita
f) Kueleza kutoepukika kwa kifo.  Zinazoimbwa na askari vitani au baada ya
g) Kukejeli kifo. vita.
xi) Nyimbo za Taifa Majukumu
 Nyimbo zinazoimbwa na watu wa taifa b) Kuburudisha washiriki.
fulani. c) Kufunza namna ya kukabiliana na adui.
Majukumu d) Kujasirisha washiriki.
a) Kutambulisha taifa fulani. e) Kusifu askari vitani.
b) Kuonyesha utaifa. f) Kukejeli uoga.
c) Kuonyesha uzalendo (mapenzi kwa nchi). g) Kusifu mashujaa wa zamani.
d) Kuhimiza uzalendo. h) Kukuza uzalendo kwa kuhimiza watu
e) Kukashifu wasio wazalendo. kuiga masujaa.
f) Kusifu taifa fulani. xiv) Kongozi
xii) Nyimbo za Siasa  Za kuaga mwaka katika jamii za
 Zinazoimbwa katika shughuli za kisiasa. waswahili.
Mfano xv) Jadiiya
24
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 25
 Nyimbo za jadi ambazo hupokezwa a) Hutungwa baada ya ushindi wa harakati
kutoka kizazi kimoja hadi kingine. ngumu k.v. kesi, kumuua simba, kuoa
 Huhusu matukio ya kihistoria k.v. shujaa, msichana aliyependwa na wengi n.k.
mateso, njaa, n.k. b) Fanani ni mwanamme.
xvi) Nyimbo za Kuzaliwa kwa c) Hutungwa papo hapo.
d) Hutungwa na kughanwa na mhusika
Mtoto
mwenyewe.
 Za kuonyesha au kuadhimisha kuzaliwa e) Hutumia chuku k.m. kujisifu kupita kiasi.
kwa mtoto. f) Anayejigamba hujipa jina la kiistiari k.m.
2. Maghani mnyama.
 Ushairi ambao hutolewa kwa kalima. g) Mhusika huvaa maleba yanayooana na
Sifa tukio analojisifia.
a) Husimulia matukio kwa kirefu hasa h) Kuna kutaja jina na ukoo wa baba na
yanapotambwa. mama.
b) Hutolewa kwa kalima. i) Anayejisifu huahidi kutenda maajabu
c) Hutungwa papo hapo. zaidi.
d) Hutongolewa mbele ya hadhira ii) Pembezi/pembejezi
e) Hutungwa kwa ufundi mkubwa.  Aina ya tondozi inayokusudiwa kusifu
f) Hutolewa na mtu mmoja au kundi la watu. watu aina fulani katika jamii kutokana na
Aina za Maghani matendo au mchango wao.
a) Maghani ya kawaida  k.v. watawala, walezi wazuri, mashujaa
 Ambayo hugusia maswala ya kawaida wa vita, waganga mashuhuri hata wapenzi
kama mapenzi, siasa, harusi, kazi, waliopigania pendo lao.
maombolezo n.k. Mfano
 Husemwa/huganwa tu bila kusimuliwa. Nani kama wewe mama?
b) Maghani Simulizi Nani anokufana „mwaitu‟
 Maghani ambayo husimulia hadithi Subira uliumbiwa
kuhusu tukio la kihistoria. Bidii nd‟o jina lako la pili
 Huhusu, mtu, tukio, kitu, mnyama, n.k. Moyo wenye heba
Sifa Msimamo usoyumba
a) Hutokea kama hadithi. Anoelekeza kwa imani
b) Husimulia tukio la kihistoria. Anoadhibu kwa mapenzi makuu
c) Ni ndefu. Mzazi, mlezi na rafiki wa dhati
d) Waimbaji wake huitwa manju/yeli. Tangu siku za kusimama dede.
e) Huandamana na ala kama zeze, marimba, iii) Tondozi
n.k.  Utungo wa kutukuza watu, wanyama na
Tofauti kati ya maghani ya vitu.
kawaida na maghani simulizi  k.v. watu mashuhuri, wapenzi, mifugo,
Maghani ya Maghani miti mikubwa.
kawaida simulizi Mfano
 Ni fupi.  Ni ndefu . Kipungu kipungu
 Haitumii ala.  Hutumia ala. Nani kama yeye?
 Huhusu  Kihistoria. Hashindiki kwa nia
maswala ya Hashindiki kwa shabaha
kawaida. Hulenga binguni
 Husemwa.  Huimbwa. Hutia ghera kufikiwa peo
Peo zisofikika kwa wanokata tama
Maghani ya Kawaida
Kipungu, kipungu, hachi tufani za anga.
i) Vivugo/majigambo Maghani Simulizi
 Utungo wa kujisifu au kujigamba.
i) Sifo
Sifa

25
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 26
 Tungo za kusifu watu kutokana na Akanipa kisogo
matendo yao ya kishujaa. Kana kwamba hakunijua
 Sifa zake hukaribiana na za tenzi hasa Kana kwamba hakusema, “Hadi mauko”.
ikiwa ni shujaa anasifiwa.
ii) Tendi/tenzi Hakujali penzi letu
Hakujali wana
 Ushairi mrefu unaoelezea maisha ya
mashujaa tangu kuzaliwa hadi kufa kwao. Ambao ndiye alowapa uhai
Alijua nilimpenda
 k.v. Utenzi wa Fumo Liyongo, Sundiata,
Ila hata hilo alijipa kujipurukusha
Shaka Zulu, Wang`ombe waihura n.k.
Akayoyomea
Mfano
Akamezwa na ulimwengu.
Asiyemjua mjua aliongwe atamjua
Sifa
Namjuza kwa sifa zake alizokuwa nazo
a) Huhusu mambo ya kubuni au ya kweli k.v.
Alisimika ufalme uliosifiwa
sherehe ya uhuru, kesi ya mauaji, n.k.
Akawa shujaa asiyetishwa
b) Huhusu maswala ibuka na ya kawaida.
 Utungo huu waweza kuwa wimbo wa sifa
c) Hadithi huwasilishwa katika beti.
au utendi!
d) Huimbwa.
Sifa e) Huandamana na ala za mziki.
a) Huwa masimulizi yanayotolewa kishairi. f) Hutolewa kwa toni ya kitanzia.
b) Hutoa wasifu wa shujaa. g) Huwa na visa vya kusisimua.
c) Huwa na matumizi ya chuku. h) Huwa na ucheshi wenye kinaya.
d) Wahusika hupewa sifa zisizo kawaida i) Maswala hayatoleai kwa uwazi bali
(kiungu). hufumbwa na kudokezwa.
e) Ni masimulizi mrefu. j) Huwa na uigizaji/utendaji.
f) Matumizi ya sitiari k.v. kulinganisha k) Mambo yanayosimuliwa hupigwa chuku.
wasifiwa na wanyama wakali.
g) Huangazia matendo ya mashujaa. iv) Rara nafsi
h) Husimulia matukio ya kihistoria.  Ushairi ambao hutungwa na mtu kuelezea
i) Huimbwa pamoja na ala ya kimziki. hisia, matatizo na fikra zake mwenyewe.
j) Hutungwa papo kwa papo na kuhifadhiwa Mfano
katika ubongo. Muda umefika wa pingu kutiwa
k) Hujumuisha mbolezi zinazoonyesha Kutiwa silisili, kwani si utashi wangu
anguko la shujaa. Ukoo waniuza, mithili ya kondoo sokoni
Lengo Mwambieni shangazi kwaheri nampigia
a) Kuburudisha wanajamii. Hata angataka kuniopoa hawezi
b) Kusifu mashujaa wa jamii. Kwani mahari imetolewa
c) Kukuza uzalendo kwa kuhimiza wengine Mifugo kikwi nduguye amepokea
kuwaiga mashujaa. Kwaheri mama, kwaheri dada.
d) Kukuza ubunifu kwa kutunga papo hapo. Sifa
e) Kuimarisha uwezo wa kukumbuka kwa a) Hugusia maswala yanayoathiri hisia za
kutungwa na kuhifadhiwa akilini. mtu binafsi kama vile mapenzi, usaliti,
f) Kuburudisha waliohudhuria sherehe talaka, kifo.
ampapo yanatolewa. b) Huwasilishwa kwa njia ya uimbaji
g) Kuhifadhi na kuendeleza tamaduni za unaoandamana na ala ya mziki.
jamii c) Mzungumzaji huzungumza moja kwa
h) Kukuza ufasaha wa lugha kwa fanani. moja na hadhira au aliyeandikiwa rara hii-
i) Kufunza maadili. mkewe, mpenziwe, mwanawe, Mungu,
miungu.
iii) Rara
d) Hutolewa katika miktadha k.v. mazishi
 Hadithi fupi na nyepesi za kishairi zenye
kusifu aliyekufa, harusi na Bi. Arusi kama
visa vya kusisimua.
ameshinikizwa kuolewa.
Mfano
Alichukua mkoba wake 3. Ngonjera

26
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 27
 Mashairi ya kujibizana/kulumbana-yenye i) Hutolewa na watu wenye umilisi mkubwa
muundo wa kimazungumzo. wa lugha.
Sifa Vipera vya Mazungumzo
a) Huwa na wahusika wawili au zaidi. i) Hotuba
b) Mhusika mmoja huuliza jambo na  Maelezo yanayotolewa mbele ya watu
mwingine hujibu. kuhusu mada fulani.
c) Huendelezwa kwa njia ya wimbo.
 Huhusisha mada maalum sio suala lolote
d) Wahusika kupingana mwanzoni.
tu.
e) Wahusika huafikiana kufikiwa mwisho.
Umuhimu
Umuhimu
a) Kuelimisha kwa kupa maarifa ya
a) Majibizano hukuza ubunifu kwa kila
kukabiliana na maisha k.v. jandoni na
mmoja kuonyesha umaarufu.
arusini.
b) Kukuza ujasiri wa kuzungumza hadharani.
b) Kuadilisha au kutoa nasaha hadharani.
c) Kuimarisha stadi ya kuongea.
c) Huimarisha ukakamavu wa kuzungumza
d) Kuburudisha hadhira.
kadiri watu wanavyotoa hotuba hadharani.
4. Mashairi Mepesi. d) Kukuza ufasaha na umilisi wa lugha.
a) Mashairi ya kawaida ambayo hupatikana e) Kupalilia kipawa cha uongozi.
katika ushairi simulizi. f) Kuelimisha kwa kupatia watu maarifa ya
b) Hujumuisha mashairi mafupi ya kihisia, kukabiliana na changamoto za maisha.
kimapenzi, kusifu na kukosoa watu. Aina za Hotuba
Vigezo vya Uchanganuzi wa Tungo za Ushairi Simulizi a) Risala
a) Kuainisha utungo kimaudhui/aina  Hotuba inayowasilishwa mbele ya watu
b) Kuthibitisha ni aina fulani ya utungo wa kueleza jambo fulani k.m. ya wafanyakazi
kishairi/sifa. kwa waajiri wao.
c) Kutaja sifa zinazojitokeza za ushairi b) Mhadhara
simulizi/utungo fulani wa ushairi simulizi.  Hotuba inayotolewa kwa hadhira fulani
d) Muktadha ambamo unaweza kutolewa. kufafanua somo au mada fulani.
e) Kuandika mbinu za kifasihi zilizotumiwa c) Kumbukizi
katika utungo huo.  Hotuba zinazohusu tukio fulani la
f) Kufafanua sifa za jamii zinazojitokeza kihistoria kuhusu mtu au kitu.
katika utungo.
d) Mahubiri
g) Kuandika majukumu ya aina hiyo ya
 Hotuba zinazohusu masuala ya kidini.
utungo wa ushairi katika jamii.
e) Taabili
h) Anayeimba/nafsi imbi ni nani?
 Hotuba kuhusu aliyeaga dunia zinazohusu
i) Kuandika maadili yanayojitokeza katika
sifa zake nzuri.
utungo.
j) Kueleza toni ya utungo huo. ii) Malumbano Ya Utani
MAZUNGUMZO  Mazungumzo ya kutaniana.
 Maongezi ya mdomo yenye usanii. Aina
i) Utani wa mawifi na mashemeji
Sifa
ii) Utani wa marafiki
a) Huwa maongezi yenye usanii mkubwa.
iii) Utani wa vijana
b) Hutolewa mbele ya hadhira.
iv) Utani wa watoto
c) Hutolewa mbele ya hadhira.
v) Utani wa marika/ watu wa hirimu moja
d) Hutolewa kwa njia isiyokera.
e) Huambatana na sherehe fulani k.m. taabili  Wewe ni mweusi kiasi kwamba ukiingia
katika matanga. chumbani taa zinazimika.
f) Hutegemea sauti na vitendo. vi) Utani wa mababu/mabibi na wajukuu
g) Huhusisha matumizi ya ishara k.v. za uso,  Ee mume wangu, mbona walala mapema
mikono na miondoko. hivi? Utawezaje kulilinda boma letu ikiwa
h) Huhitaji ustadi wa kuzungumza ili kuteka wewe ndiwe wa kwanza kujizika kitandani.
hadhira. vii) Utani wa maumbu (ndugu na dada)

27
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 28
 Wewe unajifanya jasiri na juzi baba i) Kukuza utangamano baina ya watu na
alikukemea kidogo tu ukaanza kutetemeka wanajamii wanapokuja pamoja na
kama kondoo aliyenyeshewa. kutaniana.
viii) Utani wa mazishi j) Kuhimiza watu kujieleza kwa uwazi kwa
 Afadhali umekufa tukakuzika, sasa kupunguza urasmi miongoni mwa
maghala yetu yatasalimika. wanajaii.
ix) Utani wa makabila/ki ukoo k) Hudhihirisha uhusiano mwema baina ya
 Wakikuyu wanapenda pesa kiasi kwamba watu wa jamii fulani.
maiti ikisikia mlio wa sarafu inaweza Changamoto Sasa
kufufuka. a) Mabadiliko katika jamii yaliyosababisha
 Wakamba wa ukoo wa Akanga wanapenda baadhi ya wanajamii kupoteza nyenzo hii.
nyama kiasi cha kula kijusi cha mbuzi. b) Kuingiliana kwa watu wa jamii
Sifa mbalimbali.
a) Huwa kati ya watu wawili au makundi iii) Soga
mawili ya watu.  Mazungumzo ya kupitisha wakati
b) Hufanywa kwa kujibizana papo hapo. yasiyozingatia mada maalum.
c) Hufanywa kwa njia isiyo ya kuudhi. Sifa
d) Hutumia maneno ya mizaha. a) Hutokea baina ya watu wa rika moja.
e) Hutumia lugha ya ucheshi. b) Humithilisha uhalisia badala ya kuunakili.
f) Hufanywa na watu wenye uhusiano mzuri. c) Hutumia chuku na kufanywa ljambo
g) Huchukua njia ya ushindani kila mmoja lionekane kama halina uhalisia.
akitaka kumpiku mwenzake. d) Hukejeli watu au hali fulani.
h) Watanianao huwa wamekubaliana kufanya e) Wahusika ni wa kubuni.
hivyo. f) Hutumia vichekesho kupunguza ukali wa
i) Hufanyika katika wakati unaofaa sio baada ukweli uliomo.
ya kukutana tu. g) Wahusika hupewa majina ya wanajamii
j) Huhusisha masimango au kumkumbusha husika.
mtu wema uliomtendea. h) Huwa na mafunzo au maadili.
k) Hutumia chuku sana kusisitiza au kukejeli Umuhimu
sifa fulani hasi. a) Kuburudisha kwa kuchekesha.
l) Huhusisha wakati mwingine utaniaji wa b) Kufunza maadili.
wasiokuwepo ukiambatanishwa na uigizaji c) Kukejeli matendo yasiyofaa katika jamii
wa kuchekesha. d) Kukuza ubunifu baina ya washiriki.
m) Hutegemea uhusiano ulio kati ya e) Kufunza kuhusu matendo na tabia za
wanajamii au makabila. kibinadamu.
n) Huandamana na sherehe kama matanga. f) Huwa msingi wa utani unaokuwapo katika
Umuhimu jamii.
a) Kuburudisha kutokana na ucheshi. g) Kuonya na kutahadharisha dhidi ya tabia
b) Kuimarisha urafiki wa watu walio na siyokubalika.
uhusiano mwema wanaotaniana. iv) Mawaidha
c) Hustawisha ufundi wa lugha.  Mazungumzo ya kutoa ushauri kuhusu
d) Kukashifu tabia hasi k.v. ulafi, uchoyo, jambo fulani.
wivu, n.k. Sifa
e) Kukosoa wanajamii kwa njia ya a) Huwasilishwa mbele ya watu.
kejeli/dhihaka b) Hugusia takriban vipengele vyote vya
f) Kuimarisha umoja na ushirikiano kati ya maisha ya binadamu.
wahusika. c) Aghalabu hutolewa na watu wenye umri
g) Kuliwaza k.m. unaofanywa wakati wa mkubwa.
maombolezo. d) Hulenga maudhui maalum na ya aina
h) Kukuza na kudumisha mila na desturi za nyingi kutegemea jinsia, umri, shughuli,
jamii. n.k.

28
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 29
e) Hutumia lugha ya kubembeleza na d) katika mijadala shuleni
isiyoonyesha ukali. e) kortini
f) Hutumia lugha ya kuathiri hisia. f) katika shughuli za kijamii k.v. posa
g) Huwa na ufasaha mkubwa wa lugha. g) katika sala/dua
h) Ni mawazo mazito kuhusu maisha. h) katika maapizo
i) Hutolewa katika miktadha rasmi na isiyo i) katika malumbano ya utani
rasmi. j) katika majigambo/vivugo
j) Ujumbe hulenga hadhira maalum k.m. ya Sifa
kike au kiume. a) Hufanywa mbele ya hadhira.
k) Hutumia fani nyingine za fasihi kama b) Huwa na lengo maalum k.v. kushawishi,
methali, misemo, ngano, nyimbo n.k. kuelimisha, kushauri n.k.
kupitisha mawaidha. c) Hutumia tamathali za usemi kwa ufanifu
l) Huibua maadili yanayohitaji kuzingatiwa. mkubwa k.v. chuku, misemo, methali, n.k.
Muundo wa Mawaidha d) Lugha huwa yenye mvuto na ufasaha.
a) Utangulizi e) Hutumia lugha yenye taharuki na
 Kutoa kauli ya kuvutia makini ya hadhira ushawishi.
k.v. ‘Utu uzima huenda na uwajibikaji’, au f) Unenaji huambatana na utumizi wa ishara/
kueleza kiini cha mawaidha. viziada lugha.
b) Mwili g) Uwasilishaji huwa sahili na wenye ujumbe
 Kutoa wosia, maonyo, maelekezo mzito.
kutegemea suala analotolea mawaidha h) Huwa na urudiaji mwingi ili kusisitiza na
akitumia jazanda, kupanda na kushuka kuvutia usikivu.
kwa sauti, kimya, miondoko, kubadilisha i) Huwa na matumizi ya taharuki k.v. mtuo.
kasi ya kuzungumza, kudondoa semi za j) Huwa na mtiririko mzuri wa mawazo.
watu maarufu, n.k. Sifa za Mlumbi
c) Hitimisho a) Asiwe mwoga ili kuweza kuzungumza
 Kuonyesha msimamo kuhusiana na suala hadharani.
analozungumzia. b) Asiwe na haya ili kuweza kuzungumzia
 Kushirikisha hadhira ili kujua msimamo mambo ya aibu inapobidi.
wao kuhusu suala alilowausia. c) Awe mchanganfu na mcheshi ili kunasa
 Hadhira kutoa changamoto kuhusiana na makini ya hadhira na kuzuia isikinai.
mawaidha yanayotolewa. d) Awe na ufahamu mpana wa utamaduni wa
Umuhimu wa mawaidha hadhira asitumie maneno na ishara
a) Kuelekeza jamii kimaadili. zinazoweza kuwaudhi au kupingana na
b) Kuelekeza kuhusu jinsi ya kukabiliana na imani za hadhira.
changa moto maishani. e) Awe na uwezo wa kuingiliana vizuri na
c) Kushauri jinsi ya kutenda jambo fulani. hadhira ili aivutie.
d) Kujasirisha waoga na kuwapa ukakamavu. f) Awe na kumbukumbu nzuri ili ulumbi
e) Kuwaondolea wanajamii ujinga. wake utiririke vizuri.
f) Kuhifadhi na kuendeleza mila na desturi g) Awe na uwezo wa kudramatisha ili
za jamii. kuonyesha picha fulani k.v. ishara za uso,
g) Njia ya kipato kwa baadhi ya watu. mwili, miondoko kuonyesha picha ya
h) Kuelimisha kuhusu maarifa ya kuendeshea analozungumzia.
maisha, majukumu na matarajio ya jamii. h) Awe na ujuzi na ufasaha wa lugha ili
kuwasilisha mawazo kwa njia mwafaka na
v) Ulumbi
inayovutia.
 Uwezo na ustadi wa kuzungumza kwa i) Aweze kubadilisha toni na kiimbo hadhira
uhodari mkubwa. isikinai.
Miktadha Ambamo Ulumbi Hutumika Katika Jamii j) Awe na uwezo wa kushirikisha hadhira
a) katika mijadala mbungeni k.v. kwa maswali ya balagha ili kuondoa
b) katika hotuba za kisiasa uchovu wa kusikiliza.
c) katika mahubiri maabadini

29
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 30
k) Awe na uwezo wa kutumia mtuo wa e) Maapizo huaminiwa yataleta maafa kwa
kidrama ili kuongeza taharuki, kusisitiza jamii.
ujumbe na kuteka makini ya hadhira. f) Watoaji maapizo walikuwa walumbi.
Umuhimu g) Maapizo hutumia lugha kali inayonuiwa
a) Hukuza uwezo wa kujieleza na kusema kutia woga ili kutahadharisha dhidi ya
hadharani kwa kujiboresha kadiri maovu.
anavyoendelea. Umuhimu
b) Kigezo cha kuteulia viongozi wa baadaye a) Kuonya na kutahadharisha wanajamii
kwani ushawishi humtambulisha mlumbi dhidi ya maovu.
kama mwenye uwezo wa kuongoza. b) Kutambulisha jamii kwani kila mojawapo
c) Kuelimisha jamii kwa njia isiyochosha. ina aina yake ya kuapiza.
d) Kudumisha umoja na ushirikiano jamii c) Kukuza umoja katika jamii kwani kaida na
inapokusanyika pamoja kusikilizaulumbi. miiko hufanya wanajamii kujihisi kuwa
e) Kuhamasisha na kuzindua jamii juu ya kitu kimoja.
suala fulani. d) Kuadilisha wanajamii kwa kujifunza
f) Kushawishi walengwa wakubali jambo kutenda mema ili kuepuka laana.
fulani. MAIGIZO
g) Kukuza uwezo wa mwanajamii  Utanzu wa fasihi simulizi unaoambatana
kushawishi na kupatanisha. na vitendo.
h) Kushawishi watu wapende jambo fulani.  Sanaa ya mazungumzo yanayoambatana
i) Kuburudisha wasililizaji. na vitendo.
vi) Maapizo Sifa
 Maombi maalum ya kumtaka Mungu, a) Huwa na watendaji au waigizaji.
miungu au mizimu kumwadhibu mhusika b) Huwasilishwa mbele ya hadhira.
hasidi, mkinzani au muovu. c) Huwasilishwa mahali maalum k.v.
Mfano ukumbini.
Ikiwa kweli wewe ni mkazamwanangu, d) Huwasilishwa kwa mazungumzo na
Nami ndiye nilompa uhai mwana unoringia, matendo
Anokufanya upite ukinitemea mate, e) Waigizaji hujivika maleba yanayooana
Chakula kuninyima, wajukuu kunikataza kutia uhai maigizo.
ushirika, f) Matayarisho kabambe hufanywa kabla ya
Miungu nawaone chozi langu, wasikie kilio maigizo.
changu, g) Huweza kuambatana na ngoma pamoja na
Mizimu nawaone uchungu wangu, uimbaji.
Radhi zao wasiwahi kukupa, h) Lugha ni yenye ufundi wa juu k.v. picha,
Laana wakumiminie, mafumbo na tamathali.
Uje kulizwa mara mia na wanao, i) Huweza kuambatana na sherehe fulani ya
Usiwahi kufurahia hata siku moja pato lao, kitamaduni k.v. jando, matanga, n.k.
Watalokupa likuletee simanzi badala ya j) Huwasilishwa kwa lugha sahili.
furaha, k) Hujaa taswira zinazoweza kutambulika na
Wakazawanao wasikuuguze katika utu uzima hadhira.
wako! Umuhimu
Sifa a) Kuburudisha wahusika na hadhira.
a) Yalitolewa kwa waliokwenda kinyume na b) Kukuza umoja na ushirikiano kwa
matarajio ya jamii. kujumuisha watu pamoja.
b) Yalifanywa mahali maalum k.v. c) Kuimarisha uwezo wa kuzungumza
makaburini, porini, chini ya miti mikubwa, hadharani-kupata ukakamavu jinsi mtu
n.k. anapoendelea kuigiza.
c) Hutolewa kwa ulaji kiapo. d) Kukuza umoja na ushirikiano watu
d) Yalitolewa na mwathiriwa au watu wanapojumuika pamoja kutazama
maalum walioteuliwa. maigizo.

30
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 31
e) Kukuza uwezo wa kukumbuka kwani kwa njia maonyesho.
mwigizaji huhitaji kukumbuka maneno maalum
halisi.  Wahusika  Hawahitaji
f) Kukejeli kitendo kisichofaa/cha kijinga hufanya kufanya
alichofanya mtu. mazoezi kabla mazoezi kwani
g) Njia ya kipato/kuwatafutia riziki baadhi ya ya igizo halisi ni matukio ya
watu. kila siku.
h) Kutoa nafasi kwa watu kudhihirisha
vipawa vyao.
i) Kuonya na kutahadharisha watu dhidi ya
kufaya mambo yasiyofaa.
j) Kuelimisha watu wafahamu jambo fulani Maigizo ya kawaida
k.v. ukimwi, ufisadi, n.k. i) Michezo ya Kuigiza
k) Kukosoa watu wanaofanya kinyume na  Maigizo ambayo huwasilishwa na
matarajio ya jamii k.v. wivu, uchoyo, n.k. watendaji jukwaani mbele ya watu.
l) Kupitisha maarifa na amali za kijamii. Sifa za Mwigizaji bora
Ploti a) Awe jasiri ili aweze kuigiza mbele ya
a) Utangulizi-kutambulisha mgogoro watu/hadharani.
b) Ukuzaji wa mgogoro b) Awe na ubunifu ili aweze kufanya uigizaji
c) Kilele cha mgogoro kuvutia na kuondoa ukinaifu.
d) Usuluhishaji wa mgogoro c) Awe na ujuzi wa kutumia ishara za uso,
Aina za maigizo mwili na miondoko kuonyesha picha ya
a) Maigizo Ya Kawaida hali anayoigiza.
d) Awe na ujuzi na ufasaha wa lugha ili
 Maonyesho ya jadi yakiwa yameondolewa
kuwasilisha mawazo kwa njia mwafaka na
kwenye mazingira yake halisi.
inayovutia.
b) Sanaa ya Maonyesho
e) Aweze kubadilisha toni na kiimbo
 Matendo ya kweli yanayojitokeza katika kulingana na hali tofauti anazoigiza k.v.
jamii kulingana na mazingira yake halisi
huzuni.
k.m. uganga, mazishi, unyago, ngoma, n.k.
f) Awe na uwezo wa kushirikisha hadhira
Tofauti kwa maswali ya balagha ili kuondoa
Maigizo ya Sanaa ya uchovu.
kawaida maonyesho g) Awe na uwezo wa ufaraguzi/ kubadilisha
 Mazingira ya  Hutumia uigizaji wake papo hapo kutegemea
kuzua/maalum mazingira halisi hadhira yake na kutoa mifano
 Matukio ya  Matukio halisi/ inayofahamika kutoka katika mazingira ya
kuiga ya kila siku. hadhira.
 Huwa na  Washiriki na h) Awe anaelewa utamaduni wa hadhira yake
wahusika na waigizaji walio ili asitumie maneno na ishara ambazo
hadhira maalum pia hadhira zinaudhi ama kukinzana na na imani zao.
 Matumizi ya  akuna haja ya
ii) Vichekesho
ukumbi na ukumbi wala
jukwaa maalum jukwaa  Michezo ya kuigiza inayokusudiwa kuzua
 Hutumia  Hakuna vifaa kicheko ili kupitisha ujumbe k.m. vioja,
maleba na vifaa maalum bali vitimbi n.k.
vya kuzua huwa mazingira Sifa
mazingira yenyewe. a) Vichekesho huigizwa.
maalum b) Huwasilishwa kwa lugha sahili.
 Hugawika  Muundo wake c) Hujaa taswira zinazoweza kutambulika na
katika hufululuza au hadhira.
maonyesho hayajagawika d) Hutumia mbinu ya kejeli, kunaya na
Kutumia lugha katika tashtiti.
e) Vichekesho huwa vifupi.
31
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 32
f) Havihitaji uchambuzi wa ndani ili b) Kuwatanguliza watoto katika sanaa ya
kuvielewa au kupata maana. uigizaji.
Jukumu c) Kukuza ubunifu wa watoto kadiri
a) Kuburudisha hadhira kwa kuchekesha. wanapoendelea kuigiza.
b) Kuelimisha kwa kuonyesha jambo la d) Kudumisha utamaduni wa jamii.
kijinga alilofanya mtu. e) Kuburudisha watoto.
c) Njia ya kuwapatia watu riziki. f) Kukuza stadi ya uigizaji miongoni mwa
d) Hutumika katika hadithi kuifanya ivutie. watoto.
e) Kukejeli kitendo fulani kisichofaa g) Kukuza utangamano miongoni mwa
alichofanya mtu fulani. watoto kwa kuwajumuisha pamoja.
f) Kukashifu matendo hasi ya kijinga. h) Kukashifu matendo hasi ya watu wazima
g) Kuadilisha ama kutoa funzo fulani la tabia kwa watoto.
njema. i) Kuwapa watoto ukakamavu na kujiamini
iii) Ngonjera wakiwa wachanga.
 Ngonjera inayoambatana na v) Majigambo/vivugo
uigizaji/utendaji.  Uigizaji ambapo wahusika hujigamba kwa
Sifa matendo ya kishujaa.
a) Kuweko kwa uigizaji/utendaji k.v. ishara Mfano
za uso na mikono. Ndimi Kisoi, dume la ukoo mtukufu
b) Huwa na wahusika wawili au zaidi. Ulojipamba kwa mabingwa
c) Huendelezwa kwa njia ya wimbo. Wachezaji hodari wa ngoma
d) Mhusika mmoja huuliza jambo na Ndimi dume liloingia nyanjani
mwingine hujibu. Makoo yakatetemeka
e) Wahusika kupingana mwanzoni. Yakang‟ang‟ania, ngozi kusakata nani
f) Wahusika hufikia uafikiano kufikia
mwisho. Kijiji kizima kilinijua
iv) Michezo ya Watoto/Chekechea Wazee walilienzi
 Michezo inayoigizwa na watoto katika Wakamiminika kiamboni
shughuli zao. Mabinti kunikabithi.
Aina Sifa
a) Mchezo wa baba na mama a) Aghalabu huambatana na ngoma.
b) Kuruka kamba b) Hujitokeza, kujigamba na kisha kuendelea
c) Kujificha na kutafutana kucheza ngoma.
d) Kukimbiza kibaramwezi dhidi ya upepo ili c) Anayejigamba hubeba zana zake za vita
kizunguke kama vile mkuki na ngao kuonyesha
e) Mchezo wa baba na mama aliyotenda.
Sifa d) Anayejigamba huvaa maleba kuambatana
a) Waigizaji ni watoto. na jambo analojisifia.
b) Huhusu shughuli za kiuchumi na vi) Utambaji
kitamaduni k.v. arusi, siasa, ukulima.  Usimulizi wa hadithi unaoambatana na
c) Huandamana na nyimbo za watoto. uigizaji.
d) Huwa na miondoko mingi k.v. kujificha,  Huwa na matumizi ya vizuizui.
kuruka. vii) Mazingira
e) Huwa na matumizi mengi ya takriri.  Uigizaji wa maumbile asilia
f) Huchezwa popote. yaliyozunguka jamii ya watu k.v. sauti za
g) Huwa na kanuni fulani. wanyama.
h) Hukoma watoto wakichoka au wakikiuka  Kuna matumizi ya viziuzui, matawi n.k.
kanuni
Sanaa ya Maonyesho
Umuhimu
a) Kufunza watoto majukumu yao ya utu i) Ngoma
uzima.

32
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 33
 Uchezeshaji wa viungo vya mwili Aina
kuambatana na mdundo au miondoko
maalum.
e) Ngoma za wanawake a) Ngoma za wazee
f) Ngoma za tohara b) Ngoma za arusi
g) Ngoma za wanaume c) Ngoma za kufukuza mapepo
h) Ngoma za sherehe d) Ngoma za kuaga mwaka
i) Ngoma za vijana
j) Ngoma za unyago na jando
Sifa b) Mengi katika matendo ya mganga hayana
a) Huandamana na muziki na ala ya muziki mashiko.
k.v. ngoma. c) Aghalabu kafara hutolewa.
b) Ngoma huchezewa mahali wazi na penye d) Waganga wanapopiga bao huvaa maleba
hadhira. kama ngozi, vibuyu, pembe, n.k.
c) Wachezaji huvaa maleba maalum e) Huweza kuwa na fimbo maalum.
kulingana na funzo linalonuiwa. f) Lugha maalum anayodai kuitumia
d) Huwa na wahusika aina mbili; watendaji kuwasiliana na misimu.
na watazamaji kwa wakati mmoja. g) Mizimu humshauri mganga kuhusu
e) Huweza kuandamana au kutoandamana na ugonjwa na tiba inayofaa.
sherehe. h) Mganga humchanja mgonjwa na kumpa
f) Hutofautiana kulingana na jamii husika. dawa za miti shamba.
Umuhimu Umuhimu
(a) Kuburudisha kwa ufundi wa kucheza kwa a) Wakati mwingine mizizi ya mganga
kuzingatia miondoko. huponya.
(b) Kitambulisho cha jamii kwani kila moja b) Huwapa watu matumaini hasa walio na
ina aina yake ya ngoma. magonjwa yasiyo na tiba.
(c) Kuhifadhi na kuendeleza tamaduni za c) Dawa za mganga hupunga mashetani kwa
jamii husika. wagonjwa wake.
(d) Kukuza uzalendo kwa kuwafanya d) Hukutanisha ulimwengu wa mizimu na
wanajamii kuionea fahari jamii yao. ulimwengu halisi.
(e) Kukuza umoja na ushirikiano kwa e) Waganga huburudisha wanapoigiza.
kujumuisha watu pamoja. Hasara
(f) Kuelimisha kwa kupitisha mafunzo na a) Mgonjwa huenda asipone kwani matendo
maarifa. mengi ya mganga ni ya kukisia.
ii) Matambiko b) Dawa za uganga zaweza kumdhuru mtu.
 Utoaji wa kafara kwa Mungu, miungu, c) Malipo ni ghali na mtu hata aweza
pepo au mizimu ili wasaidiwe kutatua kufilisika akitafuta tiba ya ugonjwa
shida, kutoa shukrani au kuomba radhi. usiopona.
Sifa d) Mazingira ya uganga husheheni uchafu
g) Hutolewa na wazee maarufu walioteuliwa. mwingi.
h) Hufanywa nahali maalum k.v. pangoni, e) Mgonjwa huridhika kwa muda mfupi
mwituni, n.k. halafu uhalisia hudhihirika.
i) Huandamana na sala. iv)Ngomezi
j) Huandamana na utoaji kafara k.v. kuchinja  Uwasilishaji wa ujumbe kwa kupiga
mbuzi, n.k. ngoma au zana nyingine ya kimziki.
k) Huandamana na maombi. Sifa
iii) Maigizo Ya Uganga wa a) Kuwepo kwa ngoma au ala nyingine kama
Ramli panda.
b) Mapigo ya ngoma hueleweka tu na jamii
Sifa
husika.
a) Mganga hujitia kujua kwa hivyo vitendo
c) Mapigo kufuata toni au ridhimu maalum
vyake ni maigizo ya uganga wa madaktari.
kuwasilisha maneno fulani.
33
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 34
d) Kuwepo kwa hadhira au wasikilizaji. e) Ving’ora vya kuashiria moto umetokea
e) Kueleweka kwa mapigo hayo na katika majumba ya horofa, benki,
wanajamii husika pekee. hospitalini, n.k.
f) Makini huhitajika ili kupata midundo. Changamoto za Ngomezi katika Jamii ya Sasa
Aina za ngomezi a) Mwingiliano wa jamii mbalimbali
a) Taarifa unaosababisha kutofasiri ujumbe kwa njia
 Huarifu kuhusu jambo k.m. msimu wa moja inayotakikana.
kuanza kutayarisha mashamba, kuitwa b) Viwanda na majumba marefu kusababisha
katika mkutano, kazi ya ujima n.k. kutosikika kwa sauti au milio ya ngoma.
b) Tahadhari c) Njia nyingine za kisasa za mawasiliano
 Hutoa tahadhari kuhusu mavamizi kama zinazotumiwa kwa wingi na kwa wepesi.
wizi wa mifugo, vita, majanga kama moto, d) Uhaba wa zana kama baragumu na zumari
mafuriko n.k. zilizokuwa zinatumika.
e) Mabadiliko ya maisha kuleta ubinafsi na
c) Uhusiano
kusababisha wengi kutoitikia wito wa
 Kuita watu kwa sherehe.
vyombo.
Umuhimu wa Ngomezi
a) Njia ya mawasiliano kwa jamii zisizojua v) Mivigha
kusoma.  Sherehe za kitamaduni ambazo hutokea
b) Husaidia wanaokabiliwa na ugumu wa katika kipindi fulani cha mwaka ambazo
mawasiliano. huonyesha mwanajamii ametoka kiwango
c) Kuharakisha mawasiliano katika masafa kimoja hadi kingine.
mafupi. Aina za Mivigha
d) Kutoa taarifa kuhusu matukio fulani k.m. a) Sherehe za tohara
ndoa, kifo n.k.  kutoka utotoni na kuingia utu uzimani.
e) Husaidia kupitisha jumbe za dharura. b) Sherehe za ndoa
f) Kutahadharisha wanajamii kuhusu tukio la  kutoka kapera hadi kuoa
hatari/dharura k.v. vita, gharika n.k. c) Sherehe za kutambika
g) Kuficha siri kwa kuwasilisha ujumbe kwa  kutoa sadaka kwa Mungu, miungu, pepo
njia isiyoeleweka. au mizimu
h) Kuhifadhi na kudumisha utamaduni wa d) Sherehe kutawazwa kwa kiongozi
jamii.  kutoka uraia na kuingia katika
i) Namna ya kudhihirisha ufundi wa kutumia uongozi/utawala
zana kama ngoma. e) Shughuli za mazishi/matanga
j) Kitambulisho cha jamii kwani kila jamii  kutoka uhai hadi ufu
hupitisha ujumbe kwa mapigo tofauti. f) Sherehe za kuwapa watoto majina
Udhaifu wa Ngomezi g) Sherehe za ulaji kiapo
a) Si kila mtu anaweza kufasiri ujumbe h) Shughuli za posa
unaokusudiwa. i) ibada
b) Mapigo hayasikiki mbali na hivyo Hatua
husikika na idadi dogo ya watu. a) Kutoa mtu rasmi kutoka kundi moja la
c) Mapigo yaweza kuhitilafiana na hivyo wanajamii.
kufasiriwa kwa namna tofauti. b) Kumfundisha majukumu yanayohusiana
Ngomezi za kisasa na wadhifa mpya.
a) Milio ya ambulensi, magari ya polisi na c) Kumwingiza rasmi katika kundi jingine.
zimamoto. Sifa
b) Kengele za kubisha hodi nyumbani a) Huandamana na matendo au kanuni fulani
zinazotumia umeme. (mivigha).
c) Kengele shuleni, makanisani, n.k. b) Maleba maalum huvaliwa na wahusika
d) Toni za rununu zinazowakilisha aina kuwatofautisha na hadhira.
mbalimbali za jumbe. c) Hufanyika kwa kutumia lugha maalum au
kimyakimya.

34
Cite as: Martin O. R. (2019). Fasihi Simulizi. African Languages Studies. Academia.edu 35
d) Kuna watu aina tatu: watendaji d) Huzua tofauti za kijinsia k.v. mwanamme
wanaoshiriki kuimba na kucheza, wale kujiona bora kuliko mwanamke.
sherehe inafanyika kwa sababu yao na e) Kuzua utabaka baina ya waliopashwa na
wanaoshuhudia tu. wasiopashwa tohara.
e) Huhusisha vitendo maalum kama kula f) Baadhi ya mivigha hukiuka malengo ya
viapo, kutoa kafara, kucheza ngoma, n.k. kitaifa k.m. ukeketaji ni ukiukaji wa haki
f) Huandamana na utoaji wa mawaidha. za binadamu
g) Uigizaji hujitokeza pale mwanajamii g) Kunayo hujaza watu hofu k.v. kufukuza
anaingizwa katika kundi fulani kutoka mapepo kunakohitaji kafara ya binadamu.
jingine. h) Baadhi huhusisha ushirikina na hivyo
h) Huhusisha maombi. kusababisha uhasama baina ya koo.
i) Hufanywa mahali maalum sherehe hiyo i) Baadhi hugharimu kiasi kikubwa cha pesa
inapofanyika k.m. tambiko hufanywa na kuifilisi familia.
porini au pangoni.
j) Wahusika huweka ahadi za kutenda wema.
k) Huwa na mpangilio wa shughuli kuanzia
mwanzo, kati hadi mwisho.
Umuhimu
d) Kuburudisha kwa vile baadhi ya mivigha
huhusisha nyimbo, ngoma na uigizaji.
e) Kutoa mafunzo ya utu uzima na elimu ya
jadi.
f) Mivigha ya mazishi huliwaza wafiwa.
g) Kukuza utangamano miongoni mwa
wanajamii kwa kuwajumuisha pamoja
katika mivigha yao.
h) Kuashiria mwanajamii ametoka kiwango
kimoja cha maisha hadi kingine.
i) Kujenga uhusiano bora kati ya jamii na
miungu au mizimu.
j) Kitambulisho cha jamii kwani kila moja
ina aina yake ya mivigha.
k) Kudumisha mila za jamii.
l) Kuelimisha jinsi ya kukabiliana na
changamoto maishani.
m) Kuadilisha kwa kufunza tabia
zinazokubalika na jamii k.v. uaminifu,
utiifu, n.k.
n) Kukashifu vitendo vya uoga.
o) Kukuza uzalendo kwa kuhimiza
wanajamii kuonea fahari tamaduni zao.
p) Msingi wa wanajamii kujitambulisha na
kuionea fahari jamii yao.
Hasara
a) Baadhi ya mivigha huhatarisha afya na
maisha k.v. kutahiri watoto wa kike.
b) Baadhi ya sherehe hukiuka maadili kama
vile kwa kuruhusu matusi hata kushiriki
ngono.
c) Baadhi yaweza kusababisha hasara kama
vile kueneza ukimwi k.v. tohara kwa kisu
kimoja.
35

You might also like