You are on page 1of 8

KIDATO CHA PILI MUHULA WA 2 2023

MWONGOZO
MTIHANI WA UFUNGUZI – MUHULA WA PILI 2023

SEHEMU A
UFAHAMU
Majibu
a) Pendekeza kichwa mwafaka kwa taarifa uliyosoma. (al 1)
Ukimwi

b) Taja magonjwa matatu yaliyotishia maisha ya binadamu. (al 3)


-Tauni
-Kifua kikuu
-Homa ya matumbo
-ndu 3x1

c) Fafanua maana ya kifungu kifuatacho. (alama 1)


kuwasukuma maelfu ya watu kaburini.

kuwaua
d) Eleza madhara yoyote matatu ya ukimwi kulingana na taarifa. (al 3)
- Kuwaua mamilioni ya watu
-Hosipitali na zahanati kushindwa kukidhi mahitaji ya ugonjwa huu.
-Kuangazima vijana
3x1

e) Ni harakati zipi zinazoendelezwa ili kukumbana na janga hili (al 2)


-Makundi ya kujitolea na mashirika mbalimbali yameundwa kukidhi mahitaji ya ugonjwa
huu
-Makundi kutoa tiba ya kisaikolojia
-Kuwapa ushauri wa hima ya kuishi
2x1

(f) Eleza mienendo inayopaswa kuendelezwa kuondoa kutaka tamaa.

-Wagonjwa kutibiwa nyumbani


-Tuwo na matumizi kuwa tiba itapatikana
-Tujifunze kutokana na historia
g) Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumiwa katika taarifa.

(i) Janga
Tukio baya linalosababisha maafa ,taabu,na mateso.
(ii) Takribani

karibu
SEHEMU YA B: MATUMIZI YA LUGHA (AL 40)

a) Linganua sauti zifuatazo za kiswahili


(i) /p/ ni konsonanti sighuna/hafifu ilhali /b/ ni konsonanti ghuna

(ii) /i/ ni irabu ya mbele na midomo imetandazwa ilhali /u/ ni irabu ya nyuma midomo
imeviringwa (al 2)

b) Ainisha mofimu katika neno lifuatalo


aliyepiga. (al 2)

a-nafsi/
ngeli li-
wakati
ye-
kirejeshi
pig-mzizi
a-kiishio
(c) Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya mstari.
Wanafunzi walitembea taratibu bali wazazi wao walitembea upesi.
S-S1+U+S2 S2-KN+KT
S1-KN+KT KN-N+V
KN-N N-wazazi
N-Wanafunzi V- wao
KT-T+E KT-T+E
T-walitembea T-walitembea
E-taratibu E-upesi (al 2)

(d) Yakinisha sentensi ifuatayo


Wakubwa hawajaidhinisha kazi yake (al 2)
Wakubwa wameidhinisha kazi yake.

(e)Andika sentensi ifuatayo katika ukubwa wingi


Nyundo yake itatengenezwa kesho. (alama 2)

Majundo yao yatatengenezwa kesho

(f)Ainisha vitenzi katika sentensi ifuatayo


Dereva yumo garini anangojea wateja (alama 2)

Yumo – kitenzi kishirikishi kipungufu


Anangonjea –kitenzi halisi

3.(g) Mkato/kipumuo hutumiwa msomaji anapohitaji kutua. Kwa kutunga sentensi mbili tofauti.
Onyesha matumizi mengine mawili ya mkato.
(alama 2)
i)Kutenganisha maneno kwenye
orodha ii)kuandika anwani
iii)kuonyesha mwanzo au mwisho wa usemi halisi
iv)Baada ya neno ndio,la,asante
v)Baada ya kutaja jina la mtu anayepewa habari .

(h) Andika sentensi ifuatayo upya kwa kutumia 'o' rejeshi tamati.
Darasa ambalo hunadhifishwa vyema huwa na hewa safi. (alama 2)

Darasa linadhifishwalo vyema huwa na hewa safi.

(i) Laini ni kwa ngumu, kashifu ni kwa sifu na kusanya ni kwa tawanya (alama 2)

(j) Andika sentensi katika usemi taarifa. (alama 2)

Kemboi alitaka kujua kwa nini matwana hayakupita hapo siku hizo.

(k) Tunga sentenzi mojamoja kubainisha


(i) Kihusishi cha wakati
Baada ya, kabla ya ,hadi

(ii) Kivumishi cha pekee (bila kubagua) (alama 2)

Matumizi ya o-ote
Mwanafunzi yeyote
atatuzwa.
(L)Andika sentensi ifuatayo upya katika wakati ujao hali timilifu
Mwalimu huwasomesha watoto wote. (alama 2)

Mwalimu atakuwa amewasomesha watoto wote

(m) Rafiki yako ana mazoea ya kukataa kusikiliza na kufuata mawaidha au ushauri mzuri wa
wazazi au wakubwa wake. Andika methali unayoweza kutumia ili kumwonya dhidi ya tabia
hiyo. (alama 1)

Asiyesikia la mkuu huvunjika mguu


(n) Andika katika umoja
Ngoma hizo zao zilipigwa na watu hawa. (alama 2)
Ngoma hiyo yake ilipigwa na mtu huyu

(o) Tunga sentensi moja ukitumia kivumishi cha idadi. (alama2)


Kadiria jibu la mwanafunzi kinaweza kuwa cha jumla au mahususi
Vitabu vingi vimenunuliwa
Watoto watano wamefuzu
(p) Tunga sentensi kabainisha maana ya: (alama 2)
Chaka-eneo kubwa lenye
miti Shaka –kutokuwa na
uhakika

(q) Weka shadda kwenye maneno yafuatayo.


(i) Darasa
Da’rasa

(ii) Walakini (dosari) (alama 2)


Wa’lakini
(r) 18. Andika neno lililo na muundo wa silabi ufuatao (alama 1)
KKI+KI+KI
MWA+LI+MU

(s) Tambua miundo yoyote miwili ya ngeli ya LI-YA. (alama 3)


Jani - majani ja -ma
Jino -meno ji -me
gari - magari o -
ma

(t) Eleza matumizi ya neno 'mzee' katika sentensi zifuatazo


Baba mzee amelewa
Kivumishi cha nomino
Mzee amelewa (alama 2)
nomino
(u) Nyambua maneno yafuatayo kwenye kauli iliyo kwenye mabano.
(v) Kimbia (tendesha)
kimbiza
(ii) tembea (tendea) (alama 2)
tembelea

SEHEMU C: ISIMUJAMII (AL 10)


Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali.
Nani kuu...? Sosi poa lea... Mate ndo! ndo! ndo! Ukikula hii hutaona daktari kwa miaka kumi...
Ng'ombe je? Nani?... nani! ... Ni wote... poa basi naja...

(a) Hii ni sajili gani? Toa sababu (al 2)


Sajili ya Hotelini/ Mkahawani - Sosi poa

- Mate -ndo! ndo! ndo!


(b) Fafanua sifa nane za sajili hii (al 8)
i) Huwa na matumizi ya msamiati maalumu na sosi nani kuku,
ii) matumizi ya lugha isiyo sanifu -nani kuku
iii) Lugha ya kudadisi hutumiwa hasa na mhudumu.
iv) Lugha iliyojaa chuku na ukikula hii hutaona daktari kwa miaka kumi
v) Lugha ya kuamrisha hasa wateja.
vi) Matumizi ya lugha ya mkato
vii) Lugha ya unyenyekevu, heshima na upole hasa na mhudumu
viii) Lugha ya takriri/ urudiaji mwingi mf nani
ix) wakati mwingine kuna kuchanganya
ndimi Tanbihi:Lazima mwanafunzi atoe
mfano

SEHEMU D. FASIHI SIMULIZI

a. i) Hurafa (1x1=1)
ii)
 Wahusika ni wanyama na au ndege.
 Wanyama na ndege hupewa sifa za binadamu
 Ni kazi ya ubunifu.
 Huwa na ucheshi mwingi
 Huwa na sifa zinazohimizwa na zinazoshutumiwa.
 Ujanja au uongo hujitokeza katika hurafa za kijanja.
 Ushindi hujitokeza katika hurafa za kijanja. (3x1=3)

iii)
 Kutahadharisha watu dhidi ya kuwa wa danganyifu/kudanganyika kwa urahisi.
 Kuonyesha jinsi tabia ya udanganyifu inavyoweza kujitokeza na kuathiri watu.
 Hutoa mafunzo na kuonya kwa njia ya kuchekesha na isiyoumiza.
 Hurafa za kijanja hufunza jinsi ya kupampana na hali ngumu.
 kuburudisha
(3x1=3)

b. i) fomyula ya ufunguzi/ kuanzia( hapo zamani za kale, Hadithi hadithi…)


ii) fomyula ya kumalizia(hadithi yangu inaishia hapo.., )
(2x2=4)
c.
i. Awe jasiri na asiwe mwoga ili kuweza kuzungumza hadharani.
ii. Asiwe na haya ili kuweza kuzungumzia mambo ya aibu inapobidi.
iii. Awe na uelewa wa mazingira na masuala ibuka katika jamii ili kuweza kuwasilisha dhana
zisizopatikana katika mazingira yake k.m. kutumia rais kuelezea dhana ya mfalme.
iv. Awe na ufahamu mpana wa lugha ili aweze kuitumia kwa uhodari na kuwasilisha kwa wepesi.
v. Awe mchangamfu na mcheshi ili kunasa makini ya hadhira na kuzuia isikinai.
vi. Awe na ufahamu mpana wa utamaduni husika ili kuzuia kutumia maneno na ishara zinazoweza
kuwaudhi au kupingana na imani za hadhira.
vii. Awe na uwezo wa kushirikisha hadhira k.v. kuimba, maswali ya balagha ili isikinai, n.k.
viii. Awe na kumbukumbu nzuri ili usimulizi wake utiririke vizuri.
ix. Awe na uwezo wa kudramatisha ili kuonyesha picha fulani k.v. kuiga toni, sauti, na kiimbo
kulingana na swala analowasilisha.
x. Awe na sauti nzuri ili avutie na asikike vyema
xi. Awe na ujuzi wa kutumia viziada lugha kv ishara za uso, mwili na miondoko kulingana na hali
anayoigiza. (za kwanza 4x1=4)

You might also like