Professional Documents
Culture Documents
Kiswahili 1 - Special - Exam N Answers
Kiswahili 1 - Special - Exam N Answers
121/1 KISWAHILI 1
(Kwa watahiniwa walioko na wasiokuwa shuleni)
MTIHANI MAALUMU
Page1 of 6 acsee0001
121/1-Mtihani Wa Utimilifu 2024
1. Soma kifungu cha habari kifuatacho kwa makini kwa makini kisa jibu maswali
yanayofuata
NAKUMBUKA enzi zile za utoto. Utoto ni raha sana japokuwa wakati wa
utoto mtu huwezi kuelewa, wewe unakuwa huna “presha” ya jambo lolote lile.
Kazi yako kula-kulala-kucheza!
Lakini dunia hii ni ya maajabu! Watoto wanatamani wangekuwa watu wazima ili
wafanye kila kitu, vile wapendavyo bila kuhitaji “ruksa” ya mtu awaye yote.
Wakubwa nao wanatamani wangerudi kuwa watoto ili waepukane na “joto la
jiwe” ya maisha, kwani wangekuwa chini ya vivuli vya wazazi wao. Kadhalika
wanatamni kurudi utotoni ili kurekebisha mambo fulani waliyokosea na kufanya
wapate joto ya jiwe ukubwani
Siku moja hivi karibuni tukiwa sebuleni, mimi, memsap na watoto wetu
wawili, tukitafakari dunia inavyozunguka palitokea kituko. Kituko hicho ndicho
kilichonifanya nione utoto ni kitu kingine!
Watoto nilionao ni wawili tu (mimi ni kizazi kipya kilichonionesha ile nyota ya
jangwani!) kwa kuwa wapo wawili tu wanajitahidi kupendana, kuonyesha
ushirikiano, umoja na mshikamano katika masuala yote
Ni hivi karibuni tu walifikia muafaka wa wao kwa wao wa “kutosemeana” kwa
baba au mama pale mmojawapo anapofanya makosa, mkataba huo ulikuwa ni siri
yao mpaka ulipofichuka siku hiyo tuliyobarizi pamoja sebuleni
Siku fulani nilikuwa nimeandaa makala moja ya “kauli ya mlalahoi”
niliyoipachika jina la “ng’ombe wa mayai na kuku wa maziwa”. Niliacha mezani
na kurandaranda nikitafuta uongo mwingine wa kuwavunja watu mbavu zao.
Asalale! niliporudi nilikuta yote imemwagikiwa na mchuzi. Mbona niligeuka
mbogo! kila mtu akawa anasema, “siyo mimi! siyo mimi!”. Nikafikiri labda ni
“Jini kizibo” limeamua kuchafua hali ya amani na masikilizano nyumbani kwetu
maana kila mtu “Siyo yeye!”
Siku hiyo tuliyobarizi niliikumbuka makala ile mwanana, nikawaza usumbufu
nitakao upata kuanza kuandaa, makala nyingine. Nikataka kukumbushia lakini
nikaona nitavuruga utulivu uliopo. Wakati namaliza kufikiri hivyo, mziwanda
wangu akaanza kumwambia kaka yake,
“Kaka! kaka! si unaona sijasema kwa baba! kaka mtu akamkonyeza akimkataza
asiendelee kuharibu mambo”. Lakini mdogowe hakumwelewa.
“Kaaka! si unaona sijasema kwa baba ulivyomwagia mchuzi makaratasi yake?”
alizidi kusisitiza.
Page2 of 6 acsee0001
121/1-Mtihani Wa Utimilifu 2024
Page3 of 6 acsee0001
121/1-Mtihani Wa Utimilifu 2024
Page4 of 6 acsee0001
121/1-Mtihani Wa Utimilifu 2024
Page5 of 6 acsee0001
121/1-Mtihani Wa Utimilifu 2024
(i)
Rejesta (A)Mataputapu
(ii)
Utata (B)Paka
(iii
MIsimu (C)Uhusisha lugha ya wavuvi
(iv)Umahiri katika (D)Uhusisha stadi kuu nne za lugha
lugha (E)Tofauti zianzojitokeza katika lugha kuu
(v) Lahaja moja
(F) Ulumbi katika lugha
(G) usababisha kuchanganyikiwa na hata
kupoteza mwelekeo
Page6 of 6 acsee0001
121/1-Mtihani wa Utamilifu 2024
PRESIDENT’S OFFICE
(MTWARA NA LINDI)
121/1 KISWAHILI 1
MUONGOZO WA USAHIHISHAJI
Page1 of 9 acsee0001
121/1-Mtihani wa Utamilifu 2024
Page2 of 9 acsee0001
121/1-Mtihani wa Utamilifu 2024
Page3 of 9 acsee0001
121/1-Mtihani wa Utamilifu 2024
3. Mwanafunzi inapasa aandike kweli kwa sentensi ambayo ina ukweli na si kweli
kwa sentensi sisiyo na ukweli
(i) Si kweli
(ii) Kweli
(iii) Si kweli
(iv) Kweli
(v) Si kweli
(vi) Kweli
(vii) Si kweli
(viii) Kweli
(ix) Kweli
(x) Si kweli (@01 = 10 Alama)
Page4 of 9 acsee0001
121/1-Mtihani wa Utamilifu 2024
Page5 of 9 acsee0001
121/1-Mtihani wa Utamilifu 2024
5. Mwanafunzi ataje hoja tano zinazothibitisha kuwa serikali ya awamu ya tano sita
imefanya jitihada kubwa katika kukuza na kuendeleza lugha ya Kiswahili baada
ya uhuru kama ifuatavyo
(i) Rais wa awamu ya tano Dkt John Pombe Magufuli alihamasisha watanzania
wote kutumia Kiswahili pasipo kuchanganya na lugha ya kigeni
(ii) Kuhutubia kwa mikutano ya ndani nje kwa viongozi wetu mfano Rais wa
awamu ya sita Mh Samia Suluhu Hassan
(iii) Kiswahili kupewa kipaumbele vyuoni, serikali awamu ya sita imewapa
kipaumbele cha mkopo wanafunzi wanasoma Kiswahili
(iv) Kiswahili kutumika mahakamani, kwa mara ya kwanza Rais John Pombe
Magufli wa awamu, ya tano aliruhusu Kiswahili kutumika Mahakamani
(v) Kuanzisha kampeni ya kukifanya Kiswahili kuwa lugha ya kimataifa
inayosema KISWAHILI SAUTI YA DUNIA (@04 = 20 Alama)
Page6 of 9 acsee0001
121/1-Mtihani wa Utamilifu 2024
Page7 of 9 acsee0001
121/1-Mtihani wa Utamilifu 2024
Page8 of 9 acsee0001
121/1-Mtihani wa Utamilifu 2024
Page9 of 9 acsee0001