You are on page 1of 38

Uongozi na Usimamizi wa Shule

MATINI YA KUJISOMEA MWENYEWE


Yaliyomo

Matini Namba Moja - Jinsi ya Kuongoza Ofisi ya Mkuu wa Shule/Mwalimu Mkuu......................... 1


Matini Namba MBILI - Uongozi wa Shule............................................................................................. 8
Uongozi wa Watu............................................................................................................................................................................8
Uongozi wa Kimkakati...................................................................................................................................................................9
Matini Namba TATU - Uongozi wa Shule............................................................................................ 10
Uongozi wa Kielimu.................................................................................................................................................................... 10
Kufanya maamuzi Kidemokrasia............................................................................................................................................ 11
Matini Namba NNE - Uongozi wa Shule............................................................................................. 12
Ustawi wa watu Kimwili............................................................................................................................................................. 12
Ustawi wa Watu Kisaikolojia..................................................................................................................................................... 13
Matini Namba TANO - Uongozi wa Shule........................................................................................... 14
Utamaduni Bora wa shule......................................................................................................................................................... 14
Mahusiano ya shule na jamii.................................................................................................................................................... 15
Matini Namba SITA - Usimamizi wa Shule.......................................................................................... 16
Usimamizi wa rasilimali vitu..................................................................................................................................................... 16
Usimamizi wa Rasilimali Watu................................................................................................................................................. 17
Matini Namba SABA - Usimamizi wa Shule........................................................................................ 18
Usimamizi wa Fedha................................................................................................................................................................... 18
Usimamizi wa Taarifa................................................................................................................................................................... 19
Matini Namba NANE - Usimamizi wa Shule....................................................................................... 20
Ufundishaji na Ujifunzaji............................................................................................................................................................ 20
Weledi wa Kitaalamu wa Mwalimu........................................................................................................................................ 21
Matini Namba TISA - Usimamizi wa Shule.......................................................................................... 22
Tathmini........................................................................................................................................................................................... 22
Uandaaji na Utekelezaji wa Mitaala....................................................................................................................................... 23
Matini Namba KUMI - Uongozi na Usimamizi wa Shule.................................................................... 24
Kiolezo cha mfano wa “Mpango wa Jumla wa Maendeleo ya Shule”
Matini Namba Moja Na. 1

Jinsi ya Kuongoza Ofisi ya Mkuu wa Shule/Mwalimu Mkuu

Utangulizi shule pia ni Msimamizi Mkuu wa fedha za shule.


• Mkuu wa shule ana wajibu mkubwa wa kuwezesha na kisimamia na kuona
• Uongozaji wa Shule ni shughuli ya lazima ya kuwezesha shule kuwa na tija na
kwamba shughuli zote za shule zinafanyika ipasavyo, kwa tija na ufanisi.
ufanisi.
Mwongozo ufuatao wa jumla utakusaidia kuweka misingi ya kuongoza, kupanga,
• Mkuu wa shule/Mwalimu mkuu anatakiwa kuwa, sio tu Kiongozi, bali pia Meneja
kuratibu rasilimali, na kusimamia utendaji.
na aweze kufanya shughuli zote zinazombidi Meneja ikiwa ni pamoja na;
°° Kupanga
°° Kuratibu Rasilimali, 1. RATIBU UPATIKANAJI WA OFISI KWA AJILI YA WALIMU NA
°° Kuelekeza Matumizi ya Rasilimali WAFANYAKAZI WENGINE WENYE MAJUKUMU MAHUSUSI
°° Kusimamia Utekelazaji wa Shughuli zilizopangwa • Mkuu wa Shule/Mwalimu mkuu
°° Kufuatilia Utekelezaji • Makamu Mkuu wa shule
°° Kutathimini Matokeo ya utekelezaji na kupanga upya kwa ajili ya hatua • Mwalimu mwandamizi Taaluma
inayofuata. • Mwandamizi Ustawi wa Jamii
• Mwalimu wa Nidhamu
Matini hii ya kujifunza mwenyewe ni ya kwanza kati ya nyingine zinazofuata ambazo • Mwandamizi Malezi
zinatarajiwa kuwasaidia walimu wakuu wapya na kwa walioko katika huduma • Ofisi ya Walimu
hiyo kwa muda, kuwaongezea stadi za uongozi na menejimenti hivyo kuwafanya • Mtunza kumbukumbu za Fedha
waongoze na kusimamia shule kwa tija na ufanisi. • Mapokezi/Msaidizi wa Ofisi
• Ofisi za Idara za Masomo
Matini hizi za kijifunza mwenyewe zimeandikwa kwa lugha nyepesi, ya moja kwa moja
• Stoo:
ili kurahisisha uelewa na kutohitaji maelezo ya ziada. Hata hivyo inawezekana kukawa
°° Vyakula
na pendekezo ambalo linahitaji kurekebishwa kufuatana na tamaduni za mahali
°° Vitabu na vifaa/zana za kufundishia
fulani. Hivyo mwalimu ataona namna bora ya kutekeleza pendekezo kama hilo.
°° Riadha na Michezo
Matini zitakazofuata zitachambua kwa ufasaha mambo ya kufanya katika Uongozi na
°° Stoo ya Vifaa vya kazi mfano vifaa na mashine za kukata nyasi, mapanga,
katika Menejimenti.
majembe, vyombo na mipira ya kumwagilia bustani, reki, ndoo nk.
Kumiliki Ofisi ya Mkuu wa Shule
Ofisi ya Mkuu wa Shule ni Taasisi ambayo ni msingi wa maendeleo na mafanikio ya 2. PANGA VEMA KWA AJILI YA SHULE
shule. (Rejea Matini yako ya Mpango wa Jumla wa Maendeleo ya Shule).
• Inaongoza mchakato wa kuweka mwelekeo/dira na maendeleo ya shule, • Kama timu(kwa kujumuisha wadau shuleni), fikiria nini kinatakiwa kifanyike
• Inawezesha mikakati na utendaji wa shule na katika kufanya hivyo; ili shule ifikie malengo na dira yake.
°° Inapata Neema za mafanikio lakini mara nyingine lawama kwa kushindwa • Kama timu, weka vipaumbele vya mikakati na shughuli za kutekeleza kwa
kufika malengo. kuzingatia rasilimali zilizoko na zinazoweza kupatikana zikiwemo; watu,
Mtendaji Mkuu wa Taasisi hii ni Mkuu wa Shule/Mwalimu Mkuu. rasilimali vitu, miundombinu, fedha na muda.
• Mkuu wa shule ni Kiongozi, Meneja na Msimamizi wa shughuli za shule. Mkuu wa • Panga kwa ukamilifu shughuli zitakazofanikisha mipango yako kwa tija. Pitia
michoro mifano ifuatayo, inaweza kukusaidia.
1
Kupanga kwa ajili ya ujifunzaji Bora;
Walimu wapya

Makazi ya walimu
Walimu
Ustawi wa walimu
Lishe na afya
Mafunzo ya walimu
kazini
Shughuli kijamii na
Wanafunzi kitamaduni Mafunzo kuhusu
Matumizi (W)

Mafunzo kuhusu
Matumizi (wanaf )
Vitabu
Ujifunzaji Bora Uhifadhi na Usalama
Vifaa na zana za Madawa ya maabara na
kujifunzia vifaa
Uhifadhi na Uendelevu

Vifaa vingine vya ndani


Mafunzo kuhusu
na nje ya darasa matumizi

Uhifadhi,
Na uendelevu

Mazingira

Kijamii, kitamaduni, Utamaduni na mazingira


kisiasa na kiuchumi ya kielimu shuleni

Tulivu na ya amani
Miundo Mbinu
Masafi na
yaliyopangiliwa

Madarasa stahiki Maabara na Vyumba Maktaba Mengine; umeme


Ofisi vya mikutano mawasiliano nk.

BNB

2
Kupanga Kununua Vitabu vya Kiada Kupanga Kujenga Darasa

Mafunzo kwa walimu • Wakufunzi Madawati


kuhusu matumizi na • Matini na viti
matunzo ya vitabu • Muda
Makazi kwa walimu

Walimu wapya?
Mafunzo kwa wanafunzi • Wakufunzi
kuhusu matumizi na • Matini Mafunzo kwa ajili ya
matunzo ya vitabu • Muda Walimu wapya

Vitabu vya Kiada?

Kununua Vitabu vya • Ujenzi?


Uhifadhi wa vitabu Kujenga Darasa
Kiada • Ununuzi wa Kabati? Kuboresha sehemu
Zana na vifaa ya uhifadhi wa vitabu
Vya kufundishia Na
• Malipo ya Matumizi?
Mpango wa Uendelevu kujifunzia?
• Michango ya wazazi?
wa vitabu • Fedha ya Tahadhari?
• Viwanja vya riadha na michezo
• Mpango wa chakula wanafunzi
Ustawi wa
wapya?
Mpango wa Uendelevu • Ajiri mtunza stoo? Wanafunzi wapya
• Ustawi wa w/funzi wapya?
wa vitabu • Fundisha mtunza stoo?
• Mabweni ya wanafunzi/wasichana
BNB BNB

Kupanga kunua vitabu kunadai kufanya mipango mingine kwa ajili ya; Kupanga ujenzi wa madarasa mapya unadai mipango mingine kwa ajili ya;
• Mahali/chumba cha kuhifadhi vitabu • Ununuzi wa madawati na viti
• Mafunzo kwa walimu na wanafunzi kuhusu matumizi na matunzo ya vitabu • Walimu wapya kwa ajili ya wanafunzi wapya.
• Uendelevu wa upatikanaji wa vitabu • Makazi ya walimu wapya
• Mafunzo au ajira ya mtunza stoo. • Vitabu kwa wanafunzi wapya
• Zana na vifaa vya kufundishia wanafunzi wapya
• Uboreshaji wa sehemu ya kutunzia vifaa vya kufundishia na kujifunzia
• Mafunzo kwa walimu wapya kuhusu matumizi ya vifaa vya kufundishia
• Mahitaji mengine ya kijamii ya wanafunzi wapya.

3
3. TAFUTA, PANGILIA, SIMAMIA RASILIMALI ZIKIWEMO WATU, Ambatanisha maelezo ya wajibu na majukumu ya Mwandamizi Taaluma.
FEDHA, VIFAA/ZANA, MIUNDOMBINU Mfano:
• Tafuta/omba walimu na wafanyakazi wengine stahiki kwa ajili ya kufanya i. Shule: Shule ya kutwa Makadara.
shughuli zote za shule. ii. Nafasi: Mwalimu Mwandamizi Taaluma
• Anzisha miradi ya shule ya kuzalisha mali ili isaidie katika uendeshaji wa shule. iii. Wajibika kwa: Mwalimu Mkuu
• Tafuta ufadhili wa utaalamu na fedha kutoka kwa wadau, jamii na wafadhili
mbalimbali kupitia andiko- mradi Wajibu na Majukumu
• Tafuta na nunua vitabu, vifaa na zana stahiki na za kutosha kwa ajili ya Wajibu;
kufundishia na kujifunzia. d. Masuala yote ya Kitaaluma ya wanafunzi shuleni.
• Wezesha ustawi na huduma stahiki kwa walimu, wafanyakazi wengine na e. Uratibu wa Idara za masomo yote shuleni.
wanafunzi shuleni.
Majukumu;
Mwalimu Mwandamizi Taaluma atakuwa na majukumu yafuatayo:
4. GAWA KAZI KWA UWIANO NA BILA UONEVU AU UPENDELEO
a. Kumshauri Mwalimu mkuu kuhusu utekelezaji wa Mitaala shuleni,
• Gawia walimu kazi za kufundisha kwa umakini na bila upendeleo,
b. Kuongoza Kamati ya Taaluma shuleni.
• Tengeneza ratiba inayokubalika kwa wote.
c. Kupendekeza mikakati na mbinu za kuboresha matokeo ya ujifunzaji wa
• Gawia walimu na wafanyakazi wengine shughuli nyingine za shule kwa
wanafunzi wote katika masomo yote.
kuzingatia mahitaji, uwezo wa mhusika na utayari wake kuifanya shughuli
d. Ataratibu shughuli za Ukuzaji Endelevu wa Utaalamu wa Walimu (Mafunzo
husika.
mapya, JzK na Unasihi Elekezi)
e. Kuratibu matayarisho, uhakiki wa ubora, usimamizi wa ufanyaji wa mitihani
5. Pangia wafanyakazi shughuli kwa maandishi na usahihishaji wa mitihani yote ya ndani ya shule.
Wajibu na majukumu: f. Kuratibu ushiriki wa shule katika mitihani ya kiwilaya na kimkoa.
Mfano katika kumteua mwalimu kuwa Mwalimu Mwandamizi Taaluma; g. Kuratibu utoaji tuzo kwa matokeo ya mitihani ya ndani ya shule
• Mwandikie barua ya uteuzi ikiainisha; h. Kumshauri Mwalimu mkuu kuhusu utekelezaji wa mitihani ya kitaifa kwa
°° Kwamba mwalimu mkuu amekuteua kuwa Mwalimu Mwandamizi ufanisi.
Taaluma kuanzia tarehe…. i. Kufanya shughuli nyingine ambazo ataelekezwa na mwalimu mkuu.
°° Kwamba maelezo ya wajibu na majukumu yake kama mwandamizi
taaluma yameambatishwa kwenye barua hii,
°° Kwamba nafasi hii ina marupurupu yapi au haina,
6. PANGIA VIONGOZI WA WANAFUNZI MAJUKUMU NA WAJIBU
• Wape majukumu viranja, viongozi wa madarasa, wa michezo mbalimbali nk
°° Kwamba kutakuwa na muda wa uangalizi wa miezi mingapi
kwa maandishi.
°° Kama nafasi hii ni ya muda maalumu au ya kudumu,
°° Mtake ajibu kwa maandishi katika muda fulani, kama anaukubali uteuzi 7. TENGENEZA TARATIBU ZA KAZI NA SHERIA ZA SHULE
huo. (Usidhanie tu kwamba watu wote wanajua nini kinastahiki kufanyika na nini sio!).
°° Mtakie kila la kheri katika wadhifa huo kama mwandamizi taaluma. Kila mahali pa kazi pana taratibu na sheria. Sheria zinawekwa na;
• Serikali mf. (Sheria ya Elimu na Kanuni zake),
• Serikali ya Mtaa ambako shule iko.
• Shule kwa ajili ya kukidhi mahitaji yake mf. Kwa ajili ya usafi, nidhamu, kwa
ajili ya kujenga utamaduni wa shule inaoutaka nk.

4
• Sheria hazina budi kuwa katika lugha rasmi, ya kueleweka na rahisi. Baadhi ya adhabu zilizozoeleka ni pamoja na;
• Idadi itosheleze mahitaji ya kila eneo linalohitaji na kwa ajili ya nidhamu. • Karipio
• Mara nyingi menejimenti ndio inayotayarisha sheria na taratibu kisha • Angalizo
kushirikisha wanajumuiya na wawakilishi wa wanafunzi. • Onyo
• Wanajumuiya wote sherti wazijue sheria na taratibu zote. • Kusimamishwa shule/kazi
• Uhamisho wa adhabu
Sheria zihusu maeneo yote stahili ikiwa ni pamoja na yafuatayo: • Kushushwa cheo
• Kutowajibika; Kuacha kufanya kazi iliyotakiwa pamoja na kwamba mhusika • Faini
ana uelewa na uwezo wa kuifanya ipasavyo. • Kufukuzwa kazi/shule
• Utoro; Kutohudhuria kwenye shughuli kama inavyotakiwa.
• Kudharau; Kukataa kutii maelekezo halali au dharau ya makusudi kwa 8. SHIRIKISHA WALIMU, WAFANYAKAZI WENGINE NA
kiongozi wa kazi. WANAFUNZI KATIKA KUUNDA DIRA, VITAMBULISHI VYA
• Kuingilia haki za wengine; tabia ambazo hazikubaliki katika jumuiya/jamii
husika ikiwa ni pamoja na;
SHULE NA YAPI YA KUFANYA NA YAPI SIO KATIKA SHULE YENU
• Unda au rekebisha Dira ya shule
°° Utani mbaya
• Kubaliana yapi ni stahili na yapi sio stahili kufanyika shuleni kwenu.
°° Umbea wa kuchonganisha watu
• Wizi wa; mali ya shule, mali binafsi za walimu/wafanyakazi na wanafunzi.
• Makosa ya kiusalama; Tabia ambazo zinaweza kusababisha maafa mf. 9. GATUA MADARAKA KWA BUSARA
Ugomvi, kupigana, ulevi kazini, kuchezea miundombinu ya nishati nk. • Tengeneza Timu imara ya watendaji!.
(Rejea mafunzo kuhusu Uundaji Timu)
Hakikisha kwamba sheria zinaheshimiwa na kufuatwa:
Sheria zinakuwa na tija kama wafanyakazi na wanafunzi wanakidhi matakwa 10. SIMAMIA SHULE IPASAVYO
yake. Nini cha kufanya; • Wafahamu vizuri wafanyakazi wako
• Toa maelezo ili kila mtu azijue sheria hizo na ni kwa nini azitii. • Elewa mpango-kazi wako vema
• Mafunzo kabilishi; yanawezesha watu kuzielewa. Eleza kwa kutumia mifano • Kuwa Mnasihi bora na pangia wafanyakazi wapya au wenye uhitaji wanasihi
kwa wote na hasa kwa walimu na wanafunzi wageni/wapya. mahiri (baada ya makubaliano na wahusika)
• Wapangie wafanyakazi wapya wanasihi bora. • Wezesha usaidizi rika kwa walimu katika ufundishaji (JzK)
• Kuwabadilisha nafasi wanaokosa nidhamu inaweza kuwasaidia wahusika • Wezesha Unasihi na Unasihi elekezi kwa walimu
kujirudi. • Tambua na toa Tuzo kwa Utendaji bora
• Toa mafunzo ya matunzo na matumizi sahihi ya mazingira, miundombinu,
vifaa na mashine mbalimbali. Hii itapunguza makosa ya aina mbalimbali.
11. WEKA UTARATIBU NA ENDESHA MIKUTANO MARA KWA MARA
• Pitia sheria za shule na zihuishwe ili kuhakikisha zinaenda na wakati.
(Kamati /bodi za shule, menejimenti, wafanyakazi (walimu na wasio walimu), na
Adhabu: vongozi wa wanafunzi, Baraza la shule, wazazi, na vingozi wa jamii inayoizunguka
• Ainisha kosa na adhabu yake na weka utaratibu wa utoaji adhabu kwa shule.
uvunjaji wa sheria za shule; kosa-adhabu-nani ataitoa adhabu-lini.
12. SIMAMIA NIDHAMU NA SHUGHULIKIA MALALAMIKO HARAKA
Zingatia: Baadhi ya makosa yametolewa maelezo na adhabu zake katika sheria • Nidhamu ni uratibishaji wa shughuli za kibinadamu ili kupata utendaji
ya elimu na kanuni zake, na pia katika Kanuni za utendaji kazi za walimu na ulioratibika.
wafanyakazi wengine • Nidhamu inahusu mtu mmoja-mmoja hadi taasisi nzima. Nidhamu inaweza

5
kutizamwa katika nyanja zifuatazo; • Kutoridhika ambako kunazaa manung’uniko yasiyoshughulikiwa yanaweza
i. Nidhamu ya Kimenejimenti ambapo masuala yote yanategemea kiongozi kuzaa tabia mbaya kazini kama vile Kutokujali hadi kufikia uharibifu mkubwa.
kuanzia mwanzo hadi mwisho. Kwa kutumia maelekezo yake kikundi • Kutokuridhika kwa wengi kunaweza sababisha migomo/vurugu shuleni.
kinaweza kutoa matokeo bora. • Mwalimu mkuu lazima ‘unuse’ malalamiko, achunguze chanzo chake na
ii. Nidhamu ya Kitimu ambapo utendaji bora unapatikana kutokana na kuyatafutia ufumbuzi haraka iwezekanavyo.
kujituma, ushirikiano na kutegemeana kwa watendaji.Uzembe wa mmoja • Mwalimu mkuu lazima ajihusishe na ustawi wa walimu na wafanyakazi
kunaweza kusababisha kukosa mafanikio kwa wote (ya shule/taasisi). wengine wa shule yake.
iii. Nidhamu binafsi ambapo mafanikio yanategemea utendaji binafsi
unaozingatia maarifa, utaalamu na msimamo thabiti. 13. ZINGATIA ITIFAKI NA UHUSIANO BORA NA UMMA
• Ushirika wa aina zote tatu ni muhimu katika kuwa na ufanisi wenye tija katika • Jenga na dumisha uhusiano chanya na mazingira bora kati ya shule na jamii
shule/taasisi. Zingatia mchoro ufuatao; shule iliko, wadau wengine wa shule, mamlaka mbalimbali husika na taasisi
nyingine za kielimu.
Rasilimali Mchakato Matokeo • Dumisha mawasiliano na mahusiano stahiki na viongozi wako wa elimu na
jamii, wafanyakazi wenzako, walioko chini yako na jamii kwa ujumla.
Ufanisi wa
Nidhamu shule Zingatia;
binafsi • Haiba yako, mf. Tunza heshima ya nafasi yako (usijishushe mno hadi
ukadhalilika).
• Wape watu heshima yao kwa kuwataja kwa vijisifa vya majina mf. Mhe., Bw. ,
Utamaduni Bi., Bibi, Daktari…nk.
Nidhamu
wa • Kuwa msikilizaji bora (usiingilie wengine wanapozungumza), jibu kwa
Kitimu
shule upole lakini kwa uthabiti, zungumza hoja zako kwa uhakika-ujue vema
unachokizungumza.
Mtu mmoja-mmoja - • Jinsi unavyowapokea na kuwakaribisha wageni na viongozi wako.,
wenye mafunzo/wasio Nidhamu • Jinsi unavyozungumza na viongozi wako nk.
na mafunzo/ambao Kimejimenti • Mkao wako na viongozi wako na wageni,
hawajaratibiwa • Mavazi - rasmi ukiwa ofisini na ya heshima kila wakati.

• Mwalimu mkuu pamoja na kwamba anashughulika na watundu na


wasiochangamkia kazi anapaswa pia kuwa anajenga nidhamu ya kitimu ya 14. ZINGATIA SIFA ZA UONGOZI
watendaji, anajenga hali ya uelewa kwamba umoja na ujumla una thamani • Uchangamfu,
kuliko upeke upeke. • Makabiliano bora na watu,
• Kutoridhika: ni chochote kile kinachomfadhaisha mfanyakazi ama awe • Uwezo wa kufikiri haraka,
amejieleza mfadhaiko wake kwa maneno au la. Kutokuridhika kunaweza • Kupenda watu,
kujitokeza kama malalamiko kama kikiletwa hadharani kwa maneno au • Kutenda haki
maandishi kwa kiongozi wake. • Kuthamini wengine,
• Kughadhabika kunakosababishwa na kutoridhika kunaweza kuleta athari • Unyumbufu na uelewa,
hasi katika utendaji wa mfanyakazi. • Uaminifu,
• Mwalimu mkuu hana budi kushawishi matumizi stahiki ya taratibu za kubaini • Usikivu,
vyanzo vya kutoridhika.

6
• Ushirikiano na watu,
• Ubunifu, Kumbuka:
• Kufahamu mambo mengi, Huko peke yako katika kuendesha shule.
• Kuwa na maamuzi thabiti, Unapaswa kufanya kazi na watu na kupitia watu ili kufikia malengo
• Kujiamini, ya shule!
• Kuwajibika,
• Sio mgomvi

15. KUWA MTU WA MFANO KWA WALIMU NA JAMII


• Uwe na Nidhamu binafsi
• Panga ofisi yako;
• Mpangilio wa kukaa - milango ya kuingilia na kutokea /dharura, viti vya
kitawala na vya wageni.
• Meza ya wageni
• Mpangilio wa ofisi na usafi
• Shubaka la majalada – majalada ya siri na ya kawaida.
• Sinia la kunawia mikono
• Mapambo ya ofisi (maua, tenzi za Kifilosofia ila sio za utani), ofisi iwe na nafasi,
hewa na mwanga wa kutosha.
• Vifaa na Zana msingi za kazi – mf. Dira ya shule na sifa msingi za shule, Kalenda
ya mwaka ya shule, Kalenda ya mwalimu mkuu na Mpango kazi, Ratiba kuu ya
shule, Majina ya walimu na wafanyakazi wengine , masomo wanayofundisha
na wajibu mwingine wa kila mhusika, Saa, Kitabu cha matukio ya kila siku nk.

16. JUKUMU LAKO LINGINE KUBWA NI USTAWI WA WALIMU,


WANAFUNZI NA MAFANIKIO YAO KATIKA TAALUMA
Mwalimu mkuu anapaswa kuwajibika kwa haraka na ipasavyo katika kutatua
changamoto na matatizo ya kijamii na taaluma ya walimu na wanafunzi. (soma
Matini zinazofuata kwa ajili ya kupata undani wa masuala mbalimbali ya uongozi
na usimamizi.)

17. MWALIMU MKUU VILEVILE NI AFISA MADUHULI MSAIDIZI


Baadhi ya Majukumu yake makuu ni pamoja na yafuatayo:
• Uangalizi na usimamizi wa fedha na bajeti
• Kuidhinisha matumizi
• Kuhakikisha kwamba kumbukumbu za fedha ni sahihi, zinawekwa kwa wakati
na zinatunzwa inavyostahili.
• Malipo stahili yanafanywa kwa wakati
• Uhakiki wa mali unafanywa kwa wakati
• Uhakiki/ukaguzi wa fedha wa ndani unafanyika ipasavyo

7
Matini Namba Mbili Na. 2

Uongozi wa Shule

Utangulizi:
Matini hii na nyingine zinazofuata zimeandaliwa ili kumsaidia Mwalimu na wengine • Tangaza mafanikio ya shule na wanafunzi kwa jamii
wa timu ya uongozi ya shule katika kuongoza na kusimamia shule. • Fanya kazi kwa karibu na Ushirikiano wa Wazazi na Walimu (UWaWa).
• Himiza hitaji la ukuzaji endelevu wa Utaalamu na Taaluma ya walimu na
Lengo la matini ni kuainisha mbinu ambazo timu ya uongozi na usimamizi inaweza wafanyakazi wengine.
kutumia katika kutekeleza majukumu yake ya kila siku. Matini hii ni ya kujisomea • Itisha mikutano ya mara kwa mara na wafanyakazi kujadili masuala yanayohusu
mwenyewe na kuamua kufanya yale yatakayokusaidia kuleta mafanikio makubwa utendaji na changamoto zao. (Weka ratiba ya mikutano, aidha usisahau kuna
zaidi katika shule yako. mikutano ya dharura).
• Tumia mbinu mbalimbali za mawasiliano; mikutano ya jamii, na matangazo ya
Uongozi makini wa Shule redio kutangaza mafanikio ya shule.
• Ongea na mzazi mmoja mmoja mara kwa mara kuhusu shule na watoto wao.
Sehemu ya kwanza • Shawishi Mamlaka husika kuipa shule rasilimali na vifaa.
Uongozi wa Watu • Saidia na simamia walimu kwenye kazi zao za kila siku za kufundisha.
Maelezo: Sehemu hii inahusu stadi za kuchangamana na watu ambazo Mwalimu • Shughulikia utendaji duni wa wafanyakazi kwa umakini na kufuata taratibu za
Mkuu anaweza kutumia na kuziendeleza katika kuongoza jumuiya ya shule. kitaalamu
• Jenga mahusiano ya ndani na ya nje na jumuiya ya shule.
Wajibu wako: • Anzisha miradi ya pamoja na jamii itakayonufaisha shule yako (Miradi ya Uzalishaji
Kama Mwalimu Mkuu; wajibu wako ni kuhakikisha kuwa unatumia kikamilifu stadi za mali).
kuchangamana na watu kuongoza jumuiya ya shule kuelekea kwenye lengo moja la • Thamini tofauti kati ya watu na utofauti wa watu wanaofanya kazi na kujifunza
kuboresha shule yako na kuwa na matokeo bora ya kujifunza kwa wanafunzi wote. kwenye shule yako.
• Wafundishe wafanyakazi na wasaidie walimu waandamizi kuwa washauri wa
Jinsi ya kufanikisha hili: kitaalamu (wanasihi) ili kuboresha maarifa, stadi na utendaji.
• Wasiliana na jumuiya ya shule kwa kuhamasisha na kushawishi.
• Wasalimie wafanyakazi na wanafunzi kila siku na jali shauku na matarajio ya
• Elewa mazingira na utamaduni wa makundi ya watu waliopo ndani ya shule.
maisha yao.
• Pokea maoni kupitia sanduku la maoni kwa utaratibu wa SIRI ili upate kujua
• Ongea na wanafunzi juu ya kujifunza na matarajio yao.
mawazo ya kila mdau katika shule na kuyafanyia kazi.
• Ongea na wanafunzi kuhusu masuala ya kitaaluma na matarajio yao.
• Wakaribishe wazazi na wanajamii kutembelea shule yao.
• Changamana kwa upendo na wafanyakazi na onesha kufurahia uwepo wao
• Watambue kwa majina wafanyakazi wote na wanafunzi wengi.

8
Vidokezo Muhimu:
Zingatia! • Panga kwa kutumia mbinu ya mzunguko wa Kupanga kimkakati (Baini Chambua
• Tembelea maeneo mbalimbali ya shule na nje ya shule, zungumza na watu ili Weka vipaumbele Panga Nyenzo Tekeleza Tathimini Baini upya)
kujua kinachoendelea na kinachuzungumzwa kuhusu shule yako. • Itumie Kamati ya Shule kuidhinisha nyaraka za Mipango Mikakati ya shule.
• Sikiliza na pokea maoni na mapendekezo ya wanafunzi, wazazi, walimu, • Soma na fuatilia ili ufahamu mambo yanayotokea na mapya katika elimu na
wafanyakazi na wanajamii kuhusu njia mbalimbali za kuboresha shule yako. kwenye jamii.
• Weka matarajio makubwa kwa ajili ya shule na watu katika shule yako. • Andaa kwa umakini, mipango kazi itakayoleta ufanisi inayojumuisha; malengo,
• Wahimize wanajumuiya ya shule kufanya kazi ili kufanikisha dira ya pamoja ya mikakati ya kufanikisha malengo, mgawo wa rasilimali, usimamizi, bajeti, muda
shule na kwa kuzingatia maadili na matamanio ya shule. wa utekelezaji na viashiria vya utendaji na vya mafanikio. (zingatia majedwali ya
Epuka! kupanga mipango ya maendeleo ya shule)
• Kufanya kejeli, unyanyasaji, dhihaka, uonevu na mbinu kandamizi kushawishi • Andaa bajeti inayokidhi mahitaji ya uboreshaji wa matokeo ya ujifunzaji.
wengine. • Tafuta ushauri na utaalamu wa ndani na nje wa kuimarisha mipango mkakati.
• Kukubali udhaifu kitaaluma au matokeo mabaya ya walimu au wanafunzi. • Fuatilia mara kwa mara utekelezaji wa mipango kazi
• Kubadili mtazamo wako chanya juu ya maamuzi ya shule. • Andaa na tekeleza mabadiliko yanayoilenga shule.
• Hakikisha shughuli zilizopangwa shuleni zinakamilika.
• Toa taarifa sahihi ya matokeo ya mpango mkakati kwenye Mamlaka husika, jamii
Sehemu ya Pili shule ilipo, walimu/wafanyakazi, wanafunzi na wazazi.
Uongozi wa Kimkakati
Maelezo: Sehemu hii inahusu kufikiri kimkakati anakotumia Mwalimu Mkuu Vidokezo Muhimu:
kuendeleza, kutekeleza na kutathmini mipango kazi ya shule na bajeti kwa ajili ya Zingatia!
kuboresha ujifunzaji wa wanafunzi. • Tumia mchakato wa kupanga kimkakati katika kupanga Mpango wa Jumla wa
Maendeleo ya shule
Wajibu wako: • Shauriana na wanajumuiya ya shule katika kufikiri kimkakati na kupanga mipango.
Kama Mwalimu Mkuu; wajibu wako ni kuendeleza kufikiri kimkakati na michakato • Hakikisha kwamba Kamati ya Shule /Bodi inashiriki katika kila hatua ya kupanga
ya kuandaa mipango ya jumuiya ya shule yako ili kuhakikisha kuna mafanikio ya mipango ya shule
malengo ya kuboresha matokeo ya shule na ya mwanafunzi. Epuka!
• Kuharakisha sana mchakato wa kupanga kimkakati.
Jinsi ya kufanikisha hili: • Kufanya mambo yote wewe peke yako. Shirikisha jumuiya ya shule na nje ya shule.
• Andaa kwa kushirikisha wadau wa shule, Dira ya shule, Mipango ya Maendeleo ya
Shule, bajeti ya mwaka na mapitio ya mpango ya mwaka ya shule.
• Tafuta taarifa, ushahidi na takwimu kuhusu shule na jamii shule ilipo zikusaidie
kwenye uandaaji wa mipango na kufanya maamuzi.
• Fikiria mafanikio ya baadaye ya shule yako kwa kuandaa kwa pamoja na jumuiya
ya shule, dira ya shule na tunu na matamanio yake.
• Elezea na pima mafanikio yaliyopatikana kupitia ufuatiliaji na tathmini

9
Matini Namba Tatu Na. 3

Uongozi wa Shule

Sehemu ya Tatu • Fahamu vyema na elezea kwa ufasaha wajibu na majukumu yako mwenyewe
Uongozi wa Kielimu katika mazingira ya kielimu.
Maelezo: Sehemu hii inahusu maarifa ya kielimu, uzoefu na ujuzi wa Mwalimu Mkuu, • Onesha uelewa wa uandaaji wa utekelezaji wa mitaala.
walimu na wafanyakazi wengine wanaoonesha na kuendeleza ndani ya shule katika • Onesha uelewa wa taaluma ya ufundishaji na makuzi ya mtoto.
kuboresha ujifunzaji wa mwanafunzi na mafanikio ya shule ya kielimu kwa ujumla. • Onesha uelewa wa tathmini na upimaji.
• Wasaidie ofisi ya afisa elimu wilaya kwenye kazi zao.
Wajibu wako: • Shauri na hakikisha wafanyakazi wako wanapata unasihi na unasihi elekezi.
Kama Mwalimu Mkuu, wajibu wako ni kushirikisha wengine na kutumia maarifa ya • Jiunge na vyama vya kitaalamu vya elimu.
kielimu, uzoefu, ujuzi na falsafa kuboresha matokeo ya wanafunzi na shule yako. • Shiriki kwenye mijadala ya kielimu na waelimishaji wengine.
• Toa ushauri kwa Halmashauri na Wizara ya Elimu kila inapowezekana kuhusu
Jinsi ya Kufanikisha hili: mwelekeo wa elimu nchini Tanzania.
• Andaa/boresha falsafa ya shule kwa kushirikiana na walimu,wafanyakazi, wazazi
na wanafunzi. Vidokezo Muhimu:
• Unganisha kazi na matendo yote shuleni kwenye falsafa ya shule Zingatia!
• Wasaidie walimu kuandaa utekelezaji wa mitaala kishule kwenye idara au vitengo. • Andaa na kushirikisha wengine falsafa ya shule.
• Ongoza uandaaji wa utekelezaji wa mitaala ya ziada ya shule (ya kitamaduni, • Kuwa mmoja kati ya viongozi wakuu wa mtaala na ufundishaji shuleni.
michezo, na ya kijamii). • Wasaidie walimu wako katika kukuza mbinu madhubuti za kujifunzia na
• Onesha kwa walimu/wafanyakazi mara kwa mara, mifano bora ya ufundishaji na kufundishia.
matendo yenye tija. • Fuatilia na taka kujua kuhusu mbinu za kiutendaji na nadharia mpya za elimu.
• Simamia kikamilifu ufundishaji na ujifunzaji darasani kwa kuweka vyombo mf. • Wasaidie Maafisa Elimu wa Wilaya kuboresha elimu katika maeneo hayo.
‘Class Journal’ kuhakikisha kuwa walimu nwanahudhuria na kuwajibika katika • Tembelea ufundishaji madarasani na penda kujua kwa kina kinachoendelea
ufundishaji kwenye ujifunzaji wa wanafunzi.
• Wasilisha kwa wazazi michakato ya ujifunzaji yenye tija kwenye mikutano ili Epuka!
wawasaidie watoto wao kujifunza. • Kukataa jukumu lako kama mmoja wa viongozi wa elimu wenye ushawishi
• Tengeneza na rekebisha programu za shule ili kushughulikia mahitaji mbalimbali mkubwa zaidi katika Wilaya.
ya wanafunzi wote. • Kusimamia taratibu za shule pekee na kusahau jukumu lako kama kiongozi wa
• Shiriki kikamilifu kwenye ufuatiliaji na tathmini ya matokeo ya shule na ya elimu. (Wianisha uongozi na menejimenti).
mwanafunzi mmoja mmoja. • Utendaji wa kielimu uliopitwa na wakati na usio na ufanisi.
• Wasaidie wafanyakazi kuaandaa utaratibu wa kuripoti taarifa za ujumla za shule. • Kuzuia midahalo na mijadala na walimu wako kuhusu elimu.
• Dumisha maarifa na mbinu za ufundishaji za kisasa na nadharia ya elimu

10
Sehemu ya Nne
Kufanya maamuzi Kidemokrasia wanafunzi na kuinua matokeo ya kujifunza ndani ya shule.
Maelezo: Sehemu hii inahusu jinsi maamuzi yanavyofanywa shuleni, nani hufanya • Tumia utaalamu wa watu ndani ya jumuiya ya shule kutekeleza maamuzi…
maamuzi na jinsi gani maamuzi hayo yanatekelezwa. usifanye mambo yote mwenyewe.
• Hakikisha kuna kupokezana nafasi kwenye kamati za kufanya maamuzi ili
Wajibu wako: watu wasijione wamefungwa kwenye nafasi fulani.
Kama Mwalimu Mkuu; wajibu wako ni kuhakikisha kwamba michakato ya kufanya • Wajengee uwezo wa uongozi walimu/wafanyakazi na wanafunzi wako.
maamuzi kidemokrasia inaanzishwa na kutekelezwa shuleni. • Hakikisha kupokezana uongozi kwenye mikutano ya wafanyakazi.
Jinsi ya kufanikisha hili: • Endesha mikutano kwa kuzingatia agenda.
• Hakikisha majukwaa ya kufanyia maamuzi kama vile Kamati ya Shule, • Tumia mbinu za usuluhishi wa migogoro, maafikiano na mashauriano
Umoja wa Wazazi na Walimu na Baraza la Wanafunzi yanaanzishwa shuleni. unapofanya uamuzi.
• Hakikisha kuna uwakilishi wa makundi yote kwenye majukwaa haya ya • Wahimize wajumbe kutoka jamii ya shule ilipo na viongozi kuhudhuria
kufanyia maamuzi shuleni, kwa kuzingatia jinsia na Ujumuishi. mikutano ya Wazazi.
• Anzisha na toa mafunzo kuhusu utaratibu sahihi wa mikutano na taratibu
za utunzaji kumbukumbu. Vidokezo Muhimu:
• Elezea tofauti kati ya kutoa taarifa ya maamuzi na mchakato wa kufanya
Zingatia!
maamuzi.
• Hakikisha Kamati ya Shule ipo na inafanya kazi, unda Umoja wa Wazazi na
• Tumia michakato ya uchaguzi ya kidemokrasia (kama vile kupiga kura)
Walimu (UWaWa) na Baraza la wanafunzi kama halipo.
kuchagua Wajumbe wa Kamati mbalimbali za Shule.
• Hakikisha kuna uwakilishi mpana wa watu kutoka katika makundi tofauti
• Weka kumbukumbu, toa taarifa na wasilisha maamuzi kwenye jumuiya ya
tofauti ya kijamii kwenye mikutano na nafasi za Kamati ya Shule (rejea
shule kwa wakati na kwa utaratibu sahihi.
miongozo ya Wizara kuhusu uundaji wa Kamati ya shule).
• Pima mitazamo ya watu dhidi ya taarifa sahihi, takwimu na ushahidi ili
• Hakikisha watu wanajua agenda na muda wa kufanya mkutano.
kufanya maamuzi sahihi yanayokidhi mahitaji.
Epuka!
• Andaa na kubaliana juu ya ratiba na taratibu za ushirikiano na Kamati ya
• Kufanya maamuzi wewe mwenyewe na yasiyozingatia taarifa sahihi,
Shule.
ushahidi na takwimu.
• Sambaza tarehe, muda na agenda za mkutano kwa wadau wote na
• Kuwaburuza watu kukubali maamuzi unayoyataka wewe.
wajumbe wa mkutano kwa kuwataarifu mapema.
• Kutoka nje ya agenda na malengo ya mikutano.
• Wafundishe wanafunzi maadili, michakato na taratibu za ufanyaji maamuzi
kidemokrasia.
• Hakikisha kuwa michakato ya ufanyaji maamuzi ni ya haki, na yenye uwazi.
• Fanya maamuzi kwa kuzingatia ukweli, taarifa na ushahidi siyo kwa kusikia
au maoni.
• Sisitiza kwamba maamuzi yote yanalenga kuboresha shule, ustawi wa

11
Matini Namba Nne Na. 4

Uongozi wa Shule

Mazingira rafiki ya shule • Jenga njia za kupita watu wenye mahitaji maalumu na marekebisho mengine ya
majengo yanayohitajika kukidhi mahitaji ya watu wa aina hiyo.
Sehemu ya Kwanza • Andaa sera ya kuzuia uvutaji sigara na madawa ya kulevya na waelimishe
Ustawi wa watu Kimwili wanafunzi juu ya hayo
• Hakikisha walimu/wafanyakazi wanajua kuhusu Kamati ya shule ya Afya na
Maelezo: Sehemu hii inahusu utaratibu na matendo yaliyopo ndani ya shule
Usalama mahali pa kazi, sera na taratibu.
yanayohakikisha uwepo wa usalama wa kimwili, afya na usalama wa wanafunzi,
• Wape maelekezo walimu wote kufundisha usafi binafsi na mbinu za kuzuia
walimu, wazazi na wanajamii wanaoitembelea shule.
magonjwa mbalimbali
Wajibu wako: • Hakikisha kuwa mabango ya mbinu za kuzuia magonjwa na usafi binafsi
yanabandikwa maeneo mbalimbali.
Kama Mwalimu Mkuu; ni wajibu wako kuifanya shule kuwa mahali salama pa kuishi
• Weka ofisini mahali bayana namba za watoa huduma za dharura na za wazazi
kwa kuandaa sera, kanuni na utaratibu za aina mbalimbali kwa ajili ya shule ili
• Simamia kwa makini na tafuta rasilimali za mpango wa kutoa chakula shule
kuhakikisha kuna usalama wa mazingira kwa afya ya wanafunzi wote, walimu, wazazi
• Weka utaratibu wa kusafisha na kutunza vyoo vya shule, madarasa na maeneo ya
na wanajamii wanaoitembelea shule.
kazi shule nzima.
Jinsi ya kufanikisha hili: • Weka mpango wa matengenezo wa viwanja/maeneo ya shule.
• Anzisha Kamati ya shule ya Afya na Usalama mahali pa kazi / Timu ya matengenezo • Hamasisha na fuatilia ustawi na haki za watoto wote na anzisha utaratibu wa
shuleni ambayo itafanya: vitendo vinavyotetea na kulinda watoto wote dhidi ya unyanyasaji na kuumizwa,
°° tathmini uwezekano wa hatari za kimwili na kubaini vitu, hali na miundombinu ndani na nje ya shule.
inayoweza kuhatarisha afya na maisha ya watu shuleni • Hakikisha shule ina vyumba maalumu vya huduma kwa wasichana
°° andaa taratibu na hatua za kuzuia hatari hizi. • Hakikisha wanafunzi wanapata elimu stahiki ya makuzi
• Anzisha na wataarifu wengine mikakati ya kuzuia vurugu na madhara ndani ya • Mtaarifu mzazi mtoto akiugua akiwa shuleni
shule • Himiza walimu kujadili na wanafunzi suala la usalama wao wakati wa kwenda na
• Andaa na tekeleza sera ya kuzuia uonevu ndani ya shule kutoka shuleni
• Nunua sanduku la huduma ya kwanza la shule na andaa mafunzo kwa walimu, • Fanya kazi kwa kushirikiana kwa karibu na Mamlaka za Afya za Wilaya na Asasi za
wafanyakazi wengine na wanafunzi namna ya kutumia sanduku la huduma ya Kiraia za Afya za maeneo hayo
kwanza. • Weka njia za kupita ili kupunguza hatari ya wanafunzi kuumia wanapotembea
• Elekeza wana jumuiya mahali pa kukusanyika wakati wa dharura ya tukio hatarishi. • Hakikisha kuna usafi wa mazingira wa kutosha na upatikanaji wa maji salama ili
• Tafuta mtaalamu wa kutoa elimu kwa wanajumuiya kuhusu dharura mbalimbali kupunguza magonjwa, maambukizi ya minyoo na magonjwa yanayotokana na
na hatua za haraka za kuchukua maji kwenye mazingira ya shule.
• Kwa kadri inavyowezekana milango ya vyumba, mabweni, madarasa na vyumba • Weka uzio maeneo ya hatari, kama vile mabwawa ya maji au visima vya maji, na
vya mihadhara/mikutano ifungukie nje ili iwe rahisi kwa watu kutoka wakati wa maeneo ya wazi na pulizia dawa maeneo yenye maji yaliyotuama kuua mazalia
dharura. ya mbu.

12
• Elekeza usimamizi sahihi wa maeneo ya kuchezea ili kusaidia kuzuia uonevu • Fuatilia kuona kuwa Tunu za shule na uadilifu unaridhishwa
• Shirikisha viongozi wa dini wa eneo husika kutembelea na kusaidia wanafunzi na
Vidokezo Muhimu: wafanyakazi kimaadili
Zingatia! • Andaa sera ya kuzuia unyanyasaji.
• Anzisha Kamati ya Afya na Usalama Mahali pa kazi ya Shule haraka iwezekanavyo. • Hakikisha wafanyakazi wote wanaelewa sera ya shule ya kuzuia unyanyasaji
• Andaa ratiba kamati ya ukaguzi wa afya na usalama mahali pa kazi mara nne kwa • Himiza watoto kufanya michezo ya burudani, kujenga haiba na kufurahi.
mwaka kutathmini hali na hatari zilizopo ndani ya shule. • Weka mikakati na michakato ya kusaidia ukuaji wa kisaikolojia wa wanafunzi.
• Tenga bajeti ya kutunza na kukarabati majengo ya shule na mazingira. • Hakikisha shule ina michezo ya aina mbalimbali, hobi na vilabu vya michezo na
• Hakikisha kwamba walimu/wafanyakazi wote wanafahamu na kufanya kazi kwa burudani kwa wanafunzi shuleni.
utaratibu ambao unaunga mkono taratibu za Kitaifa na Umoja wa Mataifa juu ya • Zisaidie familia za wafanyakazi wako nyakati za matatizo ya kifamilia, msongo wa
Haki za Watoto. mawazo na msiba.
• Weka vyoo vya shule katika hali ya usafi zaidi. . • Shirikiana kwa karibu na mashirika ya misaada ya kijamii na mashirika yasiyo ya
Epuka! kiserikali yaliyokubaliwa kwa ajili ya kupata huduma kwa wanafunzi.
• Kupuuza taarifa zozote binafsi za watoto kunyanyaswa, zinazoonesha madhara • Andaa na tekeleza sera na mikakati ya kuzuia uonevu.
na hofu. • Baini na saidia kutatua matatizo ya kisaikolojia ya wanafunzi.
• Kutokujali hali ya hatari iliyobainishwa na Kamati ya Afya na Usalama mahali pa • Anzisha klabu ya burudani ya walimu/wafanyakazi na kalenda ya matukio ya
kazi/kamati ya ukarabati... shughulikia au rekebisha mara moja! kijamii ya wafanyakazi
• Kuachia uonevu wa wafanyakazi au wanafunzi kutokea. • Dumisha utamaduni chanya wa shule.
• Kuacha uchafu na takataka kurundikana katika mazingira ya shule. • Weka utaratibu wa kusimamia malalamiko na manung’uniko ndani ya shule.

Vidokezo Muhimu:
Sehemu ya Pili
Zingatia!
Ustawi wa Watu Kisaikolojia • Baada ya kushauriana na wafanyakazi teua wafanyakazi wawili (mwanamme na
Maelezo: Sehemu hii inahusu taratibu na matendo yanayofanyika shuleni ili mwanamke) waandamizi wawe kwenye timu ya ushauri na malezi.
kuhakikisha kuna afya ya kisaikolojia kwa wanafunzi na walimu/wafanyakazi. • Wasiliana na viongozi wa jamii kupata wajumbe sahihi wa kuisaidia timu ya shule
ya washauri.
Wajibu wako: • Anzisha makundi mbalimbali ya wanafunzi ya hobi na mambo wanayopendelea.
Kama Mwalimu Mkuu; jukumu lako ni kusimamia uandaaji na utekelezaji wa shughuli • Anzisha klabu ya kijamii ya wafanyakazi.
mbalimbali ambazo zinahakikisha uwepo wa ustawi wa kisaikolojia wa wanafunzi na • Andaa sera ya kuzuia unyanyasaji na weka taratibu wa kushughulikia unyanyasaji
walimu/wafanyakazi. shuleni.
Epuka!
Jinsi ya kufanikisha hili: • Kupuuza taarifa yoyote unayopokea kutoka kwa wanafunzi juu ya unyanyasaji wa
• Hakikisha una utaratibu wa ushauri nasaha wa siri kwa wanafunzi kwa kutumia kijinsia au kimwili.
wafanyakazi wenye ujuzi waliobainishwa wa ndani na nje ya shule. • Kujenga mazingira ya shule yaliyojikita kwenye hofu, lawama na unyanyasaji.
• Andaa program ya stadi za kijamii kwa shule nzima, kuwafundisha wanafunzi • Kubagua wanafunzi kwa misingi yeyote; ya ukabila, jinsia, utamaduni, umaskini
kuhusu kujenga mahusiano mazuri na wanafunzi wenzao na walimu. au ulemavu.

13
Matini Namba Tano Na. 5

Uongozi wa Shule

Mazingira rafiki ya shule • Anzisha na dumisha utamaduni wa shule unaojali masuala ya kijinsia na ulio rafiki
kwa msichana: kukuza usawa wa wasichana na wavulana na kuondoa unyanyasaji
Sehemu ya Tatu wa kijinsia.
Utamaduni Bora wa shule • Kubali tofauti, na tambua vipaji binafsi vya mtoto mmoja mmoja.
Maelezo: Sehemu hii inahusu maadili na kanuni zinazozingatia jumuiya ya shule ili • Hamasisha moyo wa uvumilivu na heshima kwa makundi yote ya wanajumuiya.
kuanzisha na kuendeleza Utamaduni bora shule. • Zingatia kanuni za maadili katika shughuli zako zote na wazazi, wafanyakazi na
wanafunzi
Wajibu wako: • Wajali na wasaidie watu katika jumuiya ya shule.
Kama Mwalimu Mkuu; jukumu lako ni kusimamia uanzishwaji na utunzaji wa utamaduni • Zungumza na wazazi kuhusu mafanikio ya shule ndani na nje ya masaa ya kazi.
bora wa shule na mazingira rafiki ya kujifunzia. • Jenga na endeleza utendaji na matarajio ya juu ndani ya shule.
• Tumia mbinu ya utoaji maamuzi ya kidemokrasia ndani ya jumuiya ya shule.
Jinsi ya kufanikisha hili:
• Fanya tafiti kwa wafanyakazi, wanafunzi na wazazi kuhusu utamaduni wa shule ili
• Himiza walimu kufanya mazungumzo ya mara kwa mara na wazazi kuhusu ukuaji
kutathmini maoni ya wananchi kuhusu utamaduni wa sasa wa shule na kiwango
wa watoto wao ndani na nje ya mazingira ya shule.
cha jumla cha kuridhika na shule.
• Saidia walimu kuandaa kazi za kujifunza za kiudadisi kwenye madarasa yao.
• Fuatilia kuhakikisha kazi za vikundi zinafanywa mara nyingi madarasani. Vidokezo Muhimu:
• Sisitiza walimu kubandika kazi za wanafunzi na visaidizi vingine vya kujifunza Zingatia!
ndani ya darasa. • Andaa hojaji la tafiti za utamaduni wa shule ambalo linadadisi maoni ya wanafunzi,
• Wanafunzi wapewe fursa ya kujadili nini wangependa kujifunza na kujua. walimu, wafanyakazi na wazazi kuhusu masuala mbalimbali muhimu yanayohusu
• Wahamasishe wasichana kushika nafasi za uongozi shuleni. shule yao.
• Wahimize wanafunzi kufanya vizuri zaidi shuleni na kuweka malengo binafsi; wawe • Anzisha utamaduni wa shule ambao unaweka matarajio makubwa juu ya ufaulu
na dira ya maisha yao na malengo mbalimbali ya kufikiwa na wajitahidi kufikia na mwenendo wa wanafunzi na utendaji kazi wa walimu.
malengo hayo. • Hamasisha na wahimize walimu wapende kuwafuatilia wanafunzi katika madarasa
• Hakikisha wafanyakazi wanahimizwa kutoa maoni yao kwenye majukwaa yao na kutenga muda wa kujadili maendeleo ya mwanafunzi kitaaluma.
mbalimbali ya utawala. • Andaa na simamia utekelezaji wa kanuni za maadili ya mwanafunzi katika shule.
• Anzisha kanuni za maadili za wafanyakazi na za wanafunzi. (rejea Kitini na. 1) • Sikiliza hoja za masuala ya wanafunzi, walimu na wafanyakazi, wazazi na wanajamii
• Hakikisha kwamba mazingira ya shule na mtaala vinarekebeshwa na kutekelezwa kuhusu shule na kuyatatua.
ipasavyo kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu ili kukuza ujifunzaji na • Jizoeze kutumia mchakato wa utoaji wa maamuzi wa kidemokrasia katika shule.
mahudhurio yao. Epuka!
• Anzisha na dumisha utamaduni wa shule unaomjali mtoto, ambao unahimiza • Kujenga utamaduni wa shule katika misingi ya hofu, lawama, kutoaminiana na
ushirikishwaji, ubunifu, na kujiamini. unyanyasaji.

14
• Kuwakatisha tamaa wazazi na wanajamii katika kuwasaidia walimu shuleni.
• Jenga na dumisha uwepo wa amani na ushirikiano kati ya watoto, wazazi na
• Kutumia mikakati ya usimamizi wa tabia ambayo inahusisha udhalilishaji na
walimu.
manyanyaso ya kimwili au kihisia kwa watoto.
• Imarisha utawala wa shule kupitia michakato ya kidemokrasia ya ufanyaji
maamuzi.
Sehemu ya Nne • Himiza uratibu baina ya shule, mamlaka za afya ya jamii na mamlaka ya ustawi wa
Mahusiano ya shule na jamii jamii.
Maelezo: Sehemu hii inahusu ushirikiano na uhusiano kati ya wanafunzi, walimu, • Hakikisha kwamba orodha ya sheria za shule zinabandikwa darasani na ofisini na
wafanyakazi wa shule, wazazi na wanajamii. zinafahamika na kutekelezwa na wanafunzi na wafanyakazi.
• Anzisha klabu ya kijamii ya wafanyakazi na kalenda ya shughuli za kijamii.
Wajibu wako: • Tunga wimbo na kauli mbiu ya shule.
Kama Mwalimu Mkuu; jukumu lako ni kuendeleza na kudumisha ushirikiano na • Anzisha tuzo ya mwanafunzi wa mwezi kwa kila darasa.
mahusiano bora na yenye manufaa kwa wanafunzi, wafanyakazi, wazazi na wanajamii • Itisha mikutano ya wanafunzi ya mara kwa mara inayopongeza na kusifia ufanisi
ili kuimarisha ubora wa shule na kuboresha matokeo ya mwanafunzi. na mafanikio ya wanafunzi.
• Weka mazoea ya kuonea fahari shule yako kwa kuwahimiza wanafunzi kuvaa sare
Jinsi ya kufanikisha hili: za shule na kutunza majengo na kuweka viwanja vya shule katika hali nzuri.
• Wafanye wanafunzi, walimu, wazazi na wageni waipende shule yako.
• Anzisha umoja wa wazazi na walimu (UWaWa) unaohudhuriwa vyema na Vidokezo Muhimu:
wahusika. Zingatia!
• Fanya mikutano ya mara kwa mara na vikundi vya jamii, na wadau wengine wa • Weka kamati ndogo ya kuandaa taratibu za usimamizi wa tabia.
elimu kuhusu maendeleo ya elimu ya shule yako • Karibisha wageni kwenye shule yako ili upate maoni ya kuboresha shule na
• Panga ratiba ya mikutano ya wazazi na walimu wa madarasa ikiwezekana mara matokeo ya kujifunza ya wanafunzi.
mbili kwa mwaka kujadili kazi za wanafunzi. • Anzisha klabu ya kijamii ya wafanyakazi na kalenda ya shughuli za kijamii
• Anzisha michakato ya mawasiliano ambayo inawataarifu wazazi kuhusu • Toa vyeti vya mafanikio kwa wanafunzi kila mwezi.
maendeleo ya watoto wao. • Himiza uendelezaji wa Umoja wa Wazazi na walimu ulio hai na wenye uwakilishi
• Himiza wanafunzi kufanya kazi kwenye miradi ya jamii kama sehemu ya stahiki.
maendeleo yao ya jumla ya uraia.
Epuka!
• Wahimize wanafunzi wakubwa kuwatunza wanafunzi wadogo kupitia uundaji wa
• Kuwa mbali na wazazi, wafanyakazi na wanafunzi.
madarasa rafiki ya kindugu.
• Kuzuia jamii na asasi za kijamii kutoa huduma kwa shule.
• Anzisha na tekeleza sera na taratibu za usimamizi wa tabia na maadili ya wanafunzi.
• Kuwa na sheria za shule na adhabu za makosa ambazo haziwiani na kosa.

15
Matini Namba Sita Na. 6

Usimamizi wa Shule

Usimamizi wa shule wenye ufanisi hatari yoyote au masuala ya usalama shuleni.


• Fanya tathimini mara nne kwa mwaka kujua hali ya majengo ya shule na viwanja,
Sehemu ya Kwanza nk
Usimamizi wa rasilimali vitu • Rekodi matokeo yote kwenye rejesta ya Kamati ya Afya na Usalama ya shule (kamati
Maelezo: Sehemu hii inahusu taratibu na mifumo inayotumika shuleni kusimamia ya matengenezo) shuleni.
vifaa vya shule pamoja na vya darasani, rasilimali fedha, mali za shule na maeneo ya • Andaa ratiba ya ukarabati wa majengo ya shule na maeneo ya shule ili kupanga
shule. mpango wa matengenezo na ukarabati mkubwa kwa muda mfupi na mrefu .
• Anzisha rejesta ya mafundi seremala, wajenzi, mafundi bomba na mafundi
Wajibu wako: umeme waliopo eneo hilo ambao wanaweza kusaidia shule kufanya ukarabati na
Kama Mwalimu Mkuu; wajibu wako ni kusimamia na kusaidia uongozi kwenye matengenezo ya majengo ya shule na viwanja.
maandalizi na utekelezaji wa taratibu zote na mifumo ambayo inasimamia rasilimali • Tathmini hali ya bustani na kuweka ratiba ya kufanya kazi za bustani kwa ratiba
fedha, vifaa, mali za shule. iliyopangwa.
• Fuatilia na hakikisha usafi wa madarasa, ofisi na vyoo unafanyika kikamilifu kwa
Jinsi ya kufanikisha hili: kuweka ratiba ya kusafisha kila siku ya kazi katika wiki.
• Andaa rasilmali watu watakaosimamia idara na maeneo mbalimbali mf. Mwalimu • Hakikisha viti vya shule, madawati, makabati na samani nyingine za shule ziko
wa vifaa, stoo, jiko, maktaba nk. kwenye hali nzuri
• Weka utaratibu wa kawaida wa ukaguzi wa vifaa, rejesta na stoo. • Fuatilia hali ya vyoo; hasa mabomba na matundu, mifereji ya maji ya mvua na
• Kagua vifaa vyote vilivyopokelewa shuleni kwa kulinganisha nyaraka na maelezo mabomba ya maji taka.
ya hati ya kuwasilisha ili kuhakikisha vifaa vyote vimefika shuleni katika idadi sawa • Andaa mpango na bajeti kwa ajili ya kununua vifaa na rasilimali zilizokwisha/
na vina hali bora zilizoharibika.
• Sajili vifaa vyote vya shule na kuviwekea “namba ya kifaa”. • Andaa mpango na bajeti kwa ajili ya kukarabati na kutunza majengo na viwanja
• Sajili “namba za vifaa” kwenye rejesta ya shule ya vifaa. vya shule.
• Fanya ukaguzi wa vifaa kila mwaka (tathmini ya vifaa) ili kujua hali ya rasilimali • Ishirikishe jamii ya eneo hilo kwenye kufanya ukarabati wa majengo ya shule na
zote za shule. viwanja.
• Tathmini rasilimali zote za shule kuangalia kama kuna kifaa kinachohitaji
matengenezo au kununuliwa kingine. Vidokezo Muhimu:
• Anzisha mfumo wa kuazima na kurejesha rasilimali za shule kwenye madarasa Zingatia!
yote. • Kagua vifaa vyote na rasilimali ambazo zimewasilishwa shuleni haraka
• Anzisha Kamati ya Afya na Usalama shuleni (kamati ya matengenezo) iwezekanavyo ili kujua upungufu au vilivyovunjika.
itakayotathmini hali ya majengo ya shule, viwanja, uzio, mabomba, nyaya za
• Hakikisha kila kitu kimeandikwa namba ya vifaa na kurekodiwa katika rejesta ya
umeme, nyaya za mawasiliano, paa, mifereji ya maji, vyoo, nk, na pia kutathmini
vifaa ya shule.

16
• Anzisha Kamati ya Shule ya Afya na Usalama /kamati ya ukarabati haraka • Himiza kuanzishwa kwa klabu na kalenda ya shughuli za kijamii kwa wafanyakazi.
iwezekanavyo na kufanya ukaguzi mara kwa mara wa maeneo yote ya shule. • Shawishi wafanyakazi kushirikiana na kuboresha ujifunzaji wa wanafunzi wote.
• Andaa na tenga bajeti kwa ajili ya kununua vipya na matengenezo ya rasilimali na • Wasifie wafanyakazi wako kwa kufanikiwa kufikia malengo yao.
vifaa vya shule vinavyohitaji matengenezo. • Jenga utamaduni chanya wa shule ili kuwepo na morali ya kazi miongoni mwa
wafanyakazi wote na utaalamu uweze kutumika vizuri.
• Weka rasilimali zote za shule na vifaa mahali salama na stahiki.
• Hamasisha wafanyakazi kuonyesha heshima kwa kazi na majukumu ya kila mmoja
Epuka! • Anzisha mpango wa uendelezaji wa utaalamu kwa walimu wote (rejea mwongozo
• Kudanganyika kwamba vifaa vyote vilivyoagizwa vimeletwa kama vilivyoagizwa wa Jumuiya za Kujifunza).
na viko katika hali ya ubora takiwa. • Anzisha mchakato wa kusimamia malalamiko na kero.
• Kukawia kuvipatia namba vifaa vyote vya shule. • Saidia wafanyakazi kushughulikia maombi yao ya kuhamia vituo vingine vya kazi
• Kutokuhakiki idadi ya vifaa kila mwaka. na kuhamia kwenye shule yako kadri inavyofaa.
• Kusubiri mambo/vitu viharibike kabisa ... rekebisha/vitengeneze mapema! • Jenga uwezo wa kiuongozi kwa wafanyakazi mbalimbali hususan kwa timu ya
uongozi wa shule.
Sehemu ya Pili • Shughulikia maombi yote ya likizo kwa haraka na kwa ukamilifu.
Usimamizi wa Rasilimali Watu
Maelezo: Sehemu hii inahusu taratibu na mifumo inayotumika ndani ya shule Vidokezo Muhimu:
kusimamia walimu, wanafunzi, wazazi na wanajumuiya wengine shuleni. Zingatia!
• Hakikisha kwamba walimu na wafanyakazi wote wanafahamu na wanaweza
Wajibu wako: kuzipata taarifa zao zinazohusu usimamizi wa rasilimali watu.
Kama Mwalimu Mkuu; jukumu lako ni kusimamia na kusaidia utawala wa shule • Andaa utaratibu wa shule kudhibiti na kushughulikia malalamiko na kero za watu
kwenye uandaaji na utekelezaji wa taratibu zote za ki-shule ambazo zinasimamia kwa shuleni.
ufanisi rasilimali watu iliyopo shuleni. • Andaa utaratibu wa kukusanya taarifa za uandikishaji ambao unatoa taarifa za
uandikishaji mpya, takwimu za waliocha shule, viwango vya urudiaji na jumla ya
Jinsi ya kufanikisha hili: uandikishaji wa wanafunzi wa mwaka (tBakwimu ambazo zitaingia BEMIS/EMIS).
• Kagua kuona kama walimu wote wana sifa stahiki za kufundisha/ualimu. • Hakikisha uwiano wa mwalimu-mwanafunzi uko sahihi na ukubwa wa darasa ni
• Kuza hamu ya kufundisha na kufanya kazi na watoto na walimu. sahihi.
• Hakikisha kuwa sera za shule za rasilimali watu zimehifadhiwa vizuri na walimu na • Jenga uwezo wa uongozi ndani ya shule hasa Mwalimu Mkuu Msaidizi na Walimu
wafanyakazi wengine wanafahamu maudhui yake. waandamizi.
• Saidia utawala wa shule kuandaa kanuni na taratibu za shule za wafanyakazi • Fuatilia utoro wa walimu shuleni.
zinazoendana na sera ya Wizara yenye dhamana ya Elimu. Epuka!
• Fuatilia kuhakikisha walimu wanalipwa kwa wakati. • Kutowezesha wafanyakazi kupata taarifa kuhusu taratibu na masharti ya ajira yao.
• Hakikisha ukubwa wa madarasa ni wa wastani kulingana na kanuni za idadi ya • Kufumbia macho utoro wa walimu au kutokuhudhuria walimu shuleni/darasani
wanafunzi darasani. bila sababu ya msingi.
• Hakikisha takwimu za uandikishwaji zinakusanywa kwa haraka na ziko sahihi. • Kuchelewa kukusanya takwimu za uandikishaji wa wanafunzi.
• Andaa sera ambayo inazuia unyanyasaji, ubaguzi au uonevu kwa walimu na • Kukubali sifa za kitaaluma na kitaalamu za mwalimu ambazo si halisi.
wafanyakazi wengine.
• Sisitiza wafanyakazi kuwa na maadili katika shughuli zao binafsi na kitaalamu.

17
Matini Namba Saba Na. 7

Usimamizi wa Shule

Usimamizi wa shule wenye ufanisi • Tumia fedha za ruzuku ya shule ya uendeshaji kulingana na sera na taratibu zilizoko.
• Elewa wajibu na majukumu ya Mwalimu Mkuu katika kusimamia fedha za shule
Sehemu ya Tatu kama yalivyoelezwa kwenye miongozo ya serikali/uendeshaji.
Usimamizi wa Fedha • Wasiliana na Ofisi ya Elimu ya halmashauri kwa ajili ya maelekezo, msaada na
Maelezo: Sehemu hii inahusu taratibu na mifumo inayotumika ndani ya shule ushauri kuhusu masuala yote yanayohusiana na ruzuku ya uendeshaji na masuala
kusimamia fedha na bajeti ya shule. ya fedha ya shule.
• Hakikisha kuna uwazi kwenye usimamizi wa fedha zote.
Wajibu wako: • Hakikisha kwamba angalau watu wawili wanahesabu fedha yoyote kwa wakati
Kama Mwalimu Mkuu; jukumu lako ni kusimamia na kusaidia utawala wa shule mmoja.
kuandaa kutekeleza mifumo na taratibu zote za kishule ambazo zinasimamia fedha
ya uendeshaji wa shule. Vidokezo Muhimu:
Zingatia!
Jinsi kufanikisha hili: • Tumia Miongozo mbalimbali iliyotolewa Mamlaka ya matumizi ya fedha za shule.
• Hakikisha Shule ina Kamati ya Usimamizi wa Fedha. • Hakikisha shule ina kamati ya fedha ya shule ili kusaidia katika kupanga bajeti na
• Tekeleza taratibu na kanuni zilizomo ndani ya sera ya serikali ya usimamizi wa usimamizi wa fedha za shule.
fedha na Mwongozo wa matumizi ya ruzuku shuleni. • Hakikisha kwamba fedha zote zinahifadhiwa mahali salama na kupelekwa benki
• Hakikisha bajeti ya shule haifanywi siri. mapema
• Kupitia kamati ya shule wataarifu wazazi na kuwapa maelezo ya majukumu yao • Tafuta ushauri kutoka kwa ofisi ya elimu ya halmashauri katika usimamizi wa fedha
ya kifedha kwa mwaka mzima. za ruzuku ya uendeshaji wa shule na masuala yote ya usimamizi wa fedha.
• Fuatilia mapato na matumizi ya fedha zote za shule. • Wasilisha taarifa ya bajeti ya shule katika mikutano ya wafanyakazi na mikutano ya
• Hakikisha kwamba nyaraka za kifedha kama vile; hati za maombi ya huduma, hati kamati ya shule.
za bei , ankara, hati za kupokea bidhaa na nyaraka zote za manunuzi zinatumika
Epuka!
ipasavyo.
• Kutumia utaratibu mwingine wowote wa usimamizi wa fedha usio rasmi katika
• Andaa mipango ya mwaka ya uendeshaji wa shule na bajeti ya shule ya mwaka.
usimamizi wa matumizi ya fedha za shule.
• Andaa nyaraka za uwajibikaji wa kifedha kwa ajili ya ukaguzi wa mahesabu.
• Kuhesabu fedha yoyote peke yako ... daima uwe na watu wawili katika kuhesabu
• Wasilisha taarifa ya matumizi ya fedha kwenye mikutano ya Kamati ya Shule.
fedha za shule.
• Shughulikia michango ya fedha ya wadau kwa mujibu wa kanuni na sera.
• Kuchanganyikiwa unapohisi kuna fedha zimepotea au hujui jinsi ya kusimamia
• Andaa malipo kwa kufuata kanuni za fedha.
fedha za shule, tafuta ushauri na ujuzi kutoka kwa wadau stahiki.
• Hifadhi fedha za shule Benki.
• Hakikisha shule ina Kasiki kwa ajili ya kuhifadhi nyaraka muhimu za fedha, fedha
ya tahadhari na nyaraka za siri.

18
Sehemu ya Nne wanafunzi wa shule yako.
• Hakikisha rekodi za afya za wanafunzi na za walimu ziko sahihi na tambua
Usimamizi wa Taarifa matatizo yao ya kiafya.
Maelezo: Sehemu hii inahusu taratibu na mifumo inayotumika ndani ya shule • Tumia kadi ya maelezo mafupi (memo) na mabango na taratibu za TAMSHI (Taarifa
kusimamia taarifa zote za shule kama vile, mafaili ya shule, madaftari na nyaraka, za Maendeleo ya Shule) kutoa taarifa kwa jumuiya ya shule
rejesta, kumbukumbu na nyaraka za mawasiliano zinazoingia na kutoka. • Elekeza rekodi zote za fedha na nyaraka zilingane na mahitaji ya ukaguzi wa
mahesabu na zitunzwe salama.
Wajibu Wako: • Hakikisha shule ina samani (makabati,) za kutosha na zinazofaa za kuwekea
Kama Mwalimu Mkuu; jukumu lako ni kusimamia na kusaidia utawala wa shule kwenye mafaili ili kuhifadhi taarifa kwa usalama.
uandaaji na utekelezaji wa taratibu na mifumo yote ya kishule ambayo inasimamia • Fuatilia matumizi sahihi ya mitambo na njia za nawasiliano za shule mfano;
kwa ufanisi taarifa za shule na itifaki za mawasiliano. intaneti.

Jinsi ya kufanikisha hili: Vidokezo Muhimu:


• Andaa kumbukumbu sahihi za rasilimali watu, vitu na fedha.
Zingatia!
• Andika na weka kwenye mafaili taarifa na takwimu za kitaaluma za upimaji wa
• Tengeneza mfumo ambao utakuwa wazi kwa watu kupata taarifa, unaoweza
wanafunzi.
kuboreshwa kwa urahisi na wenye taswira ya maeneo muhimu ya Mpango wa
• Hifadhi mahali salama mafaili binafsi ya wafanyakzi na wanafunzi na huisha
Maendeleo ya Shule na maeneo muhimu ya usimamizi.
taarifa zao mara kwa mara kwa kadiri mabadiliko yanavyotokea.
• Tunza kumbukumbu zote kwenye mafaili au kwenye kompyuta pale
• Hakikisha shule ina rejesta ya bohari za shule.
inapowezekana.
• Weka mfumo wa utunzaji na ufuatilia nyaraka mbalimbali.
• Anzisha mfumo sahihi na makini wa kukusanya takwimu za uandikishaji wa
• Anzisha mchakato wa kukusanya takwimu sahihi za uandikishaji na taarifa kuhusu
wanafunzi.
idadi ya wanafunzi shuleni.
• Toa mafunzo kwa watu ya namna sahihi ya kupata taarifa mbalimbali
• Weka kumbukumbu na mchakato wa kusimamia na kurekodi mawasiliano
zinazohitajika.
yanayoingia na yanayotoka shuleni .
• Weka wazi taarifa za Maendeleo ya shule kwa Jumuiya ya shule na jamii kwa
• Andika katika rejista vifaa vipya vinavyonunuliwa kwa wakati.
ujumla
• Weka mfumo ambapo rekodi zote za mwanafunzi zitaweza kupatikana kwa
• Tunza vema nyaraka za fedha na vifaa vya shule.
urahisi.
• Hakikisha kila mzazi anapata nakala ya ripoti ya maendeleo na tathmini ya mtoto Epuka!
wake. • Kuchelewa kuhuisha taarifa kwenye mafaili na kutunza kumbukumbu za shule.
• Anzisha na tunza orodha ya wafanyakazi wa sasa, namba za simu na za wazazi wa • Kutumia njia moja tu kutoa taarifa kwa jumuiya ya shule.
• Kuhifadhi taarifa na kumbukumbu katika maeneo yasiyo salama na mahali
ambapo zinaweza kupotea au kuharibiwa.

19
Matini Namba Nane Na. 8

Usimamizi wa Shule

Matokeo Bora ya Kujifunza • Waelekeze walimu jinsi ya kutumia na kuchukua maudhui kutoka vitabu mbalimbali
ili kukidhi mahitaji ya wanafunzi
Sehemu ya Kwanza • Wape mafunzo walimu jinsi ya kutengeneza aina mbalimbali ya zana za kufundishia
Ufundishaji na Ujifunzaji na kujifunzia darasani
Maelezo: Sehemu hii inahusu ufundishaji unaotumika kuwezesha ujifunzaji bora. • Hakikisha kuwa madarasa yana kazi mbalimbali za wanafunzi zilizobandikwa
ukutani
Wajibu wako: • Saidia walimu katika uandaaji wa pembe mafunzo darasani.
Kama Mwalimu Mkuu; wajibu wako ni kusimamia na kuwasaidia walimu kwenye • Himiza wanafunzi kutumia mazingira asilia ya nje kwa kujifunzia.
uandaaji, utekelezaji na tathmini ya ubora wa ufundishaji na ujifunzaji, ubora wa • Sisitiza kuwa sheria za darasa zinaandaliwa kwa kushirikiana na kubandikwa
programu na miradi ya shule. madarasani.
• Kagua mpangokazi na maandalio ya somo ya walimu.
Jinsi ya kufanikisha hili: • Saidia walimu wapate mafunzo kuhusu uandaaji wa masomo kwa misingi ya
• Anzisha Kamati ya Taaluma ya Shule na andaa na kuwapatia hadidu za rejea kwa kudadisi.
maandishi. • Sisitiza kuona masomo yanarekebishwa ili kukidhi mahitaji ya wanafunzi wenye
• Hakikisha kuwa walimu wote wana maarifa kamili ya mtaala wa somo mahitaji maalumu.
wanalofundisha. • Himiza mwalimu kuandaa masomo ambayo yanafundisha watoto kuwa wabunifu
• Fanya Unasihi Elekezi au weka utaratibu madhubuti wa kufanya Unasihi Elekezi na watatuzi wa matatizo.
kwa walimu wako. • Fuatilia kazi za daftarini za mwanafunzi ili kuhakikisha kuwa zimesahihishwa na
• Fuatilia kuona kuwa walimu wanafundisha ipasavyo darasani. mwalimu.
• Simamia ufundishaji wa walimu na tembelea madarasa mara kwa mara. • Saidia walimu kuandaa programu za kujifunza kwa wanafunzi wenye vipawa na
• Eleza walimu kuhusu masuala ya elimu jumuishi na mbinu za ufundishaji zinazofaa vipaji maalum.
kusaidia wanafunzi wenye mahitaji maalum.
• Wasaidie walimu kuchagua na kutumia mbinu na mikakati mbalimbali Vidokezo Muhimu:
kuwafundisha wanafunzi kulingana na mahitaji binafsi ya kila mmoja. Zingatia!
• Fuatilia na saidia walimu katika uandaaji wa masomo na kuwapa mali ghafi ya • Anzisha kamati ya Shule ya Taaluma na isaidie kufanya kazi kwa ubora.
kufaragua zana za kufundishia na kujifunzia. • Fanya ziara madarasani mara kwa mara kufuatilia ufundishaji wa walimu.
• Himiza walimu kuweka mazingira bora ya kujifunzia na rafiki kwa wanafunzi. • Fuatilia uandaaji wa maandalio ya kazi na masomo kwa walimu.
• Tarajia walimu kuweka na kudumisha viwango vya juu vya tabia ya mwanafunzi. • Wasaidie walimu katika kazi zao za kila siku za kufundisha.
• Wasaidie walimu kukuza ubunifu, kujiamini na kujitawala/kujimudu kwa • Sisitiza umuhimu wa wanafunzi kafanya kazi kwa jozi na vikundi ili waweze
wanafunzi. kusaidiana.

20
Epuka! • Saidia walimu kuwa mfano mzuri na raia wema kwa wanafunzi, wazazi na jamii,
• Kufanya usimamizi wa somo la mwalimu (Unasihi Elekezi) bila kufuata taratibu na jenga mtazamo chanya wa uraia kitaifa na kimataifa kwa wanafunzi.
husika; kutoa taarifa...panga usimamizi wa somo na mwalimu na toa maoni • Fuatilia kuhakikisha walimu wana bidii ya kazi na wanafika kazini kwa wakati na
yanayostaili. kutenda ipasavyo katika nyanja zote za kazi yao.
• Sisitiza umuhimu wa walimu kutambua na kuheshimu tofauti za kitamaduni
Sehemu ya Pili na za mtu mmoja mmoja miongoni mwa wanafunzi, wazazi na wanajamii, pia
Weledi wa Kitaalamu wa Mwalimu kuthamini tofauti za kiutamaduni na kuepuka vitendo vyovyote vya ubaguzi.
Maelezo: Sehemu hii inahusu uangalizi wa mwalimu wa ustawi wa wanafunzi • Simamia kuhakikisha kwamba mwalimu anatenda haki na kuwatathmini
kitaaluma, kimwili, kijamii, kihisia na kisaikolojia pamoja na uhusiano wao kikazi. wanafunzi wote.
• Himiza walimu kuwa na uelewa wa masuala ya urithi, maadili, mila na desturi
Wajibu wako: za jamii ya Kitanzania na jinsi masuala haya yanavyoathiri mwanafunzi mmoja
Kama Mwalimu Mkuu; jukumu lako ni kusimamia na kusaidia walimu wako na Kamati mmoja.
ya Taaluma kuandaa na kutekeleza Mipango ya Ukuzaji Endelevu wa Utaalamu za • Weka utaratibu wa Unasihi kwa walimu wageni na wapya.
walimu na kusimamia walimu ili wafanye kazi kwa kuzingatia utaalamu huo wakati
wote. Vidokezo Muhimu:
Zingatia!
Jinsi ya kufanikisha hili: • Hakikisha kwamba walimu wote wana mpango binafsi wa maendeleo yao ya
• Saidia wafanyakazi kuandaa na kutekeleza Mipango ya Uendelezaji wa Utaalamu Kitaalamu.
wa Walimu wote • Hakikisha kwamba walimu wote wanafuata kanuni za maadili ya kazi.
• Simamia kuona kwamba walimu wanatumia mafunzo waliyoyapata kwenye • Wahamasishe walimu kusaidiana, kushauriana, kuelekezana na kufundishana
ufundishaji darasani. wao kwa wao katika shughuli zao kitaalamu za kila siku. (JzK)
• Wahimize walimu kushirikishana ujuzi na maarifa na wenzao ; JZK. • Andaa mpango wa kuwasaidia walimu wapya katika shule.
• Wahimize walimu kushiriki mara kwa mara kwenye mijadala ya kitaalamu • Kuwa mfano wa kuigwa na onesha viwango vya juu vya kufuata kanuni za
• Sisitiza kwamba walimu wanatakiwa kubeba jukumu binafsi la kuwaangalia kitaaluma na utaalamu wakati wote.
wanafunzi wote Epuka!
• Fuatilia kuhakikisha walimu hawajihusishi na rushwa wala vitendo vya ukiukaji wa • Kukubali utendaji duni wa mwalimu, mwenendo usio wa kimaadili na utoro kazini.
maadili • Kuamini tu kwamba walimu wote wana ujuzi muhimu wa kitaalamu kufundisha.
• Jadili na walimu hatua za kutathmini hatari mbalimbali kwenye mazingira na • Kuruhusu mpango wa shule wa uendelezaji wa utaalamu wa walimu
madarasa ya shule ambazo zinaweza kuwadhuru wanafunzi. kutotekelezwa.
• Watake walimu kutoa taarifa za unyanyasaji wa wanafunzi, kutumia vibaya
mamlaka, na tabia zinazokiuka maadili.

21
Matini Namba Tisa Na. 9

Usimamizi wa Shule

Matokeo Bora ya Kujifunza • Sisitiza makubaliano ya pamoja kuhusu kutathmini uwezo wa mwanafunzi
• Chunguza na rekodi wanafunzi wenye mahitaji maalumu na wenye changamoto.
Sehemu ya Tatu • Sisitiza vikao vya kujadili matokeo ya wanafunzi vinakuwepo miongoni mwa
Tathmini walimu
Maelezo: Sehemu hii inahusu taratibu na mbinu zinazotumika kubaini mafanikio ya • Tumia upimaji sanifu (“standardized testing”) (mfano – DPLA) unapoona inafaa.
matokeo ya kujifunza ya wanafunzi na ubora wa taratibu za kutoa taarifa hizo. • Hakikisha kuwa matokeo ya tathmini yanatumika mara kwa mara kuandaa mbinu
na mikakati ya kuboresha ujifunzaji wa mwanafunzi.
Wajibu wako: • Anzisha taratibu kwa ajili ya kuwatambua na kuwasaidia wanafunzi wenye mahitaji
Kama Mwalimu Mkuu; jukumu lako ni kusimamia na kusaidia walimu na Kamati ya maalumu na wanafunzi wenye uwezo wa juu.
Taaluma kuandaa na kutekeleza mwongozo wa tathmini wa shule.
Vidokezo Muhimu:
Jinsi ya kufanikisha hili: Zingatia!
• Saidia wafanyakazi na Kamati ya Taaluma kuandaa na kutekeleza mwongozo wa • Anzisha kamati ya shule ya tathmini
tathmini wa shule • Weka vigezo vya tathmini ili kuleta uwiano,
• Hakikisha kuwa mwongozo wa tathmini unaeleweka vizuri na kutekelezwa na • Jadili na rekebisha kazi za wanafunzi.
walimu wote. • Wajulishe wazazi mara kwa mara kuhusu maendeleo ya mwanafunzi
• Weka vigezo vya jumla vya tathmini kwa shule nzima. • Rekebisha taratibu za tathmini za wanafunzi wenye mahitaji maalumu.
• Kagua kuona kama vigezo vyote vya tathmini vimehusianishwa na matokeo ya
Epuka!
kujifunza
• Kuruhusu aina moja tu ya upimaji (mfano, kuwapa mitihani ya majaribio) kutawala
• Fuatilia kuhakikisha tathmini inagusa kikamilifu maeneo ya kile wanafunzi
tathmini ya mwanafunzi.
wanachopaswa kuelewa, kufahamu na kufanya.
• Kuandaa kazi za tathmini kwa mtindo wa ‘zimamoto’ bila kupanga.
• Anzisha Kamati ya Tathmini ya shule.
• Walimu kutoa majaribio mengi na kazi nyingi za upimaji zitakazowaelemea
• Tengeneza kadi za ripoti za wanafunzi.
wanafunzi.
• Sisitiza kwamba matokeo ya wanafunzi yaripotiwe mara kwa mara na kujadiliwa
na wazazi.

22
Sehemu ya Nne • Hakikisha kuwa mitaala inakidhi mahitaji ya wanafunzi ya kielimu, kijamii na
kimwili.
Uandaaji na Utekelezaji wa Mitaala
• Hakikisha mada za ujifunzaji ni za kiudadisi na wanafunzi wanaweza kujifunza
Maelezo: Sehemu hii inahusu mchakato ambao shule inatumia kusimamia utekelezaji wenyewe na zinajumuisha aina nyingi za ukuzaji akili.
wa mitaala ya Kitaifa na kuandaa, kutekeleza na kutathmini mtaala wa shule.
Vidokezo Muhimu:
Wajibu wako:
Zingatia!
Kama Mwalimu Mkuu; wajibu wako ni kusimamia na kuwasaidia walimu kwenye
• Anzisha kamati ya shule ya mtaala ikiongozwa na Mwalimu Mwandamizi Taaluma
uandaaji wa utekelezaji na tathmini ya mitaala ya kitaifa na mitaala ya shule.
na walimu wa madarasa.
• Hakikisha kuwa utekelezaji wa mitaala unafanyika kupitia mbinu za ufundishaji
Jinsi ya kufanikisha hili:
zilizo rafiki kwa watoto.
• Unda kamati ya mtaala ya shule chini ya uongozi wa mwalimu mwandamizi
• Daima fuatilia na tathmini utekelezaji wa mitaala wa kitaifa na wa shule kwa ajili
taaluma na walimu wa madarasa
ya kumuimarisha mwanafunzi.
• Fuatilia kama mtaala unafundishwa kwenye ngazi sahihi ya mwaka wa wanafunzi.
• Hakikisha kuwa mtaala wa shule unaelezea kile wanafunzi wanahitaji kufahamu, Epuka!
kuelewa na kufanya; ikiwa ni pamoja na shughuli za kitamaduni, kijamii na michezo. • Kuamini tu kuwa walimu wote wanafundisha ipasavyo.
• Sisitiza kuwa utekelezaji wa mtaala unazingatia mbinu rafiki na zinazomlenga • Kuamini tu kuwa walimu wote wanatumia zana za kufundishia kutekeleza mitaala.
mtoto • Kuamini tu kwamba walimu wote wana utaalamu na mbinu za kuwahudumia
• Tafuta mbinu za utekelezaji wa mitaala kwa kuzingatia mahitaji ya wanafunzi wanafunzi wenye mahitaji maalum.
wenye mahitaji maalumu na matatizo

23
Matini Namba Kumi Na. 10

Uongozi na Usimamizi wa Shule

Kiolezo (Template) cha mfano wa “Mpango wa Jumla wa Maendeleo ya Shule”


Taarifa Msingi za Shule

Jina la Shule: �������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������

Jina la Mwalimu Mkuu: ��������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������

Anuani: ����������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������

Namba ya Uandikishwaji ya Shule: �����������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������

Mwaka Shule ilipoanzishwa: ����������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������

Namba ya Simu/barua pepe: ����������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������

Kata, Wilaya, Mkoa: ��������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������

Idadi ya Walimu Me/Ke: �������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������

Idadi ya Wanafunzi Me/Ke: ��������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������������

24
Dira ya Shule

Dira ya pamoja ya Shule;


• Inatuelekeza wapi tunataka kuwa kama shule.
• Ni “ndoto” ya tamanio letu kama shule.
• Mwelekeo wa shule yetu inakotaka kwenda.

Tamko la Dira ni tamko linalotaja wapi shule inataka kwenda siku zijazo. Dira ni Lengo la Jumla ambalo raslimali na nguvu zote za shule zinaelekezwa ili kufikiwa kwa siku za mbele.
Tamko la Dira ni sentensi moja au mbili tu. Ifuatayo ni mifano ya tamko la Dira ya Shule:

Dira yetu ni; “Kuhakikisha kwamba wanafunzi wote wa shule yetu wana fursa ya kufanikiwa kwa kadiri ya upeo wao.”

Dira yetu ni; “Kuwa shule ya mfano nchini tukihudumia wanafunzi wote wafikie ubora wa juu kitaaluma kwa kutumia nguvu na kujituma kwetu.”

Vitambulisha-shule na Mambo shule inayoamini


Masuala yanayoitambilisha shule na inayoamini
• Kama shule tunawakilisha nini?
• Tunaamini nini kama shule?
Mfano; Tunathamini na Kuamini katika:
“Usawa, Kuheshimiana, Urafiki, Ushirikiano, Uvumilivu na Uhuru wa Maoni.”

25
Uchambuzi wa Hali halisi
Uwezo wa Shule Udhaifu wa Shule Changamoto kuu na Matatizo ya Shule

26
Mpango wa Kusoma 20_____ - 20 _____

Kiongozi wa Timu: ......................................... Wajumbe: ..................................................................... Bajeti: .............................................................

Malengo Mikakati/Shughuli Rasilimali Nani atasaidia Gharama Lini Viashiria vya Mafanikio
(Tunataka kufanikisha (Tutafikia vipi malengo (Tunatumia nini?) (Nani anaweza (Mwaka /Mwezi) (Tutajuaje kwamba
nini?) haya?) kusaidia?) umefanikiwa?)

27
Mpango wa Hesabu 20_____ - 20 _____

Kiongozi wa Timu: ......................................... Wajumbe: ..................................................................... Bajeti: .............................................................

Malengo Mikakati/Shughuli Rasilimali Nani atasaidia Gharama Lini Viashiria vya Mafanikio
(Tunataka kufanikisha (Tutafikia vipi malengo (Tunatumia (Nani anaweza (Mwaka /Mwezi) (Tutajuaje kwamba
nini?) haya?) nini?) kusaidia?) umefanikiwa?)

28
Mpango wa Masomo Mengine ( Maarifa ya Jamii, Sayansi, Lugha )20_____ - 20 _____

Kiongozi wa Timu: ......................................... Wajumbe: ..................................................................... Bajeti: .............................................................

Malengo Mikakati/Shughuli Rasilimali Nani atasaidia Gharama Lini Viashiria vya Mafanikio
(Tunataka kufanikisha (Tutafikia vipi malengo (Tunatumia (Nani anaweza (Mwaka /Mwezi) (Tutajuaje kwamba
nini?) haya?) nini?) kusaidia?) umefanikiwa?)

29
Mpango wa Mazingira Chanya ya Shule 20_____ - 20 _____

Kiongozi wa Timu: ......................................... Wajumbe: ..................................................................... Bajeti: .............................................................

Malengo Mikakati/Shughuli Rasilimali Nani atasaidia Gharama Lini Viashiria vya Mafanikio
(Tunataka kufanikisha (Tutafikia vipi malengo (Tunatumia (Nani anaweza (Mwaka /Mwezi) (Tutajuaje kwamba
nini?) haya?) nini?) kusaidia?) umefanikiwa?)

30
Mpango wa Menejimenti yenye Tija 20_____ - 20 _____

Kiongozi wa Timu: ......................................... Wajumbe: ..................................................................... Bajeti: .............................................................

Malengo Mikakati/Shughuli Rasilimali Nani atasaidia Gharama Lini Viashiria vya Mafanikio
(Tunataka kufanikisha (Tutafikia vipi malengo (Tunatumia (Nani anaweza (Mwaka /Mwezi) (Tutajuaje kwamba
nini?) haya?) nini?) kusaidia?) umefanikiwa?)

31
Mpango wa Uongozi Bora wa Shule 20_____ - 20 _____

Kiongozi wa Timu: ......................................... Wajumbe: ..................................................................... Bajeti: .............................................................

Malengo Mikakati/Shughuli Rasilimali Nani atasaidia Gharama Lini Viashiria vya Mafanikio
(Tunataka kufanikisha (Tutafikia vipi malengo (Tunatumia (Nani anaweza (Mwaka /Mwezi) (Tutajuaje kwamba
nini?) haya?) nini?) kusaidia?) umefanikiwa?)

32
Mpango wa Utekelezaji wa Shule wa Mwaka 20_____

Eneo Lengo Mikakati na Mwezi Rasilimali Nani Gharama Viashiria vya


Shughuli Mafanikio

Kusoma

Hesabu

English

Maarifa ya Jamii

Sayansi

Riadha na
Michezo

Mazingira
Chanya ya Shule

Menejiment
yenye Tija

Uongozi Bora

33
Bajeti ya Mwaka ya Shule 20_____

Eneo Lengo Rasilimali Mwezi Vyanzo vya Rasilimali na Kiasi Viashiria vya
zinazohitajika Mafanikio
Chanzo A Chanzo B Chanzo C

Kusoma

Hesabu

English

Maarifa ya Jamii

Sayansi

Riadha na
Michezo

Mazingira
Chanya ya Shule

Menejiment
yenye Tija

Uongozi Bora

34

You might also like